Mr Tasha umefaulu mtihani WA babamkwe meenzako halisema hali ulimbo na hafanani na kilimo congratulations 🎉🎉🎉zatiti kipenzi i hongera sana Kwa hukarimu wako ucheshi na kila mtu ❤❤❤❤
Rahma nimekupenda bure mie, yni wew nimwanamke mwenye akili unae jua maumivu ya mwanamke mwenzio 😘😘😘, nimefurahia ilo jamani alafu mnapendeza saan Rahma na Masozi Mungu alinde Ndoa yenu iwe ya Kheri na Baraka Mungu adumishe Ndoa yenu izidi kua ya Furaha milele na milele. 🎉🎉🎉🎉🎉
Nimesoma mingi kutoka house girl mzee mkoloni umenifurahisha sana pia biblia inasema mtoto wa kiume afundishwe na baba na wakike pia namama kwaivo ongera sana
Chiko kweli hakua mume mwema kwa zatiti angeacha tuu waendlee kupendana Tasha n zatiti ❤❤❤afu nmependa maelewano ya rahma na masozi bas masozi umepewa nafasi sije ukaleta uchawi kwa familia watu kua wapole❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 hongereni nmependa sana hii jamani
Jamani Rahma na Masozi na Bozen Kaboga wametufundisha maisha ya mahusiano ni kusamehana kabisaaa, jamani house girl iendeleee jamani ni nzuri Sana yaani wasanii wote wa move hii ni wako vizuri kwenye kuigiza, Sana hongereni Kwa mafunzo mazuri tunawapenda Sana, big up unyama Sana
Rahma kwakweli uko na roho ya huruma uko na ulimi lakini wajali mtu dadaa ongera sana mpambanie mwenzako huo ndo uisilam watu wanavyo ishi dunia mamaa leo yeye kesho wewe madam kiukweli nimekubali Rahma uko na huruma 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
Kama ingelikua sio uigizaji ni katika hali ya uhalisia basi dadangu rahma pepo ya Allah ungelikua umeipata dadangu na endapo katika maisha yako litajitokeza jambo kama hili usijikoseshe fursa ya kuipata pepo ya Allah
Habar wana busat tv jaman toka nianze kufatilia hii move sjawah kucoment ila kipande cha 25 na 26 kwenye season3 imenibid nicoment kusema kweli hivi vipande viwili nimejifunza sana kitu Asantee sana na MUNGU awape nguvu muendelee kutuelemisha❤❤😊
Rahma hongera sana kw maamz yko mazuri❤❤❤, like za Rahma pls
Hadi nimempenda rahma
Amekaa km mtu 😂😂😂😂
Hongera sana rahma
Rahma anafata nyayo za rihama anaye kubaliana na hili tujuane
Rayma kumbe anahuruma 😂😂😂 naombeni like anae amini mtu mwenye mdomo ndio sahihi
Atakuwa hazai
Mbona hajashika mimba siku zote😅
Mwanamke mzuri ila kuzaa ahaaa😂
Yani toka nianze kuangalia hii move sijawahi kucomment ila hongera sana rahma uko na roho nzuri❤❤❤
😍😍
Candy jamn kumbuka ni mama yako mzazi huyo acha roho mbaya hivo😢😢😢😢 Mr Tasha honger sana maua yako🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamani Tasha Ana busara nyingi wapi like zake❤❤❤ ashindwi na lolote leo tumenjoy mfululizo wa movie ya house girl
Jamani leo humu nimefurahishwa na Tasha na Rahma. Hongera zenu. Pokeeni maua yenu.🌹🌹🌹🌹💖
Team zatiti tuko na tabasamu kama lote tujuane ❤🎉
Angalau rahma unaroho ya utu
Sana amejikaza sana Rahma mashaallaah
Siku nimeona rahman ni mzuri ni leo ❤❤❤❤
Wanaoamin rahma atabadilika na kuwa adui juu ya mimba tujuane😂😂
Hongera bozeni kaboga kwakumkubali masozi na rahama pia umecheza hongera🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nimekupenda mnoo Rahim ❤❤❤❤❤❤❤ unaroho ya utu
Rahma nilikua nakuchukia Lakini Kwa Sasa nmeanza kukupenda
Jaman rahma nimekupa hongera sana .
Nikama dawa aliyopewa rahma imeisha nguvu kma unakubaliana na mm gonga like tukisonga😂😂
Tunao tazama tukiwa kitandani 😂😂😂piteni na likes tukisonga
Yaani umepita mule mule
Mulemule😂😂😂
@@saumJuma-q3e 🤣😂🤣
😂😂😂😂hata hamna usingizi jmn
Wasoma koment upoooo kama upo tia like apa😂😂
Mkilala kubukeni kuomba dua usiku kuna mambo mengi 😂
❤
😂😂😂
Shukran sana
Com certeza
Amina
Nyie ndoa tuna ama hatuna Kwa sania na mganga na masozi na chisa weuweeee Aya ngombeni like plz kama pia nyinyi mwataka ndoa
😂😂😂
Woooow mumeamua leo bus at basi daily ivi mutupee mbili si mtuzoeshe kwasiku part two then muache mutaniudhi sana🎉🎉🎉❤❤❤❤
Mr Tasha umefaulu mtihani WA babamkwe meenzako halisema hali ulimbo na hafanani na kilimo congratulations 🎉🎉🎉zatiti kipenzi i hongera sana Kwa hukarimu wako ucheshi na kila mtu ❤❤❤❤
Duuuh chiko ulijiharibia kabisa kuanzia kwa wazaz wa zatiti maskin huwez mpata zatiti hata kwa dawa wanaoamini hivyo like
Rahma nimekupenda bure mie, yni wew nimwanamke mwenye akili unae jua maumivu ya mwanamke mwenzio 😘😘😘, nimefurahia ilo jamani alafu mnapendeza saan Rahma na Masozi Mungu alinde Ndoa yenu iwe ya Kheri na Baraka Mungu adumishe Ndoa yenu izidi kua ya Furaha milele na milele. 🎉🎉🎉🎉🎉
Amina❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Naomba Rahma uwe umeamua kutoka moyoni ila kama ni mtego...tutakuona,hongera lkn🎉🎉🎉
Nimesoma mingi kutoka house girl mzee mkoloni umenifurahisha sana pia biblia inasema mtoto wa kiume afundishwe na baba na wakike pia namama kwaivo ongera sana
Rahma leo umeupiga mwingi🎉🎉❤
Chiko kweli hakua mume mwema kwa zatiti angeacha tuu waendlee kupendana Tasha n zatiti ❤❤❤afu nmependa maelewano ya rahma na masozi bas masozi umepewa nafasi sije ukaleta uchawi kwa familia watu kua wapole❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 hongereni nmependa sana hii jamani
Hii scene ya Candy inahitaji marekebisho. Mtoto huwa mkorofi kwa mzazi ila sio kwa kiwango hicho
Mmmm kabisa umeongea yeye tu ana ifanya hii movie isiwe nzuri ana chemsa hapo
Aaaasaaanteeee wap Like za mganga ngonde kimamula
Safi sana. Mr Tasha kutuwakilisha hata sisi wanaume wa mjini baadhi tunawezaaa!💪💪👍
Masozi sina imani naye kwarahima. Ana marafiki wabaya.
Candy, Chiko na Sania. Nyie mnaendana tabia zenu. Sania mke wa mganga. Tunasubiri ktt cha kurithi kilinge cha Ngonde.😂😂😂😂😂
Huyu chiko jaman😂
Wa kwanza😊nipewe like
Zatit hongera san umzid kua mrembo sana ulipta mume bora sannna hatimaye amani imerudi🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
Five kwa Rahma kamecheza poa.
Saniya mtaka vyote hukosa vyote pambana nayo hiyo mimba ya mganga sasa uzae mrithi wa ngonde 😂😂😂😂
😂😂😂😂sania atazaa msukule 😂😂 wa ngonde kimamula
Hii house girl inamafundisho makubwa sana hongereni wote mlioshiliki ebu tuwape like jamanii ili waendelee kutuletea mafunzo zaidi
Kwel namm nimeipenda
Nakwambia dear iko na mafunzo sana mungu awabariki wote
Sanaaaa yniiii nakuunga mkono
Sanaa hongera zao na mwenyezi Mungu azidi kumfanyia wepesi ishaallah
Hii house girl imetisha saana jaman like zenu kiukweli imebamba saana Rahma ongera saana kwa kuwa na huruma pia moyo wa upendo
Zatiti nakupa hongera sana kwakufunga ndoa na tasha mi nimefurshia ndoa yenu hatakama ni ya mkeka ❤️❤️❤️❤️❤️
Keina ulimkosea kibendu yni umeharibu kabisa hii movi mpaka sinaraha
Ila Tasha ni mume bora jamani ,wanaume wote wangekuw ivi duniani tungetamba sisi wanawake😊😊😊
Umeona
Umeona eeh tungetambaa kwa tumbo
Raha tupu
Baba zatiti yeye anakumbuka ubaya wachiko 😂😂😂lamma leo nimekupenda sana kumsamee mama sozi hongela.sana busati🎉🎉🎉
Rahma kumbe una hekima hongera Sasa masozi usije ukamgeuka mwenzako❤❤❤
Hapo rahma umenifirahisha sana masozi kazi kwako mpendwa ❤❤❤❤❤
Rahm naomba uje ñkupe pipi jamn una moyo mzur wew
Rahma hongera sana kwa maamuzi mazuri kwakumuoneo huruma mwanamke mwenzioo
Pls Candy, watu wana roho ngumu jameni, I love this series much, Ina mafunzo chungu nzima
Jamani Rahma na Masozi na Bozen Kaboga wametufundisha maisha ya mahusiano ni kusamehana kabisaaa, jamani house girl iendeleee jamani ni nzuri Sana yaani wasanii wote wa move hii ni wako vizuri kwenye kuigiza, Sana hongereni Kwa mafunzo mazuri tunawapenda Sana, big up unyama Sana
Yani ilipaswa chiko na candy waoane 😮😮😮😮 shetan na shetan wanapatana duuh tabia zao zafanana 😂
Rahma kwakweli uko na roho ya huruma uko na ulimi lakini wajali mtu dadaa ongera sana mpambanie mwenzako huo ndo uisilam watu wanavyo ishi dunia mamaa leo yeye kesho wewe madam kiukweli nimekubali Rahma uko na huruma 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
Masozy namkubali kwa saundi tu yuko vizur,kamtongoza mwanamke mwenzie mpaka kakubali😂😂
Jamani mwenye ana duka apee Rahma soda kubwa kwa bill yangu jamani❤❤❤
😂😂😂😂😂apewe soda kubwa kisha ndefu kisha nene 😂😂😂🎉
Tasha ananifraisha sana ukweni
leo nimewai naomben like
Kama ingelikua sio uigizaji ni katika hali ya uhalisia basi dadangu rahma pepo ya Allah ungelikua umeipata dadangu na endapo katika maisha yako litajitokeza jambo kama hili usijikoseshe fursa ya kuipata pepo ya Allah
Safi xn Rahma yaani nilikua nakuchukia ju ya mdomo 😂 lakini daaa nimeona uko roho Safi hongera mamaa❤🎉
Rahma maua yko hayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 much love from kenya❤❤❤❤❤❤💋💋💋💋💋💋💋💓💓
Candy nakucukia 😢iyomihera yako yikule ikiisha utakuja kukumbuka nyumbani nakwambia😢😢
mganga usimuache uyo sania huku mtaan akiludi msumbufu sana
😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅 huyo sania aolewe kabsa alinichosha mm mtoto hana kiherehere mganga ngondee owa yy awe mwanamaji wko
😂
❤❤wow hongera sana rahma kwa maamuzi yko mazuri ❤❤❤🎉🎉🎉wenye mnafrahishwa n rahma kwa moyo w huruma mugonge like hpa
Jaman keina si umuonee huruma kibendu wawatu
Rahma Leo umeongea hekim Mashallah Baraka llah fii Mungu awatangulie katika kz yenu bustan TV
Hongera sana Rahma Allah akuzidishie roho hio hio🎉🎉🎉❤❤
Waoooow jamaniiiii Mr Tasha ni mwanaume Bora kwa zatiti hongera saaan umenifurahisha❤❤
Wanaopenda mchezo uwe kijijin mda wote tujuwane
Nampa hongera sana ngode kimamula
Lahumah mawua yako Leo umeni furahisha sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😮😮😂😂😂 Rahma sio lahuma 😊🤭🤭🤭🏃🏃🏃
Tasha umepata jiko kaka ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu awatanguliye Kwa familiya yenyu Tasha
Leo nimemupenda Rahma kiukweli kwakumpokea Masozi katika familia yako mauwa yako ayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉 unayastaili
Haki rahima na masozii mnafunza watu uku inje thanks san be blessed
Kwaiyo huyu na kaka ake wote tasa 😂😂😂😂
Hahaha itakua
Nimecheka sanaa 😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂
Ahahaha uwiii ni kwer
Bozen kaboga utawezana kweli sijakuona kufanya kqzi😂
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kumenoga nikiwa Mombasa mshomoroni mwana wa chuga ngaramtoni mamsa sity
Wapili Mimi nipeni like
Rahma nakupenda unaroho nzuri kiovo maua yako Ayo🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Jamn rahman kanifurahish kwel kaonyesh moy w hurum jamn maua🎉🎉🎉🎉🎉 kwa mam tash alivyomlea mwanae kwa madili anayekubal ii gong like
Hongela sana tasha umeigiza vizuri na zatiti nimependezwa na nyie
Rahma na maneno yako mengi kumbe una huruma kias hicho hongera mama uwe hivyo hivyo
Rahma ubarikiwe kumbe unaroho ya ubinadam! Wanaoamini kaboga ni mjeur na anapenda kweli masoz tujuane hapa🎉🎉🎉🎉❤
Mimi wa tatu zania atakufa mapema juu ya tabia tu😂😂😂
Nimekuwa wa pili
Piga kelele Kwa Rahma 😂😂😂😂❤🎉
337.popote ulipo Mr Tasha na baba mkwe.I love 😅😅😅😅😅
Leo umenikosea my mother anyway this ok naombeni like zenu
Kumbe rahama Ana roho nzuri hivi hongera dada 🎉🎉🎉
Jamani mbona naona ajabu kujikuta natoka wa 36 kweli nimewahi
Daa Rahma unakiti chako peponi 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉❤❤❤
Habar wana busat tv jaman toka nianze kufatilia hii move sjawah kucoment ila kipande cha 25 na 26 kwenye season3 imenibid nicoment kusema kweli hivi vipande viwili nimejifunza sana kitu Asantee sana na MUNGU awape nguvu muendelee kutuelemisha❤❤😊
Wanaofurahishwa na wake wenza kukubaliana nipeni like basi Rahma hongera sana kwa uamuzi wako nakupenda sana 💗
Rahmah unachamba somoyangu lakin unahuruma hongera dadaangu 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤😂
Jaman hii house girl itatuua man hatal ni yamotooo
Masozi umenifundisha kitu. Mungu akubariki
Ongereni sana wapenz kwazi yen zuri sana mubarikiwe wote family ya mzee mkoloni nimeipenda sana naina nikumbusha mbalisana😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
Chisa unafaa viboko mingi Sana juu Una fitina kama mkeo
Nasubiri iishe nilale😂😂😂😂 naomba like 4
Leo nimewahi like zangu🎉🎉
Nilikuwa naona Tasha atashindwa kwa huu mtihani kumbe ana akili si kama huyo Chiko madevu chukua maua yako kakangu Tasha ♥️♥️♥️♥️♥️♥️🥰🥰🥰🥰🥰
Yani mganga anampa rahma badala iharibu inamrekebisha yeye,like nyingi kwa ngonde
Hv chiko ulikua unajikuta nani kuongea na baba ako mkwe kama unaongea na hawara ako tasha ongera xana ukwen umeshakubaliwa
Rahman ni wewe kweli au mana siamini kwamba shetani 😈😈 hugeuka kuwa malaika Rahma Mungu akubariki Sana kwa uwamuzi huo....
Wakumi na mbili leo hatariiii
Rahma nimekupenda kwa kile ambacho umekifanya ❤❤