Tony afika kuvuruga- Jua Kali | S7 | Ep 26-30 | Maisha Magic Bongo
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Frank aja kumtembelea Maria bila kujua kama Tony yupo chumbani nae na familia ya Diba ya kataa amuoe Anna.
---
Endelea kutizama DStv chaneli 160
Official Website: bit.ly/3lXtAFc
Angalia tamthilia bora Tanzania kwa kutumia Showmax:
bit.ly/2KnGqyv
Pakua App ya DStv: bit.ly/36ZGjkz
Instagram: / maishamagicbongo
Twitter: / maishamagictz
Facebook: / maishamagicbongo
Uyu Tony yupo romantic sana😁
Sure
Watu tunaamka na usiku huu kufwatilia jua kali afu
Tunakutana TU na story story
Ayaa ngoja tuwaachie nyie wnyw,,🙌🙌
Na nyie mnaotuwekeaga hizi tamthilia youtube kama hamtaki muwe mnaacha ndo nn sasa kipande robo sekunde😂😂😂
Mtandao shida...huku nako jua Kali shida tunalushiwa vipande vipande kma hamtaki kulusha full..bas angalien wenyewe jmnii😢eeh.watu tunaunga bando Gb kwajili ya jua, huba, jiya tunawekewa vipande ty sjh ndy Nini heli msilushe kbc
Wanakera sana wapuuz hawa
Lamata shikamoo mpaka nersoni wa selina yupo kibokooooo
Yaani lamata ni kiboko+
Mbona vipande vyenye dk moja tena hii imekaaje wakulungwa bando nimeunga la saa 1 tu hapa😢😢
Wasompends tonny gonga like apa 😢😢😢
Mchafuzi
Frank anaskia harufu ya Maria akii
Ata mm nmenusia🤣🤣🤣
😂😂😂@@RENAHKUSH
Maria n mjinga siatulie na frank jameni,wanaume wengi ni wakupeleka wapi??
Kazi nzuli
Kwa kweli wametukomoa sana
Hee Maria mh umefumwa leo
Mtandao wenyewe shida asee
Nikajua ni mm pekee jmn
Hahaha had said siioni Maria limekutana jambo duh duh
Hatal mzee😛😛
Ila maria kina mabwana mweeeeeeee🤣🤣🤣
Watu wa RUclips tunakoma
we acha tu moto unatuwakia
@@witnessjoseph2566 Mimi ata she na usemi sijui nilipeza😭
Yaaani tunateseka
Jua kali wametubania haipo 😢😢😢😢
Hoooo maria
Mm nilijua ni mm ndio si hiyoni mwenyewe
Nice
Jamn tumen bas vipande vinavoelewek ss watu wa you tube plz 🙏
Pamoto kweli hapa
Tony, umekuja kudanga tz
Kwakweli tunakoma jamani khaa
Harufu ya maria frank ataenda chumban
DStv malizen tamthilia tumechoka huba mpali juakal Kila Chenye mwanzo kina mwisho malizen tutawahama soon
Roho mbaya tyu now wamewazuia
Mbon ya chelew sasa
😂😂 hii ya moto jamni mbona sjaiona full 😮
Maria kayatimba😂😂
Maskin frank😢😢
Tuko wengi sijui tuliwakosea wapi
Sasa mbona hatuoni yote na link tukifunguwa haifunguki kwaiyo munatukomowa au VIP sisi ndio tunawaweka mjini kuweka riyl 5 kilasiku laiti mungejuwa nishingapi basi musinge bana hayabwana mumepata nyinyii tutangaliya vifio za chande
Maria kumekucha
😀😀😀saii tunakomeshwa watu wa You tube...si Jua kali si Huba,si Jiya yani yumebaniwa aisee😢
Njoo inbox nikupe link ya group thamthilia zote utapata
hello na mim naomba link ya group plz
Nimeangaika😭
@@bibialichuma-zy2jhBure au na pesa?
@@bibialichuma-zy2jh naomba na mm link ya group best
Wanatukosea jamn tunanunua bando kwaajili ya jua kali🥺😭
Sikia nenda playstore pakua app inaitwa swahili max ni bure unapata tamthiliya zote juakali,huba,jiya,zote unazozijua ww na unazopenda bure kbsaa ni bundle lako
Siku za mwizi ni arubahini
Tonny angefaa nafasi ya bill
Mnatuzingua wengn tunafatilia kupitia humuuuuuu
Now hawatuwekei wanatupa link wanatuambia tu join kwa groups ukijoin wanakuambia ulipie😅😅😂
Tony unakera
Lakini bandozenu sihazijatumika
Pamoto
Mbona hamna yote
Mbona vipande?
Nashangaaa😢
Leo Jua Kali hakuna kisa mtandao ama
Mbn tumekomeshwa watu wa youtube jaman
Yaanih acha tu
Jamani mwenye full anipe Link please
Maria amemic mikanda ya kaka Frank
Sebuleni
Maria ukome tu
mbona kama kaka fuleki ananusa arufu ya Maria jaman