Katisha vibaya na kanivutia sana kwa hii style yake, pia ukisoma neno kibeniten bila ya kuitizama movie, unaweza ni vichekesho kama tulivyomzoea kikofia, kumbe ni bonge la movie, kiukweli hapa ndio kuna style tuzo sasa
Nice, movie. naitazama nikiwa uganda na marafiki zangu japo hawaelewi kiswahili. mngeweka tafsiri ya kizungu ingekuwa ya kimataifa. ikifaa hiyo season 2 itafsiriwe.
Hakika imeanza vizuri ikaisha vizuri Kila mmoja ametendea haki nafasi yake Ila wa nimewakuli sana> °°Ruta man°° Amina mijudo°° kicheche°° mama yake Ruta man nimewakbali sana
Hongereni sana kwa kazi nzuri! Mwanzoni haikunivutia lakini mwishoni nimetokwa na machozi. Kiukweli nimejifunza mambo mengi sana katika kazi yenu, mbarikiwa na mzidi kutoa kazi nzuri kwa manufaa ya Watanzania na wote wanaozitazama kazi zenu.
Wangapi wanapenda kibenten iwena season2 ? like this coment, kama unapenda tuachie season 2 ya kibenten na hesabu coment zikifika 10k tu naachia season 2 kibenten
Kicheche kumbe una jua kama clam vevo, au unweza kuwa ni zaidi maana niliidharau hii movie kumbe ni bonge la movie na ina mafunzo zaidi ya moja, n story nzuri sana ongera sana man
This very is masterpiece ,very educative and interesting I enjoyed every bit especially VP man and kicheche so funny guy😂😂😂😂 more love from Kenya to you all actors and actresses
Movie nzuri aisee, nimecheka na ina mafunzo mazuri ya maisha👍🏾👍🏾👏🏾👏🏾👏🏾
kicheche na ruta man big love from Kenya
Kicheche noma sana nakubali👍🇰🇪
Turabakunda cyaneeeeeee hano iwacu mu Rwanda ❤️❤️🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Kibenten ni nima sana Kaka kicheche songa mbele ❤
Kibenteni ni 💥💥💥💥.. leteni nyingine kama io io.. kicheche ❤❤
Luta man na mkewe ameua sio kwa uvumilivu huo upendo wa dhati upo moyoni 🎉🎉🎉🙏🙏🙏✋✋
Kicheche😂😂😂😂❤❤more love
Nipe mauwa 🎉 yang kicheche makoti
One of the best bongo movie I've ever watched bu so sad....
Kibenten noma sana really liked the movie🔥🔥🔥🔥🔥 live nikiwa ushelisheli
Wow nimeipenda saaaana mkovizuri
Napenda kazi zenu kicheche❤
Wakwanza mimi Leo nipeni likes tukisonga....kibenten ni 🔥🔥🔥 twangoja ingine kicheche
Uhogkxlglhurfjgkvmvimcml CV lgclhl😅😊🎉❤
Kikofiaaaaa😂😂😂😂😂😂❤🇰🇪
Kutoka baba mwenye nyumba mpk mlinzi waooh inamafunzo kedekede❤❤❤❤
😂😂Kicheche the 30 second man 😂😂. Hii nayo Kicheche ni🔥🔥🔥🔥
Much love Kwa staring Makoti....nilisuniri sana hii full movie 🎉🎉🎉
Dah huyu Rutha man katisha kinoma 🔥 Kicheche best comedian ever in Tz❤️🔥
Luthaman!
Mashallah mashallah hidaya boli kanenepa mashallah umeolewa saii
Katisha vibaya na kanivutia sana kwa hii style yake, pia ukisoma neno kibeniten bila ya kuitizama movie, unaweza ni vichekesho kama tulivyomzoea kikofia, kumbe ni bonge la movie, kiukweli hapa ndio kuna style tuzo sasa
@@albertkatuga2434 dah hii ni bonge movie afu uzuri wote wametumia vzr uhusika wao
Umbwa wewe big love from Kenya 🇰🇪😅
LUTA ndie Alie Uwa Sana Kwenye Movie 👑👌🏾👌🏾👌🏾
Wakwaza Léo nipeni like hâta 50 jamani nawapenda boss ❤❤
Kicheche man... movie Iko best man.... hongera man... uko juu man... Season ya pili man tunangoja man.... Tuko Mombasani man... Kenya man....
Kicheche baada ya hii, kwasabu imesha isha , bora uka endeley Na "Lamba Lamba*
From Congo we follow you
Tuna taka tu mwisho wa Lamba lamba Bro
Tunaomba movie yengene nayamuzuri kama iyi Kigali tunakupana baba❤
Peter kutoka Kenya noma sana napenda mumefanya kazi mzuri sana
Napenda kazi zenu❤
Me ni kamanda man ila kwako nimekua mdebwedo man😂😂😂 kaliiiiiiii
Duuuu kicheche ni noma from ujiji
Ruta man big up maskini mwenzangu
mungu wabariki nyinyi wote muliyo cheza filamu hii, hii filamu is very educative. Big up to kicheche and the team.
Hii movie ni kubwa sana imeniliza, imenifurahisha, na imenielimisha, nimeipenda sana hii story, hasahasa kwa mlinzi na mtoto wa boss was nice
Wakwanza mie mwaga ❤❤❤
Love from Tanzania 🇹🇿
Wueh kali hii.....mafunzo ni mengi jamani....hongera Kicheche😂😂😂❤❤❤...🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nice, movie. naitazama nikiwa uganda na marafiki zangu japo hawaelewi kiswahili. mngeweka tafsiri ya kizungu ingekuwa ya kimataifa. ikifaa hiyo season 2 itafsiriwe.
This movie is not only entertaining but also educative with so creative actors, au vipi MAN🤣🤣, much love from Kenya
Kabisa man 😂
Hakika imeanza vizuri ikaisha vizuri
Kila mmoja ametendea haki nafasi yake
Ila wa nimewakuli sana> °°Ruta man°° Amina mijudo°° kicheche°° mama yake Ruta man nimewakbali sana
Mimi wakwanza jaman kutoka Burundi 🇧🇮
Leo wa kumi naombeni hata like kumi basi
yoooh babas
Wapi likes from kenya 🙏🙏💥💥💥
First viewer nipeni like zangu
Umepigaje apo???
Umepigaje apo
Imeisha vizur man Ila cjapenda man melina kufa man hakua na noma KBS man
representing 254, the movie is fire🔥🔥🔥🔥
Iko powa sana, Mimi nimekuwa nikiangaria vipande vipande tyu. Nainjoitu.😂
Bado Niko ebisoni ya 17.
Luta naomba unitumie namba lakini pia hongera kwa kazi nzuri
Jaman mimi kiana kutoka burundi making nipo zambia kwasas kiukweli hoi movie nimeipenda xana ruta man ongeza nidiiii kaka usiwaze maisha mzunguko
Wish we get one more like this it was the best best ❤❤❤❤ kicheche salute man❤
Ingekuwa vizuri sana kama wangeiendeleza kwa season 2, Tafadhari iendelezeni kwan itakuwa vizuri sana,, Asanteni sana!!!
Mamaa Man nakupenda man 😅😅
Kacheza vzr nmependa sana mama ruta
nakukubali sana kibenten 😅😅😅❤❤ pumbavu zako tuko pamoja ❤❤❤❤
Movie nturi ya kuburudisha na kuelimisha! Hongera
I love this movie!
The gateman’s amazing the turns and twists are despicable
I think I have crush on him
Kwa kua wa Kwanza nipeni likes zangu basi hata tano tuh 😂😂❤❤❤😢😢😢😢😢😢😅😅
😂😂😂❤❤❤ umefanya vizuri kabisa baba
Mwanzo mzuri mwisho mzuri
Good ma Ongereni sana
Vipi man niko
Leo wa Kwanza mm naomba like angalau 10 ❤❤
Nzuri hii movie
2:33:23
🎉😅😢🎉😂 2:33:53
From Germany hii movie amefanya vzur sana kicheche na ruta man
This movie is so educative. That's why every actor played his role perfectly.
Love u more
Courge❤🔥🔥🇸🇦🇧🇮 😂😂 munaturudisha nyuma😂
Hongereni sana kwa kazi nzuri! Mwanzoni haikunivutia lakini mwishoni nimetokwa na machozi. Kiukweli nimejifunza mambo mengi sana katika kazi yenu, mbarikiwa na mzidi kutoa kazi nzuri kwa manufaa ya Watanzania na wote wanaozitazama kazi zenu.
😂😂😂😂😂mpo vizuri mbwa nyie mnacheza na fursa sisi tunasubir mpya au malizia Simon na LAMBALAMBA
Gate man na huyo Dem wake wanajua kazi😊 movie iko liit....so educative and entertaining🎉
Nimekula ada yako😂😂😂
Yaani kicheche kaenda kijijini hatari abadan😂😂😂👏👏😍
Kqwina
Nawapenda sana ❤❤❤ 😂😂😂
Man anajua jmnii
Latifa nakutafuta mama love you
smart movie funzo nzuri kbs asante sana
Number one nipewe mauwa
The best movie ever in history 🎉🎉🎉
Kicheche I love all your acts brakamwshe pumbavuzako
Hii movie ni tamu sana,kaka Kicheche fanya hima utuangushie bonge lingine la filamu
Naipenda sana kasi yako
I'm still laughing 😅😅😅😅😅 kibenten left me in stitches 😂😂😂❤❤❤
from kenya big up Tz one of the best African movie (VP MAN)
Frexh man karibu Tz
Nmempenda Sana Mlinzi Lutta
😂😂😂😂kicheche uyu kanivunja mbavu
The best educative movie ever from kicheche👍👍👍
Napeenda😂😂😊
Nifanya mini man
Mmeliunga mazimaaaa❤❤❤❤
Wa kwanza🎉
Kicheche rutaman 😂😂😂😂😂😂😂❤
Best movie ever we need season 2 ❤❤
Umbwa mimi 😂😂😂
❤❤❤❤ i like it
From Kenya 😢😢😢
Min nimeipenda sana
Tff alizingua kidogo
Best movie ever made kicheche twangoja season 2❤❤
Wangapi wanapenda kibenten iwena season2 ? like this coment, kama unapenda tuachie season 2 ya kibenten na hesabu coment zikifika 10k tu naachia season 2 kibenten
Kicheche kumbe una jua kama clam vevo, au unweza kuwa ni zaidi maana niliidharau hii movie kumbe ni bonge la movie na ina mafunzo zaidi ya moja, n story nzuri sana ongera sana man
Maisha mapito😂😂😂
😅😅😅
Season 2 ikuje bana
Nimekubali kicheche😂😂😂
Tifa ni mrembo sana.na mi ningepiga vitu
Huyo dada aliyeact kwenye wimbo wa Tuliza Boli hatari sana. Twamshabikia sana huku Kenya
kicheche nime kukubali sana 🎉🎉❤❤ najisikia vibaya nilitamani isiishe hii kibenteni ila ndoivyo yani 🎉🎉🎉😂❤❤❤
Good job ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂
This very is masterpiece ,very educative and interesting I enjoyed every bit especially VP man and kicheche so funny guy😂😂😂😂 more love from Kenya to you all actors and actresses
Tifa unagusa maisha yangu hakuna filam nilio tokea kukupenda tifa Ila hyi move daah umenivuta
duuh yaani nimemaliza kuiangalia hii movie nimempigia mama..mwandishi amejitahidi sanaaa.
Hii naye imekubali I like it keep going guyz❤
"ati kumbafu zangu".......I love this characters
Mama luta she is very beautiful
Kenya weka ✅ tick