Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Madam mpangishie enzoo bhna umuibeee😂 gonga like hapa km unataka madam ampangishie enzo
Tuna mkubali madam Regina na Enzo tujuane Kwa like
Natamani sana enzo aje awe na madam rejina kimapenzi mana niatalii ❤❤❤
Enzoo wanguu nakupenda sana ♥️
Diba king’astDiba kaolewa Diba king’ang’anizi
Yaan enzo anaendananeye kabsa na madam ❤❤
Sana yaani😂😂 tunaisubiri kapo yao Kwa hamu❤
Naona mwisho wa Ana kwa Diba sio mzuri, ,diba anamchota , ila ck akiamka masheta yake yamepanda, ana atajua ajui
Kama unahisi Enzo na Regina wako in love, gonga like hapa🎉🎉
Akili za anna zingekua kama nguo anazovaaga ingekua raha sana
Mbn hana kosa
Diba katafute kazi ya kufanya huyo sio mke bro😂😂
Eva akiwa na mafua sautii yakee mbona kama ndo inakuwa poaaaa❤😊
Madam na Enzo♥️
Yaan mwanamke mwenye mdomo na tabia kama za Anna ndoa kudum uwaga ni bahati2 Diba pole sana
Ndoa hayiwezi kudumu natabia iyo aliyonayo Anna
Changamka enzo maji yashafata mkondo kula chuma hichooo😂😂
❤❤❤❤❤❤❤kwaajr ya Regina na enzo
Anna analipiza kisas kwa Diba sas Diba acha ayaone uliambiwa aukusikiy
Kbs😂😂😂
Ivi mwajumaa na mwaeva mmewaona au mnajifanya hawaonekani😅😅
Mnaosema ana kwann anamtesa diba mmesahau alifunga ndoa ili kulipiza kisasi
Hapo sasa😂😂😂wanasahau lengo lake lilikua nn niheri alivyomaliza kumtesa angeachananae
Ni kweli ila naona kama mwisho wake sio mzuri za Diba atamfanya jambo baya akichoka😢😢
@@elizabethmzoo7597 kisasi kwakisasi
Mbona nikama Regina na Enzo Wanapendana 😂
Huyo ane mngangania Davis wala haendani nae kabisaaaa
Haswaaa 😂😂 ata hawaendani kbs sijuwi Lamata amemtolea wapi uyu mdada 😂😂
@mwajumalub😂😂😂😂😂😂😂unga1534
Juma ni mbeaaa jamaniiii khaaaa 🤣🤣🤣 anajua kunogesha kwa kweli
Wee Diba chukua uyo Anna mpeleke chumba Cha mateso tenah
😂😂😂
Juma na Eva Nawapenda sana
Yaan mme akitaka kutoka mpaka aombe ruhusa kwa mke, lakn mke akitaka kutoka anatoka tu ama kwel kama huna pesa mbele ya mwanamke wewe n bure
Bill na Eva mmeambukizana mafua😂
Sema hyo sound inaboa balaaa
Ivi diba,ameowa au ameolewa😂😂
Muulize hapo mwenyewe 😹😹😹
Diba anaonekana mjinga lkn Anna atapangiwa tukio aje auliwe buree😂
Ameolewa😂😂
Kaolewa
Ameolewa kwani kuna shidooo
Diba😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉😂😂 napicha anna na dives
Juma umbea unauwwzaaa
Enzo na regina mm nanyinyi mpaka ndoa
Kikubwa wanaume tafuteni pesa usije kuwa kama diba... unyumba apati anazaraulika.... anasimwangwa na mengine kama hayo
Msimulaumu anna kwasababu anna anapepo la ngono 😂😂
Juma hi wakina Mahi nawapenda bure
Ana ,Ana,Ana nimekiluita mara 3 unachotaka utakipata kwaiyo domo wako utamkumbuka Diba
Miy ikifik kw ana n diba ham yakuon juakali inaish
Na bado hujasema😅😅😅
Ana anaboa
Anna hapendeki ana Pepo pa ngono
Wanaboa sana
😂😂 mmna forward mbele sehem Yao
Hv Anna mshenz waheed anajikuta nan hasaaa
Mm ananikwaza 😂😂
Analipiza kisasi na nadhan alikuwa anapanga kumuua kabisa maan alisema huyu mwanaume ni muuaji haez mtesa mwanamke ivo@@MsMayyaMsMayya
Diba kamfanya asiende kuishi ghana na bobo sasa hiv yupo bongo acha amtese diba
Rebecca mapenzi usilazimishe..utaumia bure😢😢😢
Madevu wa2😂😂😂
Enzo kitakukuta kitu we neng’eneka tuuuh
Anaemshoneaga nguo grol mbingu ataisikia😅😅
We ana ND ndoa gn hii y kumnyanyasa mwwnZio
Mwanaume Asie napesa ni mbugila tu mnamuona diba anavyo tesek tafuteni pesa achaneni na mapenzi yakijinga
Glory anasema kwwli ...mtu kaolewa atalala vp kwao
Ana sitamani ht kukuona wa kusikia unachomfanyia diba
Kila siku ana akionekana anaulizwa km Yuko sawa kwani vipi😅
Hapa hakuna uhalisia mwanaume anakuaje mjinga kiasi hicho
Tiba utakoma sasa uyo Anna sindio ameshirikishwa ivo ama ilikua anatakaje😢
Du!!!! Anna no atari😢😢 na Diba mbn atasema
Nilikuwa naisubilia kwa ham jua liwake😂😂😂😂
Hivi kuna mwanaume wa karne hii anajua kupenda kama tomas
Ukimpata naomba uniunganishe nae, maana napenda kung'ang'aniwa
Naona bomu analo liandaa diba ana jiandaye kitakukuta
Lamata tunataka tujue hatima ya Anna na diba wanaboa
Km vp watekane tujue moja huyu anna amesahau alichofanywa ile mwanzo😂😂😂
Felix atakuwa katumwa na Thomas
Siyo atakua, hiyo ndio fact
Anna ndoa emekushinda maskini 😂😂😂😂
Hiv diba kawaje jamani,
Tomas munafki jamani🤣😀😀😂
Diba utajua ujui dadadeki, huyo ndo Anna sasa.
Kwaio hichi ndio kisasi cha ana kwa diba
Na c huyu Diba afanye cku amfatilie Annah ili ajue anaenda wap mbn huyu jamaa anakaa boya hivi lkn
naul anayo kweli c mpk.apewe
Mi ni mshauri lamata kwa Maria pafungwe camera ya siri na frenk
Diba nae kama hajitambui
Wanaume mkipendaga kumbe mnakuwaga mazombe kama diba
Rebeca anamidomo myeusi kama mvutaji 😂😂 wala awaendani kbs na Davis 😅😅
😂😂😂😂😂😂😂
Asa awe na midomo nyeupe nayeye ni mweusi simtasema anaukimwi ameungua
Diba utakoma😊
Anna amekorogeka wallah😂😂😂
Diba anaendeshwa na Ana
Hivi kwenye jamii yetu kuna mwanaume mwenye upendo kama diba upendo unaofanya awe zuzu
Anna atakacho kufanya Diba..dunia itashangaa
diba kaolewaaaaa😂😂😂😂😂😂😂
Jaribuni kutengeneza mazingira kidogo yenye uhalisia hasa kwa Anna na mume wake anachofanya Anna kinavuka mipaka ya kawaida
Ila diba sijui amekuwaje
Dibaaaaaaaaa mwanakulitafuta hiloooooo😂😂😂😂 hukutaka kumskia mjombalusajo miyekaaaaaa
Rebeka mapenzi hayako ivo ukiachwa achika na ski zote jikubali jinsi ulivyo wanaoelewa mapenzi ni upofu gong link hapa
Analazimisha na hapendwi
Nataman nyie wawili enzo na madam rejina mje kuwa wapenzi patanoga
Rebecca napua lake sasa😮
Diba na keki yake ya mtu umoja utaimaliza😀🤣
Enzo na Regina mapenzi yanaanzaga hivo hivo
Glory unataka mwanao atulie na mmewe lkn wewe hutulii nani alikwambia tabia za mtoto wa kike anarithi kwa babake😂😂😂
Mkono juu kwa yyte alommiss marry wa maiko😅😅😅😅
Anna mchoy ww huna lolot
Diba ule iyo keki yako uimalize iishe
Rebecca ana pepo? mwanaume hakutaki unamlazimisha wa nini ana ujinga mwingi sana.
Anna kumbe 😢😢😢😢 dooo
37,maria kwine habari yako😅😅😅😅😅
😂😂😂 kamkomesha Madevu kumwambia mtt atakufa akijua mipango yake atampoteza kabisaaa
Diba amua tuu mpige tukio af hapo pazur hakuna ndug za Anna wanapajua hapo😂uckae kizembe wangapi tunaona diba atafanya jambo jingine😂😂
Juma na eva
Diba anacheka na picha ty😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅 acha ajitie moyo...tuu
Nyie hii ndoa ya diba na Anna mbna siielew me 😢
Diba akili hana Hata kidogo anna amefunga ndoa ili kulipa kisasi
Diba umeoa au umeolewa jmn
Regina na Enzo inanoga ❤
Wanawake kama akina rebeca wapo mbona kwenye jamii zetu wanashauriwa mazuri wao wanabaki kua vinganganizi tu wanataka wapigwe matukio ndio watulie
Diba mpaka anatia huruma kha
Rebecca na hilo wigi😂😂😂 lake
Diba ebu Rudi kwenye uhalisia wako bas😢 uyu Anna anaboa
Et diba Kawa mtumwa wa mtu
Analeta nini ndani had asiwe mtumwa
@@JasminMuhq kayatimba diba
Juma haiii😂😂😂
anajisahau 😂
Anna kuvaa kwko uko very smart 👍💕 but ndani ya roho wewe ni umbwa mwitu...mbona mwamtesa dibaaaa....
Aliolewa ili alipize kisasi ndo maan hakutak ndoa ya kanisan alikuw anaikimbiza kimbiza 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
.jaman diba hadi huruma
Diba na urefu wote uwo una kuwa km sio mwanaume khaa
Madam mpangishie enzoo bhna umuibeee😂 gonga like hapa km unataka madam ampangishie enzo
Tuna mkubali madam Regina na Enzo tujuane Kwa like
Natamani sana enzo aje awe na madam rejina kimapenzi mana niatalii ❤❤❤
Enzoo wanguu nakupenda sana ♥️
Diba king’ast
Diba kaolewa
Diba king’ang’anizi
Yaan enzo anaendananeye kabsa na madam ❤❤
Sana yaani😂😂 tunaisubiri kapo yao Kwa hamu❤
Naona mwisho wa Ana kwa Diba sio mzuri, ,diba anamchota , ila ck akiamka masheta yake yamepanda, ana atajua ajui
Kama unahisi Enzo na Regina wako in love, gonga like hapa🎉🎉
Akili za anna zingekua kama nguo anazovaaga ingekua raha sana
Mbn hana kosa
Diba katafute kazi ya kufanya huyo sio mke bro😂😂
Eva akiwa na mafua sautii yakee mbona kama ndo inakuwa poaaaa❤😊
Madam na Enzo♥️
Yaan mwanamke mwenye mdomo na tabia kama za Anna ndoa kudum uwaga ni bahati2 Diba pole sana
Ndoa hayiwezi kudumu natabia iyo aliyonayo Anna
Changamka enzo maji yashafata mkondo kula chuma hichooo😂😂
❤❤❤❤❤❤❤kwaajr ya Regina na enzo
Anna analipiza kisas kwa Diba sas Diba acha ayaone uliambiwa aukusikiy
Kbs😂😂😂
Ivi mwajumaa na mwaeva mmewaona au mnajifanya hawaonekani😅😅
Mnaosema ana kwann anamtesa diba mmesahau alifunga ndoa ili kulipiza kisasi
Hapo sasa😂😂😂wanasahau lengo lake lilikua nn niheri alivyomaliza kumtesa angeachananae
Ni kweli ila naona kama mwisho wake sio mzuri za Diba atamfanya jambo baya akichoka😢😢
@@elizabethmzoo7597 kisasi kwakisasi
Mbona nikama Regina na Enzo Wanapendana 😂
Huyo ane mngangania Davis wala haendani nae kabisaaaa
Haswaaa 😂😂 ata hawaendani kbs sijuwi Lamata amemtolea wapi uyu mdada 😂😂
@mwajumalub😂😂😂😂😂😂😂unga1534
Juma ni mbeaaa jamaniiii khaaaa 🤣🤣🤣 anajua kunogesha kwa kweli
Wee Diba chukua uyo Anna mpeleke chumba Cha mateso tenah
😂😂😂
Juma na Eva Nawapenda sana
Yaan mme akitaka kutoka mpaka aombe ruhusa kwa mke, lakn mke akitaka kutoka anatoka tu ama kwel kama huna pesa mbele ya mwanamke wewe n bure
Bill na Eva mmeambukizana mafua😂
Sema hyo sound inaboa balaaa
Ivi diba,ameowa au ameolewa😂😂
Muulize hapo mwenyewe 😹😹😹
Diba anaonekana mjinga lkn Anna atapangiwa tukio aje auliwe buree😂
Ameolewa😂😂
Kaolewa
Ameolewa kwani kuna shidooo
Diba😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉😂😂 napicha anna na dives
Juma umbea unauwwzaaa
Enzo na regina mm nanyinyi mpaka ndoa
Kikubwa wanaume tafuteni pesa usije kuwa kama diba... unyumba apati anazaraulika.... anasimwangwa na mengine kama hayo
Msimulaumu anna kwasababu anna anapepo la ngono 😂😂
Juma hi wakina Mahi nawapenda bure
Ana ,Ana,Ana nimekiluita mara 3 unachotaka utakipata kwaiyo domo wako utamkumbuka Diba
Miy ikifik kw ana n diba ham yakuon juakali inaish
Na bado hujasema😅😅😅
Ana anaboa
Anna hapendeki ana Pepo pa ngono
Wanaboa sana
😂😂 mmna forward mbele sehem Yao
Hv Anna mshenz waheed anajikuta nan hasaaa
Mm ananikwaza 😂😂
Analipiza kisasi na nadhan alikuwa anapanga kumuua kabisa maan alisema huyu mwanaume ni muuaji haez mtesa mwanamke ivo@@MsMayyaMsMayya
Diba kamfanya asiende kuishi ghana na bobo sasa hiv yupo bongo acha amtese diba
Rebecca mapenzi usilazimishe..utaumia bure😢😢😢
Madevu wa2😂😂😂
Enzo kitakukuta kitu we neng’eneka tuuuh
Anaemshoneaga nguo grol mbingu ataisikia😅😅
We ana ND ndoa gn hii y kumnyanyasa mwwnZio
Mwanaume Asie napesa ni mbugila tu mnamuona diba anavyo tesek tafuteni pesa achaneni na mapenzi yakijinga
Glory anasema kwwli ...mtu kaolewa atalala vp kwao
Ana sitamani ht kukuona wa kusikia unachomfanyia diba
Kila siku ana akionekana anaulizwa km Yuko sawa kwani vipi😅
Hapa hakuna uhalisia mwanaume anakuaje mjinga kiasi hicho
Tiba utakoma sasa uyo Anna sindio ameshirikishwa ivo ama ilikua anatakaje😢
Du!!!! Anna no atari😢😢 na Diba mbn atasema
Nilikuwa naisubilia kwa ham jua liwake😂😂😂😂
Hivi kuna mwanaume wa karne hii anajua kupenda kama tomas
Ukimpata naomba uniunganishe nae, maana napenda kung'ang'aniwa
Naona bomu analo liandaa diba ana jiandaye kitakukuta
Lamata tunataka tujue hatima ya Anna na diba wanaboa
Km vp watekane tujue moja huyu anna amesahau alichofanywa ile mwanzo😂😂😂
Felix atakuwa katumwa na Thomas
Siyo atakua, hiyo ndio fact
Anna ndoa emekushinda maskini 😂😂😂😂
Hiv diba kawaje jamani,
Tomas munafki jamani🤣😀😀😂
Diba utajua ujui dadadeki, huyo ndo Anna sasa.
Kwaio hichi ndio kisasi cha ana kwa diba
Na c huyu Diba afanye cku amfatilie Annah ili ajue anaenda wap mbn huyu jamaa anakaa boya hivi lkn
naul anayo kweli c mpk.apewe
Mi ni mshauri lamata kwa Maria pafungwe camera ya siri na frenk
Diba nae kama hajitambui
Wanaume mkipendaga kumbe mnakuwaga mazombe kama diba
Rebeca anamidomo myeusi kama mvutaji 😂😂 wala awaendani kbs na Davis 😅😅
😂😂😂😂😂😂😂
Asa awe na midomo nyeupe nayeye ni mweusi simtasema anaukimwi ameungua
Diba utakoma😊
Anna amekorogeka wallah😂😂😂
Diba anaendeshwa na Ana
Hivi kwenye jamii yetu kuna mwanaume mwenye upendo kama diba upendo unaofanya awe zuzu
Anna atakacho kufanya Diba..dunia itashangaa
diba kaolewaaaaa😂😂😂😂😂😂😂
Jaribuni kutengeneza mazingira kidogo yenye uhalisia hasa kwa Anna na mume wake anachofanya Anna kinavuka mipaka ya kawaida
Ila diba sijui amekuwaje
Dibaaaaaaaaa mwanakulitafuta hiloooooo😂😂😂😂 hukutaka kumskia mjombalusajo miyekaaaaaa
Rebeka mapenzi hayako ivo ukiachwa achika na ski zote jikubali jinsi ulivyo wanaoelewa mapenzi ni upofu gong link hapa
Analazimisha na hapendwi
Nataman nyie wawili enzo na madam rejina mje kuwa wapenzi patanoga
Rebecca napua lake sasa😮
Diba na keki yake ya mtu umoja utaimaliza😀🤣
Enzo na Regina mapenzi yanaanzaga hivo hivo
Glory unataka mwanao atulie na mmewe lkn wewe hutulii nani alikwambia tabia za mtoto wa kike anarithi kwa babake😂😂😂
Mkono juu kwa yyte alommiss marry wa maiko😅😅😅😅
Anna mchoy ww huna lolot
Diba ule iyo keki yako uimalize iishe
Rebecca ana pepo? mwanaume hakutaki unamlazimisha wa nini ana ujinga mwingi sana.
Anna kumbe 😢😢😢😢 dooo
37,maria kwine habari yako😅😅😅😅😅
😂😂😂 kamkomesha Madevu kumwambia mtt atakufa akijua mipango yake atampoteza kabisaaa
Diba amua tuu mpige tukio af hapo pazur hakuna ndug za Anna wanapajua hapo😂uckae kizembe wangapi tunaona diba atafanya jambo jingine😂😂
Juma na eva
Diba anacheka na picha ty😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅 acha ajitie moyo...tuu
Nyie hii ndoa ya diba na Anna mbna siielew me 😢
Diba akili hana Hata kidogo anna amefunga ndoa ili kulipa kisasi
Diba umeoa au umeolewa jmn
Regina na Enzo inanoga ❤
Wanawake kama akina rebeca wapo mbona kwenye jamii zetu wanashauriwa mazuri wao wanabaki kua vinganganizi tu wanataka wapigwe matukio ndio watulie
Diba mpaka anatia huruma kha
Rebecca na hilo wigi😂😂😂 lake
Diba ebu Rudi kwenye uhalisia wako bas😢 uyu Anna anaboa
Et diba Kawa mtumwa wa mtu
Analeta nini ndani had asiwe mtumwa
@@JasminMuhq kayatimba diba
Juma haiii😂😂😂
anajisahau 😂
Anna kuvaa kwko uko very smart 👍💕 but ndani ya roho wewe ni umbwa mwitu...mbona mwamtesa dibaaaa....
Aliolewa ili alipize kisasi ndo maan hakutak ndoa ya kanisan alikuw anaikimbiza kimbiza 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
.jaman diba hadi huruma
Diba na urefu wote uwo una kuwa km sio mwanaume khaa