MY MOTHER EP 27 | Sad Story 💔💔

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024

Комментарии • 88

  • @jovithakawimbe7472
    @jovithakawimbe7472 15 часов назад +4

    Mashoga ni wa baya sana tena ni wakuwanao makini sana daaah 🥲

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 15 часов назад +5

    Jaman leo nimewahi ❤❤❤❤❤❤❤ Busat tv

  • @FaithMandila-un5bs
    @FaithMandila-un5bs 15 часов назад +11

    Wakwanza Kenya,,wapi likes❤

  • @riziki8406
    @riziki8406 13 часов назад +3

    Nilikuwa nataka kumtaja zatiti yuko wapi jamani nakajitokeze mashallah zatiti ataishi maisha marefu duniani

  • @gracenyevu8082
    @gracenyevu8082 15 часов назад +7

    Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @SilaMwalongo
    @SilaMwalongo 15 часов назад +8

    Sania ni mnafiki sana ana mnafikia rafiki yake

    • @JudithOboya
      @JudithOboya 10 часов назад

      Sania kanajua sana sana kuact

  • @MourineIndasi
    @MourineIndasi 12 часов назад +3

    Nilikuwa nimeboeka sana kutomwona mama kichaa na bintiye Zatiti. Sasa kipindi motomoto hivi pindi kumwona Zatiti.

  • @JudithOboya
    @JudithOboya 11 часов назад +2

    Yaani Sania nakupenda bure,unajua ku act sana love you more ❤

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 15 часов назад +2

    Hakik Busat tv mnatupa mawazo kiakili na kutupanua mawazo jinsi ya kuish na Kila mtu shukran San busati TV tunainjoi San 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @JaneJane-h2i
    @JaneJane-h2i 12 часов назад +3

    😂😂😂😂 sijui Kai ataongea mini mbele ya zatit

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 15 часов назад +2

    Wao my mother jaman mko wapi kumenog huk busati

  • @saudamwakunemwa3856
    @saudamwakunemwa3856 15 часов назад +6

    Eeh leo 11 jmn , mnipe na mm bx izo

  • @DominPallangyo
    @DominPallangyo 10 часов назад +2

    Sakina u're so beautiful in nature ❤❤🎉 ❤

  • @MauwaSuleiman
    @MauwaSuleiman 15 часов назад +6

    Mm watatu apa Zanzibar❤

  • @WardaKambi
    @WardaKambi 15 часов назад +5

    😂😂 mmefanya malekebisho mana mchana ilikua saut inajirudia asanten Kwa kujari watazamaj wenu

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 14 часов назад +5

    Umbea wote uo sania kumbe ulikua unataka uombe kusuka mnafki ww ckupend

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi 12 часов назад +2

    Kazi nzuri sana❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @NyagiciroGrace
    @NyagiciroGrace 15 часов назад +5

    Wakwanza Kenya wapi likes

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 15 часов назад +3

    Umemtetea asipigwe anajibu nyodo jaman watu huwa Wan mamb

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 13 часов назад +2

    Sania mumbea sanaa punguza kamdomo tena kanafiki 😅😅😅

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 15 часов назад +2

    Jaman wanao kereka na rafiki kam Sania tujuane hapo chini

  • @reginamrosso3538
    @reginamrosso3538 15 часов назад +3

    leo mumenipa furaha kutoa kabla sijakaa kinyonge

    • @bintijumachongoa892
      @bintijumachongoa892 14 часов назад

      Wwnunakaa kinyonge na my mother ss wa house girl tufanyeje tukirushiwa ep mbili kwa sku azitutoshii😊 house gal imeingia damuni jamani

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 14 часов назад +2

    Xaxa mtu unadangaje kama auna ata pesa yakupanga chumba uko nikudanga au tuitaje kitaalamu

  • @officialmamutz26
    @officialmamutz26 15 часов назад +5

    Mm leo wakwanza

  • @AminaSada-h4p
    @AminaSada-h4p 14 часов назад +1

    Much love from Kenya

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 15 часов назад +1

    Jaman Sania una balaa wew kiherehere wew mdom kam kicheche 😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 4 часа назад +1

    Ndo Sania uyo mukisikiya mungine nifeki original ni Sania yani we unaona raha kugombeza wenziyo 😂

  • @Mabuga72
    @Mabuga72 15 часов назад +7

    Wakwanza

  • @Lydia-oy1cz
    @Lydia-oy1cz 13 часов назад +2

    Afathali kesho itakua poa mlikua mnaboesha na kina sania make Lele tu

  • @SdFft-j5g
    @SdFft-j5g 13 часов назад +2

    Sania cha umbea,hivyo atamtafuta yolanda kwa udi na uvumba 🤨🤨

  • @SalinaSherono
    @SalinaSherono 15 часов назад +1

    Leo ni mekuwa no 8 aki tausi mungu akusaidie pole 😢😢

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 4 часа назад +1

    Munapo fanya masterring inafaa muwe makini xna...muwe munasikiza pia kabla kuachilia KAZI.....juu sauti zilikua zapandana na kujirudia....hua ya boooo...😢

  • @RehemaMohamed-m8r
    @RehemaMohamed-m8r 15 часов назад +3

    Wew ❤❤❤

  • @adrianocarloschicuava4016
    @adrianocarloschicuava4016 14 часов назад +5

    Sania nafiki sana🎉🎉🎉🎉

  • @azizabakarimsologoni.49
    @azizabakarimsologoni.49 15 часов назад +5

  • @Jenniffer-m9k
    @Jenniffer-m9k 12 часов назад +1

    jaman sania mnafiki mkubwa 😂mgonganish mkubwa

  • @Mabuga72
    @Mabuga72 15 часов назад +3

    Au kuna mwingne

  • @ErastoMsemwa
    @ErastoMsemwa 15 часов назад +2

    Nimecherewa dah!

  • @herveiratunga3656
    @herveiratunga3656 15 часов назад +2

    Mouvie imeanza vizuli lakini inapo elekeya hayieleweke ata ni story gani

  • @ruthmongi6077
    @ruthmongi6077 13 часов назад +1

    Jamani namchukia sonia ni mchonganishi jaman

  • @JohorahassanHadi
    @JohorahassanHadi 14 часов назад +1

    Jamani sania mbona uko hivo kugonbanisha watu

  • @RehemaMwakisyala-k9u
    @RehemaMwakisyala-k9u 14 часов назад +2

    Sasa mbona hii story mumeibadilisha kuwa ya umbea tu ndo ulotawala hakuna kitu Cha maaana tunaitaj uhalisia wa story

  • @ZubedaShaban-fb2dl
    @ZubedaShaban-fb2dl 13 часов назад

    Hi move ilianza vizuri Ila inapo elekea sielewi

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 14 часов назад +2

    Saniaa kilaa pahali kivurugee yeye tuu ilaa ngonde kakukomeshaa🫄🫄🫄🫄🫄🫃🫃😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SharonChepngeno-d7e
    @SharonChepngeno-d7e 15 часов назад

    Hey hey kai na zatiti❤❤❤kimeumana 😂sauti imekuwa sawa pia

  • @EmmilianaWekesa
    @EmmilianaWekesa 15 часов назад +1

    Mbona mnarudia jamani😢

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 15 часов назад +1

    Nice movie ❤❤❤

  • @Asiamohammed1317
    @Asiamohammed1317 14 часов назад +1

    Kwenye scene ya sania punguzeni dakika maana anafundisha tu umbea

  • @SikuJuma
    @SikuJuma 14 часов назад +1

    Kamekwida eti nakuonea uruma

  • @JacintaMaloba
    @JacintaMaloba 15 часов назад

    Sania n rafiki mnafiki sana 😢. Pia mmbea kweli kweli 🤣🤣

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 14 часов назад +1

    Sania mnafik sakina uhsajuwa mabaya wako rafiki mnafik huyo😢wifi yake zatiti kavurugw 😂😂leo tausi umenifurahisha wasikuzoee hao❤❤❤❤ila huyu mume wa tausi naogopa asije kumletea tausi maradhi jamni hii movie yafunza😢🎉

  • @كامليا-ر7ز
    @كامليا-ر7ز 14 часов назад +3

    Jmn wana busati mbn hatuoni side ya kina zatiti n mama kichaa. Na pia upande wa batuli

  • @IlhamShaban-vq3kx
    @IlhamShaban-vq3kx 15 часов назад

    Jaman nimewah leo naomben like zenu🎉❤

  • @MwanaidiMakata
    @MwanaidiMakata 15 часов назад

    Hongereni team my mother

  • @moonGirl-t1i
    @moonGirl-t1i 15 часов назад

    Shania na ombeah yako gky ndio mana unoni😂😂😂

  • @AgnesMiyi
    @AgnesMiyi 15 часов назад

    Sijachelewa jamani🎉🎉🎉🎉

  • @MonalisaNdimbo-f8m
    @MonalisaNdimbo-f8m 14 часов назад

    Iv kwan sania kateguka kiuno mbna anajibinua mpka anapoteza ladha ya kashepu kake jmn

    • @Juliety-v3o
      @Juliety-v3o 14 часов назад

      Nicheke tu coz nilijua ni mm tu naona hv

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 15 часов назад

    Hakik rahm na Sania hawa n balaa jaman vivuruge Hawa jaman 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fatumamkuzi8051
    @fatumamkuzi8051 15 часов назад

    Kumbe umbea yote huna pesa za kusuka sania ww😂😂

  • @annstamciawanzila2652
    @annstamciawanzila2652 14 часов назад

    Vipi kwani zatiti na mamake kendi wapo wapi movie hainogi Bila wao

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 15 часов назад

    Yani Sania anatafut umbea ili akamtafuta yoland tunao amin Sania akamtafuta yoland na a mwambie ukweli jaman Sania acha unafki wew hadi rafiki yako sakin a umemchonganisha kwa rahm Sania w n chachu kam ndimu

  • @JaneMhango-yl7xo
    @JaneMhango-yl7xo 15 часов назад

    Sania sania ww vp mbana mgombanishi ww mtoto hebu tulia bhana mm kutoka 🇿🇲

  • @AishaRashed-m5o
    @AishaRashed-m5o 13 часов назад

    Kai macho kondoooo😂😂😂😂😂

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 15 часов назад

    Si eti kla mtu anajua rahma ana mdomo...yani ni unao mdomo tena na ulimi mchafu mrefu😂

  • @AliceCharo-wz9oz
    @AliceCharo-wz9oz 15 часов назад

    Mumeamua kuirudia sio😂😂

  • @genz1stqualityfilmproducti140
    @genz1stqualityfilmproducti140 15 часов назад

    Sania huyo anaaharibu kila.kona

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov 14 часов назад

    Hakika imenoga san

  • @jamilamwarabu3890
    @jamilamwarabu3890 14 часов назад

    Jmn Yolanda yuko wap

  • @ErastoMsemwa
    @ErastoMsemwa 15 часов назад

    Nimewahi leo

  • @DomitilaEmily
    @DomitilaEmily 15 часов назад

    Zatiti yu wapi jamaan

  • @SundiMalekwa
    @SundiMalekwa 15 часов назад

    Sania mke wa gond kwa unafik

  • @priscahmahenzo642
    @priscahmahenzo642 14 часов назад

    😢😢😢sᴀɴɪᴀ ᴍɴғᴋɪ😮😮😮😢

  • @JudithMuhingi
    @JudithMuhingi 14 часов назад

    Sania nakuchukia

  • @saumuchai9620
    @saumuchai9620 14 часов назад

    ❤🎉

  • @pendomwaringa7597
    @pendomwaringa7597 15 часов назад

    SANIA MUNFIKI WW😢😢😢

  • @SalomeYohana-vf7cv
    @SalomeYohana-vf7cv Час назад

    Zatiti wapi jamni😢😢

  • @nyamvulafatuma5383
    @nyamvulafatuma5383 12 часов назад

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @officialmamutz26
    @officialmamutz26 15 часов назад

    ❤❤❤

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 15 часов назад

    🎉🎉🎉

  • @TinnerJnr-y3c
    @TinnerJnr-y3c 15 часов назад +1

    Wakwanza

  • @KuvunaGonda
    @KuvunaGonda 14 часов назад