SNAKE BOY | ep 21 | SEASON TWO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 май 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    people/CLAM-...
    #Clamvevo #Vevowood #Nollywood #Bongomuvi
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 1,8 тыс.

  • @Chudo_boy_Zombie
    @Chudo_boy_Zombie Месяц назад +649

    FROM USA 🇺🇲 ...Timu CLAM VEVO. tujuane kwa like please 🙏 tangu nianze kufatilia MOVIE za CLAM VEVO sijawai kua Wakwanz leo me ndo Wakwanz nawaomba jaman ..
    like zote za clam ziwekwe hapa pls naomba 🙏 🙏 🙏 🙏

  • @paternesonofgod
    @paternesonofgod Месяц назад +53

    Love ❤from east africa Burundi 🔥🇧🇮❤🇧🇮🔥🇧🇮munipe like

  • @user-oe5ze5uq8m
    @user-oe5ze5uq8m Месяц назад +58

    Mwakatobe in the best mwenye ana mukubali mwakatobe naomba like zangu kutoka kongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @amlnaomar9996
    @amlnaomar9996 Месяц назад +13

    Ila clam hii movie unaifanya ndefu sana.tuna subiria movie zingine kama big boss kwa hamu.❤❤

  • @IssaMangala
    @IssaMangala Месяц назад +81

    Aise uyu chef wa ubwabwa 🤣 penda sana wali mahrage iliyo pikwa na munazi 🙄heeeh kipara umbeya ume ya pandiya Dju ya Muti 😂wanayo taka Mtanzi arudishiwe nguvu zake atupo wengi wakabisa manana wengi Wana ngombaniya like tu sijuwi Wana Pata Nini waki pewa like 😢 🇨🇩from Dubaï 🇦🇪

  • @fatehhamis6797
    @fatehhamis6797 Месяц назад +24

    Bongo movies huwa co michongo yangu lkn kwa Clam Vevo 🔥🔥🔥

  • @vinniechymall9801
    @vinniechymall9801 Месяц назад +10

    Mwakatobe ni Star. Hakuna anayemfikia saivi Tanzania Nzima

  • @mayeleoscarmayele874
    @mayeleoscarmayele874 Месяц назад +25

    Kwa hiyo nyie mmekuja hapa kuomba like na siyo kumpongeza clam kwa kazi aliyofanya wapumb

  • @mwankenjatv9330
    @mwankenjatv9330 Месяц назад +228

    Kama unaamini wametukosha roho na kuachia sinema ya snake boi mapema like nyingi pleasee❤❤❤

  • @modex_0376
    @modex_0376 Месяц назад +38

    Wa kwanza Leo Kutoka kenya naomba like zenu Tafadhalii

  • @MwanamkuuMumbe
    @MwanamkuuMumbe Месяц назад +9

    Daa ni bomba kichizi naomba ntanzi usiicheleweshe EP ya 22 ninahamu ya kumjuwa huyo FARASI MWEUPE nawapenda wote in MOVE ❤❤❤❤

  • @engineermamuuumeme
    @engineermamuuumeme Месяц назад +30

    Mashaallah allah akupe umri mrefu uzidi kutupa burudani
    Kutoka tanga nawapenda wote

  • @VincentosodoSaye
    @VincentosodoSaye Месяц назад +38

    Wa kwanza leo naomba like zangu kutoka tz🇹🇿🇹🇿

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 Месяц назад +77

    Km waaamin soon clam atakua hatari like comment please Team strong hoyeeeeeeeeee kw mara ingine tena nawawakilisha nikiwa Riyadh love you guys 🇰🇪🇸🇦💞💞💞💞💞

    • @Mattutu
      @Mattutu Месяц назад +2

      Hello KENYA

    • @judithpendo9985
      @judithpendo9985 Месяц назад +1

      @@Mattutu ❤️❤️yes hello

    • @Mattutu
      @Mattutu Месяц назад

      @@judithpendo9985 uko Kenya wap

  • @OneKeshy
    @OneKeshy Месяц назад +10

    Zinga deserves an award,yani venye anaactingi kichizi na nimkali, niukweli watu wengi wakali huwa wanabehave kama machizi hivi hivi tu unadhania mtu ni mwendawazimu anakupiga tukio unashangaa!

  • @mayeleoscarmayele874
    @mayeleoscarmayele874 Месяц назад +15

    Kwahiyo nyie hamji kumpongeza clam kwa kazi aliyofanya mnakuja kuomba like wapumbavu sana nyie

  • @Ivyndutaprudence-sq3xm
    @Ivyndutaprudence-sq3xm Месяц назад +31

    Everyone watching this just say a word of prayer for me

  • @abunationclassic4117
    @abunationclassic4117 Месяц назад +191

    Jamani tutoeni comments zakujenga wapi anapatia na wapo anakosea hata clam akiangalia anajifunza pia kupitia sisi na sio kuomba like tu .... movie nzuri inaelimisha ndani yake ❤

    • @mwabajaay4377
      @mwabajaay4377 Месяц назад +6

      Hapo umesema kwel,nmefatilia tangu season 1 ,
      Comments zote ni kuomba likes tu, hawapendi kuchokesha akili,ntazi Yuko wapi saii na zinga nguvu alizitoa wapi tena ,kakoso ama ni yupi aligeuzwa mke mpaka saii,mafunzo yamo tele,

    • @eliyaraphael
      @eliyaraphael Месяц назад +3

      HIZI like wanakula au😅😅😅

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr Месяц назад

      Kuna episode zimekupita .​@@mwabajaay4377

    • @EunicekwamboshOngati-cs4bx
      @EunicekwamboshOngati-cs4bx Месяц назад +2

      Umesema kweli kaka tumechoka na mambo ya kuomba omba likes kila wakati kweli wanasinya😂😂

    • @waltergilbert3967
      @waltergilbert3967 Месяц назад +2

      yani hawa wajinga wanaoomba likes qananikera mno

  • @PipytidaTv
    @PipytidaTv Месяц назад +19

    HAUJAWAHI KUTUANGUSHA #CLAMVEVO THE BEST..! USHAURI WANGU NAKUOMBA TAFAZALI MSAIDIE #LATIFA anaeigiza na Kicheche.. LATIFA UKIMPATA ANAJUA SANA LAKINI HUKO ALIKO ANAPOTEZWA.! CLAMVEVO SOMA HII NA UITENDEE KAZI..! MSAIDIE LATIFA AJE TIMUYAKO.!

    • @AblahmanJuma
      @AblahmanJuma Месяц назад

      Kila mtu na kasti yake ratifa anaweza lakini sini za mapenzi na sio uku mwache akae uko uko kwa ki heche Hawa waliokuwa umu no Moto na kwa kicheche Moto ratifa Nani mbele ya Kim vai au mshangazi

    • @user-lu8jk3pi1q
      @user-lu8jk3pi1q Месяц назад

      Sikiliza ushauri brooh Latifa anakaza

  • @user-bz6bl1xo2k
    @user-bz6bl1xo2k Месяц назад +5

    Kubababake kwahyo hum ndo sehem ya kuomba like yaan nyote mnao omba like nyote ni mabwabwa kwer yaan badala ya kumpongeza CLAM VEVO Mnaomba ujinga hum like simnge mpa like clam

  • @kevinatei4892
    @kevinatei4892 Месяц назад +55

    Nawapongeza sana kwa kazi mnayofanya..... Kevin Atei kutoka Kenya..... Nowadays episodes are abit longer, heko sana kwa Hilo..... Nipee like please🙏🙏💍💍

  • @Nathanael1Kambale
    @Nathanael1Kambale Месяц назад +50

    Léo nime wahiii gonga lake❤❤❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @sarahnjeri-tz8eu
    @sarahnjeri-tz8eu Месяц назад +16

    Yaani kipara alifikisha umbea 😂😂😂 mwenye hajafurahia vile Kim amekuwa kipofu gonga like 👍👍👍 Calmvevo sana hongera na wahusika wote ❤❤❤

  • @matipasyaname8753
    @matipasyaname8753 Месяц назад +11

    ivi izi like munazo kazana kuziomba badala yakutoa maoni juu ya ii move. Uwa munazipeleka wapi au mm ndo sielewi🤔🤔

  • @MichaelElias-jz7io
    @MichaelElias-jz7io Месяц назад +20

    Bien joué vrement much love from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 nataka like 5tu

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 Месяц назад +27

    mwaga makopa ya kutosha twende sawa

  • @OliviaWtiness
    @OliviaWtiness Месяц назад +6

    Mimi kama mwana imaya nachelewa kuangalia lakn kama mnavyonijua sinaga tabia za umbea mkini like siwezi kutangaza😅😅😅😅😅

  • @JOHAREHfilms2023
    @JOHAREHfilms2023 Месяц назад +3

    Ila Kim nae ata kama unampenda ntanzi ndo ukulupuke kufanya mambo jmn we ufungue tu vitu vya uchawi bila uoga jmn 😂
    Nyieeeee,🙌
    sema pole shoga angu Niko na wewe bega Kwa bega mpaka ntanzi akuowe jmn mana umepambana sana😂😂😂😂🙌🚶

  • @alexmonaria5530
    @alexmonaria5530 Месяц назад +137

    Wakwanza leo kutoka bongo kama unamkubali mwakatobe gonga like hapo

    • @checheskitstv
      @checheskitstv Месяц назад +1

      Follow me please guys 🇺🇬🇺🇬

  • @SuleimanDilunga28
    @SuleimanDilunga28 Месяц назад +14

    Clam asaiv upo vizuri katika kuachia kazi mapema tuu kazi inatoka tofauti na Zaman ulikuwa unachelew sana salute my blood

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg Месяц назад +2

    Mtukufu bangi sana😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mubaarakellofiy
    @mubaarakellofiy Месяц назад +6

    Clam unafeli ,
    Tete mimba yake ishapeya wakati chifu wa himaya ya nyoka siku zake 30 hazijafika 😅😅

  • @BushashaSwitch
    @BushashaSwitch Месяц назад +16

    Mmh from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮💥💥 tunakupenda sana CLAM VEVO

  • @KomboSaid-fz2ky
    @KomboSaid-fz2ky Месяц назад +43

    Unyama sana tunaomkubal vevo togonge like za kutosha

  • @Amisi94
    @Amisi94 Месяц назад +14

    Wa mwisho leo nipe like Zangu apo tujuane vizuri kuhusu clam Vevo ❤❤❤❤

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr Месяц назад +5

    Nilichogundua Adui mkubwa zaidi katka huu mchezo ni kipara.

  • @jacksonmollel5709
    @jacksonmollel5709 Месяц назад +18

    Wakwanza kabisa nawakubali sanaaa,,,naombeni likes zngu wadauu

  • @hamidumpande5509
    @hamidumpande5509 Месяц назад +17

    Mapema sanaaaaaaa tupo hapa salute kwako vevo kaz nzuri💪💪

  • @RashidHassan-gi5pe
    @RashidHassan-gi5pe 28 дней назад +1

    Heshima yako Boss clam umewekeza sio kitoto 🙌

  • @zayatuzai6500
    @zayatuzai6500 Месяц назад +3

    Hongereni mlio wahi lakin hata mim nimejikubali😅

  • @MENGI_MENGI1
    @MENGI_MENGI1 Месяц назад +48

    Mimi wa kwanza leo nipeni like tafadhali in Korea mweusi 😅

  • @tiffahdangote7548
    @tiffahdangote7548 Месяц назад +34

    Mimba ya Tete imekua haraka sio kama ya maria wa jua Kali!!😂😂😂😂

  • @mankamassawe8592
    @mankamassawe8592 Месяц назад +1

    Nyie nyie Mungu awalinde daima wote mpo kiasili zaidi na yanafanyika kweli africa nawapenda daima

  • @marygorethtemu4959
    @marygorethtemu4959 Месяц назад +3

    Mtukufu kapitia kwenye wali maharage😂😂😂😂😂

  • @MangobabyApollo
    @MangobabyApollo Месяц назад +31

    Wow kazi nzuri like hata 10 basi nimewahi darasa leo

  • @user-fr4lj7jw9g
    @user-fr4lj7jw9g Месяц назад +34

    Oyaaaaa. Mm wakwanza Leo naombeni likes zangu hapa kutoka kenya

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Месяц назад +2

    Kwanza kabisa tumshukuru Mungu kwa kutupa uzima pia kutuwezesha leo hii tunaburudishwa na kazi nzuri ya clam na gang yake#kim kiherehere kimekupa upofu😮 na bado kinasababisha madhara,poleeee

  • @twasckozedon9237
    @twasckozedon9237 Месяц назад +3

    Hii kazi inaenda sana sio ya leo wa kesho tupo nayo sana
    Alienielewa agonge like❤

  • @LilmmyCrazyfficial
    @LilmmyCrazyfficial Месяц назад +15

    Wa Kwanza Mimi Leo ❤❤❤😂😂😂

  • @KiweEmmanuel-ot9zg
    @KiweEmmanuel-ot9zg Месяц назад +100

    C aki walai mko n haraka aya bac wa mwisho msininyime like frome Kenya 😢

  • @Tabiatz
    @Tabiatz Месяц назад +1

    Kazi nzuri Sana napenda kumuona mtukufu namkewe kurusum ❤❤nawapenda sanaa

  • @user-chaliboy
    @user-chaliboy Месяц назад +3

    Timu clam vevo oyeeeee

  • @JordanAndrew-rr8fq
    @JordanAndrew-rr8fq Месяц назад +64

    Tujuane apa timu Clam VEVO Kwa like nyingi nyingi 🙌👊👊💪💪💪

  • @moulynnyaboke-sh9vj
    @moulynnyaboke-sh9vj Месяц назад +16

    Wa mwisho kutoka 254 naomba hata mbili

  • @HabonimanaEmmanuel-er1eg
    @HabonimanaEmmanuel-er1eg Месяц назад +1

    Kazi ni nzuri sana mimi kama mfuatiliaji wa season hii ningependa kuwapongeza kwa kazi hii

  • @saumumhina2225
    @saumumhina2225 Месяц назад +3

    Huyu mtukufu mwehu sana 😂😂 Abadilishwe jina kwakweli kazi ni wali maharage mpka kuvimbiwa lol

  • @bblack.official-sz4tf
    @bblack.official-sz4tf Месяц назад +14

    Wakwanza ni nyingi Aya naombeñ ata mm chache from Kenya🙌

  • @YannickBaraka
    @YannickBaraka Месяц назад +17

    Wakwanza from DRC 🇨🇩 Clam ♥️♥️♥️♥️♥️

  • @user-pg6jr7kp2w
    @user-pg6jr7kp2w Месяц назад +3

    Wagapi wanapenda hii nyimbo kwa snake boy 😂😂😂

  • @ashurakiaga7812
    @ashurakiaga7812 Месяц назад +2

    Kwani hizo like Zina kazi Gani jamani au Zina Pesa na mm naombeni nizipate

  • @acrazo3721
    @acrazo3721 Месяц назад +17

    Wakwanza wote mupewe maua yenu kumbe ni kaz kuwa wa keanza😂

  • @AlphonceMsuya-qi8dw
    @AlphonceMsuya-qi8dw Месяц назад +16

    Kaz nzuri

  • @ApostleMartin-bq3ov
    @ApostleMartin-bq3ov Месяц назад +4

    Uku kila mtu n wakwnza ata nami nomba likes zangu...natazama nikiwa kenya

  • @user-sb8mg9pz6n
    @user-sb8mg9pz6n Месяц назад +3

    Jaman naomba mwiteni Mr mwanya aje ajifunze Kwa kram na silizi yake ya "siku mbaya kazini"

  • @bmpiscoboy5674
    @bmpiscoboy5674 Месяц назад +18

    Nipe mauwa yangu mimi ni shabiki toka Congo 🇨🇩

  • @DIRECTORJOHN435
    @DIRECTORJOHN435 Месяц назад +244

    Nimefika tena namba mbili nahomba like kwaleo N🎉aandika vizuri nahomba timu Kim tujuane apa

    • @DERIZOBOY
      @DERIZOBOY Месяц назад +5

      Very nice 😂😂🎉🎉🎉

    • @Everyone558
      @Everyone558 Месяц назад +3

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉tunakubali

    • @FORCEFBFERDAY
      @FORCEFBFERDAY Месяц назад +4

      ❤😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @WanguLove
      @WanguLove Месяц назад +4

      ❤❤❤❤❤😊😊

    • @DIRECTORJOHN435
      @DIRECTORJOHN435 Месяц назад +3

      😂😂😂😂😂😂

  • @Prince23404
    @Prince23404 Месяц назад +3

    Story inazidi kuwa tamu 😊

  • @user-nz3du9mh3j
    @user-nz3du9mh3j Месяц назад +21

    Wanao mkubali clam vevo nipe like zangu ❤❤❤

  • @MwanahamisSeifu
    @MwanahamisSeifu Месяц назад +59

    Kwa mala ya kwanza Leo nimewai team vevo tuenjoy na snake boy😘😘sio kila siku kuomba like

  • @user-uh6ux5ei6l
    @user-uh6ux5ei6l Месяц назад +2

    From zenj❤❤❤kaz nzuri🎉🎉

  • @ShadiaHassani
    @ShadiaHassani Месяц назад +2

    Wanaweza mpk Sy pw ❤❤❤❤

  • @FibiDeus-no5tm
    @FibiDeus-no5tm Месяц назад +28

    Na mm nmewai jaman naombeni like zangu

  • @IvanoHeritier-eq9pj
    @IvanoHeritier-eq9pj Месяц назад +17

    Wa kwanza from Burundi Like zng🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nickluca1512
    @nickluca1512 Месяц назад +2

    Mwakatobe ananogeshaa sanaa muviii❤❤😅😅

  • @SammyNjorogeVisionary
    @SammyNjorogeVisionary Месяц назад +2

    PALE AMBAPO MLIKOSEA ni kuonyesha kuwa chifu wa himaya ya nyoka hajamaliza siku 30 ilhali msichana aliye na mimba ya zinga inakuwa kwa haraka, haya hayaonyeshi muingiliano wa mambo

    • @DianaNelson-zz8ol
      @DianaNelson-zz8ol Месяц назад

      Mimba ya ndete inakua haraka Kwakua ni ya kichawi

    • @Henryvegan96
      @Henryvegan96 23 дня назад

      Kuna utofauti pia kati ya siku za kishilikina na siku zetu za kibinaadam at some point...
      Ila hongera kwa kuwa na jicho la kitaalam maan si rahis kwa mtazamaj wa kawaid kujua hiv vitu

  • @JumaEmmanueliy
    @JumaEmmanueliy Месяц назад +37

    Jamani me wapili leo nipeni likes zangu❤❤❤

  • @bestkingofpoetry9882
    @bestkingofpoetry9882 Месяц назад +18

    Wa kwanza guys from buja. Naomba likes ata miya

  • @dimpohzbekah-co5vh
    @dimpohzbekah-co5vh Месяц назад +2

    Naomba namba ya mwasi😂😂😂nataka kumuoa

  • @emmanuel-jl5td
    @emmanuel-jl5td Месяц назад +2

    Sijue kwanini wanaimaya hamu adibishe kipara, kiukwele kipara mimi nimemuchoka

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq Месяц назад +17

    Huu mchezo hauna faida km kipara hatouliwa na pia me nime hic K2 huenda zumba ndo kam'baka kim😢😢

    • @zomasamweli
      @zomasamweli Месяц назад

      Hata nahc hivyo juu ya Kim

    • @Sayd-pi5lq
      @Sayd-pi5lq Месяц назад

      @@zomasamweli bg up

    • @user-dm6qw3qg7p
      @user-dm6qw3qg7p Месяц назад

      Itakuw maan anaupwiru wa mda mrefu

    • @Sayd-pi5lq
      @Sayd-pi5lq Месяц назад +1

      @@user-dm6qw3qg7p 🤣🤣🤣Toto jinga sana ww

  • @habibuhabibu9728
    @habibuhabibu9728 Месяц назад +14

    Duu jaman watu wanawah😂😂 nilijua mimi ndowakwanza

  • @ChingaKenboy-fz8yr
    @ChingaKenboy-fz8yr Месяц назад +1

    🎉🎉big up team CLAM VEVO

  • @ZainaHalifa
    @ZainaHalifa Месяц назад +1

    Kazi nzuri timu clam mungu amiongeze inshaallah

  • @kassimkundi8963
    @kassimkundi8963 Месяц назад +25

    Wakawza naombeni like zangu

    • @Ridhiwani617
      @Ridhiwani617 Месяц назад

      Zinakusaidia nn hizo like kama sio ujinga

  • @Mbambembe-199
    @Mbambembe-199 Месяц назад +50

    Wakwanza from burundi nipeni like zangu

  • @user-ok7fx2fr8d
    @user-ok7fx2fr8d Месяц назад +1

    MTUKUFU KWA UBWABWA NAE 😂😂😂

  • @Daniel_kimambo
    @Daniel_kimambo Месяц назад +1

    Yaanimie nimeipenda hili lingoma linalopigwa Hadi nasikia raha

  • @ronzevannyboychui1661
    @ronzevannyboychui1661 Месяц назад +51

    Na mimi nipo naomba like tungawane ❤❤❤ ila kitu kizuri hiki sijui wezangu munasemaje niambie ❤❤

  • @user-qr8zn8uk5c
    @user-qr8zn8uk5c Месяц назад +15

    Wa kwanza clam mimi from Rwanda nakuamini

  • @geraldnnko1884
    @geraldnnko1884 Месяц назад +1

    Huyu kipofu vip😅😅😅😅😅😊

  • @ButoyiThierryve
    @ButoyiThierryve Месяц назад +1

    Nipeni like hapo jamani mimi natoka Bd🇧🇮

  • @SummaiyaKassim-zv5nt
    @SummaiyaKassim-zv5nt Месяц назад +9

    Mwasi ww ni jasiri. Clam hongera kwa kazi nzuri

  • @RAMSABOYTZ
    @RAMSABOYTZ Месяц назад +6

    From Tz gonga like nyingi kwa vevo

  • @mariethajoseph6538
    @mariethajoseph6538 Месяц назад +1

    Zumba 😂umenaniliuu wewee😂😂😂😂 umemkula kim

  • @user-oe4eq6xo9d
    @user-oe4eq6xo9d Месяц назад +1

    I love this video just like I love this movie so much like sa clam vevo

  • @ROBERTMangwangi
    @ROBERTMangwangi Месяц назад +9

    Wakwanza leeeeoooooo🎉🎉🎉

  • @sultancornel7897
    @sultancornel7897 Месяц назад +9

    Nyie watu, hadi hamwezi acha niwe wa kwanza japo siku moja 😂😂

  • @philipmutua6643
    @philipmutua6643 Месяц назад

    Ntazi, nzinga, mwasi, butuyi, tano, tete, haya majina ni matamu kuliko movie yenyewe😂😂😂😂😂❤❤❤

  • @herongwikwi1021
    @herongwikwi1021 Месяц назад +1

    Wapi wanangu team kipara cha umbea na mganga mzee wa wali maharage😂😂😂

  • @Rohosafifoundation
    @Rohosafifoundation Месяц назад +8

    Nice . WA kwanza naomba likes zangu