Mbona yuko poa tu, kwani queen ni M-shangazi wapi jamani, mwisho wa yote hii filamu Ina mafundisho balaa sana. Humo kuna usalti, uvumilivu, hekima,upendo na maamzi baada ya kufikiri, King Noel wewe ni balaa mno yaani katika nchi hii akitoka MADEBE LIDAI wewe namba mbili.🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹✅
Kwa kawaida mwanaume anayeweza kudat na dada au ndugu wa mkewe ujue fika huyo mwanaume amuheshim uyo ndugu/dada ivyo hapo amemtumia dada mtu kama fimbo yakumchapia mkewe na ataishia kuwaona wote wanatabia moja au kumrudia mkewe kwakua atajirekebisha na kuendelea kumdharau dada mtu aliyekubali kulala na mume wa ndugu yake.
Dada ake mau hata kama mdogo ako alikose hukupaswa kumfanyia hivyo maana yy anakuamini sana pia anakupenda 😂😂😂 Ipo siku na ww atakuacha na atarudi kwa mkewe utapata aibu
Me sijapenaaaaaaaaaaaa wewe kutoka na dad@ mtuuu king noe huo ni amalaya hata kama maua anakosea ni wajibu wako.we we kama mume kumlekebisha ma sio kutoka na dada yake umenikera na nimezira siangaliii tena
POLENI SANA KWA KUSUBIRI KWA HAMU FILAMU YENU BORA, TUVUMILIENI TU, SI MNAJUA TUNA WAPENDA😉
😡😡
🎉🎉🎉❤❤❤
Mnazidi kuchelewa hadi tunasahau
❤❤❤🎉
Filamu Bora kabisa
Tulio kuwa tunachungulia kila saa huku tujuane😂😂😂
Tupo wengi
Hahaha
Kama mnaungana na mm kuwa episodes zinachelewa sana like hapa
Nikweli
Ee
Sana yaaan
Mpaka tunasahau tuliishia wap
Mwenye ajapenda venye dada ake maua anafanya tujuane kwel kikulacho ki nguon mwako
Anafany vzr maan mdogo wak alikuw amezid alikuw hasikii anachoambiw n mkubwa wake
Sio vizur kuchanganya mtu na dada ake😢😢
Kama kweli huyu ni mkubwa wake maua duuu hakuna wakuaminika nimekoma
Ata mimi sijapenda kwa kweli
Mh kama unamuonea huluma mauwa tujuwane kwa like
Nimekuwa wakwanza naombeni like zngu
yaan katika episode nzuri zaidi na zaid bc hii nimeikubali
Msinikanyage mkiingia,,Wa Kwanza Leo wapi likes zangu
Skuzote kitu ukiwa nacho unaweza kukiona hakina samani sababu kipo kwako Ila pindi kikiondoka ndo utajuwa umuimu wake💪💪💪life life
Hio n kwel aky
Oya noeli unazingua babu ujueme shabikiako sana msitu chele weshee hiyo kazi jamani dah
Nmefrah tu huyo papi kunyanganywa nyumba😆😆😆😆
Salt zote kwa mlio shiriki hiki kipande cha leo wote mmekitendea haki❤❤❤❤❤
Mapenzi n game 🔥 Ila inachelewa jaribu tupate Kwa wakati
Kwanini mnatoa moja moja jamani yani hii move naipenda acha tu
Kula maua kula dada na yeye akileta ujinga kula mama yao mpaka wakuheshim pumbafu😮😮
Leo nimekuwa wa kwanza jamn like hata 3 tu
za nin
Tuno mkubali king noely japokuwa anatuchelewesha tujuane
Brother King Lionel nakukubali sana Ila ningekuwa mimi huyo MAUA angekiona cha mtrma kuni na angemjua huyo MTEMA KUNI ndo nani
Bado tuna taka maua ateseke zaidi yahapo kamuumiza sana mumewe huyu dada hafai aumietu mwana kuli tafutia sindo mwana kuli pata kazi anayooooooooh😅😅😅😅
Kiukweli move yenu nzuri sema mnachelewesha sana kutoa
Mbona yuko poa tu, kwani queen ni M-shangazi wapi jamani, mwisho wa yote hii filamu Ina mafundisho balaa sana. Humo kuna usalti, uvumilivu, hekima,upendo na maamzi baada ya kufikiri, King Noel wewe ni balaa mno yaani katika nchi hii akitoka MADEBE LIDAI wewe namba mbili.🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹✅
King unaendana na maua uyo anaonekana mshangaz
Mshangazi anaenjoy
Game inaanza ss papi😂
Mnachelewa jamnii ad nlisahau daa
Queen ati maua akamtafute pdidy😂😂😂😂 chunga King Noel asikuache pia😂😂😂
Napenda sn anachopitia mauwa
Jmn papii ananipa raha xana duh❤papi npen namb ya papii jmn 😂😂😂😂😂😂uwiiiiiii chugaboy anakatabasum kazur hatalii
Maua hawezi badilika hata sikumoja nivile tu maisha yamembadilikia ki pesa ila moyo wake ni paka shume📌📌📍
Ila noely bdo anampnda xana to mkewe ila yupo to kwenye harakati za kumpa fundishoo soon atarufi kwa mkewee
Wajua hiyo pole yako haitaongeza chochote ila kazi nzuri inastaili kushugulikiwa kwa bidi acha tusonge nalo teke teke
Mbona Maua aitii "mboga mboga za majani kula uoate damu"😂😂😂 Dada muuza mboga
Dada Papi Ni kipenzi kilazimishi Hana cha siri😂😂kitakuramba😂😂
Nakubali kazi zako broo Ivo tuku pamoja
Kazi nzuri King ila rudi kwa mkeo anatexeka xana
Kwa kawaida mwanaume anayeweza kudat na dada au ndugu wa mkewe ujue fika huyo mwanaume amuheshim uyo ndugu/dada ivyo hapo amemtumia dada mtu kama fimbo yakumchapia mkewe na ataishia kuwaona wote wanatabia moja au kumrudia mkewe kwakua atajirekebisha na kuendelea kumdharau dada mtu aliyekubali kulala na mume wa ndugu yake.
Daaaaaah kazi nzuri lakini munachelewesha Sana jaman Hadi twakata tamaa
Munacherewesha kutoa khaaa mpk watu wanasaau
Dada ake mau hata kama mdogo ako alikose hukupaswa kumfanyia hivyo maana yy anakuamini sana pia anakupenda 😂😂😂 Ipo siku na ww atakuacha na atarudi kwa mkewe utapata aibu
Maua acha dunia ikufundishe,pa1 na mapenzi ya dhati uliyopewa na mmeo bado ukamwona poyoyo.
Papi kimeumana na kisut chako Cha mbunge 🤣🤣🤣🤣
Hizo mboga za maua hadi zimenyauka😂😂
😂😂😂
Hadi tunasahau tulipoachia noely bwana
Yaaaaaaani nimefurahi kinoma😅😅😅😅😅😅
Episode zinachelewa sana jamanni😢😢
Apana usimeivo kikweki munatugandisha sana bsi muwe munajitaidi kututumiya baraka
Wahuni sio watu wazuri. Papy ni mahuni tu
Mna tu chelewesha sana
Sema kimeumaana king papi😂😂❤
Mujaribu kuongeza sauti jamani na mutupatiye muzigo mapema
Vyuwazi mpo fasta mafala nyie😅😅😅
Haina shida kwa sababu umetoa dakika nying ni barida tu
Dah tumepoa but dah ad mnatutoa kwenye mood ya move na vyenye naipenda jaman
Mapenz kwel game ayah na mm nipate wa kupenzika nae❤ from zenji
Msicheleweshe Tena jaman.. Mnachosh
Me sijapenaaaaaaaaaaaa wewe kutoka na dad@ mtuuu king noe huo ni amalaya hata kama maua anakosea ni wajibu wako.we we kama mume kumlekebisha ma sio kutoka na dada yake umenikera na nimezira siangaliii tena
Mipia sikupenda
Jamani muwage mnawaisha movie duu adi uond unaisha❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉 papiii pokea hayo kwanza maana sio kwa kupendeza hukooo daaah, maua naomba namba ya papii jmn 😂😂😂❤❤
Ani ni 1hr Tu lkn watu mko perfect
Jaman maua unakataa adi hela 😂😂
Jaman wateja hawaoni mboga ya mauwa kama. Niuziee mm yotee
Mnachelewesha hd mnaboa
❤❤❤Wao Papi salt zote kwa kubadilika umetoka kimtoko kwel mmependezana
Dada anakula tamu yako halafu dada yangu nakupenda sana
Kha!akamtafute p didy tena kha we mshangazi una maneno
My brother tunakuheshm
Enyewe kikulacho ki nguoni mwako 😂😂
Nazifata Congo nilikuwa nasubiri kwa hamu
😂😂😂😂Mauwa juwa kwamba UBAYA UBWELA 😂😂😂UTACHAKA KWA SASA
😂😂😂papi anapenda vyabure shaur yk
Na wakubali kinoma sana
Wa kwanza mie kutok 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Umalaya umemponza maua sasa kama kuna mtu yuko hivi pls jua kuna siku yaja😂
Wakwanz mimi lake zangu munipe
Hahaha hahaha urafiki mimi huyu mwanamke mwenzangu kumuamini labda matiti yaotee miguuni na machacha yaote matitini
Nzuri sana
Nimecheka mno, kazi inamchosha maua
Huwa ni nyakati mbaya sana hizi huku unataka na huku unataka 😅😅😅😂
Sijapenda kwenda na dada ake maua
Nimependa landlord ulivyomchana papi mana kazoea mtelezo
Aki mbona mnachelewa hivi nimengoja karibu nigive up,,,,,any way wacha tuenjoy❤❤❤❤
au munaionaje jamn iko powa cna zayd ya cna🎉
Maua 😂😂😂 ayaaaah mchicha tembere chainiziiii😂😂😂😂pole mke wa mjeda
Jitaidini jamani maana mnachelewesha sana mpaka tunasahau nautamu wenyewe😋
mauwa umebadirika sana mpaka chozi rimenitoka
Mauwa nyunyuzia hizo mboga maji Zina kosa Nuru 🤣🤣🤣🤣
Da nilikuwa na hasira na maua ila tena huruma inanijia😮
Tamthilia tamu ila mnachelewa sanaaa😒😒jitahidini kuwaisha
🤣🤣🤣🤣papi ananiuwa na kicheko
Jamani jamani mnakawa kutupa mouvie yetu tam❤
Munachelewe sana kwanini?
Maua pitia uku nataka mboga alafu nimefurahi sana papi kupokonywa nyumb
Tuliimc sanaaa king🎉
King noeli ile mishi vp mbona umebadilisha no kaka???😢
Sema maua saiv unapendeza tofautu namwanzo❤
Mboga zamajani mchicha tembele🤞🤞
Kwa kweli nimeisubiria sana hii Ep🎉❤
Hapo kwnye kulip kodi madevu nimeipend maan simpend kwl huyo madevu
Jaman dada ake maua anafanya vby xana hamuonei huruma mdg wake
Hiii ndio kiboko Sasa hongera
maisha ni ngumu maua