HOUSE GIRL EP 26 | S3 | Love Story 💕💞

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • HOUSE GIRL SEASON 3

Комментарии • 505

  • @AgnessDama
    @AgnessDama 13 часов назад +174

    Rahma hongera sana kw maamz yko mazuri❤❤❤, like za Rahma pls

  • @BertinaCatitiAdamu
    @BertinaCatitiAdamu 13 часов назад +115

    Rayma kumbe anahuruma 😂😂😂 naombeni like anae amini mtu mwenye mdomo ndio sahihi

  • @GidoFuzz
    @GidoFuzz 13 часов назад +46

    Yani toka nianze kuangalia hii move sijawahi kucomment ila hongera sana rahma uko na roho nzuri❤❤❤

  • @sakina5550
    @sakina5550 13 часов назад +40

    Candy jamn kumbuka ni mama yako mzazi huyo acha roho mbaya hivo😢😢😢😢 Mr Tasha honger sana maua yako🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Milkah-x1r
    @Milkah-x1r 12 часов назад +30

    Jamani Tasha Ana busara nyingi wapi like zake❤❤❤ ashindwi na lolote leo tumenjoy mfululizo wa movie ya house girl

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 7 часов назад +13

    Jamani leo humu nimefurahishwa na Tasha na Rahma. Hongera zenu. Pokeeni maua yenu.🌹🌹🌹🌹💖

  • @saumJuma-q3e
    @saumJuma-q3e 13 часов назад +24

    Team zatiti tuko na tabasamu kama lote tujuane ❤🎉

  • @sesiliahussein7774
    @sesiliahussein7774 20 часов назад +85

    Angalau rahma unaroho ya utu

    • @saumodzumbo9671
      @saumodzumbo9671 13 часов назад +1

      Sana amejikaza sana Rahma mashaallaah

    • @LevinaMassawe
      @LevinaMassawe 10 часов назад +2

      Siku nimeona rahman ni mzuri ni leo ❤❤❤❤

    • @Fathasssane-vs2th
      @Fathasssane-vs2th Час назад

      Wanaoamin rahma atabadilika na kuwa adui juu ya mimba tujuane😂😂

  • @JanetChisaga
    @JanetChisaga 12 часов назад +22

    Hongera bozeni kaboga kwakumkubali masozi na rahama pia umecheza hongera🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 13 часов назад +30

    Nimekupenda mnoo Rahim ❤❤❤❤❤❤❤ unaroho ya utu

  • @EverlinNamalwa-ml4oe
    @EverlinNamalwa-ml4oe 13 часов назад +20

    Rahma nilikua nakuchukia Lakini Kwa Sasa nmeanza kukupenda

  • @gracemakuja9876
    @gracemakuja9876 13 часов назад +25

    Jaman rahma nimekupa hongera sana .

  • @Martina-lj7tg
    @Martina-lj7tg 13 часов назад +28

    Nikama dawa aliyopewa rahma imeisha nguvu kma unakubaliana na mm gonga like tukisonga😂😂

  • @RosebellahNambiro-gf5ot
    @RosebellahNambiro-gf5ot 14 часов назад +190

    Tunao tazama tukiwa kitandani 😂😂😂piteni na likes tukisonga

  • @Hasnamhalif
    @Hasnamhalif 13 часов назад +61

    Mkilala kubukeni kuomba dua usiku kuna mambo mengi 😂

  • @Fatuma-e7k
    @Fatuma-e7k 12 часов назад +15

    Nyie ndoa tuna ama hatuna Kwa sania na mganga na masozi na chisa weuweeee Aya ngombeni like plz kama pia nyinyi mwataka ndoa

  • @neemakoi6635
    @neemakoi6635 12 часов назад +7

    Woooow mumeamua leo bus at basi daily ivi mutupee mbili si mtuzoeshe kwasiku part two then muache mutaniudhi sana🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @SanuraNamlola
    @SanuraNamlola 12 часов назад +7

    Mr Tasha umefaulu mtihani WA babamkwe meenzako halisema hali ulimbo na hafanani na kilimo congratulations 🎉🎉🎉zatiti kipenzi i hongera sana Kwa hukarimu wako ucheshi na kila mtu ❤❤❤❤

  • @ZulfahNuhu
    @ZulfahNuhu 4 часа назад +8

    Duuuh chiko ulijiharibia kabisa kuanzia kwa wazaz wa zatiti maskin huwez mpata zatiti hata kwa dawa wanaoamini hivyo like

  • @SadaDjuma-e9b
    @SadaDjuma-e9b 12 часов назад +9

    Rahma nimekupenda bure mie, yni wew nimwanamke mwenye akili unae jua maumivu ya mwanamke mwenzio 😘😘😘, nimefurahia ilo jamani alafu mnapendeza saan Rahma na Masozi Mungu alinde Ndoa yenu iwe ya Kheri na Baraka Mungu adumishe Ndoa yenu izidi kua ya Furaha milele na milele. 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 12 часов назад +8

    Naomba Rahma uwe umeamua kutoka moyoni ila kama ni mtego...tutakuona,hongera lkn🎉🎉🎉

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv 11 часов назад +7

    Nimesoma mingi kutoka house girl mzee mkoloni umenifurahisha sana pia biblia inasema mtoto wa kiume afundishwe na baba na wakike pia namama kwaivo ongera sana

  • @eshanjira6203
    @eshanjira6203 14 часов назад +14

    Rahma leo umeupiga mwingi🎉🎉❤

  • @TatuBaya-jy8jl
    @TatuBaya-jy8jl 11 часов назад +5

    Chiko kweli hakua mume mwema kwa zatiti angeacha tuu waendlee kupendana Tasha n zatiti ❤❤❤afu nmependa maelewano ya rahma na masozi bas masozi umepewa nafasi sije ukaleta uchawi kwa familia watu kua wapole❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 hongereni nmependa sana hii jamani

  • @Djanjeeroo
    @Djanjeeroo 11 часов назад +7

    Hii scene ya Candy inahitaji marekebisho. Mtoto huwa mkorofi kwa mzazi ila sio kwa kiwango hicho

    • @BornfaceMenza
      @BornfaceMenza 6 минут назад

      Mmmm kabisa umeongea yeye tu ana ifanya hii movie isiwe nzuri ana chemsa hapo

  • @JeniEmmah
    @JeniEmmah 13 часов назад +14

    Aaaasaaanteeee wap Like za mganga ngonde kimamula

  • @protasdmassawe
    @protasdmassawe 12 часов назад +4

    Safi sana. Mr Tasha kutuwakilisha hata sisi wanaume wa mjini baadhi tunawezaaa!💪💪👍

  • @oswardjaphal-cd6np
    @oswardjaphal-cd6np 13 часов назад +10

    Masozi sina imani naye kwarahima. Ana marafiki wabaya.

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 7 часов назад +4

    Candy, Chiko na Sania. Nyie mnaendana tabia zenu. Sania mke wa mganga. Tunasubiri ktt cha kurithi kilinge cha Ngonde.😂😂😂😂😂

  • @FatumaHamisi-mh9ln
    @FatumaHamisi-mh9ln 12 часов назад +10

    Huyu chiko jaman😂

  • @TeshNjeri
    @TeshNjeri 20 часов назад +13

    Wa kwanza😊nipewe like

  • @CharoJohnson
    @CharoJohnson 7 часов назад +3

    Zatit hongera san umzid kua mrembo sana ulipta mume bora sannna hatimaye amani imerudi🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @yasiniabdallah189
    @yasiniabdallah189 13 часов назад +11

    Five kwa Rahma kamecheza poa.

  • @شاميمشاميم-ر9ت
    @شاميمشاميم-ر9ت 13 часов назад +8

    Saniya mtaka vyote hukosa vyote pambana nayo hiyo mimba ya mganga sasa uzae mrithi wa ngonde 😂😂😂😂

    • @rahemh1234
      @rahemh1234 11 часов назад

      😂😂😂😂sania atazaa msukule 😂😂 wa ngonde kimamula

  • @hamisichau8975
    @hamisichau8975 13 часов назад +12

    Hii house girl inamafundisho makubwa sana hongereni wote mlioshiliki ebu tuwape like jamanii ili waendelee kutuletea mafunzo zaidi

    • @sadickmashaka1726
      @sadickmashaka1726 13 часов назад +1

      Kwel namm nimeipenda

    • @FaisalAlrefai-u2y
      @FaisalAlrefai-u2y 13 часов назад +1

      Nakwambia dear iko na mafunzo sana mungu awabariki wote

    • @saumJuma-q3e
      @saumJuma-q3e 13 часов назад +2

      Sanaaaa yniiii nakuunga mkono

    • @saumodzumbo9671
      @saumodzumbo9671 13 часов назад +1

      Sanaa hongera zao na mwenyezi Mungu azidi kumfanyia wepesi ishaallah

  • @rehemakihanga
    @rehemakihanga 5 часов назад +3

    Hii house girl imetisha saana jaman like zenu kiukweli imebamba saana Rahma ongera saana kwa kuwa na huruma pia moyo wa upendo

  • @شاميمشاميم-ر9ت
    @شاميمشاميم-ر9ت 13 часов назад +4

    Zatiti nakupa hongera sana kwakufunga ndoa na tasha mi nimefurshia ndoa yenu hatakama ni ya mkeka ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @Beatrice-kp7uw
    @Beatrice-kp7uw 11 часов назад +5

    Keina ulimkosea kibendu yni umeharibu kabisa hii movi mpaka sinaraha

  • @ASHANDEGWA
    @ASHANDEGWA 13 часов назад +15

    Ila Tasha ni mume bora jamani ,wanaume wote wangekuw ivi duniani tungetamba sisi wanawake😊😊😊

  • @hutahuta1170
    @hutahuta1170 5 часов назад +2

    Baba zatiti yeye anakumbuka ubaya wachiko 😂😂😂lamma leo nimekupenda sana kumsamee mama sozi hongela.sana busati🎉🎉🎉

  • @sayunimnguruta98
    @sayunimnguruta98 Час назад +1

    Rahma kumbe una hekima hongera Sasa masozi usije ukamgeuka mwenzako❤❤❤

  • @شاميمشاميم-ر9ت
    @شاميمشاميم-ر9ت 13 часов назад +5

    Hapo rahma umenifirahisha sana masozi kazi kwako mpendwa ❤❤❤❤❤

  • @AxsaDaniel
    @AxsaDaniel 12 часов назад +6

    Rahm naomba uje ñkupe pipi jamn una moyo mzur wew

  • @JanepherBudodi
    @JanepherBudodi 50 минут назад +1

    Rahma hongera sana kwa maamuzi mazuri kwakumuoneo huruma mwanamke mwenzioo

  • @yuvinalishmasanya1526
    @yuvinalishmasanya1526 6 часов назад +2

    Pls Candy, watu wana roho ngumu jameni, I love this series much, Ina mafunzo chungu nzima

  • @joycemhina8293
    @joycemhina8293 2 часа назад +2

    Jamani Rahma na Masozi na Bozen Kaboga wametufundisha maisha ya mahusiano ni kusamehana kabisaaa, jamani house girl iendeleee jamani ni nzuri Sana yaani wasanii wote wa move hii ni wako vizuri kwenye kuigiza, Sana hongereni Kwa mafunzo mazuri tunawapenda Sana, big up unyama Sana

  • @rahemh1234
    @rahemh1234 11 часов назад +4

    Yani ilipaswa chiko na candy waoane 😮😮😮😮 shetan na shetan wanapatana duuh tabia zao zafanana 😂

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi 12 часов назад +2

    Rahma kwakweli uko na roho ya huruma uko na ulimi lakini wajali mtu dadaa ongera sana mpambanie mwenzako huo ndo uisilam watu wanavyo ishi dunia mamaa leo yeye kesho wewe madam kiukweli nimekubali Rahma uko na huruma 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Barakahtz41
    @Barakahtz41 8 часов назад +2

    Masozy namkubali kwa saundi tu yuko vizur,kamtongoza mwanamke mwenzie mpaka kakubali😂😂

  • @JoyceMbaixi
    @JoyceMbaixi 12 часов назад +3

    Jamani mwenye ana duka apee Rahma soda kubwa kwa bill yangu jamani❤❤❤

    • @rahemh1234
      @rahemh1234 11 часов назад

      😂😂😂😂😂apewe soda kubwa kisha ndefu kisha nene 😂😂😂🎉

  • @SophyNestor
    @SophyNestor 13 часов назад +9

    Tasha ananifraisha sana ukweni

  • @MaryMaige-t1b
    @MaryMaige-t1b 14 часов назад +12

    leo nimewai naomben like

  • @RamadhaniBeja
    @RamadhaniBeja 7 часов назад +2

    Kama ingelikua sio uigizaji ni katika hali ya uhalisia basi dadangu rahma pepo ya Allah ungelikua umeipata dadangu na endapo katika maisha yako litajitokeza jambo kama hili usijikoseshe fursa ya kuipata pepo ya Allah

  • @Teresia-bg9dt
    @Teresia-bg9dt 12 часов назад +4

    Safi xn Rahma yaani nilikua nakuchukia ju ya mdomo 😂 lakini daaa nimeona uko roho Safi hongera mamaa❤🎉

  • @FatumaFeso
    @FatumaFeso 13 часов назад +3

    Rahma maua yko hayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 much love from kenya❤❤❤❤❤❤💋💋💋💋💋💋💋💓💓

  • @DivineIngabire-lj3sr
    @DivineIngabire-lj3sr 13 часов назад +8

    Candy nakucukia 😢iyomihera yako yikule ikiisha utakuja kukumbuka nyumbani nakwambia😢😢

  • @franktodory
    @franktodory 14 часов назад +13

    mganga usimuache uyo sania huku mtaan akiludi msumbufu sana

  • @Jenniffer-m9k
    @Jenniffer-m9k 13 часов назад +2

    ❤❤wow hongera sana rahma kwa maamuzi yko mazuri ❤❤❤🎉🎉🎉wenye mnafrahishwa n rahma kwa moyo w huruma mugonge like hpa

  • @SamwelyRishady
    @SamwelyRishady 13 часов назад +6

    Jaman keina si umuonee huruma kibendu wawatu

  • @ShamimShamy
    @ShamimShamy 5 часов назад +1

    Rahma Leo umeongea hekim Mashallah Baraka llah fii Mungu awatangulie katika kz yenu bustan TV

  • @Asma-hn1jk
    @Asma-hn1jk 10 часов назад +2

    Hongera sana Rahma Allah akuzidishie roho hio hio🎉🎉🎉❤❤

  • @Roby-nw8sz
    @Roby-nw8sz 4 часа назад +1

    Waoooow jamaniiiii Mr Tasha ni mwanaume Bora kwa zatiti hongera saaan umenifurahisha❤❤

  • @AhmadaOmary
    @AhmadaOmary 11 часов назад +11

    Wanaopenda mchezo uwe kijijin mda wote tujuwane

  • @MariamuDaudi-h1t
    @MariamuDaudi-h1t 12 часов назад +2

    Nampa hongera sana ngode kimamula

  • @SofiaSofia-nc9rw
    @SofiaSofia-nc9rw 13 часов назад +3

    Lahumah mawua yako Leo umeni furahisha sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @rahemh1234
      @rahemh1234 11 часов назад

      😮😮😂😂😂 Rahma sio lahuma 😊🤭🤭🤭🏃🏃🏃

  • @Leilajepmtu
    @Leilajepmtu 4 часа назад +1

    Tasha umepata jiko kaka ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu awatanguliye Kwa familiya yenyu Tasha

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 4 часа назад +1

    Leo nimemupenda Rahma kiukweli kwakumpokea Masozi katika familia yako mauwa yako ayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉 unayastaili

  • @ChimammyMummy
    @ChimammyMummy 3 часа назад +1

    Haki rahima na masozii mnafunza watu uku inje thanks san be blessed

  • @zainabusabas7421
    @zainabusabas7421 13 часов назад +6

    Kwaiyo huyu na kaka ake wote tasa 😂😂😂😂

  • @ZeinabOmar-b8p
    @ZeinabOmar-b8p 3 часа назад +1

    Bozen kaboga utawezana kweli sijakuona kufanya kqzi😂

  • @ALEXLOTAN
    @ALEXLOTAN 6 часов назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kumenoga nikiwa Mombasa mshomoroni mwana wa chuga ngaramtoni mamsa sity

  • @coolboymicky3651
    @coolboymicky3651 20 часов назад +9

    Wapili Mimi nipeni like

  • @AishaNibizi
    @AishaNibizi 4 часа назад +1

    Rahma nakupenda unaroho nzuri kiovo maua yako Ayo🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @SunatMiraj
    @SunatMiraj 2 часа назад

    Jamn rahman kanifurahish kwel kaonyesh moy w hurum jamn maua🎉🎉🎉🎉🎉 kwa mam tash alivyomlea mwanae kwa madili anayekubal ii gong like

  • @AnitheNdayikengurukiye
    @AnitheNdayikengurukiye 12 часов назад +1

    Hongela sana tasha umeigiza vizuri na zatiti nimependezwa na nyie

  • @ZulfahNuhu
    @ZulfahNuhu 4 часа назад +1

    Rahma na maneno yako mengi kumbe una huruma kias hicho hongera mama uwe hivyo hivyo

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 3 часа назад

    Rahma ubarikiwe kumbe unaroho ya ubinadam! Wanaoamini kaboga ni mjeur na anapenda kweli masoz tujuane hapa🎉🎉🎉🎉❤

  • @SharonChepngeno-d7e
    @SharonChepngeno-d7e 20 часов назад +4

    Mimi wa tatu zania atakufa mapema juu ya tabia tu😂😂😂

  • @EvansiLibenty
    @EvansiLibenty 20 часов назад +8

    Nimekuwa wa pili

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lb 14 часов назад +4

    Piga kelele Kwa Rahma 😂😂😂😂❤🎉

  • @DianaMkembelwa
    @DianaMkembelwa 5 часов назад +1

    337.popote ulipo Mr Tasha na baba mkwe.I love 😅😅😅😅😅

  • @Dorcaskw
    @Dorcaskw 14 часов назад +4

    Leo umenikosea my mother anyway this ok naombeni like zenu

  • @DorcasNasimiyu-g4e
    @DorcasNasimiyu-g4e 6 часов назад +1

    Kumbe rahama Ana roho nzuri hivi hongera dada 🎉🎉🎉

  • @Khadija1-l4f
    @Khadija1-l4f 14 часов назад +4

    Jamani mbona naona ajabu kujikuta natoka wa 36 kweli nimewahi

  • @KongoJefwa
    @KongoJefwa 5 часов назад +2

    Daa Rahma unakiti chako peponi 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉❤❤❤

  • @JescaNicass
    @JescaNicass Час назад

    Habar wana busat tv jaman toka nianze kufatilia hii move sjawah kucoment ila kipande cha 25 na 26 kwenye season3 imenibid nicoment kusema kweli hivi vipande viwili nimejifunza sana kitu Asantee sana na MUNGU awape nguvu muendelee kutuelemisha❤❤😊

  • @AminaMjeni-iz8uo
    @AminaMjeni-iz8uo 3 часа назад

    Wanaofurahishwa na wake wenza kukubaliana nipeni like basi Rahma hongera sana kwa uamuzi wako nakupenda sana 💗

  • @rahemh1234
    @rahemh1234 11 часов назад +3

    Rahmah unachamba somoyangu lakin unahuruma hongera dadaangu 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤😂

  • @ngekewatv
    @ngekewatv 14 часов назад +4

    Jaman hii house girl itatuua man hatal ni yamotooo

  • @saidomar3291
    @saidomar3291 11 часов назад +1

    Masozi umenifundisha kitu. Mungu akubariki

  • @حليمهالبلوشي-ز5ث
    @حليمهالبلوشي-ز5ث 2 часа назад

    Ongereni sana wapenz kwazi yen zuri sana mubarikiwe wote family ya mzee mkoloni nimeipenda sana naina nikumbusha mbalisana😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤

  • @GrapaIkamo
    @GrapaIkamo 4 часа назад +1

    Chisa unafaa viboko mingi Sana juu Una fitina kama mkeo

  • @mesamesa3698
    @mesamesa3698 11 часов назад +1

    Nasubiri iishe nilale😂😂😂😂 naomba like 4

  • @Zeinabmea
    @Zeinabmea 14 часов назад +3

    Leo nimewahi like zangu🎉🎉

  • @FaisalAlrefai-u2y
    @FaisalAlrefai-u2y 12 часов назад +2

    Nilikuwa naona Tasha atashindwa kwa huu mtihani kumbe ana akili si kama huyo Chiko madevu chukua maua yako kakangu Tasha ♥️♥️♥️♥️♥️♥️🥰🥰🥰🥰🥰

  • @elizabethurassa9854
    @elizabethurassa9854 2 часа назад

    Yani mganga anampa rahma badala iharibu inamrekebisha yeye,like nyingi kwa ngonde

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 12 часов назад +1

    Hv chiko ulikua unajikuta nani kuongea na baba ako mkwe kama unaongea na hawara ako tasha ongera xana ukwen umeshakubaliwa

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r 3 часа назад

    Rahman ni wewe kweli au mana siamini kwamba shetani 😈😈 hugeuka kuwa malaika Rahma Mungu akubariki Sana kwa uwamuzi huo....

  • @AminaMussa-f3o
    @AminaMussa-f3o 14 часов назад +3

    Wakumi na mbili leo hatariiii

  • @SharonMokeira-ij7iq
    @SharonMokeira-ij7iq 13 часов назад +4

    Rahma nimekupenda kwa kile ambacho umekifanya ❤❤