Комментарии •

  • @kingnoely1
    @kingnoely1 19 часов назад +168

    POLENI SANA KWA KUSUBIRI KWA HAMU FILAMU YENU BORA, TUVUMILIENI TU, SI MNAJUA TUNA WAPENDA😉

  • @sayunimnguruta98
    @sayunimnguruta98 18 часов назад +43

    Tulio kuwa tunachungulia kila saa huku tujuane😂😂😂

  • @josephchilongola8
    @josephchilongola8 19 часов назад +112

    Kama mnaungana na mm kuwa episodes zinachelewa sana like hapa

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 18 часов назад +33

    Mwenye ajapenda venye dada ake maua anafanya tujuane kwel kikulacho ki nguon mwako

    • @HalimaNdabarushimana
      @HalimaNdabarushimana 16 часов назад +1

      Anafany vzr maan mdogo wak alikuw amezid alikuw hasikii anachoambiw n mkubwa wake

    • @RoseMsuya-q6m
      @RoseMsuya-q6m 14 часов назад

      Sio vizur kuchanganya mtu na dada ake😢😢

    • @brexides8713
      @brexides8713 13 часов назад

      Kama kweli huyu ni mkubwa wake maua duuu hakuna wakuaminika nimekoma

    • @HappyJohn-n7y
      @HappyJohn-n7y 10 часов назад

      Ata mimi sijapenda kwa kweli

  • @elisbegaelias163
    @elisbegaelias163 10 часов назад +9

    Mh kama unamuonea huluma mauwa tujuwane kwa like

  • @IddyDunnia
    @IddyDunnia 20 часов назад +21

    Nimekuwa wakwanza naombeni like zngu

  • @MrArady-ds2fb
    @MrArady-ds2fb 10 часов назад +4

    yaan katika episode nzuri zaidi na zaid bc hii nimeikubali

  • @ELKAKEMUNTO
    @ELKAKEMUNTO 20 часов назад +17

    Msinikanyage mkiingia,,Wa Kwanza Leo wapi likes zangu

  • @JaphetiKaseba-fu7jm
    @JaphetiKaseba-fu7jm 16 часов назад +6

    Skuzote kitu ukiwa nacho unaweza kukiona hakina samani sababu kipo kwako Ila pindi kikiondoka ndo utajuwa umuimu wake💪💪💪life life

  • @SleepyDolphin-kv8no
    @SleepyDolphin-kv8no 19 часов назад +7

    Oya noeli unazingua babu ujueme shabikiako sana msitu chele weshee hiyo kazi jamani dah

  • @suzanjonathan9879
    @suzanjonathan9879 18 часов назад +7

    Nmefrah tu huyo papi kunyanganywa nyumba😆😆😆😆

  • @EzekielJoseph-n7p
    @EzekielJoseph-n7p 17 часов назад +5

    Salt zote kwa mlio shiriki hiki kipande cha leo wote mmekitendea haki❤❤❤❤❤

  • @paulmweleli9140
    @paulmweleli9140 12 часов назад +4

    Mapenzi n game 🔥 Ila inachelewa jaribu tupate Kwa wakati

  • @NURDINIABUKARI
    @NURDINIABUKARI 18 часов назад +6

    Kwanini mnatoa moja moja jamani yani hii move naipenda acha tu

  • @Saidathshekiyao
    @Saidathshekiyao 18 часов назад +5

    Kula maua kula dada na yeye akileta ujinga kula mama yao mpaka wakuheshim pumbafu😮😮

  • @lovenesreuben6179
    @lovenesreuben6179 20 часов назад +10

    Leo nimekuwa wa kwanza jamn like hata 3 tu

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 19 часов назад +5

    Tuno mkubali king noely japokuwa anatuchelewesha tujuane

  • @SwaibSangabhihole
    @SwaibSangabhihole 7 часов назад

    Brother King Lionel nakukubali sana Ila ningekuwa mimi huyo MAUA angekiona cha mtrma kuni na angemjua huyo MTEMA KUNI ndo nani

  • @SleepyDolphin-kv8no
    @SleepyDolphin-kv8no 18 часов назад +8

    Bado tuna taka maua ateseke zaidi yahapo kamuumiza sana mumewe huyu dada hafai aumietu mwana kuli tafutia sindo mwana kuli pata kazi anayooooooooh😅😅😅😅

  • @VedastusDionize-z6b
    @VedastusDionize-z6b 18 часов назад +7

    Kiukweli move yenu nzuri sema mnachelewesha sana kutoa

  • @SwaibSangabhihole
    @SwaibSangabhihole 7 часов назад

    Mbona yuko poa tu, kwani queen ni M-shangazi wapi jamani, mwisho wa yote hii filamu Ina mafundisho balaa sana. Humo kuna usalti, uvumilivu, hekima,upendo na maamzi baada ya kufikiri, King Noel wewe ni balaa mno yaani katika nchi hii akitoka MADEBE LIDAI wewe namba mbili.🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹✅

  • @MartinaAgustino-fp5eo
    @MartinaAgustino-fp5eo 19 часов назад +4

    King unaendana na maua uyo anaonekana mshangaz

    • @TatoWakell
      @TatoWakell 18 часов назад

      Mshangazi anaenjoy

  • @vianneyntamavukiro969
    @vianneyntamavukiro969 5 часов назад +1

    Game inaanza ss papi😂

  • @RebbyEddy
    @RebbyEddy 19 часов назад +7

    Mnachelewa jamnii ad nlisahau daa

  • @Sylviah-sm4mb
    @Sylviah-sm4mb 17 часов назад +1

    Queen ati maua akamtafute pdidy😂😂😂😂 chunga King Noel asikuache pia😂😂😂

  • @husnasimba5357
    @husnasimba5357 7 часов назад

    Napenda sn anachopitia mauwa

  • @AnastaziaMwahalende
    @AnastaziaMwahalende 18 часов назад +1

    Jmn papii ananipa raha xana duh❤papi npen namb ya papii jmn 😂😂😂😂😂😂uwiiiiiii chugaboy anakatabasum kazur hatalii

  • @SamiirrRamadhan-s5l
    @SamiirrRamadhan-s5l 9 часов назад

    Maua hawezi badilika hata sikumoja nivile tu maisha yamembadilikia ki pesa ila moyo wake ni paka shume📌📌📍

  • @ساميهحسن-ش8ص
    @ساميهحسن-ش8ص 10 часов назад +1

    Ila noely bdo anampnda xana to mkewe ila yupo to kwenye harakati za kumpa fundishoo soon atarufi kwa mkewee

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula 12 часов назад

    Wajua hiyo pole yako haitaongeza chochote ila kazi nzuri inastaili kushugulikiwa kwa bidi acha tusonge nalo teke teke

  • @sarabeston2075
    @sarabeston2075 9 часов назад

    Mbona Maua aitii "mboga mboga za majani kula uoate damu"😂😂😂 Dada muuza mboga

  • @ELKAKEMUNTO
    @ELKAKEMUNTO 19 часов назад +1

    Dada Papi Ni kipenzi kilazimishi Hana cha siri😂😂kitakuramba😂😂

  • @PrenssKerry-u9o
    @PrenssKerry-u9o 14 часов назад

    Nakubali kazi zako broo Ivo tuku pamoja

  • @Deliphina
    @Deliphina 16 часов назад

    Kazi nzuri King ila rudi kwa mkeo anatexeka xana

  • @gracemremi8359
    @gracemremi8359 8 часов назад

    Kwa kawaida mwanaume anayeweza kudat na dada au ndugu wa mkewe ujue fika huyo mwanaume amuheshim uyo ndugu/dada ivyo hapo amemtumia dada mtu kama fimbo yakumchapia mkewe na ataishia kuwaona wote wanatabia moja au kumrudia mkewe kwakua atajirekebisha na kuendelea kumdharau dada mtu aliyekubali kulala na mume wa ndugu yake.

  • @glorianamcharo6817
    @glorianamcharo6817 16 часов назад

    Daaaaaah kazi nzuri lakini munachelewesha Sana jaman Hadi twakata tamaa

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 19 часов назад +3

    Munacherewesha kutoa khaaa mpk watu wanasaau

  • @sayunimnguruta98
    @sayunimnguruta98 18 часов назад

    Dada ake mau hata kama mdogo ako alikose hukupaswa kumfanyia hivyo maana yy anakuamini sana pia anakupenda 😂😂😂 Ipo siku na ww atakuacha na atarudi kwa mkewe utapata aibu

  • @ElectaNnimbo
    @ElectaNnimbo 12 часов назад

    Maua acha dunia ikufundishe,pa1 na mapenzi ya dhati uliyopewa na mmeo bado ukamwona poyoyo.

  • @meryjohn2902
    @meryjohn2902 17 часов назад

    Papi kimeumana na kisut chako Cha mbunge 🤣🤣🤣🤣

  • @MagdalenaFale-jy6ug
    @MagdalenaFale-jy6ug 17 часов назад +1

    Hizo mboga za maua hadi zimenyauka😂😂

  • @ruksmohaa7071
    @ruksmohaa7071 18 часов назад +2

    Hadi tunasahau tulipoachia noely bwana

  • @IbrahimuMollel-d7e
    @IbrahimuMollel-d7e 10 часов назад

    Yaaaaaaani nimefurahi kinoma😅😅😅😅😅😅

  • @MerryFelex-br9qs
    @MerryFelex-br9qs 15 часов назад +1

    Episode zinachelewa sana jamanni😢😢

  • @IrakozeGroria
    @IrakozeGroria 9 часов назад

    Apana usimeivo kikweki munatugandisha sana bsi muwe munajitaidi kututumiya baraka

  • @abuuamissi
    @abuuamissi 55 минут назад

    Wahuni sio watu wazuri. Papy ni mahuni tu

  • @NyandwiBrigitte
    @NyandwiBrigitte 9 часов назад

    Mna tu chelewesha sana

  • @SaidTeritoLaizer
    @SaidTeritoLaizer 9 часов назад

    Sema kimeumaana king papi😂😂❤

  • @AliceIzike
    @AliceIzike 15 часов назад

    Mujaribu kuongeza sauti jamani na mutupatiye muzigo mapema

  • @SteveJames-j8m
    @SteveJames-j8m 19 часов назад +1

    Vyuwazi mpo fasta mafala nyie😅😅😅

  • @HappyJohn-n7y
    @HappyJohn-n7y 10 часов назад

    Haina shida kwa sababu umetoa dakika nying ni barida tu

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o 18 часов назад +1

    Dah tumepoa but dah ad mnatutoa kwenye mood ya move na vyenye naipenda jaman

  • @JescaMbua
    @JescaMbua 19 часов назад +1

    Mapenz kwel game ayah na mm nipate wa kupenzika nae❤ from zenji

  • @MariaZawadi-z7f
    @MariaZawadi-z7f 19 часов назад +1

    Msicheleweshe Tena jaman.. Mnachosh

  • @AnnethMichel-cp3tl
    @AnnethMichel-cp3tl 13 часов назад

    Me sijapenaaaaaaaaaaaa wewe kutoka na dad@ mtuuu king noe huo ni amalaya hata kama maua anakosea ni wajibu wako.we we kama mume kumlekebisha ma sio kutoka na dada yake umenikera na nimezira siangaliii tena

  • @OmelinaKangombe-g8e
    @OmelinaKangombe-g8e 17 часов назад

    Jamani muwage mnawaisha movie duu adi uond unaisha❤❤❤❤

  • @SmilingJuicer-sq1pu
    @SmilingJuicer-sq1pu 16 часов назад

    🎉🎉🎉🎉 papiii pokea hayo kwanza maana sio kwa kupendeza hukooo daaah, maua naomba namba ya papii jmn 😂😂😂❤❤

  • @amatafukuta8879
    @amatafukuta8879 18 часов назад +1

    Ani ni 1hr Tu lkn watu mko perfect

  • @RoseMsuya-q6m
    @RoseMsuya-q6m 14 часов назад

    Jaman maua unakataa adi hela 😂😂

  • @SmilingGolfBall-sm5lc
    @SmilingGolfBall-sm5lc 10 часов назад

    Jaman wateja hawaoni mboga ya mauwa kama. Niuziee mm yotee

  • @AishaLamick
    @AishaLamick 18 часов назад +2

    Mnachelewesha hd mnaboa

  • @EzekielJoseph-n7p
    @EzekielJoseph-n7p 17 часов назад

    ❤❤❤Wao Papi salt zote kwa kubadilika umetoka kimtoko kwel mmependezana

  • @ElizabethDaudi-b6v
    @ElizabethDaudi-b6v 18 часов назад +1

    Dada anakula tamu yako halafu dada yangu nakupenda sana

  • @AnnaLimbe-g9l
    @AnnaLimbe-g9l 17 часов назад

    Kha!akamtafute p didy tena kha we mshangazi una maneno

  • @SamiryBakari
    @SamiryBakari 7 часов назад

    My brother tunakuheshm

  • @PhoebeOdera-kl3ip
    @PhoebeOdera-kl3ip 18 часов назад +1

    Enyewe kikulacho ki nguoni mwako 😂😂

  • @mecking-t8h
    @mecking-t8h 18 часов назад

    Nazifata Congo nilikuwa nasubiri kwa hamu

  • @ZilfaNdayikunda
    @ZilfaNdayikunda 14 часов назад

    😂😂😂😂Mauwa juwa kwamba UBAYA UBWELA 😂😂😂UTACHAKA KWA SASA

  • @ShofaShofaa
    @ShofaShofaa 11 часов назад

    😂😂😂papi anapenda vyabure shaur yk

  • @AnthonyGavu
    @AnthonyGavu 9 часов назад

    Na wakubali kinoma sana

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie 20 часов назад +2

    Wa kwanza mie kutok 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @lindauma982
    @lindauma982 18 часов назад

    Umalaya umemponza maua sasa kama kuna mtu yuko hivi pls jua kuna siku yaja😂

  • @EmelyneIrakoze-cx3bd
    @EmelyneIrakoze-cx3bd 20 часов назад +2

    Wakwanz mimi lake zangu munipe

  • @Mungumwema-g9p
    @Mungumwema-g9p 18 часов назад

    Hahaha hahaha urafiki mimi huyu mwanamke mwenzangu kumuamini labda matiti yaotee miguuni na machacha yaote matitini

  • @LeonceaDauson-n2k
    @LeonceaDauson-n2k 14 часов назад +2

    Nzuri sana

  • @AbduliSuleiman-o9l
    @AbduliSuleiman-o9l 17 часов назад

    Nimecheka mno, kazi inamchosha maua

  • @RespiqucyMarwa
    @RespiqucyMarwa 15 часов назад

    Huwa ni nyakati mbaya sana hizi huku unataka na huku unataka 😅😅😅😂

  • @NashwaAbdi-yu9hc
    @NashwaAbdi-yu9hc 12 часов назад

    Sijapenda kwenda na dada ake maua

  • @AshaAbdallah-y1h
    @AshaAbdallah-y1h 15 часов назад

    Nimependa landlord ulivyomchana papi mana kazoea mtelezo

  • @PamelaAlando
    @PamelaAlando 18 часов назад

    Aki mbona mnachelewa hivi nimengoja karibu nigive up,,,,,any way wacha tuenjoy❤❤❤❤

  • @MrArady-ds2fb
    @MrArady-ds2fb 10 часов назад +1

    au munaionaje jamn iko powa cna zayd ya cna🎉

  • @ClaraAdam-i1o
    @ClaraAdam-i1o 19 часов назад

    Maua 😂😂😂 ayaaaah mchicha tembere chainiziiii😂😂😂😂pole mke wa mjeda

  • @ElizabethDaudi-b6v
    @ElizabethDaudi-b6v 18 часов назад

    Jitaidini jamani maana mnachelewesha sana mpaka tunasahau nautamu wenyewe😋

  • @MwajMaurid
    @MwajMaurid 19 часов назад +1

    mauwa umebadirika sana mpaka chozi rimenitoka

  • @meryjohn2902
    @meryjohn2902 18 часов назад

    Mauwa nyunyuzia hizo mboga maji Zina kosa Nuru 🤣🤣🤣🤣

  • @IreneMsile
    @IreneMsile 8 часов назад

    Da nilikuwa na hasira na maua ila tena huruma inanijia😮

  • @HusseinWaziri-j4w
    @HusseinWaziri-j4w 12 часов назад

    Tamthilia tamu ila mnachelewa sanaaa😒😒jitahidini kuwaisha

  • @zaitunmwaktawa6971
    @zaitunmwaktawa6971 14 часов назад

    🤣🤣🤣🤣papi ananiuwa na kicheko

  • @Aishatheboss117
    @Aishatheboss117 17 часов назад

    Jamani jamani mnakawa kutupa mouvie yetu tam❤

  • @AntoniocasimiroTobias
    @AntoniocasimiroTobias 18 часов назад +1

    Munachelewe sana kwanini?

  • @SADIKISALIM-l5u
    @SADIKISALIM-l5u 12 часов назад

    Maua pitia uku nataka mboga alafu nimefurahi sana papi kupokonywa nyumb

  • @MagrethLungu-y7x
    @MagrethLungu-y7x 11 часов назад

    Tuliimc sanaaa king🎉

  • @officialfighter-o9b
    @officialfighter-o9b 17 часов назад +1

    King noeli ile mishi vp mbona umebadilisha no kaka???😢

  • @kassangamuhinyagi-s9r
    @kassangamuhinyagi-s9r 9 часов назад

    Sema maua saiv unapendeza tofautu namwanzo❤

  • @AlmasJangalason
    @AlmasJangalason 14 часов назад

    Mboga zamajani mchicha tembele🤞🤞

  • @UnrulyHope-e9j
    @UnrulyHope-e9j 14 часов назад

    Kwa kweli nimeisubiria sana hii Ep🎉❤

  • @SashaOscar
    @SashaOscar 15 часов назад

    Hapo kwnye kulip kodi madevu nimeipend maan simpend kwl huyo madevu

  • @RauAyub
    @RauAyub 8 часов назад

    Jaman dada ake maua anafanya vby xana hamuonei huruma mdg wake

  • @FaizaTatu
    @FaizaTatu 17 часов назад

    Hiii ndio kiboko Sasa hongera

  • @rinahjepleting
    @rinahjepleting 11 часов назад +1

    maisha ni ngumu maua