JUA KALI LEO Jumatano full HD VIDEO TAREHE 9/10/2025

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • jua kali leo usiku #juakalileo jua kali leo jumatano #juakalileoalhamisi #juakalileoijumaa #juakalileojumamosi

Комментарии • 174

  • @peterkayenze4801
    @peterkayenze4801 Час назад +3

    Madam mpangishie enzoo bhna umuibeee😂 gonga like hapa km unataka madam ampangishie enzo

  • @jamilahemed5131
    @jamilahemed5131 5 часов назад +37

    Tuna mkubali madam Regina na Enzo tujuane Kwa like

  • @Walden-tb6ic
    @Walden-tb6ic 13 часов назад +16

    Natamani sana enzo aje awe na madam rejina kimapenzi mana niatalii ❤❤❤

  • @heavenjusto6714
    @heavenjusto6714 5 часов назад +10

    Enzoo wanguu nakupenda sana ♥️

  • @hamisathuman2729
    @hamisathuman2729 4 часа назад +9

    Diba king’ast
    Diba kaolewa
    Diba king’ang’anizi

  • @PudensianaJuma-p6t
    @PudensianaJuma-p6t 6 часов назад +15

    Yaan enzo anaendananeye kabsa na madam ❤❤

    • @bettyaltho2714
      @bettyaltho2714 Час назад

      Sana yaani😂😂 tunaisubiri kapo yao Kwa hamu❤

  • @JulianaCharles-g6u
    @JulianaCharles-g6u 3 часа назад +5

    Naona mwisho wa Ana kwa Diba sio mzuri, ,diba anamchota , ila ck akiamka masheta yake yamepanda, ana atajua ajui

  • @rynekiswaga4597
    @rynekiswaga4597 5 часов назад +7

    Kama unahisi Enzo na Regina wako in love, gonga like hapa🎉🎉

  • @givenmgaya8889
    @givenmgaya8889 11 часов назад +15

    Akili za anna zingekua kama nguo anazovaaga ingekua raha sana

  • @Ashrey82
    @Ashrey82 8 часов назад +9

    Diba katafute kazi ya kufanya huyo sio mke bro😂😂

  • @heavenjusto6714
    @heavenjusto6714 5 часов назад +5

    Eva akiwa na mafua sautii yakee mbona kama ndo inakuwa poaaaa❤😊

  • @JustinKikoti-zg5px
    @JustinKikoti-zg5px 3 часа назад +4

    Madam na Enzo♥️

  • @godlivepastpry9939
    @godlivepastpry9939 2 часа назад +2

    Yaan mwanamke mwenye mdomo na tabia kama za Anna ndoa kudum uwaga ni bahati2 Diba pole sana

  • @peterkayenze4801
    @peterkayenze4801 Час назад +1

    Changamka enzo maji yashafata mkondo kula chuma hichooo😂😂

  • @Vickyhamisi-q5p
    @Vickyhamisi-q5p Час назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤kwaajr ya Regina na enzo

  • @y5y5prime58
    @y5y5prime58 5 часов назад +6

    Anna analipiza kisas kwa Diba sas Diba acha ayaone uliambiwa aukusikiy

  • @sedastinangowi
    @sedastinangowi 14 часов назад +9

    Ivi mwajumaa na mwaeva mmewaona au mnajifanya hawaonekani😅😅

  • @jacklinepeter4158
    @jacklinepeter4158 5 часов назад +7

    Mnaosema ana kwann anamtesa diba mmesahau alifunga ndoa ili kulipiza kisasi

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 4 часа назад

      Hapo sasa😂😂😂wanasahau lengo lake lilikua nn niheri alivyomaliza kumtesa angeachananae

    • @elizabethmzoo7597
      @elizabethmzoo7597 2 часа назад

      Ni kweli ila naona kama mwisho wake sio mzuri za Diba atamfanya jambo baya akichoka😢😢

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 2 часа назад

      @@elizabethmzoo7597 kisasi kwakisasi

  • @judikadzo8712
    @judikadzo8712 11 часов назад +7

    Mbona nikama Regina na Enzo Wanapendana 😂

  • @addo1037
    @addo1037 5 часов назад +5

    Huyo ane mngangania Davis wala haendani nae kabisaaaa

    • @mwajumalubunga1534
      @mwajumalubunga1534 5 часов назад +2

      Haswaaa 😂😂 ata hawaendani kbs sijuwi Lamata amemtolea wapi uyu mdada 😂😂

    • @Mimah866
      @Mimah866 4 часа назад +1

      ​@mwajumalub😂😂😂😂😂😂😂unga1534

  • @fatumamfumia4507
    @fatumamfumia4507 45 минут назад

    Juma ni mbeaaa jamaniiii khaaaa 🤣🤣🤣 anajua kunogesha kwa kweli

  • @getrudaleonard8323
    @getrudaleonard8323 5 часов назад +5

    Wee Diba chukua uyo Anna mpeleke chumba Cha mateso tenah

  • @LucyRafeali
    @LucyRafeali 6 часов назад +4

    Juma na Eva Nawapenda sana

  • @rashidgona1808
    @rashidgona1808 8 часов назад +3

    Yaan mme akitaka kutoka mpaka aombe ruhusa kwa mke, lakn mke akitaka kutoka anatoka tu ama kwel kama huna pesa mbele ya mwanamke wewe n bure

  • @arafahassan9672
    @arafahassan9672 5 часов назад +6

    Bill na Eva mmeambukizana mafua😂

  • @joachimkanoni7518
    @joachimkanoni7518 5 часов назад +2

    Sema hyo sound inaboa balaaa

  • @LevinaKamanga
    @LevinaKamanga 15 часов назад +7

    Ivi diba,ameowa au ameolewa😂😂

  • @hasinaaljabri1502
    @hasinaaljabri1502 54 минуты назад

    Diba😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉😂😂 napicha anna na dives

  • @WaydaHaji
    @WaydaHaji 14 часов назад +5

    Juma umbea unauwwzaaa

  • @sumaiyahmwinyiamani2862
    @sumaiyahmwinyiamani2862 3 часа назад +2

    Enzo na regina mm nanyinyi mpaka ndoa

  • @priscakimario4863
    @priscakimario4863 3 часа назад +2

    Kikubwa wanaume tafuteni pesa usije kuwa kama diba... unyumba apati anazaraulika.... anasimwangwa na mengine kama hayo

  • @HaidaHachim-gf7xp
    @HaidaHachim-gf7xp 8 часов назад +3

    Msimulaumu anna kwasababu anna anapepo la ngono 😂😂

  • @aiaiomar5623
    @aiaiomar5623 12 часов назад +4

    Juma hi wakina Mahi nawapenda bure

  • @NisperLaurian
    @NisperLaurian 2 часа назад +1

    Ana ,Ana,Ana nimekiluita mara 3 unachotaka utakipata kwaiyo domo wako utamkumbuka Diba

  • @Irakozefidiata
    @Irakozefidiata 14 часов назад +12

    Miy ikifik kw ana n diba ham yakuon juakali inaish

  • @kudratabuu1103
    @kudratabuu1103 12 часов назад +7

    Hv Anna mshenz waheed anajikuta nan hasaaa

    • @MsMayyaMsMayya
      @MsMayyaMsMayya 11 часов назад

      Mm ananikwaza 😂😂

    • @Elnathatz9749
      @Elnathatz9749 4 часа назад

      Analipiza kisasi na nadhan alikuwa anapanga kumuua kabisa maan alisema huyu mwanaume ni muuaji haez mtesa mwanamke ivo​@@MsMayyaMsMayya

    • @JasminMuhq
      @JasminMuhq 3 часа назад

      Diba kamfanya asiende kuishi ghana na bobo sasa hiv yupo bongo acha amtese diba

  • @RoselyneKhavere
    @RoselyneKhavere 5 часов назад +4

    Rebecca mapenzi usilazimishe..utaumia bure😢😢😢

  • @shomarymakele3567
    @shomarymakele3567 5 часов назад +4

    Enzo kitakukuta kitu we neng’eneka tuuuh

  • @StephanieGerald-qj8vt
    @StephanieGerald-qj8vt Час назад

    Anaemshoneaga nguo grol mbingu ataisikia😅😅

  • @WaydaHaji
    @WaydaHaji 14 часов назад +4

    We ana ND ndoa gn hii y kumnyanyasa mwwnZio

  • @UkhtysarahSarah
    @UkhtysarahSarah 3 часа назад +1

    Mwanaume Asie napesa ni mbugila tu mnamuona diba anavyo tesek tafuteni pesa achaneni na mapenzi yakijinga

  • @WaydaHaji
    @WaydaHaji 13 часов назад +2

    Glory anasema kwwli ...mtu kaolewa atalala vp kwao

  • @lucypeter7804
    @lucypeter7804 4 часа назад +2

    Ana sitamani ht kukuona wa kusikia unachomfanyia diba

  • @fatimahasin2041
    @fatimahasin2041 14 часов назад +4

    Kila siku ana akionekana anaulizwa km Yuko sawa kwani vipi😅

  • @catherinesambala8191
    @catherinesambala8191 4 часа назад +2

    Hapa hakuna uhalisia mwanaume anakuaje mjinga kiasi hicho

  • @mwanamkuumohamed7344
    @mwanamkuumohamed7344 3 часа назад +1

    Tiba utakoma sasa uyo Anna sindio ameshirikishwa ivo ama ilikua anatakaje😢

  • @MariamVenance
    @MariamVenance 4 часа назад +2

    Du!!!! Anna no atari😢😢 na Diba mbn atasema

  • @MagrethMchimbu
    @MagrethMchimbu 2 часа назад +1

    Nilikuwa naisubilia kwa ham jua liwake😂😂😂😂

  • @matronmkenda3510
    @matronmkenda3510 4 часа назад +3

    Hivi kuna mwanaume wa karne hii anajua kupenda kama tomas

    • @IreneMacha-g8o
      @IreneMacha-g8o Час назад

      Ukimpata naomba uniunganishe nae, maana napenda kung'ang'aniwa

  • @veronicabea7895
    @veronicabea7895 4 часа назад +2

    Naona bomu analo liandaa diba ana jiandaye kitakukuta

  • @AnnaNgwatu-lr9sx
    @AnnaNgwatu-lr9sx 5 часов назад +9

    Lamata tunataka tujue hatima ya Anna na diba wanaboa

    • @UmayyaMunisi
      @UmayyaMunisi 3 часа назад +1

      Km vp watekane tujue moja huyu anna amesahau alichofanywa ile mwanzo😂😂😂

  • @gracemwingwa-jx7yy
    @gracemwingwa-jx7yy 6 часов назад +4

    Felix atakuwa katumwa na Thomas

  • @hasinaaljabri1502
    @hasinaaljabri1502 Час назад

    Anna ndoa emekushinda maskini 😂😂😂😂

  • @desdeliamwigani8991
    @desdeliamwigani8991 5 часов назад +3

    Hiv diba kawaje jamani,

  • @EstheurWabenga
    @EstheurWabenga 6 часов назад +3

    Tomas munafki jamani🤣😀😀😂

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 4 часа назад +2

    Diba utajua ujui dadadeki, huyo ndo Anna sasa.

  • @NanceMbaga
    @NanceMbaga Час назад

    Kwaio hichi ndio kisasi cha ana kwa diba

  • @abdallahussein4833
    @abdallahussein4833 5 часов назад +3

    Na c huyu Diba afanye cku amfatilie Annah ili ajue anaenda wap mbn huyu jamaa anakaa boya hivi lkn

  • @neserianmolllel8882
    @neserianmolllel8882 3 часа назад +1

    Mi ni mshauri lamata kwa Maria pafungwe camera ya siri na frenk

  • @gracemwingwa-jx7yy
    @gracemwingwa-jx7yy 5 часов назад +4

    Diba nae kama hajitambui

    • @gracemwingwa-jx7yy
      @gracemwingwa-jx7yy 5 часов назад

      Wanaume mkipendaga kumbe mnakuwaga mazombe kama diba

  • @mwajumalubunga1534
    @mwajumalubunga1534 5 часов назад +2

    Rebeca anamidomo myeusi kama mvutaji 😂😂 wala awaendani kbs na Davis 😅😅

    • @Mimah866
      @Mimah866 4 часа назад

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @neemamabena-xx5er
      @neemamabena-xx5er 2 часа назад

      Asa awe na midomo nyeupe nayeye ni mweusi simtasema anaukimwi ameungua

  • @BetiliaRespicius
    @BetiliaRespicius 4 часа назад +2

    Diba utakoma😊

  • @AnnastaciaMganga
    @AnnastaciaMganga 14 часов назад +2

    Anna amekorogeka wallah😂😂😂

  • @EsupatLaiser
    @EsupatLaiser 7 часов назад +3

    Diba anaendeshwa na Ana

  • @priscakimario4863
    @priscakimario4863 3 часа назад +1

    Hivi kwenye jamii yetu kuna mwanaume mwenye upendo kama diba upendo unaofanya awe zuzu

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 Час назад

    Anna atakacho kufanya Diba..dunia itashangaa

  • @zuhuraabdallah3389
    @zuhuraabdallah3389 14 часов назад +2

    diba kaolewaaaaa😂😂😂😂😂😂😂

  • @rwezimulastephen3713
    @rwezimulastephen3713 2 часа назад

    Jaribuni kutengeneza mazingira kidogo yenye uhalisia hasa kwa Anna na mume wake anachofanya Anna kinavuka mipaka ya kawaida

  • @allyomary4447
    @allyomary4447 6 часов назад +3

    Ila diba sijui amekuwaje

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 4 часа назад

    Dibaaaaaaaaa mwanakulitafuta hiloooooo😂😂😂😂 hukutaka kumskia mjombalusajo miyekaaaaaa

  • @SteliaStaphord
    @SteliaStaphord 13 часов назад +4

    Rebeka mapenzi hayako ivo ukiachwa achika na ski zote jikubali jinsi ulivyo wanaoelewa mapenzi ni upofu gong link hapa

    • @EsupatLaiser
      @EsupatLaiser 7 часов назад +2

      Analazimisha na hapendwi

  • @PaulKadoi-u8b
    @PaulKadoi-u8b 4 часа назад +1

    Nataman nyie wawili enzo na madam rejina mje kuwa wapenzi patanoga

  • @MaombiPeter-j5g
    @MaombiPeter-j5g Час назад

    Rebecca napua lake sasa😮

  • @EstheurWabenga
    @EstheurWabenga 6 часов назад +2

    Diba na keki yake ya mtu umoja utaimaliza😀🤣

  • @jacklinepeter4158
    @jacklinepeter4158 5 часов назад +1

    Enzo na Regina mapenzi yanaanzaga hivo hivo

  • @rashidgona1808
    @rashidgona1808 8 часов назад +1

    Glory unataka mwanao atulie na mmewe lkn wewe hutulii nani alikwambia tabia za mtoto wa kike anarithi kwa babake😂😂😂

  • @JeniphaBen-mz1zo
    @JeniphaBen-mz1zo 2 часа назад

    Mkono juu kwa yyte alommiss marry wa maiko😅😅😅😅

  • @FatumaOmary-hu7od
    @FatumaOmary-hu7od 5 часов назад +3

    Anna mchoy ww huna lolot

  • @neemamabena-xx5er
    @neemamabena-xx5er 2 часа назад

    Diba ule iyo keki yako uimalize iishe

  • @Neema92
    @Neema92 2 часа назад

    Rebecca ana pepo? mwanaume hakutaki unamlazimisha wa nini ana ujinga mwingi sana.

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 3 часа назад +1

    Anna kumbe 😢😢😢😢 dooo

  • @DianaMkembelwa
    @DianaMkembelwa 7 часов назад +3

    37,maria kwine habari yako😅😅😅😅😅

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 4 часа назад

      😂😂😂 kamkomesha Madevu kumwambia mtt atakufa akijua mipango yake atampoteza kabisaaa

  • @UmayyaMunisi
    @UmayyaMunisi 4 часа назад +1

    Diba amua tuu mpige tukio af hapo pazur hakuna ndug za Anna wanapajua hapo😂uckae kizembe wangapi tunaona diba atafanya jambo jingine😂😂

  • @NisperLaurian
    @NisperLaurian 2 часа назад

    Juma na eva

  • @WaydaHaji
    @WaydaHaji 13 часов назад +4

    Diba anacheka na picha ty😂😂😂😂

    • @priscakimario4863
      @priscakimario4863 3 часа назад

      😅😅😅😅😅😅😅😅 acha ajitie moyo...tuu

  • @JeniphaBen-mz1zo
    @JeniphaBen-mz1zo 2 часа назад

    Nyie hii ndoa ya diba na Anna mbna siielew me 😢

  • @ScholaMalale
    @ScholaMalale 5 часов назад +1

    Diba akili hana Hata kidogo anna amefunga ndoa ili kulipa kisasi

  • @rukiaally2064
    @rukiaally2064 2 часа назад

    Diba umeoa au umeolewa jmn

  • @doctormkulima9474
    @doctormkulima9474 10 часов назад +2

    Regina na Enzo inanoga ❤

  • @CatherineFrance-y5b
    @CatherineFrance-y5b 4 часа назад +1

    Wanawake kama akina rebeca wapo mbona kwenye jamii zetu wanashauriwa mazuri wao wanabaki kua vinganganizi tu wanataka wapigwe matukio ndio watulie

  • @mauwabanda2746
    @mauwabanda2746 4 часа назад +1

    Diba mpaka anatia huruma kha

  • @Mimah866
    @Mimah866 3 часа назад

    Rebecca na hilo wigi😂😂😂 lake

  • @judithnyenga7327
    @judithnyenga7327 5 часов назад

    Diba ebu Rudi kwenye uhalisia wako bas😢 uyu Anna anaboa

  • @LazaroPetro-y1s
    @LazaroPetro-y1s 3 часа назад +1

    Et diba Kawa mtumwa wa mtu

    • @JasminMuhq
      @JasminMuhq 2 часа назад +1

      Analeta nini ndani had asiwe mtumwa

    • @LazaroPetro-y1s
      @LazaroPetro-y1s Час назад

      @@JasminMuhq kayatimba diba

  • @WaydaHaji
    @WaydaHaji 14 часов назад +2

    Juma haiii😂😂😂

  • @RatifaSelemani-b1q
    @RatifaSelemani-b1q 13 часов назад +2

    anajisahau 😂

  • @RoselyneKhavere
    @RoselyneKhavere 5 часов назад +1

    Anna kuvaa kwko uko very smart 👍💕 but ndani ya roho wewe ni umbwa mwitu...mbona mwamtesa dibaaaa....

    • @Elnathatz9749
      @Elnathatz9749 4 часа назад

      Aliolewa ili alipize kisasi ndo maan hakutak ndoa ya kanisan alikuw anaikimbiza kimbiza 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @HappnessJeremia
    @HappnessJeremia 3 часа назад

    .jaman diba hadi huruma

  • @datycurties1801
    @datycurties1801 3 часа назад

    Diba na urefu wote uwo una kuwa km sio mwanaume khaa