CLAM VEVO AFUNGUKA UTAJIRI WAKE, MAMILIONI ANAYOINGIZA KUPITIA YOUTUBE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 213

  • @BertinMarangi
    @BertinMarangi 10 месяцев назад +11

    Clam VEVO Na konde boy ndie watu wanayo peleka Tanzania yote kwa filam Na kwa muziki nakukubali sana mpaka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 tuko ote nakukubali sana zidi kutupa vitu vizuri vizuri

  • @MariamuOthumani
    @MariamuOthumani 4 месяца назад +2

    Komedi nzur sana nimecheka

  • @dizorking9608
    @dizorking9608 11 месяцев назад +19

    Katika interviews zote ambazo nilishawah kufatalia lavidavi hii ya leo ndo imekua bora sana kwangu pia namkubali sana Clam

  • @FatakiFabien-co2qs
    @FatakiFabien-co2qs 11 месяцев назад +21

    Nakuku Bali sana clam vevo unatisha sana kaka ni technoce kutoka apa congo

  • @CLAVAEM
    @CLAVAEM 2 месяца назад

    Natamani kufanya kazi pamoja na clam mimi ni msanii kutokea Congo 🇨🇩 niatwa CLAVA

  • @Husna-u9d
    @Husna-u9d 9 месяцев назад +2

    Nakubali sana kk

  • @Mainda-q5b
    @Mainda-q5b 11 месяцев назад +9

    Sanaa hadi kwenye maisha halisi daaaaah

  • @matthewpetro4848
    @matthewpetro4848 10 месяцев назад +3

    Kaka na kukubali sana napenda kufanya kazi na weweNaitwa Charles mwise chacha natokea Mara-Tarime

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 11 месяцев назад +11

    Una kazi nzuri sana ...kifanikiwa muhimu sana

  • @edsonboazi-kc5bc
    @edsonboazi-kc5bc 3 месяца назад +1

    Daaaa kaka umepambana sana hongeraaa we❤ you

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 11 месяцев назад +6

    Clam vevo mtoto mdogo pesa mingi congrats blaza keep on fighting more

  • @mizzainallahwainailalhiraj8576
    @mizzainallahwainailalhiraj8576 11 месяцев назад +16

    Hongera brother unajituma sana 😊 kweli pesa unazo nakuaminia

  • @ZacharyMangara
    @ZacharyMangara 7 месяцев назад +1

    From thika ngoingwa KIAMBU COUNTY in Kenya bigup for the good work unafanya

  • @CatherineKabelege-te3yo
    @CatherineKabelege-te3yo 11 месяцев назад +2

    Mh kumbe tajiri niceeee

  • @ramadhanmohammed6474
    @ramadhanmohammed6474 11 месяцев назад +14

    Semeni mna hela alafu mkija kuumwa muje kutusumbua michango

  • @HazardHbcomEmmanuelprodduseign
    @HazardHbcomEmmanuelprodduseign 3 месяца назад

    Courage Clam Vevo pour les œuvres déjà fait 🇨🇩 précisément à Kinshasa je te suit.

  • @SalumuWembo-fo5rr
    @SalumuWembo-fo5rr 11 месяцев назад +29

    Clam Vevo wewe ni Simba tuuuuuuu saaaaaana ❤️❤️🙏 un amour du Congo 🇨🇩❤️🙏

  • @dollar105
    @dollar105 11 месяцев назад +12

    Clam Ana ugonjwa wa kizungu❤🎉🎉🎉😂😂😂😅

  • @osbaya7363
    @osbaya7363 7 месяцев назад +1

    Na kukubali sana clam I'm from Moz 🇲🇿

  • @shaklaomar697
    @shaklaomar697 11 месяцев назад +16

    Watching you from Doha Qatar.......... mkaazi wa Dareslaam Temeke.....

  • @ArafaWaingalava-ch3xe
    @ArafaWaingalava-ch3xe 11 месяцев назад +3

    From Mozambique nakupenda sana

  • @AishaMasundi
    @AishaMasundi 11 месяцев назад +3

    ❤❤❤kaka yangu love you 🤲🤲🇧🇮🇸🇦

  • @ZuwenaZuwena-oe9kk
    @ZuwenaZuwena-oe9kk 5 месяцев назад +1

    Natamani❤❤❤nikuone live jamani clam

  • @matomboonlinetv8200
    @matomboonlinetv8200 11 месяцев назад +3

    yuko vizuri kijana

  • @MicOne-mx5yn
    @MicOne-mx5yn 11 месяцев назад +16

    Vevo Congratulations 🇹🇿🇰🇪💥🔥🔥🔥🔥

  • @Alutacontinue75
    @Alutacontinue75 11 месяцев назад +80

    😢kuna interview moja alisemaga "watu wanadhani mim nina pesa saana, ila sio hivo nihela tu yakawaida ambayo inazunguka tu katika sanaa yake"

  • @jaffaryhamiddy8939
    @jaffaryhamiddy8939 11 месяцев назад +6

    hotel nje y nchi hp tumepigw asij ykw ndo yl yale km tajiri vimbao kutpostia mbao hatutk😂😂😂

  • @abedihakizimana6687
    @abedihakizimana6687 11 месяцев назад +5

    Mungu akuzidishiye dogo🎉

  • @AmanSam-hu1oi
    @AmanSam-hu1oi 11 месяцев назад +3

    Haya bhanaa VEVO maisha mema 🤝🤝

  • @mauriciocristianomardes6295
    @mauriciocristianomardes6295 10 месяцев назад +4

    God sana bro. From mozambique

    • @osbaya7363
      @osbaya7363 7 месяцев назад

      Me too, tás me que província irmão?

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 11 месяцев назад +5

    Clam nakukubali sana❤❤❤

  • @newshits255
    @newshits255 11 месяцев назад +7

    Huu mtangazaji tayari kashampenda mwamba

  • @mukichiara
    @mukichiara 11 месяцев назад +3

    Wewe pambana sana bro🤲💯

  • @ramdykahoofficial4317
    @ramdykahoofficial4317 11 месяцев назад +2

    Vevo wewe Ni noma uku Congo kalemie akuna zaidi yako Tena uko wewe Ni kanumba ujaye

  • @HassanCoyo
    @HassanCoyo 11 месяцев назад +16

    *Namkubali sanaaa Clam VEVO*

  • @VictoireJérémy
    @VictoireJérémy 11 месяцев назад +2

    nakubali sana vevo

  • @PauloMhoja-s7o
    @PauloMhoja-s7o 11 месяцев назад +3

    God sn bro ❤❤❤❤🎉🎉

  • @samsonntanyungu5859
    @samsonntanyungu5859 11 месяцев назад +12

    Super brow

  • @robertdominiko2667
    @robertdominiko2667 11 месяцев назад +2

    Kazi za vevo Hadi vijijini huku

  • @JumaHaji-n7k
    @JumaHaji-n7k 11 месяцев назад +10

    Unatisha sn clam ishii huna baya. j 👈apo from zanzibar

  • @mastaplan
    @mastaplan 11 месяцев назад +7

    Sanaa

  • @KurubonePascal-pe3pg
    @KurubonePascal-pe3pg 7 месяцев назад +1

    Clam mshenzi anajidayi nimegua hana pesa hata kwetu burundi tumegundua

  • @AlexFute-q1f
    @AlexFute-q1f Месяц назад

    Umetixk kaka nakubali

  • @samsonntanyungu5859
    @samsonntanyungu5859 11 месяцев назад +9

    Super Brown

  • @LivingMan544
    @LivingMan544 11 месяцев назад +4

    msenge mwongo sana yaani

  • @MarcelinKITOKA
    @MarcelinKITOKA 10 месяцев назад +1

    Hongera sana🎲🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @issacallando6222
    @issacallando6222 11 месяцев назад +4

    Inawezekana mengine kasema ukweli [siwezi kujua] ila hapo kwenye bei ya nguo alizovaa katupiga aisee😂

  • @ZacharyMangara
    @ZacharyMangara 7 месяцев назад

    CLAM VEVO NDO KANUMBA the late napenda unavyo jituma na kupa mbambana bro

  • @punchboy_og
    @punchboy_og 11 месяцев назад +8

    Uwakumbuke wa wenye uhitaji pia🙏

  • @JacklineKatyalee
    @JacklineKatyalee 2 месяца назад

    Hongera Sana 🎉

  • @KapondaZenaida-g3z
    @KapondaZenaida-g3z 11 месяцев назад +7

    Clam vevo tunakukubali

  • @Brandkevo254
    @Brandkevo254 11 месяцев назад +14

    From kitui Kenya ❤ wapi likes zangu 🎉

  • @OmanOman-ry5gw
    @OmanOman-ry5gw 11 месяцев назад +8

    Aa ilikuw nisha amini lakn apo kweny laki tisa 😂😂 sio pow ww shenzi

  • @amanisafari5588
    @amanisafari5588 11 месяцев назад +7

    Am from Kenya,,si clam aniajiri tu niwe nkimfunza English aende international.English nayo itamlimit

    • @KSACTV
      @KSACTV 11 месяцев назад +1

      Enda bongo it’s easier to reach him

  • @johnkaunda8319
    @johnkaunda8319 11 месяцев назад +1

    Dah clam me shabiki wako lakin sipendag majivuno na sifa ambazo hazina faida kwako.. Yan umevaa nguo ya m9? Acha bx

  • @RashoohOctor
    @RashoohOctor 9 месяцев назад +3

    Aiii clam mbn unapenda uongoo ak unaulzwa utajee hiyo hotel ya nje ya nchi unachekaa🤣🤣🤣 this is too much bt big up brooo

  • @geofreymelchiad-vo5mf
    @geofreymelchiad-vo5mf 11 месяцев назад +2

    mungu akubalik zaid

  • @CleafJoseph
    @CleafJoseph 11 месяцев назад +9

    Unatisha clam

  • @mrishoissa5154
    @mrishoissa5154 11 месяцев назад +8

    Bado ujasema 😅😅

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 11 месяцев назад +5

    nimependa ulipomwambia ukweli aongee kiswahili mengine upuuzi tu si anaiona ngozi hapo anayohojiana nayo sasa lugha za mwengine za nini

  • @NiyomwungereJamari-jj6uw
    @NiyomwungereJamari-jj6uw 11 месяцев назад +5

    Kwl unafanya vizuri ila si amini kama uko bilionea kwasababu Kuna interview shadow arisema kwama kipindi murikuwa munasema na ijuwa iyo murikuwa munachunga ma embe chini ya mti I'll mure halafu kwasasa birionea una hotel ambazo unamiriki 50%tuamini ivo lakini stivi amesema nae anamashaka Burundi nawapenda

    • @alfredtebeka2497
      @alfredtebeka2497 11 месяцев назад

      😅😂😂 dogo hajakuwa

    • @noorapro3666
      @noorapro3666 11 месяцев назад

      ila kila kukicha maisha yanabadilika

  • @ernestotadeunete3337
    @ernestotadeunete3337 11 месяцев назад +2

    Bom trabalho meu irmão clam I'm from Mozambique

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma1969 11 месяцев назад +7

    Mbona huyo jamaa kama yupo kwenye comedy wakati Kuna ishu ipo Sirius Sana

  • @chantalmariesony2996
    @chantalmariesony2996 11 месяцев назад +2

    😂😂😂 21 uko bebe sana

  • @Best_tz
    @Best_tz 11 месяцев назад +7

    Clam noma san hajawai kutowa boko

  • @nassormwachala2218
    @nassormwachala2218 11 месяцев назад +7

    Hotel ama mama ntilie😂😂😂😂

  • @mabwetebrown5432
    @mabwetebrown5432 11 месяцев назад +6

    Milion tisa???

  • @hassanaftin6899
    @hassanaftin6899 6 дней назад

    Clam inabidi apatane na chado master 😂🎉

  • @villa499
    @villa499 9 месяцев назад

    Wenye pesa awaongei..lakini muulize mweu na shobo zake utamsikia akipata laki itaku bilioni kwake

  • @MohdDewji
    @MohdDewji 11 месяцев назад +5

    Mwanang San

  • @IMANIMOHAMMEDI
    @IMANIMOHAMMEDI 11 месяцев назад +1

    Anaigiza Hadi entavew Kaka muongo

  • @daddybenny
    @daddybenny 11 месяцев назад +29

    Ukumbuke kuwasaidia yatima,wajane,wafungwa,na kujenga ufalme wa Mungu,la sivyo fedha yako itakosa mana kama ukijenga tu ya dunian

    • @gwaipyanarighton8309
      @gwaipyanarighton8309 11 месяцев назад +1

      🤣🤣🤣🤣 sio kweli bro ila ni ushauri mzuri .tafakari vizuri nijibu baada ya wiki

    • @haidarkhatib-m7b
      @haidarkhatib-m7b 9 месяцев назад

      Fact.....💯

  • @Fortuneflavour
    @Fortuneflavour 11 месяцев назад +1

    Naipenda hii

  • @brankfesto
    @brankfesto 5 месяцев назад

    Uyo kichaaaa anajua

  • @mulhathamadomar4451
    @mulhathamadomar4451 11 месяцев назад +5

    Miaka 21 duh mm siamn😮

    • @zahramahnouch2874
      @zahramahnouch2874 11 месяцев назад +2

      Anaongea nawewe,,anaongea nayeye😅😅😅😅😅

    • @mulhathamadomar4451
      @mulhathamadomar4451 11 месяцев назад

      @@zahramahnouch2874 naogea n mm

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 11 месяцев назад +2

      Huamini nini sasa ulikuwepo wakati anazaliwa au una kadi lake huyo ni mdogo kwa umri huo yuko sawa kwani ana ukubwa gani sasa

    • @mulhathamadomar4451
      @mulhathamadomar4451 11 месяцев назад +2

      @@agnesjohn9382 🤣🤣🤣povu limekutoka chawa wa clam

  • @AfricaAnimalsv9
    @AfricaAnimalsv9 11 месяцев назад +1

    ❤❤❤love u bro

  • @ElizabethKarisa-r2k
    @ElizabethKarisa-r2k 11 месяцев назад

    Clam leo umenifurahisha,,, huelewi englsh😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @tungaraza7794
    @tungaraza7794 11 месяцев назад +1

    najaribu kujiuliza kama vevo anaingiza 2B ndnai ya miaka 7 najiuliza mond anaingiza ngapi

  • @athanassimweka5470
    @athanassimweka5470 11 месяцев назад +2

    Kiukweli upo vizur nakufatilia kwakweli cjutii kuangalia season zako

  • @FadgarMilanzi
    @FadgarMilanzi 9 месяцев назад

    😮Uyu kijana muongo sana😂😂😂😂

  • @praymwalu
    @praymwalu 11 месяцев назад +1

    Sasa Mimi ni naitwa DIEUDONNÉ PRAY FROM drc congo 🇨🇩🇨🇩 sasa munapo sema billion 2 ni kwa dolla za marekani ama vipi ?? Mana pesa za Tanzania zina ni changanya ama ni shilingi ??

    • @ibrahimissakhamisi9622
      @ibrahimissakhamisi9622 11 месяцев назад

      Shingapi

    • @praymwalu
      @praymwalu 11 месяцев назад

      @@ibrahimissakhamisi9622 1$ ni shilingi ngapi?

    • @ishararosette2306
      @ishararosette2306 11 месяцев назад

      Kwakweli hata namimi

    • @praymwalu
      @praymwalu 11 месяцев назад

      @@ishararosette2306 yah atwambiye 1$ ni shilingi ngapi

  • @MalukoShauritanga
    @MalukoShauritanga 5 месяцев назад

    nimemkuri sana natokeyasumbawanga naitwamaruma

  • @dizzomontana7219
    @dizzomontana7219 11 месяцев назад +6

    Ila uyo janja ni muongo sana.

  • @RajabuMatimbwa-g6s
    @RajabuMatimbwa-g6s 11 месяцев назад +1

    clam[pigakazi unatisha kama njaa upo juu...mndengereko wa kwanzakufanikiwa kutumiasaanaa

  • @InnulmmaEmmanuel-jf8uy
    @InnulmmaEmmanuel-jf8uy 11 месяцев назад +1

    Hiyo hela billion 2 aache utoto

  • @salummwakinyuke4301
    @salummwakinyuke4301 11 месяцев назад +2

    Kwenye umri tumepigwa , eti RUclips kaanza kutumia mwaka 2017 manake akiwa na miaka 15 ,

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 11 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂bora mwezangu aongee kiswahili😅😅😅😅😅😅

  • @Fahadsaid-q6i
    @Fahadsaid-q6i 11 месяцев назад +3

    Miaka 21 muongo

  • @oseemamba
    @oseemamba 3 месяца назад

    Bjr nakufata kutoka RDC congo

  • @dukecliff6944
    @dukecliff6944 11 месяцев назад +2

    Punguza kiingereza ugonjwa kubwa

  • @RajabuMatimbwa-g6s
    @RajabuMatimbwa-g6s 11 месяцев назад

    clam[pigakazi unatisha kama njaa upo juu...mndengereko wa kwanzakufanikiwa kutumiasaanaa 8:02

  • @mankwemba3841
    @mankwemba3841 11 месяцев назад

    Ni kweri jama anajuwa mpeni maua 💐yake

  • @JafariMawingu
    @JafariMawingu 11 месяцев назад +2

    Ili jamaaa😀😀😀😀😀

  • @BenjaminKiza
    @BenjaminKiza 11 месяцев назад +2

    Clam clam❤

  • @MILIKI_MBONDE_TV
    @MILIKI_MBONDE_TV 11 месяцев назад +1

    clam unazingua we si una miak 24 ww unatupang 21 au sio

  • @salimogiquina2664
    @salimogiquina2664 11 месяцев назад +5

    ☝️

  • @b-creative4662
    @b-creative4662 11 месяцев назад +6

    Kwenye umri tumepigwa!! 😅😅😅

    • @omariaman7818
      @omariaman7818 10 месяцев назад

      Ww unataka awe na umri gan?

  • @SolangeAmss
    @SolangeAmss 11 месяцев назад +1

    Weee clam kumbe mi mukubwa kwako ndomana nakuonaga kwenye movie kama katoto katoto ivi

  • @RehemaAli-gw1wc
    @RehemaAli-gw1wc 11 месяцев назад +5

    ❤❤❤

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 11 месяцев назад +1

    🌹🌹🌹🌹🌹🔥🔥🔥🔥👌💯💯💯💯 Clam