DIAMOND AMSAIDIA NGONJWA WA INI NA BANDAMA/AMLIPIA KODI KWA MIEZI SITA NA HUDUMA ZA HOSPITAL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024
  • #wasafi #wnews

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @shebaminde7656
    @shebaminde7656 4 года назад +249

    Nilishasema hv libarikiwe tumbo la mwanamke yule aliyekuzaa Naseeb! Mm nakupenda sana Mingu akuzidishie na akubarik zaid ya alivyokubariki unajitoa mno kaka yangu!! Mungu akukumbuke anapogawa rizki aanze na wewe🙏🙏

    • @luhyabae8136
      @luhyabae8136 4 года назад +1

      Mungu amubariki Simba, Inampenda sana,kutoka kenya

    • @ishaaisha7090
      @ishaaisha7090 4 года назад +1

      Aamiin thumma aamiin

    • @mwakahassan8742
      @mwakahassan8742 4 года назад +1

      Amin

    • @rosejoseph2228
      @rosejoseph2228 4 года назад +1

      Mungu ambariki sana kijana wawatu amjalie Uhai mrefu katika Maisha yke

    • @ashaali9260
      @ashaali9260 4 года назад +1

      Amen yarab mungu akulipe zaidi yahicho ulichompa

  • @philosofar4423
    @philosofar4423 4 года назад +3

    I have been following you keenly bro, you are touching souls. Mimi si Mtanzania bali ni mkenya lakini kwa kazi hii unawafanyia watu, mwenyezi Mungu aweze kukubariki more and more. May you not lack anything Dr. Diamond, nakuita daktari kwa maana umetutibu kimawazo, kimuziki, na ata wale ambao wamekosa unawatibu kwa kuwapa matumaini katika maisha. May the Almighty God bless you so much. I'm really touched with what you are doing. You are true.

  • @khloedamakochwa1799
    @khloedamakochwa1799 4 года назад +39

    So sad 😢
    But love Mr.chibbu's caring heart especially this holy month of Ramadan may Allah reward you and add you abundantly chibu

  • @brunompolle1404
    @brunompolle1404 4 года назад +64

    Mungu akupe umli mkubwa kabisa diamond nimekueshimu Sana kuanzia leo maana wapo wenye vingi lakini hawatoi mungu akubariki Sana ndugu yangu

    • @jameskalolo7795
      @jameskalolo7795 4 года назад +1

      Wengi wanatoa lakini hawana media.. Ila huyu Jamaa Anazidi kuwa-empire na wengine nikiwemo Mimi na Weweee..

  • @way9tv821
    @way9tv821 4 года назад +95

    Diamond una moyo wa kipekee sna mungu akuongezee

  • @robinapatrick8479
    @robinapatrick8479 4 года назад +107

    Mungu akubariki Naseeb akuzidishie pale ulipotoa endelea kuwa na moyo huo huo wakusaidie wanyonge nawenye shida mbalimbal

    • @bensonmandela7086
      @bensonmandela7086 4 года назад +1

      Hakika mungu akupe zaidi Nasibu. maisha marefu mwenyezi mungu akujalie

    • @sunnytv1965
      @sunnytv1965 4 года назад +1

      Allah bless u broh

    • @sunnytv1965
      @sunnytv1965 4 года назад +1

      G Bless u

    • @sospetersiame906
      @sospetersiame906 4 года назад

      Huyo jamaa ananikosha sana Mungu akulinde diamond na hongera kwa malezi ya mama yako

  • @samirarashid8186
    @samirarashid8186 4 года назад +32

    Maasha Allah Naseeb mwenyezi Mungu akuzidishiye ❤️❤️❤️

  • @iammusic3404
    @iammusic3404 4 года назад +51

    Oh My God!😱
    So heart touching😭😭😭😍🙏
    Asee
    If until now u keep hating diamond, you are as good as dead!👌😔😔😔

    • @aminatashaib1607
      @aminatashaib1607 4 года назад

      THE LAST AIRBENDER IPO kongowe yambagala huku tembelea nako nasibu kiukweli mungu akuongoze uzidi kudumu na kujuwa shida zawengine

  • @starvennja2480
    @starvennja2480 4 года назад +34

    No one like diamond, Allah is gonna bless you

  • @queennanalexabrembo7445
    @queennanalexabrembo7445 4 года назад +50

    Kiukwel kaka nasibu Allah akufunguliye milango ya riski apo penye zimetoka izo pajazike zingine

    • @hassanally7751
      @hassanally7751 4 года назад

      الحمد لله الحمد لله ,,

  • @mustyplatnumz2026
    @mustyplatnumz2026 4 года назад +79

    Daah nasibu mungu akuzidishie una moyo Sana yani 😢😢😢😢😢😢

    • @iammusic3404
      @iammusic3404 4 года назад

      Dah😔😔😔😭😭😭😭😍

    • @lovvy854
      @lovvy854 4 года назад

      Sio siri ila inaonekana dhahiri

    • @liverobongo5557
      @liverobongo5557 4 года назад

      Wow Nasibu ubarikiwe sn 💗

    • @amourharoub5559
      @amourharoub5559 4 года назад

      Mungu awe naw naseb mungu akubarik

    • @ahmadakishingo1935
      @ahmadakishingo1935 4 года назад

      Hili ni jambo lenye kumfurahisha alietuumba hadi ss wanaadam inshaalah Mungu atakuongezea kwa Siri na dhahiri

  • @omarymohammed2880
    @omarymohammed2880 4 года назад +8

    my first time to see u diamond it was in Zambia really apreciate the way unajitoa sana Kwa jamii

  • @saidalhadaby5402
    @saidalhadaby5402 4 года назад +46

    Allah akuongezee na akuzidishie zaid

  • @rosechild5021
    @rosechild5021 4 года назад +9

    May god continue to bless diamond 🙏🏽🙏🏽he’s very caring man bless him. 👌🏽👍🏼🇬🇧

  • @fajuifajui8854
    @fajuifajui8854 4 года назад +66

    Mashallah Naseeb Allah akufanyie wepes kwa kila jambo Inshallah

  • @hellennthiwa6190
    @hellennthiwa6190 4 года назад +3

    Wow naseeb that's great work my the lord bless u so much may u never lack in J's name,mob loves from 🇰🇪🇰🇪

  • @jaymarhiten4780
    @jaymarhiten4780 4 года назад +96

    The way a celebrity walks through those streets shows he's got a heart

    • @mwalamik
      @mwalamik 4 года назад +3

      you are right

    • @iammusic3404
      @iammusic3404 4 года назад +3

      A golden heart👌🔥🙌😍

    • @lovvy854
      @lovvy854 4 года назад +2

      True dat

    • @margarethsaramaki3966
      @margarethsaramaki3966 4 года назад +4

      Yaani mpaka nimelia kweli mama Dangote na Diamond apewe sifa na Mungu azidi kumpa zaidi yaani Mungu yu mwema

    • @margarethsaramaki3966
      @margarethsaramaki3966 4 года назад +1

      Yaani bado nampa sifa Diamond na timu yake

  • @donpablo2651
    @donpablo2651 4 года назад +31

    Bless up diamond.. Allah anaona jitihada zako ❤️❤️❤️

  • @saadarashid8174
    @saadarashid8174 4 года назад +7

    Mashallah mashallah m/mungu akuzidishia sana nasibu unatoa kwa moyo sio kwa kunisifia na ndio Allah anapenda na ndio inavyotakiwa.alhmdullah

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 3 года назад +1

    Hapo nimekupenda Mondi Allah akuongeze InshaAllah 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @markpeter7101
    @markpeter7101 4 года назад +22

    Mm si supporter WA diamond but for this salute icon

  • @brinahhamisi7479
    @brinahhamisi7479 4 года назад +18

    Nasibu Abdul,nakwita tena Nasibu Abdul we mtu mungu akulinde sana.tena sana nandomana kila nikiwa na swali lazma nimuombe mungu akulinde jmn.we kaka una moyo wa kiimani kbs.

  • @ashleekingashleeking1553
    @ashleekingashleeking1553 4 года назад +33

    Naseeb Abdul may Allah open heaven's get for u brother

  • @lusekelodaison8159
    @lusekelodaison8159 4 года назад +20

    Binadamu kila mmoja ana-mapungufu yake na mema yake
    Ila Diamond nimeona mengi mema kwako ni makubwa mno achilia mbali mapungufu
    Mungu akujaalie na akuzidishie kwa pale unapotoa kutoa ni Moyo na wala si utajiri

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 4 года назад +10

    Diamond you make me cry bro wallahi udeserve to be Diamond and udeserve what ugained from u determination to help those u deserve it . inshallah Allah akuzidishie lolote lile umuombalo akurudhie.Big up diamond umake me feel u more and more Bravo bro.

    • @lovvy854
      @lovvy854 4 года назад

      Amewa gusa wengi sio weye pekeako mwana

    • @halimakanju902
      @halimakanju902 4 года назад

      👍

    • @iammusic3404
      @iammusic3404 4 года назад

      Yeah me too😭😭😭😭😍🙏

  • @allykurban5825
    @allykurban5825 3 года назад +1

    Jazakumullah Habiby Naseeb

  • @josephmilambi7889
    @josephmilambi7889 4 года назад +3

    Sijawah kukupinga kak nasib Abdul juma una moyo wa pekee unajitoa sana be blessed

  • @happynesbaemuhappynes8813
    @happynesbaemuhappynes8813 3 года назад +2

    Allah akujaze kila la kheri

  • @gracenalianya381
    @gracenalianya381 4 года назад +13

    I love your golden heart Diamond you are a man of the people.

    • @Nurudinma2024
      @Nurudinma2024 3 года назад

      Diamond may Allah grant ur wishes I love you too much

  • @bintihassan6534
    @bintihassan6534 4 года назад

    Mashaallah Naseeb Allah akuzidishie moyo uwo uwo wa kutoa kuliko kutwaa M.mungu akuponye kwa haraka maradhi yko lnshaallah

  • @aceotz2579
    @aceotz2579 4 года назад +118

    Mungu akuzidishie Diamond wetu❤❤😙😙kama unatazama ukiwa unasoma comments NAKUPENDA👌❤❤❤😙😙😙

  • @vero57
    @vero57 4 года назад +2

    Jamani diomod jamani! Una fanya kazi nzuri sana, MUNGU AKUZIDISHIE MARA BILLIONS 1000000000000 , MUNGU AKULINDE NA PIA AFYA JEMA, GOD BLESS

  • @Smartofficial96
    @Smartofficial96 4 года назад +16

    Jamaa ana roho nzuri sana mwenyezi mungu akupe maisha marefu na akupe maisha mazuri uendelee kupata na uwasaidie ambao hawana uwezo mwenyezi mungu akupe tu maana siyo kwa moyo huu

  • @juliaayieta2578
    @juliaayieta2578 4 года назад +3

    Diamond you are beyond kind......May God continue blessing you 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @tanzaniteinzanzibar6655
    @tanzaniteinzanzibar6655 4 года назад +29

    Sasa huyu ndio anafaa awe mbunge, mpe ata uwaziri usio na wizara maalum, kwa sababu ana akili sana, na ana jituma sana... big up to diamond Plutnumz...

  • @nadyasalim7956
    @nadyasalim7956 4 года назад

    Allah akuzidishie imani diamond kwa kuwajali wanyonge hakuna anaekupata imani ulonayo mashallah well done broo

  • @bintsaid9313
    @bintsaid9313 4 года назад +9

    Diamond looks good dressing like a muslim and he looks so neat and descent...Maashallah

  • @mamutz2067
    @mamutz2067 4 года назад +1

    Mungu akuzidishie akupe baraka tele katka maisha yako

  • @hamiskengwa5869
    @hamiskengwa5869 4 года назад +13

    Ukiskia msani basi huyo ndo msani sasa platnam kio cha jamiii🙌🙌🙌🤣(+_+)(+_+)🔥🔥🔥🔥🔥🔥 vzr sana Zaid ya sana historia nzuri sana hizo ,nasbu

  • @nehemiapatrickmkomamkoma3630
    @nehemiapatrickmkomamkoma3630 4 года назад +2

    Hongera mond mungu akubariki

  • @asiahaji5081
    @asiahaji5081 4 года назад +3

    Kaka Nassibu,nipo Zanzibar lakini ukweli nakupenda kwa sababu ya imani yako uliyonayo. Mungu akuzidishie kila la kheri

  • @fatmadamasi6880
    @fatmadamasi6880 4 года назад +1

    Barakallah fiiyk Allah akupe zaidi na zaidi kutoa ni moyo na si utajiri mm nafurah nikimuona naseeb akijitolea hivi na Nina penda maendeleo yake jazakallah khayra💕💕🌹🌹

  • @wardahzajly3149
    @wardahzajly3149 4 года назад +17

    Nasibu kama nasibu anaroho ya pekeeeeeee Walah 🤲🤲🤲🤲😢😢😢😢 mungu aku zidishieeeeee🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🤦‍♀️

  • @mohamed.hassani9917
    @mohamed.hassani9917 4 года назад

    ✌Boss mambo unayofanya makubwa ,hata matajiri wengine wakubwa wanashindwa ,salute boss ✌✌

  • @dullahmudy2464
    @dullahmudy2464 4 года назад +13

    Diamond with this you have really touched my heart....😭😭😭😭😭😭mungu akubariki sanaaaaa

  • @issabakari1916
    @issabakari1916 4 года назад

    Naseeb Abdul, wallah mungu akusamehe kwa kila makosa,, akuzidishie kwa Yale unayofanya, dah mashaallah,, mazuri yako yawe ufutio, dah unafanya vyema Sana kaka, hongela Sana

  • @allisonmadii7620
    @allisonmadii7620 4 года назад +95

    Neno "Tofauti tofauti" ndo nlikua nalisubiri kuskia kutoka kwa Diamond.

  • @wazirifilms2303
    @wazirifilms2303 3 года назад +1

    May God bless mr Naseeb unafanya msaada mwema.

  • @carlitosfernandosalassine-2287
    @carlitosfernandosalassine-2287 4 года назад +5

    Bom gesto, continue assim simba, deus vai te abençoar💪💪

  • @bisengobenjamin7186
    @bisengobenjamin7186 4 года назад

    Asante sana chibu kwa kitendo kama na hico.nipo DRC .mungu akuzidishiye

  • @benjaminkimaro6361
    @benjaminkimaro6361 4 года назад +6

    Nakubalii sana Chamaa languu WCB
    Mwanzoo Mwishooo 😘😘😘😘
    Kim's B papa

  • @malingazeboss9351
    @malingazeboss9351 4 года назад +1

    Platinum forever, ndio maana mungu hajawahi kukusahau, mungu akubariki saana bro

  • @innocentsimika1937
    @innocentsimika1937 4 года назад +15

    young, rich, genius, kind hearted and hard warking

    • @heryraula8130
      @heryraula8130 4 года назад

      Mungu akupe maisha mema kwko uwe na moyo huo huo

  • @lovemyselflovemyself954
    @lovemyselflovemyself954 4 года назад +1

    Mungu akubariki Sana Monde👏 heri kutowa kuliko ku pokeya. Amen

  • @gilbertyrobinson498
    @gilbertyrobinson498 4 года назад +9

    Allah akubariki, kukulinda na kukutia moyo azidi kukuongezea katika hali na mali Boss.

  • @samwelimkanga2047
    @samwelimkanga2047 3 года назад +1

    Mwenyez mungu akubarik sanaa diamond akupe wepes wakusaidia na wengineee

  • @saidasalehe7511
    @saidasalehe7511 4 года назад +9

    Hongera sana kaka Allah azikukusimamia kwa kila jambo kaka insha Allah.

  • @annaemmannuel2101
    @annaemmannuel2101 4 года назад

    Ubarikiwe sana brother, kwa kuwakumbuka wahitaji. Mungu akuzidishie zaid na zaid

  • @babawatotobabu7229
    @babawatotobabu7229 4 года назад +4

    mwenyewe mungu akupe afya njema na umre mrefu nassibu Abdul 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @SomeOne-wh4yu
    @SomeOne-wh4yu 3 года назад +1

    Safi bro mungu akuzidishie

  • @jonicapello9200
    @jonicapello9200 4 года назад +4

    Great work for community diamond platnumz. ❤ God bless you from +254

  • @wasafiwasafi734
    @wasafiwasafi734 4 года назад +1

    Mungu akubariki diamond utabarikiwa na mwenyezi mungu

  • @carinecarine2346
    @carinecarine2346 4 года назад +3

    Respect kwa kundi lote la Wasafi Tanzania 👏👏👏👏🙌

  • @edkim7924
    @edkim7924 4 года назад +1

    brother ubarikiwe na Mungu akuinue...dini au imani pekee haitupeleki mbinguni...bali upendo na matendo mazuri tunoyoonyesha kwa wengine...keep it up brother

  • @innocentjoseph805
    @innocentjoseph805 4 года назад +127

    Yani mtu, anasaidi kwa moyo mmoja , kwa watu wasiyo jiweza! But kunawatu humu, roho zinawauma ka nn? Kama uwezi comment , angalia tu picha bas, kuliko kuongea upumbavu wa kumkejeri mtu!!

    • @lovvy854
      @lovvy854 4 года назад +3

      Binaadam hatueleweki sasa roho ziwaume kwa mpango gani na sio pesa Yao salalaa

    • @michaelmdoe9368
      @michaelmdoe9368 4 года назад +6

      Mm sio shabiki wa mondi ila kwahili big up sana

    • @androydthegully6390
      @androydthegully6390 4 года назад +2

      Inocente ndugu yangu banaadamu sio watu, hao ni wanga wana husda na mungu anawaona, ila wanakera sana

    • @stevenmaketa8051
      @stevenmaketa8051 4 года назад +3

      Saana bwn kunawatu hawajawai kumpendW diamond tena bila sababu tu

    • @sitelachalamila7355
      @sitelachalamila7355 4 года назад

      Sihawana akili

  • @khalifeamani7742
    @khalifeamani7742 4 года назад +1

    Ebwanaee kasimu mungu akujali akuongoze uachane na mziki urudi kwake Allah hongera Sana ndugu yangu

  • @rapperginjih7624
    @rapperginjih7624 4 года назад +26

    Simba you're a one in a million...God bless you

  • @guccikhan1817
    @guccikhan1817 4 года назад +1

    Much respect Diamond....
    Mob love from Kenya

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 4 года назад +21

    Masikin jaman mtoto mdogo Mungu mfanyie wepes jaman 😢😢

  • @kamiaa8675
    @kamiaa8675 4 года назад +1

    Mashaallah mashaallah allaha Akupe umri Mrefu InshaAllah nasbu akika unafungu lako la neema na kher Kwa Allah mashaallah mashaallah

  • @MrMtulivu
    @MrMtulivu 4 года назад +19

    Is no one can protect you Under the Sun more than GOD just pray and believe God will be with you. thanks diamond for everything god bless you.

  • @heryclever3311
    @heryclever3311 3 года назад +1

    Dahh@😭😭 hadi natokwa na chozi diamond mungu akuzidishie una moyo wa kipekee sana

  • @silverman6930
    @silverman6930 4 года назад +5

    Haters will hate but this dude is blessed trust me 🇬🇧🇬🇧🙏🙏

  • @kaeniyahya7536
    @kaeniyahya7536 4 года назад

    Maasha Allah, na kizuri zaid umependeza diamond barakoa imekutoa ile mbaya Alhamdulillah

  • @chantalmwipata8820
    @chantalmwipata8820 4 года назад +3

    From Canada ,kaka god bless you more and more

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 4 года назад +1

    Mwenyenzi mungu akujalie sana d. akukinge na mahasuda ya watu wabaya.

  • @moshimgaza5642
    @moshimgaza5642 4 года назад +51

    Yallab,yakhareem,yajabar,yarazaak,ee molla wangu naomba umjalie huyu mjawako mwisho mwema.hakuna mkamilifu ktk ardhi hii isipokua ni wewe m.mungu. ulieumba mbingu naardhi na vilivyomo.

  • @RoseRose-fo8lw
    @RoseRose-fo8lw 4 года назад

    Allah akuzidishie @diamond Naseer Abdul

  • @pharesmugasa3052
    @pharesmugasa3052 4 года назад +8

    Diamond ni mtu wa kuigwa na jamii hakika mungu akulinde maana unayoyatenda ni makubwa Sana jamii inakutizama kwa namna nyingine

  • @ibrahimrukundo3064
    @ibrahimrukundo3064 4 года назад +1

    ماشاء الله يااخي الكريم تصيب عبدول حفظكم الله بمايحبه الله ويرضاه.

  • @sadajuma7592
    @sadajuma7592 4 года назад +3

    Maashallah mungu akupe umri naseeb ❤️❤️❤️

  • @nuruheartamani4560
    @nuruheartamani4560 4 года назад

    Ubarikie mond mungu akuweke miaka 100000000000 na uendelee na moyo uo uo

  • @hildamgomapayo6626
    @hildamgomapayo6626 4 года назад +4

    Diamond nakukubali sanaaaa. Una moyo wa utu sanaaa. Mapungufu mengine ni ya kibinadamu.lkn to me your a kind guy.

  • @alantonio855
    @alantonio855 4 года назад +1

    Mwenyezi Mungu akujalie kheyr Dai

  • @shanimhanga7896
    @shanimhanga7896 4 года назад +4

    Mungu akubariki Diamond,Ni watu wa chache wenye Moyo kama wako,Libarikiwe tumbo lililokuzaa Na familia yako yote,

  • @ashokajulius3426
    @ashokajulius3426 4 года назад +1

    Mungu akubariki kaka yangu daimod nakukubari sana

  • @mwendapoleharuna6804
    @mwendapoleharuna6804 4 года назад +5

    Jaman uyu kaka.yupo tofaut kbs mung amjalie alipo toa

  • @ioneofficial6978
    @ioneofficial6978 4 года назад +2

    Jah bless bro uishi miaka ming pia mngu akuzidishie baraka nyingi telee ww pamoja na family yako na chama lako lote la WCB.

  • @fatnahsaleh860
    @fatnahsaleh860 4 года назад +33

    MashaAllah 🙏🙏🙏🙏

    • @omanimujsa9756
      @omanimujsa9756 4 года назад

      Daaaaah huyu jamaaa masha allah

    • @niasalehe4403
      @niasalehe4403 4 года назад

      mungu akubariki nasibu aendelee kukupa moyohuohuo wakusaidia wasio jiweza

    • @alithingno835
      @alithingno835 4 года назад

      Kweli simba

    • @husnasalum9845
      @husnasalum9845 4 года назад

      We nimkali mungundie atayekulipa babaangu yaani natamani sikumoja nikuone USO kwa macho ilinikupe shukrani zako kwa kutoazaka kusaidia jamii ilolinanifanyanikupende mwanangu mpakanasikia kuumwa mungu azidikukupa na akuweke umri mlefu mwanangu nakupendasana natamani sikunijenikuone usokwamacho inshallah mungu awe nawe

  • @johasalum5414
    @johasalum5414 4 года назад

    Mwenyez mungu akuweke miaka buku diamond tusaidie wanyng👏👏

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 4 года назад +46

    Anatokea mtu flan flan anamlinganisha D na wasanii wengine.. Muwe na heshima bas

    • @rosejoseph2228
      @rosejoseph2228 4 года назад +1

      Kabisa tena wanaonfanisha waache kuanzia mwezi huu

    • @apolinarykaloza6797
      @apolinarykaloza6797 4 года назад

      wewe unaongea nin na wewe

    • @babawatotobabu7229
      @babawatotobabu7229 4 года назад +2

      tena hiye watanzania muombeni mungu ampe umri nassibu Abdul kwa kazi anayo fanya wacheni majungu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @lucyleonard8815
      @lucyleonard8815 4 года назад

      BABA WATOTO BABU Amina

    • @djgeorgekiller3617
      @djgeorgekiller3617 4 года назад

      @@rosejoseph2228 👍

  • @kolokokoloko9276
    @kolokokoloko9276 4 года назад

    Hongera sana Diamond..mungu akubariki na akuongezee zaidi kipato

  • @ameizesound1225
    @ameizesound1225 4 года назад +6

    I think he really have good heart god make him more than that level so as to help others

  • @abdulkhalim5564
    @abdulkhalim5564 4 года назад

    Mungu akubariki akuzidishie na akufungulie kheri na baraka bro chibu

  • @richardkaijage1557
    @richardkaijage1557 4 года назад +3

    Be blessed wasafi team

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 4 года назад

    Hongera sana Wasafi Team ikiongozwa na Busara za Mama Dangote ni mambo mengi sana tangu miaka hiyo hadi hii leo mnawakumbuka sana wananchi km vile ninyi i serikali ila Mungu atawalipa na tunamwombea Daimond Waziri mtarajiwa wa Sanaa na Michezo

  • @sophiashayo1996
    @sophiashayo1996 4 года назад +12

    Diamond atabarikwa mpaka atashangaa du mwenyezi mungu amzidishie

  • @nasrimuktary7431
    @nasrimuktary7431 4 года назад

    Kwakweli team nzima ya WCB Mungu aendelee kuipambania na waendelee kuwa na moyo huo. Nasibu big up my friend

  • @ellieellie1469
    @ellieellie1469 4 года назад +14

    proud of you Simba. love you❤

  • @enockombewa8197
    @enockombewa8197 4 года назад +1

    Mungu akutangulie katka kila unayofanya akuzidishie maisha marefu ni watu wachache wenye moyo kama wako amina ......... Like plz