TUNAAZA NA MUNGU KWA KUSEMA AHSANTE MWENYEZ MUNGU KWA KUONA SIKU NYINGINE NAOMBA UWE NASI POPOTE TUENDAPO JINA LAKO LITUKUZWE INSHAALLAH 🙏🙏 Niwatakie j.5 tulivu kwenu woteeee mashabiki wenzangu wa CHADO MASTER 🙏🙏
umbea ukiwa kwenye dam hata kama utapigwa ukasutwa ila kama upo kwenye dam huwezi kuacha ndio maana cheusi na bonge hawakomi yote yalio wakuta wanaendelea dah
Nqhis mister manyonga ndio baba ake ngwengwe na ndio kaka ake chado🙌
Ndo na me nilitaka kusema ivyoivyo htr
Itakuwa ndoivo tu
wew ina wezekana jamn 😢😅
Na mm nilihisi hivyoohivyooo
Labda kw3l
Ila Leo kumechangamka hukuuu😂😂
Mpaka taarabu jamaniiii
Langu jichoooo mieeeee Ila bonge😂😂😂
Hadi raha na tako linatingishwa😂😂😂
Nakushukuru sana eeew Mungu kwa kuniwezesha kuwa wa kwanza toka nianze kuitazama hii movie ,pia wabariki wote wanaofuatilia series hii duniani kote❤
Chado mstaa nimeshukulu sana ukiwa uhai lakini kunawenye wanagu chongea kwa najuma chunga cheusi na bonge
Anyone who is reading this, May God fulfill your dreams 🙏🙏
Chado mpuuzi kweli mmenifanya niwafuatilie salute kwenu good job 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mmmh,nikajua nimewahi jamani kumbe mshafika watu like zang bc🎉🎉
Tena mwambie asa asitake kukuharibia penz lako kwa kidemu jau wetu tunapenda sana mapenz yenu yazidi kushamir❤❤❤
Jamani Mimi ndo sijawai pata like ata moja
Naombeni na mm laiki leo
Kwani cheusi na binge wanajisahaulisha walivyofanya na kitendo....
😂😂 cheusi na bonge wamenishinda tabia😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Team strong mpo wapi naombeni like zangu ❤❤❤🎉😂😂
Chado NI actor mwingine na ni fundi. Tunamshukuru mkojani kwa kumlea mpk sasa chado anajitegemea na crew yake.
Leo nimehawahii❤❤all the way from Zambia
Chado me ctaki movie iishe mpaka umpe mimba kidemu juu😘😘😘😘😘
Lahaula😂
Heeeeeh Chineke mweeeeee 😂😂😂😂😂
@@AnnahGowele kumekucha!!!🤣🤣🤣🤣
Wakwanza leo jamani naombeni like zangu
Kuwaachanisha chado na kidem jau hiyo ni mission impossible
Weeeeeew😂nimekimbiiia nusu nijikwaae mje mlike
Wa kwanz leo❤❤
❤yaani épisode ya leo imenifurahisha kwa kwl❤❤❤❤❤❤😅😅😮😂
Leo mission impossible 51 inaraha yake bwana yani nlikuwa nmenuna lkn vicheko😂😂😂😂 na nderemo zimtandaa kote, big up saana kwa wahusika wote❤❤❤❤❤❤
Cheusi umeua kwa hiyo nyimbo yenu.mwanamke hulka
Me nampenda sanaaa najmah anafanya kazi nzuri Sanaa yupo serious
Leo wakwanza from Mozambique nnaomna like zang
ndo I like it ......najma ndo wapekeee❤️❤️🥰
Wapi kelele kwa team chado master❤❤🎉🎉
Mapema sana nimewah leo🎉🎉🎉🎉
From Kenya 🇰🇪 Aki nyinyi ni vigogo .... Waaaah kaende kaende
😂😂😂 yaan cheusi na bknge hamkomi tuu
Watu mko bize kuomba like kuliko kuangalia uzuri wa kazii ya Masta kitengo😂😂😂
Anayesom coment hii Mungu ambariki amfungulie kil lililogumu Amen❤
amen
Amiina
Aamin yaarab
Aminn
Hatimae leo nmewahi dkk ya 3 tuh aomben like zang 😊
Team_Chado-Master❤❤❤🎉🎉
Kitengooo❤❤one more kichwa njichoo❤
Kitengo umefeli kwakwel mwanamke hapigwi ivo sija wahi kuku eleza hivi ila unajua kaz yako good job.
Cheusi nakupenda sana😂😂😂😂🙌🙌🙌
Jaman leo nipen like kila siku amnipi
Wakwaza nipeni like zangu
😂😂😂yani cheusi
Mr Manyonga Pengine Kawatuma Hawa Majambazi wakampore mzee wa Misumar
wanaum mngekuw n uamnif kam w chado ingkuw raha sana❤❤
Tupo mbn
Tafta muhun utaenjoy kupendwa
Nakubali sana master movie chado😂😊😊😂😊😂😊😂😊🎉😊🎉😊🎉😊😢😊😊😢😊🎉😊😊😊😊
Ila cheusiii umetisha sana mbea asiekuwa na kumbukumbu
Waooooo leo nam nimewai😂😂weeuweeeee💃💃💃💃💃
Nawapenda sana wana team ya chado master🎉🎉🎉🎉🎉
Mwambien Bonge anaonyeshaje Jicho hajui kama kuna Pidid et anakatika kabsaaaa looh😂😂
Wamwisho jamani😅😢 nipeni like zangu
Leo kunavi2 adim kwnye episode hii,,, ni tam mwanzo mwisho 🫶🫶🫶🫶
Mungu nilinde na huyo anae soma comment
Oya umetisha sana
Watu sijui mnalala humu mbn Kila nikijaribu kuwahi nashindwa
😂😂😂
😮😂😢wanawah kinoma😊😮😂
Kaz zuri sana chado na kukubali
Ety sehemu ya kubonyeza unatoboa😂😅😂😅😂😢🇰🇪🇶🇦🇮🇷🇰🇪🇮🇷🇶🇦🇰🇪🇮🇷🇶🇦🇰🇪
Mayunga atolewe
TUNAAZA NA MUNGU KWA KUSEMA AHSANTE MWENYEZ MUNGU KWA KUONA SIKU NYINGINE NAOMBA UWE NASI POPOTE TUENDAPO JINA LAKO LITUKUZWE INSHAALLAH 🙏🙏
Niwatakie j.5 tulivu kwenu woteeee mashabiki wenzangu wa CHADO MASTER 🙏🙏
Amen 🙏🙌
Amen
Ameen inshallah
Mzee wa msumari vp Tena ,kazi kugombza mdgo wako kulinda hela haaaaa
Leo wa kwanza mapema sana
Waaaooo ongeza dk zifike ata 30 kaka chado
Wakwanza tena from Rwanda we love you guys
Love you more
kwasababu ulilalia kifua ndomana umechelewa nawapenda sana❤
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 et sehem ya kubonyeza ye ametoboa nmeipenda io
Mmejikuta wote mmekua wa kwanza Ila chado mungu anakuona unavyotufanya tunakupenda bure yaaaan baba ngwe ngwe
Amakwel leo bonge amejua kunifuraish, hy next pleaz
Jamen kitengo hahaa anajitahidi kuwa mwaminifu
Tangu mwanzo mpaka saiv nipo na nyie sambamba😂😂❤❤❤
❤mjomba dady nakukubaliii ile kinomah
Manyonga anachokifanya sio kizuri. amempa mzgo Dadi apeleke mahali alafu anawatuma watu wakampore..dah
Apo hiyo Kali saaana yaan dqha😂😂😂😂😂😂😂😂
Mh jamani nimekua wa mwisho leo ila kumechangamka sana Leo tarabu kama yote😊
Jmn..leo humu kwenye hii movie kumechangamka hatali hadi raha mwendlezo 52
First jaman mnipe likes kma zote nimewahiii 🎉
M kidem jau akiwa na chado ndo naona muv inaenda vzr,,,, Kuna mda najisahau nahisi kam kwl ni wapenz
Achan na kitngo Jojo mhuni utamueza only njm ndio anayaez
Mim ndo najma dem wa chado like zang jmn😊
Mond mrithi wa dida wasaf amepatikana ww mtafute mama ngwengwe tu
❤❤ anajitahidi sana kitengo japo kuwa kacheresha kutoa
Sema chado awamu hii umecheleweaha
😂😂😂😂😂😂 cheusi haraka zote za komfosi bonge kumbe mkapeleke umbea 😂😂😂😂😂😂
Mpenzi wangu awe kama chado jamani awe na hofu ya kunipoteza😂😂
Thatha waomba like mna nn,thi mtulie thuuu😂😂😂🎉🎉🎉
Maskini jojo nakuonea huruma..kama unataka kaka basi fuata masharti sawa mama...
Hahahahaa mwanamke hulka and langu jicho😂😂😂😂
Wakwanza kutoka Zambia 🎉
Hii kali sana kaka🎉🎉🎉🎉🎉🎉
I love chadoo kwa huo mbaooo kwa video queen 😀😀😀
Jamani munawai sana na mm Leo naoba like
Chkua maua yko kaka napenda kaz yko 🎉🎉🎉🎉 chado unaumiza mwenzio
❤❤❤Kazi nzuri
Wa mwish mm like zang
Kaz nzur 🎉🎉🎉🎉
Huyu video Queen ukute chado mdogo wake kweli
Jmni cheusi mmbea jmni mmmmh ten mmbea wa kujizima data. Kitengo kwl umtaki Jojo jmni😂😂
😂😂😂😂😂😂cheusi kiboko
umbea ukiwa kwenye dam hata kama utapigwa ukasutwa ila kama upo kwenye dam huwezi kuacha ndio maana cheusi na bonge hawakomi yote yalio wakuta wanaendelea dah
Love from mozambique ❤❤ wapi like zangu
Hongera sana chado
Nimekuwa wa kwz Naomba like zenu
Jaman dady huo mchez manyonga ndo kaupanga 😢😢😢
Wa kwanza leo
Hii ya leo kali sana😅😅😅
We master kweli chado🎉
Oyaaaa mwanang cheusi unyama
Ana uharibu mchezo