HOUSE GIRL EP 28 | S3 | Love Story 💕💞

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 окт 2024
  • HOUSE GIRL SEASON 3

Комментарии • 663

  • @busatitv
    @busatitv  7 часов назад +73

    Bonyeza link kujiunga Whatsapp Group 👇👇
    chat.whatsapp.com/FO70mhi1wWF9xNBRUPBDT8

  • @MonieNathan
    @MonieNathan 7 часов назад +237

    Chiko mpango wako utafeli kama tuko pamoja gonga like apa❤❤

  • @EmilianaTemba
    @EmilianaTemba 6 часов назад +64

    Jmn jmn nataman zatit awe na mimba ya Mr Tasha wanaotaman hvy gonga like ❤❤❤❤

  • @PatrickKimaro-do3lj
    @PatrickKimaro-do3lj 7 часов назад +240

    sema huyo dogo kamuweza chiko kama umemkubal huyo dogo aliemfanya chiko aludi mwanzo ili asalimie kwanza gonga like

  • @VeeMoraa
    @VeeMoraa 6 часов назад +85

    Kwa hii harakati ya chiko ningependa xatiti awe ako na mimba,,,,,, maombi yangu tu🙏🙏🙏🙏

  • @AliJussa
    @AliJussa 6 часов назад +75

    Mpumbavu mwezangu bado haja uwezea jasmin origino kama umeliiona hilo gonga like

  • @AgnesDavidmtalemwa
    @AgnesDavidmtalemwa 6 часов назад +43

    Ila chiko kama mchawi jamn kama unakelwa na tabia za chiko 😅 gonga like tujuane

  • @YusraSiyaleo-yk2fz
    @YusraSiyaleo-yk2fz 4 часа назад +18

    Tunaoomba cend adhulumiwe nyumba haraka gonga like h@pa tujuane 😂😂😂😂

    • @HajratHajrat0501
      @HajratHajrat0501 2 часа назад

      Nyumba gani na kashauzaa😂😂😂😂😂😂😂

  • @QweenNickson
    @QweenNickson 7 часов назад +56

    Mungu azidi kumbariki kila mtazamaji wa House Girl.

  • @JanepherBudodi
    @JanepherBudodi 6 часов назад +29

    Yaan busati hamjawahi kutuangusha kabisa saana ni saanane kwelii kwakweli mpewe maua yenuu tunaokubali wanabusati like hapa❤❤

  • @Jenniffer-m9k
    @Jenniffer-m9k 6 часов назад +22

    jaman mr tash kamuweza chiko 😂😂mwenye anaamini mipango y chiko haitafanikiwa gongen like

  • @ASHANDEGWA
    @ASHANDEGWA 7 часов назад +20

    Dada unajitahidi kuwa jasmine OG hongera sanaa kwa kazi mpumbavu wa kilamba🎉🎉

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi 6 часов назад +10

    Kiukweli 😂😂😂😂😂😂😂😂nacheka chiko ameyatimba mbio sana kumbe yuaogopa acha nione candy na laana yake iliyo mpaka jaman naomba like zenu 🙆‍♂️🙆‍♂️😅😅

  • @stanleycylidion1560
    @stanleycylidion1560 6 часов назад +17

    Duh kilamba napenda sana uigizaj wako
    Mungu akutunze jmn

  • @TanashaPamelah
    @TanashaPamelah 7 часов назад +53

    Kama unasubiri kendi aone moto niekee like tu 😂😂😂🤭Yani mie nasubiri tu majuto ya kendi mama yangu 🤦😂

  • @SaufatBaraka
    @SaufatBaraka 6 часов назад +18

    Jaman weka makopa kopa❤❤❤❤❤ kwa tasha na zatiti

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 4 часа назад +6

    Alafu mwenye kiti atakuja umbuka vibaya xna mbele ya watu....chiko ataongea kuhusu pesa zke alivyo muhonga.....Aibu kubwa😅

  • @TabiaMwaisumo-ss7pz
    @TabiaMwaisumo-ss7pz 4 часа назад +6

    Wanaume wenye huruka kama ya chiko mjifunze sana hapa ridhikeni na mlivonavyo tamaa ni mbaya mtakufa😂😂😂na nyinyi mnaoomba like sijui wa kwanza au wa mwisho mna shida gan ninyi mfyuuuu

  • @SadaDjuma-e9b
    @SadaDjuma-e9b 5 часов назад +6

    Amani ya Mungu iwe juu yetu sisi ote tunaofuatiliya hii movies BUSATI TV, nina Imani mpo salam,anae furahi jinsi Chiko ame ayibika kijijini, anipe like zangu, n, anae furahia jinsi mimba ya Kamkonde imekata kutoka hadi amzalie Ngonde anipe like zangu maan wamezidi ushirikina, Chiko toa Rushwa ila hutofanikiwa,ndug zangu nawatakieni Heri nyingi na Baraka n, Afya njema.

  • @Viviankemunto-p4k
    @Viviankemunto-p4k 7 часов назад +19

    Sania leo kafurugwa kafurugika😂😂😂😂😂😂😂😂na vile alikuwa kiherehere na mambo ya wtu wee tuletee kitoto cha ngonde mamulaka😂

    • @JescaYusuph-m4y
      @JescaYusuph-m4y 7 часов назад +3

      Kashapewa na jina mama kiriku😂😂😂😂😂

  • @bayubaheallydelly-rn2zv
    @bayubaheallydelly-rn2zv 7 часов назад +21

    Kuna Siku moja chiko atakiona camtemakuni kisha Candy nae bakiz upweke jmn unaamini ilo gonga apa like

    • @JentrixSungu
      @JentrixSungu 7 часов назад

      Cendy uko na vituko ety mama kirigu😅😅😅😅

  • @onesmusfondo7679
    @onesmusfondo7679 6 часов назад +14

    Chiko,kula jeuri yko mpuuzi wa maisha wwe...
    Natamani ningekuwa ndani ya hii tamthilia ya house girl,ungenyooka tu ...

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 7 часов назад +17

    Mwenyekit na chiko kimewaramba but chiko kimekuramba zaid coz pesa tumekula na mke atukupi

    • @DivineIngabire-lj3sr
      @DivineIngabire-lj3sr 6 часов назад +1

      Ayende kwenye alitoka

    • @HhUhh-io8ix
      @HhUhh-io8ix 5 часов назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂aiiiiiiiiii chiko Kila pahali haaaa unakera munooooo

  • @FaithGeoffrey-i8c
    @FaithGeoffrey-i8c 7 часов назад +35

    Wanao furai mimba ya Sania n wagapi

  • @Saumu-vr4bc
    @Saumu-vr4bc 7 часов назад +14

    Leo kwa mara ya kwanza naombeni like

  • @agripinaofficial
    @agripinaofficial 4 часа назад +5

    😂😂ila sitaki dhambi na huyu mpumbavu mwenzangu

  • @SalamaRajabu-c6h
    @SalamaRajabu-c6h 6 часов назад +9

    Chiko kishamramba anakalibia kua chiz maan mateso alopitia zatiti nayaona ni madg kuliko anayoyapata chiko kwa ss endeleeni kutupa raha wanabusat tv🎉🎉🎉

  • @JoannaHemedy
    @JoannaHemedy 4 часа назад +5

    Chiko una leta aibu na weye nadada hamu zai ni fujo tu wenye wana kubali like basi

  • @Milkah-x1r
    @Milkah-x1r 6 часов назад +18

    Mzee mkoloni ana msimamo dhabiti kwa zariti wapi like zake🎉🎉🎉

  • @MariamRiziki-o8x
    @MariamRiziki-o8x 7 часов назад +13

    Wakwanza tokea nianze kufuatilia house girl sijapata lkis hata moja🎉🎉🎉🎉

  • @RizikiStadza
    @RizikiStadza 3 часа назад +3

    Mwenyekiti tamaa haifai unajisahau kwa ajili ya hongo pole yako baba mzee mkoloni huezi mdhibiti Mana ana msimami thabiti hongera mzee mkoloni hapo hapo

  • @Saidahkims
    @Saidahkims 7 часов назад +11

    Chiko ata ufanyeje hauna kizazi na uwezi pata mtoto ata kwa tabia zako mungu awezi kupea kizazi wewe

  • @NeemaJulliet
    @NeemaJulliet 7 часов назад +10

    Wakwanza kutoka kenya like zangu apa

  • @Dorcaskw
    @Dorcaskw 6 часов назад +5

    Kwa hii nalo ni moto fire kwa siku zote nimeenjoy😂😂😂 don't forget me just like my comments❤❤❤ much love for this team ❤❤❤

  • @ShamimShamy
    @ShamimShamy 5 часов назад +2

    Kendy. Unenongesha hatar movie 🎉🎉🎉

  • @Smart7-b5e
    @Smart7-b5e 6 часов назад +6

    Candy jamani sometimes nakuchukia sometimes tena nakupenda mama ❤❤❤❤ yaani usha mpea kijajo jina ety kirikuu😂😂😂😂😂😂hapo sasa umenichangamsha na vile sania alikua anajifanya kua yy ndiye mama mshauri kimemramba na mganga wake 😂😂😂😂

  • @AishaMbuba
    @AishaMbuba 7 часов назад +16

    😂😂😂😂😂😂 Sania hicho kisiran adi kwa BFF wako nahs una mtoto wakiume na JINA makubwa candy kashatoa ataitwa kirikuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @pilicharo4123
      @pilicharo4123 6 часов назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @Bint-Zanzibari
      @Bint-Zanzibari 6 часов назад +1

      Yani nimecheka ila candy Kwa sania huwa hachukii😂😂😂

    • @user-Ambani
      @user-Ambani 5 часов назад +1

      😂😂😂😂😂

  • @RizikiHaji-y4p
    @RizikiHaji-y4p 6 часов назад +6

    Hahahaha chikoooo umepatikana dogo umetishaaa

  • @MwanamisiMuna
    @MwanamisiMuna 6 часов назад +5

    Jaman kujiamini muhim wala kwa olilosema Mr Tasha usihofu mama n mkubali hta kuangusha,chiko garareee wewe ,n hii part y mjinga mwenzang sijapenda mwenzenu nilikua hta na hisi usingizi

  • @irene-pw4dw
    @irene-pw4dw 7 часов назад +9

    Boss candy Pamoja na mama kijachooo 🎉🎉🎉 Maua yenu maana mnakoelekea mtalia sanaa😅😅😅😅😅

  • @hamzamihosho6480
    @hamzamihosho6480 Час назад +2

    Uyo jasmin wa mchongo mm cijamuelew kabisa anae ungana na mm weka like apa

    • @hadijamohd6028
      @hadijamohd6028 Час назад

      Ata mimi sijamuelewa😂😂😂

    • @hamzamihosho6480
      @hamzamihosho6480 59 минут назад

      @@hadijamohd6028 uwakika Yan dah yule wakwanza alijua kuitumia nafas yake🌷🌷

  • @rahemh1234
    @rahemh1234 4 часа назад +2

    Babake na zatiti mkali kama babangu ❤❤❤❤❤😂 ila mwenyekiti na chiko wameyatimba ila chiko zaid maana pesa tumechukua na mke tunaye 😅😂

  • @AisherJuma-d2q
    @AisherJuma-d2q 7 часов назад +8

    😂😂😂😂😂chiko ashaanza kuchangnyikiwa

  • @MaryBosibori-xm7us
    @MaryBosibori-xm7us 4 часа назад +2

    Waah kutawaka hapa next episode m naona chiko mzensi ataenda kwa mama Tasha na vile alijukua self na mama Tasha uuuii

  • @PiliRamadhani-cl6nw
    @PiliRamadhani-cl6nw 4 часа назад +2

    Tatizo zatiti upore umezidi hii kitu angekutana na candi mbona Chiko angefrai asingesubiri wazazi wamfukuze Chiko angefukuzwa na mkewe,zatt anaongea kiupore xna ndio maana Chiko linajitanuwa tuu hapo ukweni

  • @MaryMichael-w1l
    @MaryMichael-w1l 5 часов назад +2

    Tunaoamini kuwa chiko ni comedian tujuane hapa 🤣🤣🤣🤣😁😁

  • @DanielMagaga
    @DanielMagaga 4 часа назад +2

    Huyu kaka comedy nyingi msiwe mnampa vipande virefu

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 5 часов назад +2

    Meno Ya Kuoza Mbele Uyo Jasimini Kma Mmi Kucheka Au Kusimaili Pia Ni Shida😂😂😂😂😂😂

  • @buru1235
    @buru1235 6 часов назад +4

    Baba Zatiti umenimaliza mm wallai umeshika mwenye kiti.hdi akaona km Dunia yke inapasuka 😃😃😃🤦Alf chiko amesema ety yy n babake Tasha au nimesikia Nini mm😮

  • @DivineIngabire-lj3sr
    @DivineIngabire-lj3sr 6 часов назад +2

    Chiko aca kikulambe kabisa kumifukuza zatiti virikua laisi kumupata tena ngumu na usahau kabisa 😂😂

  • @JoyceKizo
    @JoyceKizo 7 часов назад +5

    Nimekuwa wa 4 leo wow like plz😢

  • @TONNYBOYMSAFI
    @TONNYBOYMSAFI 7 часов назад +5

    Big up from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wapi likes kutoka kenya❤.

  • @DianaMkembelwa
    @DianaMkembelwa 6 часов назад +3

    263,chiko wewe 8:48 na ndevu 2:42 zako za kusungulia sufulia.una kela.😅😅😅😮😮😮😮.ndiyo maana umenyooswa na mtoto mdogo😮😮😮😮😮😮😮

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 7 часов назад +6

    Fundi saa alipoteza nati kiramba😢😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @user-Ambani
      @user-Ambani 4 часа назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 7 часов назад +9

    Chiko umepatika kwel kwel

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th 7 часов назад +4

    30nimekua naomba like za oman Qatar saudia tz ❤❤

  • @Chebaibaiever
    @Chebaibaiever 5 часов назад +1

    Kusema ukweli mpumbafu amejaribu hongera 😂😂😂 dada jikaze bwana kilamba tulia tu atashika laini

  • @franktodory
    @franktodory 6 часов назад +4

    sania kashaanza kuwehuka sasa 😂😂😂😂

  • @Idmmuedacente
    @Idmmuedacente 7 часов назад +3

    Hongera sana Ndugu zangu pongezi kwenu wakuuu❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @lucasdaniel-bu8mp
    @lucasdaniel-bu8mp 7 часов назад +6

    Watu hamlali jamani Aya naombeni ata like moja

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv 3 часа назад +1

    Chiko utakipata mzee mkoloni uwezi kumshinda unapeana ongo ya ujinga tasha chukua bibi yako asikutishe ati akue baba ako c uamusi ni mamako😊

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 3 часа назад +1

    Uyo sania hanavyobinua midomo na hiro wigi jamani khaaaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @Lucy-t7n
    @Lucy-t7n 6 часов назад +4

    Ila baba zatiti na hicho kizee mumejua kunichekesha kimeumana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @ummycheedy2809
      @ummycheedy2809 3 часа назад

      😂😂😂😂😂 alaf kakitikisa kwa mkono mmoja

    • @Lucy-t7n
      @Lucy-t7n 2 часа назад

      @@ummycheedy2809 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kabisa kametikishwa mpaka kakatii kakasema kamepewa hongo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @AgnesMiyi
    @AgnesMiyi 3 часа назад +1

    Jamani Leo nimechelewa nipeni pole hata like Moja tu

  • @medytrueboytz8450
    @medytrueboytz8450 5 часов назад +1

    😂😂😂 mwenye kiti tuhalawe hano konda watubige oshe namwenye kiti😅😅kumbe kodumba kubigigwa😂😂

  • @Amena-z5r
    @Amena-z5r 6 часов назад +1

    Mpumbavu mwenzangu meno yaisha mbele kwa kula sukari 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @user-Ambani
    @user-Ambani 4 часа назад +2

    Candy aty *Mungu wangu*😂🤣😂🤣😂🤣😂🎉🎉🎉🎉

  • @DainessOlange
    @DainessOlange 5 часов назад +2

    Jasmine mpya meno jamn😂😂usishke shke mdomo sas tufaid meno🤸

  • @Farthun
    @Farthun 7 часов назад +2

    Chiko kweli akili zimesafiri 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 sasa ndo unazidi kuliamsha kweli unapandisha tasha kufanya kitu chenye hakutaka afikie huko wacha tuone kama utawezana

  • @SALIMAMALIKAGHAJOK
    @SALIMAMALIKAGHAJOK 6 часов назад +2

    Mwenye kito good nikupeke mau yako mmmwa❤

  • @PauloAfizai
    @PauloAfizai 6 часов назад +1

    Chiko anataka azaoe maji yamwangika kwapesa 😅😅😅. Kiramba vp kamavile umetupinga changa ramacho mfumbavu mwezio wamwzo kwabla yakutekwa nasasa nitofauti 😂😂😂😂😂 imekaji

  • @PatrickKimaro-do3lj
    @PatrickKimaro-do3lj 6 часов назад +2

    sema kwa upande wa hao wapumbavu bora ingeonekana jasmin mwenyewe ingeonekana ndo kafa baada ya kutekwa na kilamba ameamua kuoa kwanamke mwingine ila huyu hawezi vaa viatu vya jasmin hata robo

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r 6 часов назад +1

    Chiko ishafulia huko kwenda mwana kwenda na pesa ushapigwa na mwenyekiti 😂😂😂

  • @Popo-p3b
    @Popo-p3b 2 часа назад

    Huyu mkaza ng'onde anifurahisha kweli😂😂😂

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 6 часов назад +1

    Chiko usiniharibie siku ntakutukana kulanina msenge mmoja wee

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf Час назад +1

    Hta kama Niko upande wa chiko 😂😂😂 jamani nimeshindwa kumtetea kimeumana poor Tasha😂,,sasa hii miogo mpumbafu mwenzetu anasema ndio Gani hiyo otherwise nawashukuru kwa kazi nzuri ❤

  • @HabibaAthumanMwaboko-vq4qk
    @HabibaAthumanMwaboko-vq4qk Час назад

    Baba zatiti umenifurahisha kwaulicho kifanya 🎉🎉🎉🎉

  • @BertinaCatitiAdamu
    @BertinaCatitiAdamu 3 часа назад +2

    Chiko anakera

  • @SesiliaTemu
    @SesiliaTemu 6 часов назад +1

    Chikoo 😂😂😂😂nenda ukale uliko peleka mboga 😂😂

  • @marietharosemary
    @marietharosemary 3 часа назад

    Wao naomba mungu mipango ya chiko yote isifanikiwe hata punje

  • @EUNICEBENDERA
    @EUNICEBENDERA 5 часов назад +1

    Acha shobo chiko kwanza ko maa muache zatiti wetu❤❤

  • @amanimbichitriplea3726
    @amanimbichitriplea3726 7 часов назад +10

    Zatiti fans like please

  • @ZubedaBita
    @ZubedaBita 6 часов назад +1

    Chiko Hela ishaliwa Rudi 2 nyumbn

  • @MELVINBBY
    @MELVINBBY 6 часов назад +1

    Sania ukijifungua kitoto cha ajabu kirukuu ndo jna alolipenda BFF wko uniambie nije kulea pia mm nko na matatizo hope kirukuu atanisaidia matatizo yangu😂😂😂😂

  • @SandrineDupfiki
    @SandrineDupfiki 7 часов назад +8

    Kendi nakwambiaje mbavu zangu utazilipa 😂eti mama kiliku😆😆😆

  • @TitoMichael-np2kh
    @TitoMichael-np2kh 7 часов назад +2

    Baba zatiti jaman amuoneeebhuruma Mzee Wawatu 😭😭😭😭

    • @Amal-iq1wg
      @Amal-iq1wg 6 часов назад

      Kwaniniii anakulaa hongooo hakunaa kitu kama hiyoo😂😂😂😂😂😂😂naa gongweee kugongwaaa

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 2 часа назад

    Wanaoamini zatiti hatokubar na babayke tujuane hapa na Zatiti naamin anamimba ya Tasha tujuane hapa Sasa 🎉🎉🎉🎉❤

  • @RahimaMct-ik8mr
    @RahimaMct-ik8mr 3 часа назад

    Mzee kalonga tuhakawe 😂😂😂 nenden pumbav Babu kwer

  • @Asiamohammed1317
    @Asiamohammed1317 4 часа назад

    Kendy umepigaje hapo, mama kirikuuu 😅😅😅😅🎉🎉nimekupenda leo ❤❤❤

  • @DeboraReuben
    @DeboraReuben 6 часов назад +2

    Jamani huyu Jasmin mpya hafai hata kidogo hajui muondoen anaboa

    • @bennamush4616
      @bennamush4616 4 часа назад

      Sasa unakaje kaigize wewe bas binti wa watu anajitahidi kufit lakini hamridhiki haya kaigize wewe

  • @sayunimnguruta98
    @sayunimnguruta98 4 часа назад

    Zatiti hongera sana Tasha ni mume sahihi na mwenye hekima ❤❤❤ Hongera sana Chiko huna chako hapo

  • @ShombeShombe-wg6gu
    @ShombeShombe-wg6gu 5 часов назад

    Dogo yupo sawa sana namkubali sana ila huyu mke wakilamba wamchongo au vip

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 6 часов назад +2

    Chiko msenge sana

  • @AminaAli-u1h
    @AminaAli-u1h 5 часов назад

    Jamani Chiko ajua kuigiza hongera Sana kazi safi😂

  • @buru1235
    @buru1235 6 часов назад +2

    Weeeeseeee Kai n Zuu Kuna Nini tane😮

  • @AntyBy
    @AntyBy 4 часа назад +1

    Wapi likes za mimba ya zatiti ❤❤❤

  • @swahibumaliki1547
    @swahibumaliki1547 4 часа назад +1

    Jamani chiko kimemlamba kitu bado candy nae

  • @NAOMIMSNAOMI-s3m
    @NAOMIMSNAOMI-s3m Час назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂 yani candy nimupumbafu kweli, eti maman Kirikou😂😂😂😂😂😂, ushashindikana candy

  • @kombojuma312
    @kombojuma312 6 часов назад +1

    Huyu binding mbona huyubint siye kabisa katika hiifilamu mbona mnatuboesha au tuna tatizo

  • @QweenNickson
    @QweenNickson 6 часов назад +2

    Jamani kauli ya Chiko kwa Tasha cijaielewa mwenye atanielewesha jamani? "Utajisikiaje siku nakuwa baba wako?" Ina maanisha Nini?

    • @CarolineBosibori-r7r
      @CarolineBosibori-r7r 6 часов назад

      Anataka kutembea na mamake Tasha

    • @QweenNickson
      @QweenNickson 6 часов назад

      Uwiiiii🙆‍♀️🙆‍♀️​@@CarolineBosibori-r7r