Munapo fanya masterring inafaa muwe makini xna...muwe munasikiza pia kabla kuachilia KAZI.....juu sauti zilikua zapandana na kujirudia....hua ya boooo...😢
Yani Sania anatafut umbea ili akamtafuta yoland tunao amin Sania akamtafuta yoland na a mwambie ukweli jaman Sania acha unafki wew hadi rafiki yako sakin a umemchonganisha kwa rahm Sania w n chachu kam ndimu
Mashoga ni wa baya sana tena ni wakuwanao makini sana daaah 🥲
Jaman leo nimewahi ❤❤❤❤❤❤❤ Busat tv
❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Wakwanza Kenya,,wapi likes❤
Nilikuwa nataka kumtaja zatiti yuko wapi jamani nakajitokeze mashallah zatiti ataishi maisha marefu duniani
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪
Sania ni mnafiki sana ana mnafikia rafiki yake
Sania kanajua sana sana kuact
Nilikuwa nimeboeka sana kutomwona mama kichaa na bintiye Zatiti. Sasa kipindi motomoto hivi pindi kumwona Zatiti.
Yaani Sania nakupenda bure,unajua ku act sana love you more ❤
Hakik Busat tv mnatupa mawazo kiakili na kutupanua mawazo jinsi ya kuish na Kila mtu shukran San busati TV tunainjoi San 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂 sijui Kai ataongea mini mbele ya zatit
Wao my mother jaman mko wapi kumenog huk busati
Eeh leo 11 jmn , mnipe na mm bx izo
Sakina u're so beautiful in nature ❤❤🎉 ❤
Mm watatu apa Zanzibar❤
😂😂 mmefanya malekebisho mana mchana ilikua saut inajirudia asanten Kwa kujari watazamaj wenu
Umbea wote uo sania kumbe ulikua unataka uombe kusuka mnafki ww ckupend
Kazi nzuri sana❤❤❤❤❤❤❤❤
Wakwanza Kenya wapi likes
Umemtetea asipigwe anajibu nyodo jaman watu huwa Wan mamb
Sania mumbea sanaa punguza kamdomo tena kanafiki 😅😅😅
Jaman wanao kereka na rafiki kam Sania tujuane hapo chini
leo mumenipa furaha kutoa kabla sijakaa kinyonge
Wwnunakaa kinyonge na my mother ss wa house girl tufanyeje tukirushiwa ep mbili kwa sku azitutoshii😊 house gal imeingia damuni jamani
Xaxa mtu unadangaje kama auna ata pesa yakupanga chumba uko nikudanga au tuitaje kitaalamu
Mm leo wakwanza
Much love from Kenya
Jaman Sania una balaa wew kiherehere wew mdom kam kicheche 😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏
Ndo Sania uyo mukisikiya mungine nifeki original ni Sania yani we unaona raha kugombeza wenziyo 😂
Wakwanza
Afathali kesho itakua poa mlikua mnaboesha na kina sania make Lele tu
Sania cha umbea,hivyo atamtafuta yolanda kwa udi na uvumba 🤨🤨
Leo ni mekuwa no 8 aki tausi mungu akusaidie pole 😢😢
Munapo fanya masterring inafaa muwe makini xna...muwe munasikiza pia kabla kuachilia KAZI.....juu sauti zilikua zapandana na kujirudia....hua ya boooo...😢
Wew ❤❤❤
Sania nafiki sana🎉🎉🎉🎉
❤
jaman sania mnafiki mkubwa 😂mgonganish mkubwa
Au kuna mwingne
Nimecherewa dah!
Mouvie imeanza vizuli lakini inapo elekeya hayieleweke ata ni story gani
Jamani namchukia sonia ni mchonganishi jaman
Jamani sania mbona uko hivo kugonbanisha watu
Sasa mbona hii story mumeibadilisha kuwa ya umbea tu ndo ulotawala hakuna kitu Cha maaana tunaitaj uhalisia wa story
Hi move ilianza vizuri Ila inapo elekea sielewi
Saniaa kilaa pahali kivurugee yeye tuu ilaa ngonde kakukomeshaa🫄🫄🫄🫄🫄🫃🫃😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
We aca tuu hapo sasa kwa ngonde😂😂😂
We aca tuu hapo sasa kwa ngonde😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Hey hey kai na zatiti❤❤❤kimeumana 😂sauti imekuwa sawa pia
Mbona mnarudia jamani😢
Nice movie ❤❤❤
Kwenye scene ya sania punguzeni dakika maana anafundisha tu umbea
Kamekwida eti nakuonea uruma
Sania n rafiki mnafiki sana 😢. Pia mmbea kweli kweli 🤣🤣
Sania mnafik sakina uhsajuwa mabaya wako rafiki mnafik huyo😢wifi yake zatiti kavurugw 😂😂leo tausi umenifurahisha wasikuzoee hao❤❤❤❤ila huyu mume wa tausi naogopa asije kumletea tausi maradhi jamni hii movie yafunza😢🎉
Jmn wana busati mbn hatuoni side ya kina zatiti n mama kichaa. Na pia upande wa batuli
Jaman nimewah leo naomben like zenu🎉❤
Hongereni team my mother
Shania na ombeah yako gky ndio mana unoni😂😂😂
Sijachelewa jamani🎉🎉🎉🎉
Iv kwan sania kateguka kiuno mbna anajibinua mpka anapoteza ladha ya kashepu kake jmn
Nicheke tu coz nilijua ni mm tu naona hv
Hakik rahm na Sania hawa n balaa jaman vivuruge Hawa jaman 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe umbea yote huna pesa za kusuka sania ww😂😂
Vipi kwani zatiti na mamake kendi wapo wapi movie hainogi Bila wao
Yani Sania anatafut umbea ili akamtafuta yoland tunao amin Sania akamtafuta yoland na a mwambie ukweli jaman Sania acha unafki wew hadi rafiki yako sakin a umemchonganisha kwa rahm Sania w n chachu kam ndimu
Sania sania ww vp mbana mgombanishi ww mtoto hebu tulia bhana mm kutoka 🇿🇲
Kai macho kondoooo😂😂😂😂😂
Si eti kla mtu anajua rahma ana mdomo...yani ni unao mdomo tena na ulimi mchafu mrefu😂
Mumeamua kuirudia sio😂😂
Sania huyo anaaharibu kila.kona
Hakika imenoga san
Jmn Yolanda yuko wap
Nimewahi leo
Zatiti yu wapi jamaan
Sania mke wa gond kwa unafik
😢😢😢sᴀɴɪᴀ ᴍɴғᴋɪ😮😮😮😢
Sania nakuchukia
❤🎉
SANIA MUNFIKI WW😢😢😢
Zatiti wapi jamni😢😢
🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤
🎉🎉🎉
Wakwanza
❤