Baba levo fursa ya marekani uko ki professional kama mwana habari katika jamii kuongea na watanzania ambao sio kiudaku na ushamba ushamba wa kelele kama mwijaku.umetulia ukichekesha watu yaani interview za watu wako ni burudani kusikia.mwijaku ni majungu na kujisifia huku akiponda watu.big up Mwijaku
Kimsikiliza Mlay Na kama una ndugu ulaya unaweza kulia Watanzania Ni watu Wa ajabu Sana wapo tayari kukutumia Hela Na Sio kukuvuta na uwende, pili mley kama angempata MTU Wa kumuuliza maswali ya udadisi angeongea mengi ya kutusaidia, changamoto Baba levo anauliza swali alafu anabishana Na majibu ya Mlay. Thanks hata hivyo
Mtu anaisha marekan miaka kibao lakin kiswahil kinapigwa kma hajui kizungu😂😂 /kutana na hizi mbuz sasa za kibongo... zikienda siku moja wiki mbil tu/ngoja warud😂😂 you knw you kno izo zinajaa bus zima kina konde😂😂😂😂yan ad kichefu chefu
@ndukulusudikucho_ 😄🙌🏽 Ooh sasa shida kuna maneno ukishalitolea herufi hata moja tu linabadilisha maana ya kile ulichokusudia, yeye kasema "ana nyodo" badala ya kutumia "hana nyodo" ila kumbe alimaanisha HANA NYODO... Duuuh 🤣🤣
sito sahau kuna met wangu mpoja alitoka depo ile kaniona kwa mbali ananambie dogo apo apo ulipo shuka chini njoo kwa kichula na sijamkosea kitu ili tu nijue kasha kua soja tayali
tatizo mchukua camera ni wa hovyo hachukui video panapohitajika pachukuliwe kasemama kama moja hashushi shini hapandijuu yeye uso uso kama mtu uliemuambie nipige paspot size
tofautisha Moshi na Arusha. Moshi ipo mkoa wa Kilimanjaro Arusha ni mkoa wa Arusha kwa wameru na Wamasai. Kilimanjaro ni kwa wachaga na wapare. Wachaga wapo wa Machame , Marangu, Kibosho, Old Moshi, Uru, Siha, Rombo na wapare wapo Same na Mwanga. Actually watu wa knjaro wapo mbele sana kwa mambo mengi japo mimi ni mgogo
Baba levo naomba ukirudi upitie Kenya+254. Kazi yako safi sana tunaipenda
Baba Levo umetisha kinoma
Baba levo fursa ya marekani uko ki professional kama mwana habari katika jamii kuongea na watanzania ambao sio kiudaku na ushamba ushamba wa kelele kama mwijaku.umetulia ukichekesha watu yaani interview za watu wako ni burudani kusikia.mwijaku ni majungu na kujisifia huku akiponda watu.big up Mwijaku
Nashukuru sana
Usisahau kusubscribe na kushare
Sasa umemponda Mwijaku alafu tena unampa big up mbona hauleweki😮
Mimi mwenyewe nimeshangaa au kakosea kuandika alitaka kuandika bblevo akateleza😂😂😂😂@@IbniAbbas-yz3kt
Kaka hana hta majivuno ma sha Allah Mungu ampe uhai mrefu
Elimu yadarasani aliyenayo mwijaku kama angeipata Baba Levo , angekua mtu mwingine sana, bigup bmajumba
Meona eeee
@@georgelyimo5349 Yaani sana tu
Hapa ndiyo unapojua tofauti ya baba levo na mwijako
Baba levo nakupenda niletee zawadi
We baba levo kaa na huyu jamaa umfanyie interview kuna mambo mengi tutajifunza huku tz 🇹🇿🇹🇿
Kweli
Nimependa
Mwijaku alidhani marekani amtaweza yeye peke yake akamnanga baba levo eti oo awezi kwenda marekani mbona kaenda sasa na rafiki anao
Kimsikiliza Mlay Na kama una ndugu ulaya unaweza kulia Watanzania Ni watu Wa ajabu Sana wapo tayari kukutumia Hela Na Sio kukuvuta na uwende, pili mley kama angempata MTU Wa kumuuliza maswali ya udadisi angeongea mengi ya kutusaidia, changamoto Baba levo anauliza swali alafu anabishana Na majibu ya Mlay. Thanks hata hivyo
Asante sana baba levo kutuletea uyuu jamaaa wetuu
Io ndio tofauti ya baba levo na mwijaku,baba levo anajua nn kimempeleka usa kua n silent ocean na kuitangaza kwa wana sio matuc
Mlay safi kaka🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mtu anaisha marekan miaka kibao lakin kiswahil kinapigwa kma hajui kizungu😂😂 /kutana na hizi mbuz sasa za kibongo... zikienda siku moja wiki mbil tu/ngoja warud😂😂 you knw you kno izo zinajaa bus zima kina konde😂😂😂😂yan ad kichefu chefu
Wengine wanasoma kwa ras simba tu lkn hatupumui😂😂😂
Akikuona mtu anajifanya kasahau asili yake huyo anakuwa km samaki wa maji ya chumvi ukimuweka maji ya kawaida mara anakufa
Mwamba yuko safi sana, Babalevo akili nyingi sana
Mwamba Yuko vizur sana havimbi kama wengine
Sna ameongea pwent wanajesh wetu wao wapo chini ya sheria kz yaoo kupiga raia
Ukweli hatupendani as watanzania ndo shida
Baba levo uwa anaakili kuliko mwijaku
Sana tu na hajasoma kama yule kichwa mviringo
Kabisa
Hiyo night kweli Mlay, lakini watanzania haina kupeana opportunities
I like it❤
Ukweli ndo huo watanzania tunaroho mbaya sana wabinafsi san kwenye swala la rizq na ukipambana ukafanikiwa pia wanataka kukurudisha nyuma
duuuh wa tz wote wangekua kama huyu mwamba tungesha fika mbali sana
Hata sisi tungeenda
Baba levo muda mwingine anakuwa mtu wa maana kabisa😂😂😂
Hakuna mtu hasiekua wa maana alafu akawa maarufu, sema tu wabongo tunazalau sana
mwamba ana nyodo kabisa mwanangu like kama umemkubali mwamba
Sio kwamba mwamba ana nyodo ila hana nyodo kabisa sio kwamba ana nyodo
@@McBaraka-tz😂😂😂alimaanisha hivyo
@ndukulusudikucho_ 😄🙌🏽 Ooh sasa shida kuna maneno ukishalitolea herufi hata moja tu linabadilisha maana ya kile ulichokusudia, yeye kasema "ana nyodo" badala ya kutumia "hana nyodo" ila kumbe alimaanisha HANA NYODO... Duuuh 🤣🤣
Nyodo gani sasa
Watu waswahili lkn hawajui kiswahili chao
Jamaa nimemkubali sana
Nakubalii Sana 🫡🫡minimwitemwamba CHUMA✊
Angekua ni mmarekani kapata kazi tanzania ungewasikia wabaguzi wa kiswahili
Ndio mjifunze raia Pacha wapo kila inchi ulimwenguni
Mtu wa camera wa ovyo sana
Mwamba kabisa play USAarmy
Mlay mimi ndugu yako kabisa nitafutie connection😂😂
Weee baba levo unatetea uhuni wanaoufanya wanajeshi wa bongo
Mwambie babalevo kama yupo Pennsylvania Pittsburgh ha nitatafute ninamuzigo wango wakutuma hafrican frenk
Mlay nimekuelewa kuhusu wanajesh
Siri zikifichuka kwakuliwa ndogo mnajifanya ilikuwa siri 😊
sito sahau kuna met wangu mpoja alitoka depo ile kaniona kwa mbali ananambie dogo apo apo ulipo shuka chini njoo kwa kichula na sijamkosea kitu ili tu nijue kasha kua soja tayali
Habari naitwa Sadr promoter naomba namba yababa levo kwa ajili promotion
tatizo mchukua camera ni wa hovyo hachukui video panapohitajika pachukuliwe kasemama kama moja hashushi shini hapandijuu yeye uso uso kama mtu uliemuambie nipige paspot size
Hapa kwenye jambo la watanzania kuto kupendana nikweli Yani hatupendani VIBAYA sana tuna roho mbaya hatupendi kuona mtanzania mwenzie anafanikiwa
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Babaake na levo
Babalevo matko kabisa jeshi la Tz ili linalo mtafuta nay na roma kika kukicha?
Angalia tu asiku pididi huyo jamaa😂😂
Una mawazo yakindezi ile mbaya mwanangu wenziyo tunavitu tunapata hapo tena vamaana sana
Levo unakili nyingi sanaa
Amazing
Nime penda tu ana vyo ongeya luga yake safi sana
Sana mwamba
Mwaambiye Akulete Lancaster pa Wana tunakuitaji angalao pictures nawewe tu?
Interview ya babalevo n huwaga n madini matupu dadek sio wengine n udaku tu na kujisifu juuu
Kweli hatupendani
Sasa hapa kati ya baba levo na mwijaku nani hajasoma
Kweli watanzania unamuliza mtu duka tu hakujibu
Afrka bado washamb tu
Kila mwanajeshi Marekani nmtu wa Arusha. mda mwingine tuache uongo
tofautisha Moshi na Arusha. Moshi ipo mkoa wa Kilimanjaro Arusha ni mkoa wa Arusha kwa wameru na Wamasai. Kilimanjaro ni kwa wachaga na wapare. Wachaga wapo wa Machame , Marangu, Kibosho, Old Moshi, Uru, Siha, Rombo na wapare wapo Same na Mwanga. Actually watu wa knjaro wapo mbele sana kwa mambo mengi japo mimi ni mgogo
Ama mwijaku alikuwa Uganda😂🤔🤔
Nanikweli kenya wanaumoja sana
Halafu huku tunapigwa propaganda eti hawapendani
Kenya wanabebana sana fatilia wakenya wengi walio nje ya nchi ya kwao wanabebana sana ila sisi watanzania majungu tuuu ndotunaweza@@kazikazini1042
Kenya 🇰🇪wanaumoja fatilia wakenya wengi walioko ulaya uwone wanavobebana tofauti na wabongo wako fasta hata kwenye matukio
Pdidy
Mwembie baba kama yopo peannslvania pittsbugh hanitafute
Ulaya hawana choyo njoo kwetu uchawi wivu choyo
Unamuhoji juu juu...kama kichaa ...unacheka cheka sana
Umeeelewa maana ya maswali mafupi lakini au hujaelewa 😂😂
Kaka mwanao Levo ana umri gani?
Nilidhani naieshimu ISRAEL pekeangu
Baba Levo anaogopa kuponda kwa sababu anajua atarudi bongo
Kwa sisi wenye mentality za kikoloni ndo hvyo tena.
Tumerogwa na nyerere
PhD
❤❤😂❤😂
😂😂😂😂
Mwamba halingi kabisaa
Respect
Jeshi wetu tunawaogopa hasa
Sio uko tu kwenu adi uku kwetu wanaogopesha sio kitu raisi kupiga nae story 🇲🇿
hivi marekani kuna nzi kumbe
😂😂😂😂
Yule ni nyuki
Shem kama Shem haaaaaaaaaa
We baba levo tafuta rangi nyingine kwenye media yako una fanana sana na Max tv online
😂
baba levo uko ft
Kuna vitu vingingi vya kumuhoji huyu mtu Watanzania tupate ufahamu na faida ila Baba levo hana hiyo taaruma.
Baba Levo anayo taaluma ila taaruma haana kabisa