MISSION IMPOSSIBLE [51]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024

Комментарии • 551

  • @Jojohkatoto
    @Jojohkatoto 2 часа назад +41

    Nqhis mister manyonga ndio baba ake ngwengwe na ndio kaka ake chado🙌

  • @annaki318
    @annaki318 Час назад +21

    Ila Leo kumechangamka hukuuu😂😂
    Mpaka taarabu jamaniiii
    Langu jichoooo mieeeee Ila bonge😂😂😂

    • @RukiaManga-z1t
      @RukiaManga-z1t Час назад

      Hadi raha na tako linatingishwa😂😂😂

  • @LaurentLukome
    @LaurentLukome 2 часа назад +18

    Nakushukuru sana eeew Mungu kwa kuniwezesha kuwa wa kwanza toka nianze kuitazama hii movie ,pia wabariki wote wanaofuatilia series hii duniani kote❤

  • @BucumiErick
    @BucumiErick 43 минуты назад +7

    Chado mstaa nimeshukulu sana ukiwa uhai lakini kunawenye wanagu chongea kwa najuma chunga cheusi na bonge

  • @Titusintrumental
    @Titusintrumental 2 часа назад +17

    Anyone who is reading this, May God fulfill your dreams 🙏🙏

  • @Stamboy83
    @Stamboy83 30 минут назад +1

    Chado mpuuzi kweli mmenifanya niwafuatilie salute kwenu good job 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @rachelhassanary4091
    @rachelhassanary4091 2 часа назад +25

    Mmmh,nikajua nimewahi jamani kumbe mshafika watu like zang bc🎉🎉

  • @TimeAly-z1l
    @TimeAly-z1l 12 минут назад

    Tena mwambie asa asitake kukuharibia penz lako kwa kidemu jau wetu tunapenda sana mapenz yenu yazidi kushamir❤❤❤

  • @NancyAtandi
    @NancyAtandi Час назад +21

    Jamani Mimi ndo sijawai pata like ata moja

  • @HabibaHamad-p9p
    @HabibaHamad-p9p 2 часа назад +18

    Naombeni na mm laiki leo

  • @YeriKahindi
    @YeriKahindi 34 минуты назад +3

    Kwani cheusi na binge wanajisahaulisha walivyofanya na kitendo....

  • @JohnWarioba-j2z
    @JohnWarioba-j2z 39 минут назад +4

    😂😂 cheusi na bonge wamenishinda tabia😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @YusraMshomary
    @YusraMshomary 53 минуты назад +5

    Team strong mpo wapi naombeni like zangu ❤❤❤🎉😂😂

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 2 часа назад +10

    Chado NI actor mwingine na ni fundi. Tunamshukuru mkojani kwa kumlea mpk sasa chado anajitegemea na crew yake.

  • @DamianMumba-h2u
    @DamianMumba-h2u 39 минут назад +2

    Leo nimehawahii❤❤all the way from Zambia

  • @AnnahGowele
    @AnnahGowele Час назад +14

    Chado me ctaki movie iishe mpaka umpe mimba kidemu juu😘😘😘😘😘

  • @StephenSalum-c2p
    @StephenSalum-c2p 2 часа назад +24

    Wakwanza leo jamani naombeni like zangu

  • @YusraSiyaleo-yk2fz
    @YusraSiyaleo-yk2fz 2 часа назад +13

    Kuwaachanisha chado na kidem jau hiyo ni mission impossible

  • @NowmeRzk
    @NowmeRzk 2 часа назад +7

    Weeeeeew😂nimekimbiiia nusu nijikwaae mje mlike

  • @ChimamyErnest-pf7ij
    @ChimamyErnest-pf7ij 2 часа назад +17

    Wa kwanz leo❤❤

  • @VanessaGikundiro
    @VanessaGikundiro Час назад +3

    ❤yaani épisode ya leo imenifurahisha kwa kwl❤❤❤❤❤❤😅😅😮😂

  • @YeriKahindi
    @YeriKahindi 24 минуты назад

    Leo mission impossible 51 inaraha yake bwana yani nlikuwa nmenuna lkn vicheko😂😂😂😂 na nderemo zimtandaa kote, big up saana kwa wahusika wote❤❤❤❤❤❤

  • @MayasaMohamed-m8m
    @MayasaMohamed-m8m 4 минуты назад

    Cheusi umeua kwa hiyo nyimbo yenu.mwanamke hulka

  • @RashidMwegelo
    @RashidMwegelo 2 часа назад +6

    Me nampenda sanaaa najmah anafanya kazi nzuri Sanaa yupo serious

  • @ZainoMussa-ct4qo
    @ZainoMussa-ct4qo 2 часа назад +5

    Leo wakwanza from Mozambique nnaomna like zang

  • @FaithMose-h3m
    @FaithMose-h3m 36 минут назад

    ndo I like it ......najma ndo wapekeee❤️❤️🥰

  • @AdejaAhmad-uq4wj
    @AdejaAhmad-uq4wj 2 часа назад +2

    Wapi kelele kwa team chado master❤❤🎉🎉

  • @WilliamJoel-kz2jv
    @WilliamJoel-kz2jv 2 часа назад +8

    Mapema sana nimewah leo🎉🎉🎉🎉

  • @TitusWekesa-do7hb
    @TitusWekesa-do7hb 2 часа назад +4

    From Kenya 🇰🇪 Aki nyinyi ni vigogo .... Waaaah kaende kaende

  • @happydominic2145
    @happydominic2145 38 минут назад +5

    😂😂😂 yaan cheusi na bknge hamkomi tuu

  • @PetroElisha
    @PetroElisha 24 минуты назад +1

    Watu mko bize kuomba like kuliko kuangalia uzuri wa kazii ya Masta kitengo😂😂😂

  • @oman-l8r7k
    @oman-l8r7k 2 часа назад +22

    Anayesom coment hii Mungu ambariki amfungulie kil lililogumu Amen❤

  • @yusrakagunga3066
    @yusrakagunga3066 2 часа назад +5

    Hatimae leo nmewahi dkk ya 3 tuh aomben like zang 😊

  • @AhmadyAbdalla
    @AhmadyAbdalla 2 часа назад +6

    Team_Chado-Master❤❤❤🎉🎉
    Kitengooo❤❤one more kichwa njichoo❤

  • @HassanAbdullahBenge
    @HassanAbdullahBenge Час назад +3

    Kitengo umefeli kwakwel mwanamke hapigwi ivo sija wahi kuku eleza hivi ila unajua kaz yako good job.

  • @FatmaJumawazir
    @FatmaJumawazir 2 часа назад +5

    Cheusi nakupenda sana😂😂😂😂🙌🙌🙌

  • @munalove-x4u
    @munalove-x4u 2 часа назад +12

    Jaman leo nipen like kila siku amnipi

  • @hamisiomary4147
    @hamisiomary4147 2 часа назад +60

    Wakwaza nipeni like zangu

  • @Maymuna-wc8lz
    @Maymuna-wc8lz 2 минуты назад

    Mr Manyonga Pengine Kawatuma Hawa Majambazi wakampore mzee wa Misumar

  • @ShadidahHairun
    @ShadidahHairun 2 часа назад +9

    wanaum mngekuw n uamnif kam w chado ingkuw raha sana❤❤

  • @PrinceAmos-y8t
    @PrinceAmos-y8t 2 часа назад +8

    Nakubali sana master movie chado😂😊😊😂😊😂😊😂😊🎉😊🎉😊🎉😊😢😊😊😢😊🎉😊😊😊😊

  • @saheemally1411
    @saheemally1411 36 минут назад +1

    Ila cheusiii umetisha sana mbea asiekuwa na kumbukumbu

  • @Deloveally-o8g
    @Deloveally-o8g 2 часа назад +4

    Waooooo leo nam nimewai😂😂weeuweeeee💃💃💃💃💃

  • @YusraSiyaleo-yk2fz
    @YusraSiyaleo-yk2fz 2 часа назад +3

    Nawapenda sana wana team ya chado master🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EkronMasilu-d3j
    @EkronMasilu-d3j 2 часа назад +3

    Mwambien Bonge anaonyeshaje Jicho hajui kama kuna Pidid et anakatika kabsaaaa looh😂😂

  • @SabrinaBon-pu8st
    @SabrinaBon-pu8st 45 минут назад +3

    Wamwisho jamani😅😢 nipeni like zangu

  • @MourineSteven
    @MourineSteven 14 минут назад

    Leo kunavi2 adim kwnye episode hii,,, ni tam mwanzo mwisho 🫶🫶🫶🫶

  • @Frankjr-y4k
    @Frankjr-y4k 9 минут назад

    Mungu nilinde na huyo anae soma comment

  • @FilidonLaurent
    @FilidonLaurent 2 часа назад +3

    Oya umetisha sana

  • @Lightness-j2m
    @Lightness-j2m 2 часа назад +11

    Watu sijui mnalala humu mbn Kila nikijaribu kuwahi nashindwa

  • @Rizikinassoro
    @Rizikinassoro Час назад +3

    Kaz zuri sana chado na kukubali

  • @qingsaloz8467
    @qingsaloz8467 4 минуты назад

    Ety sehemu ya kubonyeza unatoboa😂😅😂😅😂😢🇰🇪🇶🇦🇮🇷🇰🇪🇮🇷🇶🇦🇰🇪🇮🇷🇶🇦🇰🇪

  • @rapstar6693
    @rapstar6693 49 минут назад +2

    Mayunga atolewe

  • @DeeDan-sj1mr
    @DeeDan-sj1mr 2 часа назад +10

    TUNAAZA NA MUNGU KWA KUSEMA AHSANTE MWENYEZ MUNGU KWA KUONA SIKU NYINGINE NAOMBA UWE NASI POPOTE TUENDAPO JINA LAKO LITUKUZWE INSHAALLAH 🙏🙏
    Niwatakie j.5 tulivu kwenu woteeee mashabiki wenzangu wa CHADO MASTER 🙏🙏

  • @AndrewNyamwese
    @AndrewNyamwese 29 минут назад

    Mzee wa msumari vp Tena ,kazi kugombza mdgo wako kulinda hela haaaaa

  • @jovanileonard1135
    @jovanileonard1135 2 часа назад +3

    Leo wa kwanza mapema sana

  • @bakarisaad6612
    @bakarisaad6612 2 часа назад +4

    Waaaooo ongeza dk zifike ata 30 kaka chado

  • @AmaniMbyarwanabagabo
    @AmaniMbyarwanabagabo 2 часа назад +6

    Wakwanza tena from Rwanda we love you guys

  • @ZafalanMapondela
    @ZafalanMapondela 2 часа назад +5

    kwasababu ulilalia kifua ndomana umechelewa nawapenda sana❤

    • @RizikiZiki
      @RizikiZiki 2 часа назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @MourineSteven
    @MourineSteven 42 минуты назад +1

    😂😂😂😂 et sehem ya kubonyeza ye ametoboa nmeipenda io

  • @FatmahKihwelo
    @FatmahKihwelo 2 часа назад +2

    Mmejikuta wote mmekua wa kwanza Ila chado mungu anakuona unavyotufanya tunakupenda bure yaaaan baba ngwe ngwe

  • @VictoriaNkole
    @VictoriaNkole Час назад +1

    Amakwel leo bonge amejua kunifuraish, hy next pleaz

  • @halimakanga-u1j
    @halimakanga-u1j 20 минут назад

    Jamen kitengo hahaa anajitahidi kuwa mwaminifu

  • @NancyElianz
    @NancyElianz 46 минут назад +1

    Tangu mwanzo mpaka saiv nipo na nyie sambamba😂😂❤❤❤

  • @JumaMzongi
    @JumaMzongi 2 часа назад +3

    ❤mjomba dady nakukubaliii ile kinomah

  • @FunnyConchShell-cf8gv
    @FunnyConchShell-cf8gv 28 минут назад +1

    Manyonga anachokifanya sio kizuri. amempa mzgo Dadi apeleke mahali alafu anawatuma watu wakampore..dah

    • @FunnyConchShell-cf8gv
      @FunnyConchShell-cf8gv 10 минут назад

      Apo hiyo Kali saaana yaan dqha😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Safinamfinanga
    @Safinamfinanga Час назад +3

    Mh jamani nimekua wa mwisho leo ila kumechangamka sana Leo tarabu kama yote😊

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r 6 минут назад

    Jmn..leo humu kwenye hii movie kumechangamka hatali hadi raha mwendlezo 52

  • @NadraSaid-k4g
    @NadraSaid-k4g 2 часа назад +3

    First jaman mnipe likes kma zote nimewahiii 🎉

  • @MourineSteven
    @MourineSteven 37 минут назад

    M kidem jau akiwa na chado ndo naona muv inaenda vzr,,,, Kuna mda najisahau nahisi kam kwl ni wapenz

  • @Dadadinah
    @Dadadinah 59 минут назад +1

    Achan na kitngo Jojo mhuni utamueza only njm ndio anayaez

  • @VanessaKalinga
    @VanessaKalinga 6 минут назад

    Mim ndo najma dem wa chado like zang jmn😊

  • @MassoudMtumba
    @MassoudMtumba 35 минут назад

    Mond mrithi wa dida wasaf amepatikana ww mtafute mama ngwengwe tu

  • @ElishaSamson-y8u
    @ElishaSamson-y8u 2 часа назад +3

    ❤❤ anajitahidi sana kitengo japo kuwa kacheresha kutoa

  • @MamuRash-c8n
    @MamuRash-c8n 18 минут назад

    Sema chado awamu hii umecheleweaha

  • @MarKarim-km2yh
    @MarKarim-km2yh 15 минут назад

    😂😂😂😂😂😂 cheusi haraka zote za komfosi bonge kumbe mkapeleke umbea 😂😂😂😂😂😂

  • @BebiChico
    @BebiChico 2 часа назад +3

    Mpenzi wangu awe kama chado jamani awe na hofu ya kunipoteza😂😂

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Час назад +1

    Thatha waomba like mna nn,thi mtulie thuuu😂😂😂🎉🎉🎉

  • @garirehema767
    @garirehema767 2 часа назад +3

    Maskini jojo nakuonea huruma..kama unataka kaka basi fuata masharti sawa mama...

  • @NajmaRamadhani-k3g
    @NajmaRamadhani-k3g 54 минуты назад +1

    Hahahahaa mwanamke hulka and langu jicho😂😂😂😂

  • @Patrick-h3m
    @Patrick-h3m 2 часа назад +4

    Wakwanza kutoka Zambia 🎉

  • @Krmogking_b1uh
    @Krmogking_b1uh 2 часа назад +3

    Hii kali sana kaka🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @BebiChico
    @BebiChico 2 часа назад +2

    I love chadoo kwa huo mbaooo kwa video queen 😀😀😀

  • @ZitoAntonioNhanga-ms6uj
    @ZitoAntonioNhanga-ms6uj 2 часа назад +2

    Jamani munawai sana na mm Leo naoba like

  • @OnesmusCharo-dd2si
    @OnesmusCharo-dd2si Час назад

    Chkua maua yko kaka napenda kaz yko 🎉🎉🎉🎉 chado unaumiza mwenzio

  • @judithnyenga7327
    @judithnyenga7327 24 минуты назад

    ❤❤❤Kazi nzuri

  • @BeatriceKawiche
    @BeatriceKawiche 2 часа назад +1

    Wa mwish mm like zang

  • @هبهالثيوبيه
    @هبهالثيوبيه Час назад +1

    Kaz nzur 🎉🎉🎉🎉

  • @IRENEMENGI
    @IRENEMENGI Час назад +1

    Huyu video Queen ukute chado mdogo wake kweli

  • @MissFreeda
    @MissFreeda Час назад +3

    Jmni cheusi mmbea jmni mmmmh ten mmbea wa kujizima data. Kitengo kwl umtaki Jojo jmni😂😂

  • @husnakinza-q2l
    @husnakinza-q2l 2 часа назад +3

    umbea ukiwa kwenye dam hata kama utapigwa ukasutwa ila kama upo kwenye dam huwezi kuacha ndio maana cheusi na bonge hawakomi yote yalio wakuta wanaendelea dah

  • @FernandoFranciscoCherene
    @FernandoFranciscoCherene 2 часа назад +1

    Love from mozambique ❤❤ wapi like zangu

  • @FatumaMalanga-l9n
    @FatumaMalanga-l9n 21 минуту назад

    Hongera sana chado

  • @TaKEoffJospin
    @TaKEoffJospin 2 часа назад +3

    Nimekuwa wa kwz Naomba like zenu

  • @Sharon-r9e
    @Sharon-r9e 24 минуты назад

    Jaman dady huo mchez manyonga ndo kaupanga 😢😢😢

  • @HappyCabin-zt8fs
    @HappyCabin-zt8fs 2 часа назад +3

    Wa kwanza leo

  • @JoyPeter-de1st
    @JoyPeter-de1st 58 минут назад +1

    Hii ya leo kali sana😅😅😅

  • @HabibaHamad-p9p
    @HabibaHamad-p9p Час назад

    We master kweli chado🎉

  • @AbdulmuhsinHassan
    @AbdulmuhsinHassan 2 часа назад +2

    Oyaaaa mwanang cheusi unyama

  • @rapstar6693
    @rapstar6693 48 минут назад +1

    Ana uharibu mchezo