MPIGA PICHA WA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024
  • Katika Kuadhimisha Kumbukumbu ya Siku ya Kuzaliwa Msanii Diamond Platnumz Leo Amemkabidhi Official VideoGrapher & Photographer Wake Lukamba Gari Jipya Aina ya Altezza, Ikiwa Maalum kwa Ajili ya Kumrahisishia Swala la Usafiri Kutokana na Kazi zake Ambazo Wakati Mwingine Anakutana na Mazingira Hatarishi Ikiwa ni Kuchelewa Kutoka Kazini na Kwenda Kufanya Kazi Maeneo ya Mbali.

Комментарии • 528

  • @mercyj7419
    @mercyj7419 6 лет назад +18

    Aiseee hii imenitouch sana....Diamond Mungu akubariki sana...na Lukamba baba kaza buti..kp up with the hustle it pays....👏👏🙌🙌

  • @Apo_onlineTV
    @Apo_onlineTV 6 лет назад +52

    Eeeeebhana mungu wetu sote daaaaaah jaamaa kabless sana lukamba mond hiyo lzm mungu akuongezee boss

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 6 лет назад +34

    Mfanyakazi wako ukimtunza vizuri bac lazma akuheshimu na aheshimu kazi yako much respect mond huko ndio kusaidia

  • @hawanaseb4815
    @hawanaseb4815 6 лет назад +92

    Kaka mondi nakukubali sana mwenyeezimung azidi kukupa moyo WA upendo hivyo hivyo

    • @kaukaroofing
      @kaukaroofing 4 года назад

      hawa naomba suport hako tu dada
      sikiliza ngoma mpya inaitwa mood
      linki hii hapa usiache kusunscrine
      ruclips.net/video/dUEPcY6yz9E/видео.html

  • @kimkimmie3435
    @kimkimmie3435 6 лет назад +44

    I keep saying if there’s anything I love Diamond for , is ,,, his generosity!!!! Ukweli usemwe !not many people have such heart . Thank you Diamond even though saa zingine uko na madharau esp to women, I decide to focus on your good side ,,very generous 👌🏼
    I’m Kenyan born living in +61

    • @omarywaziry8403
      @omarywaziry8403 3 года назад

      Exercise, exexceexecx, exxexex ed Cecelia, Cecilia, exercise, Cecelia, ex, ex, c, ex, exercise, x, de, c

  • @fatmambarak9672
    @fatmambarak9672 6 лет назад +361

    Daaah kama umeangalia zaidi ya mara moja nipe like nikutambue
    So emotional

  • @lydiathadeous6644
    @lydiathadeous6644 6 лет назад +5

    Nothing is more payable like hardworking lukamba you Deserve! Umeniliza napenda watu wanaofanya kazi kwa bdii na kujituma

  • @zuuhans5252
    @zuuhans5252 6 лет назад +33

    Kila kheri chibu dee na hongera san lukamba kwa kaz mzur uloifanya

  • @esterkarine5780
    @esterkarine5780 6 лет назад +111

    watu wanakusemea bure eti ww ni freemason Lakini wanashindwa kuelewa kama wewe ni mjanja unatafuta baraka kila kona , Duuh kupana ni moyo kweli . God bless U Diamond

    • @aminamkamba4244
      @aminamkamba4244 6 лет назад

      +veronica lufingo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃

    • @WORLDCUPHighlights-df3fg
      @WORLDCUPHighlights-df3fg 6 лет назад

      Ester karine kweri

    • @kaukaroofing
      @kaukaroofing 4 года назад

      sikiliza ngoma mpya inaitwa mood
      linki hii hapa usiache kusunscrine
      ruclips.net/video/dUEPcY6yz9E/видео.html

    • @jaynationtz1935
      @jaynationtz1935 2 года назад

      Hi ruclips.net/video/JV8YnFrYzVc/видео.html 👈🙄🙄

  • @naymah3560
    @naymah3560 6 лет назад +3

    Diamond kwa upendo unao uonyesha na mambo unayo yafanya ktk hii nchi m/ mungu akujalie kila lenye kheri na wewe na pia akujalie umri mrefu Nasibu Abdully !

  • @magehkihwele8274
    @magehkihwele8274 6 лет назад +2

    Hongera saaaana lukamba ulivo itwa ivo na kunyoosha kidole una onekana ni mtu mmoja mstaarabu saaana
    Mwenyez mungu akubarika saaana Diamond ndomana unafanikiwa

  • @saharasheekh5073
    @saharasheekh5073 4 года назад +5

    Jamani huyu kaka mwenyezi mungu ampe moyo huo huo wa kusaidi 🤲😭💕

  • @depsmilindi8424
    @depsmilindi8424 3 года назад +1

    Allah azidi kukubariki kijana diamond.... You deserve yote unayo na kila atuwa.... Allah azidi kukuwekeya wepesi

  • @oswardmgaya7400
    @oswardmgaya7400 5 лет назад +4

    Sana diamondi nadhani upo vizuri ingawa mti wenye matunda hurushiwa sana mawe Ila misaada unatusaidia sana

  • @elizabethmweu4735
    @elizabethmweu4735 3 года назад +1

    Good advise to the young people..... Kwamba wafanye kazi kwa bidii. Thanks Diamond Platinumz

  • @dorinben7096
    @dorinben7096 3 года назад

    Kazi nzuri LUKAMBA . Endelea vivyo hivyo na MWENYZI MUNGU atakubariki zaidi na zaidi

  • @mejumaaharunigaluzagaluza9249
    @mejumaaharunigaluzagaluza9249 3 года назад

    God bless you simba mola akuzidishie upendo zaidi kwa waja maupendo daima +254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Pascal1122
    @Pascal1122 4 года назад

    Asante Diamond kwa kumuzawadiya kijana kama mimi duuu nashikwa nabutwaa aseeeee asante

  • @ochinjojarahaofficialmusic2343
    @ochinjojarahaofficialmusic2343 3 года назад +1

    Napenda huo ndio moyo waubinadamu Brother DIAMOND PLATINUMZ🙏🙏

  • @levismshua2050
    @levismshua2050 6 лет назад +5

    Siku zote nikikutazama najiona mm kwakweli wewe ni zaid ya zawad kwa vijana big up diamond wa dunia

  • @fatumasamiasuluhuog8696
    @fatumasamiasuluhuog8696 2 года назад

    Naseeb ana roho nzuri cna nawashangaa wanaomsema vibaya kisa wivu ila Mungu yupamoja nae daima nampenda cna diamond🥰🥰

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 6 лет назад

    Wewe mtoto ni mtawala mwema. Umetoa sadaka hiyo najua mungu atakulipa zaidi. Huyo uliyempa gari hata kwa muonekano ni kijana muadirifu. Ubarikiwe sn

  • @tulizolaurent1518
    @tulizolaurent1518 6 лет назад

    Diamond hakka unawasaidia weng sanaa.Mungu akzdishie,pia aksamehe Kwa mapngfu yakooo💞

  • @hawanaseb4815
    @hawanaseb4815 6 лет назад +94

    Yan nimejikuta na mm nalia Duuh

  • @cholokoajay8869
    @cholokoajay8869 4 года назад

    Da diamond nimtumzuri mwenye eshema alivumilia mengisana uyu brother wangu lukamba Mpakaanalia kakalukamba iyonibaatiyako mungu amekujalia mshukurusana mungu

  • @mercyslim2043
    @mercyslim2043 2 года назад +2

    Diamond baba lao 😍

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 6 лет назад +6

    Kazi ni kipimo cha UTU
    Big Up Lukamba
    BarakAllahFeek🙏

  • @KomeraRwanda-
    @KomeraRwanda- 2 года назад

    Mungu akuzidishie kaka mpendawatu. Hilo tu, cz I'm speechless bro.

  • @samirababy2628
    @samirababy2628 4 года назад +1

    Naomba ataaa angalau nikutane na daimond so that's aone my talanta inshallah 💖

  • @tropicaltv7520
    @tropicaltv7520 4 года назад

    Diamond ni mtu mmja konk Sana anawakumbuka wengi Sana mungu aendelee kumunyooshea mkono wa heri na baraka tele WCB WOYEEEEEEEEEEEE🙋🙋🙋🙋

  • @nginahgracey1653
    @nginahgracey1653 5 лет назад

    Maskini anakaa soo obedient..he is soo happy wallai hakuexpect ...

  • @queenmakasi7768
    @queenmakasi7768 4 года назад

    So nice Nasib Abdul (Diamond Postman) God be with you for Everything which you do hakika wewe ni wapekee

  • @innowarako328
    @innowarako328 6 лет назад +6

    Diamond your the one and no one like u coz u're done this which have never ever doned by any one

  • @dianajiana6804
    @dianajiana6804 6 лет назад +5

    Oòoooh my God. Cutting onions 😭😭😭😭😭😭😭 so emotional. GOD BLESS YOU DIAMOND

  • @naomikongara6755
    @naomikongara6755 3 года назад +6

    I have cried 😭 congrats to the young man

  • @mariamgracendunge8070
    @mariamgracendunge8070 4 года назад

    So touching...ukifanya bidii...sure there is reward

  • @benshichenga5406
    @benshichenga5406 3 года назад +1

    Diamond you have a good heart . Keep it up Lukamba

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 4 года назад +1

    Jaman maisha haya walala masikin waamka Tajiri, mungu tubadilik nasiii🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @bmkmsanii3997
    @bmkmsanii3997 2 года назад

    apo sawa hivyo dio inafaa kuagalia wafanyi kazi wao.....bro diamond tunakupenda sana big up man bmk msanii kutoka kenya respest

  • @vanessajames1567
    @vanessajames1567 6 лет назад +3

    Hongera Diamond Mungu akuzidishie

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 6 лет назад +10

    Mashallah mashallah big up bro😍😍😍😍😍😍😍🇰🇪😗is big up bro. D

  • @pamojaeddz8913
    @pamojaeddz8913 6 лет назад +1

    Ukweli ni kwamba kaka diamond, napenda Sana harakati zako, mziki naoupenda ni Hip Hop ila mtu akifanya vizur nasema japo sio mziki naoupenda mm,
    Mungu akubariki kaka

  • @deejayrisasimakd1577
    @deejayrisasimakd1577 3 года назад +1

    Kweli you have done him a good thing umesaindia sana nipe like tukisonga

  • @esthermaneno3516
    @esthermaneno3516 5 лет назад

    Ubalikiwe sana kwakua unakumbuka kuludisha vazira Mungu akuzidishie ulipo punguza

  • @puritykairuthi4049
    @puritykairuthi4049 5 лет назад +2

    wow...lovely... may God bless u diamond for ur kind heart

  • @rosesamka6523
    @rosesamka6523 5 лет назад +1

    Yani mpaka umenitoa machozi diamond....si kawaida hiyo.be blessed

  • @jackemanuel8983
    @jackemanuel8983 5 лет назад +1

    mungu akupe maisha marefu diamond, nakuona manara kwa mbaliii

  • @allymariam8499
    @allymariam8499 5 лет назад +2

    Hongera lukamba endelea na nidhamu broo

  • @lashalashira3003
    @lashalashira3003 6 лет назад +3

    May God bless you diamond may you continue to help your fellow brothers big up WSB

  • @kerinekaisa4524
    @kerinekaisa4524 5 лет назад +3

    Diamond is so humble to earth....

  • @monilahcruz7293
    @monilahcruz7293 6 лет назад +41

    Hii kitu imetachi dar daimond unajua kucheza nakili zetu

  • @kenedie9022
    @kenedie9022 3 года назад +2

    Sasa diamond ashajua siri ya kumpendeza mungu ....na Mungu asikubali ukatoka dunianj bila kumpokea huyu yesu kama bwana na mwokozi wa maisha yako 😭😭😭😭

  • @stallonenjoroge6331
    @stallonenjoroge6331 4 года назад +2

    These boy is soo humble he deserves it

  • @yuvenalalphonce5978
    @yuvenalalphonce5978 6 лет назад +231

    Maskini lukamba alivyoitwa ...nani kaona alivyonyoosha mkono.!?
    Inaonyesha ana adabu sana.!

    • @khadijaomar3299
      @khadijaomar3299 6 лет назад +2

      Yah

    • @gracejames2573
      @gracejames2573 6 лет назад +3

      😭😭😭

    • @mercyj7419
      @mercyj7419 6 лет назад +5

      Yaaani Kweli kabisa nimeona...km vile yupo darasani maskini😣😣😣....he looks very innocent....I hope hawatompora na hilo gari jamani..😣😣😣

    • @salmadonne6327
      @salmadonne6327 6 лет назад +5

      Lukamba ana adabu sana mungu amujaalie

    • @juliuskato5100
      @juliuskato5100 6 лет назад +4

      YUVENAL ALPHONCE sana boss hanuniwi

  • @mariaana9808
    @mariaana9808 6 лет назад +3

    You are the man, people would wish to have ,God bless you Kaka.

  • @estherbebe2303
    @estherbebe2303 6 лет назад +4

    Oh Diamond is such a sweetheart 😩💙

  • @OphoroTube
    @OphoroTube 6 лет назад +52

    Anastahili kwa 100% tena ni kama amechelewa kulipata

    • @visionstudios6804
      @visionstudios6804 6 лет назад

      Ophoro Tube mi nkadhan anamiliki siku nyingi

    • @biasharanamafanikiotv.8561
      @biasharanamafanikiotv.8561 4 года назад

      @@visionstudios6804 ruclips.net/video/ppL-Rjvuevs/видео.html 🙏 Itakilujenga Sanaà

    • @djbravo687
      @djbravo687 3 года назад

      @@biasharanamafanikiotv.8561 ydfgggfddu

  • @albertiuxrumanyika9489
    @albertiuxrumanyika9489 4 года назад

    Mungu akutangulie cku zote za maisha ako MOND BABA LAO(🦁)

  • @vailethramsi7201
    @vailethramsi7201 3 года назад

    Mungu Akupe wepesi wamafanikio zaid my brother

  • @ggtt8145
    @ggtt8145 4 года назад

    Hadi nmelia❤❤❤❤ngai mingu akubariki diamond

  • @estherbatumike2495
    @estherbatumike2495 2 года назад

    Una stahili kuwa hata raisi wa inji baba una roho nzuri sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @dinahdinah3290
    @dinahdinah3290 6 лет назад +4

    daah mungu akubarik diamomd jamn mpka nimelia lukamba maskin jamn😢

  • @merewefrank6593
    @merewefrank6593 2 года назад +1

    Diamond Asante sana unatufurahisha

  • @flintkatunga4131
    @flintkatunga4131 6 лет назад +3

    Yoooo diamond you are so amazing guy, we wish to learn more about you being good heart , @ Malawi we go on listening over and over your songs

  • @izboynyigu265
    @izboynyigu265 6 лет назад

    Daaahh lukamba kidole chake kimenitouch sana mpaka nahs kulia

  • @moprizer5654
    @moprizer5654 6 лет назад +1

    Good Sana my bro my pacha diamond platnum

  • @athmanali9319
    @athmanali9319 6 лет назад +1

    big up mondi mungu azidi kukupa moyo uo

  • @tausak4568
    @tausak4568 6 лет назад +2

    Mungu akuzidishie mond 🙏🙏but the boy is cute huh 😂🙈💖💖

  • @consolathakiwia5433
    @consolathakiwia5433 6 лет назад +1

    proudly chibu kwa kumpa gari lukamba he deserve

  • @zahraramadhani6253
    @zahraramadhani6253 6 лет назад +3

    Mashallah mungu akuzidishie jamani 😍😍😍😍

  • @yuladmwinyi5697
    @yuladmwinyi5697 3 года назад

    Dah hela bana huy nd lukamb mbn km tofaut

  • @peterkitika5576
    @peterkitika5576 3 года назад

    Kwakwel nmeangalia had machoz Mumgu akuinue zaidi

  • @rojakijana1162
    @rojakijana1162 6 лет назад

    Hongera LUKAMBA heshima kwako Allah akusimamie ktk kazi zako

  • @jeremiahmasunzu3437
    @jeremiahmasunzu3437 6 лет назад

    Huyu Jamaa Hewa nyingine ukisikiaga Gift huyu ndo gift kweli MUNGU azidi kukupigania Bro.platinum hakuna aliyefanya kama ww kwanafasi uliyonayo zaidi ya starehe tu.Ww unafikika ndo maana una match na wasanii wengi na fans pia.Sema kama unaweza natunaamini unaweza msimamishe Chid Benz chuma is the best Mc.God bless you

  • @mariamdahal4955
    @mariamdahal4955 6 лет назад +1

    Allah akuongoze Nasib in sha allah uzidi kuwaona walo chini yako.

  • @lucysarota4111
    @lucysarota4111 4 года назад

    Wow! Ndo maana waitwa SIMBA.. Ubarikiwe zaidi

  • @priscarmwamlima9523
    @priscarmwamlima9523 6 лет назад

    Hongera lukamba umeniliza hata mimi

  • @mussakeita8838
    @mussakeita8838 6 лет назад +8

    Hahaaaaaa Lukamba kanyoosha kidole kama yuko darasani vileee nipooooo...hahaaaa safi sanaaa

  • @costabanzi1692
    @costabanzi1692 2 года назад

    braza uko vizuri mungu akusaidi ivoivo

  • @sixstarsmudavadi4573
    @sixstarsmudavadi4573 4 года назад

    Am sixstars mudavadi from Kenya you're doing good bro 👍👊 I pray for you and God gives you 🙏 long life brother

  • @gracewangari4873
    @gracewangari4873 3 года назад +1

    Congrats Diamond that's good for supporting your works big up

  • @sekundemaster460
    @sekundemaster460 6 лет назад

    nakubaliiiii lukambaaaa daaa inapendeza kinomaa

  • @ismailbushir5325
    @ismailbushir5325 2 года назад

    Hongera kwako diamond platinum

  • @Wardda27
    @Wardda27 6 лет назад +2

    Daah Kaka M Mungu akuzidishie.

  • @hadijakoga7587
    @hadijakoga7587 6 лет назад +1

    Mungu baraki kazi y'a Diamond

  • @yarelinemanda1341
    @yarelinemanda1341 5 лет назад

    Daah Leo nmekukubali bruh Mondi good job

  • @honhonhaule9232
    @honhonhaule9232 2 года назад

    Hongera Sana simbaaaaaaaa

  • @nabateraaggie7225
    @nabateraaggie7225 6 лет назад +1

    Thanks for the giving heart di may God continue blessing you

  • @mkalifamily5549
    @mkalifamily5549 6 лет назад +1

    Respect sanaa kwako diamond

  • @esperancenathali
    @esperancenathali 4 года назад

    Diamond Mungu aendelee kukupambania

  • @shebyflavor6165
    @shebyflavor6165 4 года назад

    uko vizuri mondi mjali anae kujali

  • @helenampewa9582
    @helenampewa9582 6 лет назад +3

    pnda san lukamba jmn, asant diamond kwa zawadi hiiiii

  • @divinahkemunto1429
    @divinahkemunto1429 6 лет назад +2

    😢😭the get me in ma heart mond God bless you 💝

  • @LeyianMarkPhotography
    @LeyianMarkPhotography 4 года назад

    We mkarimu sanaaa

  • @latifagogola1863
    @latifagogola1863 6 лет назад

    hongera mkwe wangu endelea kufanya kazi kwa bidii na kuwa makini na vivuruge

  • @dastansimpanzye5558
    @dastansimpanzye5558 4 года назад

    Kama bado unatazama video hii mwaka 2020 na unamkubali Diamondi kwa mchango wake,
    weka like hapa

  • @mdavoomdavoo254
    @mdavoomdavoo254 4 года назад

    Nimejawa na furaha,sana kuona ivo,pongezi sana

  • @bunny_dailylife
    @bunny_dailylife 4 года назад +2

    Waaaaaah so touching God bless you mond

  • @lizaabraham1608
    @lizaabraham1608 6 лет назад +2

    Be blessed diamond u r so amazing

  • @hommietegemeoempire1297
    @hommietegemeoempire1297 5 лет назад

    Kazi bora simba, , , barikiwa