Naseeb, machozi yangu ya furaha leo yawe dua jema kwa Mungu, ubarikiwe zaidi mwanangu, nimelia saaaana kwa furaha kijana wangu, pia napenda muziki wako👏🏻👏🏻👏🏻asante kwa yote
Nasibu nataka kukwambia siri ya mafanikio yako. Si hayo tu siri ya mafanikio yako ni dua ya mama yako umemtanguliza Mama yako mbele mashaallah kwa kila mafanikio Yoko. Na sisi waislam tunaamini ukimfurahisha mama ndio ufunguo wa mafanikio yako. Nimekupenda sana kwa hilo
Mwenyezi Mungu akuzidishie. mfano wako wa kuambiwa njoo baada ya miezi kadhaa na mfadhili aliyehitaji kukusaidia nimeupenda na jinsi ambavyo hukukata tamaa. Ahasante sana kwa kushare.
Duuu yani leo umejua kuniliza nasseb mungu akujalie kila la kheri kwa duniani na kesho akhera utaikuta babaangu kutoa ni moyo sio utajiri kweli yani nimelia kwa kweli mungu akubariki wewe na wenzio na wazazi wako ameen yaraab
hongera San Mr Diamond binafsi umenigusa sana kaka kwa mafanikio yako makubwa na ukaamua kupeleka sehemu ya mgao wako pale ambapo ulizawaliwa na mama yako kizaa chema! Mungu akuwe salama na kukupa Afya njema! ....
I Looove Diamond so much...nah so amesema ukitaka kitu omba mungu akutendee na amesema Omba kuanzia sasa...na sasa Mimi na muomba Mungu anisaidie siku moja nipatane na yeye akija Kenya hata nimpee tu hug... I'm sure God you go answer my Prayer Oooooh can get Amen from somebody...
Mashaallah nacbu ata machozi yananitoka mungu akuongoze kwa kila ufanyalo akulinde akupe afya bora napenda kazi zako wakenya yothe happy birthday to you nacb
Mndi amefanya ki2 chamaana sana ambapo hata preso ha jai Fanya mungu akuongesee. We're still praying 4 u na wasani wengine. 2 jione kwa mndi ki2 amefanya, may God blz u
Mungu akujalie naseeb uendee kuwa na moyo Wa upendo namna hiyo n upendo Wa ajabu kwakweli sijatoka bule kwa maneno yako mazuri ya kutuambia vijana wenzio tusikate tamaa kwenye kutafuta n uvumilivu ubunifu vinaitajika na kumshilikisha mungu ktk yote asante sana
Mungu akubarik bro! Ubarikiwe kwahiki ulichokifanya umewaliza wengi sn uwe nguzo nafunzo kwawatanzania wte wenye nafas mungu akubarik sn mama wenzio ni wko pia mungu akusmamia kwa hili umetoa bajaji 1 mungu akupe zaid ya mia 1
Saidi ya yote congratulations mama diamond kwa baraka ya mutoto ulie muleta duniani mungu amuonekanie kwa kile akifanyacho na kumupa muke mwenye yoro kama yake inshallah
Nimelia yaani sijawah kuandika chochote lakin hii imenigusa mungu akubariki Kaka hakika unatumia nafasi yako vizuri tunamwomba mungu atupe nafasi ss siku mmoja in Sha Allah God bless you brother
leo nimetokwa na machozi kwa ajil ya Diamond. Kafanya Mungu anayotaka binadamu tufanye kwa wenzetu. Hata sisi wenye kidogo tufanye vivyo hivyo kwa udogo wake. Barikiwa sana MONTH MENT MWENZANGU
Mungu akuongezee sana Diamond. Kwa kweli machozi yamenitoka ulipomzawadia huyo mama mlemavu bajaji. Yani umegusa maisha ya huyo mama kwa kiasi kikubwa sana na hakuna anayeweza kuthaminisha huo msaada kwake bali ni Mungu pekee. Mungu atakulipa Mond na atakuongezea pale ulipopunguza. Be blessed Diamond
Mashallah mashallah big up bro D ..umejituma mungu akubariki naakizidishie na moto huwo na usisite zidii kutoa na. ALLAH atatilia barka na neema na njia akunyooshe kwasababu unawasaidia maskin nawasio jiweza ........nmelia sana nanimefrai sana ....chamsingi tunakuombea kwa Allah......na walioko nyumaaa yako....tabarakallah.....inshallah Ameen ...Happy birthday to you DMD ...from KENYAN
Nimejifunza mengi sana kutoka kwako sitokata tamaa kamwe,baba wanatujuwa baada ya kufanikiwa ipo siku hata mm nitafanikiwa,mungu akutie nguvu akulinde uishi salama ,nikutakie maisha mema kaka!.
Nimejifunza kitu kikubwa san.kumuomba Mungu na kusaidia wasiojiweza.kwel Mondi acha Mungu aendelee kukubariki.nimeumia na nimejifunza kitu.let u shine forever
Toka nizaliwe siawahi kuona tukio Kama ili kwa msanii diamond kutoa msaada mkubwa Kama huu, hasahasa kumpa mama mremavu bajaji. Mungu akubariki diamond nakuombea usirudi nyuma, nataman ungezaliwa kwetu mbeya hizo opportunity tungenufaika maana mbeya ss niwapambanaji mno, asante diamond kwa tandale, asante pia kwa daresaalam kadhalika kwa Tanzania nzima, wcb good job
Yaan kusema ukweli vitu vingine tuwage tunapunguza uteam,ukuda,minongono, na majungu ama kweli diamond ni kioo cha jamii na mfano wa kuigwa like nyingi kwa simba aka chibu de like plese
diamond nizawadi alioileta Allah mungu azidi kukulinda kaka angu ili uweze kutusaidia maskini. wallah unamoyo wakipekee Hakuna msanii yeyote atakaekufikia, we love you brother.. happy birthday simba my Allah bless you
Yaani imeniuma sana...nmetokwa na machozi jamani 😢😢 kwa kweli Dai umetoka mbali Mungu ako pamoja nawe ubarikiwe sana kwa pale ulipopunguza Mungu akujazie zaidi... +254
Japo tunajaribu kumponda diamond platinum ila kupitia diamond najifunza mengi sana Maana kashutumiwa sana sijui Freemason, utapeli,midomo,eti sura mbaya ila jamaa kapambana mpaka amefika hapa alipo Kweli mungu mkuu👈diamond japo nipo us state natamani tukutane ili nikaombe ushauri ulipo Maana napenda kushauriwa sana Maana nataka kufanikiwa👈🌠🌠🌠 diamond ni mpambanaji tosha tena ni mfano wa kuigwa
Mtaka cha uvunguni sharti uiname....allah akupe kila la kheir n.a. daima mueke allah mbele katika kila kitu chako...na mimi kama ndugu yako wa kislam na nyenyua mikono yangu juu kukuombe uwache zina akupe muke wa kheir ya rabi
Nalia kwa furaha,mwanangu diamond ,japo wengi wanakuponda lkn unalolifanya Allah akulipe mema duniani na Akhera, Nimelia kwa furaha sana mm mamako kutoka Kenya,Allah akulinde na kila aina ya shari ya Alichokiumba
Allah akuzidishie ulipopunguza Inshaallah sku Zotee ndio mana Hua unafanikiwa kwa yote ufanyayo Allah azd kukufanyia weps n akuletee kher nyng Inshaallah Ameen
diamond mi mkenya all along nimekua nikisifia alikiba but kleo hii nimetokw3a na machozi juu ya hiki kitendo ubarikiwe sana am now ur stronget fun may GOD BLESS U
hakika kijana umefanya jambo kubwa la kumpendeza Mungu,sio kila upatacho ni chako peke ako.laa hasha kuna baraka za watu,wewe ni njia tu ya kupokelea baraka hizo,yafaa uwafikishie wenyewe..Mungu akuzidishie kijana
GIVING BACK IS SEARCH A GOOD THING, kile unachokifanya Diamond ni cha mapenzi makubwa sana kwa kila mtu duniani hata kama hatuko Tanzania but kupitia social medias tunapata kuona jinsi una roho ya utu na tunasema hongera....nendelea vile vile kukaba na kumaliza umaskini na kuiendeleza Tanzania isonge mbele, Mungu akuzidishie vingi Bro.
Penda sanaa hilijamaaà hata agombe uris nampa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥wenye loho za kwanini hawawezi kuona thamani ya huyu kijana mungu akuongezeeee zaidiii nasibu simbaaa dimondi baba wa3 chibudenga ksngote🔥🔥🔥🔥jamani mungu anasema mtu anapofanya jema mpongezeni
Naomba mungu nitembeleye tanzania na nitafikia hôtel Yako ili nikuone.macho kwamacho mana we nmtu mzuri roho Yako nzuri sana n'a mungu atakubarikia ichallah
Naseeb, machozi yangu ya furaha leo yawe dua jema kwa Mungu, ubarikiwe zaidi mwanangu, nimelia saaaana kwa furaha kijana wangu, pia napenda muziki wako👏🏻👏🏻👏🏻asante kwa yote
Chib
n .noma
tokakule.awufayi.sadaka.inaanziya.ndani.kwenu.utawapa.wengine.baba.yako.ajapata
Safi sana Diamond Platinumz, you have done me shed tears kwa kumkabidhi yule mama bajaj, so awesome and stunning
i cant hold my tears, Diamond platnumz big up brother hopefully one day i will be doing the same kuwasaidia wenye uhitaji
Nasibu nataka kukwambia siri ya mafanikio yako. Si hayo tu siri ya mafanikio yako ni dua ya mama yako umemtanguliza Mama yako mbele mashaallah kwa kila mafanikio Yoko. Na sisi waislam tunaamini ukimfurahisha mama ndio ufunguo wa mafanikio yako. Nimekupenda sana kwa hilo
Mungu ndie aliyemuumba nassib kila lakher duniani na akher baba tiffa
mimi nilichimbia watu choo huko kisii kenya kulimia watu mashamba elimu mbele sasa nimetembea nchi nyingi..thats true Diamond,i love that motivation
Mwenyezi Mungu akuzidishie. mfano wako wa kuambiwa njoo baada ya miezi kadhaa na mfadhili aliyehitaji kukusaidia nimeupenda na jinsi ambavyo hukukata tamaa. Ahasante sana kwa kushare.
Mungu akuzidishie Diamond ulipotoa pakajae Mara dufu
Diamond umenifanya nilie na ujfunze vng am going to change from now nazan mungu amekuleta Tanzania kwa makusud ishi maisha mrefu my broo 😍 😍 😍
Mm n Kenya but Diamond hunipa moyo sana, kwa ushauri wake, hakika amekoma. Brother na kweshimu sio muziki tu hila ushauri wako. Mungu abariki kazi yko
Big up brother nasibu god blessed u mshikaj una saidia wa2 na nazan akuna msanii waku mkamata huyu jamaa eaxt afrika ntabk kuwa xhabik wako daima💪💪
Diamond Jamani ni mtu mwema Sana, ukiachana na mapungufu Mengin ya binadamu. Mungu ampe maisha marefu
Duuu yani leo umejua kuniliza nasseb mungu akujalie kila la kheri kwa duniani na kesho akhera utaikuta babaangu kutoa ni moyo sio utajiri kweli yani nimelia kwa kweli mungu akubariki wewe na wenzio na wazazi wako ameen yaraab
Acha kuhisi, ingawaj mungu ndio anajua ya kesho, ila hakuna pepo ya muhimba mziki au mvaa hereni mwanaume, na mzinifu
Allah akusimamie upaye zaidi ya hapo nasibu choxi langu liwe baraka kwako
hongera San Mr Diamond binafsi umenigusa sana kaka kwa mafanikio yako makubwa na ukaamua kupeleka sehemu ya mgao wako pale ambapo ulizawaliwa na mama yako kizaa chema! Mungu akuwe salama na kukupa Afya njema! ....
No this young man is just smart and intelligent, hi 👋 from the Congolese nation
I Looove Diamond so much...nah so amesema ukitaka kitu omba mungu akutendee na amesema Omba kuanzia sasa...na sasa Mimi na muomba Mungu anisaidie siku moja nipatane na yeye akija Kenya hata nimpee tu hug... I'm sure God you go answer my Prayer Oooooh can get Amen from somebody...
Diamond siku ukifa wengi watalia sana .Allah akujalie umri mrefu na akujalie moyo huohuo wakukumbuka wasiojiweza.ubarikiwe sana kaka.
Mungu akubariki kaka yetu, na akubaridi zaid ya hapo,nimefurah sana huyo mama mlemavu ulimsaidia bajaji jaman.hongera sana mama yangu
Congratulations bro chenye umefanya ni cha maana sana katika ulimwengu Wa sai mwanadamu haezi akakulipa ila mwenyezi Mungu akuzidishie
Mashaallah nacbu ata machozi yananitoka mungu akuongoze kwa kila ufanyalo akulinde akupe afya bora napenda kazi zako wakenya yothe happy birthday to you nacb
Kenya tungekua na wazani kama diamond si tungekua mbele AKY GOD BLESS YOU SIMBA🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤😢😢
tunajivunia kwakweli
Kweli kaka ,tungekuwa Na wasanii kaa hawa sisi vijana tungefaidika bt diamond we pray for you more endelea kabisa hivo 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙌
Mndi amefanya ki2 chamaana sana ambapo hata preso ha jai Fanya mungu akuongesee. We're still praying 4 u na wasani wengine. 2 jione kwa mndi ki2 amefanya, may God blz u
Mungu akujalie naseeb uendee kuwa na moyo Wa upendo namna hiyo n upendo Wa ajabu kwakweli sijatoka bule kwa maneno yako mazuri ya kutuambia vijana wenzio tusikate tamaa kwenye kutafuta n uvumilivu ubunifu vinaitajika na kumshilikisha mungu ktk yote asante sana
Bro mungu akuzidishie zaid na zaid kwa wema wako
Mungu akubarik bro! Ubarikiwe kwahiki ulichokifanya umewaliza wengi sn uwe nguzo nafunzo kwawatanzania wte wenye nafas mungu akubarik sn mama wenzio ni wko pia mungu akusmamia kwa hili umetoa bajaji 1 mungu akupe zaid ya mia 1
Mungu akuweke Simba, ukafanikiwe zaidi na zaidi, msaada usiishie Tandale tu, Bali na Tanzania yotee kwa wenye shida mbalimbali. God bless you.
Mungu akuongezee ulipotoa
Mh jaman mungu akubariki ila .na sis jaman
Mh jaman mungu akubariki ila .na sis jaman
Mungu akupe maisha marefu na uzidi kutusaidiya nakupenda miaka yote kwa moyo wako mzur.
Saidi ya yote congratulations mama diamond kwa baraka ya mutoto ulie muleta duniani mungu amuonekanie kwa kile akifanyacho na kumupa muke mwenye yoro kama yake inshallah
Diamond wewe ni chuma cha reli kaka mungu akubarikibsana
Wewe hauzarau mutu nadio kwa maana mungu atazidi kuku inua 💖I love u my brother God bless more and protect u
hongera sana. Diamond kweli umenitoa machozi.....wewe kijana utabarikiwa sana
Love u diamo Mungu akubariki sana akuzidi shiye maradufu👏👏👏
Kazi nzuri.. na ujifunze kuheshimu wanawake walo kuzalia watoto uache kuwaita kima na sidechik
Nimelia yaani sijawah kuandika chochote lakin hii imenigusa mungu akubariki Kaka hakika unatumia nafasi yako vizuri tunamwomba mungu atupe nafasi ss siku mmoja in Sha Allah God bless you brother
leo nimetokwa na machozi kwa ajil ya Diamond. Kafanya Mungu anayotaka binadamu tufanye kwa wenzetu. Hata sisi wenye kidogo tufanye vivyo hivyo kwa udogo wake. Barikiwa sana MONTH MENT MWENZANGU
Allah akutiliye wepesi kwa tabiya nzuri unao nakutakiyana nzuri kwawezako
@@shemsakeza3372 ahsante sana. najua wengine maisha bado ni magumu. ila tufanye japo kidogo tukipatacho
Uko vzr Mr diamond
Mungu akuongezee sana Diamond. Kwa kweli machozi yamenitoka ulipomzawadia huyo mama mlemavu bajaji. Yani umegusa maisha ya huyo mama kwa kiasi kikubwa sana na hakuna anayeweza kuthaminisha huo msaada kwake bali ni Mungu pekee. Mungu atakulipa Mond na atakuongezea pale ulipopunguza. Be blessed Diamond
Diamond, Mungu akufanyie wepesi katika kila unalo lifanya.
Ammn🤣🤣🤣🤣🤣
Kila siku nasemaga diamond ni mwili mdogo akili bahari like nyingi kwake please
Hhhhhhhhh me for you♥️♥️♥️♥️♥️
@Cayson Jalen sure
Mashallah mashallah big up bro D ..umejituma mungu akubariki naakizidishie na moto huwo na usisite zidii kutoa na. ALLAH atatilia barka na neema na njia akunyooshe kwasababu unawasaidia maskin nawasio jiweza ........nmelia sana nanimefrai sana ....chamsingi tunakuombea kwa Allah......na walioko nyumaaa yako....tabarakallah.....inshallah Ameen ...Happy birthday to you DMD ...from KENYAN
Nimejifunza mengi sana kutoka kwako sitokata tamaa kamwe,baba wanatujuwa baada ya kufanikiwa ipo siku hata mm nitafanikiwa,mungu akutie nguvu akulinde uishi salama ,nikutakie maisha mema kaka!.
Napenda sana kazi yako Diamond platnumz
Nakubal brother diamondplatnumz maisha niubunifu broo shukran sana kwa kutupa shule
Nimejifunza kitu kikubwa san.kumuomba Mungu na kusaidia wasiojiweza.kwel Mondi acha Mungu aendelee kukubariki.nimeumia na nimejifunza kitu.let u shine forever
nimetoa machozi, hakika Mungu you mwema kwako Diamond. Ahsante kwa kumuona mama huyu. Barikiwa sana mwanangu
Toka nizaliwe siawahi kuona tukio Kama ili kwa msanii diamond kutoa msaada mkubwa Kama huu, hasahasa kumpa mama mremavu bajaji. Mungu akubariki diamond nakuombea usirudi nyuma, nataman ungezaliwa kwetu mbeya hizo opportunity tungenufaika maana mbeya ss niwapambanaji mno, asante diamond kwa tandale, asante pia kwa daresaalam kadhalika kwa Tanzania nzima, wcb good job
Yani hadi nimetoa machozi kwakweli Mungu akuzidishie zaidi diamond mingi unafanya kwa kusaidia watu
Vizuri kijana. Hawa ndio vijana wanaotakiwa hapa Tanzania.Diamond oyeee
kutoa ni bora kuliko kupokea HONGERA DIOMOND watanzania tunaona matunda ya kipaji na umaarufu wako. May God bless you.
Watching..crying...Diamond I don't know what to tell you..thank you so much kwa kila kitu unafanya. God bless you
Yaan daimond mung akuweke uzid kusaidia watu nimelia wallah mungu atazid kukusimamia akuondolee husda
Yaan kusema ukweli vitu vingine tuwage tunapunguza uteam,ukuda,minongono, na majungu ama kweli diamond ni kioo cha jamii na mfano wa kuigwa like nyingi kwa simba aka chibu de like plese
fees xxxc kum
wilonja hatua exxxxxx KL MN com
@@saidalli5252 kwakwer kaka una akir sana
Daimodi mungu akupemoyo uwowo mungu akuzidishie ufikembari sana
Mungu aliyekuumba akujalie uishi maisha marefu yenye kufanikiwa cku zote diamond.
Safi sana Diamond....wewe ndio mwanamuziki bora zaidi apa bongo katika nyanja nyingi
Diamond you are a true hustler...mtu anapokumbuka alipotoka is a great treasure in the eyes of God and man you are blessed.
Uzuri wake diamond he don't hide or pretend like some of guys wakifanikiwa ety wanasahau backwards...I can't hold my tears be blessed diamond.
diamond nizawadi alioileta Allah mungu azidi kukulinda kaka angu ili uweze kutusaidia maskini. wallah unamoyo wakipekee Hakuna msanii yeyote atakaekufikia, we love you brother.. happy birthday simba my Allah bless you
Wah! Nimelia lakini kwa furaha, kuzaaa raha jamani..mwenyezi mungu azidi kukubaliki na kukuongezea maisha uzidi kufanya makubwa kwa walio wanyonge🙏🙏🙏🙏
Yaani imeniuma sana...nmetokwa na machozi jamani 😢😢 kwa kweli Dai umetoka mbali Mungu ako pamoja nawe ubarikiwe sana kwa pale ulipopunguza Mungu akujazie zaidi... +254
Daha mungu ndo mkubw
daaah kweli ametoka mbali sanaa mungu akubariki sana mond akupe maisha malefu
Mungu akupe maisha marefu na moyo huo ulionao na nakuomba kwa mungu akukinge na wabaya wote na malaika wakutawale diamond
Duuuh 😭amakweli mungu hukupa siku usiyo ijua daaaah mungu akupe miaka mingi diamond plantinum🙏
Jamani Diamond, mwenyez mungu akupe maisha maref,sidhani km kuna kijana mwenye moyo km wako,ubarikiwe sana ktk maisha yako,ww ni mtu wa watu wallah🙏
Nasibu mungu akubariki sanasana na akuzidishie ulipotoa. huo ndio moyo wa utajiri na wenye uwezo wote wanatakiwa wakuige.
Nimejikuta nalia tu, Mungu hawezi kukuacha kamwe, sadaka unazotoa ndio Baraka zaidi zinavyomiminika kwako, Allah akuhifadh
Japo tunajaribu kumponda diamond platinum ila kupitia diamond najifunza mengi sana Maana kashutumiwa sana sijui Freemason, utapeli,midomo,eti sura mbaya ila jamaa kapambana mpaka amefika hapa alipo Kweli mungu mkuu👈diamond japo nipo us state natamani tukutane ili nikaombe ushauri ulipo Maana napenda kushauriwa sana Maana nataka kufanikiwa👈🌠🌠🌠 diamond ni mpambanaji tosha tena ni mfano wa kuigwa
kweli
Allah akulinde nasibu akupe afya njema naumri mrefu uzidi kuwasaidiwa watu
Mtaka cha uvunguni sharti uiname....allah akupe kila la kheir n.a. daima mueke allah mbele katika kila kitu chako...na mimi kama ndugu yako wa kislam na nyenyua mikono yangu juu kukuombe uwache zina akupe muke wa kheir ya rabi
Nalia kwa furaha,mwanangu diamond ,japo wengi wanakuponda lkn unalolifanya Allah akulipe mema duniani na Akhera,
Nimelia kwa furaha sana mm mamako kutoka Kenya,Allah akulinde na kila aina ya shari ya Alichokiumba
Allah akuzidishie ulipopunguza Inshaallah sku Zotee ndio mana Hua unafanikiwa kwa yote ufanyayo Allah azd kukufanyia weps n akuletee kher nyng Inshaallah Ameen
Mimi tangia nianze kukujua nakubali sana kaka mondi,wacha watu wakuponde watakavyo lakina Jalali ndie kila kitu,nakuombea maisha marefu braza wacha wasema ufreemason wewe muamini Allah,nakupenda sana bro.
Daa kaka simba safi sana mungu akuongezee uzidi fanikiwa baki voko
diamond mi mkenya all along nimekua nikisifia alikiba but kleo hii nimetokw3a na machozi juu ya hiki kitendo ubarikiwe sana am now ur stronget fun may GOD BLESS U
ubarikiwe Nasibu wewe ni mfano wa Watanzania asante sana Mungu akupe maisha marefu
Mwanangu hunijui ckujui nakupenda sana ,palipo na ushauri nakushauri.mungu akujalie upate double double.
hakika kijana umefanya jambo kubwa la kumpendeza Mungu,sio kila upatacho ni chako peke ako.laa hasha kuna baraka za watu,wewe ni njia tu ya kupokelea baraka hizo,yafaa uwafikishie wenyewe..Mungu akuzidishie kijana
Sina cha kusema nimetokwa na machozi tu,Mungu amjaalie mema Diamond platinamz
Mungu anakupa kujituma nakutokuwa nakinyongo nawatu, ubarikiwe kipato kiongezeke ikiwemo afya na uhai mrefu
dah , kaka Diamond mungu aendelee kukujaalia kheri zaidi maana wewe ni kijana ambae unafikiria mbali sana ,, mungu akulipe mema aamin.
ndo mana mungu anakupa INSHAALLAH atazidi kukuongoza
mungu akubariki daimond jaman had nmelia mungu akupe umri mrefu akuzdshie kpato ili uzidi kutusaidia wa tanzania wenzio love you mond
Mungu ni mwema anaona kwa la tofauti na ss wanadamu.. Atujalie na akupe stahi yako.
Daaah huyu mma kanitoa machoz kka mond Allah AKUFANYIE wepec inshallah katka kaz zako na kila jambo lako
Brather, mungu azidi kukuongezea kipato na uzidi kusaidia mama nawengine ambao wanakosa ajira uzidi kuwa saidia na akusaidie sana kwazi yako brather.
Mpaka nimelia😭diamond mungu akubariki
Mwenyezi Mungu akubariki na akutangulie katika njia zako
Ubarikiwe mond m/mungu akupe moyo kama huo wa kusaidia watu
Dah.. weye kijana Mungu akuinue zaidi na zaidi. itokee siku moja ukaende na Mikoani hasa vijijini
GIVING BACK IS SEARCH A GOOD THING, kile unachokifanya Diamond ni cha mapenzi makubwa sana kwa kila mtu duniani hata kama hatuko Tanzania but kupitia social medias tunapata kuona jinsi una roho ya utu na tunasema hongera....nendelea vile vile kukaba na kumaliza umaskini na kuiendeleza Tanzania isonge mbele, Mungu akuzidishie vingi Bro.
big up bro unapendwa sana .watu wa tandale pia nynyi mnapendwa na watu wa nairobi from kenya
Naseeb Allah akubariki sana
Sjawai ona mtu mwenye moyo mzri kama diamond eee mungu mpe nguvu staa wetu azidi kua kinala diamond ata uwe rais unaweza kaz . asante
Japhy K Kidoshi mmh wanafiki wengi 🤦♂️
Mungu akujaxie pale pamepungua akufungulie milango ya baraka akuoe uzima na afya pamoja familia H.B.D
Yan nakupenda sana naseeb Allah akupe maish maref and kila LA kher mung atakulpa
so touching indeed, l'm much impressed na kazi za dai Mungu akuweke Wallah.
Daaah simba hongera xn kaka mungu akupe maisha malefu
Mwenyezi mungu azidi kuku linda na kuku bariki na kupenda sana Simbaa una Roho nzuri
Day huyu Mtoto Anafaa kuwa hata rais maana ana maono mazuri
Diamond wewe ni STAR ambaye una vuta Roho yangu una roho nzuri na penda kazi zako kaka 👍you my number one ☝💕💕✌✌
Penda sanaa hilijamaaà hata agombe uris nampa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥wenye loho za kwanini hawawezi kuona thamani ya huyu kijana mungu akuongezeeee zaidiii nasibu simbaaa dimondi baba wa3 chibudenga ksngote🔥🔥🔥🔥jamani mungu anasema mtu anapofanya jema mpongezeni
Huyu jamaa pia ni comedy sana 😅, Mungu akubariki Nasibu.
I wish diamond angekua mkenya jamani😭😭 Good job bro God bless you am from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nlikua nakupenda kikawaida2 but leo I really love 4 u from now japo teem kiba nime kua teem mond pia nawapenda nyote king kiba 4 my life mond 4rever
Mungu akubariki sana nimeguswa sana has a unapoonesha moyo was kutoa hasa kwa jamii hivi ya watu wasiojiweza.
Mungu akuongezee maisha kaka yangu mungu unanitowa machozi ya furaha ubarikiwe sana ni mfano mzuri unaonesha.
Ahsante Diamond, umeongea maneno ya busara sana.
Mungu akubariki sana
Naomba mungu nitembeleye tanzania na nitafikia hôtel Yako ili nikuone.macho kwamacho mana we nmtu mzuri roho Yako nzuri sana n'a mungu atakubarikia ichallah
Omgera sanaa diamond kwa kujali wasiokua nacho, mungu akupe moyo uwo ameen
Kaka nakupenda sana mungu akubariki sana kwa kuwajali wasio jiweza data mungu akubariki sana👍👍👍