Hakuna mtu anajua raia Marekani ndani ya mwaka 1. Kupewa karatasi za kufanya kazi sio uraia. Amesanganya. Amepewa green card ambayo inaruhusu kufanya kazi na work authentication card. Nimekua raia tangu 2017 baada ya kuingia 2008. Amewadanganya sana
Dada hajitambui na hajui nn maana PR na work Permment!ukiwa raia wa Marekani una change kila kitu kuhusu utambulisho wako!ina maana huwezi kuwa na passport ya nchi nyingine zaidi ya yakwao!kwaiyo wewe ni mzamiaji kama wazamiaji wengine waMarekani sio wapuuzi wakupe uraia ndani ya mwaka mmoja tuu
Kwani kuwa raia wa marekani ndio mafanikio katika maisha watu wapo huko maisha yote wanabeba maboksiii tu warehouse job hawana ata maendeleo huku africa washazamia huko huko
This woman anatudhani sisi ni wajinga Ati Citizen??? I don’t think even Permenet hata labda hana, Hata kama mme wake ni mtu akona Citizenship si just like that ati anapatiwa ivo tu. Kuna process lazima apitie, so awache kutupima😂😂😂😂😂Hatuko wajinga. Hata sio kingeresa yake ni mbaya afu anaringa naye, because anajua anamshinda Babalevo😂😂😂😂
Huwezi kuwa citizen maybe kama umepata greencard. Sisi tupo huku huwezi kupata uraia ndani ya mwaka
Oya mbn hamsemi kma kapauka wabongo auseee😂😂😂😂😂 wanaumbuka dk 1 tu 😂😂😂
Uongo, hawezi kua Citizen kwa miezi ao mwaka 1 ,apa USA. Acha uongo
Hakuna citizen ya mwaka, muongo huyo
Ana marengo😂😂😂😂( Malengo bana)
Babalevo mshamba eti ana viza uraia wa marekani😂
Hakuna mtu anajua raia Marekani ndani ya mwaka 1. Kupewa karatasi za kufanya kazi sio uraia. Amesanganya. Amepewa green card ambayo inaruhusu kufanya kazi na work authentication card. Nimekua raia tangu 2017 baada ya kuingia 2008. Amewadanganya sana
Baba Levo hujui kingereza unasema2 yaaaa
Dada hajitambui na hajui nn maana PR na work Permment!ukiwa raia wa Marekani una change kila kitu kuhusu utambulisho wako!ina maana huwezi kuwa na passport ya nchi nyingine zaidi ya yakwao!kwaiyo wewe ni mzamiaji kama wazamiaji wengine waMarekani sio wapuuzi wakupe uraia ndani ya mwaka mmoja tuu
😂😂😂😂nami nilikuwa nashangaa mwaka 1 wakupe uraia imekuwa karanga😂😂
Yaani hajitambui halafu hajitambui tena 😂😂😂😂 eti raia nyoooooo
Wamarekani wanapana uraiya ila nyiye watanzania munarombaya asie kuwa mtanzania hapewi uraiya acha rombaya watanzania
Kwani kuwa raia wa marekani ndio mafanikio katika maisha watu wapo huko maisha yote wanabeba maboksiii tu warehouse job hawana ata maendeleo huku africa washazamia huko huko
@@FredrickMatiku-xf2uk ulimbukeni unawasumbua watu
Muwage na adabu na mnacho coment. Huyo huyo anae beba ma box anamshahara mkubwa zidi hata anae fanya kazi TRA 😂😂😂 weka heshima weweeee
Baba levo unatafuta kiki
Baba Levo, interview utani mwingi, try to be abit serious. Unamchanganya unayempa interview....
Watanzania wengi washamba kwenye mengi. Kwanini wakiwa wanaongea lazima waweke English?
😂😂😂😂😂😂😂😂
This woman anatudhani sisi ni wajinga Ati Citizen??? I don’t think even Permenet hata labda hana, Hata kama mme wake ni mtu akona Citizenship si just like that ati anapatiwa ivo tu. Kuna process lazima apitie, so awache kutupima😂😂😂😂😂Hatuko wajinga. Hata sio kingeresa yake ni mbaya afu anaringa naye, because anajua anamshinda Babalevo😂😂😂😂