DIAMOND Ampa Bajaj Mama Mlemavu Tandale

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 800

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np 6 лет назад +67

    Naseeb, machozi yangu ya furaha leo yawe dua jema kwa Mungu, ubarikiwe zaidi mwanangu, nimelia saaaana kwa furaha kijana wangu, pia napenda muziki wako👏🏻👏🏻👏🏻asante kwa yote

  • @danielsifuna5344
    @danielsifuna5344 5 лет назад +3

    Safi sana Diamond Platinumz, you have done me shed tears kwa kumkabidhi yule mama bajaj, so awesome and stunning

  • @ludovicangelino9303
    @ludovicangelino9303 6 лет назад +9

    i cant hold my tears, Diamond platnumz big up brother hopefully one day i will be doing the same kuwasaidia wenye uhitaji

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 6 лет назад +33

    Nasibu nataka kukwambia siri ya mafanikio yako. Si hayo tu siri ya mafanikio yako ni dua ya mama yako umemtanguliza Mama yako mbele mashaallah kwa kila mafanikio Yoko. Na sisi waislam tunaamini ukimfurahisha mama ndio ufunguo wa mafanikio yako. Nimekupenda sana kwa hilo

    • @maida2710
      @maida2710 4 года назад

      Mungu ndie aliyemuumba nassib kila lakher duniani na akher baba tiffa

  • @jamesokari9787
    @jamesokari9787 6 лет назад +1

    mimi nilichimbia watu choo huko kisii kenya kulimia watu mashamba elimu mbele sasa nimetembea nchi nyingi..thats true Diamond,i love that motivation

  • @annamlay6088
    @annamlay6088 6 лет назад +8

    Mwenyezi Mungu akuzidishie. mfano wako wa kuambiwa njoo baada ya miezi kadhaa na mfadhili aliyehitaji kukusaidia nimeupenda na jinsi ambavyo hukukata tamaa. Ahasante sana kwa kushare.

  • @bahatimatiku4294
    @bahatimatiku4294 6 лет назад +4

    Diamond umenifanya nilie na ujfunze vng am going to change from now nazan mungu amekuleta Tanzania kwa makusud ishi maisha mrefu my broo 😍 😍 😍

  • @solomonimani6583
    @solomonimani6583 5 лет назад +2

    Mm n Kenya but Diamond hunipa moyo sana, kwa ushauri wake, hakika amekoma. Brother na kweshimu sio muziki tu hila ushauri wako. Mungu abariki kazi yko

  • @japhethemanuel1445
    @japhethemanuel1445 4 года назад +1

    Big up brother nasibu god blessed u mshikaj una saidia wa2 na nazan akuna msanii waku mkamata huyu jamaa eaxt afrika ntabk kuwa xhabik wako daima💪💪

  • @winniemwasenga
    @winniemwasenga 6 лет назад +7

    Diamond Jamani ni mtu mwema Sana, ukiachana na mapungufu Mengin ya binadamu. Mungu ampe maisha marefu

  • @asilaalhabsi6481
    @asilaalhabsi6481 6 лет назад +50

    Duuu yani leo umejua kuniliza nasseb mungu akujalie kila la kheri kwa duniani na kesho akhera utaikuta babaangu kutoa ni moyo sio utajiri kweli yani nimelia kwa kweli mungu akubariki wewe na wenzio na wazazi wako ameen yaraab

    • @waneytv2459
      @waneytv2459 6 лет назад

      Acha kuhisi, ingawaj mungu ndio anajua ya kesho, ila hakuna pepo ya muhimba mziki au mvaa hereni mwanaume, na mzinifu

    • @asharamadhani4975
      @asharamadhani4975 6 лет назад

      Allah akusimamie upaye zaidi ya hapo nasibu choxi langu liwe baraka kwako

  • @sasinematinda9273
    @sasinematinda9273 6 лет назад +7

    hongera San Mr Diamond binafsi umenigusa sana kaka kwa mafanikio yako makubwa na ukaamua kupeleka sehemu ya mgao wako pale ambapo ulizawaliwa na mama yako kizaa chema! Mungu akuwe salama na kukupa Afya njema! ....

  • @solomonfaithbless5940
    @solomonfaithbless5940 5 лет назад +3

    No this young man is just smart and intelligent, hi 👋 from the Congolese nation

  • @judithvihendaoyangi5130
    @judithvihendaoyangi5130 6 лет назад

    I Looove Diamond so much...nah so amesema ukitaka kitu omba mungu akutendee na amesema Omba kuanzia sasa...na sasa Mimi na muomba Mungu anisaidie siku moja nipatane na yeye akija Kenya hata nimpee tu hug... I'm sure God you go answer my Prayer Oooooh can get Amen from somebody...

  • @tumajuma6917
    @tumajuma6917 6 лет назад +6

    Diamond siku ukifa wengi watalia sana .Allah akujalie umri mrefu na akujalie moyo huohuo wakukumbuka wasiojiweza.ubarikiwe sana kaka.

  • @ndorobotv9161
    @ndorobotv9161 6 лет назад +10

    Mungu akubariki kaka yetu, na akubaridi zaid ya hapo,nimefurah sana huyo mama mlemavu ulimsaidia bajaji jaman.hongera sana mama yangu

  • @danielwyre5481
    @danielwyre5481 6 лет назад +1

    Congratulations bro chenye umefanya ni cha maana sana katika ulimwengu Wa sai mwanadamu haezi akakulipa ila mwenyezi Mungu akuzidishie

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 6 лет назад +10

    Mashaallah nacbu ata machozi yananitoka mungu akuongoze kwa kila ufanyalo akulinde akupe afya bora napenda kazi zako wakenya yothe happy birthday to you nacb

  • @reaganotieno5359
    @reaganotieno5359 6 лет назад +64

    Kenya tungekua na wazani kama diamond si tungekua mbele AKY GOD BLESS YOU SIMBA🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤😢😢

    • @chasawilly1235
      @chasawilly1235 6 лет назад

      tunajivunia kwakweli

    • @kelvinkiprono7501
      @kelvinkiprono7501 6 лет назад

      Kweli kaka ,tungekuwa Na wasanii kaa hawa sisi vijana tungefaidika bt diamond we pray for you more endelea kabisa hivo 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙌

    • @spphiamigiro3171
      @spphiamigiro3171 5 лет назад

      Mndi amefanya ki2 chamaana sana ambapo hata preso ha jai Fanya mungu akuongesee. We're still praying 4 u na wasani wengine. 2 jione kwa mndi ki2 amefanya, may God blz u

  • @nurumapamba8295
    @nurumapamba8295 6 лет назад +7

    Mungu akujalie naseeb uendee kuwa na moyo Wa upendo namna hiyo n upendo Wa ajabu kwakweli sijatoka bule kwa maneno yako mazuri ya kutuambia vijana wenzio tusikate tamaa kwenye kutafuta n uvumilivu ubunifu vinaitajika na kumshilikisha mungu ktk yote asante sana

    • @abubakaryusuph277
      @abubakaryusuph277 6 лет назад +1

      Bro mungu akuzidishie zaid na zaid kwa wema wako

  • @tangakwanza2512
    @tangakwanza2512 6 лет назад +7

    Mungu akubarik bro! Ubarikiwe kwahiki ulichokifanya umewaliza wengi sn uwe nguzo nafunzo kwawatanzania wte wenye nafas mungu akubarik sn mama wenzio ni wko pia mungu akusmamia kwa hili umetoa bajaji 1 mungu akupe zaid ya mia 1

  • @nicenice413
    @nicenice413 6 лет назад +8

    Mungu akuweke Simba, ukafanikiwe zaidi na zaidi, msaada usiishie Tandale tu, Bali na Tanzania yotee kwa wenye shida mbalimbali. God bless you.

  • @zainabtamimu6624
    @zainabtamimu6624 6 лет назад +18

    Mungu akupe maisha marefu na uzidi kutusaidiya nakupenda miaka yote kwa moyo wako mzur.

  • @wowwwow5863
    @wowwwow5863 6 лет назад +8

    Saidi ya yote congratulations mama diamond kwa baraka ya mutoto ulie muleta duniani mungu amuonekanie kwa kile akifanyacho na kumupa muke mwenye yoro kama yake inshallah

    • @hidayaamri1112
      @hidayaamri1112 6 лет назад

      Diamond wewe ni chuma cha reli kaka mungu akubarikibsana

  • @angelmirindi2234
    @angelmirindi2234 6 лет назад +4

    Wewe hauzarau mutu nadio kwa maana mungu atazidi kuku inua 💖I love u my brother God bless more and protect u

    • @wittymotta720
      @wittymotta720 6 лет назад

      hongera sana. Diamond kweli umenitoa machozi.....wewe kijana utabarikiwa sana

  • @angelmirindi2234
    @angelmirindi2234 6 лет назад +9

    Love u diamo Mungu akubariki sana akuzidi shiye maradufu👏👏👏

  • @puritygakii2911
    @puritygakii2911 6 лет назад +3

    Kazi nzuri.. na ujifunze kuheshimu wanawake walo kuzalia watoto uache kuwaita kima na sidechik

  • @aishasande3592
    @aishasande3592 6 лет назад +1

    Nimelia yaani sijawah kuandika chochote lakin hii imenigusa mungu akubariki Kaka hakika unatumia nafasi yako vizuri tunamwomba mungu atupe nafasi ss siku mmoja in Sha Allah God bless you brother

  • @joviangeofrey7212
    @joviangeofrey7212 6 лет назад +8

    leo nimetokwa na machozi kwa ajil ya Diamond. Kafanya Mungu anayotaka binadamu tufanye kwa wenzetu. Hata sisi wenye kidogo tufanye vivyo hivyo kwa udogo wake. Barikiwa sana MONTH MENT MWENZANGU

    • @shemsakeza3372
      @shemsakeza3372 6 лет назад +1

      Allah akutiliye wepesi kwa tabiya nzuri unao nakutakiyana nzuri kwawezako

    • @joviangeofrey7212
      @joviangeofrey7212 6 лет назад

      @@shemsakeza3372 ahsante sana. najua wengine maisha bado ni magumu. ila tufanye japo kidogo tukipatacho

    • @maulidulomi8426
      @maulidulomi8426 6 лет назад

      Uko vzr Mr diamond

  • @tatuomari781
    @tatuomari781 6 лет назад

    Mungu akuongezee sana Diamond. Kwa kweli machozi yamenitoka ulipomzawadia huyo mama mlemavu bajaji. Yani umegusa maisha ya huyo mama kwa kiasi kikubwa sana na hakuna anayeweza kuthaminisha huo msaada kwake bali ni Mungu pekee. Mungu atakulipa Mond na atakuongezea pale ulipopunguza. Be blessed Diamond

  • @hellenmtana6945
    @hellenmtana6945 6 лет назад +23

    Diamond, Mungu akufanyie wepesi katika kila unalo lifanya.

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 6 лет назад +99

    Kila siku nasemaga diamond ni mwili mdogo akili bahari like nyingi kwake please

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 6 лет назад +9

    Mashallah mashallah big up bro D ..umejituma mungu akubariki naakizidishie na moto huwo na usisite zidii kutoa na. ALLAH atatilia barka na neema na njia akunyooshe kwasababu unawasaidia maskin nawasio jiweza ........nmelia sana nanimefrai sana ....chamsingi tunakuombea kwa Allah......na walioko nyumaaa yako....tabarakallah.....inshallah Ameen ...Happy birthday to you DMD ...from KENYAN

  • @josephjsadian4770
    @josephjsadian4770 6 лет назад

    Nimejifunza mengi sana kutoka kwako sitokata tamaa kamwe,baba wanatujuwa baada ya kufanikiwa ipo siku hata mm nitafanikiwa,mungu akutie nguvu akulinde uishi salama ,nikutakie maisha mema kaka!.

  • @otimosh2583
    @otimosh2583 4 года назад +1

    Napenda sana kazi yako Diamond platnumz

  • @herymkristo9042
    @herymkristo9042 6 лет назад +28

    Nakubal brother diamondplatnumz maisha niubunifu broo shukran sana kwa kutupa shule

  • @lightnessnixon2185
    @lightnessnixon2185 4 года назад

    Nimejifunza kitu kikubwa san.kumuomba Mungu na kusaidia wasiojiweza.kwel Mondi acha Mungu aendelee kukubariki.nimeumia na nimejifunza kitu.let u shine forever

  • @teklamanase7088
    @teklamanase7088 6 лет назад +12

    nimetoa machozi, hakika Mungu you mwema kwako Diamond. Ahsante kwa kumuona mama huyu. Barikiwa sana mwanangu

  • @patrickteddy808
    @patrickteddy808 6 лет назад

    Toka nizaliwe siawahi kuona tukio Kama ili kwa msanii diamond kutoa msaada mkubwa Kama huu, hasahasa kumpa mama mremavu bajaji. Mungu akubariki diamond nakuombea usirudi nyuma, nataman ungezaliwa kwetu mbeya hizo opportunity tungenufaika maana mbeya ss niwapambanaji mno, asante diamond kwa tandale, asante pia kwa daresaalam kadhalika kwa Tanzania nzima, wcb good job

  • @halzyomar4214
    @halzyomar4214 6 лет назад +14

    Yani hadi nimetoa machozi kwakweli Mungu akuzidishie zaidi diamond mingi unafanya kwa kusaidia watu

  • @umulithoumulitho2871
    @umulithoumulitho2871 5 лет назад +1

    Vizuri kijana. Hawa ndio vijana wanaotakiwa hapa Tanzania.Diamond oyeee

  • @masaluhamis5579
    @masaluhamis5579 6 лет назад +1

    kutoa ni bora kuliko kupokea HONGERA DIOMOND watanzania tunaona matunda ya kipaji na umaarufu wako. May God bless you.

  • @vavabeni5217
    @vavabeni5217 6 лет назад

    Watching..crying...Diamond I don't know what to tell you..thank you so much kwa kila kitu unafanya. God bless you

  • @zalubiakambona6987
    @zalubiakambona6987 6 лет назад +8

    Yaan daimond mung akuweke uzid kusaidia watu nimelia wallah mungu atazid kukusimamia akuondolee husda

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 6 лет назад +52

    Yaan kusema ukweli vitu vingine tuwage tunapunguza uteam,ukuda,minongono, na majungu ama kweli diamond ni kioo cha jamii na mfano wa kuigwa like nyingi kwa simba aka chibu de like plese

  • @happymushi8197
    @happymushi8197 6 лет назад +3

    Mungu aliyekuumba akujalie uishi maisha marefu yenye kufanikiwa cku zote diamond.

  • @kolokokoloko1955
    @kolokokoloko1955 6 лет назад +3

    Safi sana Diamond....wewe ndio mwanamuziki bora zaidi apa bongo katika nyanja nyingi

  • @IVANtv.
    @IVANtv. 6 лет назад

    Diamond you are a true hustler...mtu anapokumbuka alipotoka is a great treasure in the eyes of God and man you are blessed.

  • @jano254jayc4
    @jano254jayc4 6 лет назад

    Uzuri wake diamond he don't hide or pretend like some of guys wakifanikiwa ety wanasahau backwards...I can't hold my tears be blessed diamond.

  • @zeinabsalehe8937
    @zeinabsalehe8937 6 лет назад +1

    diamond nizawadi alioileta Allah mungu azidi kukulinda kaka angu ili uweze kutusaidia maskini. wallah unamoyo wakipekee Hakuna msanii yeyote atakaekufikia, we love you brother.. happy birthday simba my Allah bless you

  • @ForeveryoungNana2019
    @ForeveryoungNana2019 6 лет назад

    Wah! Nimelia lakini kwa furaha, kuzaaa raha jamani..mwenyezi mungu azidi kukubaliki na kukuongezea maisha uzidi kufanya makubwa kwa walio wanyonge🙏🙏🙏🙏

  • @shamilaalfred3989
    @shamilaalfred3989 6 лет назад +22

    Yaani imeniuma sana...nmetokwa na machozi jamani 😢😢 kwa kweli Dai umetoka mbali Mungu ako pamoja nawe ubarikiwe sana kwa pale ulipopunguza Mungu akujazie zaidi... +254

  • @aminadaudi4680
    @aminadaudi4680 6 лет назад +6

    daaah kweli ametoka mbali sanaa mungu akubariki sana mond akupe maisha malefu

  • @innocentnkya5916
    @innocentnkya5916 6 лет назад +7

    Mungu akupe maisha marefu na moyo huo ulionao na nakuomba kwa mungu akukinge na wabaya wote na malaika wakutawale diamond

  • @mudynationtz3412
    @mudynationtz3412 6 лет назад

    Duuuh 😭amakweli mungu hukupa siku usiyo ijua daaaah mungu akupe miaka mingi diamond plantinum🙏

  • @annaelias5487
    @annaelias5487 6 лет назад

    Jamani Diamond, mwenyez mungu akupe maisha maref,sidhani km kuna kijana mwenye moyo km wako,ubarikiwe sana ktk maisha yako,ww ni mtu wa watu wallah🙏

  • @vivianlenard3618
    @vivianlenard3618 6 лет назад +10

    Nasibu mungu akubariki sanasana na akuzidishie ulipotoa. huo ndio moyo wa utajiri na wenye uwezo wote wanatakiwa wakuige.

  • @mwamvuajumaally5973
    @mwamvuajumaally5973 4 года назад

    Nimejikuta nalia tu, Mungu hawezi kukuacha kamwe, sadaka unazotoa ndio Baraka zaidi zinavyomiminika kwako, Allah akuhifadh

  • @ostazclassic3370
    @ostazclassic3370 6 лет назад +38

    Japo tunajaribu kumponda diamond platinum ila kupitia diamond najifunza mengi sana Maana kashutumiwa sana sijui Freemason, utapeli,midomo,eti sura mbaya ila jamaa kapambana mpaka amefika hapa alipo Kweli mungu mkuu👈diamond japo nipo us state natamani tukutane ili nikaombe ushauri ulipo Maana napenda kushauriwa sana Maana nataka kufanikiwa👈🌠🌠🌠 diamond ni mpambanaji tosha tena ni mfano wa kuigwa

  • @mamyabdalah885
    @mamyabdalah885 6 лет назад +4

    Allah akulinde nasibu akupe afya njema naumri mrefu uzidi kuwasaidiwa watu

  • @azzaalsalty4806
    @azzaalsalty4806 6 лет назад

    Mtaka cha uvunguni sharti uiname....allah akupe kila la kheir n.a. daima mueke allah mbele katika kila kitu chako...na mimi kama ndugu yako wa kislam na nyenyua mikono yangu juu kukuombe uwache zina akupe muke wa kheir ya rabi

  • @ladymashaallahilikeuaadvis997
    @ladymashaallahilikeuaadvis997 6 лет назад

    Nalia kwa furaha,mwanangu diamond ,japo wengi wanakuponda lkn unalolifanya Allah akulipe mema duniani na Akhera,
    Nimelia kwa furaha sana mm mamako kutoka Kenya,Allah akulinde na kila aina ya shari ya Alichokiumba

  • @sushillatyvird1286
    @sushillatyvird1286 6 лет назад

    Allah akuzidishie ulipopunguza Inshaallah sku Zotee ndio mana Hua unafanikiwa kwa yote ufanyayo Allah azd kukufanyia weps n akuletee kher nyng Inshaallah Ameen

  • @sabitrajab2355
    @sabitrajab2355 6 лет назад

    Mimi tangia nianze kukujua nakubali sana kaka mondi,wacha watu wakuponde watakavyo lakina Jalali ndie kila kitu,nakuombea maisha marefu braza wacha wasema ufreemason wewe muamini Allah,nakupenda sana bro.

  • @gabrielyedward508
    @gabrielyedward508 6 лет назад +12

    Daa kaka simba safi sana mungu akuongezee uzidi fanikiwa baki voko

  • @Graphic177
    @Graphic177 6 лет назад

    diamond mi mkenya all along nimekua nikisifia alikiba but kleo hii nimetokw3a na machozi juu ya hiki kitendo ubarikiwe sana am now ur stronget fun may GOD BLESS U

  • @amandamapunda6201
    @amandamapunda6201 6 лет назад

    ubarikiwe Nasibu wewe ni mfano wa Watanzania asante sana Mungu akupe maisha marefu

  • @trickytriggtz9440
    @trickytriggtz9440 6 лет назад

    Mwanangu hunijui ckujui nakupenda sana ,palipo na ushauri nakushauri.mungu akujalie upate double double.

  • @zaraningelogisticsltd7074
    @zaraningelogisticsltd7074 6 лет назад

    hakika kijana umefanya jambo kubwa la kumpendeza Mungu,sio kila upatacho ni chako peke ako.laa hasha kuna baraka za watu,wewe ni njia tu ya kupokelea baraka hizo,yafaa uwafikishie wenyewe..Mungu akuzidishie kijana

  • @Yegon254
    @Yegon254 6 лет назад +1

    Sina cha kusema nimetokwa na machozi tu,Mungu amjaalie mema Diamond platinamz

  • @dotomohd9156
    @dotomohd9156 6 лет назад +9

    Mungu anakupa kujituma nakutokuwa nakinyongo nawatu, ubarikiwe kipato kiongezeke ikiwemo afya na uhai mrefu

  • @halimashemmela829
    @halimashemmela829 6 лет назад

    dah , kaka Diamond mungu aendelee kukujaalia kheri zaidi maana wewe ni kijana ambae unafikiria mbali sana ,, mungu akulipe mema aamin.

  • @salmamassoud9863
    @salmamassoud9863 6 лет назад +13

    ndo mana mungu anakupa INSHAALLAH atazidi kukuongoza

  • @enjoojustin3323
    @enjoojustin3323 6 лет назад +1

    mungu akubariki daimond jaman had nmelia mungu akupe umri mrefu akuzdshie kpato ili uzidi kutusaidia wa tanzania wenzio love you mond

  • @gmark3754
    @gmark3754 6 лет назад

    Mungu ni mwema anaona kwa la tofauti na ss wanadamu.. Atujalie na akupe stahi yako.

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane5303 6 лет назад +1

    Daaah huyu mma kanitoa machoz kka mond Allah AKUFANYIE wepec inshallah katka kaz zako na kila jambo lako

  • @qudraassan9429
    @qudraassan9429 4 года назад

    Brather, mungu azidi kukuongezea kipato na uzidi kusaidia mama nawengine ambao wanakosa ajira uzidi kuwa saidia na akusaidie sana kwazi yako brather.

  • @zennahwangare3952
    @zennahwangare3952 6 лет назад +1

    Mpaka nimelia😭diamond mungu akubariki

  • @mamabruno6308
    @mamabruno6308 6 лет назад +1

    Mwenyezi Mungu akubariki na akutangulie katika njia zako

  • @fatmangoriko4704
    @fatmangoriko4704 6 лет назад +6

    Ubarikiwe mond m/mungu akupe moyo kama huo wa kusaidia watu

  • @estherlambo9796
    @estherlambo9796 6 лет назад

    Dah.. weye kijana Mungu akuinue zaidi na zaidi. itokee siku moja ukaende na Mikoani hasa vijijini

  • @vostikid
    @vostikid 5 лет назад

    GIVING BACK IS SEARCH A GOOD THING, kile unachokifanya Diamond ni cha mapenzi makubwa sana kwa kila mtu duniani hata kama hatuko Tanzania but kupitia social medias tunapata kuona jinsi una roho ya utu na tunasema hongera....nendelea vile vile kukaba na kumaliza umaskini na kuiendeleza Tanzania isonge mbele, Mungu akuzidishie vingi Bro.

  • @DMNJAGI
    @DMNJAGI 6 лет назад +10

    big up bro unapendwa sana .watu wa tandale pia nynyi mnapendwa na watu wa nairobi from kenya

  • @japhykkidoshi4433
    @japhykkidoshi4433 6 лет назад +1

    Sjawai ona mtu mwenye moyo mzri kama diamond eee mungu mpe nguvu staa wetu azidi kua kinala diamond ata uwe rais unaweza kaz . asante

    • @nickalreadyknows
      @nickalreadyknows 5 лет назад

      Japhy K Kidoshi mmh wanafiki wengi 🤦‍♂️

  • @mercymercy8566
    @mercymercy8566 6 лет назад +12

    Mungu akujaxie pale pamepungua akufungulie milango ya baraka akuoe uzima na afya pamoja familia H.B.D

  • @latifakongo1780
    @latifakongo1780 6 лет назад +1

    Yan nakupenda sana naseeb Allah akupe maish maref and kila LA kher mung atakulpa

  • @franciscajoseph5203
    @franciscajoseph5203 6 лет назад

    so touching indeed, l'm much impressed na kazi za dai Mungu akuweke Wallah.

  • @kitalewawcbwasafiii7214
    @kitalewawcbwasafiii7214 6 лет назад +13

    Daaah simba hongera xn kaka mungu akupe maisha malefu

  • @angelmirindi2234
    @angelmirindi2234 6 лет назад +8

    Mwenyezi mungu azidi kuku linda na kuku bariki na kupenda sana Simbaa una Roho nzuri

    • @DEEJAYCLIQUE
      @DEEJAYCLIQUE 5 лет назад

      Day huyu Mtoto Anafaa kuwa hata rais maana ana maono mazuri

  • @angelmirindi2234
    @angelmirindi2234 6 лет назад

    Diamond wewe ni STAR ambaye una vuta Roho yangu una roho nzuri na penda kazi zako kaka 👍you my number one ☝💕💕✌✌

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 6 лет назад +4

    Penda sanaa hilijamaaà hata agombe uris nampa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥wenye loho za kwanini hawawezi kuona thamani ya huyu kijana mungu akuongezeeee zaidiii nasibu simbaaa dimondi baba wa3 chibudenga ksngote🔥🔥🔥🔥jamani mungu anasema mtu anapofanya jema mpongezeni

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 6 лет назад +1

    Huyu jamaa pia ni comedy sana 😅, Mungu akubariki Nasibu.

  • @jacklinevosevwa9859
    @jacklinevosevwa9859 6 лет назад

    I wish diamond angekua mkenya jamani😭😭 Good job bro God bless you am from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane5303 6 лет назад

    Nlikua nakupenda kikawaida2 but leo I really love 4 u from now japo teem kiba nime kua teem mond pia nawapenda nyote king kiba 4 my life mond 4rever

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 6 лет назад

    Mungu akubariki sana nimeguswa sana has a unapoonesha moyo was kutoa hasa kwa jamii hivi ya watu wasiojiweza.

  • @angelbahati0242
    @angelbahati0242 5 лет назад

    Mungu akuongezee maisha kaka yangu mungu unanitowa machozi ya furaha ubarikiwe sana ni mfano mzuri unaonesha.

  • @dastansimpanzye5558
    @dastansimpanzye5558 4 года назад

    Ahsante Diamond, umeongea maneno ya busara sana.
    Mungu akubariki sana

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 4 года назад

    Naomba mungu nitembeleye tanzania na nitafikia hôtel Yako ili nikuone.macho kwamacho mana we nmtu mzuri roho Yako nzuri sana n'a mungu atakubarikia ichallah

  • @salumkisengo7989
    @salumkisengo7989 6 лет назад

    Omgera sanaa diamond kwa kujali wasiokua nacho, mungu akupe moyo uwo ameen

  • @inayaaliliya2545
    @inayaaliliya2545 6 лет назад

    Kaka nakupenda sana mungu akubariki sana kwa kuwajali wasio jiweza data mungu akubariki sana👍👍👍