Kwa kweli hii ni filamu bora sana. Alafu yule mama naye kanifanya nalia mm😅😅yani anaigiza hadi nashindwa kujizuia jamani. Ebanae yule mwana kifimbo ana kipaji cha hali ya juu akina Mbwela, kipara, wajiandae manake huyu huyu habahatishi😅😅😅
Maua kwa bibi kapela kwa kuvumilia maumifu na matesa ya ndoa. Maua Tena kwa mbwela kueleza kapela makosa yake naye akakubali makosa mwishowe familia ikarudi kwenye furaha 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Daaah with tears , tisha Sana movie nzuri ina content nzuri, Big up Mr creative Kapela Films
Hii filamu inamafunzo sana nimeipenda Yani imelingana kabisa na maisha yangu kila kitu nisubiri kweli ❤❤❤ mafunzo mazuri
Movie mzuri sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯
yes
Mimi nimelia and naumwaa nakichwaa poleni sana watoto
Kazi nzuri tim kapela 🎉🎉🎉🎉good jobu mungu awavushe
Kazi nzuli wakwanza kutoka somalia🇦🇼
Inamafunzo mengi hi filamu
Kwa kweli hii ni filamu bora sana.
Alafu yule mama naye kanifanya nalia mm😅😅yani anaigiza hadi nashindwa kujizuia jamani.
Ebanae yule mwana kifimbo ana kipaji cha hali ya juu akina Mbwela, kipara, wajiandae manake huyu huyu habahatishi😅😅😅
Maua kwa bibi kapela kwa kuvumilia maumifu na matesa ya ndoa. Maua Tena kwa mbwela kueleza kapela makosa yake naye akakubali makosa mwishowe familia ikarudi kwenye furaha 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Nan mwngne amelia fimbo aliposema njaa inauma n inabidi akauze matunda inahuzunisha sana I say😢❤❤🎉
Hajira kazi nzuri sanaa
Nkiona part ya mlevi imefka tu movie yyte napeleka mbio Naona wananiaribia muda tu
Kwani nyinyi mnaoact paka mueke walevi ndio mliambiwa movie inapendeza , hao walevi uwa awabambi kwenye movie ,awe tu mtu simple ,kuarbu movie tu
Mbwela unajitunz kaa mwari w kipemb et kichupa kishajaa😂😂😂😂
Wanda na roho mbaya
Ah weeeeee njaa inastirika kapela acha ujinga 😂shulikia vizur familia yako,bora pombe ya mdogo wako anatimiza majukum yake,ila unako elekea nahis utapata mwanamke aje kukomesha ujinga wako.😊
Inahurumisha
Kifimbo ni hazina kwenye tasnia ya uigizaji
Mposso
❤❤❤🎉🎉p
Mmmh