Studio Session KOMANDO,G nako ft Diamond Platnumz
HTML-код
- Опубликовано: 23 дек 2023
- Get First Of All EP👇👇👇
dplatnumz.lnk.to/foa
/ @dplatnumz
Diamond Platnumz Booking Info:
Email:bookplatnumz@gmail.com | sallam.sharaff@gmail.com
Catch Up With Diamond Platnumz On:
Instagram: / diamondplatnumz
Facebook: / diamondplatnumz255
Twitter: / diamondplatnumz
#Diamondplatnumz #Wasafi - Видеоклипы
Tulihisi tutaangalia kidogo alafu tutatoa Mara tumenogewa mpaka mwisho tujuane kwa like😂😂😂
Mm hyo part ya mwanzo tu nimerudia km mara 5😂😂😂 hapo blue anapo ongea ma zombie na simba
😅😅😅😅Amin
😂😂
😂😂😂
Kama umegundua legend Mr blue kalewa gonga likes nyingi kwangu
Nilitaka kusemaaaaa 😂😂😂😂
Kalewa lkni ywapeana advice bado😅
Hadi mrblue anamuita diamond kaka duuu
Alikua anamwambia G bana mana yy ndo mkubwa watu
@@homeboy2307wanaume kawaida hata kama mtu umemzidi umri
Yaani me nimefrahi kuona wasanii kutoka nnjee ya wcb wakiwa pamoja kuhakikisha ngoma inataka ikiwa na ubora hongereni sana
Diamond platnumz ft Mr blue fanya jambo platnumz will be 🔥 🇰🇪
Baaaanaaaa❤ haraka harakaaaa
Daaaaah itakua pw sana yaan wazo zuri sana litakua bonge la ngoma
@@EzzyEddy-il3ce Sanaaaa 🙌🙌🙌
Leo simba anaachia ngoma tumeomba na katusikiliza si mashabiki wake ❤ simba ft Mr blue 🔥
Hii ngoma mliipania na imelipa its a anthem
From Nigeria I love the way that producer smile 😊 showing good vibe one love African ❤️
He is called S2Kizzy Zombie
Daimond anajua Sana kupangilia vitu,,na s2 kizz anamuelewa Sana daimond Yan wanaelewana kwakuwa wote wanavipaji na wamefanya kazi Kwa pamoja Kwa mda mrefu
Diamond anaishi na wasani wote kama familia
Mondi mbunifu sana jamani
Pia kaka yetu Mr blue katisha kutoa support ake
Mondi mooooto fire 🔥🔥🔥🔥
8:17 nimependa sana kuna verse alopita nayo simba big up sana simba la masimba dangote❤❤❤🎉🎉🎉
Wakenya 🇰🇪 wenye mme comment wa kwanza mikono juu🖐️
Kwani lazima utaje wakenya ww
Kaka Mr blue ahsante kwa mchango wako waushauri kwa nyimbo hii ili kutuletea mziki mzuri🔥🔥🔥🔥
Blue ana vibe kinyama 😂😂
💀☠️☠️simba dangote
@@yaseenfiddu3094 utadhani nyimbo yakwake ila kumbe ni yamadogo zake Mungu amuongoze 😂
@@kijokaizah eeeee simba lamaaaa
Mr Blue kamkuta G nako kwenye game kitambo..
Diamond platnumz is always the best musician in Africa
Simba ilinyeshewa
How long have you been addicted to glue 😢
Nimefurahi sanh kuwaona wasanii wengi tuhh mkiwa pamoja, big up wasanii ushirikiano zaidi unaitajika🙌
Mbele ya simba lamasimba hakuna kinacho haribika 🔥🔥🔥🔥
😂❤
Apo ni studio WCB WASAFI IPO MBEZI BICHI NAONA SIKUZI NI INAFANYA KAZI ZA WCB TU SO MTU BAKI 💥💥💥🎶🎶🎶
Simba asante sana kwa usaidizi wako mungu akubalie❤❤❤🎉🎉🎉🙏🙏🙏🙏🙏🙏
❤❤ Pongezi kwa Tuzo Awards 2 leo🎉❤🇹🇿👍
Hizi studio session ni nzuri mno inaoneshwa kwamba hakuna kitu kinakuja kirahisi you can how they struggle to make good music diamond you have become more than artist you are influencer
This is how tanzania artists should stand for each other...mambo ya RUclips 2achieni sie mashabiki..hii support ni kubwa na inanguvu sana..big work isay...
My best artist in the world Diamond platnumz ❤️💯🔥🔥
Kumbe kurekodi kazi hivi!
Usitamani hela za wasanii aisee!
Ndio ivyoooo😂 ..
The most hardworking artist for the last 10 to 15yrs
Whooo😂 is heee???
@@philipotieno9996we zombie 🦁🔥
Wee wacha ati utambui dangote @philipotieno
Staying in the studio is how I feel good vibes sometimes..yes keep on moving young boys that's life never loose ur Hussle in what you have been talented
Mondi fundi sana jamani ani utadhani g nako anafundishwa. Mziki abhatii kumbe g nako kasaidiwa na mondi jamani duh moto mondi🔥🔥🔥🔥
😂😂😂
😂😂😂
Aiseee!! Kumbe mondi habahatishi, he actually plans for a hit🔥🔥🔥
Big up platinumz for supporting your fellow citizens.. proud of you from Kenya
Mr blue alikuwa hamjui D voice😂😂 gonga like km umeona
Mimi nmepend kweny eeeeeeh😂😂😂❣️🙌
Haswaa nami nimecheka saana
Eh 😂😂😂😂
Nimeamini hakuna kitu rahisi hapa duniani.
Kama Mondi ana practise kiasi hiki wakati ni Dude la uimbaji. Mimi nilijua anatereza tu kumbe ni kazi.
PLATNUMZZZZZ MNYIIIIIIAAAAMAAAA🔥🔥🔥🔥🔥
Dhhh so mchezo kaka kuimba kazi Simba ni perfect talented na unawatendakazi sahh sana kazi nzuri WE ZOMBIE🦁🦁🦁🦁
Wajna haujawai kuniangusha am proud of you #Nasibu
Daah hii love nilion hp sichk kutzm hii session 🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿
It's Mr blue's vibe for me, Big up sana Mr blue 🔥🔥🔥
Daaah aiseee tuna jifunza vitu vizuri Sana brother jins tutakapo kuwa studio
daaah simbaa🦁🦁🔥🔥🔥🔥
Namuona chibu na last born wake dvoice. Big up🎉
😂😂😂😂😂😂😂
Yani kwajins ninavyoona daimond ndo crietar anabuni Sana Yan,,nimbunifu Sana bigap daimond
Nimependa mpiga kinanda hanashobo anawaza wali wake home
Wara ni Simba wa maSimba wamazombie🦁🔥🔥🔥👊🇲🇿
Mr Blue amanibamba big time. He made the room lively. Would like to hear a collabo Blue ft Diamond.
Ani mondi anaipambania nyimbo kama yakwake
Kweli jamaa kaamua mziki uwe kazi ake
Heshima kwako mondi
Familia imekua kubwa kazi kali kila kukicha
Nimependa ushirikiano 🙌
Diamond never do wrong....genius of making gud muxic....watakuweza kwel😂😂
Haujui 😂😂😂 Mr blue umepigaje apooo😂😂😂😂
This guy so called Simba has what we call limbic -pineal high up knowledge ...naona umewateka tz artist and keep it up ur .HOV in Tz
"Oya Huyu dogo tolu nae kumbe kiungo huyu" 😂😂😂😂😂
Kiungo chapilau😂
Kiamond nimekusikia umesema kumamake
studio raha bwana ,,I really miss this kind of feelings with my team....
Nakubali mjomba yangu s2kizzy
Ni simba la masimba dangote 🔥🔥🙌 so talented
O
One thing I have learned here is that nothing is easy in this world,even gold has to go through fire to shine
Exactly
absolutely.!
Exactly
Yeah
Yeah
wasanii bwana unaweza ukaambiwa mr blue haivi na mond kumbe ni tofauti ......,,
😂😂😂 yeah watu huongea tu hovyo maana maisha yao ya chini chini hawayajui
Mr blue anamchango mkubwa san kwenye kuwafundisha wasanii mzikii mzurii
Kumbe haikuagi rahisi..🔥🔥🔥
We zombie shetani
Walah nimependa sana big up legend Mr Blue Kabaysa
😂😂😂 nino hose urahashika 😂
Ila naomba papa T Simba Dangote please 🙏🙏🙏 fanya nyimbo yako na Blou blou Baisa Babylon yani Master bloue Trust you guys.❤❤❤ I will be thenk fully understand that Tanzania songs or Swahili song's please 🙏 and don't forget We zombie🎉🎉🎉
Much love from USA🇺🇸 ila Mondi kaua wana wa USA RIVER Tunamkubali🔥🔥🔥
Hi Brother may I have ur contact number please
Na Simba la masimba DANGOTE 🔥🔥
Zombie uko vzri bana ukimaliza kuangalia hii video tafuta hio nyimbo
My Guy Diamond platnumz
Bonyeza kushoto kwenye nembo ya sanau Swahili movies uende kutazama filamu mpya za bongo movie
Big brother we can't let you down ❤❤
Diamond ni Music Genious.
We are really proud of you Simba. We zombie 😂😂😂
That's why you make big things there are many different ideas 🔥🔥🔥🔥
S2kz ni 🔥🔥
ZOMBIE❗
Nangoja Mr blue na cmba ❤
Mr bluee is genius😅❤🔥
To be superstar is not easy even Diamond platinum he work harder 👌💪💪
Imagine humu wangemuweka na chidi benz ingekuaje!!!
Wee zombieeee aujuii❤❤ Nasimba la masimba dangotee 🙌🙌🙌
Respect bro diamond platnumz simba 🔥 🔥 🔥
mtu anatumika ivi kisha nyie mnamuita FRIMA Allah akuzidishie sana mmamyema mwenzangu kazi inaonekana kaka acha wakuite watakavyo we piga kazi tu
Kumbe d voice alikuwa session
Nice to watch this recording session
Proud to be Tanzanian 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hakuna kazi rahisi duniani walai. 😂🎉🎉🎉 daa!
LET'S GO [bin simba sultan]
I like this....🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Legend always be focused
Nani?? After hii video amerudi kuona video ya komando kama mm😂😂😂
Diamond mkali sana baba, endelea na kupambana.
Unyamaaa wazeee wa Vpensi🔥🔥
Mr Blue 🔵 kama alikua kapiga tungi make Sio POA
Kumamake anatoka wapi ilaaa wabongo hahhhahaha
Mr. Blue byser is all the vibe✔️🔥
Ni Simba masimba dangote
hii safi, naona na Kiba huwa anatuletea hizi behind the scenes🤛🏾
😂😂hiyo kumamake chibu kumbe naww unaipenda 😂😂😂😂😂sanaaa 🙏🙏🙏🙏nakukubali sanaa mzee wakazi ww ni fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥hiyo heee 😂😂😂😂😂😂😂
@@Swahili14 🤣🤣🤣🤣🤣
@@chusseboywcb2808 what's your fb or ig name kaka?
Kama umesikia simba anatukana gonga like😂😂
Kumamake was just chilling!😂😂😂then boo...
Diamond platnumz fanya collabo moja y nguvu na Mr blue itakuwa 🔥 sanaaaa
Kuimba. Mna umiza akili ni fundi kama. Ufundie! 🎉🎉🎉🎉❤
Hakuna mfano wako ❤❤❤
Ka biser! Ngoma imempagawisha vi noma!! Ngoma imeshika vibaya..! Big up producer s2kizzy wewe genius Kwa mambo Yako.💪💪🔥🔥🔥
Daaah! Legend baisa yupo tungi knoma yan 😂😂😂
This session was absolutely hard bt the outcome was very nice....much love to my fellow comandos....254 is watching....
😂😂😂nikajua chawa
UMMAT MOHAMMAD 😭 inlalillah