Hii move sijaipenda kabisa kilicho wasaidia nakuwaponya mmeifanya fupi hakuna ambaye angeendelea kuangalia upuhuzi maana nikama mnaararisha ukatiri kwa watoto ambao wazazi waunfanya kwa watoto wao hii natari i sana ushauri wangu move Kama hizi z ikaguliwe kabla haz,ijaletwa kwa jamii 55:39
Jamani mnisameh mnaionaje hii filam .mm kwaupande wangu zisiectiwe filam kamahizi zinafundisha nini jamii sasa ikitokea mtoto wakike mdogo akifanyiwa na baba yake hivi binti akikataa baba siatamuonesha filamu hii na akamwambia ona hii nikawaida maramoja mtoto atakubali filam kama hii zisiletwe ovyooo
Hii move sijaipenda kabisa kilicho wasaidia nakuwaponya mmeifanya fupi hakuna ambaye angeendelea kuangalia upuhuzi maana nikama mnaararisha ukatiri kwa watoto ambao wazazi waunfanya kwa watoto wao hii natari i sana ushauri wangu move Kama hizi z ikaguliwe kabla haz,ijaletwa kwa jamii 55:39
🎉🎉🎉🎉 hii moves nimeikubali San ongeleni sana ,washiliki wote mliyoshiliki
Namuelewa sana huyo kijana anaetaka kuoa [mfinanga] anaigiza uhalisia kwelikwel akishangaa anashangaa kweli
😢xxju
Aiseee kitendo ichi so kuzur kwakwel
Nimambo kabisa wa mm tuchunge watoto kama mm anakufa jamaha mukamate mutoto😊
Jamani namupenda Sonia Ana elewekaka
huyo bab sio hafai kwa kwel
Hana akili baba sonia
Mfinanga uk vzr sana broo 🎉🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
nmeipenda mwisho wake upo vizuri
Movie poa lakini Doko tabia Sonia mungu akubariki ukuitika ujinga wa baba
Kilichotokea Kikongwe,hiyo movie ni ya ajabu
Baba uwata kitumbua cha mwanawe wewe ndio wataka kumwaribia baba mpotovu
Safi sana Sonia umefanya vzl hata ingekuw n mm ncingekubali
Nimeielewa sana
Jamani mnisameh mnaionaje hii filam .mm kwaupande wangu zisiectiwe filam kamahizi zinafundisha nini jamii sasa ikitokea mtoto wakike mdogo akifanyiwa na baba yake hivi binti akikataa baba siatamuonesha filamu hii na akamwambia ona hii nikawaida maramoja mtoto atakubali filam kama hii zisiletwe ovyooo
Vizuri sana
Me nahisi nikama funzo kwa wale wazazi wenye tabia kama hize
Nibola isitishwe Haina maadili mazuli kwa jamii
Hat me sielew inafumdish man naon upumbavu2
@@JanetKiminduyou 223😂😂2😂332122212324222212212223❤2❤❤❤❤😂😂😂❤
Hahaha sema mmeupiga mwingi an miaka 18 ilopota wimbo wa mwaka wa kuforce ulikuwa ushatoka 😂😂😂😂
Sauti tatizo kweli
namkubal xan doko anajua xan
sonia jichoo iloo
Huyo baba ana luswa kabisa
Mfinanga kazi nzuri, nasubiri kikongwe ep 9😅😅
Baba gani hyu jaman
😂😂😂😂😂 sonia
baba iyo sio mila bali ni tamaa za kishenziii
Si mila mbali ni ujinga
Hapo kwenye mikaranga na michuzi ya pweza .🤣🤣🤣🤣🤣
Sonia potea kabisa
Kisasi kibaya jamani....
Maana la uchungu alisaauliki.....
Sasa akipotea filamu inakwisha stering akipotea😅
Tukiwa mbagala tunawapenda piano ila analogue fanya baba ake sio vizuli atamtakaje mwanae
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Likes wapi
Baba wa ovyo sn
Nywele bandia zimemuondoa kwenye uhalisia wa kijijini
Hapo msimamizi kafeli
Season two please i like it
Huyu baba mujinga tu
Baba wa hovyo kabisa doko
Doko tunataka track sound kaka ututole tusikilize kitaani kaka
Hana akili za leo 2
Wewe baba malaya😮😮😢
Mbona hamtoi sauti,na mulikuwa mwaongea vizuri.
Kazi nzuri
Safi sana
Nakweli doko kichwa kama ugari😂😂😂😂😂😂😂
Baba kicha mimi nishatoloka zamani
Hii imeenda kabisaa 🤣😹
mimi kwangu nimeipenda saana
Ila dokoo😂😂😂
Pole kusikia hivyo
ni baba wa hovyo uyo
😂😂😂😂😂kipara mbwa sana unyu doko 😢😢😢😢😢
Makabila mengi mengine yanaujinga huu
Hahahaha 😂huyu sio baba
Tuletee kikongwe part 4
Huyu ndo Doko😂😂😂
Baba w hovyo
Tabia ya wababa wakiachwa Na watoto wao
Boss
Boss
Boss
Boss
Boss
Mahali gozi yupo nipo
Kwani wewe kungwe😂😂😂
Ni funzo 🎉🎉🎉🎉
Hyu hafai kuitwa baba
Kweli huo niujingaaaaaaaaaa!¡!!!!!
Aiii haya sijawai, ona
Ni mjinga ata
kuma ww
Baba hovyo sana
hazina maana zina haribu jamii
Tukiwa Burundi tunawapenda
Dahaa Atari ihi kalaniwa uyu mzee
Kumekucha na Iyo imeenda
Mada:Babangu kichaa
Kweny huu mwaka wa kufosi mmezingua miak 18 iliyopta nymbo ya mwak huu
❤❤❤
we baba kuma mak upwil tu
Iyisawa
Hiyo movie zako nzuri sana ni fundisho kubwa Kwa wa baba Wana leta la sio viziri kuanza nayee mototo wako ni laana nzito KBS
Ki baba kibaya
Kipaigwe vp mtoto wamukeo no wako
Hiki kichwa nimekielewa sana bozz
Sonia punguza kutoa macho
Mwayiteguye neza 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Huyo baba nishetani mweusi😢
kwakweli naona wazazi wasiku hizi nihatari
❤❤❤❤❤❤
Ume pewa mtohani mkubwa 😊
Daa😢
Hii nkali
Hii nayo nikali
Babake Sonia Hana akili
baba yako iko fu
Wapi sauti jamani
😱😱🥺🥺🤣🤣🤣🤣
Hio ni mila yao
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sauti imepotea
Muko njema San
😂😂😂
Hyo s baba
Huyu mzazi n wa aina gn?
Saut mbona mmekata
Wewe
Sonia unajuaaa ❤❤❤
Sonia respect
kwakweli naona wazazi wasiku hizi nahatari
😢😢😢 baba haramu