MY DESTINY EP 13 | love story 💕 || House Boy

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • #housegirl #busatitv #bongomovies
  • КиноКино

Комментарии • 27

  • @tamtamtz
    @tamtamtz  2 часа назад +4

    Jiunge kwenye Group ketu la WhatsApp ili upate updates zetu 👇👇
    chat.whatsapp.com/LarXmEWWxvL47oLvzdPrOS

  • @mussasinje
    @mussasinje Час назад +12

    Hii move hua na pata like moja2 nami leo nataka like 10 tu😂😂😂

    • @SabrahNibuka
      @SabrahNibuka 42 минуты назад

      Mm huwa sipewi kabisaa
      Lakini mm nawapaaa 😂❤

    • @RizikiZiki
      @RizikiZiki 2 минуты назад

      Haya furai zimezidi ulizoomba 😅

  • @ZeinabOmar-b8p
    @ZeinabOmar-b8p Час назад +5

    Mimi hamjawai kunipa like jamni nihurumieni😅😢

  • @mariawawuda
    @mariawawuda Час назад +4

    Jamani achenibkukawia kutoa movie inayofuatia

  • @QweenNickson
    @QweenNickson 2 часа назад +3

    Zingatieni basi muda wa kuitoa?
    Kama mnavyofanya kwenye house girl 🥰🥰🥰

  • @BettyMasika-u9l
    @BettyMasika-u9l 39 минут назад +1

    Kusema ukweli nawapenda sana ,,zuuu wewe ni actor mzuri sana nakupenda bure hii pia ifike season three

  • @AminaNgumba
    @AminaNgumba 33 минуты назад +1

    Humo ndani mulivy n mazingir y nje y hiy nyumb ni tofaut

  • @RAITHATABDALLAHNASSOR
    @RAITHATABDALLAHNASSOR Час назад +3

    Zuu humu mjamzito au naona umenona😂

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 47 минут назад

      Kitambi tu,alafu mbn chake kdgo...mm kazini walisubir nijifungue hadi wakatubu😂

  • @FaithMandila-un5bs
    @FaithMandila-un5bs 2 часа назад +4

    Wakwanza Kenya ❤❤

  • @NeemaEli-wl1dz
    @NeemaEli-wl1dz 2 часа назад +2

    Kazinizuri sana tupopamoja

  • @Betty-t9q
    @Betty-t9q 2 часа назад +4

    Leo nimewahi pliz nipe like

  • @AishaNibizi
    @AishaNibizi 2 часа назад +2

    Wakwanza leo kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @christerignasy3589
    @christerignasy3589 2 часа назад +2

    Hatareee dakika ya tatu ndn ya nyumba

  • @Aminah-r4s
    @Aminah-r4s 54 минуты назад +1

    ❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv Час назад +3

    Sania na keina mko na shida nani anakubali tuwaombee wabadilika wawe kaa zuu

  • @joyceMwaikusa
    @joyceMwaikusa 2 часа назад +1

    Mmetisha

  • @evansahmed-gu8dh
    @evansahmed-gu8dh 46 минут назад

    kam una mkubali lami gong like hapa❤

  • @coolboymicky3651
    @coolboymicky3651 Час назад +1

    ❤❤❤

  • @veronicabea7895
    @veronicabea7895 2 часа назад +2

    Sania uyu ni shida

  • @FatmaBakar-hl4ib
    @FatmaBakar-hl4ib 2 часа назад +1

  • @coolboymicky3651
    @coolboymicky3651 Час назад +1

    Bao kibao sania bhn

  • @ErenaDaudi
    @ErenaDaudi 2 часа назад +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @SaudaAmos-x5q
    @SaudaAmos-x5q Час назад +1

    💛💗💚💚💝💝♥🙏🙏🙏