EXCLUSIVE: BABA LEVO AKUTANA NA RAFIKI YAKE MWANAJESHI WA MAREKANI MTANZANIA MCHAGA KUTOKEA MOSHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 окт 2024
  • #7MEDIA #SUBSCRIBE

Комментарии • 110

  • @collinsnyoro1450
    @collinsnyoro1450 7 часов назад +4

    Baba levo naomba ukirudi upitie Kenya+254. Kazi yako safi sana tunaipenda

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 7 часов назад

    Baba Levo umetisha kinoma

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 10 часов назад +13

    Baba levo fursa ya marekani uko ki professional kama mwana habari katika jamii kuongea na watanzania ambao sio kiudaku na ushamba ushamba wa kelele kama mwijaku.umetulia ukichekesha watu yaani interview za watu wako ni burudani kusikia.mwijaku ni majungu na kujisifia huku akiponda watu.big up Mwijaku

    • @SevenMediatz
      @SevenMediatz  10 часов назад +3

      Nashukuru sana

    • @SevenMediatz
      @SevenMediatz  10 часов назад +3

      Usisahau kusubscribe na kushare

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt 10 часов назад +2

      Sasa umemponda Mwijaku alafu tena unampa big up mbona hauleweki😮

    • @Lulualshagri
      @Lulualshagri 9 часов назад

      Mimi mwenyewe nimeshangaa au kakosea kuandika alitaka kuandika bblevo akateleza😂😂😂😂​@@IbniAbbas-yz3kt

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 9 часов назад +1

      Kaka hana hta majivuno ma sha Allah Mungu ampe uhai mrefu

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j 8 часов назад +4

    Elimu yadarasani aliyenayo mwijaku kama angeipata Baba Levo , angekua mtu mwingine sana, bigup bmajumba

  • @ReaganHaule-c8e
    @ReaganHaule-c8e 7 часов назад

    Hapa ndiyo unapojua tofauti ya baba levo na mwijako

  • @DeborahSichone-b9c
    @DeborahSichone-b9c 7 часов назад

    Baba levo nakupenda niletee zawadi

  • @methodluoga8483
    @methodluoga8483 10 часов назад +12

    We baba levo kaa na huyu jamaa umfanyie interview kuna mambo mengi tutajifunza huku tz 🇹🇿🇹🇿

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 7 часов назад

    Nimependa

  • @DeborahSichone-b9c
    @DeborahSichone-b9c 7 часов назад +1

    Mwijaku alidhani marekani amtaweza yeye peke yake akamnanga baba levo eti oo awezi kwenda marekani mbona kaenda sasa na rafiki anao

  • @johnmwaisunga2339
    @johnmwaisunga2339 7 часов назад

    Kimsikiliza Mlay Na kama una ndugu ulaya unaweza kulia Watanzania Ni watu Wa ajabu Sana wapo tayari kukutumia Hela Na Sio kukuvuta na uwende, pili mley kama angempata MTU Wa kumuuliza maswali ya udadisi angeongea mengi ya kutusaidia, changamoto Baba levo anauliza swali alafu anabishana Na majibu ya Mlay. Thanks hata hivyo

  • @imanuelzakayo8703
    @imanuelzakayo8703 7 часов назад +1

    Asante sana baba levo kutuletea uyuu jamaaa wetuu

  • @isacktemba551
    @isacktemba551 8 часов назад +3

    Io ndio tofauti ya baba levo na mwijaku,baba levo anajua nn kimempeleka usa kua n silent ocean na kuitangaza kwa wana sio matuc

  • @MsafirGervas
    @MsafirGervas 10 часов назад +5

    Mlay safi kaka🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 9 часов назад +12

    Mtu anaisha marekan miaka kibao lakin kiswahil kinapigwa kma hajui kizungu😂😂 /kutana na hizi mbuz sasa za kibongo... zikienda siku moja wiki mbil tu/ngoja warud😂😂 you knw you kno izo zinajaa bus zima kina konde😂😂😂😂yan ad kichefu chefu

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 9 часов назад

      Wengine wanasoma kwa ras simba tu lkn hatupumui😂😂😂

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 7 часов назад +1

      Akikuona mtu anajifanya kasahau asili yake huyo anakuwa km samaki wa maji ya chumvi ukimuweka maji ya kawaida mara anakufa

  • @Kevworx
    @Kevworx 9 часов назад +3

    Mwamba yuko safi sana, Babalevo akili nyingi sana

  • @VenancyMorice
    @VenancyMorice 10 часов назад +10

    Mwamba Yuko vizur sana havimbi kama wengine

    • @hamiduOmar-o8r
      @hamiduOmar-o8r 10 часов назад

      Sna ameongea pwent wanajesh wetu wao wapo chini ya sheria kz yaoo kupiga raia

  • @yohanakateko
    @yohanakateko 10 часов назад +7

    Ukweli hatupendani as watanzania ndo shida

  • @boniphacejohn2981
    @boniphacejohn2981 10 часов назад +13

    Baba levo uwa anaakili kuliko mwijaku

  • @tasukutechnologies2573
    @tasukutechnologies2573 8 часов назад +1

    Hiyo night kweli Mlay, lakini watanzania haina kupeana opportunities

  • @bustabruce480
    @bustabruce480 9 часов назад +1

    I like it❤

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 8 часов назад +1

    Ukweli ndo huo watanzania tunaroho mbaya sana wabinafsi san kwenye swala la rizq na ukipambana ukafanikiwa pia wanataka kukurudisha nyuma

  • @MohamedHassan-k6m6g
    @MohamedHassan-k6m6g 7 часов назад +1

    duuuh wa tz wote wangekua kama huyu mwamba tungesha fika mbali sana

  • @elitorokaa4858
    @elitorokaa4858 10 часов назад +5

    Baba levo muda mwingine anakuwa mtu wa maana kabisa😂😂😂

    • @Saidi-x4h
      @Saidi-x4h 7 часов назад

      Hakuna mtu hasiekua wa maana alafu akawa maarufu, sema tu wabongo tunazalau sana

  • @abuubakary4848
    @abuubakary4848 10 часов назад +13

    mwamba ana nyodo kabisa mwanangu like kama umemkubali mwamba

    • @McBaraka-tz
      @McBaraka-tz 9 часов назад +1

      Sio kwamba mwamba ana nyodo ila hana nyodo kabisa sio kwamba ana nyodo

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 9 часов назад +1

      ​@@McBaraka-tz😂😂😂alimaanisha hivyo

    • @McBaraka-tz
      @McBaraka-tz 9 часов назад +1

      @ndukulusudikucho_ 😄🙌🏽 Ooh sasa shida kuna maneno ukishalitolea herufi hata moja tu linabadilisha maana ya kile ulichokusudia, yeye kasema "ana nyodo" badala ya kutumia "hana nyodo" ila kumbe alimaanisha HANA NYODO... Duuuh 🤣🤣

    • @FredMwamgogwa-td6ni
      @FredMwamgogwa-td6ni 9 часов назад +1

      Nyodo gani sasa

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 9 часов назад +1

      Watu waswahili lkn hawajui kiswahili chao

  • @startwithginegine1891
    @startwithginegine1891 9 часов назад +2

    Jamaa nimemkubali sana

  • @enezacleopa6272
    @enezacleopa6272 8 часов назад

    Nakubalii Sana 🫡🫡minimwitemwamba CHUMA✊

  • @BinSultan-t5g
    @BinSultan-t5g 8 часов назад +2

    Angekua ni mmarekani kapata kazi tanzania ungewasikia wabaguzi wa kiswahili

  • @providencekusinza7122
    @providencekusinza7122 9 часов назад +2

    Mtu wa camera wa ovyo sana

  • @MsafirGervas
    @MsafirGervas 10 часов назад +4

    Mwamba kabisa play USAarmy

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa1206 8 часов назад

    Mlay mimi ndugu yako kabisa nitafutie connection😂😂

  • @methodluoga8483
    @methodluoga8483 10 часов назад +2

    Weee baba levo unatetea uhuni wanaoufanya wanajeshi wa bongo

  • @kasongombuyu3407
    @kasongombuyu3407 9 часов назад +1

    Mwambie babalevo kama yupo Pennsylvania Pittsburgh ha nitatafute ninamuzigo wango wakutuma hafrican frenk

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 8 часов назад +1

    Mlay nimekuelewa kuhusu wanajesh

  • @HarunaHamisi-d5l
    @HarunaHamisi-d5l 8 часов назад

    Siri zikifichuka kwakuliwa ndogo mnajifanya ilikuwa siri 😊

  • @MohamedHassan-k6m6g
    @MohamedHassan-k6m6g 7 часов назад

    sito sahau kuna met wangu mpoja alitoka depo ile kaniona kwa mbali ananambie dogo apo apo ulipo shuka chini njoo kwa kichula na sijamkosea kitu ili tu nijue kasha kua soja tayali

  • @FILAMUMEDIATZ
    @FILAMUMEDIATZ 9 часов назад

    Habari naitwa Sadr promoter naomba namba yababa levo kwa ajili promotion

  • @TangaMashewa-qe8kk
    @TangaMashewa-qe8kk 9 часов назад +1

    tatizo mchukua camera ni wa hovyo hachukui video panapohitajika pachukuliwe kasemama kama moja hashushi shini hapandijuu yeye uso uso kama mtu uliemuambie nipige paspot size

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 9 часов назад

    Hapa kwenye jambo la watanzania kuto kupendana nikweli Yani hatupendani VIBAYA sana tuna roho mbaya hatupendi kuona mtanzania mwenzie anafanikiwa

  • @AlksvJshd
    @AlksvJshd 10 часов назад +1

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @paschalsasagu5610
    @paschalsasagu5610 11 часов назад +1

    Babaake na levo

  • @g-makangarealitymbunge9290
    @g-makangarealitymbunge9290 8 часов назад

    Babalevo matko kabisa jeshi la Tz ili linalo mtafuta nay na roma kika kukicha?

  • @Wazir-y5k
    @Wazir-y5k 9 часов назад +1

    Angalia tu asiku pididi huyo jamaa😂😂

    • @Yangaone-h8j
      @Yangaone-h8j 8 часов назад

      Una mawazo yakindezi ile mbaya mwanangu wenziyo tunavitu tunapata hapo tena vamaana sana

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 8 часов назад

    Levo unakili nyingi sanaa

  • @witnesskagirigiri3763
    @witnesskagirigiri3763 9 часов назад

    Amazing

  • @providencekusinza7122
    @providencekusinza7122 9 часов назад

    Nime penda tu ana vyo ongeya luga yake safi sana

  • @AlexKakilanya
    @AlexKakilanya 10 часов назад

    Sana mwamba

  • @EspoirBudade-on9ef
    @EspoirBudade-on9ef 10 часов назад

    Mwaambiye Akulete Lancaster pa Wana tunakuitaji angalao pictures nawewe tu?

  • @PatrickPazza-kr3vm
    @PatrickPazza-kr3vm 9 часов назад

    Interview ya babalevo n huwaga n madini matupu dadek sio wengine n udaku tu na kujisifu juuu

  • @MakameMufadhil
    @MakameMufadhil 10 часов назад

    Kweli hatupendani

  • @danfordkyando7863
    @danfordkyando7863 8 часов назад

    Sasa hapa kati ya baba levo na mwijaku nani hajasoma

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 9 часов назад

    Kweli watanzania unamuliza mtu duka tu hakujibu

  • @omanhh2875
    @omanhh2875 8 часов назад

    Afrka bado washamb tu

  • @goromamussatvonline
    @goromamussatvonline 8 часов назад

    Kila mwanajeshi Marekani nmtu wa Arusha. mda mwingine tuache uongo

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 8 часов назад

      tofautisha Moshi na Arusha. Moshi ipo mkoa wa Kilimanjaro Arusha ni mkoa wa Arusha kwa wameru na Wamasai. Kilimanjaro ni kwa wachaga na wapare. Wachaga wapo wa Machame , Marangu, Kibosho, Old Moshi, Uru, Siha, Rombo na wapare wapo Same na Mwanga. Actually watu wa knjaro wapo mbele sana kwa mambo mengi japo mimi ni mgogo

  • @slimpirate6020
    @slimpirate6020 9 часов назад

    Ama mwijaku alikuwa Uganda😂🤔🤔

  • @EliudiJastini
    @EliudiJastini 9 часов назад +1

    Nanikweli kenya wanaumoja sana

    • @kazikazini1042
      @kazikazini1042 9 часов назад

      Halafu huku tunapigwa propaganda eti hawapendani

    • @EliudiJastini
      @EliudiJastini 9 часов назад

      Kenya wanabebana sana fatilia wakenya wengi walio nje ya nchi ya kwao wanabebana sana ila sisi watanzania majungu tuuu ndotunaweza​@@kazikazini1042

    • @EliudiJastini
      @EliudiJastini 7 часов назад

      Kenya 🇰🇪wanaumoja fatilia wakenya wengi walioko ulaya uwone wanavobebana tofauti na wabongo wako fasta hata kwenye matukio

  • @MtiliCharles
    @MtiliCharles 7 часов назад

    Pdidy

  • @kasongombuyu3407
    @kasongombuyu3407 10 часов назад

    Mwembie baba kama yopo peannslvania pittsbugh hanitafute

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 9 часов назад

    Ulaya hawana choyo njoo kwetu uchawi wivu choyo

  • @aud548
    @aud548 8 часов назад

    Unamuhoji juu juu...kama kichaa ...unacheka cheka sana

    • @babalaujamaa7131
      @babalaujamaa7131 7 часов назад

      Umeeelewa maana ya maswali mafupi lakini au hujaelewa 😂😂

  • @badendavid8456
    @badendavid8456 10 часов назад

    Kaka mwanao Levo ana umri gani?

  • @erickjosephat863
    @erickjosephat863 9 часов назад

    Nilidhani naieshimu ISRAEL pekeangu

  • @ramadhanimpapalika7131
    @ramadhanimpapalika7131 9 часов назад

    Baba Levo anaogopa kuponda kwa sababu anajua atarudi bongo

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 7 часов назад

      Kwa sisi wenye mentality za kikoloni ndo hvyo tena.

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 9 часов назад

    Tumerogwa na nyerere

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 10 часов назад +1

    PhD

  • @Jumalokole2-rt8cd
    @Jumalokole2-rt8cd 9 часов назад +1

    ❤❤😂❤😂

  • @godfreydaniel6818
    @godfreydaniel6818 7 часов назад

    😂😂😂😂

  • @EdwardSancho-dq4lp
    @EdwardSancho-dq4lp 10 часов назад

    Mwamba halingi kabisaa

  • @SaidMwendabwillah-v3z
    @SaidMwendabwillah-v3z 9 часов назад

    Respect

  • @MakameMufadhil
    @MakameMufadhil 10 часов назад

    Jeshi wetu tunawaogopa hasa

    • @SufoWazir-s4q
      @SufoWazir-s4q 9 часов назад

      Sio uko tu kwenu adi uku kwetu wanaogopesha sio kitu raisi kupiga nae story 🇲🇿

  • @ashrafunangay201
    @ashrafunangay201 8 часов назад

    hivi marekani kuna nzi kumbe

    • @dab8859
      @dab8859 8 часов назад

      😂😂😂😂

    • @IssacNtacho
      @IssacNtacho 8 часов назад +1

      Yule ni nyuki

  • @shedrackshaibu1986
    @shedrackshaibu1986 8 часов назад

    Shem kama Shem haaaaaaaaaa

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 9 часов назад

    We baba levo tafuta rangi nyingine kwenye media yako una fanana sana na Max tv online

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 10 часов назад

    😂

  • @SaidTsuma-je8dv
    @SaidTsuma-je8dv 9 часов назад

    baba levo uko ft

  • @angeldecute6694
    @angeldecute6694 9 часов назад

    Kuna vitu vingingi vya kumuhoji huyu mtu Watanzania tupate ufahamu na faida ila Baba levo hana hiyo taaruma.

    • @svt3
      @svt3 8 часов назад

      Baba Levo anayo taaluma ila taaruma haana kabisa