EXCLUSIVE: PART 2 :SIWEZI KUWA KWENYE MAHUSIHANO NA LUKAMBA/NIMEPEWA URAIA WA MAREKANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • #7MEDIA #SUBSCRIBE

Комментарии • 20

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 2 часа назад +3

    Huwezi kuwa citizen maybe kama umepata greencard. Sisi tupo huku huwezi kupata uraia ndani ya mwaka

  • @FeisalKhatija
    @FeisalKhatija Час назад +1

    Oya mbn hamsemi kma kapauka wabongo auseee😂😂😂😂😂 wanaumbuka dk 1 tu 😂😂😂

  • @BabyFaceNday
    @BabyFaceNday 5 часов назад +5

    Uongo, hawezi kua Citizen kwa miezi ao mwaka 1 ,apa USA. Acha uongo

  • @gracelendsey3400
    @gracelendsey3400 4 часа назад +3

    Hakuna citizen ya mwaka, muongo huyo

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Час назад

    Ana marengo😂😂😂😂( Malengo bana)

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 2 часа назад +1

    Babalevo mshamba eti ana viza uraia wa marekani😂

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 54 минуты назад

    Hakuna mtu anajua raia Marekani ndani ya mwaka 1. Kupewa karatasi za kufanya kazi sio uraia. Amesanganya. Amepewa green card ambayo inaruhusu kufanya kazi na work authentication card. Nimekua raia tangu 2017 baada ya kuingia 2008. Amewadanganya sana

  • @digital-d2t
    @digital-d2t 4 часа назад

    Baba Levo hujui kingereza unasema2 yaaaa

  • @IbniAbbas-yz3kt
    @IbniAbbas-yz3kt 4 часа назад +4

    Dada hajitambui na hajui nn maana PR na work Permment!ukiwa raia wa Marekani una change kila kitu kuhusu utambulisho wako!ina maana huwezi kuwa na passport ya nchi nyingine zaidi ya yakwao!kwaiyo wewe ni mzamiaji kama wazamiaji wengine waMarekani sio wapuuzi wakupe uraia ndani ya mwaka mmoja tuu

    • @joycemashikolo9096
      @joycemashikolo9096 3 часа назад

      😂😂😂😂nami nilikuwa nashangaa mwaka 1 wakupe uraia imekuwa karanga😂😂

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 2 часа назад

      Yaani hajitambui halafu hajitambui tena 😂😂😂😂 eti raia nyoooooo

  • @furahaneema920
    @furahaneema920 4 часа назад +1

    Wamarekani wanapana uraiya ila nyiye watanzania munarombaya asie kuwa mtanzania hapewi uraiya acha rombaya watanzania

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 5 часов назад +2

    Kwani kuwa raia wa marekani ndio mafanikio katika maisha watu wapo huko maisha yote wanabeba maboksiii tu warehouse job hawana ata maendeleo huku africa washazamia huko huko

    • @gracelendsey3400
      @gracelendsey3400 4 часа назад

      @@FredrickMatiku-xf2uk ulimbukeni unawasumbua watu

    • @official_dicksonmunga
      @official_dicksonmunga 3 часа назад

      Muwage na adabu na mnacho coment. Huyo huyo anae beba ma box anamshahara mkubwa zidi hata anae fanya kazi TRA 😂😂😂 weka heshima weweeee

  • @ClassicUsed-jg6ri
    @ClassicUsed-jg6ri 5 часов назад +2

    Baba levo unatafuta kiki

  • @neemakalugila7674
    @neemakalugila7674 5 часов назад +2

    Baba Levo, interview utani mwingi, try to be abit serious. Unamchanganya unayempa interview....

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 49 минут назад +1

    Watanzania wengi washamba kwenye mengi. Kwanini wakiwa wanaongea lazima waweke English?

  • @JulesWilondja-w5x
    @JulesWilondja-w5x 3 часа назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kimah9855
    @kimah9855 2 часа назад +1

    This woman anatudhani sisi ni wajinga Ati Citizen??? I don’t think even Permenet hata labda hana, Hata kama mme wake ni mtu akona Citizenship si just like that ati anapatiwa ivo tu. Kuna process lazima apitie, so awache kutupima😂😂😂😂😂Hatuko wajinga. Hata sio kingeresa yake ni mbaya afu anaringa naye, because anajua anamshinda Babalevo😂😂😂😂