Tony afika kuvuruga- Jua Kali | S7 | Ep 26-30 | Maisha Magic Bongo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Frank aja kumtembelea Maria bila kujua kama Tony yupo chumbani nae na familia ya Diba ya kataa amuoe Anna.
    ---
    Endelea kutizama DStv chaneli 160
    Official Website: bit.ly/3lXtAFc
    Angalia tamthilia bora Tanzania kwa kutumia Showmax:
    bit.ly/2KnGqyv
    Pakua App ya DStv: bit.ly/36ZGjkz
    Instagram: / maishamagicbongo
    Twitter: / maishamagictz
    Facebook: / maishamagicbongo

Комментарии • 74

  • @EvodearVenance-xe3xs
    @EvodearVenance-xe3xs 4 месяца назад +19

    Uyu Tony yupo romantic sana😁

  • @getrudaleonard8323
    @getrudaleonard8323 4 месяца назад +9

    Watu tunaamka na usiku huu kufwatilia jua kali afu
    Tunakutana TU na story story
    Ayaa ngoja tuwaachie nyie wnyw,,🙌🙌

  • @AgnessRaphael-p7u
    @AgnessRaphael-p7u 4 месяца назад +4

    Na nyie mnaotuwekeaga hizi tamthilia youtube kama hamtaki muwe mnaacha ndo nn sasa kipande robo sekunde😂😂😂

  • @BorahMageni
    @BorahMageni 4 месяца назад +2

    Mtandao shida...huku nako jua Kali shida tunalushiwa vipande vipande kma hamtaki kulusha full..bas angalien wenyewe jmnii😢eeh.watu tunaunga bando Gb kwajili ya jua, huba, jiya tunawekewa vipande ty sjh ndy Nini heli msilushe kbc

  • @KhadijaShamusi
    @KhadijaShamusi 4 месяца назад

    Wanakera sana wapuuz hawa

  • @EverywilliamMsafiri
    @EverywilliamMsafiri 4 месяца назад +2

    Lamata shikamoo mpaka nersoni wa selina yupo kibokooooo

  • @BennyJumah-hd8yf
    @BennyJumah-hd8yf 4 месяца назад +2

    Mbona vipande vyenye dk moja tena hii imekaaje wakulungwa bando nimeunga la saa 1 tu hapa😢😢

  • @shakilaDaudy
    @shakilaDaudy 4 месяца назад +19

    Wasompends tonny gonga like apa 😢😢😢

  • @aznatfrida5577
    @aznatfrida5577 4 месяца назад +7

    Frank anaskia harufu ya Maria akii

    • @RENAHKUSH
      @RENAHKUSH 4 месяца назад

      Ata mm nmenusia🤣🤣🤣

    • @fedyaalzadjali8597
      @fedyaalzadjali8597 4 месяца назад

      😂😂😂​@@RENAHKUSH

    • @GloriaGitonga-m9c
      @GloriaGitonga-m9c 2 месяца назад

      Maria n mjinga siatulie na frank jameni,wanaume wengi ni wakupeleka wapi??

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 4 месяца назад +1

    Kazi nzuli

  • @theodorachaki5174
    @theodorachaki5174 4 месяца назад

    Kwa kweli wametukomoa sana

  • @zainabzain3434
    @zainabzain3434 4 месяца назад +1

    Hee Maria mh umefumwa leo

  • @barakaelias8591
    @barakaelias8591 4 месяца назад +2

    Mtandao wenyewe shida asee

    • @BethiGody
      @BethiGody 4 месяца назад

      Nikajua ni mm pekee jmn

  • @pyelesyamwakatika540
    @pyelesyamwakatika540 4 месяца назад +1

    Hahaha had said siioni Maria limekutana jambo duh duh

  • @MariamKigwiso
    @MariamKigwiso 4 месяца назад

    Hatal mzee😛😛

  • @Zaynachintowa
    @Zaynachintowa 4 месяца назад

    Ila maria kina mabwana mweeeeeeee🤣🤣🤣

  • @ombenimwaitumule6944
    @ombenimwaitumule6944 4 месяца назад +6

    Watu wa RUclips tunakoma

  • @mwasitiramadhani8684
    @mwasitiramadhani8684 4 месяца назад

    Jua kali wametubania haipo 😢😢😢😢

  • @AffectionateBinaryCode-wt3li
    @AffectionateBinaryCode-wt3li 4 месяца назад

    Hoooo maria

  • @EmmanuelSelestine-f7g
    @EmmanuelSelestine-f7g 4 месяца назад

    Mm nilijua ni mm ndio si hiyoni mwenyewe

  • @GharamaKapinga-qs7vv
    @GharamaKapinga-qs7vv 4 месяца назад

    Nice

  • @NancyShoo
    @NancyShoo 4 месяца назад

    Jamn tumen bas vipande vinavoelewek ss watu wa you tube plz 🙏

  • @FatumaJuma-c3h
    @FatumaJuma-c3h 4 месяца назад

    Pamoto kweli hapa

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 4 месяца назад +1

    Tony, umekuja kudanga tz

  • @WitneyNyalusanda
    @WitneyNyalusanda 4 месяца назад +1

    Kwakweli tunakoma jamani khaa

  • @HamadKhamisAli-on2zv
    @HamadKhamisAli-on2zv 4 месяца назад

    Harufu ya maria frank ataenda chumban

  • @Hadijaissa-j9c
    @Hadijaissa-j9c 4 месяца назад

    DStv malizen tamthilia tumechoka huba mpali juakal Kila Chenye mwanzo kina mwisho malizen tutawahama soon

  • @kennedybrown348
    @kennedybrown348 4 месяца назад

    Roho mbaya tyu now wamewazuia

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 4 месяца назад +3

    Mbon ya chelew sasa

  • @ZaldaM.ramadhani
    @ZaldaM.ramadhani 4 месяца назад

    😂😂 hii ya moto jamni mbona sjaiona full 😮

  • @HamadKhamisAli-on2zv
    @HamadKhamisAli-on2zv 4 месяца назад

    Maria kayatimba😂😂

  • @JanethJoelly-sp6ny
    @JanethJoelly-sp6ny 4 месяца назад

    Maskin frank😢😢

  • @mwanamisiomari8189
    @mwanamisiomari8189 4 месяца назад +1

    Tuko wengi sijui tuliwakosea wapi

  • @hussainalajmi5511
    @hussainalajmi5511 4 месяца назад

    Sasa mbona hatuoni yote na link tukifunguwa haifunguki kwaiyo munatukomowa au VIP sisi ndio tunawaweka mjini kuweka riyl 5 kilasiku laiti mungejuwa nishingapi basi musinge bana hayabwana mumepata nyinyii tutangaliya vifio za chande

  • @Hayman_Graphics
    @Hayman_Graphics 4 месяца назад

    Maria kumekucha

  • @NeemaStephen-oe4ww
    @NeemaStephen-oe4ww 4 месяца назад +10

    😀😀😀saii tunakomeshwa watu wa You tube...si Jua kali si Huba,si Jiya yani yumebaniwa aisee😢

  • @CelineSalum
    @CelineSalum 4 месяца назад +2

    Wanatukosea jamn tunanunua bando kwaajili ya jua kali🥺😭

    • @elizabethgeorge2197
      @elizabethgeorge2197 4 месяца назад

      Sikia nenda playstore pakua app inaitwa swahili max ni bure unapata tamthiliya zote juakali,huba,jiya,zote unazozijua ww na unazopenda bure kbsaa ni bundle lako

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 4 месяца назад

    Siku za mwizi ni arubahini

  • @teddyurio2582
    @teddyurio2582 4 месяца назад

    Tonny angefaa nafasi ya bill

  • @Nooorooa
    @Nooorooa 4 месяца назад

    Mnatuzingua wengn tunafatilia kupitia humuuuuuu

    • @eliwanguminja593
      @eliwanguminja593 4 месяца назад

      Now hawatuwekei wanatupa link wanatuambia tu join kwa groups ukijoin wanakuambia ulipie😅😅😂

  • @StellaSamwel-p4m
    @StellaSamwel-p4m 3 месяца назад

    Tony unakera

  • @SaraaSaraa-i1j
    @SaraaSaraa-i1j 4 месяца назад

    Lakini bandozenu sihazijatumika

  • @saumukiduma
    @saumukiduma 4 месяца назад

    Pamoto

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 4 месяца назад

    Mbona hamna yote

  • @FrancineRiziki-b2f
    @FrancineRiziki-b2f 4 месяца назад +2

    Mbona vipande?

  • @AnithaKatto
    @AnithaKatto 4 месяца назад

    Mbn tumekomeshwa watu wa youtube jaman

  • @DomitilaAlfred-hz7pi
    @DomitilaAlfred-hz7pi 4 месяца назад

    Jamani mwenye full anipe Link please

  • @UpendoMwakalobo
    @UpendoMwakalobo 4 месяца назад

    Maria amemic mikanda ya kaka Frank

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 4 месяца назад

    Sebuleni

  • @rosemarykomba4122
    @rosemarykomba4122 4 месяца назад +1

    Maria ukome tu

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 4 месяца назад

    mbona kama kaka fuleki ananusa arufu ya Maria jaman