Mbosso you will always be great nlichopenda zaid ni upendo kwa wazaz wako nashukuru saana kwa niyaba ya wazazi umewainua saana hongera saana mbosso khan
I like the way he explains about singing a Corona song. We need to continue with life though not fully normal but at least we need to feel like we're not so lost into the Corona pandemic menace.
Mara nyingi ukimtanguliza Mungu na kuwa mwenye nidhamu mambo yako hunyooka. Nakuombea Mwenyezi Mungu akuzidishie, akuneemeshee na akulinde kwenye hii safari yako ya mziki... Mbosso much love from +254😘😘😘
Aisee! Mungu hujibu kwa wakati! Uvumilivu ktk maisha ndio nguzo kuu! Uwezo wako wa kuimba ulionekana toka ukiwa Yamoto to be honestly mm nilikuona kuwa sauti yako iliwazidi wote! Pamoja na kutengana kwenu hukukata tamaa ! Big up! Yaani am speechless 😶! You nailed it!
Mbosso has been my crash ...I silently admire him generally ,his music , he's my number one bongo artist ,all that he has done or achieve is by the grace of Allah,Na Baraka sizidi kumfuata kwa kutosahau nyumbani kwao.baraka ya mzazi Ni Jambo la muhimu...he be my role model..I just like everything about Him simple personality humbled always and forcused may your intelligence yield more🙏🙏💕🌹
Kijana mbosso si mtu wa kustarehe saaaana na mabinti kama vijana wengine. Ni kijana mwenye tabia ya utulivu. Heshima. Hekima na anajitambua anapoelekea. Anaipa heshima sana wasafi media kwa tabia hiyo.Mungu amsaidie aendelee na busara hiyo. Amenifurahisha sana nikuwa mzazi tena mama.
Mbosso one of my favorites in WCB as well as Bongo flavour at large. Mungu aibariki kazi yako. Kongole Diamond kwa kukuza vipaji, huku Kenya twathamini WCB sana.❤🔥🔥🔥
@@shoshdehblessedtv2841 ni kweli, wewe ni sheitwan ndio maana unapenda mziki. Si unaona faida ya mziki, mbosso ana watoto wa nje ya ndoa na anajisifu, kwa hio kama hakutubia atafute jawabu la kwenda mjibu alietuumba na akatuekea taratiibu za kuishi. Nakuomba tena radhi kama nimekuudhi ila vumilia, ukweli lazima usemwe
Kazi kujifanya tu eti waislamu,na ishirikina ndio mama yenu,you will all rot in hell walking demonds,show me one upright islam i will change to islam,all these wcb ni waislamu waliopotoka they dont know what they know🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@shoshdehblessedtv2841 usome tu utaujua ni dini ambayo Allah (Mwenyezi Mungu) alowapa Mitume na Manabii, tangu Baba yetu Adam mpaka Nabii na Mtume wa mwisho Muhammad Swalla Allahu Alayhi Wasallam. Na kati ya hao pia yumo Issa ambae nyinyi mnamwita Yessu, sisi pia tunamuamini kwa yote aloteremshiwa kutoka kwa muumba ni haki, na tu naamini Mitume na Manabii wote waliharamisha ushirikina. Sasa sijui huo ushirikina uusemao wewe umeukuta kwenye kitabu gani?
Mungu akuzidishie.umeanza kuwafikiria wazazi wako kwanza na nyumba na usafiri.Mungu atakufikisha mbali sana kimaendeleo kama kaka yako au bosi wako Diamond.wasafi juu.
Huyo mtangazaji ayejifunika sio level za wasaf anazngua interview nying..anakuwa hayuko systematic na Hana skills za kumsoma MTU coz watu wana mood swing IPO siku atapigwa
Hakuna kinacho shindikana chini ya jua ukiweka bidii ukiwa na subra na ukipambana kila kitu kinawezakana just Don't give up shukurn za peke kwa MWENYZI MUNGU kwasababu ninaamini yeye Ndo anayejua kesho yako my best actress in W_-C_-B=_-🔥🔥🔥
Mbosso you will always be great nlichopenda zaid ni upendo kwa wazaz wako nashukuru saana kwa niyaba ya wazazi umewainua saana hongera saana mbosso khan
Mjumbe mdogo wangu mbosso Khan
Big up sana wazazi wamekuja baraka zote
Kinacho mfanya mbosso afike mbal na atazidi kufika mbal ni nidhamu,hekima,busara na uweledi ktk kazi yake...Mungu mzidishie inshallah
Kabisa, inshalah
Suma thedony, kweli!
True
True
Suma thedony Amina
I like the way he explains about singing a Corona song. We need to continue with life though not fully normal but at least we need to feel like we're not so lost into the Corona pandemic menace.
Kweli
Kaka mbooso naomba kazi
Gari fire Moto 🔥
Hongera Mbosso kwakutimiza Ndoto..
Love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I admire his personality he never gets offended. God bless you sana bro.
Nakupenda mnoooo
Mara nyingi ukimtanguliza Mungu na kuwa mwenye nidhamu mambo yako hunyooka. Nakuombea Mwenyezi Mungu akuzidishie, akuneemeshee na akulinde kwenye hii safari yako ya mziki... Mbosso much love from +254😘😘😘
Mwenye ako na heshima na busura mboso keep going bro
Mashambiki wa Mbosso Kenya twagonga like hapa ! Hongera! Hongera ! Hongera ! Mbosso 🇰🇪
WCB Label kubwa Hongera Mbosso zidi kutusua 💪
Aisee! Mungu hujibu kwa wakati! Uvumilivu ktk maisha ndio nguzo kuu! Uwezo wako wa kuimba ulionekana toka ukiwa Yamoto to be honestly mm nilikuona kuwa sauti yako iliwazidi wote! Pamoja na kutengana kwenu hukukata tamaa ! Big up! Yaani am speechless 😶! You nailed it!
Mbosso mimi hapa Kenya nakupongeza bro it's all your efforts. .continue keeping your flag high .
Mbosso has been my crash ...I silently admire him generally ,his music , he's my number one bongo artist ,all that he has done or achieve is by the grace of Allah,Na Baraka sizidi kumfuata kwa kutosahau nyumbani kwao.baraka ya mzazi Ni Jambo la muhimu...he be my role model..I just like everything about Him simple personality humbled always and forcused may your intelligence yield more🙏🙏💕🌹
Mbosso kipenzi cha wengi..mob love from Kenya.. I like your personality.. Usichange
julius murimi 👌👌
Kijana mbosso si mtu wa kustarehe saaaana na mabinti kama vijana wengine. Ni kijana mwenye tabia ya utulivu. Heshima. Hekima na anajitambua anapoelekea. Anaipa heshima sana wasafi media kwa tabia hiyo.Mungu amsaidie aendelee na busara hiyo. Amenifurahisha sana nikuwa mzazi tena mama.
Hongera platnumz kwa kuwakuza vijana am proud of you.
Hongera dogo kwa kuwambuka wazazi wako mana ni vijaba wachache wenye akili hiyo
Hongera sana kaka mboso mungu azidi kukuinua kila unacho fanya
Mbosso Khan💪💪💪 nipo Zambia ila wasafi media naifatilia sana @WCB4LIFE
from kenya....the guy is very humble na mwenye heshima na upolee..zidi kuenda mbali mr mbosso...
You're such a humble human being more blessings my brother from another mother🙏
Yaani mbosso ako very simple sio wa kujionyesha aishe! From kenya
Wanao mkubali mboso naomba like zenu jaman😘
Hata wakati mgumu unapo msikiza mboso uko saww
Stella Tobiasi akika amepiga hatua kubwa mungu amujalie
Stella Tobiasi akika amepiga hatua kubwa mungu amujalie
Tupoooo
Mbosso one of my favorites in WCB as well as Bongo flavour at large. Mungu aibariki kazi yako. Kongole Diamond kwa kukuza vipaji, huku Kenya twathamini WCB sana.❤🔥🔥🔥
Baraka za sheitwan, sio za M/Mungu. Allah kaharamisha mziki, kwa hio hawezi kubariki. Samahanini mashabiki wa mbosso. Twakumbushana tu
Kamati ya roho chafu,islam is just hypocrates,nachukia waislamu ni wanyama🤣🤣🤣🤣🤣
@@shoshdehblessedtv2841 ni kweli, wewe ni sheitwan ndio maana unapenda mziki. Si unaona faida ya mziki, mbosso ana watoto wa nje ya ndoa na anajisifu, kwa hio kama hakutubia atafute jawabu la kwenda mjibu alietuumba na akatuekea taratiibu za kuishi. Nakuomba tena radhi kama nimekuudhi ila vumilia, ukweli lazima usemwe
Kazi kujifanya tu eti waislamu,na ishirikina ndio mama yenu,you will all rot in hell walking demonds,show me one upright islam i will change to islam,all these wcb ni waislamu waliopotoka they dont know what they know🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@shoshdehblessedtv2841 usome tu utaujua ni dini ambayo Allah (Mwenyezi Mungu) alowapa Mitume na Manabii, tangu Baba yetu Adam mpaka Nabii na Mtume wa mwisho Muhammad Swalla Allahu Alayhi Wasallam. Na kati ya hao pia yumo Issa ambae nyinyi mnamwita Yessu, sisi pia tunamuamini kwa yote aloteremshiwa kutoka kwa muumba ni haki, na tu naamini Mitume na Manabii wote waliharamisha ushirikina. Sasa sijui huo ushirikina uusemao wewe umeukuta kwenye kitabu gani?
@@saeedabunajash6235 do islam practice nir respect other religions ooh nooo!they think they own the world,pride will take them down!
Hongera sana mboso bidii yako, upole na tabia nzuri ndo nawezasema imekufikisha hapa. Uzidi kuenuliwa
U know brother mbosso I really like ur word means unapenda kushauri watu kwakupiga kazi na video I like that
I really like this humble boy! He will go along way. May God bless him.
Mbosso kuhusu corona umeongea vya muhimu sana kuliko mkuuu wa mkoa wa Dar,welldone brother keep it up
Mmh hatar
Good Kijana umejitahidi big up
Veto
madimakis
Vero aradini
Here from kenya...I really like mboso coz hana mringo
Hongera saana bro. Umefanya jambo lamaana saana kwa wazazi wako. Allah azidi kukubariki kwenye kazi zako.
Big up Sana mboso mwanzo wa mateso mwisho ni furaha mungu akuzidishie. Umewafanyia wazazi jambo zuri mungu akubarikie
Hio ndio sifa y mond n kuzid kua juu kw kuwasogeza n wengne km hawa smart mboso big up simba kw kuwawezesha vijna
Alaf kuna fara anaitwa h baba akilewa anasemaga mondi anajipenda yeye tuu na hajali wengine... Inashtua
.
Hafidh Choi
Moja ya mafanikio makubwa ni kuwapa wazazi maisha tafauti MashaAllah 🥰
Wale wote wa mbosso Khan mshede tujuane gonga like twende sawa
Wenye wivu wajiuee
Umeoa eeeh watapa tabu sn sio ngoja tuinjoy na muindi wa kibiti
Ila kuna jamaa amefanana nae uyoo
Jamaa gn uyo?
Kwel discipline ndo kila kitu
Mungu akuzidishie.umeanza kuwafikiria wazazi wako kwanza na nyumba na usafiri.Mungu atakufikisha mbali sana kimaendeleo kama kaka yako au bosi wako Diamond.wasafi juu.
Nakusikia tuu lakini ,welldone brother,l salute you God bless you mbosso
Gang!!!! Eeeh bhana mboso respect saaana umeonyesha hatua kubwa sana ya kimaisha
MUNGU AKUBARIKI NASIBU Unainua vijana na mafanikio tunayaonaa...Hongera mshedede!!!
Chicharito Ronaldo wanapanga hao wanajifanya zao
Kweli my nasebu amewabeba nag waliobebwa wamejikaza
Mshedede umenyoosha mzee
@@jacoanania6358 daaah we bwege una wivu kama una mimba changa,panga na wewe basi🥴🥴🥴🏃🏃🏃
@@jacoanania6358 mashoga mpo wengi kumbe
Na na Mungu akubariki kaka Mbosso uwe mtu wa hekima hivyo hivyo, maisha yako yote. Blessings
Huyo mtangazaji ayejifunika sio level za wasaf anazngua interview nying..anakuwa hayuko systematic na Hana skills za kumsoma MTU coz watu wana mood swing IPO siku atapigwa
Level za clouds sio😂😂😂
@@iammusic3404 hahahaha
Kweli kbsa
Ni mjing auliza udaku tuu
Asingefaa wasingemtoa EATV, dulla ni talented
Mbosso u a the hero of bongo actually you have made it & still u will be blessed mentor
Ilove mbosso he is so humble...
KAMA wasafi ikinichukua ntafanya kazi nzuri nawao
MASHA ALLAH...HONGERA..WAJALII WAZAZI WAKO..WAKIWA HAI
Hongella Mbosso mwenyezi Mungu akuzidishe hapo inshaallaah
Hongera sana kaka inapendeza kijana ukipambana ufanyee mambo mazurii
Khadija
Omari
😮😮😮wow mungu akupa sawa na unachotaka ila utuombee na sisi.🤝🤝
Mashaallah kkngu nakuombea baraka za mwenyezi mungu ziendelee kuwa nyingi namaisha marefu pia innshaallah
Nakumbuka mbosso alipokwa aki taka kuwenda mjini babake akuipenda...lakini mziki ndio hio unamsadia....Mungu akuwonekanie.kila mara
God bless you for this
Hongera mbosso
Mbosso is such a being. Great guy
kaka unajua
Mbosso mkali saana
Congrats Mbosso Khan Mshedede 🔥🔥🔥
Mbosso my best singer and writer..... Ila mtangazaji wa kiume hapo mzee naona haujakaa kitaaluma zaidi.
Mbosso he's so humble big up mbosso
Hongera yake mboso mungu azidi kukubariki kazi ya mikono yako
Q chila ajifunze SNA kupitia hawa watoto wa wasafi sio kutukanatukana hongeraboso😍
Mariam Ramadan ni kweli yule hana akili anapitwa hata na uyu mboso.
Ni H baba
@@sabrinabakari5908 siunajua alikuwa anatumia dawa za kulevya bado hajakaa sawa
Aiseeee don't talk about legend aiseeee
Marce Marco whose legend you talking about??? Q.chi ow!!! Don't let me down my friend
Mboss kama mboss akiwa jukwaani haboi asante mboss napenda sana nyimbo zako hasa iye ya katoto hodari hodari hodari wa mapenzi
Wngp wameona WCB ndo lable yakuingia sa kwengine wap tena gonga like twende sawa
Nakupenda sana mbosso khan mafanikio yako sistaajabu juhudi unayo penda sana mziki mzur👏👏👏
Pongezi bosso mziki wako naupenda ata naskiza sai♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Mbosso kisebeho kweli 🎉
Agosti 2024
WCB label ya mafanyikiyo
Congratulations sn kwake Diamond platnumz kwakuwafanya vijana watimize ndoto zao
HIV meneja huwa ni mmoja kwa fundi zima la wcb au kila mtu nawake🙈
@@beatricetenywa4367 kila mtu na wake,mondi salam sk,lava lava Ricardo momo,mbosso sjui nani
@@Jitu_Lisilofikirika. babu tale ni wa nani aisee
@@Mwaikwasi najuaga ni moja ya kiongozi tuuu, though sinaga undani kabiiiisa
@@Jitu_Lisilofikirika. wa Rayvanny Ni makame juma lakini. Alafu Kaka subscribe kwenye channel yangu
Mungu akupe maisha maref mshkaj Wang yan
Hongera zake sana😊
Na kupa pongezi kwa kucomment kila video
Mungu akuzidixhie mbosso
Huyu sio mtangazaji wa level ya wasafi
Kabisaaaaaaaaaaa
Big up sn mbosso khan Mungu aendelee kukupa hekima na busara na ufike mbali sn
Congrats mbosso
Hakuna kinacho shindikana chini ya jua ukiweka bidii ukiwa na subra na ukipambana kila kitu kinawezakana just Don't give up shukurn za peke kwa MWENYZI MUNGU kwasababu ninaamini yeye Ndo anayejua kesho yako my best actress in W_-C_-B=_-🔥🔥🔥
Congratulations ndugu yangu mbosso. @mwijaku where are you now
Hahahhahha mwijaku come here now
Bro daah fanya kazii nzuri upate vitamu kwa boss
Wakwanza kukoment kutoka 🇺🇬 like zenu 🇹🇿 ziko wap
Nice job 👍
Mwachen mungu aitwe mungu mbosso hongera sana mwanangu
I like his personality. Keep working hard.
Nikweli kabisaaaaa WAdau mboso yuko vizuli sana mungu ampe maisha malefu.
Tuskilezeni Qur'an Kwani ndio inayoleta utulivu katika moyo ya wanadamu. MIZIKI INALETA HUZUNI TNA SANA
mbosso congrate
More blessings
Bro Mbosso big up sanaaa kabsa pambana utapata hata ndege
Mwambie mbosso atutolee behind the scenes ya tamba
Hongera Brother mboso Mungu akutunze ufanikiwe zaidi uwakumbuke na walionyuma yako
Mafanikio ya kwelii yanatokaa kweny nidhamu na uvumilivu ww n msanii mtulivuu xn be blesed
Nice interview
Kweli kabisa halaf Diamond anapenda sana vijana wenye bidii 👌
@@beatricetenywa4367 ukimueshm diamond lzm ufnkiwe
@@beatricetenywa4367 0747700433nichk sap tuwe mrfk
Honger San
Alakini mboso sungemusaidia enook Bela mulikua pamoja katika yamoto band+250🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Kabisa wamemsahau mwenzao
mwamba patrick wakisaidiwa/ baadae mazarau/ kila mtu afekivyake",siunaona hamo mazarau' kwa mond kibao
Ww umewasaidia wangap ulokuwa nao pa1
@@kenethmtweve3961 watato
Utuye ahagana se mwane wacu weee
From now am your real supporter
Keep on bro
Ndugu zangu naomba support yenu...subscribe hapa: ruclips.net/video/yykHYhHEnPE/видео.html tafadhali.. SUBSCRIBE ndio nianze kupost vitu Kali zaidiiiiiiii..tafadhali nipeeni 1000 subscribers... Tafadhali...haigharimu hata senti kusubcribe.... tafadhali
mwijaku.yupo wapi eti wcb wananyonya mboss wasije wakakushika masikiyo utoke wcb thafazali mungu akujalieee kaka nitakusapoti paka
Asante mbosso mungu akuzidishir hivo hivo katika maisha yako wcb moto
Huyo mtangazaji mwanamke si angevua hiyo Top kabisa 😢
Hongera mboss mungu yuponawewe
Wewe Aliya kuwa navaa vizuri, ujuwe una nikeraga sana
Saleh Madjidu Mk Kabisa yaan
Mshamba
Kaangalie tbc
@@edwardmkweleleasante,ila niko mshamba kwa akili zako ambazo zimebebwa sana na dunia
Good interview . 🇰🇲🇰🇲 Comoros islands
Mbosso Khan 🔥 🔥 🔥
Ongera sana mboso mungu akusaidie uzidi kusonga mbele
Mbosso bna etiii ...unamuuliza UNAFURAHI EEEEEE
😂😂😂😂😂😂.....mo move✌
Obama kabisa
Asante sana mbosso fanyakazi alafu aslay afulie tukonyumayako
Mbosso oyeeeeeeeeee
More love from +254🇰🇪🇰🇪🇰🇪