Sasa kwa uelewa wako filamu imekufunza nini na ukiona mwenye makosa alikua nani? Kwa sababu Madikodiko ndie mwenye kuomba msamaha kumanisha yeye ndie mkosa na wala sie Bujra so kejeli zako kwa ukosefu wa kuelewa kwanza unafaa kujua kisa na sababu alie kosa na alie kosewa ndio utajifunza alafu uyo mume wa peke yako labda upate mwanaume ambae hana nguvu ama mwenye maradhi lakini mume mwenye na nguvu zake na ana afya zake hawezi kua wa peke yako, so ni uchague mume mmoja, mzinifu ama atakaye owa mke zaidi ya mmoja ama mwenye maradhi ama asie kua na nguvu za kiume
Congratulations for Jimbo Media
Sofia Bujra madikodiko &Mzee Masjid. Superb play
muwe wote jaman beka bujra na wake zake ❤ mke mdogo usije kuondoka tena tunakupenda
Mashaa Allah ❤
Mzee majdi yunifurahisha kwl mashallah tabarakallah
Mke mdogo ww ndio wachamsha ile mbaya nawapenda nyote kw ajili ya Allah 🇲🇴🇲🇴
Sophia umerudia hoyo 😂😂😂😂😂
Well talented
❤❤❤wakwanza nipeni izo like sopia amewasili😊😊😊
MASHAALLAH funzoooo na Nusuuu walai.......❤Allah atupe roho jamani na hekmah
😂😂😂 Wake wenza hoyeee🤪🤪
Mashallah kwa Sofia kuzuri🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂😂ama navaa nguo zako saa hii ama kanzu za mume wangu 😂😂😂😂😂😂
Mlikuwa wap jamani nawapenda nyote kwa ajili ya Allah
Jimbo media bila sofi nkama chai bila sukar much love sofi❤️❤️❤️🫂
Mzee majidi anaanza na kuchungulia😅😅😅
Natamani coment yako sophia nakupenda wee mdada❤❤❤❤
Niphan zo likes ayangun mana mm ndo wakwanza kulike
Family haijakamilika bado beka kisemesho😂
Hii ni sunnah kweli na wanaume ndio waliiweka kipau mbele hila kuwa na wake wawili wallahi ni mtihani😊😊
Sasa kwa uelewa wako filamu imekufunza nini na ukiona mwenye makosa alikua nani? Kwa sababu Madikodiko ndie mwenye kuomba msamaha kumanisha yeye ndie mkosa na wala sie Bujra so kejeli zako kwa ukosefu wa kuelewa kwanza unafaa kujua kisa na sababu alie kosa na alie kosewa ndio utajifunza alafu uyo mume wa peke yako labda upate mwanaume ambae hana nguvu ama mwenye maradhi lakini mume mwenye na nguvu zake na ana afya zake hawezi kua wa peke yako, so ni uchague mume mmoja, mzinifu ama atakaye owa mke zaidi ya mmoja ama mwenye maradhi ama asie kua na nguvu za kiume
🎉🎉🎉🎉😂😂
Good job
😂😂😂😂😂😂
karud mrembo
😂😂Apoapo ten chauman
Good job