Namna nzuri ya kununua vifaa vya studio ya Muziki kwa wenye barget ndogo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Unapoanza kujishughurisha na sanaa ya muziki na uchakataji wa sauti.... Namna nzuri ya kununua vifaa vya studio ya Muziki huwa inakuwa changamoto hasa kama una badget ambayo haiwezi kukidhi uhitaji wote kwa mara moja hivyo kujikuta ukinunua vifaaa kimoja baada ya kingine. kwenye video hii nimekusaidia namna rahisi ya kufanya maamuzi ya kipi unaweza nunua kwanza kabla ya kingine ili uweze kuanza safari yako ya sanaa ya muziuiki wa namna hiliyo nzuri... ungana nami kuitazama video hii

Комментарии • 50

  • @DangerClassic-uh6gy
    @DangerClassic-uh6gy 19 дней назад +1

    Fresh sana mwalimu mkuu

  • @DrMbonea
    @DrMbonea 6 месяцев назад +2

    Unajua kujieleza ukaeleweka Bro big up

  • @sirinenerenatho-qn3vx
    @sirinenerenatho-qn3vx 2 месяца назад +1

    Habari , kaka naomba mawasiliano yako. Kuna vitu nahitaji kuvifahamu

  • @mwalimusalanga
    @mwalimusalanga 5 месяцев назад

    Maelekezo mazuri uko vizuri hongera sana

  • @MaburaNehemia-mp1jw
    @MaburaNehemia-mp1jw 5 месяцев назад +1

    Safi sana mkuu

  • @mosessolo7387
    @mosessolo7387 4 месяца назад +1

    Asnte nimekuelewa Sana kiongozi

  • @jamesmuseku2972
    @jamesmuseku2972 Месяц назад

    Asante..Tafadhali nielezee type nzuri ya computer.

    • @tweakingtricks1087
      @tweakingtricks1087  Месяц назад

      ruclips.net/video/d92rpdbDgPI/видео.html check hii video na uniambie kama bado utakuwa unahitaji msaada

  • @Chrishenryson-beats
    @Chrishenryson-beats 4 месяца назад +2

    Me nimejifunza kupiga beat saiv nataka nikimaliza chuo nifungue studio ya kurecord. Kwangu imekua rahis sana kujifunza na kufanya hii kitu. Napiga beat balaa kwa fl pamoja na kwamba pc imekatika screen but nimekua adicted wa kupiga beat. Napenda afro beat na hip hop…. Kama za metro booming 🔥🔥🔥

    • @tweakingtricks1087
      @tweakingtricks1087  4 месяца назад

      Habari njema hii... keep your focus....na zaidi ya hapo ni historia kuandikwa tu 👍👍

    • @kazibertfaustine3492
      @kazibertfaustine3492 3 месяца назад

      Gkdt😮 to get bbbbbbbnnj​@@tweakingtricks1087

    • @giftnoelimahenge7158
      @giftnoelimahenge7158 2 месяца назад +1

      Mimi nimsanii natafta natafta mgonga beat niwe natumia baazi ya biti zake then tunaweka kama mkataba kwamba kazi zikianza kulipa tunaangalia tunalipana vp tunakuwa tunasaidiana you tube natumia jina la DINEO TZ

    • @feimaker08
      @feimaker08 2 месяца назад

      Oyah niaje ofxa
      Daah mwanangu me napenda San kuwa Producer. Tunaweza tuka click nikapata maujuzi kidg kutoka kwak

  • @feimaker08
    @feimaker08 2 месяца назад

    Bro napenda san mambo ya Production
    Unaweza ukanifunza mimi nikawa mwanafunzi wako
    Napenda sana kuwa Producer

    • @tweakingtricks1087
      @tweakingtricks1087  2 месяца назад +1

      @@feimaker08 karibu kijana.....unapatikana wap

    • @feimaker08
      @feimaker08 2 месяца назад

      @@tweakingtricks1087 me ni mkazi wa Dar es salaam, Gongo la mboto

    • @feimaker08
      @feimaker08 2 месяца назад

      @@tweakingtricks1087 sijui wew bro upo pande Gani
      Naitaji San bro kuwa Producer mkali San na nina Nia san

    • @feimaker08
      @feimaker08 Месяц назад

      @@tweakingtricks1087 kaka mamb vip

  • @gvanmiku9311
    @gvanmiku9311 7 месяцев назад

    Umetufunza sana kakaaa

  • @maduhumanyangu1544
    @maduhumanyangu1544 14 дней назад

    Ni masomo mazuri sana..Mwalimu wa Muziki,
    mie nina bajet ya kununua HEADPHONE kwajili ya kufanyia Mixing na Mastering.
    Je, ninunue Headphone yenye Sifa gani Kionvozi?
    Maanake sina Monitor Speakers

    • @tweakingtricks1087
      @tweakingtricks1087  13 дней назад

      kuna headphone nyingi nzuri kulingana na mfuko wako
      ..................
      ukipata M Audio, AKG, KRK ,senhanser ni brand nzuri
      kuna AKG kuanzia range ya 200k na kuendelea depending na model ...
      naweza kukutumia baadhi ya model kwa whatsapp

    • @kadala06
      @kadala06 3 дня назад

      @@tweakingtricks1087Nampango wa kufungua Local studio Vijijini Ila Mm sio producer nipo interested sana Na Muziki Naomba Unisaidia Nichukue vifaa Gani Specifically Ili nivinunue kabisa Producer ntatafuta Nikikamirisha vifaa...

  • @tweakingtricks1087
    @tweakingtricks1087  6 месяцев назад

    Mahadhi mbali mbali isipokuwa... singeli na taarabu

  • @imuworldtz
    @imuworldtz 7 месяцев назад

    Nice Video.

  • @christianflorence9461
    @christianflorence9461 6 месяцев назад

    Muzik gani una produce bro

  • @AndrewMagembe-c1n
    @AndrewMagembe-c1n 6 месяцев назад

    Weka mawasiliano

    • @tweakingtricks1087
      @tweakingtricks1087  6 месяцев назад

      Kuna email address kwenye description box hapo lakini kuanzia video inayofwata ntakuwa na number kwenye video kabisa....Karibu👍

  • @danielelias6704
    @danielelias6704 6 месяцев назад

    vipi naweza kupata piano midi?

  • @christopherernest2316
    @christopherernest2316 6 месяцев назад

    Hongera kaka kwa maelezo mazuri yanayoeleweka kabisa 💯/, mimi nina swali kidogo je ili upate vifaa vya kuanzia unatakiwa uwe na kiasi gani cha fedha ambayo utaweza kupata vifaa ambavyo vinahitajika hatua ya mwanzo ya vifaa,,?

    • @tweakingtricks1087
      @tweakingtricks1087  6 месяцев назад

      kwa vitu ambavyo ni vipya kabisa ukitaka kuwa na vyote nilivyovitaja hapo KWENYE VIDEO kasoro chumba tu .... walau uanzie na 4M..... KWA STANDARD STUDIO KIT..... UNAWEZA PATA CHINI YA HAPO KAMA UNATAKA KUNUNUA VITU USED (2.5 - 3M)

  • @MRWORDBNB
    @MRWORDBNB 3 месяца назад +1

    Unafundisha music production pia?

    • @tweakingtricks1087
      @tweakingtricks1087  3 месяца назад +1

      Yeah... Unapatikana mkoa gani ?

    • @MRWORDBNB
      @MRWORDBNB 3 месяца назад

      @@tweakingtricks1087 nipo Dar brother

    • @monstyleog6308
      @monstyleog6308 3 месяца назад

      ​@@tweakingtricks1087 mim nipo Dsm

    • @MRWORDBNB
      @MRWORDBNB 3 месяца назад

      @@tweakingtricks1087 napatikana Dar kaka

  • @Djbambitz
    @Djbambitz 6 месяцев назад

    Iv sound card Q23 ikoje naitaka hiyo

    • @tweakingtricks1087
      @tweakingtricks1087  6 месяцев назад

      q 24 in soundcard ina option kadha ambazo watu wanazipenda .. eg inakuwezesha kuconnect speaker zinazotumia av cables kitu ambacho sound card nyingi zinasupport only jack connector (kubwa) lakini pia bei yake imepoa pia pia e.t.c ..... personaly sound Quality ya sound yake sijawaaahi isikia lakini naona watu wanaiwinda kweli

  • @joshuazabron9777
    @joshuazabron9777 Месяц назад

    kwani bro pre-mixer haifai?

    • @tweakingtricks1087
      @tweakingtricks1087  Месяц назад

      Unaposema pre mixer una maanisha mixer au digital field Recorder

    • @tweakingtricks1087
      @tweakingtricks1087  Месяц назад

      Li dadavue vizuri swali lako... Be blessed kiongozi

  • @fullloughtv9413
    @fullloughtv9413 6 месяцев назад

    Kwan soundcard zna bei gan??

    • @prime_215beatz
      @prime_215beatz 6 месяцев назад

      Zipo za aina nyingi.. ukitaka nzuri kabsa andaa kiasi cha chini kuanzia 350k

    • @tweakingtricks1087
      @tweakingtricks1087  6 месяцев назад

      inategemeana na brand pia number of channels badget ya kuanzia mia 500k unweza pata card nzuri kwa kuanzia

  • @mr.michaelHb3491
    @mr.michaelHb3491 4 месяца назад

    Lam iwe ngap mkuu

    • @tweakingtricks1087
      @tweakingtricks1087  4 месяца назад

      UNAWEZA TAZAMA HII HAPA NIMEZUNGUMZIA KIUNDANI ZAIDI ruclips.net/video/d92rpdbDgPI/видео.html

  • @danielelias6704
    @danielelias6704 6 месяцев назад

    vipi naweza kupata piano midi?

    • @tweakingtricks1087
      @tweakingtricks1087  6 месяцев назад +1

      personal siuzi vyombo ya mziki lakini nina used berhinger mid naiuza..... other wise unaweza pata toka dukani au kutoka kwa wadau wengine

    • @danielelias6704
      @danielelias6704 5 месяцев назад

      @@tweakingtricks1087 unaiuza shilingi ngapi?