Nilishasema hv libarikiwe tumbo la mwanamke yule aliyekuzaa Naseeb! Mm nakupenda sana Mingu akuzidishie na akubarik zaid ya alivyokubariki unajitoa mno kaka yangu!! Mungu akukumbuke anapogawa rizki aanze na wewe🙏🙏
I have been following you keenly bro, you are touching souls. Mimi si Mtanzania bali ni mkenya lakini kwa kazi hii unawafanyia watu, mwenyezi Mungu aweze kukubariki more and more. May you not lack anything Dr. Diamond, nakuita daktari kwa maana umetutibu kimawazo, kimuziki, na ata wale ambao wamekosa unawatibu kwa kuwapa matumaini katika maisha. May the Almighty God bless you so much. I'm really touched with what you are doing. You are true.
Nasibu Abdul,nakwita tena Nasibu Abdul we mtu mungu akulinde sana.tena sana nandomana kila nikiwa na swali lazma nimuombe mungu akulinde jmn.we kaka una moyo wa kiimani kbs.
Binadamu kila mmoja ana-mapungufu yake na mema yake Ila Diamond nimeona mengi mema kwako ni makubwa mno achilia mbali mapungufu Mungu akujaalie na akuzidishie kwa pale unapotoa kutoa ni Moyo na wala si utajiri
Diamond you make me cry bro wallahi udeserve to be Diamond and udeserve what ugained from u determination to help those u deserve it . inshallah Allah akuzidishie lolote lile umuombalo akurudhie.Big up diamond umake me feel u more and more Bravo bro.
Jamaa ana roho nzuri sana mwenyezi mungu akupe maisha marefu na akupe maisha mazuri uendelee kupata na uwasaidie ambao hawana uwezo mwenyezi mungu akupe tu maana siyo kwa moyo huu
Sasa huyu ndio anafaa awe mbunge, mpe ata uwaziri usio na wizara maalum, kwa sababu ana akili sana, na ana jituma sana... big up to diamond Plutnumz...
Barakallah fiiyk Allah akupe zaidi na zaidi kutoa ni moyo na si utajiri mm nafurah nikimuona naseeb akijitolea hivi na Nina penda maendeleo yake jazakallah khayra💕💕🌹🌹
Naseeb Abdul, wallah mungu akusamehe kwa kila makosa,, akuzidishie kwa Yale unayofanya, dah mashaallah,, mazuri yako yawe ufutio, dah unafanya vyema Sana kaka, hongela Sana
brother ubarikiwe na Mungu akuinue...dini au imani pekee haitupeleki mbinguni...bali upendo na matendo mazuri tunoyoonyesha kwa wengine...keep it up brother
Yani mtu, anasaidi kwa moyo mmoja , kwa watu wasiyo jiweza! But kunawatu humu, roho zinawauma ka nn? Kama uwezi comment , angalia tu picha bas, kuliko kuongea upumbavu wa kumkejeri mtu!!
Yallab,yakhareem,yajabar,yarazaak,ee molla wangu naomba umjalie huyu mjawako mwisho mwema.hakuna mkamilifu ktk ardhi hii isipokua ni wewe m.mungu. ulieumba mbingu naardhi na vilivyomo.
We nimkali mungundie atayekulipa babaangu yaani natamani sikumoja nikuone USO kwa macho ilinikupe shukrani zako kwa kutoazaka kusaidia jamii ilolinanifanyanikupende mwanangu mpakanasikia kuumwa mungu azidikukupa na akuweke umri mlefu mwanangu nakupendasana natamani sikunijenikuone usokwamacho inshallah mungu awe nawe
Hongera sana Wasafi Team ikiongozwa na Busara za Mama Dangote ni mambo mengi sana tangu miaka hiyo hadi hii leo mnawakumbuka sana wananchi km vile ninyi i serikali ila Mungu atawalipa na tunamwombea Daimond Waziri mtarajiwa wa Sanaa na Michezo
Nilishasema hv libarikiwe tumbo la mwanamke yule aliyekuzaa Naseeb! Mm nakupenda sana Mingu akuzidishie na akubarik zaid ya alivyokubariki unajitoa mno kaka yangu!! Mungu akukumbuke anapogawa rizki aanze na wewe🙏🙏
Mungu amubariki Simba, Inampenda sana,kutoka kenya
Aamiin thumma aamiin
Amin
Mungu ambariki sana kijana wawatu amjalie Uhai mrefu katika Maisha yke
Amen yarab mungu akulipe zaidi yahicho ulichompa
I have been following you keenly bro, you are touching souls. Mimi si Mtanzania bali ni mkenya lakini kwa kazi hii unawafanyia watu, mwenyezi Mungu aweze kukubariki more and more. May you not lack anything Dr. Diamond, nakuita daktari kwa maana umetutibu kimawazo, kimuziki, na ata wale ambao wamekosa unawatibu kwa kuwapa matumaini katika maisha. May the Almighty God bless you so much. I'm really touched with what you are doing. You are true.
So sad 😢
But love Mr.chibbu's caring heart especially this holy month of Ramadan may Allah reward you and add you abundantly chibu
Mungu akupe umli mkubwa kabisa diamond nimekueshimu Sana kuanzia leo maana wapo wenye vingi lakini hawatoi mungu akubariki Sana ndugu yangu
Wengi wanatoa lakini hawana media.. Ila huyu Jamaa Anazidi kuwa-empire na wengine nikiwemo Mimi na Weweee..
Diamond una moyo wa kipekee sna mungu akuongezee
Kweli kbsa
Mungu akusaidie diamond nasi tuige mfano wako
Miaka mia kwako diamond
Mungu akubariki Naseeb akuzidishie pale ulipotoa endelea kuwa na moyo huo huo wakusaidie wanyonge nawenye shida mbalimbal
Hakika mungu akupe zaidi Nasibu. maisha marefu mwenyezi mungu akujalie
Allah bless u broh
G Bless u
Huyo jamaa ananikosha sana Mungu akulinde diamond na hongera kwa malezi ya mama yako
Maasha Allah Naseeb mwenyezi Mungu akuzidishiye ❤️❤️❤️
Ameen
Mungu akupe maisha marefu diamond
Oh My God!😱
So heart touching😭😭😭😍🙏
Asee
If until now u keep hating diamond, you are as good as dead!👌😔😔😔
THE LAST AIRBENDER IPO kongowe yambagala huku tembelea nako nasibu kiukweli mungu akuongoze uzidi kudumu na kujuwa shida zawengine
No one like diamond, Allah is gonna bless you
Kiukwel kaka nasibu Allah akufunguliye milango ya riski apo penye zimetoka izo pajazike zingine
الحمد لله الحمد لله ,,
Daah nasibu mungu akuzidishie una moyo Sana yani 😢😢😢😢😢😢
Dah😔😔😔😭😭😭😭😍
Sio siri ila inaonekana dhahiri
Wow Nasibu ubarikiwe sn 💗
Mungu awe naw naseb mungu akubarik
Hili ni jambo lenye kumfurahisha alietuumba hadi ss wanaadam inshaalah Mungu atakuongezea kwa Siri na dhahiri
my first time to see u diamond it was in Zambia really apreciate the way unajitoa sana Kwa jamii
Allah akuongezee na akuzidishie zaid
Sawa nasibu
May god continue to bless diamond 🙏🏽🙏🏽he’s very caring man bless him. 👌🏽👍🏼🇬🇧
Mashallah Naseeb Allah akufanyie wepes kwa kila jambo Inshallah
Mungu azidi kukupa moyo wahuru na sibu
Ameeen
abdul wahab ameni
Mond allah akuweke unajitoa sana kwenye jmii
Mungu akuongoze naseebu
Wow naseeb that's great work my the lord bless u so much may u never lack in J's name,mob loves from 🇰🇪🇰🇪
The way a celebrity walks through those streets shows he's got a heart
you are right
A golden heart👌🔥🙌😍
True dat
Yaani mpaka nimelia kweli mama Dangote na Diamond apewe sifa na Mungu azidi kumpa zaidi yaani Mungu yu mwema
Yaani bado nampa sifa Diamond na timu yake
Bless up diamond.. Allah anaona jitihada zako ❤️❤️❤️
Mashallah mashallah m/mungu akuzidishia sana nasibu unatoa kwa moyo sio kwa kunisifia na ndio Allah anapenda na ndio inavyotakiwa.alhmdullah
Hapo nimekupenda Mondi Allah akuongeze InshaAllah 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Mm si supporter WA diamond but for this salute icon
Nasibu Abdul,nakwita tena Nasibu Abdul we mtu mungu akulinde sana.tena sana nandomana kila nikiwa na swali lazma nimuombe mungu akulinde jmn.we kaka una moyo wa kiimani kbs.
Hongera sana
Maisha marefu nakutakia 🙏
Naseeb Abdul may Allah open heaven's get for u brother
Amen
Ameen yarabill alamin insha'Allah
Binadamu kila mmoja ana-mapungufu yake na mema yake
Ila Diamond nimeona mengi mema kwako ni makubwa mno achilia mbali mapungufu
Mungu akujaalie na akuzidishie kwa pale unapotoa kutoa ni Moyo na wala si utajiri
Diamond you make me cry bro wallahi udeserve to be Diamond and udeserve what ugained from u determination to help those u deserve it . inshallah Allah akuzidishie lolote lile umuombalo akurudhie.Big up diamond umake me feel u more and more Bravo bro.
Amewa gusa wengi sio weye pekeako mwana
👍
Yeah me too😭😭😭😭😍🙏
Jazakumullah Habiby Naseeb
Sijawah kukupinga kak nasib Abdul juma una moyo wa pekee unajitoa sana be blessed
Allah akujaze kila la kheri
I love your golden heart Diamond you are a man of the people.
Diamond may Allah grant ur wishes I love you too much
Mashaallah Naseeb Allah akuzidishie moyo uwo uwo wa kutoa kuliko kutwaa M.mungu akuponye kwa haraka maradhi yko lnshaallah
Mungu akuzidishie Diamond wetu❤❤😙😙kama unatazama ukiwa unasoma comments NAKUPENDA👌❤❤❤😙😙😙
Angelina Pius Nakupenda pia
Ameen
Ahsante
❤️
❤❤❤❤
Jamani diomod jamani! Una fanya kazi nzuri sana, MUNGU AKUZIDISHIE MARA BILLIONS 1000000000000 , MUNGU AKULINDE NA PIA AFYA JEMA, GOD BLESS
Jamaa ana roho nzuri sana mwenyezi mungu akupe maisha marefu na akupe maisha mazuri uendelee kupata na uwasaidie ambao hawana uwezo mwenyezi mungu akupe tu maana siyo kwa moyo huu
Ameen
Diamond you are beyond kind......May God continue blessing you 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Sasa huyu ndio anafaa awe mbunge, mpe ata uwaziri usio na wizara maalum, kwa sababu ana akili sana, na ana jituma sana... big up to diamond Plutnumz...
Anastahili
Allah akuzidishie imani diamond kwa kuwajali wanyonge hakuna anaekupata imani ulonayo mashallah well done broo
Diamond looks good dressing like a muslim and he looks so neat and descent...Maashallah
Mungu akuzidishie akupe baraka tele katka maisha yako
Ukiskia msani basi huyo ndo msani sasa platnam kio cha jamiii🙌🙌🙌🤣(+_+)(+_+)🔥🔥🔥🔥🔥🔥 vzr sana Zaid ya sana historia nzuri sana hizo ,nasbu
Hongera mond mungu akubariki
Kaka Nassibu,nipo Zanzibar lakini ukweli nakupenda kwa sababu ya imani yako uliyonayo. Mungu akuzidishie kila la kheri
Barakallah fiiyk Allah akupe zaidi na zaidi kutoa ni moyo na si utajiri mm nafurah nikimuona naseeb akijitolea hivi na Nina penda maendeleo yake jazakallah khayra💕💕🌹🌹
Nasibu kama nasibu anaroho ya pekeeeeeee Walah 🤲🤲🤲🤲😢😢😢😢 mungu aku zidishieeeeee🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🤦♀️
✌Boss mambo unayofanya makubwa ,hata matajiri wengine wakubwa wanashindwa ,salute boss ✌✌
Diamond with this you have really touched my heart....😭😭😭😭😭😭mungu akubariki sanaaaaa
Naseeb Abdul, wallah mungu akusamehe kwa kila makosa,, akuzidishie kwa Yale unayofanya, dah mashaallah,, mazuri yako yawe ufutio, dah unafanya vyema Sana kaka, hongela Sana
Neno "Tofauti tofauti" ndo nlikua nalisubiri kuskia kutoka kwa Diamond.
We kweli unamfwatiliaaa
@@stephenyonah8868 hata wewe.. Ndo maana umenambia hivi.
@@allisonmadii7620 lol😂
Unamaana gan ss ndg?
Yani wewe umeniwahiii
😂😂
May God bless mr Naseeb unafanya msaada mwema.
Bom gesto, continue assim simba, deus vai te abençoar💪💪
Asante sana chibu kwa kitendo kama na hico.nipo DRC .mungu akuzidishiye
Nakubalii sana Chamaa languu WCB
Mwanzoo Mwishooo 😘😘😘😘
Kim's B papa
Pamojaa sana Chama
Platinum forever, ndio maana mungu hajawahi kukusahau, mungu akubariki saana bro
young, rich, genius, kind hearted and hard warking
Mungu akupe maisha mema kwko uwe na moyo huo huo
Mungu akubariki Sana Monde👏 heri kutowa kuliko ku pokeya. Amen
Allah akubariki, kukulinda na kukutia moyo azidi kukuongezea katika hali na mali Boss.
Mwenyez mungu akubarik sanaa diamond akupe wepes wakusaidia na wengineee
Hongera sana kaka Allah azikukusimamia kwa kila jambo kaka insha Allah.
Mungu awe nawe simba uko vzr
Ubarikiwe sana brother, kwa kuwakumbuka wahitaji. Mungu akuzidishie zaid na zaid
mwenyewe mungu akupe afya njema na umre mrefu nassibu Abdul 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Safi bro mungu akuzidishie
Great work for community diamond platnumz. ❤ God bless you from +254
Mungu akubariki diamond utabarikiwa na mwenyezi mungu
Respect kwa kundi lote la Wasafi Tanzania 👏👏👏👏🙌
brother ubarikiwe na Mungu akuinue...dini au imani pekee haitupeleki mbinguni...bali upendo na matendo mazuri tunoyoonyesha kwa wengine...keep it up brother
Yani mtu, anasaidi kwa moyo mmoja , kwa watu wasiyo jiweza! But kunawatu humu, roho zinawauma ka nn? Kama uwezi comment , angalia tu picha bas, kuliko kuongea upumbavu wa kumkejeri mtu!!
Binaadam hatueleweki sasa roho ziwaume kwa mpango gani na sio pesa Yao salalaa
Mm sio shabiki wa mondi ila kwahili big up sana
Inocente ndugu yangu banaadamu sio watu, hao ni wanga wana husda na mungu anawaona, ila wanakera sana
Saana bwn kunawatu hawajawai kumpendW diamond tena bila sababu tu
Sihawana akili
Ebwanaee kasimu mungu akujali akuongoze uachane na mziki urudi kwake Allah hongera Sana ndugu yangu
Simba you're a one in a million...God bless you
Much respect Diamond....
Mob love from Kenya
Masikin jaman mtoto mdogo Mungu mfanyie wepes jaman 😢😢
Mashaallah mashaallah allaha Akupe umri Mrefu InshaAllah nasbu akika unafungu lako la neema na kher Kwa Allah mashaallah mashaallah
Is no one can protect you Under the Sun more than GOD just pray and believe God will be with you. thanks diamond for everything god bless you.
Raivan
Dahh@😭😭 hadi natokwa na chozi diamond mungu akuzidishie una moyo wa kipekee sana
Haters will hate but this dude is blessed trust me 🇬🇧🇬🇧🙏🙏
Maasha Allah, na kizuri zaid umependeza diamond barakoa imekutoa ile mbaya Alhamdulillah
From Canada ,kaka god bless you more and more
Mwenyenzi mungu akujalie sana d. akukinge na mahasuda ya watu wabaya.
Yallab,yakhareem,yajabar,yarazaak,ee molla wangu naomba umjalie huyu mjawako mwisho mwema.hakuna mkamilifu ktk ardhi hii isipokua ni wewe m.mungu. ulieumba mbingu naardhi na vilivyomo.
Aamin Insh'Allah
Safi Sana nosh mgasa
amina
Mungu akubariki wewe unajua hukuzaliwa na Mali nilazima usadie wengine mungu akujalie sana akuzidishie
Ameen inshallah
Allah akuzidishie @diamond Naseer Abdul
Diamond ni mtu wa kuigwa na jamii hakika mungu akulinde maana unayoyatenda ni makubwa Sana jamii inakutizama kwa namna nyingine
ماشاء الله يااخي الكريم تصيب عبدول حفظكم الله بمايحبه الله ويرضاه.
Maashallah mungu akupe umri naseeb ❤️❤️❤️
Ubarikie mond mungu akuweke miaka 100000000000 na uendelee na moyo uo uo
Diamond nakukubali sanaaaa. Una moyo wa utu sanaaa. Mapungufu mengine ni ya kibinadamu.lkn to me your a kind guy.
Mwenyezi Mungu akujalie kheyr Dai
Mungu akubariki Diamond,Ni watu wa chache wenye Moyo kama wako,Libarikiwe tumbo lililokuzaa Na familia yako yote,
Mungu akubariki kaka yangu daimod nakukubari sana
Jaman uyu kaka.yupo tofaut kbs mung amjalie alipo toa
Jah bless bro uishi miaka ming pia mngu akuzidishie baraka nyingi telee ww pamoja na family yako na chama lako lote la WCB.
MashaAllah 🙏🙏🙏🙏
Daaaaah huyu jamaaa masha allah
mungu akubariki nasibu aendelee kukupa moyohuohuo wakusaidia wasio jiweza
Kweli simba
We nimkali mungundie atayekulipa babaangu yaani natamani sikumoja nikuone USO kwa macho ilinikupe shukrani zako kwa kutoazaka kusaidia jamii ilolinanifanyanikupende mwanangu mpakanasikia kuumwa mungu azidikukupa na akuweke umri mlefu mwanangu nakupendasana natamani sikunijenikuone usokwamacho inshallah mungu awe nawe
Mwenyez mungu akuweke miaka buku diamond tusaidie wanyng👏👏
Anatokea mtu flan flan anamlinganisha D na wasanii wengine.. Muwe na heshima bas
Kabisa tena wanaonfanisha waache kuanzia mwezi huu
wewe unaongea nin na wewe
tena hiye watanzania muombeni mungu ampe umri nassibu Abdul kwa kazi anayo fanya wacheni majungu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
BABA WATOTO BABU Amina
@@rosejoseph2228 👍
Hongera sana Diamond..mungu akubariki na akuongezee zaidi kipato
I think he really have good heart god make him more than that level so as to help others
Simba nakubali kaka.
Mungu akubariki akuzidishie na akufungulie kheri na baraka bro chibu
Be blessed wasafi team
Hongera sana Wasafi Team ikiongozwa na Busara za Mama Dangote ni mambo mengi sana tangu miaka hiyo hadi hii leo mnawakumbuka sana wananchi km vile ninyi i serikali ila Mungu atawalipa na tunamwombea Daimond Waziri mtarajiwa wa Sanaa na Michezo
Diamond atabarikwa mpaka atashangaa du mwenyezi mungu amzidishie
Kwakweli team nzima ya WCB Mungu aendelee kuipambania na waendelee kuwa na moyo huo. Nasibu big up my friend
proud of you Simba. love you❤
Mungu akutangulie katka kila unayofanya akuzidishie maisha marefu ni watu wachache wenye moyo kama wako amina ......... Like plz