SNAKE BOY | ep 23 | SEASON TWO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 июн 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    people/CLAM-...
    #Clamvevo #Vevowood #Nollywood #Bongomuvi
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 3,4 тыс.

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx 11 дней назад +166

    Wewe unaye soma comment #hii usisahawu kuwa ombea #wagonjwa wote na wazima wote kwa mwenyezi #mungu ili atutimizie malengo yetu #AMINA🙏👏👏👏

  • @Joshuafrank.
    @Joshuafrank. 11 дней назад +206

    Wanao miss kumuona clam vevo akiwa ametoka kwenye cupa gonga like 😂

    • @yahyaCosmas
      @yahyaCosmas 10 дней назад

      Sana babu

    • @LubangoLameck
      @LubangoLameck 9 дней назад +1

      Chupa aipatikan kizembe na Chupa itakayo chukuliwa Ni ya Mzee Alie tiwa season hiii so clam Vevo movie aiish Ivo 😅😅

    • @amonmengele
      @amonmengele 9 дней назад +2

      Cupa😂

    • @tareeshnyoka1698
      @tareeshnyoka1698 7 дней назад

      i

  • @MATOPESAFI46
    @MATOPESAFI46 11 дней назад +31

    Movie nzuri sana Kongole Kwa Director Kakoso🎉👏💯💥✅

  • @IbrahimAthumani-yh8jt
    @IbrahimAthumani-yh8jt 11 дней назад +70

    Nice sana clam movie nzuri ujumbe pia na dakika km zote like zangu jmn sijachelewa from 🇹🇿

  • @user-fr4lj7jw9g
    @user-fr4lj7jw9g 11 дней назад +473

    Woza woza wenye walikua wanaisubiria hii snake boy kama mm wekeni likes hapa❤

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 11 дней назад +318

    Mbona amupongezi mda dakika 50 ❤nyinyi mwaomba like tuu

  • @BarakaShirima-wz3sp
    @BarakaShirima-wz3sp 11 дней назад +29

    Yan mmetisha kila mahali dk kila kitu siwadai vevo mmetisha sana kaka kubali kinoma

    • @Bvmstudio1988
      @Bvmstudio1988 8 дней назад

      ruclips.net/video/okpO48T4VJs/видео.htmlsi=I2PXI675DW02cBvv

  • @SadamuChipotele
    @SadamuChipotele 11 дней назад +12

    Wajomba mnachelewesha Sana miendelezo na sisi mashabki tunakaa na uchu wa mda mrefu muturekebishie kwa hilo🙏🙏

  • @user-rl4cf6tc5n
    @user-rl4cf6tc5n 11 дней назад +162

    mim najiulza hawa wanaoshinda kutwa wanaomba like wamefnya kazi gani mpk wapewe like badala ya kuwapongeza kw kazi nzuri wanayoifnya mpk unaenjoy kiukweli clamu vevo na kundi lako mnastahili tuzo kwa kazi kubwa mnazofnya japo mnachelewesha sana lkn leo mmenifurahisha sana mmetuwekea muendelezo dakika nyngi pongezi kwenu

  • @JohnBwija-xg5pf
    @JohnBwija-xg5pf 10 дней назад +18

    Clam vevo ni kiboko anajuwa sana

  • @vjonlinetv5264
    @vjonlinetv5264 11 дней назад +13

    Jmn tumengoja paka tumekata tamaa, 😢, usiwe mnatuweka hvi tunaumia wenzenu, nipate hata like mbili kwa walioumia kama mm ♥

  • @HopeShirima
    @HopeShirima 11 дней назад +177

    Leo zinga kajua kunichekesha waliochekeshwa na zinga wagonge like apa

    • @JenifaAdrian-ij8rf
      @JenifaAdrian-ij8rf 11 дней назад +1

      Wewe kuweza😂😂

    • @user-tg2mn3xu1y
      @user-tg2mn3xu1y 11 дней назад +1

      Uyu jamaa afaa apewe tuzo🎉

    • @AnthoniaIsdory
      @AnthoniaIsdory 11 дней назад

      Chakachaka dendo 😂😂😂

    • @HopeShirima
      @HopeShirima 11 дней назад

      @@user-tg2mn3xu1y kabisaaa anajua kwakweli kuigiza

    • @HopeShirima
      @HopeShirima 11 дней назад

      @@JenifaAdrian-ij8rf 🤣🤣🤣jmn we huogopi

  • @Zezeta-yr3hy
    @Zezeta-yr3hy 11 дней назад +309

    Kama unawatch ukisoma comments nipee likes hapa 😂😂😂

  • @godblexxgyunda6060
    @godblexxgyunda6060 9 дней назад +9

    Zumba mshenzi sana amekula mke wa kakoso Bado anamtaka na kakoso 😀😀

  • @frankditrick3109
    @frankditrick3109 11 дней назад +18

    Ndy naona saiz naombe like hata 5 tuu wakuu

  • @AyubuSamwel
    @AyubuSamwel 11 дней назад +99

    Jamani ndugu zangu Mimi tangu snake boy sijawahi pata like ata 1 wa mwisho Kila siku naombeni ata 9🙏🙏🙏

  • @SaynB_official
    @SaynB_official 11 дней назад +532

    Wakwanza leo team snake boy tunakiwasha like zangu 🎉😂😂

  • @FRANCISOTOMANBONIFACE
    @FRANCISOTOMANBONIFACE 11 дней назад +44

    Duuu sio poa zumba kavumilia kashindwa kaamua kuomba mzigo kwa kakoso😂😂😂😂😂

  • @SaidiIddy
    @SaidiIddy 10 дней назад +6

    Aiseee hii snake boY ya moto vibaya mno

  • @barakajoackim-xu3hi
    @barakajoackim-xu3hi 11 дней назад +121

    Director wetu jmn amesema hapendi et mm wa kwanza naomba like toeni maoni kwa waigizaji hizi like mnauza au mnazifanyeje kiukweli hata mm nawachukia hawa watu

  • @annaki318
    @annaki318 11 дней назад +28

    Tuliokua tumeimis snake boy jamani tujuaneee kwa vifijo na ndelemooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @user-xf4qs5ti5m
    @user-xf4qs5ti5m 11 дней назад +12

    Mnachelewesha kinoma shusha vichupa kwa haraka master clam vevo

  • @Deadskytz
    @Deadskytz 10 дней назад +4

    Mwisho wa yote Zumba man of the match 😂😂

  • @nishamwenendi-vh4wk
    @nishamwenendi-vh4wk 11 дней назад +86

    Wanao amini kua zinga taira naombeni like zangu 😂😂😂😂😂😂

  • @Phanny-Nyonge
    @Phanny-Nyonge 11 дней назад +79

    Wanaume hua hawaombi like jamani😊😊 Haiya nipeni zangu my good people

  • @brnmazua4399
    @brnmazua4399 11 дней назад +6

    😂😂😂😂 Kakoso Kaombwa Mzigo . Kweli maisha yanaenda kasi 😅

  • @user-xl2fc4fu6e
    @user-xl2fc4fu6e 11 дней назад +6

    Big up clam Vevo muda wa kutosha sana jamaa nibongela kiongozi .kakoso we ni mwamba big up mkuu kazi nzuri sana.

  • @nurdinmvellah4032
    @nurdinmvellah4032 11 дней назад +12

    Nimependa kwa kfidia siku nyingi mnazo chlewa kutoa, iwe hivo kila cku. Nimewapenda bureeee

  • @nzizajovinpaul4955
    @nzizajovinpaul4955 11 дней назад +13

    Kakoso mwana Mke ana igiza vizuri ❤❤❤

  • @frankJonas-du5he
    @frankJonas-du5he 11 дней назад +4

    Leo ndo nimeikubali movie mojakwamoja clam we atali Leo shabik Ako namba one❤🎉🎉

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 11 дней назад +6

    Kwa sasa Tanzania kwenye tasnia ya sanaa ya maigizo hakuna kama Clam

  • @kingcicero1708
    @kingcicero1708 11 дней назад +35

    Watching from Mozambique 🇲🇿🇲🇿
    🇲🇿❤️🇹🇿
    Kama umefurahi baada ya kuona notification gonga like hapa

  • @msouthdablack
    @msouthdablack 11 дней назад +17

    Hiv ndio move inatakiwa ,, sio dk 15 imeishaaa ,,, km umefrahia dk 50 gonga like hapa km mim ,, twende sawa ,, all the way from Czech Republic

  • @AsiaOmar-mr7bk
    @AsiaOmar-mr7bk 11 дней назад +13

    Kz mzr mashallah mungu awajaalie maisha marefu muzidi kutufurahisha mwatutoa mawazo

  • @AdamClassic-uj9ed
    @AdamClassic-uj9ed 10 дней назад +5

    Duu😂😂😂Mwamba Anataka Kumpelekea Moto Hadi Kakoso😂😂😂😂

  • @WitneyEdward
    @WitneyEdward 9 дней назад +2

    Jaman mkiendelea hivi mtafika mbali aisee move ipo serious kiukwel natamani iwe inatoka kila siku ongereni sana aiseeere❤❤

  • @MaarufuAmani-bq6qc
    @MaarufuAmani-bq6qc 11 дней назад +29

    Sasa hivi mpo vizul sana mnachelewa lakin vipande vilefu

  • @ladyjoomahegga9407
    @ladyjoomahegga9407 11 дней назад +49

    Nimependa sana clam sio mbinafsi yani km watu wengine apo wangejichezesha wao mwanzo mpaka mwisho ila kijana wa watu kajipa nafasi chache na kutoa mwanga kwa wengine saf sana

  • @MichelfmiMichael
    @MichelfmiMichael 10 дней назад +2

    Kazi nzuri Vevo iyi tumekuwa n'a muda Mazuri yakuifyata... Fanya kazi tena kama iyiii

  • @saidishwali1652
    @saidishwali1652 10 дней назад +5

    Daaaaah so good...but iwe chap maan had tunahic hakuna tena.. so beautiful
    Big up mwamb clam@😎

  • @amissemkanapate8249
    @amissemkanapate8249 11 дней назад +31

    Hongeren sana Leo dakika za kutosha mungu awatilieni wepes kwa kila jambo lá kher mlifanyalo

  • @UmmyHussein
    @UmmyHussein 11 дней назад +41

    Asante mungu kwa kumpa kipaji kijan uyu

  • @meresianaunami8337
    @meresianaunami8337 11 дней назад +13

    😂😂swali la zumba huku mwishon limenifanya ni comment hongera snaa vevo👌🤸‍♂️

    • @luluelia-yo2rg
      @luluelia-yo2rg 11 дней назад +2

      Yani zumba akili haipo Sawa kabisa 😂😂😂

  • @KapoloAsed
    @KapoloAsed 3 дня назад +1

    Kwn ajenda kuu kuomba like au kumpongeza clam na kund lake

  • @EliasSirocha
    @EliasSirocha 11 дней назад +14

    Ngoma tamu sana sema tu wanaichelewesha haswa mapaka mudu inakataaa hakikaaa

  • @MwanamisiBakari-xh3jo
    @MwanamisiBakari-xh3jo 11 дней назад +17

    Mnakawia sana kupost mpaka tunasahau ilipoishia ila sio mbaya hongera kwa kazi nzuri

  • @MusaJohn-cz4id
    @MusaJohn-cz4id 10 дней назад +3

    Mnaichelewesha sana, ⁰movie kali zingatieni muda wa kuitoa

  • @BobNahimana-bn7qp
    @BobNahimana-bn7qp 11 дней назад +16

    Ulikuwa umeshatusau kijana wetu il honger sana kaka🎉upewe maua yako kaka

  • @frowinmgimba8513
    @frowinmgimba8513 11 дней назад +10

    Zinga nyii mapimbi ingien ndani choma ndani we huogopi mamaaaah😂😂

  • @lukasmaro4280
    @lukasmaro4280 11 дней назад +2

    Kilaa mara nilikuwa naingia kunitafuta boy snek nimeipata dk50 kipindi cha kwanza mpira unachezea na nyongeza yake🎉🎉🎉🎉

  • @NancyNomantiah
    @NancyNomantiah 11 дней назад +2

    Zinga wameshindwa kutoroko iyo ndo maana ya ,u will see the promised land but u will not enter😂

  • @nasraemmanuel
    @nasraemmanuel 11 дней назад +14

    Nimeangalia hadi mwisho kazi nzuri sana vevo na team yote kila siku inazidi kuwa nzuri sana tunashukru kwa kutuongezea mda ila msitucheleweshee ep 24 plz

  • @user-bl5pl1xg1m
    @user-bl5pl1xg1m 11 дней назад +18

    Ninakubali clam vevo sana kutokea Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @sabrinahWilliam
    @sabrinahWilliam 6 дней назад +1

    🤣🤣🤣🙌Farasi Farasi nimecheka kwa sauti kim.kuona naona kabisa Utamu wa snake boy unazidi🥰💯

  • @simooyusuf5729
    @simooyusuf5729 11 дней назад +3

    Safi sana bt inakaa mnapitia changamoto sana ju ilikaa sana hii 23

  • @Chudo_boy_Zombie
    @Chudo_boy_Zombie 11 дней назад +73

    Wakwanz mimi leo nawaomba like za clam vevo zote ziwekwe hapa. kwa niaba ya vevo 💪💪💪

  • @kombosefu8726
    @kombosefu8726 11 дней назад +123

    Yaani mnashindwa kusema nini kiongezeke ama nini watoe m adai like like like kila mtu like kheee SIJAPENDA

    • @LightMinja
      @LightMinja 11 дней назад +5

      Shangaaa n ww km watoto kuomba likes

    • @EmmyMo
      @EmmyMo 11 дней назад +4

      Yanakela sana😂😂😂

    • @bobelichi7721
      @bobelichi7721 11 дней назад +4

      Tell Dem.... everyone like like like 😂😂😂😂😂 deeeeem

    • @mapenzi4813
      @mapenzi4813 11 дней назад +3

      😂😂😂😂twaijua hiyo

    • @zenapius3796
      @zenapius3796 11 дней назад +1

      Yan ata sijui inawasaidia nn izo like😅

  • @ShukurubalumeShug-jx7fp
    @ShukurubalumeShug-jx7fp 2 дня назад +1

    Clam sijuwi niseme kama mungu akupe Nini tena,

  • @Flixmediatz
    @Flixmediatz 11 дней назад +13

    Hii ndio kazi ya muandishi na sanaa "AMEUMBA DUNIA AMBAYO HAKIKA HAIHITAJI UOVU HASA WA KUTOA MIMBA"

  • @VeronicaMacario-bq4eb
    @VeronicaMacario-bq4eb 11 дней назад +10

    Wakwanza leo, naomba like zangu, toka mozambique 🇲🇿❤️

  • @johannesnyabara2527
    @johannesnyabara2527 11 дней назад +8

    Bonge moja la series, Mungu awabariki kwa kazi nzuri jmn kwa kweli tunaburudika haswa

  • @fumoke3705
    @fumoke3705 11 дней назад +2

    ila battle mbna sio kali ilifaa baba zinga na faume waonyeshane kwanza sio kirahisi vile mzee anaweza

  • @annaki318
    @annaki318 11 дней назад +8

    Ni mwendo wa laana tuuuu
    kumbe zinga nae anaogopa radi duuuuuh hii imeenda😂😂😂😂

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h 11 дней назад +13

    Kwasasa bongo clam the namba 1 hata ubishe nando ukweri nazani sio bongo tu hadi huko nje ni namba 1

    • @tarekgharibu5525
      @tarekgharibu5525 11 дней назад

      Bro unaongea ni ukwel yan huyu jamaa hatat san

  • @Shakilasaid-zr7on
    @Shakilasaid-zr7on 10 дней назад +3

    npo apa nawaza hizo laana nd ingekuw kwel kun ambae angebak😀😀

  • @CareenNgowi-uc3vc
    @CareenNgowi-uc3vc 7 дней назад +1

    Najua kuigiza kakoso nipo jumba lakichawi nipo sehem nying nying tuu srma mme tisha mnajua pongez sana

  • @dominamabebe6691
    @dominamabebe6691 11 дней назад +9

    Hongereni sana kwa kazi nzuri, mna haki ya kuchelewesha mzigo make maandalizi ni makubwa sana aisee kama uhalisia kabisa

  • @user-uq7xz3py5h
    @user-uq7xz3py5h 11 дней назад +8

    Team vevo gonga likeNime kuwa wa kwanza Leo naomba like zangu 🇺🇸❤️❤️❤️

    • @LatifaOkt
      @LatifaOkt 11 дней назад +1

      🇺🇲🇺🇲❤️❤️❤️

  • @sarahnjeri-tz8eu
    @sarahnjeri-tz8eu 8 дней назад +1

    Mwenye amefurahia kuskia Kim anaweza kuona alafu kwa kuongezewa dakika gonga like 👍👍👍

  • @cwrynyaba9125
    @cwrynyaba9125 10 дней назад +1

    Kazi nzur sana clam na team yako…ila unachelewaaa sana kutoa mpaka nasahau nilipoishia usitufanyie hivyo tafadhali 🙏🙏🙏🙏 🇹🇿 🇹🇿🇹🇿❤️TUNASHUKURU KWA KUTUONGEZEA DAKIKA 🎉👏👏

  • @paternesonofgod
    @paternesonofgod 11 дней назад +12

    Who's watching it on 45min fan of Clam VEVO❤🇧🇮❤🇧🇮

  • @Akili820
    @Akili820 11 дней назад +70

    Kutoka congo timu clam nipeni like zangu 🇨🇩🇨🇩

  • @user-wg7hb8yr5n
    @user-wg7hb8yr5n 4 дня назад +1

    Wanao penda woha wa mwakatone wagonge like apa😂😂😂😂

  • @IsihakaKakombe
    @IsihakaKakombe 11 дней назад +1

    Nyie wasenge msituzingue kila wakwanza yy sasa anayetaka like akachukue kwa mama ake kumamae zenu wote mnaotaka like

  • @anner8120
    @anner8120 11 дней назад +6

    Nilikua nakesha uku kuangalia kama imetoka ila Leo tumefurahi sanaa❤❤❤❤❤

  • @user-uw6gg4de9x
    @user-uw6gg4de9x 11 дней назад +7

    Wale ambao tuliweka mb Kila siku tukizubiria hii kitu makofi kwetu😂😂😂😂😂

  • @NakhamSalum
    @NakhamSalum 11 дней назад +3

    Kaz nzuri 💯

  • @ReineMtoka-oi5ub
    @ReineMtoka-oi5ub 9 дней назад +2

    Wakwaza Leo kulaiki zawadi zangu ❤

  • @Yangadamu
    @Yangadamu 11 дней назад +11

    Mnachelewa sana ila sio mbaya mnatuwekea dk nyingi ,mbarikiwe sana kwa kazi nzuri

  • @CHIZIMWEMBAMBA
    @CHIZIMWEMBAMBA 11 дней назад +7

    Yes umefanya vzr kuachia ngoma thank you

  • @DezdeliusSongoro
    @DezdeliusSongoro 7 дней назад +1

    Dah kakoso imekuadje Tena Zumba anataka uwe mama wa watoto wake dah inauma sana

  • @user-pb2jx5zm3k.MBUZIII
    @user-pb2jx5zm3k.MBUZIII 7 дней назад

    SNAKEBOY ya BONGO forexample in NEGERIA very nice Mwandishi CLAMU VEVO MAUA YAKO

  • @AnnoyedCheese-qg6is
    @AnnoyedCheese-qg6is 11 дней назад +25

    Ooh tim clam gonga like hapa kazi nzuri sana

  • @user-ec4xg1mh2w
    @user-ec4xg1mh2w 11 дней назад +6

    Nakubali kazi ya clam vevo nime ipenda sana

  • @SaidiAbdallah-nd2wm
    @SaidiAbdallah-nd2wm 11 дней назад +7

    Kim will finally bring the bottle can't wait to watch episode 24

  • @user-es8tc9be7w
    @user-es8tc9be7w 10 дней назад +2

    Pole kakoso unakutana namengi sana hta swahiba wako wa dam dah... Afa anakwambia kbsa kakoso nakupenda jamaniiii😂

    • @eliyadavid3629
      @eliyadavid3629 10 дней назад

      Dah! Nilikuwa naitafuta hii comment 😢

  • @user-xx7rr5dl9o
    @user-xx7rr5dl9o 11 дней назад +7

    Dah clam kakoso tunaganda sana hongereni Sana mda mzur sana

  • @furahakenga6619
    @furahakenga6619 11 дней назад +67

    Kama ulikua waisubiria kwa hamu kama mm gonga like 👍

  • @Lucky_japhet
    @Lucky_japhet 9 дней назад +1

    Nimekua wa mia tatu kwaio naomb like at mia tatu bs

  • @gonnetheboss1708
    @gonnetheboss1708 10 дней назад +1

    Clam na director naona mnavyo ipaisha tz sasa kaz ijayo tunaomba story isiokua na uchawi uku mtupumzishe kidogo alafu ata mm natamani kua muigizaji kwenye kampuni yenu❤

  • @liverobby8988
    @liverobby8988 11 дней назад +12

    Hamna anayemjua wa kwanza zaidi ya clam watu 10 wote ndani ya sekunde mliplay 😅

  • @merumkali
    @merumkali 11 дней назад +44

    Clam we like Yr job but hiii imalize ilii tuendelee na BIG BOSS Seson2
    I'm merumkali from Burundi 🇧🇮
    Wanaotaka tuendelee na Big boss
    Nipeni like guys

  • @user-cv6uy5vr8d
    @user-cv6uy5vr8d 7 дней назад

    Muombe sana mungu akupe uzima na nguvu kila siku uweze kuisaidia family

  • @jonathanbrayson6946
    @jonathanbrayson6946 11 дней назад +7

    Safi Sana Leo imetoka ndefu dk 50 chezea clam vevo wewe

  • @StyveIrunva
    @StyveIrunva 11 дней назад +23

    Wa kwanza kutoka congo naomba like zangu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @MohamedBatisha-jk1lt
    @MohamedBatisha-jk1lt 10 дней назад +1

    Hongereni Sana muwe mnatupa dakika nyingi Kama hivi mkiwa mnafanya hivi tunapata hamu ya kuisubir Zaid na kuhamasika

  • @AbdulHella-v8b
    @AbdulHella-v8b День назад

    Movie n nzuri sana hongera sana clam vevo ila ningependa kushauri kitu ili kiwe bora zaid naomba muangalie upande wa mavazi ya viongoz na baina ya himaya na himaya na wananchi himaya na himaya pamoja na mazingira kiujumla hilo tu

  • @user-wp9ph9zs3w
    @user-wp9ph9zs3w 11 дней назад +5

    Jaman wa sumbawanga nipen like ❤ zangu👍

  • @fatumangumbao-or1ly
    @fatumangumbao-or1ly 11 дней назад +4

    Chaupele sasa ameianza kazi kem naye mambo mbaya khee kazi nzuri sana❤❤❤❤

  • @ddontz
    @ddontz 11 дней назад +1

    Io ya mwisho imekaa 😅😅ooohoooo ooooo