S2KIZZY awachana LIZER na ABBAH/Hawaniwezi/NAWAZIDI KILA KITU/ Nina HITS NYINGI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 май 2024
  • _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
    #S2KIZZY #BongoFlavour
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 84

  • @ray45king84
    @ray45king84 29 дней назад +4

    Give this man his flowers...Living Legend.

  • @milazoomilazoo4494
    @milazoomilazoo4494 26 дней назад +3

    S2kzee ni mbayaaaaaaaaaa achaniiii wivuuu watanzania tukubali vya kwetu kama wanaijeria jmnnnniiiiiii watanzania tuache wivuuuuuuu

  • @rashowshine7849
    @rashowshine7849 29 дней назад +5

    Nakukubali zombie but lizer Ni full package

  • @hatib8957
    @hatib8957 23 дня назад +2

    S2kizzy anajuwa sana emu tuacheni majungu

  • @chibudangote0126
    @chibudangote0126 29 дней назад +4

    ACHANENI NA LIZER SEMA TU HAJIDAI MITANDAONI

  • @jumastephano2688
    @jumastephano2688 28 дней назад +2

    Zombie kaa mbali na lizer wew 🤜🤛

  • @AROMA_KING001
    @AROMA_KING001 29 дней назад +1

    S2kizzy bado mtoto mchanga sana kwa ayo lizzer💯 lizzer ndio baba lao

  • @newecrosslophomz666
    @newecrosslophomz666 29 дней назад +2

    Zombie Lizer ni noma sana

  • @ce-08
    @ce-08 29 дней назад +2

    Weee zombie + laizer wote wa ❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @gastosowela9195
    @gastosowela9195 29 дней назад +3

    Lizer 🔥 🔥 🔥

  • @danielmushekerwa
    @danielmushekerwa 29 дней назад +2

    This the greatest producer in east africa

  • @gastosowela9195
    @gastosowela9195 29 дней назад +5

    Lizer nomaa sana ase

  • @congoboymbeyas2440
    @congoboymbeyas2440 29 дней назад +3

    Achana na lizer ww

  • @johnmwasilu7087
    @johnmwasilu7087 29 дней назад +1

    Nominated Grammy producer Award 🌺👏🏾👏🏾

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g 28 дней назад +2

    S2kizzy nimkari nakubari ila sio kwaraiza laiza kamuachia nafasi tu ila nimkari kuriko

  • @sevastierkalumba7556
    @sevastierkalumba7556 23 дня назад

    Lizer, I love his mix and he doesn't boast

  • @allthingshub593
    @allthingshub593 29 дней назад +3

    lizer🎉🎉🎉

  • @RicardoNandumba
    @RicardoNandumba 29 дней назад +3

    Lize

  • @Henryson-beats
    @Henryson-beats 28 дней назад +1

    Mpaka siv nakubali ila nakuja kumchomoa hapo mwambie natafuta tag name saiv

  • @rpynoel566
    @rpynoel566 28 дней назад +1

    Zombi we ni hatari lakin laizer ni danger nlichogundua mziki sio chord, mziki ni mixing ok kamix laizer

  • @kiatu
    @kiatu 29 дней назад +1

    Utakuaje wa muda wote (GOAT) wakati hukuwepo muda wote 🤔, hata wale wa zama hizo kama hawako active kipindi hiki watakuwaje wa muda wote?

  • @officialdatonepro
    @officialdatonepro 17 дней назад

    Sasa hivi producer anaewatoa Wasanii Ni pale Ma-feeling Records. Msanii Aliekuwa hajatoka Akigonga ngoma pale Ma feeling lazima asikike

  • @hatib8957
    @hatib8957 23 дня назад +3

    Kama lizer ni mkali kuliko zombi mbona hit zote zinatoka kwa s2kizzy jaman kwann msikubali kua s2kizzy anajua emu acheni kuongelea mapenzi tuongelee uhalisia tunaouwona kwnye beat kali

    • @Theman-dn8vo
      @Theman-dn8vo 20 дней назад

      S2kizzy kweli ni mkali, ila hta lizer naye yumo angalia no za inama, waah,naanzaje, the one, n.k

    • @kidesnassor146
      @kidesnassor146 12 дней назад

      Nawew jiulize kwanini lizer anamalizia mix

  • @user-iy3fx7cl1j
    @user-iy3fx7cl1j 27 дней назад

    Top 11 ya Producer wakali Tz ,1 Majan, 2 Mikamwamba, 3 Man water ,4 Master j, 5 Marco chali,6 Mr t tourch ,7 Abby dad ,8 Mesen Selekta,9 Marehemu Roy, 10 S2 kizy,11 Laiza.Ila S2kizy ana kipaji san na ni mkali ila upepo wa wasanii unambeba

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 27 дней назад +1

    Master Jay na Majani ni one of the god fathers wa bongo flava ambao kizazi hiki cha watoto wa 2000 ndiyo wamewajua sababu ndiyo wanao tajwa sana na wenyewe wanajitokeza sana mitandaoni, but basically kuna god fathers wa 5 wa hii game ya BONGO FLAVA, ambao ni Master Jay wa MJ Productions, P Funk Majani wa Bongo Records, Enrique wa Sound Crafters na hapa sound crafters ndipo palipo mtambulisha producer mwingine mkali aitwaye Biziman, Bony Love wa Mawingu Studio ambako Mwana FA ndiko alikotokea na Mika Mwamba wa FM studios.
    Kulikuwa na sound engineers wengine kadhaa ambao hawakuwa producers na hawakuwa wanajulikana sana maana walikuwa wanafanya kazi kwenye Recording studios ambazo siyo Record labels na walikuwa wakirekodi variety of music Genres za band, taarab, kwaya, reggae etc kama Marlon Linje aliyekuwa anafanyia kazi studio za Don Bosco upanga kuanzia mwanzoni mwa miaka ya 1990 baadaye mwishoni mwa miaka hiyo ya 1990 akahamia MJ Records kwa Master Jay, wengine ni Samuel Luhende, Richard Mloka, Joseph Anania, huyu Joseph Anania alifanya kazi Good news studios pale Jengo la umoja wa vijana fire enzi hizo kabla halijavunjwa na kujengwa jengo hili la sasa, huyu ndiye aliye rekodi album ya kwanza ya Bahati Bukuku inayoitwa Mapito mwaka 2000.
    Mwaka 1998 ilianzishwa studio pale ilala inaitwa Studio Marimba ilikuwa chini ya Band ya Njenje Joseph Anania, Samuel Luhende na Richard Mloka wote wakahamia hapo kama Engineers wakaungana na Keppy Kiyombile ambaye ni mpiga bass guitar na sound engineer wa Njenje so pakawa na Engineers wa 4 wakifanya kwa shift.

    • @user-vz4xj2ci2w
      @user-vz4xj2ci2w 24 дня назад

      OYa babu we mzee sana hahahahahaha achana nao hao tunazungumzia matop ni majani na master j... hao akina makochali, zakchali manwalter cjui na akna nani ni nani hahaha s2kizz mkali

  • @user-me7uq3gt6w
    @user-me7uq3gt6w 28 дней назад +2

    mix nyimb mwenyew bila lizer uwone kama unatoboa

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 29 дней назад

    Bboy beats ni silent killer, he is the best.

  • @azamsijaona4579
    @azamsijaona4579 29 дней назад +1

    sure man

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 29 дней назад +1

    Bro wee ni nomaaaaaa

  • @user-oo4gu3he4m
    @user-oo4gu3he4m 29 дней назад +1

    True

  • @didabwoy
    @didabwoy 28 дней назад

    kwa laiza bado sana

  • @yoramswagala6715
    @yoramswagala6715 23 дня назад

    Rudin nyuma kwenye nyimbo za laizer kuanzia kwangwaru kurudi nyuma mtamuheshimu laizer

  • @SultanBakali
    @SultanBakali 27 дней назад

    Ww unajuwa sana

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g 28 дней назад

    Sio kweli ila unauwezo enderea

  • @papamukulu1045
    @papamukulu1045 28 дней назад

    Lizer mkali sana

  • @user-dm3zm3om4n
    @user-dm3zm3om4n 29 дней назад +1

    Zombie ❤❤

  • @WINNER_BITE
    @WINNER_BITE 29 дней назад +1

    🎉🎉

  • @giftysweetbert8755
    @giftysweetbert8755 24 дня назад

    Humu kuna watu hamjui maana ya uproducer make huwez sema lizer n mkubwa kuliko s2kizzy au s2kizzy n mkubwa kuliko lizer hapana unatakiwa kuangalia vigezo vya uproducer msishabikie tu kwamba flan n mkubwa bila kujua facts

  • @user-ox2bu4fr9k
    @user-ox2bu4fr9k 28 дней назад

    LAIZER HATARI SANA,

  • @syntaxsaintezzer5547
    @syntaxsaintezzer5547 29 дней назад +3

    Kwa lizer bado sana

    • @royphotostore6535
      @royphotostore6535 28 дней назад

      Ki vipi mbona lizzer wa kawaida sanaaaa.....alafu kumbuka laizer ana base sana wcb 😊😊😊

  • @backieb205
    @backieb205 25 дней назад

    Why not man woter

  • @user-iv5wr9wl9u
    @user-iv5wr9wl9u 25 дней назад

    ww bado san wanakubeba 2 san lakin ww c projuza bora bini ladeni umuwezi

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g 28 дней назад

    Sema tangu laiza aache kuprodce kiasi frani wasani wa wcb nikama wanabahatisha bahatisha sio kamazamani ukidondosha jiwe nijiwe sema kazinzuri pambanen

  • @sheddythemix321
    @sheddythemix321 26 дней назад

    Baba zombie umeuwaaaaa usiongee Sana utachoka bule

  • @yoramswagala6715
    @yoramswagala6715 23 дня назад

    Mnaonaje Hawa watu tuwashindanishe watoe vitu vikali afu wabongo tuone Nan mkali

  • @mashakanyale2637
    @mashakanyale2637 26 дней назад

    Na lizer nae anasemaje 😂

  • @yoramswagala6715
    @yoramswagala6715 23 дня назад

    Nyimbo za laizer zitaishi mpaka anakufa lakin wewe unachezacheza tu

  • @yoramswagala6715
    @yoramswagala6715 23 дня назад

    Kaulize goole wakupe majibu

  • @allyjabiri
    @allyjabiri 29 дней назад +1

    Lizer ni mkali ni producer wa Africa

  • @matugarecords
    @matugarecords 26 дней назад

    Hahahaaa

  • @danielmushekerwa
    @danielmushekerwa 29 дней назад +1

    Nakuli zombi

  • @user-cf2qs9wq6n
    @user-cf2qs9wq6n 12 дней назад

    Unamjua Miika mwamba?,Pancho Ratino (rip),Dunga,Lamar, Komorye, Thood Thomas yaan hzo levels we hukanyagi mikono yao ina balaa alaf unalet ujinga hapa unajipangia tu mi namba mbil kwa ubora mjinga nini😡😡

  • @abnassirkarriem-ko5pw
    @abnassirkarriem-ko5pw 28 дней назад

    Mbona lizer Hana majigambo kama huyo mtoto

  • @sorwasoudy6256
    @sorwasoudy6256 28 дней назад

    APN zombi co mkali zaid lizer..lizer ni kiboko

  • @AROMA_KING001
    @AROMA_KING001 29 дней назад

    Burukengee ww kwangwaru ni ww ulifanya

  • @user-ye2wd1wg5o
    @user-ye2wd1wg5o 29 дней назад +4

    Kusema kweli zombi ni mkali ila kwa Liza bado sana

    • @Rapdoscomos
      @Rapdoscomos 29 дней назад +1

      S2kizzy mkali sana

    • @AROMA_KING001
      @AROMA_KING001 29 дней назад

      Lizzer noma💥💥💥💥

    • @emmanuelmwasyoge2053
      @emmanuelmwasyoge2053 28 дней назад

      Lizer ukwali wake n nn?😅😅😅

    • @user-ye2wd1wg5o
      @user-ye2wd1wg5o 28 дней назад

      @@emmanuelmwasyoge2053 katika African yy ni wa pili nenda Google uka angaliye huyo zombie hayuko hata wapi isi tosha zombie lazima saidiwe na huyo jama

    • @fisjaykitamuliko1183
      @fisjaykitamuliko1183 28 дней назад +1

      Lizzer mkali kumzidi uyo zombi wenu . acheni kuji mambafai eti zombi labda mkali kwako

  • @djhajiztz
    @djhajiztz 29 дней назад +1

    mokoo

  • @emmanuelmwasyoge2053
    @emmanuelmwasyoge2053 28 дней назад

    Zombies

  • @user-up2fb3ci6h
    @user-up2fb3ci6h 29 дней назад +1

    Wee zombie

  • @user-iy3fx7cl1j
    @user-iy3fx7cl1j 27 дней назад

    Top 11 ya Producer wakali Tz ,1 Majan, 2 Mikamwamba, 3 Man water ,4 Master j, 5 Marco chali,6 Mr t tourch ,7 Abby dad ,8 Mesen Selekta,9 Marehemu Roy, 10 S2 kizy,11 Laiza.Ila S2kizy ana kipaji san na ni mikali ila upepo wa wasanii unambeba