Hii movie ilikuwa inakuja vizuri part ya batuli,zatiti na kai..upande wa chiko na yolanda. ..na mama kichaa. Saa hii mwaifanya inboesha cz imekuwa ya michambo ya rahma😢😢😢
Aaah bwana me rahma ananiudhi hata kama ni kuigiza anavuka uhalisia kuna mtu gani ye kila mtu anamtukana mkubwa mdogo kila mtu ye hana mtu hata mmoja asiemtukana sa ndo nini bwana
Sasa tunajifunza nn kutoka kwa Rahma? Mtu yupi asiyekua na heshima na watu wazima... Huyu Dada anakere khaaa..... Ebu tuekeeni scene ya mama chiko, Zatiti na wengine
Wah hii my mother saa hizi hata haieleweki ilikwa zatiti na Yule mama kichaaa na somoe saa hizi haieleweki kifupi .
Asalmalkum ndugu zangu wa islamu na wenzetu wa kristo amani ya bwana iwe nanyi na mm leo nimewahi Asanteni term busati 💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗
Waalykumusalam warahmatullah wabarakat
Waleikum msalam warahmatulilla wabarakatuh
Walkum salam warahmatullah wa barakatu
Amen 🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏
hsbari zenu mashabiki wenzangu natumai mko salama .nawapenda 🎉🎉🎉ila leo simuon zatiti kai 🎉🎉
Uyu mzee jaiva kafanana na suzi bale cjui mdog wake 😂
Naona Zuu kila movie yeye akiolewa tyu na mimba tayari ❤❤🎉
😂😂😂
😂😂😂
😅😅😅😅 umewaz mbali
Itakuwa na ya ukweli ipo😅😅😅
😅😅😅 mayai yke yako karbu sana huyu zuu yan ukichomeka kichwa tu ushamlenga
Mmeanz vizur hii move lkn ss mnaharibu wanaotuvutia wote hatuwaoni kina zatiti, Kai, batuli, chiko, candy na kichaa wetu
Haswaa
Ubaya busati wanaifanya story ndefu sanaaaaa wanahalbu fanyen kitu kifupi na kitamu
Nimempenda sana mzee j ametufundisha mengi sana 16:14
Huyu rahma hata kwenye uhalisia wake ni mjeuri sana wanaonikubali gonga like
Hkufundwa vizuri 😅 na wazazi
Hahahaaaa rahma leo kapatikana na shangazilake firidhausi
Rahama unawaza matus kila unaekutana nae ww machambo tuu😊😊😊😊😊
Among top ten,,,tangu nianze kutazama hii movie sijawainpewa like😢😢
Namimi bs naomben like zenu jmn
Hy mzeee namkubali mashallah anamaneno yenye ladha alisi ya busara
yan rahma anakuchamba adi unaskia njaa gafra
😂😂😂
tobaaah Rahama 😮😮 tobaaah mwezimu mzee tu bx
Kiukweli ck izi siipendi i move aivutii kama mwanzo
Jomon uko vzr sana ila role model wa vijana wengi hapa Tz yupo wap bhn Kai bei ❤❤❤❤Ila rahna n nouma 😅😅😅
Na mkae mkijua rahma anaigiza uhalisia mm na mama yngu mkubwa yupo km rahma ivyoo na mjue movie wanaigiza uhalisia unaotokea ktk maisha yetu
Ila tuseme ukweli mama yake Rahma anajua kuchukua uhalisia wa upofu kama kweli vile
Asante sna 🙏
Yeyote yule atalayesoma hii coment uwe na usiku mwema wachawi wakija usiku wasikuone,,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@mohamedlopa8410 amiin Inshaallah na kwako pia
Umavisa wew
Mbna zatity hatumuoni na mwanzo hii move ilikuwa mzur saiv maneno mengi tu
Ata aina utamu inaboesha
Huyo rahima naomba apate chiz wa vitendo sio maneno
Wallahi eeeeiii
Tupunguzieni manenoneno mengi, haswa rahma huyo, anakeraaa kazi mdomo tuuu kaaa!!!
Jmn sakina anaumbea ipuuuu. Nakucukia
Huyu rahma anaharibu movie kai,somoe,zatiti wako wap hao ndo wanachangamsha movie pamoja n chiko n candy😮😮
Rahma pamoja na ukichaa wote ila anamuheshimu mama yake ❤❤🎉 Mungu ambariki kila anaemuheshimu na kumoenda mama yake bila kuchoka ❤❤🎉🎉❤❤
Jamani huo nimfano ila kiukweli kwenye ss binadamu tupo wenye tabia zaidi ya rahama
Watupe house gal tuburudike tunataka kuona ndoa yatasha ina3ndelea vp
Sania kwa umbeya tu nakukubari❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Kwa apo tu amenishinda tabia 🙌😂😂
Rahma wangu punguza ujeur jmn japo inachangamsha ww, candy na Sania 💕💕💕🎉. Wacha tuendelee kutizama utamu wetu jmn❤❤❤
Hii movie ilikuwa inakuja vizuri part ya batuli,zatiti na kai..upande wa chiko na yolanda. ..na mama kichaa. Saa hii mwaifanya inboesha cz imekuwa ya michambo ya rahma😢😢😢
Jamani mama fildausi anatatizo kabisa lamudomo
wazee wakukoment kbla yakuangalia movie mko wpi nipo mbwa mm
😅😅😅😅😅😅
@@FatumaMwinyimvua 😂😂😂😂
Sonia uko na ombea sana wee nahama kua na heshima
Aaah bwana me rahma ananiudhi hata kama ni kuigiza anavuka uhalisia kuna mtu gani ye kila mtu anamtukana mkubwa mdogo kila mtu ye hana mtu hata mmoja asiemtukana sa ndo nini bwana
Kabisa Huwa anaudhi. Hana hesima
𝑵𝒊𝒌𝒐 𝒏𝒂 𝒘𝒆𝒏𝒅𝒛𝒂𝒏𝒈𝒖 𝒌𝒖𝒎𝒃𝒆 𝒂𝒏𝒂𝒖𝒅𝒉𝒊 𝒌𝒘𝒆𝒍 𝒂𝒕𝒌𝒎𝒂 𝒃𝒙 𝒏𝒊𝒌𝒖𝒊𝒈𝒊𝒛𝒂 𝒍𝒌𝒏 𝒂𝒎𝒆𝒛𝒊𝒅𝒊
Alafu amearibu movie ata aina utamu
Yaan kujiamin kunapitiliz mpk anakera
Wafanye tuone hatima yake bora tuyaone majuto yake movie ikiwa bdo xio mwisho wa movie
Rahma mjeur chaukorof chaugomv chakuchambaaa kaah dda punguzaaaa😂😂😂😂😂😂😂
Heri ma.Rahma angezaa mkate aukule,mtoto hana adabu ni matusi tu kwa kila mtu
Weee Rahma unakela na huo mchambo wko bwana house girl mchambo hapa napo mchambo hutak amani ww fujo tu kila cku
Lafiki kama sania ni wakupigwa tuu maana mnafk mnoo
Aki Rahman na sania na kendy wakonatabia moja wana boooooo
Rahma hunaa adabu hata kama ni uigizaj taften manen ya kuongea pind mnapoongea na watu wazima,Rahma huna adabu shingo kama tembo
😂😂😂😂 khaa
@@aishaomar2287 anakera hasa huy dada😏
😅😅😅😅jama
@@FatumaMwinyimvua ndio shoga wee unamuonaje ni umbo lke la mgomba😏
Alafu yy ndio anacheza Ile part kubwa
😂😂😂😂😂😂Rahma eti mbona kama unanikunja kweli kuchambana tu ila kupigana haaaaaah
Rahma kwa kuchamba tu siyo shida zake 😂😂😂😂😂
Sania umenichekesha na leo mhmh wewe kiboko sio mamba sio kwa umbea huo 😂😂
Huyu rahma kweri hamsini rasi hamsini majinuni mala antukane mana ake mala amjali
Wew rahima unakera unaraana ww sio bure mbaya Zaid umebeba had raana za Sania umebeba ww
Sania umbea number one
Leo wa 14😂from oman naomba like
Babu mtie nzi wa mdomo rahma. Jeuri huyu looh
Anaependa swaga za zuu nipeni mauwa yangu
Rahma igiza utakavyo wasikupangiee cha kufanya
Ka mkonde umbea utakugarimu acha kumuaribia mwenzio looohhh......Una roho mbaya na tabia yako ya ushirikina
Hiyo sauti ya mtoto inayolia kusema mama itoeni jaman me inaniliza 😢😢😢
Mimi kaz yangu kutoa like msijaliii❤
Rahma tafadhali wewe ni mrembo sana, lakini enda pole pole tafadhali, tafadhali punguza mdogo yako tafadhali,
Kwweli haipendez kilamda rahma anatukanatu au ndo alivo haka kwake
Jamani Rahma sikwamichambo hiyoo😂😂
Mama firdasi kiboko aa ongera unacheza vyema sana
Kumbe rahima anajua tu kuongea Kama mm tu nguvu hana😂
Mamake firidhaus ana chamba kinoma ...n xwa na candy kwa house girl ya Kai...Yani hamna dogo wenetu...nawapendaga xna mjuwe..😅😅😅
Rahma anachamba mutu mpaka basi hahaha 😆 😅😅
Rahima punguza unyama unabooo😮
Rahma amekuwa mrithi wa riama😂😂mana sikwa michambo hio loo
Umeonaeee 😂😂😂 nlitaka lisema hili na wanafanana
Mhhh riyama alikuw hapayuk ovy yaan mpk umtibue nd atakuchamba ila huy kupayuk t vtu visivy vy maan
@@AminaNgumba 😂😂
Usilinganishe Riyama na huyu mkosa heshima na kupayuka ovyo, anakere 😏😏
Aaaa wapi tena usifananishe kabisa riyama heshima san
Jamani Kwan zatti na yule bwana yetu wako wap???jamniii mewamic asee
eeh wallah Léo mu dakika 2?I'm on time
Nafasi ya rahma tunaomba mtubadilishie mtu mwingine
Sania mbinguni ufiki kwa unafki
Rahma wakubwa wanaoaswa kuheshimiwa
😂😂😂 make nicheke ila si Shangai coz asilimia kubwa wenye midomo nguvu hawana dah! rahma umejua kunivunja mbavu chezea warda weye
Ila rahma mbona kma una changanyikiwa na maisha yan ushauriki uambiliki usikizi Ata watu wakubwa jaman litakukuta jambo
Rahma kweli adabu umeweka mfukoni😂😂😂😂
Rahma ni mtu wa shari hat hajui kuigiz kaz kupayuka tu mxiuuuuuu
Rahm unaudhi san hata kam unaigiz cio kichamb icho cha kila mtu haiwana
Rahma anaonesha mkali kwelii heee na mt anaependa uvomvi😊
Rahama hebu jifunze kuheshimu wakumbwa mbona kila mda unaongea maneno machafu
Rahma jaman punguz mdom dad we
Kila mtu analia rahma kwenye comments 😂😂😂😂 jamani mbn hamuelewi n role,,,eleweni n role amepewa
Rahma jmn kuwa mstarabu basi hata kidogo muhedhimu mmko n hyo baba jmn😢Sania we mbea kweli hta Rahma yashamfikia
I don't want peace I want problems always,😢😢rahma
😂😂😂warida ungemtandika huyo Rahma kumbe nimuoga
Sasa tunajifunza nn kutoka kwa Rahma? Mtu yupi asiyekua na heshima na watu wazima... Huyu Dada anakere khaaa..... Ebu tuekeeni scene ya mama chiko, Zatiti na wengine
Ahsante kwa kuiwaisha am the first to comment
Jaman Sania w n mchonganish hubadiliki tu 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Huyu mama ake bonge nampenda sana ❤❤
Huyu Rahma amenishida tabia
😂😂😂 amekuwa wamoto kama Candy
😂😂😂😂😂hamezi mate kabisa
We acha zako rahma shangaz hat wakusingiziwa wapo hun haya
Saf San babu zuu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nataman umtandike hyo
Mhhhh Sania wewee rafik mnafikiiiii loooo
Mzee Jaivah shikamooo
Uku naona rahma umechukua kikombe🎉🎉🎉
Wa kwanza ❤❤🎉
Yan hyo ungemtandika mpak rahm asem
Rahma weee moto mkali hauzimiki mpaka wazazi wee
Mmmmh Sania wewe kiboko 😂😂😂🙌🙌🙌
Mm nime miss zatiti kweli sijui kapotelea wapi jamani
Sasa marioo ameingiaje apo😂😂😂
Hahahaha we sania nauliza ivi uko na miaka mingap?😅😅😅
Yani hyo rahma n wakumtandika hyo mpaka aseme 😏😏😏😏😏😏😏
Mama fridaus uo mdomo huo jaman unaheshma ata kwa wazeee ipo cku kitakupata kitu
Sania mmmmh umbea kwako ibada