PRODUCER LIZER: S2KIZZY HAJACHUKUA NAFASI YANGU WCB| WIMBO WOWOTE WA DIAMOND LAZIMA NIUKAGUE MIMI ".
HTML-код
- Опубликовано: 7 май 2024
- CATCH US BONGO FM 📻
90.0 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 89.7 DODOMA 📻 | 89.9 ARUSHA 📻 | 104.9 MBEYA 📻 | 90.0 MWANZA 📻 | SHINYANGA 89.9 📻 | KIGOMA 89.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: bongo_fmtz
TWITTER: https: BONGO FM
FACEBOOK: BONGO FM
#rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #micheZo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumonukuu
#kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbatv #diamond #yangasc #wcb #singidafountaingate #kondegang #wcb #yangatv #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbasc #live #simbatv #diamond #diamond #yangatv #yangasc #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #simbatv #diamond #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang
S2kzy ni beat maker..sio full package producer aliyekamilika
Laizer n best producer, akuna km yeye Tanzania namkubal knyamaaa, I hope sku 1 utanfanyia Ngoma Kali sana,
Beat Maker makes Beats, Producer makes Records, Audio Engineer does the technical part of the musical project in the studio that is Recording, Mixing and sometimes mastering, to make the #VISION of an artist and Producer come into reality.
Huyuuu sasa Do Producer bora kwa TZ ,anafanya mengui kwa WCB,wala hajawahiii Kujisifia hata mara moja, Mwanbieni #ZOMBIE wenu ,amtafute #LAIZER😂😂😂😂#From #COMOROS
Lizer ni Bonge la producer❤
This man is so professional in producing
Unique touch beat making and all that stuff...
Eeyoo Lizer🎶🎶🎵
Ukibisha kama lizer sio top kaulize goole
Namkubali hana masifa ata hapend kutokeza kwenye mavideo coz anaelewa kipaji chake kinaeleweka 😊
S2kizzy ni beatmaker Lizzer ni producer anafanya final product ya mixing kitu ambacho ndio production ma beatmaker ni wengi sana
Lizer mtu peace ✌️
Nyinyi Watangazaji wachonganishaji sanaaa
Huyo wa Burundi🇧🇮🇧🇮 ametsaliti
Lizer ni producer mkubwa sana
Ayo lizer
Move on be humble be positive ..
Laiza asichokitaka ni kushinda nyumban Kwa mtu studio ingekuwepo angetoa migoma kama yote anashinda ofsini kwake
Lizer no anajuwa sanaaa
Me koment yangu inaleng kwa presenta
Mmemuita Lizer pigen story kuhusu yeyeu vitu vinavohusu kazi anayo fanya au watu wnafanya kitu cha aina moja
Asa mnaaza kuwaongelea akina mwijau which is different to what this man do.. ongeeni kuhusu kazi na vtu mashabiki tunataka kujua
Laizer niproducer mzuri sana
Lazier anajua sana
Lizer amepoa sanaa
Mwanangu saana
Hata producer Drumer boy wa Nigeria alipoulizwa kwenye the big sunday kuwa nani mkali kati ya Lizer na S2 kizzy akajibu LIZER.
HE'S HIM
Laizer nd baba wa muziki bongo.....
😂😂😂
Kamix lizer 🎉
Lizer anajua sana
Sasa apo mnataka kuchonganisha
Lizer apewe maua yake
Pigeni kelele ila mikono ya Thood Thomas hamuifikii,na hana makuu wala hana interview yeyot
Lizer mtu poa sana
Sema ukwel laiza acha kupindisha maneno bro...cc mafans wako tuna taka kujua ukwel....nakuona kuna kitu unaficha😅😅
Kitu gan
🇧🇮 🇧🇮
Kumbo huyo laize ndio huyu jmn haaa kichwa chake kipo vizur
🎉🎉🎉
😂😂😢🎉😂
HUYU JAMAA KAFANYA MAKUBWA KWA MONDI NA WCB BUT HAJAJISIFIA MTANDAONI
Laizer kabobea zaidi kwenye mixing na mastering huwezi kumlinganisha na s2kizy kabisa
Anaejua aoingei sana
@@kyflavour kwahiyo wakina Dr Dre wakina Drake Chris brown hawajui sababu wanajisifia Sana!😃 Hojabyako dhaifu Sana, yani kisa mtu hajiongelei ndo tuseme anajua sababu yupo kimya hajisifii 😂 laizer alikuwa Bora kipindi kile wakina harmonize wanatoka kwenye muziki siku hizi hatengenezi beat kazi yake kubwa ni kufanya mixing tu nyimbo zilizotengenezwa na maproducer wenzake
Hapendi kujigamba kazi yake inakuonglea 💯
Anapga kazi sana
Hawa watangazaji bado wachanga
Uyo akawa mtanzania lini?😂😂si wa gatumba uyo
Hahahahahahahahahahahaha naona unataka kumchonganisha Lizer na watu wanao vaa sare za blue bahari
Tatizo wa tangazaji wa tz ni wajinga mnan'ganiza mtu kitu sio
Huwez sema s2kizy n produce bola na wakat hata kumix hawez na ndy maana nyimbo zote mwisho lazima usikie kamix lizer😂😂😂 sasa unajiitaje producer na wkt ku mix hauwez
😂😂😂
Banaee s2kiz ni mkali kuliko hata huyu ukweli ndo hio kama mnabisha njooni na facts na research na statistics
Sikiliza intervie
Unampenda s2kizzy ila ukweli unakushinda kuongea
acha ujinga hizo nyimb anamaliziaga nani za s2kiz
hata tetema kasikilize kuna v2 kapiga laiza kuanzia pale saut ina sikka ayo laizer
sukari kapiga teon lkn kailekebisha laiza na teoni mwenyew kakili