Комментарии •

  • @hajaronduko761
    @hajaronduko761 День назад +5

    Wah hii my mother saa hizi hata haieleweki ilikwa zatiti na Yule mama kichaaa na somoe saa hizi haieleweki kifupi .

  • @Farthun
    @Farthun День назад +40

    Asalmalkum ndugu zangu wa islamu na wenzetu wa kristo amani ya bwana iwe nanyi na mm leo nimewahi Asanteni term busati 💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗

  • @Jenniffer-m9k
    @Jenniffer-m9k День назад +3

    hsbari zenu mashabiki wenzangu natumai mko salama .nawapenda 🎉🎉🎉ila leo simuon zatiti kai 🎉🎉

  • @SabraKhatib
    @SabraKhatib 15 часов назад +3

    Uyu mzee jaiva kafanana na suzi bale cjui mdog wake 😂

  • @DominPallangyo
    @DominPallangyo День назад +13

    Naona Zuu kila movie yeye akiolewa tyu na mimba tayari ❤❤🎉

    • @eshanjira6203
      @eshanjira6203 День назад

      😂😂😂

    • @paulinanhinde6845
      @paulinanhinde6845 День назад

      😂😂😂

    • @IreenAgustino
      @IreenAgustino День назад

      😅😅😅😅 umewaz mbali

    • @LuciaBukula
      @LuciaBukula День назад +1

      Itakuwa na ya ukweli ipo😅😅😅

    • @FatumaFeso
      @FatumaFeso День назад +2

      😅😅😅 mayai yke yako karbu sana huyu zuu yan ukichomeka kichwa tu ushamlenga

  • @gracenamerod-mh4qt
    @gracenamerod-mh4qt День назад +12

    Mmeanz vizur hii move lkn ss mnaharibu wanaotuvutia wote hatuwaoni kina zatiti, Kai, batuli, chiko, candy na kichaa wetu

  • @youngb8672
    @youngb8672 18 часов назад +2

    Ubaya busati wanaifanya story ndefu sanaaaaa wanahalbu fanyen kitu kifupi na kitamu

  • @Saada-g4j
    @Saada-g4j 22 часа назад +2

    Nimempenda sana mzee j ametufundisha mengi sana 16:14

  • @AminaKhamis-e2n
    @AminaKhamis-e2n День назад +18

    Huyu rahma hata kwenye uhalisia wake ni mjeuri sana wanaonikubali gonga like

  • @MwanajumaMwamanono
    @MwanajumaMwamanono День назад +2

    Hahahaaaa rahma leo kapatikana na shangazilake firidhausi

  • @LusiKomba-rh1vo
    @LusiKomba-rh1vo День назад +7

    Rahama unawaza matus kila unaekutana nae ww machambo tuu😊😊😊😊😊

  • @JacintaMaloba
    @JacintaMaloba День назад +14

    Among top ten,,,tangu nianze kutazama hii movie sijawainpewa like😢😢

  • @HaapyLukumay
    @HaapyLukumay День назад +10

    Namimi bs naomben like zenu jmn

  • @MwanajumaMwamanono
    @MwanajumaMwamanono День назад +2

    Hy mzeee namkubali mashallah anamaneno yenye ladha alisi ya busara

  • @franktodory
    @franktodory День назад +7

    yan rahma anakuchamba adi unaskia njaa gafra

  • @jacklineteresia2629
    @jacklineteresia2629 День назад +2

    tobaaah Rahama 😮😮 tobaaah mwezimu mzee tu bx

  • @NeemaPatrick-d7c
    @NeemaPatrick-d7c День назад +2

    Kiukweli ck izi siipendi i move aivutii kama mwanzo

  • @yassindibwe-sb7mq
    @yassindibwe-sb7mq День назад +2

    Jomon uko vzr sana ila role model wa vijana wengi hapa Tz yupo wap bhn Kai bei ❤❤❤❤Ila rahna n nouma 😅😅😅

  • @youngb8672
    @youngb8672 18 часов назад +2

    Na mkae mkijua rahma anaigiza uhalisia mm na mama yngu mkubwa yupo km rahma ivyoo na mjue movie wanaigiza uhalisia unaotokea ktk maisha yetu

  • @DominPallangyo
    @DominPallangyo День назад +9

    Ila tuseme ukweli mama yake Rahma anajua kuchukua uhalisia wa upofu kama kweli vile

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 День назад +18

    Yeyote yule atalayesoma hii coment uwe na usiku mwema wachawi wakija usiku wasikuone,,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @Farthun
      @Farthun День назад

      @@mohamedlopa8410 amiin Inshaallah na kwako pia

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 19 часов назад

      Umavisa wew

  • @Asyawaamidu-g7p
    @Asyawaamidu-g7p День назад +6

    Mbna zatity hatumuoni na mwanzo hii move ilikuwa mzur saiv maneno mengi tu

  • @RehemaMwakisyala-k9u
    @RehemaMwakisyala-k9u День назад +7

    Huyo rahima naomba apate chiz wa vitendo sio maneno

  • @LovenessMwakyonde-kd6tu
    @LovenessMwakyonde-kd6tu День назад +2

    Tupunguzieni manenoneno mengi, haswa rahma huyo, anakeraaa kazi mdomo tuuu kaaa!!!

  • @افلينافلين-ي9ك
    @افلينافلين-ي9ك День назад +2

    Jmn sakina anaumbea ipuuuu. Nakucukia

  • @MaryianKea
    @MaryianKea День назад +2

    Huyu rahma anaharibu movie kai,somoe,zatiti wako wap hao ndo wanachangamsha movie pamoja n chiko n candy😮😮

  • @DominPallangyo
    @DominPallangyo День назад +4

    Rahma pamoja na ukichaa wote ila anamuheshimu mama yake ❤❤🎉 Mungu ambariki kila anaemuheshimu na kumoenda mama yake bila kuchoka ❤❤🎉🎉❤❤

  • @MwanajumaMwamanono
    @MwanajumaMwamanono День назад +2

    Jamani huo nimfano ila kiukweli kwenye ss binadamu tupo wenye tabia zaidi ya rahama

  • @bintijumachongoa892
    @bintijumachongoa892 День назад +6

    Watupe house gal tuburudike tunataka kuona ndoa yatasha ina3ndelea vp

  • @HappyDickson-d2g
    @HappyDickson-d2g День назад +5

    Sania kwa umbeya tu nakukubari❤❤❤🎉🎉🎉🎉

    • @HudhaimaYussuf
      @HudhaimaYussuf День назад

      Kwa apo tu amenishinda tabia 🙌😂😂

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 День назад +5

    Rahma wangu punguza ujeur jmn japo inachangamsha ww, candy na Sania 💕💕💕🎉. Wacha tuendelee kutizama utamu wetu jmn❤❤❤

  • @MwanamisiSuleiman
    @MwanamisiSuleiman День назад +5

    Hii movie ilikuwa inakuja vizuri part ya batuli,zatiti na kai..upande wa chiko na yolanda. ..na mama kichaa. Saa hii mwaifanya inboesha cz imekuwa ya michambo ya rahma😢😢😢

  • @PhilbertHabonimana-o1z
    @PhilbertHabonimana-o1z 16 часов назад +1

    Jamani mama fildausi anatatizo kabisa lamudomo

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 День назад +12

    wazee wakukoment kbla yakuangalia movie mko wpi nipo mbwa mm

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv День назад +2

    Sonia uko na ombea sana wee nahama kua na heshima

  • @irenestephen399
    @irenestephen399 День назад +27

    Aaah bwana me rahma ananiudhi hata kama ni kuigiza anavuka uhalisia kuna mtu gani ye kila mtu anamtukana mkubwa mdogo kila mtu ye hana mtu hata mmoja asiemtukana sa ndo nini bwana

    • @susana7645
      @susana7645 День назад

      Kabisa Huwa anaudhi. Hana hesima

    • @Riziki-y7x
      @Riziki-y7x День назад

      𝑵𝒊𝒌𝒐 𝒏𝒂 𝒘𝒆𝒏𝒅𝒛𝒂𝒏𝒈𝒖 𝒌𝒖𝒎𝒃𝒆 𝒂𝒏𝒂𝒖𝒅𝒉𝒊 𝒌𝒘𝒆𝒍 𝒂𝒕𝒌𝒎𝒂 𝒃𝒙 𝒏𝒊𝒌𝒖𝒊𝒈𝒊𝒛𝒂 𝒍𝒌𝒏 𝒂𝒎𝒆𝒛𝒊𝒅𝒊

    • @Lydia-oy1cz
      @Lydia-oy1cz День назад

      ​Alafu amearibu movie ata aina utamu

    • @AminaNgumba
      @AminaNgumba День назад

      Yaan kujiamin kunapitiliz mpk anakera

    • @athanacyvenance9629
      @athanacyvenance9629 День назад

      Wafanye tuone hatima yake bora tuyaone majuto yake movie ikiwa bdo xio mwisho wa movie

  • @BadriaMaulid
    @BadriaMaulid 19 часов назад +1

    Rahma mjeur chaukorof chaugomv chakuchambaaa kaah dda punguzaaaa😂😂😂😂😂😂😂

  • @mourinemusungu-w5c
    @mourinemusungu-w5c День назад +2

    Heri ma.Rahma angezaa mkate aukule,mtoto hana adabu ni matusi tu kwa kila mtu

  • @FatumaFeso
    @FatumaFeso День назад +2

    Weee Rahma unakela na huo mchambo wko bwana house girl mchambo hapa napo mchambo hutak amani ww fujo tu kila cku

  • @RebyMacky
    @RebyMacky День назад +4

    Lafiki kama sania ni wakupigwa tuu maana mnafk mnoo

  • @rosechepkorir4998
    @rosechepkorir4998 День назад +2

    Aki Rahman na sania na kendy wakonatabia moja wana boooooo

  • @mwanaakidaomar4663
    @mwanaakidaomar4663 День назад +14

    Rahma hunaa adabu hata kama ni uigizaj taften manen ya kuongea pind mnapoongea na watu wazima,Rahma huna adabu shingo kama tembo

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 День назад +2

    😂😂😂😂😂😂Rahma eti mbona kama unanikunja kweli kuchambana tu ila kupigana haaaaaah

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 День назад +12

    Rahma kwa kuchamba tu siyo shida zake 😂😂😂😂😂

  • @ZenahG-e3n
    @ZenahG-e3n День назад +2

    Sania umenichekesha na leo mhmh wewe kiboko sio mamba sio kwa umbea huo 😂😂

  • @kamarhelo
    @kamarhelo 19 часов назад +1

    Huyu rahma kweri hamsini rasi hamsini majinuni mala antukane mana ake mala amjali

  • @RehemaMwakisyala-k9u
    @RehemaMwakisyala-k9u День назад +4

    Wew rahima unakera unaraana ww sio bure mbaya Zaid umebeba had raana za Sania umebeba ww

  • @EucapetChepkemoi
    @EucapetChepkemoi 20 часов назад +2

    Sania umbea number one

  • @ZuhuraAbdallah-u9o
    @ZuhuraAbdallah-u9o День назад +5

    Leo wa 14😂from oman naomba like

  • @umaima1178
    @umaima1178 День назад +1

    Babu mtie nzi wa mdomo rahma. Jeuri huyu looh

  • @MwanajumaMwamanono
    @MwanajumaMwamanono День назад +1

    Anaependa swaga za zuu nipeni mauwa yangu

  • @youngb8672
    @youngb8672 18 часов назад +1

    Rahma igiza utakavyo wasikupangiee cha kufanya

  • @EvethaSimba-i1c
    @EvethaSimba-i1c День назад +1

    Ka mkonde umbea utakugarimu acha kumuaribia mwenzio looohhh......Una roho mbaya na tabia yako ya ushirikina

  • @MakaNkoka
    @MakaNkoka 21 час назад +1

    Hiyo sauti ya mtoto inayolia kusema mama itoeni jaman me inaniliza 😢😢😢

  • @LovenessLucas-r2x
    @LovenessLucas-r2x 14 часов назад +1

    Mimi kaz yangu kutoa like msijaliii❤

  • @fayojarso3777
    @fayojarso3777 День назад +1

    Rahma tafadhali wewe ni mrembo sana, lakini enda pole pole tafadhali, tafadhali punguza mdogo yako tafadhali,

  • @AshaMgeni-k9p
    @AshaMgeni-k9p День назад +1

    Kwweli haipendez kilamda rahma anatukanatu au ndo alivo haka kwake

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 День назад +1

    Jamani Rahma sikwamichambo hiyoo😂😂

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s День назад +1

    Mama firdasi kiboko aa ongera unacheza vyema sana

  • @tossynia
    @tossynia День назад +1

    Kumbe rahima anajua tu kuongea Kama mm tu nguvu hana😂

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 День назад +1

    Mamake firidhaus ana chamba kinoma ...n xwa na candy kwa house girl ya Kai...Yani hamna dogo wenetu...nawapendaga xna mjuwe..😅😅😅

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 День назад +1

    Rahma anachamba mutu mpaka basi hahaha 😆 😅😅

  • @sifamaureen2792
    @sifamaureen2792 День назад +3

    Rahima punguza unyama unabooo😮

  • @RauDogo
    @RauDogo День назад +14

    Rahma amekuwa mrithi wa riama😂😂mana sikwa michambo hio loo

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 День назад +1

      Umeonaeee 😂😂😂 nlitaka lisema hili na wanafanana

    • @AminaNgumba
      @AminaNgumba День назад +1

      Mhhh riyama alikuw hapayuk ovy yaan mpk umtibue nd atakuchamba ila huy kupayuk t vtu visivy vy maan

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 День назад

      @@AminaNgumba 😂😂

    • @susanchebet3298
      @susanchebet3298 День назад

      Usilinganishe Riyama na huyu mkosa heshima na kupayuka ovyo, anakere 😏😏

    • @HudhaimaYussuf
      @HudhaimaYussuf День назад

      Aaaa wapi tena usifananishe kabisa riyama heshima san

  • @Shinyg3l
    @Shinyg3l День назад +2

    Jamani Kwan zatti na yule bwana yetu wako wap???jamniii mewamic asee

  • @terimberejaliajalia8284
    @terimberejaliajalia8284 День назад +3

    eeh wallah Léo mu dakika 2?I'm on time

  • @EzekiaMsemwa-sk7ow
    @EzekiaMsemwa-sk7ow День назад +1

    Nafasi ya rahma tunaomba mtubadilishie mtu mwingine

  • @fatfat9093
    @fatfat9093 День назад +1

    Sania mbinguni ufiki kwa unafki
    Rahma wakubwa wanaoaswa kuheshimiwa

  • @AshuraIssa-j8s
    @AshuraIssa-j8s День назад +1

    😂😂😂 make nicheke ila si Shangai coz asilimia kubwa wenye midomo nguvu hawana dah! rahma umejua kunivunja mbavu chezea warda weye

  • @Mwanasiti-d9x
    @Mwanasiti-d9x День назад +1

    Ila rahma mbona kma una changanyikiwa na maisha yan ushauriki uambiliki usikizi Ata watu wakubwa jaman litakukuta jambo

  • @sayunimnguruta98
    @sayunimnguruta98 День назад +1

    Rahma kweli adabu umeweka mfukoni😂😂😂😂

  • @AminaNgumba
    @AminaNgumba День назад +1

    Rahma ni mtu wa shari hat hajui kuigiz kaz kupayuka tu mxiuuuuuu

  • @ApsaraMob
    @ApsaraMob День назад +1

    Rahm unaudhi san hata kam unaigiz cio kichamb icho cha kila mtu haiwana

  • @lutfiasuleiman
    @lutfiasuleiman 10 часов назад

    Rahma anaonesha mkali kwelii heee na mt anaependa uvomvi😊

  • @JaneMhango-yl7xo
    @JaneMhango-yl7xo День назад +1

    Rahama hebu jifunze kuheshimu wakumbwa mbona kila mda unaongea maneno machafu

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov День назад +2

    Rahma jaman punguz mdom dad we

  • @RosebellahNambiro-gf5ot
    @RosebellahNambiro-gf5ot День назад +1

    Kila mtu analia rahma kwenye comments 😂😂😂😂 jamani mbn hamuelewi n role,,,eleweni n role amepewa

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 10 часов назад

    Rahma jmn kuwa mstarabu basi hata kidogo muhedhimu mmko n hyo baba jmn😢Sania we mbea kweli hta Rahma yashamfikia

  • @annstamciawanzila2652
    @annstamciawanzila2652 День назад +1

    I don't want peace I want problems always,😢😢rahma

  • @mary-lx3hr
    @mary-lx3hr День назад

    😂😂😂warida ungemtandika huyo Rahma kumbe nimuoga

  • @susanchebet3298
    @susanchebet3298 День назад +1

    Sasa tunajifunza nn kutoka kwa Rahma? Mtu yupi asiyekua na heshima na watu wazima... Huyu Dada anakere khaaa..... Ebu tuekeeni scene ya mama chiko, Zatiti na wengine

  • @traziasmuhandiki
    @traziasmuhandiki День назад +1

    Ahsante kwa kuiwaisha am the first to comment

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov День назад

    Jaman Sania w n mchonganish hubadiliki tu 😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @rizikisam6481
    @rizikisam6481 День назад

    Huyu mama ake bonge nampenda sana ❤❤

  • @umikifupa-mi3re
    @umikifupa-mi3re День назад +13

    Huyu Rahma amenishida tabia

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov День назад

    We acha zako rahma shangaz hat wakusingiziwa wapo hun haya

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov День назад

    Saf San babu zuu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nataman umtandike hyo

  • @AishaRashed-m5o
    @AishaRashed-m5o День назад

    Mhhhh Sania wewee rafik mnafikiiiii loooo

  • @paulinanhinde6845
    @paulinanhinde6845 День назад

    Mzee Jaivah shikamooo

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 День назад

    Uku naona rahma umechukua kikombe🎉🎉🎉

  • @ChristineNyongesa-qf2im
    @ChristineNyongesa-qf2im День назад +1

    Wa kwanza ❤❤🎉

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov День назад

    Yan hyo ungemtandika mpak rahm asem

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi День назад

    Rahma weee moto mkali hauzimiki mpaka wazazi wee

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r День назад

    Mmmmh Sania wewe kiboko 😂😂😂🙌🙌🙌

  • @riziki8406
    @riziki8406 День назад

    Mm nime miss zatiti kweli sijui kapotelea wapi jamani

  • @MaryClement-gq3se
    @MaryClement-gq3se День назад

    Sasa marioo ameingiaje apo😂😂😂

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 22 часа назад

    Hahahaha we sania nauliza ivi uko na miaka mingap?😅😅😅

  • @salhaissa-xq9ov
    @salhaissa-xq9ov День назад

    Yani hyo rahma n wakumtandika hyo mpaka aseme 😏😏😏😏😏😏😏

  • @Juliety-v3o
    @Juliety-v3o День назад

    Mama fridaus uo mdomo huo jaman unaheshma ata kwa wazeee ipo cku kitakupata kitu

  • @MwanajumaMwamanono
    @MwanajumaMwamanono День назад

    Sania mmmmh umbea kwako ibada