Michael ataka kumuoa Vivian - Jua Kali | S7 | Ep 31-35 | Maisha Magic Bongo
HTML-код
- Опубликовано: 18 май 2024
- Femi amkasirikia Tony juu ya kuvuruga maisha yake, Michael asema kwamba atamuoa Vivian.
---
Endelea kutizama DStv chaneli 160
Official Website: bit.ly/3lXtAFc
Angalia tamthilia bora Tanzania kwa kutumia Showmax:
bit.ly/2KnGqyv
Pakua App ya DStv: bit.ly/36ZGjkz
Instagram: / maishamagicbongo
Twitter: / maishamagictz
Facebook: / maishamagicbongo - Развлечения
Nakupenda sana Viviani jaman
Nakupenda sana viviani
Vivian akiolewa na Naira akiolewa na Mr Kaka mzee Mazengo kaisha.
Hadi muda huu tushapata silaha 2 za maangamiz 1.Vivian 2.Naira
Pascal tokodi all the way to Kenya ..any Kenyans in de house
Vivi ana regea mpaka anakosa lakusema duh
❤❤❤
Different
Pro. For life
Vivian kha seng et linalia kabisa atokuja kufanikiwa maisha yake yote bwana wa ddako .lbda dda binamu
Miko anataka kutumia Vivian ili wamfilisishe profesa
Jua kali mnauzi mnatuleteaje kipande
Nimefurahi maik kutaka kuoa kabisa vivi wangu jamani ,ka vivi kenyewe hakanaga mambo mengi
Yan mume wa dadake we ndo unaona anafanya sawa😅
Alafu hamuoi ni anataka kumtumia ktk mpango wake na Mr kaka..kama Mr kaka alivompanga naira
Kwahiyo na wewe unaweza kubali kuolewa na mume wa dadaako?
Hatimae gundu la Vivian limeisha
Vivian kapendaaa mweeeee mpaka analegea akiwa na Michael 🤣🤣🤣pendaaaaa sanaaa Vivian lkn Michael Sina Imani naee
Michael ni mihemko ya kuachwa tu iyo. Imani ni ndogo juu yake.
Saizi jua kali hata hainogi mnabana sana
Sasa watazaaa nini na Michael hana uwezo tena
Maico mbwa ni wewe
Naombeni like
Femi nae anampendaa ton
Ndio ndio maana Anampanikiaiko hivyoo
Ila naic mwisho wa siku Michael atakuja kumpenda Vivian kikweli
Haito tokeA Maiko marry anampenda mnoo nikwa sababu tyuu mama maiko mdomo na mdogo wa Mary kuwakaribu nao wamemuaribia ndoa Yake
😂😂😂😂😂😂😂
❤❤❤