#DIAMONDPLATNUMZ

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2018
  • Katika Kuadhimisha Kumbukumbu ya Siku ya Kuzaliwa Msanii Diamond Platnumz Leo Maeneo ya Tandale Amemkabidhi Mama Huyu Mwenye Ulemavu wa Miguu Anayeitwa Evodia Nchimbi Mkazi wa Mburahati Jijini Dar es Salaam, Bajaji Kwa Ajili ya Biashara yake ya Kubeba Abiria Ikiwa Kama Sehemu ya Kumsaidia Kujikwamua Katika Umasikini na Kuendelea Kuitunza Familia Yake
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @funnytem6094
    @funnytem6094 3 года назад +4

    imfikie DIAMOND PLATINUMZ this is from Kenya. Mungu akuzidishie kwa kuwa umemzaidia hasiyejiweza naye aliye juu ametazama kazi hiyo thanks brother

  • @mancankwee5740
    @mancankwee5740 5 лет назад +110

    Amsaidiae masikini
    Uyo ndie amkopeshae Mungu
    Mungu akyzidishie mara dufu ya iko ulichotoa Diamond.
    Uendelee kuwa mfano wa kuigwa usiwe kama wale wanaotafuta kumbi za mamilion kuuonesha ufahar wao for nothing.
    Kilipotoka kirud apo kingne Amen 😍😍😍

    • @devothaagustin7767
      @devothaagustin7767 5 лет назад +1

      Mungu akulipe sana

    • @sucdimohamed1565
      @sucdimohamed1565 5 лет назад +1

      Mungu akupe. Umri wa kutosha kaka. Machozi yamenitoka. Sina. Lakusema mungu akulinde sana

    • @tuombesunzuesperance5196
      @tuombesunzuesperance5196 5 лет назад +1

      Manca Nkwee True true Hapo anamkopesha Bwana Yesu Diamond Bwana Yesu akubariki sana ufanyikiwe kwa kila jambo

    • @sepengagoodhope1798
      @sepengagoodhope1798 5 лет назад +1

      Manca Nkwee vpi kuhusu baba maisha yake maana wazazi ndo wamebeba pepo zetu

    • @modestaabeli3389
      @modestaabeli3389 5 лет назад +1

      Yaaan hata mie huyu mama kaniliza kweli kwa fulaha yake tu mungu akuzidishie mondi

  • @bintichausa4744
    @bintichausa4744 3 года назад +2

    Diamond misaada mingine fanya kwasiri wewe namungu wako ni muhimu sana itakusaidia mbele ya haki InshaaAllah 🙏

  • @wcbvotefance
    @wcbvotefance 2 года назад +2

    Mungu akupe maisha malefu simba umeweka hazina mbinguni niwachache wenye moyo kama wako

  • @adrophndikwiki9277
    @adrophndikwiki9277 5 лет назад +71

    Dah!!! Uyo mama mpaka nime huzunika sana big up!! Sana Diamond platinamz apo sawa umejari!! Sana mungu akubaliki!!!

    • @shashyhormo4682
      @shashyhormo4682 3 года назад

      Naomba pia me nisadie Kaka yangu Niko mtoto mulavu

  • @husseinabeid8934
    @husseinabeid8934 5 лет назад +35

    Mungu akulinde ww n familia yko Nasib yani una moyo kaka wauruma yani mpka machozi yanidondoka

  • @dianajiana6804
    @dianajiana6804 5 лет назад +11

    Cutting onions oooh my God 😭😭😭😭😭😭 GOD BLESS YOU MORE DIAMOND PLATNUMZ🙏🙏🙏🙏

  • @kaeniyahya7536
    @kaeniyahya7536 4 года назад +1

    Yaani😭Nasib ndg yng Mwenyezi Mungu azidi kukukuza kwa kheir na salama azidi kukufanyia wepsi katika rithki zako Amin

  • @mrishogange4276
    @mrishogange4276 5 лет назад +130

    Uyu mama kanimwaga chozi aise..Diamond God akupe maisha marefu na uendelee kuwa na moyo huo huo

  • @kadabra-one1007
    @kadabra-one1007 5 лет назад +220

    Huyu ndio Diamond ,,na hii ndio maan ya usanii n kioo cha jamiii ,,Allah akuzidishie zaidi ya hapo

  • @kevinokwogatv
    @kevinokwogatv 2 года назад +2

    So touching Mr Simba, Maulana akubariki Kwa moyo huo Wa Ukarimu na kujali wanaopitia changamoto,

  • @chimmamythestubborn7787
    @chimmamythestubborn7787 5 лет назад +17

    God bless you Diamond... dear you one in a million

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 лет назад +104

    Wa kwanza hapa, uyu Mama kaniliza sana, Allah akuzidishie Baba #Dylan kwa kumfuta machozi uyu Mama.

    • @yazidiselemani924
      @yazidiselemani924 5 лет назад +1

      Saumu Hassan dah Allh akuongeze unapotoaga kk mkubwa

    • @mwanahaji13
      @mwanahaji13 5 лет назад

      Daaaa ht mm imeniuma sn kumuona huyu mama n machoz yamenitoka kwa kweli Allah akuzidishie na moyoo huooo n S's wajane tunao watoto yatima pia utukumbukee

    • @atuganilemwaimu5980
      @atuganilemwaimu5980 5 лет назад

      Duh! Mond mfano wa kuigwa broo mungu azidi kukubariki

    • @annahmburu6160
      @annahmburu6160 4 года назад

      Uyu mama kaniliza tena sana Diamond mungu akuzidishie right from dubs

    • @msasamgumu5740
      @msasamgumu5740 3 года назад

      Mashallah mungu akujalie uwe na moyo uw uwo

  • @wilsonouma754
    @wilsonouma754 5 лет назад +42

    Brooo ww una roho Safi sanaa ww ni simbaaa hmna mtu wa kukuvua hilo jina mungu akulinde sanaa unamfnya rayvanny analia

  • @jumakondo220
    @jumakondo220 5 лет назад +2

    Huo moyo Mzr xana diamond mungu akujalie kujalia wanyonge mungu akuongezee

    • @Zubaiba
      @Zubaiba 5 месяцев назад

      Mungu akuzidishie daimond

  • @jamillaholoo9715
    @jamillaholoo9715 5 лет назад +10

    May God bless you bruh diamond,,, you'll live long to see more blessings,,, love you platnumz,,,, mungu akubariki mara dufu 😢😢😢😢😢 touching

  • @lucykigotho591
    @lucykigotho591 5 лет назад +19

    This has really touched me...may God bless you diamond.kumbe sikukosea kukupendaga ata ukisemwa vibaya.mola akuzidishie....thank you,be blessed

  • @mariyaal5366
    @mariyaal5366 5 лет назад +16

    Maskoni mi huyu mama kaniliza nimelia sana kweli nimeami mtoto wa mwenzio ni wako ubarikiwe sana simba pale ulikotoa pakaongezeke mara mia kwa yina la Yesu Amen.

  • @sarahmambali2554
    @sarahmambali2554 3 года назад +5

    Kwanzia leo mimi ni shabiki wa nyimbo zako
    God bless you

  • @Ali_Manzu
    @Ali_Manzu 5 лет назад +2

    Nasibu, Mungu akupe nguvu za kutafuta na kuwasaidia wasiojiweza maishani kuimarisha familia zao na wanaowategemea. Sina zaidi.

  • @mctarimo1634
    @mctarimo1634 5 лет назад +11

    Mungu azidi kukubariki Simba
    Hongera mama kwa kujituma
    Disability is Not Inability

  • @miriamally4828
    @miriamally4828 5 лет назад +11

    Yesu Kristo akawe taa na mwangaza wa maisha yako na kukupa haja ya moyo wako Nasbu nakupenda saaaana.

    • @matharedward869
      @matharedward869 4 года назад

      Allah akuzidishie

    • @isayarevelian9698
      @isayarevelian9698 3 года назад

      Dah kweli u kioo cha jamii jamani katika vitu ulivo Wai kufanya hili ndo tendo kubwa kuliko yote mungu umemkopesha deni kubwa sana

  • @cecyrevy4379
    @cecyrevy4379 5 лет назад +21

    Diamond I don't know what to say...u r such a blessing

    • @raszedu7926
      @raszedu7926 2 года назад

      Diamond you have done a good job be blessed

  • @siriyakosimeo7979
    @siriyakosimeo7979 4 года назад +1

    Mwenyezi mungu akuzidishie ulkotoa kaka etu, motivator wetu sisi vijana

  • @swahiliflava9151
    @swahiliflava9151 5 лет назад +38

    Siri ya Kubarikiwa Sanaa Na Zaidi Hii Hapa... Wale ambao huuliza Vipi Chibu Anamilika Mali Mingi hivi. Hii ndio Sababu. He's a True Superstar na Wala hii nyota Haizimiki Kamwe! Love you Simba

  • @justinemokua4110
    @justinemokua4110 5 лет назад +16

    Watching from Kenya..... Diamond keep it up

  • @filbertcarlos2946
    @filbertcarlos2946 4 года назад +2

    Diamond asante sana kwa upendo wako mungu tu akupe maisha marefu kwani yeye ndio muweza wa kila kitu hapa duniani na tambua kuna kina sisi tunandoto za kufanya vitu ila tu hatuna mambo

  • @chancequeen4710
    @chancequeen4710 4 года назад +1

    Diamond barka ziwe kwako mda wote🌹

  • @momodoha6042
    @momodoha6042 5 лет назад +16

    Kuzaa sio kunya jamani Allah amsimamie Diamond kwa kila njia umfungulie miangaza kila wakati nauzi kumpa roho yenye imani zaidi na zaidiiii .....Aamiin

  • @brazilmainagitonga601
    @brazilmainagitonga601 5 лет назад +12

    diamond platinumz Gos will bless you more and more all the best wasafi

  • @husnashariifu6249
    @husnashariifu6249 4 года назад +1

    Mashallah mwenyezi Mungu mwingi wa rehma akuzidishie ulipotoa

  • @sandry254thevoicevoiceofaf8
    @sandry254thevoicevoiceofaf8 3 года назад

    Platinumz....ningependa kusema mengi buh...God akupe nguvu na akuzidishie kaabisa....mapenzi tele...(from kenya...one love)

  • @zuuhans5252
    @zuuhans5252 5 лет назад +50

    Daaaa mond ww mung akupe umri mrefu adi machoz yananitok apa 😭😭😭😭

    • @brightonabel8391
      @brightonabel8391 5 лет назад +1

      Ndio baba

    • @adybakari2861
      @adybakari2861 5 лет назад +1

      Mungu akizidishie mondi

    • @movickboazy7642
      @movickboazy7642 4 года назад

      Zuu Hans Jamaa Namkubali Saaaana alaf najua nn unafanya bro

    • @blakeal2276
      @blakeal2276 4 года назад

      Termonde mungu akulipkilalakher umenionyenirizisha na.mam huy animwagamacoz munhuakup maisha maref

  • @King_186
    @King_186 5 лет назад +6

    Siku zote nakusapoti Diamond si kwa sbb ya muziki tu bali hata Moyo wa unyenyekevu na kusaidia wengine, ni lazima tukuombee, Mungu akubaliki

  • @rosandasrose7576
    @rosandasrose7576 5 лет назад +25

    She makes me cry! Hey Nassib be blessed coz u know the meaning of blessing(chenye Allah anakupa una share na wengine)...respect from Congo

  • @mariyammaria3366
    @mariyammaria3366 5 лет назад +2

    It’s so emotional 😭 God bless you diamond 💎 masee sa God yeye pekee ndie anjua big bless u🙌sanaaaaaa

  • @Tam_media2548
    @Tam_media2548 5 лет назад +4

    Aisee dume zima nimelia wallah....
    Mungu akuongoze mond wetu

  • @catherinegakenga7360
    @catherinegakenga7360 2 года назад +3

    So touching may God bless u...i can see Rayvanny apo nyuma ameshindwa kuyazuia machozi pia

  • @evvajohn5748
    @evvajohn5748 5 лет назад +1

    Daa mungu akubariki daimond akusamehe na maovu yako pia uwe na maisha marefu.

  • @akanilukas3857
    @akanilukas3857 2 года назад +10

    GOD CONTINUES TO ACCEPT YOU AND INCREASE ALL BLESSINGS BECAUSE YOU ARE VERY GOOD

  • @collihmushi5944
    @collihmushi5944 2 года назад +3

    Blessed is the hand that gives, Mungu atupe roho kama ya ndugu yetu🙏

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 5 лет назад +12

    *HUYU JAMAA ANAJITOA SANA NA ANAFANYA MAKUBWA WANGEFANYA HIVI WRNGINE WANGEMWAGIWA SIFA KULIKO ANAVYOSIFIWA DIAMOND KWA HILI WATU WA NCHI HII NI WANAFIKI SANA*

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 2 года назад +1

    Be blessed Diamond Platnumz

  • @didiermusimbipeter311
    @didiermusimbipeter311 Год назад +1

    Natamani pia namuomba Mungu anijaliye heri kwenye mziki wangu ninao ufanya w a gospel atakama mimi nawewe nitofauti ila nasema sote wanamuziki nakuamini natena nakuombea mwenyezi Mungu akubariki kwa upendo mkubwa huu unao maisha marefu diamond 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ibraski
    @ibraski 5 лет назад +7

    God bless you diamond. Moving scene damn it!!

  • @stevenshonza76
    @stevenshonza76 5 лет назад +10

    Mungu akubaliki diamondi kwa hilo ulilolifanya

  • @salvadorkayage6041
    @salvadorkayage6041 4 года назад +2

    Diamond mungu akupe maisha marefu na uendelee na moyo huo huo.

  • @isayageoffrey4958
    @isayageoffrey4958 5 лет назад

    Brother diamond asant kwa moyo uwo mungu akulinde daima usibadilike mm napenda kukuita KING LION.

  • @jennylaswai2993
    @jennylaswai2993 5 лет назад +5

    mondi miaka kama yote, mwenyezi mungu asikupungukie, wewe na vizaz vyako.

  • @nadiauthman9013
    @nadiauthman9013 5 лет назад +5

    MaashaaAllah....our Allah bless you more and more and reward you with multiple of what you gave out

  • @mamyleilahog671
    @mamyleilahog671 5 лет назад

    aya mnaomchukia mond sasa fyuu zenu ,wala cjutii kukupenda mond love u much ,wcb4life

  • @silivesterchale1387
    @silivesterchale1387 3 года назад

    Ww ni mtu wa kipekee Sana diamond mungu akupe maisha maref

  • @uaguag7607
    @uaguag7607 5 лет назад +12

    This made me cry Diamond is the man

  • @zuenahassan6453
    @zuenahassan6453 5 лет назад +4

    nimekupenda bureeee Mondi mungu akuongozeee

  • @castomoyo6270
    @castomoyo6270 5 лет назад +1

    Well done kaka ubarikiwe sana

  • @hinzanolove
    @hinzanolove 3 года назад +1

    Mwenyezi MUNGU akujalie maisha marefu diamond

  • @momodoha6042
    @momodoha6042 5 лет назад +16

    Diamond Allah Akuzidishie kila siku Coz sio wote walio na roho kaa yako ..Ata uyo Rais wenu awezi kufanya jambo kama ilo uliolifanya yani umeshinda kuliko Rais akii..Allah akusimamie kwa kila jambo kila siku. Aamiin

  • @mcisunga3822
    @mcisunga3822 5 лет назад +58

    Natafuta chumba tandale jamni 😊😊😊dalali nitafutieni chumba huko

    • @jumbebakari128
      @jumbebakari128 5 лет назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @aishasilaji5759
      @aishasilaji5759 5 лет назад

      MC ISUNGA hahahs

    • @helenampewa9582
      @helenampewa9582 5 лет назад +1

      MC ISUNGA haaaaaaaaaaa

    • @muumudrigo1927
      @muumudrigo1927 5 лет назад

      nipo

    • @jumannemfaume
      @jumannemfaume 5 лет назад +2

      Nilinahuzunika hapa kilio cha mama daah ila ww ndo umenikesha hahahahaha utapata tu mzee afu najua vitapanda bei kuanzia sasa

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 5 лет назад +1

    Mashaallah Alihamdurillah Mungu awainuwe wasanii wengi wa Tanzania Amin.

  • @unkolli
    @unkolli 5 лет назад +1

    God bless you Nasib. Jambo ulolifanya ni example kubwa kwa sisi wote duniani

  • @rogerzmoleli633
    @rogerzmoleli633 5 лет назад +8

    God bless you D for your kindness heart

  • @sigifridyfranky8984
    @sigifridyfranky8984 5 лет назад +113

    Sojawai kumuona msanii kama Diamond Tanzania ii

    • @asnathomary1693
      @asnathomary1693 5 лет назад +1

      Sigifridy Franky l

    • @asnathomary1693
      @asnathomary1693 5 лет назад +1

      daah kwahili mond nimekupaongera coz nimeumia sanaa hata mie kwa huyo mamaa ,,,endelea kuwasaidia nawengine pia inshallah Allah yuko pamoja nawew kwenye kaz zakoo

    • @mdachiog5211
      @mdachiog5211 5 лет назад +2

      Hajawai tokea kabisa

    • @sadikisanga3692
      @sadikisanga3692 5 лет назад +1

      Mungu akupemaisha malefu kaka umekuw mfano wavijan wenging

    • @semkiwamazonge3036
      @semkiwamazonge3036 4 года назад +1

      Tunaiga mema yako broo milioni 7 sio mchezo kaka

  • @michaelmasijah724
    @michaelmasijah724 5 лет назад +1

    Mwenyezi MUNGU naamini anaona hayo unayoyafanya kwa watu wenye uhitaji! 🙏🙏🙏

  • @daliaabdullah5756
    @daliaabdullah5756 3 года назад

    Jaman kaniliza. Huyo..mama hongera. Sana Daimond mungu akupe. Maisha. Marefu. Na akuzidishie kipato zaid. Inshaallah penda sana Mond ake💕💕💕❤😘

  • @okisainoeline1674
    @okisainoeline1674 4 года назад +8

    That's so kind of you Diamond of all the things apart from being your fun from Kenya...this one has touched me so much. .May God bless you even more.

  • @mishimwinyi7974
    @mishimwinyi7974 2 года назад +3

    I wish most of the people or celebrities who are capable of helping the less privilege do like diamond we could make this world a better place

  • @oscarmillanzi397
    @oscarmillanzi397 5 лет назад +1

    Be blessed kwa kujitoa kwa masikini

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 5 лет назад

    Sinaga ubaya na anaepigania maisha yake ilikusudi aweze kujikimu kimaisha, saga uteam siijui mond wala kiba
    Kwa moyo saafi kabisa diamond abarikiwe na azidishiwe baraka na kipato Allah amjaalie kijana huyu na wengine waige mfano👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 5 лет назад +4

    Mungu akuzidishie hongera san CHIBU 🙏🙏

  • @prince_samir_saeedlorenzo_3156
    @prince_samir_saeedlorenzo_3156 5 лет назад +3

    Nasibu A.K.A MONDI nilikua sifwatilii sana mziki wako lakini kwa kitendo hiki cha leo yaani umenifanya nimelainika moyo hadi natamani ningekua mimi ndio nagawa baraka nikumiminie zote... ila mtowa baraka ni Mungu alie juu na namuomba azidi kukubariki hasa katika kusaidia wanyonge #salute bro

  • @mirajimiki3780
    @mirajimiki3780 4 года назад

    Diamond ww unaakili Sana Kama utakuwa na moyo kama huwo mola atakulipa mema.. Mola akulinde amin

  • @abdulomary16
    @abdulomary16 5 лет назад +1

    simba allah akuzidishie na maisha marefu brooo

  • @rriskttakerke9760
    @rriskttakerke9760 5 лет назад +3

    What a humble superstar!! God bless you much

  • @verrah_varane3006
    @verrah_varane3006 4 года назад +5

    This made me emotional 😭 congrats kakangi

  • @hellenmwayole8715
    @hellenmwayole8715 5 лет назад +1

    Mungu akubariki sana dai mpaka nimetoa machozi jamani, be blessed. Nayaona maisha yako dai yatakuwa sio ya kawaida.

  • @dorinben7096
    @dorinben7096 3 года назад +2

    GOD BLESS YOU DIAMOND AND WCB WASAFI

  • @tatuomar4164
    @tatuomar4164 5 лет назад +10

    Manshaallah mungu akuzidishiy imani kazi nzuri sna diamond ila musaidiye na baba yako analiya sana M/mungu anasema sadaka nzuri iyanziye ndani mwako

    • @mrishomzelela4627
      @mrishomzelela4627 5 лет назад

      Tatu Omar ,we unanajuaje kama hamsadii baba yake?

    • @tatuomar4164
      @tatuomar4164 5 лет назад

      +Mrisho Mzelela kwasababu baba yke anayaliliya mtandaoni njomana tunayajuwa angekawa anasaidiwa asingekua anapiga kelele kweny media

    • @amryzubery1051
      @amryzubery1051 5 лет назад

      Tatu Omar huyo mama asipo jiangaria atakuwa nakafara

    • @tatuomar4164
      @tatuomar4164 5 лет назад

      +Amry Zubery nihatari

  • @amindavid5290
    @amindavid5290 4 года назад +5

    I salute you Platinumz,much love & respect to you bro!!!,people like you can change the world to be a better place for everyone,lets more and more blessings comes to your way,lack nothing in this life,GOD GUIDE & PROTECT YOU BRO!!!

  • @mutamurizajosephine8349
    @mutamurizajosephine8349 3 года назад

    Naliya kwa furaha .Diamond uishi milele na maisha yanye baraka tele love u

  • @denisnyerere8508
    @denisnyerere8508 5 лет назад +2

    yaani kila nikiangaria hii lazima nilie #kwaajili ya uyu #mama @mungu_awabariki sana

  • @smartboysajuse90
    @smartboysajuse90 5 лет назад +26

    Hv hata vitu km hiv kuna dislike??? Ebu gonga like WCB

  • @justinemico1871
    @justinemico1871 5 лет назад +5

    Ndio maana nasema diamond tumsuport kwenye mziki wake na mambo ya kijamii anayofanya ila mambo yake ya mapenz tumwachie yeye

  • @Karin-wk5xr
    @Karin-wk5xr Год назад

    Waaaaa diamond mm n mkenya lakini nimefeel vizuri sana kwa huo moyo mungu akubariki sana braza endelea kuwa na huo moyo na udisaidie Tanzania tu karibu pia kenya barikiwa

  • @emmanuelpatrick1423
    @emmanuelpatrick1423 5 лет назад +1

    Diamond platinumz mungu akupe miaka mingi brother

  • @feithmhimbano959
    @feithmhimbano959 5 лет назад +13

    Mungu akubariki mond

  • @mercellinornthangu1134
    @mercellinornthangu1134 5 лет назад +3

    GOD bless you so much Nasib,you are young and seing the great picture in what this world needs much of.You have really touched my heart.Blessings and more.

  • @froliangrevigian9213
    @froliangrevigian9213 5 лет назад +1

    ,,,,,Daaaah kwenye hili nimeamini #Mwenyezi #Mungu.... Hamtupi mja wake #Mondi wewe ni 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 #Mtz kiooo cha Jamii... 👍👍👍👍

  • @julianacharles6014
    @julianacharles6014 3 года назад +1

    Mungu akubariki Diamond Akupe Hekima nguvu na afya tele 🙏😭😭

  • @djatm1319
    @djatm1319 5 лет назад +5

    Kumbe Diamond ni mutu ana utu hivi...nipo Kenya na nakombea Mungu akupe nyingi za kupeana

  • @dannymusic7798
    @dannymusic7798 5 лет назад +14

    Nzuri sana kbs

  • @sankalemartine8545
    @sankalemartine8545 2 года назад +1

    Diamond is doing a great job keep up

  • @uwitonzemulengerantwali6750
    @uwitonzemulengerantwali6750 Год назад

    Mungo wangu bona huyu Kijana amenifurahisha Sana mpaka machozi yamenitoka hapa niripo. Umefanya kitendo kinacho shinda wengi .Mungo bariki huu mom na Diamond kweli Mungu akurinde na kazi zako watch from USA 🇺🇸.

  • @esthermbilinyi9417
    @esthermbilinyi9417 5 лет назад +3

    Leo ndio nimefungua moyo wa kumpenda mondi MUNGU awe pamoja nawe kufikisha ndoto zako

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 4 года назад +3

    Bless up Simba 🙌🙏🙏🙏

  • @SophieSpira
    @SophieSpira 3 года назад

    Waaaa waaaa Diamond, Machozi yangu kama kutu, Leo yamedondoka virahisi... Mungu akuzidishie na huyu mama abariki ke kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu.., Amina.

  • @fatyqueen346
    @fatyqueen346 3 года назад

    Mwenyezi mung akusamehe makosa yako mond akupe umri mrefu kwa hichi ulokifanya amiin🙏

  • @doreenwanyonyi5653
    @doreenwanyonyi5653 5 лет назад +3

    nasib be blessed bro continue with that spirit

  • @mbeyatv
    @mbeyatv 5 лет назад +64

    nimejikuta machozi yanatoka...huyo mama mlemavu kaniliza...kuna watu wanamiguu miwili...mikono miwili akili timamu lkn still ni omba omba😏

    • @rukiamngoya2341
      @rukiamngoya2341 5 лет назад +3

      Yani me wananikera sana tena unakuta wako na watt wao mtu akipita wanawatuma waje kuomba na mtu ukimuangalia ana miguu na mikono

    • @mbeyatv
      @mbeyatv 5 лет назад +1

      Rukia Mngoya kabisa wanaboa sana..hawaangalii wenzao walemavu lkn wanajitafutia ridhiziki

    • @janesuma2193
      @janesuma2193 5 лет назад

      kabisa tena wanakera wanajiendekeza kabisa

    • @husnashariifu6249
      @husnashariifu6249 4 года назад

      Umeona eee akili kumkichwa

    • @jamilaathuman7165
      @jamilaathuman7165 4 года назад

      Nimelia kwakweli

  • @briebella3895
    @briebella3895 5 лет назад

    Penda wewe Diamond mwenyezi Mungu akuzidishie baraka kwa kila ufanyacho Fanya, God bless you Baba Dylan

  • @victorblessingsofficial4770
    @victorblessingsofficial4770 3 года назад

    Simba mungu akuzidishie kabisa ukose pakuweka,mzikk wako uzidi kupaa kuliko wenye nguvu duniani kwa hiki ulichokifanya namwomba mungu akulipe kwa kukula tuzo zote zile utakazo nominatiwa tukianza na bet,#simba#best international act