CLAM VEVO AFUNGUKA UTAJIRI WAKE, MAMILIONI ANAYOINGIZA KUPITIA YOUTUBE
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Clam VEVO Na konde boy ndie watu wanayo peleka Tanzania yote kwa filam Na kwa muziki nakukubali sana mpaka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 tuko ote nakukubali sana zidi kutupa vitu vizuri vizuri
Lofa sana
Sawa clam Boulton 2 kidogo sana wapi yangae
Komedi nzur sana nimecheka
Katika interviews zote ambazo nilishawah kufatalia lavidavi hii ya leo ndo imekua bora sana kwangu pia namkubali sana Clam
Nakuku Bali sana clam vevo unatisha sana kaka ni technoce kutoka apa congo
WROJ
Natamani kufanya kazi pamoja na clam mimi ni msanii kutokea Congo 🇨🇩 niatwa CLAVA
Nakubali sana kk
Sanaa hadi kwenye maisha halisi daaaaah
Kaka na kukubali sana napenda kufanya kazi na weweNaitwa Charles mwise chacha natokea Mara-Tarime
Una kazi nzuri sana ...kifanikiwa muhimu sana
Daaaa kaka umepambana sana hongeraaa we❤ you
Clam vevo mtoto mdogo pesa mingi congrats blaza keep on fighting more
Hongera brother unajituma sana 😊 kweli pesa unazo nakuaminia
From thika ngoingwa KIAMBU COUNTY in Kenya bigup for the good work unafanya
Mh kumbe tajiri niceeee
Semeni mna hela alafu mkija kuumwa muje kutusumbua michango
Courage Clam Vevo pour les œuvres déjà fait 🇨🇩 précisément à Kinshasa je te suit.
Clam Vevo wewe ni Simba tuuuuuuu saaaaaana ❤️❤️🙏 un amour du Congo 🇨🇩❤️🙏
Clam Ana ugonjwa wa kizungu❤🎉🎉🎉😂😂😂😅
Na kukubali sana clam I'm from Moz 🇲🇿
Watching you from Doha Qatar.......... mkaazi wa Dareslaam Temeke.....
Qatar
From Mozambique nakupenda sana
❤❤❤kaka yangu love you 🤲🤲🇧🇮🇸🇦
Natamani❤❤❤nikuone live jamani clam
yuko vizuri kijana
Vevo Congratulations 🇹🇿🇰🇪💥🔥🔥🔥🔥
😢kuna interview moja alisemaga "watu wanadhani mim nina pesa saana, ila sio hivo nihela tu yakawaida ambayo inazunguka tu katika sanaa yake"
sindo uong uong wenyew anajsahau😂
Ukiumwa usiseme tukuchangie ,,
Umesha wasahau mastar wabongo kwa uongo 😂😂😂
Umeigia kweye soka ya kanumba wew
Mnafiki wèw huyo nyumba yeyewe kapanga huyu
hotel nje y nchi hp tumepigw asij ykw ndo yl yale km tajiri vimbao kutpostia mbao hatutk😂😂😂
Mungu akuzidishiye dogo🎉
Haya bhanaa VEVO maisha mema 🤝🤝
God sana bro. From mozambique
Me too, tás me que província irmão?
Clam nakukubali sana❤❤❤
Huu mtangazaji tayari kashampenda mwamba
Wewe pambana sana bro🤲💯
Vevo wewe Ni noma uku Congo kalemie akuna zaidi yako Tena uko wewe Ni kanumba ujaye
*Namkubali sanaaa Clam VEVO*
nakubali sana vevo
God sn bro ❤❤❤❤🎉🎉
Super brow
Kazi za vevo Hadi vijijini huku
Unatisha sn clam ishii huna baya. j 👈apo from zanzibar
Sanaa
Clam mshenzi anajidayi nimegua hana pesa hata kwetu burundi tumegundua
Umetixk kaka nakubali
Super Brown
msenge mwongo sana yaani
Hongera sana🎲🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Inawezekana mengine kasema ukweli [siwezi kujua] ila hapo kwenye bei ya nguo alizovaa katupiga aisee😂
CLAM VEVO NDO KANUMBA the late napenda unavyo jituma na kupa mbambana bro
Uwakumbuke wa wenye uhitaji pia🙏
Hongera Sana 🎉
Clam vevo tunakukubali
From kitui Kenya ❤ wapi likes zangu 🎉
Yeah kitui tupo ngotaaa🤛
Usimroge huko kitui sio kwema😂😂😂
Aa ilikuw nisha amini lakn apo kweny laki tisa 😂😂 sio pow ww shenzi
Am from Kenya,,si clam aniajiri tu niwe nkimfunza English aende international.English nayo itamlimit
Enda bongo it’s easier to reach him
Dah clam me shabiki wako lakin sipendag majivuno na sifa ambazo hazina faida kwako.. Yan umevaa nguo ya m9? Acha bx
Aiii clam mbn unapenda uongoo ak unaulzwa utajee hiyo hotel ya nje ya nchi unachekaa🤣🤣🤣 this is too much bt big up brooo
mungu akubalik zaid
Unatisha clam
Bado ujasema 😅😅
nimependa ulipomwambia ukweli aongee kiswahili mengine upuuzi tu si anaiona ngozi hapo anayohojiana nayo sasa lugha za mwengine za nini
Kwl unafanya vizuri ila si amini kama uko bilionea kwasababu Kuna interview shadow arisema kwama kipindi murikuwa munasema na ijuwa iyo murikuwa munachunga ma embe chini ya mti I'll mure halafu kwasasa birionea una hotel ambazo unamiriki 50%tuamini ivo lakini stivi amesema nae anamashaka Burundi nawapenda
😅😂😂 dogo hajakuwa
ila kila kukicha maisha yanabadilika
Bom trabalho meu irmão clam I'm from Mozambique
vp
Mbona huyo jamaa kama yupo kwenye comedy wakati Kuna ishu ipo Sirius Sana
😂😂😂 21 uko bebe sana
Clam noma san hajawai kutowa boko
Hotel ama mama ntilie😂😂😂😂
Huyu jamaa miyeyusho
Milion tisa???
Clam inabidi apatane na chado master 😂🎉
Wenye pesa awaongei..lakini muulize mweu na shobo zake utamsikia akipata laki itaku bilioni kwake
Mwanang San
Anaigiza Hadi entavew Kaka muongo
Ukumbuke kuwasaidia yatima,wajane,wafungwa,na kujenga ufalme wa Mungu,la sivyo fedha yako itakosa mana kama ukijenga tu ya dunian
🤣🤣🤣🤣 sio kweli bro ila ni ushauri mzuri .tafakari vizuri nijibu baada ya wiki
Fact.....💯
Naipenda hii
Uyo kichaaaa anajua
Miaka 21 duh mm siamn😮
Anaongea nawewe,,anaongea nayeye😅😅😅😅😅
@@zahramahnouch2874 naogea n mm
Huamini nini sasa ulikuwepo wakati anazaliwa au una kadi lake huyo ni mdogo kwa umri huo yuko sawa kwani ana ukubwa gani sasa
@@agnesjohn9382 🤣🤣🤣povu limekutoka chawa wa clam
❤❤❤love u bro
Clam leo umenifurahisha,,, huelewi englsh😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
najaribu kujiuliza kama vevo anaingiza 2B ndnai ya miaka 7 najiuliza mond anaingiza ngapi
Kiukweli upo vizur nakufatilia kwakweli cjutii kuangalia season zako
😮Uyu kijana muongo sana😂😂😂😂
Sasa Mimi ni naitwa DIEUDONNÉ PRAY FROM drc congo 🇨🇩🇨🇩 sasa munapo sema billion 2 ni kwa dolla za marekani ama vipi ?? Mana pesa za Tanzania zina ni changanya ama ni shilingi ??
Shingapi
@@ibrahimissakhamisi9622 1$ ni shilingi ngapi?
Kwakweli hata namimi
@@ishararosette2306 yah atwambiye 1$ ni shilingi ngapi
nimemkuri sana natokeyasumbawanga naitwamaruma
Ila uyo janja ni muongo sana.
Mjinga 😂😂😂
clam[pigakazi unatisha kama njaa upo juu...mndengereko wa kwanzakufanikiwa kutumiasaanaa
Hiyo hela billion 2 aache utoto
Kwenye umri tumepigwa , eti RUclips kaanza kutumia mwaka 2017 manake akiwa na miaka 15 ,
😂😂😂😂😂😂😂bora mwezangu aongee kiswahili😅😅😅😅😅😅
Miaka 21 muongo
Bjr nakufata kutoka RDC congo
Punguza kiingereza ugonjwa kubwa
clam[pigakazi unatisha kama njaa upo juu...mndengereko wa kwanzakufanikiwa kutumiasaanaa 8:02
Ni kweri jama anajuwa mpeni maua 💐yake
Ili jamaaa😀😀😀😀😀
Clam clam❤
clam unazingua we si una miak 24 ww unatupang 21 au sio
☝️
Kwenye umri tumepigwa!! 😅😅😅
Ww unataka awe na umri gan?
Weee clam kumbe mi mukubwa kwako ndomana nakuonaga kwenye movie kama katoto katoto ivi
❤❤❤
🌹🌹🌹🌹🌹🔥🔥🔥🔥👌💯💯💯💯 Clam