Professor Jay feat Alikiba - CALLING (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 10 окт 2024
- Music Video by Professor Jay featuring Alikiba performing "CALLING" (Official Release 2024), The music Video was shot in Dar es Salaam, Directed by Traveller (Kwetu Studios) & Audio Produced by Bin Laden of Tongwe Records.
Connect with Professor Jay on Social Media:
Instagram: / professorjaytz
Facebook: / professorjaytz
Twitter:x.com/Professo...
Connect with Alikiba on Social Media:
Instagram: / officialalikiba
Facebook: / officialalikiba
Twitter:x.com/official...
Snapchat: / officialalikiba
TikTok: / officialalikiba
(c) 2024 Professor Jay.All Rights Reserved.
#Professorjay #Alikiba #Calling
Huu wimbo umenikuta katika dibwi la mawazo kuna mwanamke amenizalia mtoto nilikuwa na date nae bila mpango wa kuishi nae afu nikuwa na mawazo ya kumuacha nimuachie mtoto alee mwenyewe mimi niendelee namaisha yangu wala nisimuoee but huu ujumbe watoto mnao wa tesa ndio watakao wasaidia "daaaaaaaaaaah sasa nakubali kumtunza mtoto angu na huyo msichana namuoaa "thanks professional j
Fanya hivyo haraka brother
Mtihani sana wanawake tunaptya magumu sana hapo utakuta unawaza watu watakuchukuliaje 😢lea mtoto hana kosa
Kabisaa bro take care of Ur kid
Bila huu wimbo ungetelekeza siyo hujitambui.
Kiba ameitendeya haki
Mungu wetu sote ubarikiwe sana profesa
Ukitaka kuamini Mungu yupo.
Basi muuone Professor Jay❤❤
Kweli
Ni kweli kabisa
Sauti imerudi mungu ni mkubwa,kila la heri kutoka Kenya🇰🇪
Ni wimbo hakuutoaga
Mungu ni mwema ❤❤
Wimbo wa muda kabla ya matatzo
Oooh mungu amponye@@richhaule9264
nyimbo mzur lkn korasi mbovu ali kiba kaharibu
Tanzania haitakuja kupata muimbaji mwingine kama Alikiba🙌🙌🙌
Kwa maoni yako tuu..
Mbona anaimba kawaida tu sema wew unamwelewa 😂😂😂king
🧭🤳 anaimba kawaida Sana, ni sauti ina'garisha coros....😂😂😂😂😂
Msumbij Mozambique 🇲🇿
PEMBA Cariaco
Team king kiba 💕💕💕💕🇰🇪🇰🇪🥰 professor jay alirudi km Moto 🔥🔥🔥🔥🔥
Kaka, hata sauti Ile yako imerudi sasa, nafurahi sana. Mungu ni mkubwa amekuponya kaka Jay❤
Sayti yake haiko hvo Kwa sasa ndg yangu hyo nyimbo waliimba jay akiwa mzma kabisa kiba ndo akawa bize sana
King wa hip hop na king wa bongo fleva🔥🔥🔥
Walio rudia zaidi ya ma1 kama mim gongeni like
Wakenya tupo Big love prof ❤❤❤✌👌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👍
Awwww❤❤❤bonge la nyimbooo maua yenu King kiba na Professar Jay💐💐💐
Kama si crown media singejua kuna banger limetolewa🎉
Much Love Kwenu Malegend Likes Hapa Team King 👑 X Prof Jay❤🎉🎉❤️💯🇨🇩🇨🇩🇳🇬🇳🇬🇹🇿🇰🇪🔥🔥🔥
Oh my goodness, Ali Kiba can really sing, this is the best Ali Kiba collaboration of all songs, I don't care what anybody says, message is deep, the song grabs your emotions. I have never been an Ali fan, but this song changes everything, i'm the number one fan, I heard this song sometime back, I've been looking for it, God bless Prof. J, God bless Ali, 2 kings. Love from Kenya
Kwa mara ya pili kumuona Alikiba akisupport wasanii wenzake waliotoka ktk changamoto za kiafya baada ya Ommy Dimpoz now ni Prof J
Acha umbea bhana, Ommy Dimpoz alipotoka kwenye changamoto ya kuumwa amefanya kazi ipi na Alikiba?
Na hapo hapo kwenye shida ndipo wasanii wengi sana huwa wana kaa mabli na msanii mwenzao mwenye changamoto
Huwa anasaidia San ila vingine huwa hasemi nasioni Kam ni busara kusema kila kitu
@@dicksongeorge7745inaweza isiwe kutoa kazi huenda ni pesa au msaada mwingine nenda kaangalie uzinduzi wa crown FM ommy alisem nn kuhusu alikiba
@@dicksongeorge7745ulimlipia ww pesa za matibabu?? Ndg usiwe na hasira tafuta ukweli kwanza❤
Kabla haijatoka video ni ngoma ambayo nimeisikiliza Zaid ya mara 1000
Kilicho zungumzwa kama hujapitia ww bhc kuna mwingine anakipitia au kaisha pitia kikubwa tuishi kwa kupendana na kujua mungu yupo na hawa tunao watesa ndio watatusaidia kesho tukiwa hatuna nguvu
Ni ngoma imekutana na mastory teller wazuri so imepangwa ikapangika
One of my favorite song .
Asante Sana crown FM kwa kumuheshimisha prop j kiukweli prop j ni msanii anaetunga tungo zinazoishi
Crown imeingiaje kwenye nyimbo ya pro,pro kitambo kabla ya crown
Profesa jay kitambo sana b4 crown fm b4 Ali Kiba hatujafahamu man
@@PendoUrassa-xm7rualikuepo ila crown kumuheshimisha na kumpa maua yake wamefanya la Mana ndo Mana hata akawexa release video leo
Huu wimbo umeniguza mno yaani mafunzo yaliyomo ndani Kenya 🇰🇪 imekubali mabingwa Prof na Kiba team Bomba zaidi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ladha ya ngoma imenikumbusha mbali enzi za zali la mentali na cindelela, ngoma kama hizi basata anakula bata tu.
Alikiba is single handedly resurrecting all legends that Wasafi k!lled. Kenyans in Canada 🇨🇦 🇰🇪 love you
Ww unatafuta kiki tu. Wasafi killed who and how 😢😢.
Kweli YUPO MUNGU PEKEE MSEMAJI WA MWISHO 🙏
Chozi limenitoka is too emotional 😭😭
Leo ni siku yako profesor tunakupenda sana mziki wako ni elimu sana kwetu mungu akulinde sana na hii nyimbo lazma iende trending ❤❤❤ #heshima ya bongo fleva. 🇹🇿MUNGU ATULINDIE AMANI NA UPENDO
Sauti imerudi kama zamani, Stay Health Prof J
Iyo sauti kabla hajaumwa, alivyoumwa iyo audio ikaachiwa alivyopona ndowakaachia hii video
Hongera Alikiba kwakumsapoti professor jey wewe kweli una utu na utulivu Hongera professor jey kwa kurudi kwenye game na kasi ya 5G tunakusaport sisi watanzania By play boy
Prof Jay🔥🔥🔥🔥🔥🔥
PROF JAY tena
NIONE LIKE NYING HAPA 👍🔥🔥🔥🔥
Much love from Kenya. Bongo flava is now coming back we missed it. May God heal you Prof Jay bro❤🙏
Professor jay is professional ❤
Alikiba& professor légend song ❤️🔥🇨🇩
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mungu ni mwema kukuona tena professor jay
Ww ni msanii namba moja duniani sijawahi kujutia hilo hujawahi kuniangusha
Mungu ni mwema sana ,profesa Jay hatimaye umepona.Tuna furaha sana.
Alikiba best song in word 😎😎😎😎😎😎😎
Bonge la ngoma king kiba na makitaba ya taifa❤❤❤❤❤
Old is gold Mungu amuinue zaidi profesor J
Doh Prof ww ni kifaru haswa, umeipambania afya yako na umerudi, thumbs up for Profesa hakuna kukata tamaa
Hakika mungu ni mwema, much respect
Big up Professor Jay with kingkiba and nice video . 🇰🇲 🇰🇲 Comoros Islands
Mungu mwema kwel jy ameridi tena ❤❤❤❤❤❤
Ujumbe mzuri sana
Thee Heavy Weight MC is back! 💗🇰🇪
To God be the glory always 🥲❤️🙏
Hiyo kweli kabisa. Imenipata hiyo. Leo nakuwa naitwa baba
Mfalme profeser jay wa hip hop Akiwa na mfalme mwenzake Ally kiba
Walee wa Kenya Tujuane Apaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Dude langu hili
Aisee naisi nimeimbiwa mim
From kenya ❤
Everyday nlikua nawaza y king haijawai fanya ngoma na prof, Inshall the 2 king meet. Vocalist bora na mwana hip up wa mda wote meet, God bless you proff.
Big up kwa @Bin laden hii beat waah iko hot Sana ....nice to Alikiba ameifanyia haki chorus
Mungu mkubwa bonge la ngomaa na ujumbe mzito
Show as the father.......I really like your songs Prof Jay........May the Lord keep you Father
Nmefurahi kusikia sauti ya jizzle imerudi.my greatest of all time
To much love, ngoma imefika kwenye key point
The King in the Jungle!
Mikumi Stand up❤❤❤
Hit song 🔥🔥🔥💯💯❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🥰
King kiba feat prof jay
Alikiba, wewe una kitu chako special mbinguni kaka❤
Legend ft 🤴
Kumbe ile clip ya mwijaku, ALI KIBA, na yule jamaa wa Kenya ilikua inamaanisha kuna bonge la ngoma linakuja❤ Big up brth's kwa ujumbe mzuri
Hii ni zawad tosha living legends 🎉🎉
Great work kings!! We need more of these for our generation, tired of love songs.. 🙌🏾
nice one big up Professor Jay
Wimbo una hisia nzito sana, ujumbe umefika wa kusikia na asikie
BIG COLLABORATION 🎉
King is back
Professor and king, best song ever
Mziki wako nidarasa kila nikiusikia professor jay 🎉🎉
Daaah big up
Ndo maisha nloishi mm enzi hzo thanks professor jay kwa uhalisia wa life la wanyonge God bless
So sorry mamy
Mungu n wetu sote
Welcome back legend of bongo flava professor jay ft Ali kiba big up sana
Wenyewe miziki yao wamekutyana AISEEE mbna n shida🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu yu nasi grol to god
This is now the professor jay we use to know back then
Saf tunakusubir jimbon uchukue kura zako
Nice song prof jize
Am always supporting good music 🎶 this song is 🔥🔥🔥🙏🙏
Ilaa allykiba duuh bonge la koras aseeeeeeee nyimboo tam
Mtoto wa mwenzio ni wako na kiongozi wa Tanzania badae🤴
Kweli jameni tuji kaze tuta fika kama mbuyu uli anza kama mchicha tuwa ombe yatima Wana pitia mengi 😢🙏
PROFESSOR 🎉
Jeez again❤
Dedication kwa Yatima .....waliolelewa na Mama kambo na familia za baadhi ya ndugu ......bila kuwasahau Malkia wa Nguvu kabisa MaBEKI TATU . Viva Beki Tatuz .....mnafanya kazi kubwa sana
Nukuri nakunze iyindirimbo Kandi ninziza cyane yego arigihe ibibazo biba byinshi cyane ariko Imana niyo nkuru nkunda umuziki wa jay Kandi turishimye cyane hano mu RWANDA🇷🇼 Mukarere Ka RUSIZI turabakunda cyanepeñ
I am very happy to hear at least the real voice of Professor Jay that I heard more than 20 years ago. It was painful to hear you in a song 462. I had no hope that your voice would return to this reality. God is good.🙏
Mda mwingine wasanii wenye hekima huwa wana ujumbe wa kutufikishia na tukaelewa madhui ila mitaa imelaaniwa na p didy ila mungu ni mkuu kuona profesa ana recovery polepole
❤❤
Mzee wa matulinga mungu akuweke
Dua sanaaa legend karudi ten🥰🥰
Uungwana katu hauwezi kukutoka kaka. Tangu day umekuwa mchanaji wa maisha ya watu... Vile yanayotokea katika jamii zetu. Kazi nzuri mno!
Mistarii imenyooka
Good ❤❤
Champion
Ngona Kali xana jamani tumpe maua yake pls
Ngoma ni Kali mnooo
Yamotooooooo
God has done magic... professor is back
Salaaaam kwa Mama wa kamboo Big insipiration🎉🎉
Kazi mzuri kiba,,kaka mondi acha uongo wew mdangaji mwenzangu tu😂😂😂,mimi maraya Jesus titanic sijui wew ni maraya nani?chibu😅😅
Professor Jay hajawai niangusha
Acheni mungu aitwe Mungu tu jamani daaaah!!! Big up bro tulikumiss zaid ya sana.. come back ya kibabe sana🤜🤛 hujawahi kukosea mwamba🙌
Always on top
The song has everything