FROM USA 🇺🇲 ...Timu CLAM VEVO. tujuane kwa like please 🙏 tangu nianze kufatilia MOVIE za CLAM VEVO sijawai kua Wakwanz leo me ndo Wakwanz nawaomba jaman .. like zote za clam ziwekwe hapa pls naomba 🙏 🙏 🙏 🙏
Aise uyu chef wa ubwabwa 🤣 penda sana wali mahrage iliyo pikwa na munazi 🙄heeeh kipara umbeya ume ya pandiya Dju ya Muti 😂wanayo taka Mtanzi arudishiwe nguvu zake atupo wengi wakabisa manana wengi Wana ngombaniya like tu sijuwi Wana Pata Nini waki pewa like 😢 🇨🇩from Dubaï 🇦🇪
Km waaamin soon clam atakua hatari like comment please Team strong hoyeeeeeeeeee kw mara ingine tena nawawakilisha nikiwa Riyadh love you guys 🇰🇪🇸🇦💞💞💞💞💞
Zinga deserves an award,yani venye anaactingi kichizi na nimkali, niukweli watu wengi wakali huwa wanabehave kama machizi hivi hivi tu unadhania mtu ni mwendawazimu anakupiga tukio unashangaa!
Jamani tutoeni comments zakujenga wapi anapatia na wapo anakosea hata clam akiangalia anajifunza pia kupitia sisi na sio kuomba like tu .... movie nzuri inaelimisha ndani yake ❤
Hapo umesema kwel,nmefatilia tangu season 1 , Comments zote ni kuomba likes tu, hawapendi kuchokesha akili,ntazi Yuko wapi saii na zinga nguvu alizitoa wapi tena ,kakoso ama ni yupi aligeuzwa mke mpaka saii,mafunzo yamo tele,
HAUJAWAHI KUTUANGUSHA #CLAMVEVO THE BEST..! USHAURI WANGU NAKUOMBA TAFAZALI MSAIDIE #LATIFA anaeigiza na Kicheche.. LATIFA UKIMPATA ANAJUA SANA LAKINI HUKO ALIKO ANAPOTEZWA.! CLAMVEVO SOMA HII NA UITENDEE KAZI..! MSAIDIE LATIFA AJE TIMUYAKO.!
Kila mtu na kasti yake ratifa anaweza lakini sini za mapenzi na sio uku mwache akae uko uko kwa ki heche Hawa waliokuwa umu no Moto na kwa kicheche Moto ratifa Nani mbele ya Kim vai au mshangazi
Kubababake kwahyo hum ndo sehem ya kuomba like yaan nyote mnao omba like nyote ni mabwabwa kwer yaan badala ya kumpongeza CLAM VEVO Mnaomba ujinga hum like simnge mpa like clam
Nawapongeza sana kwa kazi mnayofanya..... Kevin Atei kutoka Kenya..... Nowadays episodes are abit longer, heko sana kwa Hilo..... Nipee like please🙏🙏💍💍
Ila Kim nae ata kama unampenda ntanzi ndo ukulupuke kufanya mambo jmn we ufungue tu vitu vya uchawi bila uoga jmn 😂 Nyieeeee,🙌 sema pole shoga angu Niko na wewe bega Kwa bega mpaka ntanzi akuowe jmn mana umepambana sana😂😂😂😂🙌🚶
Kwanza kabisa tumshukuru Mungu kwa kutupa uzima pia kutuwezesha leo hii tunaburudishwa na kazi nzuri ya clam na gang yake#kim kiherehere kimekupa upofu😮 na bado kinasababisha madhara,poleeee
PALE AMBAPO MLIKOSEA ni kuonyesha kuwa chifu wa himaya ya nyoka hajamaliza siku 30 ilhali msichana aliye na mimba ya zinga inakuwa kwa haraka, haya hayaonyeshi muingiliano wa mambo
Kuna utofauti pia kati ya siku za kishilikina na siku zetu za kibinaadam at some point... Ila hongera kwa kuwa na jicho la kitaalam maan si rahis kwa mtazamaj wa kawaid kujua hiv vitu
FROM USA 🇺🇲 ...Timu CLAM VEVO. tujuane kwa like please 🙏 tangu nianze kufatilia MOVIE za CLAM VEVO sijawai kua Wakwanz leo me ndo Wakwanz nawaomba jaman ..
like zote za clam ziwekwe hapa pls naomba 🙏 🙏 🙏 🙏
❤❤❤❤❤
Ó⁰ó⁰😅
Daaa mwamba umeniwahi🎉🎉
🇺🇸 🔥
@@Gregoire-2006 😃😃
Love ❤from east africa Burundi 🔥🇧🇮❤🇧🇮🔥🇧🇮munipe like
Mwakatobe in the best mwenye ana mukubali mwakatobe naomba like zangu kutoka kongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ila clam hii movie unaifanya ndefu sana.tuna subiria movie zingine kama big boss kwa hamu.❤❤
Aise uyu chef wa ubwabwa 🤣 penda sana wali mahrage iliyo pikwa na munazi 🙄heeeh kipara umbeya ume ya pandiya Dju ya Muti 😂wanayo taka Mtanzi arudishiwe nguvu zake atupo wengi wakabisa manana wengi Wana ngombaniya like tu sijuwi Wana Pata Nini waki pewa like 😢 🇨🇩from Dubaï 🇦🇪
❤❤❤
Bongo movies huwa co michongo yangu lkn kwa Clam Vevo 🔥🔥🔥
Mwakatobe ni Star. Hakuna anayemfikia saivi Tanzania Nzima
Kwa hiyo nyie mmekuja hapa kuomba like na siyo kumpongeza clam kwa kazi aliyofanya wapumb
Kama unaamini wametukosha roho na kuachia sinema ya snake boi mapema like nyingi pleasee❤❤❤
Follow me please guys 🇺🇬🇺🇬
😮 2:33 2:34
Who is the bold man and I hate him he is bold and ugly
Nmnn
Wa kwanza Leo Kutoka kenya naomba like zenu Tafadhalii
Daa ni bomba kichizi naomba ntanzi usiicheleweshe EP ya 22 ninahamu ya kumjuwa huyo FARASI MWEUPE nawapenda wote in MOVE ❤❤❤❤
Mashaallah allah akupe umri mrefu uzidi kutupa burudani
Kutoka tanga nawapenda wote
Mashallah ❤
😢😅 haulali bila clam
Wa kwanza leo naomba like zangu kutoka tz🇹🇿🇹🇿
Km waaamin soon clam atakua hatari like comment please Team strong hoyeeeeeeeeee kw mara ingine tena nawawakilisha nikiwa Riyadh love you guys 🇰🇪🇸🇦💞💞💞💞💞
Hello KENYA
@@Mattutu ❤️❤️yes hello
@@judithpendo9985 uko Kenya wap
Zinga deserves an award,yani venye anaactingi kichizi na nimkali, niukweli watu wengi wakali huwa wanabehave kama machizi hivi hivi tu unadhania mtu ni mwendawazimu anakupiga tukio unashangaa!
Kwahiyo nyie hamji kumpongeza clam kwa kazi aliyofanya mnakuja kuomba like wapumbavu sana nyie
Umeona eghh
Everyone watching this just say a word of prayer for me
Jamani tutoeni comments zakujenga wapi anapatia na wapo anakosea hata clam akiangalia anajifunza pia kupitia sisi na sio kuomba like tu .... movie nzuri inaelimisha ndani yake ❤
Hapo umesema kwel,nmefatilia tangu season 1 ,
Comments zote ni kuomba likes tu, hawapendi kuchokesha akili,ntazi Yuko wapi saii na zinga nguvu alizitoa wapi tena ,kakoso ama ni yupi aligeuzwa mke mpaka saii,mafunzo yamo tele,
HIZI like wanakula au😅😅😅
Kuna episode zimekupita .@@mwabajaay4377
Umesema kweli kaka tumechoka na mambo ya kuomba omba likes kila wakati kweli wanasinya😂😂
yani hawa wajinga wanaoomba likes qananikera mno
HAUJAWAHI KUTUANGUSHA #CLAMVEVO THE BEST..! USHAURI WANGU NAKUOMBA TAFAZALI MSAIDIE #LATIFA anaeigiza na Kicheche.. LATIFA UKIMPATA ANAJUA SANA LAKINI HUKO ALIKO ANAPOTEZWA.! CLAMVEVO SOMA HII NA UITENDEE KAZI..! MSAIDIE LATIFA AJE TIMUYAKO.!
Kila mtu na kasti yake ratifa anaweza lakini sini za mapenzi na sio uku mwache akae uko uko kwa ki heche Hawa waliokuwa umu no Moto na kwa kicheche Moto ratifa Nani mbele ya Kim vai au mshangazi
Sikiliza ushauri brooh Latifa anakaza
Kubababake kwahyo hum ndo sehem ya kuomba like yaan nyote mnao omba like nyote ni mabwabwa kwer yaan badala ya kumpongeza CLAM VEVO Mnaomba ujinga hum like simnge mpa like clam
Nawapongeza sana kwa kazi mnayofanya..... Kevin Atei kutoka Kenya..... Nowadays episodes are abit longer, heko sana kwa Hilo..... Nipee like please🙏🙏💍💍
Léo nime wahiii gonga lake❤❤❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Yaani kipara alifikisha umbea 😂😂😂 mwenye hajafurahia vile Kim amekuwa kipofu gonga like 👍👍👍 Calmvevo sana hongera na wahusika wote ❤❤❤
ivi izi like munazo kazana kuziomba badala yakutoa maoni juu ya ii move. Uwa munazipeleka wapi au mm ndo sielewi🤔🤔
Support😅😅😅😅😅
Bien joué vrement much love from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 nataka like 5tu
mwaga makopa ya kutosha twende sawa
Mimi kama mwana imaya nachelewa kuangalia lakn kama mnavyonijua sinaga tabia za umbea mkini like siwezi kutangaza😅😅😅😅😅
Ila Kim nae ata kama unampenda ntanzi ndo ukulupuke kufanya mambo jmn we ufungue tu vitu vya uchawi bila uoga jmn 😂
Nyieeeee,🙌
sema pole shoga angu Niko na wewe bega Kwa bega mpaka ntanzi akuowe jmn mana umepambana sana😂😂😂😂🙌🚶
😂😂😂😂
Wakwanza leo kutoka bongo kama unamkubali mwakatobe gonga like hapo
Follow me please guys 🇺🇬🇺🇬
Clam asaiv upo vizuri katika kuachia kazi mapema tuu kazi inatoka tofauti na Zaman ulikuwa unachelew sana salute my blood
Mtukufu bangi sana😂😂😂😂😂😂😂😂
Clam unafeli ,
Tete mimba yake ishapeya wakati chifu wa himaya ya nyoka siku zake 30 hazijafika 😅😅
Kweli kabisa
apo kweli amezingua
Mmh from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮💥💥 tunakupenda sana CLAM VEVO
Unyama sana tunaomkubal vevo togonge like za kutosha
Wa mwisho leo nipe like Zangu apo tujuane vizuri kuhusu clam Vevo ❤❤❤❤
Nilichogundua Adui mkubwa zaidi katka huu mchezo ni kipara.
Wakwanza kabisa nawakubali sanaaa,,,naombeni likes zngu wadauu
Mapema sanaaaaaaa tupo hapa salute kwako vevo kaz nzuri💪💪
Heshima yako Boss clam umewekeza sio kitoto 🙌
Hongereni mlio wahi lakin hata mim nimejikubali😅
Mimi wa kwanza leo nipeni like tafadhali in Korea mweusi 😅
Mimba ya Tete imekua haraka sio kama ya maria wa jua Kali!!😂😂😂😂
Daah eti Ya maria wa juakali.. 😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂
😅😅😅😅😅 ilonalo neno
Nyie nyie Mungu awalinde daima wote mpo kiasili zaidi na yanafanyika kweli africa nawapenda daima
Mtukufu kapitia kwenye wali maharage😂😂😂😂😂
Wow kazi nzuri like hata 10 basi nimewahi darasa leo
Oyaaaaa. Mm wakwanza Leo naombeni likes zangu hapa kutoka kenya
Kwanza kabisa tumshukuru Mungu kwa kutupa uzima pia kutuwezesha leo hii tunaburudishwa na kazi nzuri ya clam na gang yake#kim kiherehere kimekupa upofu😮 na bado kinasababisha madhara,poleeee
Hii kazi inaenda sana sio ya leo wa kesho tupo nayo sana
Alienielewa agonge like❤
Wa Kwanza Mimi Leo ❤❤❤😂😂😂
Ni venye sikuwa rada
C aki walai mko n haraka aya bac wa mwisho msininyime like frome Kenya 😢
Kazi nzuri Sana napenda kumuona mtukufu namkewe kurusum ❤❤nawapenda sanaa
Timu clam vevo oyeeeee
Tujuane apa timu Clam VEVO Kwa like nyingi nyingi 🙌👊👊💪💪💪
❤❤❤❤
Wa mwisho kutoka 254 naomba hata mbili
Kazi ni nzuri sana mimi kama mfuatiliaji wa season hii ningependa kuwapongeza kwa kazi hii
Huyu mtukufu mwehu sana 😂😂 Abadilishwe jina kwakweli kazi ni wali maharage mpka kuvimbiwa lol
Wakwanza ni nyingi Aya naombeñ ata mm chache from Kenya🙌
Wakwanza from DRC 🇨🇩 Clam ♥️♥️♥️♥️♥️
Wagapi wanapenda hii nyimbo kwa snake boy 😂😂😂
Kwani hizo like Zina kazi Gani jamani au Zina Pesa na mm naombeni nizipate
Wakwanza wote mupewe maua yenu kumbe ni kaz kuwa wa keanza😂
Kaz nzuri
Uku kila mtu n wakwnza ata nami nomba likes zangu...natazama nikiwa kenya
Jaman naomba mwiteni Mr mwanya aje ajifunze Kwa kram na silizi yake ya "siku mbaya kazini"
😂😂😂😂😂Kwakweli aitwe
Nipe mauwa yangu mimi ni shabiki toka Congo 🇨🇩
Nimefika tena namba mbili nahomba like kwaleo N🎉aandika vizuri nahomba timu Kim tujuane apa
Very nice 😂😂🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉tunakubali
❤😂😂😂😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤😊😊
😂😂😂😂😂😂
Story inazidi kuwa tamu 😊
Wanao mkubali clam vevo nipe like zangu ❤❤❤
Kwa mala ya kwanza Leo nimewai team vevo tuenjoy na snake boy😘😘sio kila siku kuomba like
From zenj❤❤❤kaz nzuri🎉🎉
Wanaweza mpk Sy pw ❤❤❤❤
Na mm nmewai jaman naombeni like zangu
Wa kwanza from Burundi Like zng🙏🙏🙏🙏🙏
Mwakatobe ananogeshaa sanaa muviii❤❤😅😅
PALE AMBAPO MLIKOSEA ni kuonyesha kuwa chifu wa himaya ya nyoka hajamaliza siku 30 ilhali msichana aliye na mimba ya zinga inakuwa kwa haraka, haya hayaonyeshi muingiliano wa mambo
Mimba ya ndete inakua haraka Kwakua ni ya kichawi
Kuna utofauti pia kati ya siku za kishilikina na siku zetu za kibinaadam at some point...
Ila hongera kwa kuwa na jicho la kitaalam maan si rahis kwa mtazamaj wa kawaid kujua hiv vitu
Jamani me wapili leo nipeni likes zangu❤❤❤
Wa kwanza guys from buja. Naomba likes ata miya
Naomba namba ya mwasi😂😂😂nataka kumuoa
Sijue kwanini wanaimaya hamu adibishe kipara, kiukwele kipara mimi nimemuchoka
Huu mchezo hauna faida km kipara hatouliwa na pia me nime hic K2 huenda zumba ndo kam'baka kim😢😢
Hata nahc hivyo juu ya Kim
@@zomasamweli bg up
Itakuw maan anaupwiru wa mda mrefu
@@user-dm6qw3qg7p 🤣🤣🤣Toto jinga sana ww
Duu jaman watu wanawah😂😂 nilijua mimi ndowakwanza
🎉🎉big up team CLAM VEVO
Kazi nzuri timu clam mungu amiongeze inshaallah
Wakawza naombeni like zangu
Zinakusaidia nn hizo like kama sio ujinga
Wakwanza from burundi nipeni like zangu
MTUKUFU KWA UBWABWA NAE 😂😂😂
Yaanimie nimeipenda hili lingoma linalopigwa Hadi nasikia raha
Na mimi nipo naomba like tungawane ❤❤❤ ila kitu kizuri hiki sijui wezangu munasemaje niambie ❤❤
Xana
Wa kwanza clam mimi from Rwanda nakuamini
Huyu kipofu vip😅😅😅😅😅😊
Nipeni like hapo jamani mimi natoka Bd🇧🇮
Mwasi ww ni jasiri. Clam hongera kwa kazi nzuri
From Tz gonga like nyingi kwa vevo
Zumba 😂umenaniliuu wewee😂😂😂😂 umemkula kim
I love this video just like I love this movie so much like sa clam vevo
Wakwanza leeeeoooooo🎉🎉🎉
Nyie watu, hadi hamwezi acha niwe wa kwanza japo siku moja 😂😂
Ntazi, nzinga, mwasi, butuyi, tano, tete, haya majina ni matamu kuliko movie yenyewe😂😂😂😂😂❤❤❤
Wapi wanangu team kipara cha umbea na mganga mzee wa wali maharage😂😂😂
Nice . WA kwanza naomba likes zangu