#DIAMONDPLATNUMZ
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2018
- Katika Kuadhimisha Kumbukumbu ya Siku ya Kuzaliwa Msanii Diamond Platnumz Leo Maeneo ya Tandale Amemkabidhi Mama Huyu Mwenye Ulemavu wa Miguu Anayeitwa Evodia Nchimbi Mkazi wa Mburahati Jijini Dar es Salaam, Bajaji Kwa Ajili ya Biashara yake ya Kubeba Abiria Ikiwa Kama Sehemu ya Kumsaidia Kujikwamua Katika Umasikini na Kuendelea Kuitunza Familia Yake
- Развлечения
imfikie DIAMOND PLATINUMZ this is from Kenya. Mungu akuzidishie kwa kuwa umemzaidia hasiyejiweza naye aliye juu ametazama kazi hiyo thanks brother
Amsaidiae masikini
Uyo ndie amkopeshae Mungu
Mungu akyzidishie mara dufu ya iko ulichotoa Diamond.
Uendelee kuwa mfano wa kuigwa usiwe kama wale wanaotafuta kumbi za mamilion kuuonesha ufahar wao for nothing.
Kilipotoka kirud apo kingne Amen 😍😍😍
Mungu akulipe sana
Mungu akupe. Umri wa kutosha kaka. Machozi yamenitoka. Sina. Lakusema mungu akulinde sana
Manca Nkwee True true Hapo anamkopesha Bwana Yesu Diamond Bwana Yesu akubariki sana ufanyikiwe kwa kila jambo
Manca Nkwee vpi kuhusu baba maisha yake maana wazazi ndo wamebeba pepo zetu
Yaaan hata mie huyu mama kaniliza kweli kwa fulaha yake tu mungu akuzidishie mondi
Diamond misaada mingine fanya kwasiri wewe namungu wako ni muhimu sana itakusaidia mbele ya haki InshaaAllah 🙏
Mungu akupe maisha malefu simba umeweka hazina mbinguni niwachache wenye moyo kama wako
Dah!!! Uyo mama mpaka nime huzunika sana big up!! Sana Diamond platinamz apo sawa umejari!! Sana mungu akubaliki!!!
Naomba pia me nisadie Kaka yangu Niko mtoto mulavu
Mungu akulinde ww n familia yko Nasib yani una moyo kaka wauruma yani mpka machozi yanidondoka
Cutting onions oooh my God 😭😭😭😭😭😭 GOD BLESS YOU MORE DIAMOND PLATNUMZ🙏🙏🙏🙏
Me too here nashindwa kuzuiya
Yaani😭Nasib ndg yng Mwenyezi Mungu azidi kukukuza kwa kheir na salama azidi kukufanyia wepsi katika rithki zako Amin
Uyu mama kanimwaga chozi aise..Diamond God akupe maisha marefu na uendelee kuwa na moyo huo huo
Amien mola amuongozee njia
@@mwanahaji13 hgg
Amin
Daah mam kaniliza
diamond good akuzidushie
Huyu ndio Diamond ,,na hii ndio maan ya usanii n kioo cha jamiii ,,Allah akuzidishie zaidi ya hapo
Nikweli msanii sio kujinufaisha mwenywe tu lazima uwangalie jamii pia
Nakupenda sana kijana wangu Mwenyezi Mungu akuzidishie hapo ulipotoa
Mb dog uwe
Wangu
Diamond God bless you more than wat devil thinks
damodi gdioo
So touching Mr Simba, Maulana akubariki Kwa moyo huo Wa Ukarimu na kujali wanaopitia changamoto,
God bless you Diamond... dear you one in a million
Wa kwanza hapa, uyu Mama kaniliza sana, Allah akuzidishie Baba #Dylan kwa kumfuta machozi uyu Mama.
Saumu Hassan dah Allh akuongeze unapotoaga kk mkubwa
Daaaa ht mm imeniuma sn kumuona huyu mama n machoz yamenitoka kwa kweli Allah akuzidishie na moyoo huooo n S's wajane tunao watoto yatima pia utukumbukee
Duh! Mond mfano wa kuigwa broo mungu azidi kukubariki
Uyu mama kaniliza tena sana Diamond mungu akuzidishie right from dubs
Mashallah mungu akujalie uwe na moyo uw uwo
Brooo ww una roho Safi sanaa ww ni simbaaa hmna mtu wa kukuvua hilo jina mungu akulinde sanaa unamfnya rayvanny analia
Reyvanny wasiwasi
Huo moyo Mzr xana diamond mungu akujalie kujalia wanyonge mungu akuongezee
Mungu akuzidishie daimond
May God bless you bruh diamond,,, you'll live long to see more blessings,,, love you platnumz,,,, mungu akubariki mara dufu 😢😢😢😢😢 touching
This has really touched me...may God bless you diamond.kumbe sikukosea kukupendaga ata ukisemwa vibaya.mola akuzidishie....thank you,be blessed
Maskoni mi huyu mama kaniliza nimelia sana kweli nimeami mtoto wa mwenzio ni wako ubarikiwe sana simba pale ulikotoa pakaongezeke mara mia kwa yina la Yesu Amen.
Zuchu nyumba ndogo
Kwanzia leo mimi ni shabiki wa nyimbo zako
God bless you
Nasibu, Mungu akupe nguvu za kutafuta na kuwasaidia wasiojiweza maishani kuimarisha familia zao na wanaowategemea. Sina zaidi.
Mungu azidi kukubariki Simba
Hongera mama kwa kujituma
Disability is Not Inability
Yesu Kristo akawe taa na mwangaza wa maisha yako na kukupa haja ya moyo wako Nasbu nakupenda saaaana.
Allah akuzidishie
Dah kweli u kioo cha jamii jamani katika vitu ulivo Wai kufanya hili ndo tendo kubwa kuliko yote mungu umemkopesha deni kubwa sana
Diamond I don't know what to say...u r such a blessing
Diamond you have done a good job be blessed
Mwenyezi mungu akuzidishie ulkotoa kaka etu, motivator wetu sisi vijana
Siri ya Kubarikiwa Sanaa Na Zaidi Hii Hapa... Wale ambao huuliza Vipi Chibu Anamilika Mali Mingi hivi. Hii ndio Sababu. He's a True Superstar na Wala hii nyota Haizimiki Kamwe! Love you Simba
Daaah mungu akubariki
Uyu mama kaniliza sana
Watching from Kenya..... Diamond keep it up
Diamond asante sana kwa upendo wako mungu tu akupe maisha marefu kwani yeye ndio muweza wa kila kitu hapa duniani na tambua kuna kina sisi tunandoto za kufanya vitu ila tu hatuna mambo
Diamond barka ziwe kwako mda wote🌹
Kuzaa sio kunya jamani Allah amsimamie Diamond kwa kila njia umfungulie miangaza kila wakati nauzi kumpa roho yenye imani zaidi na zaidiiii .....Aamiin
diamond platinumz Gos will bless you more and more all the best wasafi
Mashallah mwenyezi Mungu mwingi wa rehma akuzidishie ulipotoa
Platinumz....ningependa kusema mengi buh...God akupe nguvu na akuzidishie kaabisa....mapenzi tele...(from kenya...one love)
Daaaa mond ww mung akupe umri mrefu adi machoz yananitok apa 😭😭😭😭
Ndio baba
Mungu akizidishie mondi
Zuu Hans Jamaa Namkubali Saaaana alaf najua nn unafanya bro
Termonde mungu akulipkilalakher umenionyenirizisha na.mam huy animwagamacoz munhuakup maisha maref
Siku zote nakusapoti Diamond si kwa sbb ya muziki tu bali hata Moyo wa unyenyekevu na kusaidia wengine, ni lazima tukuombee, Mungu akubaliki
She makes me cry! Hey Nassib be blessed coz u know the meaning of blessing(chenye Allah anakupa una share na wengine)...respect from Congo
0688605743
Kanumba
Vp
Vp
It’s so emotional 😭 God bless you diamond 💎 masee sa God yeye pekee ndie anjua big bless u🙌sanaaaaaa
Aisee dume zima nimelia wallah....
Mungu akuongoze mond wetu
So touching may God bless u...i can see Rayvanny apo nyuma ameshindwa kuyazuia machozi pia
Daa mungu akubariki daimond akusamehe na maovu yako pia uwe na maisha marefu.
GOD CONTINUES TO ACCEPT YOU AND INCREASE ALL BLESSINGS BECAUSE YOU ARE VERY GOOD
Blessed is the hand that gives, Mungu atupe roho kama ya ndugu yetu🙏
*HUYU JAMAA ANAJITOA SANA NA ANAFANYA MAKUBWA WANGEFANYA HIVI WRNGINE WANGEMWAGIWA SIFA KULIKO ANAVYOSIFIWA DIAMOND KWA HILI WATU WA NCHI HII NI WANAFIKI SANA*
Be blessed Diamond Platnumz
Natamani pia namuomba Mungu anijaliye heri kwenye mziki wangu ninao ufanya w a gospel atakama mimi nawewe nitofauti ila nasema sote wanamuziki nakuamini natena nakuombea mwenyezi Mungu akubariki kwa upendo mkubwa huu unao maisha marefu diamond 🙏🙏🙏🙏🙏
God bless you diamond. Moving scene damn it!!
Mungu akubaliki diamondi kwa hilo ulilolifanya
Diamond mungu akupe maisha marefu na uendelee na moyo huo huo.
Brother diamond asant kwa moyo uwo mungu akulinde daima usibadilike mm napenda kukuita KING LION.
mondi miaka kama yote, mwenyezi mungu asikupungukie, wewe na vizaz vyako.
MaashaaAllah....our Allah bless you more and more and reward you with multiple of what you gave out
aya mnaomchukia mond sasa fyuu zenu ,wala cjutii kukupenda mond love u much ,wcb4life
Ww ni mtu wa kipekee Sana diamond mungu akupe maisha maref
This made me cry Diamond is the man
nimekupenda bureeee Mondi mungu akuongozeee
Well done kaka ubarikiwe sana
Mwenyezi MUNGU akujalie maisha marefu diamond
Diamond Allah Akuzidishie kila siku Coz sio wote walio na roho kaa yako ..Ata uyo Rais wenu awezi kufanya jambo kama ilo uliolifanya yani umeshinda kuliko Rais akii..Allah akusimamie kwa kila jambo kila siku. Aamiin
bro mungu akuzidishia kwa wema wako kk
@@maigewambura5964 Aamiin 🙏
Natafuta chumba tandale jamni 😊😊😊dalali nitafutieni chumba huko
😂😂😂😂😂😂😂
MC ISUNGA hahahs
MC ISUNGA haaaaaaaaaaa
nipo
Nilinahuzunika hapa kilio cha mama daah ila ww ndo umenikesha hahahahaha utapata tu mzee afu najua vitapanda bei kuanzia sasa
Mashaallah Alihamdurillah Mungu awainuwe wasanii wengi wa Tanzania Amin.
God bless you Nasib. Jambo ulolifanya ni example kubwa kwa sisi wote duniani
God bless you D for your kindness heart
Samba
Sojawai kumuona msanii kama Diamond Tanzania ii
Sigifridy Franky l
daah kwahili mond nimekupaongera coz nimeumia sanaa hata mie kwa huyo mamaa ,,,endelea kuwasaidia nawengine pia inshallah Allah yuko pamoja nawew kwenye kaz zakoo
Hajawai tokea kabisa
Mungu akupemaisha malefu kaka umekuw mfano wavijan wenging
Tunaiga mema yako broo milioni 7 sio mchezo kaka
Mwenyezi MUNGU naamini anaona hayo unayoyafanya kwa watu wenye uhitaji! 🙏🙏🙏
Jaman kaniliza. Huyo..mama hongera. Sana Daimond mungu akupe. Maisha. Marefu. Na akuzidishie kipato zaid. Inshaallah penda sana Mond ake💕💕💕❤😘
That's so kind of you Diamond of all the things apart from being your fun from Kenya...this one has touched me so much. .May God bless you even more.
I wish most of the people or celebrities who are capable of helping the less privilege do like diamond we could make this world a better place
Be blessed kwa kujitoa kwa masikini
Sinaga ubaya na anaepigania maisha yake ilikusudi aweze kujikimu kimaisha, saga uteam siijui mond wala kiba
Kwa moyo saafi kabisa diamond abarikiwe na azidishiwe baraka na kipato Allah amjaalie kijana huyu na wengine waige mfano👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Mungu akuzidishie hongera san CHIBU 🙏🙏
Nasibu A.K.A MONDI nilikua sifwatilii sana mziki wako lakini kwa kitendo hiki cha leo yaani umenifanya nimelainika moyo hadi natamani ningekua mimi ndio nagawa baraka nikumiminie zote... ila mtowa baraka ni Mungu alie juu na namuomba azidi kukubariki hasa katika kusaidia wanyonge #salute bro
Diamond ww unaakili Sana Kama utakuwa na moyo kama huwo mola atakulipa mema.. Mola akulinde amin
simba allah akuzidishie na maisha marefu brooo
What a humble superstar!! God bless you much
This made me emotional 😭 congrats kakangi
😢😢😢😫😫😫💥
Mungu akubariki sana dai mpaka nimetoa machozi jamani, be blessed. Nayaona maisha yako dai yatakuwa sio ya kawaida.
GOD BLESS YOU DIAMOND AND WCB WASAFI
Manshaallah mungu akuzidishiy imani kazi nzuri sna diamond ila musaidiye na baba yako analiya sana M/mungu anasema sadaka nzuri iyanziye ndani mwako
Tatu Omar ,we unanajuaje kama hamsadii baba yake?
+Mrisho Mzelela kwasababu baba yke anayaliliya mtandaoni njomana tunayajuwa angekawa anasaidiwa asingekua anapiga kelele kweny media
Tatu Omar huyo mama asipo jiangaria atakuwa nakafara
+Amry Zubery nihatari
I salute you Platinumz,much love & respect to you bro!!!,people like you can change the world to be a better place for everyone,lets more and more blessings comes to your way,lack nothing in this life,GOD GUIDE & PROTECT YOU BRO!!!
Naliya kwa furaha .Diamond uishi milele na maisha yanye baraka tele love u
yaani kila nikiangaria hii lazima nilie #kwaajili ya uyu #mama @mungu_awabariki sana
Hv hata vitu km hiv kuna dislike??? Ebu gonga like WCB
Ndio maana nasema diamond tumsuport kwenye mziki wake na mambo ya kijamii anayofanya ila mambo yake ya mapenz tumwachie yeye
Waaaaa diamond mm n mkenya lakini nimefeel vizuri sana kwa huo moyo mungu akubariki sana braza endelea kuwa na huo moyo na udisaidie Tanzania tu karibu pia kenya barikiwa
Diamond platinumz mungu akupe miaka mingi brother
Mungu akubariki mond
kabisa
GOD bless you so much Nasib,you are young and seing the great picture in what this world needs much of.You have really touched my heart.Blessings and more.
Mungu akubariki sna kaka
,,,,,Daaaah kwenye hili nimeamini #Mwenyezi #Mungu.... Hamtupi mja wake #Mondi wewe ni 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 #Mtz kiooo cha Jamii... 👍👍👍👍
Mungu akubariki Diamond Akupe Hekima nguvu na afya tele 🙏😭😭
Kumbe Diamond ni mutu ana utu hivi...nipo Kenya na nakombea Mungu akupe nyingi za kupeana
Nzuri sana kbs
Mungu akubariki sana
Zenanabetina
Diamond is doing a great job keep up
Mungo wangu bona huyu Kijana amenifurahisha Sana mpaka machozi yamenitoka hapa niripo. Umefanya kitendo kinacho shinda wengi .Mungo bariki huu mom na Diamond kweli Mungu akurinde na kazi zako watch from USA 🇺🇸.
Leo ndio nimefungua moyo wa kumpenda mondi MUNGU awe pamoja nawe kufikisha ndoto zako
Bless up Simba 🙌🙏🙏🙏
Waaaa waaaa Diamond, Machozi yangu kama kutu, Leo yamedondoka virahisi... Mungu akuzidishie na huyu mama abariki ke kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu.., Amina.
Mwenyezi mung akusamehe makosa yako mond akupe umri mrefu kwa hichi ulokifanya amiin🙏
nasib be blessed bro continue with that spirit
nimejikuta machozi yanatoka...huyo mama mlemavu kaniliza...kuna watu wanamiguu miwili...mikono miwili akili timamu lkn still ni omba omba😏
Yani me wananikera sana tena unakuta wako na watt wao mtu akipita wanawatuma waje kuomba na mtu ukimuangalia ana miguu na mikono
Rukia Mngoya kabisa wanaboa sana..hawaangalii wenzao walemavu lkn wanajitafutia ridhiziki
kabisa tena wanakera wanajiendekeza kabisa
Umeona eee akili kumkichwa
Nimelia kwakweli
Penda wewe Diamond mwenyezi Mungu akuzidishie baraka kwa kila ufanyacho Fanya, God bless you Baba Dylan
Simba mungu akuzidishie kabisa ukose pakuweka,mzikk wako uzidi kupaa kuliko wenye nguvu duniani kwa hiki ulichokifanya namwomba mungu akulipe kwa kukula tuzo zote zile utakazo nominatiwa tukianza na bet,#simba#best international act