MPIGA PICHA WA
HTML-код
- Опубликовано: 18 окт 2024
- Katika Kuadhimisha Kumbukumbu ya Siku ya Kuzaliwa Msanii Diamond Platnumz Leo Amemkabidhi Official VideoGrapher & Photographer Wake Lukamba Gari Jipya Aina ya Altezza, Ikiwa Maalum kwa Ajili ya Kumrahisishia Swala la Usafiri Kutokana na Kazi zake Ambazo Wakati Mwingine Anakutana na Mazingira Hatarishi Ikiwa ni Kuchelewa Kutoka Kazini na Kwenda Kufanya Kazi Maeneo ya Mbali.
Aiseee hii imenitouch sana....Diamond Mungu akubariki sana...na Lukamba baba kaza buti..kp up with the hustle it pays....👏👏🙌🙌
Eeeeebhana mungu wetu sote daaaaaah jaamaa kabless sana lukamba mond hiyo lzm mungu akuongezee boss
Mfanyakazi wako ukimtunza vizuri bac lazma akuheshimu na aheshimu kazi yako much respect mond huko ndio kusaidia
Kaka mondi nakukubali sana mwenyeezimung azidi kukupa moyo WA upendo hivyo hivyo
hawa naomba suport hako tu dada
sikiliza ngoma mpya inaitwa mood
linki hii hapa usiache kusunscrine
ruclips.net/video/dUEPcY6yz9E/видео.html
I keep saying if there’s anything I love Diamond for , is ,,, his generosity!!!! Ukweli usemwe !not many people have such heart . Thank you Diamond even though saa zingine uko na madharau esp to women, I decide to focus on your good side ,,very generous 👌🏼
I’m Kenyan born living in +61
Exercise, exexceexecx, exxexex ed Cecelia, Cecilia, exercise, Cecelia, ex, ex, c, ex, exercise, x, de, c
Daaah kama umeangalia zaidi ya mara moja nipe like nikutambue
So emotional
Yaani nimeirudiarudia hii video mpk basi...very touching😪😪😪
@@mercyj7419 indeed dea
Simbaaaa
Fatma Mbarak daaahh inaa tiaa hamasa xanaa
@@abracadabratz5294 sanaa tu
Nothing is more payable like hardworking lukamba you Deserve! Umeniliza napenda watu wanaofanya kazi kwa bdii na kujituma
Kila kheri chibu dee na hongera san lukamba kwa kaz mzur uloifanya
watu wanakusemea bure eti ww ni freemason Lakini wanashindwa kuelewa kama wewe ni mjanja unatafuta baraka kila kona , Duuh kupana ni moyo kweli . God bless U Diamond
+veronica lufingo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Ester karine kweri
sikiliza ngoma mpya inaitwa mood
linki hii hapa usiache kusunscrine
ruclips.net/video/dUEPcY6yz9E/видео.html
Hi ruclips.net/video/JV8YnFrYzVc/видео.html 👈🙄🙄
Diamond kwa upendo unao uonyesha na mambo unayo yafanya ktk hii nchi m/ mungu akujalie kila lenye kheri na wewe na pia akujalie umri mrefu Nasibu Abdully !
Hongera saaaana lukamba ulivo itwa ivo na kunyoosha kidole una onekana ni mtu mmoja mstaarabu saaana
Mwenyez mungu akubarika saaana Diamond ndomana unafanikiwa
Jamani huyu kaka mwenyezi mungu ampe moyo huo huo wa kusaidi 🤲😭💕
Allah azidi kukubariki kijana diamond.... You deserve yote unayo na kila atuwa.... Allah azidi kukuwekeya wepesi
Sana diamondi nadhani upo vizuri ingawa mti wenye matunda hurushiwa sana mawe Ila misaada unatusaidia sana
Good advise to the young people..... Kwamba wafanye kazi kwa bidii. Thanks Diamond Platinumz
Kazi nzuri LUKAMBA . Endelea vivyo hivyo na MWENYZI MUNGU atakubariki zaidi na zaidi
God bless you simba mola akuzidishie upendo zaidi kwa waja maupendo daima +254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asante Diamond kwa kumuzawadiya kijana kama mimi duuu nashikwa nabutwaa aseeeee asante
Napenda huo ndio moyo waubinadamu Brother DIAMOND PLATINUMZ🙏🙏
Siku zote nikikutazama najiona mm kwakweli wewe ni zaid ya zawad kwa vijana big up diamond wa dunia
Naseeb ana roho nzuri cna nawashangaa wanaomsema vibaya kisa wivu ila Mungu yupamoja nae daima nampenda cna diamond🥰🥰
Wewe mtoto ni mtawala mwema. Umetoa sadaka hiyo najua mungu atakulipa zaidi. Huyo uliyempa gari hata kwa muonekano ni kijana muadirifu. Ubarikiwe sn
Diamond hakka unawasaidia weng sanaa.Mungu akzdishie,pia aksamehe Kwa mapngfu yakooo💞
Yan nimejikuta na mm nalia Duuh
Na mimi nimejikuta nalia jmn
Nyie nyote wajinga pana nn chakulia wapumbavu
Na mi nimelia dogo anaadabu
Na mimi nimelia
Wallah unalana unalilia ushenziii hahahhha pole dadaaaaaaa allah awaongozee watu walilia pep nyie mwalikia diamond
Da diamond nimtumzuri mwenye eshema alivumilia mengisana uyu brother wangu lukamba Mpakaanalia kakalukamba iyonibaatiyako mungu amekujalia mshukurusana mungu
Diamond baba lao 😍
Kazi ni kipimo cha UTU
Big Up Lukamba
BarakAllahFeek🙏
Mungu akuzidishie kaka mpendawatu. Hilo tu, cz I'm speechless bro.
Naomba ataaa angalau nikutane na daimond so that's aone my talanta inshallah 💖
Diamond ni mtu mmja konk Sana anawakumbuka wengi Sana mungu aendelee kumunyooshea mkono wa heri na baraka tele WCB WOYEEEEEEEEEEEE🙋🙋🙋🙋
Maskini anakaa soo obedient..he is soo happy wallai hakuexpect ...
So nice Nasib Abdul (Diamond Postman) God be with you for Everything which you do hakika wewe ni wapekee
Diamond your the one and no one like u coz u're done this which have never ever doned by any one
Oòoooh my God. Cutting onions 😭😭😭😭😭😭😭 so emotional. GOD BLESS YOU DIAMOND
I have cried 😭 congrats to the young man
So touching...ukifanya bidii...sure there is reward
Diamond you have a good heart . Keep it up Lukamba
Jaman maisha haya walala masikin waamka Tajiri, mungu tubadilik nasiii🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
apo sawa hivyo dio inafaa kuagalia wafanyi kazi wao.....bro diamond tunakupenda sana big up man bmk msanii kutoka kenya respest
Hongera Diamond Mungu akuzidishie
Mashallah mashallah big up bro😍😍😍😍😍😍😍🇰🇪😗is big up bro. D
Ukweli ni kwamba kaka diamond, napenda Sana harakati zako, mziki naoupenda ni Hip Hop ila mtu akifanya vizur nasema japo sio mziki naoupenda mm,
Mungu akubariki kaka
Kweli you have done him a good thing umesaindia sana nipe like tukisonga
Ubalikiwe sana kwakua unakumbuka kuludisha vazira Mungu akuzidishie ulipo punguza
wow...lovely... may God bless u diamond for ur kind heart
Yani mpaka umenitoa machozi diamond....si kawaida hiyo.be blessed
mungu akupe maisha marefu diamond, nakuona manara kwa mbaliii
Hongera lukamba endelea na nidhamu broo
May God bless you diamond may you continue to help your fellow brothers big up WSB
Diamond is so humble to earth....
Hii kitu imetachi dar daimond unajua kucheza nakili zetu
In by
Sasa diamond ashajua siri ya kumpendeza mungu ....na Mungu asikubali ukatoka dunianj bila kumpokea huyu yesu kama bwana na mwokozi wa maisha yako 😭😭😭😭
These boy is soo humble he deserves it
Maskini lukamba alivyoitwa ...nani kaona alivyonyoosha mkono.!?
Inaonyesha ana adabu sana.!
Yah
😭😭😭
Yaaani Kweli kabisa nimeona...km vile yupo darasani maskini😣😣😣....he looks very innocent....I hope hawatompora na hilo gari jamani..😣😣😣
Lukamba ana adabu sana mungu amujaalie
YUVENAL ALPHONCE sana boss hanuniwi
You are the man, people would wish to have ,God bless you Kaka.
Oh Diamond is such a sweetheart 😩💙
Anastahili kwa 100% tena ni kama amechelewa kulipata
Ophoro Tube mi nkadhan anamiliki siku nyingi
@@visionstudios6804 ruclips.net/video/ppL-Rjvuevs/видео.html 🙏 Itakilujenga Sanaà
@@biasharanamafanikiotv.8561 ydfgggfddu
Mungu akutangulie cku zote za maisha ako MOND BABA LAO(🦁)
Mungu Akupe wepesi wamafanikio zaid my brother
Hadi nmelia❤❤❤❤ngai mingu akubariki diamond
Una stahili kuwa hata raisi wa inji baba una roho nzuri sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
daah mungu akubarik diamomd jamn mpka nimelia lukamba maskin jamn😢
Diamond Asante sana unatufurahisha
Yoooo diamond you are so amazing guy, we wish to learn more about you being good heart , @ Malawi we go on listening over and over your songs
Daaahh lukamba kidole chake kimenitouch sana mpaka nahs kulia
Good Sana my bro my pacha diamond platnum
big up mondi mungu azidi kukupa moyo uo
Mungu akuzidishie mond 🙏🙏but the boy is cute huh 😂🙈💖💖
proudly chibu kwa kumpa gari lukamba he deserve
Mashallah mungu akuzidishie jamani 😍😍😍😍
Dah hela bana huy nd lukamb mbn km tofaut
Kwakwel nmeangalia had machoz Mumgu akuinue zaidi
Hongera LUKAMBA heshima kwako Allah akusimamie ktk kazi zako
Huyu Jamaa Hewa nyingine ukisikiaga Gift huyu ndo gift kweli MUNGU azidi kukupigania Bro.platinum hakuna aliyefanya kama ww kwanafasi uliyonayo zaidi ya starehe tu.Ww unafikika ndo maana una match na wasanii wengi na fans pia.Sema kama unaweza natunaamini unaweza msimamishe Chid Benz chuma is the best Mc.God bless you
Allah akuongoze Nasib in sha allah uzidi kuwaona walo chini yako.
Wow! Ndo maana waitwa SIMBA.. Ubarikiwe zaidi
Hongera lukamba umeniliza hata mimi
Hahaaaaaa Lukamba kanyoosha kidole kama yuko darasani vileee nipooooo...hahaaaa safi sanaaa
Mussa Keita heshima bro
Yan ad nmeumiaa rohoo
braza uko vizuri mungu akusaidi ivoivo
Am sixstars mudavadi from Kenya you're doing good bro 👍👊 I pray for you and God gives you 🙏 long life brother
Congrats Diamond that's good for supporting your works big up
Mamb vp
Mm kwann
nakubaliiiii lukambaaaa daaa inapendeza kinomaa
Hongera kwako diamond platinum
Daah Kaka M Mungu akuzidishie.
Mungu baraki kazi y'a Diamond
Daah Leo nmekukubali bruh Mondi good job
Hongera Sana simbaaaaaaaa
Thanks for the giving heart di may God continue blessing you
Respect sanaa kwako diamond
Diamond Mungu aendelee kukupambania
uko vizuri mondi mjali anae kujali
pnda san lukamba jmn, asant diamond kwa zawadi hiiiii
😢😭the get me in ma heart mond God bless you 💝
We mkarimu sanaaa
hongera mkwe wangu endelea kufanya kazi kwa bidii na kuwa makini na vivuruge
Kama bado unatazama video hii mwaka 2020 na unamkubali Diamondi kwa mchango wake,
weka like hapa
Nimejawa na furaha,sana kuona ivo,pongezi sana
Waaaaaah so touching God bless you mond
Be blessed diamond u r so amazing
Kazi bora simba, , , barikiwa