S2KIZZY Atoboa SIRI wimbo wa DIAMOND "KOMASAVA" Ulivyofanyika STUDIO/Hii ndio maana yake
HTML-код
- Опубликовано: 2 май 2024
- Kwa mara ya kwanza Mtayarishaji wa muziki nchini Tanzania S2KIZZY amefunguka jinsi ambavyo wimbo mpya wa Diamond Platnumz KOMASAVA ulivyofanyika studio mpaka kukamilika
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#SS2kizzy #Zombie #Komasava #Diamond - Развлечения
Best music producer of this era, mkubali mkatae ndo hvyo numbers never lie😊😊
𝐾𝑢𝑡𝑜𝑘𝑎 𝑘𝑒𝑛𝑦𝑎 𝑎𝑝𝑎 𝑛𝑖𝑝𝑒𝑛𝑖 𝑙𝑖𝑘𝑒𝑠
Rick uko vizuri katika interview jaribu kumfundisha yule mdada Sarafina ajue kuuliza maswali kwa kuzingatia mantiki na relevance
Mama Dangote si anapenda aka kamjukuu kake..Wah..since Nj was born the grandma has loved him soo much
S2KIZZY comment ça Va??😂😂😂 we ni Neuclear
Nakubaliii mwaisa
Rick mnajua kuupiga mwingi sana hongoreni sana
Rick uko vizur sana ngoma ilee imetuliaa
MAKINI SANA S2KIZZY
Yah nimekubali komasavs n ngoma
Komasava sava bieeee
Wcb ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Good job bro you kill it ❤❤❤
Big point i appreciate what make u happy big broh
Nakubali unajuwa kuuliza maswali
Baba wewe unaweza
100 big up
Idea kubwa sana
Good job bro you kill it❤❤❤❤
Makes people together through greetings 😂😂😂😂😂😂😂😂
Zombi kill dem❤
Sheikh S2kizy
Mwamba mwenyew s2kiz
Comment sava bien🎉🎉
S2kizzy
Comment ça va!!!
Like ya hapa ngoma Kali san😂
Together kijana
wa3 like
Ndo ata ku andika jina la nyimbo muna tiya mistake on dit "comment ça va " Sio komasava iyo ni swahili Sio kifaransa
🤝
0:08 🎉
Come xta? Xto bem!
Kali
Nimeikibali mwenzenu,mtaniua wcb pungueni moto wazee wangu
Iyo ni gari gan wazee
Ni ile gari yake ya Range rover Autobiography old model kdg
Mmmmj apo sasa
Komasava goma la kwenda
Kumbe mondi alipata ufunuo wa kibango alipotoka kuswali chungu cha 27😂😂
😂😂😂 bora comasavaa ya mwanya
Video likifanyika kila nchi kama ninavyoskia redio mbao bac Dunia ndo itamjua diamond kiundani ni mdos kias gn kunawengine hoo hana hera ya kufanya kwenye nchi zote alizotaja me naamn anaweza TENA na madansa wake walicheza na kusalimia miji mikubwa huko kunanina😮
Mpo kwenye swaum alafu kamziki baada ya apo kusali Ramadhani Big nooo 😭😭
Mh misrinda hana huyu had pia?
Aswaumuuu liii.....fungaa n yakee yy mungu anajuaa kulipaa....maasaaalam
wee zombie haujui
❤❤❤
Yaan s2kizzy kama Mzee yani
Wwe
Haimae kaisema MWE
Ni kitu unkwepable kama unatokea mbeya
Daaaah kmbe diamond ametusalmia tu hafu wimbo.umebamba hatari
Nyie mmh🤣🤣🤣
Mpaka kwapua
komasava n zaid ya kimbunga mzee
Zombie eee hmn mtu atakusifia mpk ufee ila ukwel wanaujuaaa
Namaste ni kihindi...? I doubt bro
umeshapata jibu au bado upo na doubts zako...😂. kwa ulimwengu wa sasa ukiamua kuwa mjinga kuhusiana na jambo fulani, ni choice yako mwenyew.... na haya magoogle plus Artificial intelligence bado mtu unaishi kwa doubts😂
Zombie sikuiz picha azipingwangwi hahaha unaua
nyimbo nzima ni habar gani salam tu aina mashair yoyote ya maana 😅😅😅
Kuna google translate
S2kizzy unampizani unati$h@
We zombie aujui
Wezombi sando nan . Iko ni kiswahili
Mh we ni msanii au mkewa mtuu?
Shida yenu sasa mapiano so mziki wetu
Tafuta mziki wako but now watu wanataka kuruka pia pesa ipo wapi ndugu so ww unataka tupige mnanda
Imba na wew
Wewe unapokuwa unamskiliza Chris Brown ni lugha yako?,Muziki ni kama mpira
Dogo usihame wcb ndo chma la wana vimilia piga aokoto kwa simba la simba
Like me please
Komasava ni nni nauliza tuuu🫰🫰
Ni ndizi zilizopikwa kwenye jagi
Sasa we baba na hereni vipin mkeo atavaa nn
Uswali mskiti gani wewe wamashetani au?
Basi kama hutaki wenzio waswali wewe ndiyo Mungu. Acha upumbavu
Tatizo watu wadini mnajiona bora na kamilifu sana...kama ambae tiketi ya mbinguni mnauhakika nayo na uongo mtupu.