SNAKE BOY | ep 25 | SEASON TWO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    www.facebook.c...
    #Clamvevo #Vevowood #Nollywood #Bongomuvi

Комментарии • 2,5 тыс.

  • @Goldboe
    @Goldboe 3 месяца назад +88

    Hii series ni nzuri Sana Tena Sana pongezi nyingi kwa Clam VEVO anawezaaa afu msiishiee kuomba like tuu toeni na pendekezo lenu yaani badala ya kuomba like msifie kwa kazi nzurii anayoifanyaa maana some times inakupa mawazo huku ukisema itatoka saangap ikiwa umechelewa apewe maua yake afu kuomba like baadae si mmeona me hata sijaomba like

  • @JemahEvaristo
    @JemahEvaristo 3 месяца назад +45

    Nmekua watano leo nimejitahid sana kila siku nakua wamwisho

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley 3 месяца назад +2

      Mrembo nipe like basi🎉🎉🎉nimekupeya iyo mimi🎉🎉

  • @nurually5993
    @nurually5993 3 месяца назад +51

    Waliofurahia ntanzi kurud wote like hapa 😂😂😂

  • @FredClaus-ql3vb
    @FredClaus-ql3vb 3 месяца назад +10

    Kazi nzuri clam vevo pongezi ziwafikie wale wote mlioshiriki kuitengeneza hii movie asa Kwa director kakoso,Mzee aliyekimbia na chupa,chaupele,pashambe,Mila,Zumba na mwasi. Ongereni Sana hatimae sasa himaya ya nzoya inakwenda kukombolewa❤❤❤❤. Ila tunawaomba msitucheleweshee episode inayofuata tunawapenda Sana timu clam vevo❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 tunawatakia kazi njema huko location.🎉🎉 Salute kwako director kakoso

  • @magesanyawaye655
    @magesanyawaye655 3 месяца назад +14

    sasa hivi wabongo tuko poa sana tulizoea kuyaona nigeria duuh ,big up team vevo!!!!

  • @pakpatriot-xk7qg
    @pakpatriot-xk7qg 3 месяца назад +22

    Movie hii inanipatia raha🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤,,, clam Vevo na wenzako, mbalikiwe. Pak toka Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 3 месяца назад +55

    Team strong hoyeeeeeeeeee umetegea snake boy ukiwa wapi jmn mm Niko Riyadh 🇰🇪🇸🇦🥰

  • @Morganpromoter
    @Morganpromoter 3 месяца назад +138

    Nipe like zangu all the way from🇧🇮to🇿🇦

  • @Mahratshafi-jn3tq
    @Mahratshafi-jn3tq 3 месяца назад +28

    Ninachompendea tem kakoso & clam yani hata wakitucheleweshea ndan ya siku 3 wanatulete kipande kirefe halafu kinanoga zaid ya kilichopita yani mko juu zaid wapendwa mnaweza Sanaa yani hamukeriii😂😂😂❤❤❤

  • @PatrickMua
    @PatrickMua 3 месяца назад +60

    Natokea kenya jana nilipigwa tiagass ya naomba likes kumi tu jamen

    • @Ajib-di1ns
      @Ajib-di1ns 3 месяца назад

      Naomba namba yako from tz

  • @ibrahimrenatus4804
    @ibrahimrenatus4804 3 месяца назад +18

    🎉Umetisha san CLAM pongezi kwenu pamoja na Director KAKOSO more love for you🎉🎉🎉

  • @tc_angel
    @tc_angel 3 месяца назад +52

    Aliyefurahi kumuona Ntanziiii😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @maylucson001
      @maylucson001 3 месяца назад +1

      😂😂😂❤❤❤❤❤

    • @BalbayMakau
      @BalbayMakau 3 месяца назад +1

      ❤❤❤❤❤

  • @QofSaidiKbsk01
    @QofSaidiKbsk01 3 месяца назад +137

    Nyinyi hamna vitu vya kufanya, kila mda online eti nipe like fyooto mimi ni wa nyoko. Waaaaacha! Les congolais vous êtes là 🇨🇩 ??

    • @nafsajuma6269
      @nafsajuma6269 3 месяца назад +1

      Waaambie bhana wanakera

    • @AsimweMusinguzi
      @AsimweMusinguzi 3 месяца назад +3

      😂😂😂😂 ns y sommes mn chef 🇨🇩🇨🇩❤, kwani fyooto na nyoko ni muhimu 😅

    • @vovobi2379
      @vovobi2379 3 месяца назад +1

      😅😅😅😅😅😅nimecheka

    • @chadrackkyakutala6423
      @chadrackkyakutala6423 3 месяца назад +1

      On est là mon frère 🇨🇩💪

    • @امينها-ث9ن
      @امينها-ث9ن 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @NshomaSayi
    @NshomaSayi 3 месяца назад +54

    tunaopenda kukimbilia kusoma comment uku tukiangalia snake boy gonga like

  • @dastanfuraha2244
    @dastanfuraha2244 3 месяца назад +4

    Good work in town #Clam Cris, Mungu akupe maisha marefu zaidi na yenye mafanikio tele uzidi kutuletea kazi nzuri kila leo, Amen🙏

  • @orindadavid2732
    @orindadavid2732 3 месяца назад +173

    Wakwanza from Kenya as we reject finance bill ,likes zangu zikuje

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx 3 месяца назад +80

    Watu wana omba like #jamanii 😅😅😅😅SI #waombe hata bando2😂😂😂😂😊

  • @Mattutu
    @Mattutu 3 месяца назад +134

    Am from Kenya tulikuwa maandamano ndio kurudi ,,,like 5 tuu please

    • @Officialkeicy-tz
      @Officialkeicy-tz 3 месяца назад +1

      Kumbe usiku hamuandamani manalala😂😂😂

    • @AgnesMasoud
      @AgnesMasoud 3 месяца назад +2

      Hujakatwa sikio

    • @Mattutu
      @Mattutu 3 месяца назад +1

      @@AgnesMasoud l thank God am safe we try again in Thursday,

    • @Mattutu
      @Mattutu 3 месяца назад +1

      @@Officialkeicy-tz yeah usiku huwezi ona teagas 🤣🤣we just relax

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 3 месяца назад +2

      Reject the bill n Zakayo must go

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 3 месяца назад +7

    Ila hawa wazee wa kijiji wamecheza uhalisia sana dah kwa wale wanaotambua maisha y kijijni ndo wataelew

  • @ErickEzekiel-lj8mu
    @ErickEzekiel-lj8mu 3 месяца назад +6

    Snake boy moto🔥 wa kuotea mbali bonge la season yani haijawahi tokea pig up sana wote walio shiliki kwenye snake boy❤😊🎉

  • @isharaganechi6616
    @isharaganechi6616 3 месяца назад +15

    Yes move nzuri tunayoipenda klambevo tunakusap 0:15 oti moja kwa moja kabisa inatisha sana 0:22 kama unampenda clam mugongeelike hapo

  • @Selevid-19
    @Selevid-19 3 месяца назад +37

    Leo wa kwanza mim toka songea Tanzania nipeni maua yangu🎉

  • @herllizzythaanaplatnumz8154
    @herllizzythaanaplatnumz8154 3 месяца назад +43

    Naombeni like angalau moja

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 месяца назад

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

  • @Kib-jsanley
    @Kib-jsanley 3 месяца назад +36

    Kenya 🇰🇪 saika basi kuna mahandamano🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪wa kenya wezangu kesho tena twende mahandamano kama uko tiari nipeli like🎉🎉🎉ruto atoke

  • @isayamwanjoka3958
    @isayamwanjoka3958 3 месяца назад +4

    Mdau wa maana sana na shabiki mkubwa snake boy mwanzo mwisho hongereni san kwa kazi njem mko vizuri san

  • @faizhassan5029
    @faizhassan5029 3 месяца назад +36

    Watching From War Country 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 +254 lakini najitahidi kuangalia Tamthilia pendwa Nipeni likes wadau

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 месяца назад

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

  • @TitusKurui
    @TitusKurui 3 месяца назад +51

    Wakwanza kutoka kenya wapi likes zangu jameeni

    • @benedictmsunga3290
      @benedictmsunga3290 3 месяца назад

      Wenzako wanaandamana wewe unamuangalia Clam

    • @edwardngugi3537
      @edwardngugi3537 3 месяца назад +1

      Kirui ulihata mchele ya parliament

    • @frankmichael1968
      @frankmichael1968 3 месяца назад

      Anapata hadi time ya kucomment

    • @edwardngugi3537
      @edwardngugi3537 3 месяца назад

      Bana Ii bleina tunapigania inchi na Iko home inawatch TU pono na youtube

    • @judymulewa9302
      @judymulewa9302 3 месяца назад

      ​@@edwardngugi3537😅😅😅😅

  • @JeanLunda-nv5fd
    @JeanLunda-nv5fd 3 месяца назад +7

    Nawa kubali sana kutokea Congo 🇨🇩🇨🇩

  • @YvesKubwimana-r1f
    @YvesKubwimana-r1f 3 месяца назад +8

    Jamani mimi na mshangazi wangu tunawafuatilia sana na tunapenda kazi zenu

  • @ShamambaOlivier-bn6td
    @ShamambaOlivier-bn6td 3 месяца назад +2

    Acha nikupe pongezi kwa kazi nzuri ambayo unaendeleya kuifanya naona umeanza kuiga mtindo waki Nigeria yani umeigiza kama watu wa Nigeria nime penda kweli

  • @zazalareinebosslady
    @zazalareinebosslady 3 месяца назад +697

    Ukipitiya comment yang ukisom vizur utagunduwa kuwa sikuomb like 😂😂so ukiwa unapenda snak boy ukitokey burundii tujuwane❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @hassankalu540
    @hassankalu540 3 месяца назад +55

    Sitki mtu a like hii comment yngu juu ya mtukufu mn hii comment haiwahusu kbsa team vevo moto sana

  • @LewisHamiltonGLD
    @LewisHamiltonGLD 3 месяца назад +5

    Hii snake boy inanipamba yaaani sichoki kabisaaaaa much love clam vevo pamoja na team yako ❤❤❤🎉🎉

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley 3 месяца назад +1

      Nipeni like🎉🎉

  • @aminamtondo1302
    @aminamtondo1302 3 месяца назад +14

    Kwani m ndio siwez zipata hizo like kwanini😢 naomb jmni

  • @MiishHassan-qm1et
    @MiishHassan-qm1et 3 месяца назад +5

    Ila Chaupelle.unanifurahisha unavyojizuzua gafla😂😂😂😂❤

  • @ag-rabbitzenj1379
    @ag-rabbitzenj1379 3 месяца назад +177

    Naomba like 10 tu kwa kufungua mwanzo😂

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 месяца назад +3

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

    • @JumaRajabu-gg7ib
      @JumaRajabu-gg7ib 3 месяца назад +3

      Unabeigan

    • @JumaRajabu-gg7ib
      @JumaRajabu-gg7ib 3 месяца назад

      Hilii naloo kumbee shengee😂😂😂

    • @Shaksi434
      @Shaksi434 3 месяца назад

      Wewe ndio mwenyemov au

    • @winmannwaka7048
      @winmannwaka7048 3 месяца назад

      Zina kusaidia nini like

  • @Chief_kidd
    @Chief_kidd 3 месяца назад +91

    Ni chief khan apo naombeni like kwa wanao mpenda clam

  • @DicksonMathias-p8h
    @DicksonMathias-p8h 3 месяца назад +7

    Naona Kila mtu anadai amekuwa wa1, sasa mm ni wa katikati naombeni japo like hata 10 tu zinanitosha please guys.

  • @KisimbaAbed
    @KisimbaAbed 3 месяца назад +15

    From. Windhoek Namibia 🇳🇦 nimekuwa wakwamza droop my like

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 месяца назад

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

    • @KisimbaAbed
      @KisimbaAbed 3 месяца назад

      Weeeee weeeee kipara ntakupiga konzi la icho kiutosi kama pakacha

  • @FailaOg-c2q
    @FailaOg-c2q 3 месяца назад +75

    Jameni Leo nimewahi Wa kwanza Leo naombeni like zangu🇺🇸❤️‍🩹🫰💪🎉

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 месяца назад +1

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

    • @FailaOg-c2q
      @FailaOg-c2q 3 месяца назад +1

      @@kalakido9455 🤣🤣💪

    • @Winleizerabdy
      @Winleizerabdy 3 месяца назад +2

      Acha ufala ndo uende kula ama😂😂

  • @BaziramwaboEugenetj-zm8rb
    @BaziramwaboEugenetj-zm8rb 3 месяца назад +16

    Ni tamu sana kabisa karibu

  • @Kib-jsanley
    @Kib-jsanley 3 месяца назад +8

    Kenya mahandalano😢😢😢50 personnel's wamefariki tuna msiba tupeni like🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭

  • @johnsittabundalabundala137
    @johnsittabundalabundala137 Месяц назад +1

    Vevo hongera sana kwa juhudi zako nakuomba uongeze zaidi ubunifu katika kazi zako

  • @IdayLams-d
    @IdayLams-d 3 месяца назад +28

    Nili isubiri sana🎉🎉

  • @PROFESSOREJAKAITBONFACE
    @PROFESSOREJAKAITBONFACE 3 месяца назад +8

    Umeka kwa chupa sana clam asante kutoka inje tena ni Professor kutoka BUSIA border Kenya teso

  • @qurthummrabdllh3635
    @qurthummrabdllh3635 3 месяца назад +13

    Ooooh jmny nimewah sana leoo naomben na mm basy nijue utam wa like 🎉🎉ata 5

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 месяца назад

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

    • @qurthummrabdllh3635
      @qurthummrabdllh3635 3 месяца назад

      @@kalakido9455 shukraan ila samahan tusifikie kutukanana kwa ajili ya filam tu hatujuani pls chunga maneno yako

  • @David-uhayi
    @David-uhayi 3 месяца назад +3

    Afu clam karudi mweusi kabisa😂😂😂😂😂😂😂 anatokeya chupani 😅😅😅😂😂😂😂

  • @salumuwembo-fo5rr365
    @salumuwembo-fo5rr365 3 месяца назад +17

    Mbona mimi sio wa kwanza kutazama chaneli hii ya Clam-vevo napenda sana video zake kutoka Kongo 🇨🇩🇨🇩🥰🥰🥰💯💯💯🎉🎉🎉

  • @Bongotimemedia
    @Bongotimemedia 3 месяца назад +22

    DOGO UNAJUA SANAAA IPO SIKU NITAKUTAFUTA GONGA LIKE APA CLAM

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 месяца назад

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

  • @KABAGAMBE-y9q
    @KABAGAMBE-y9q 3 месяца назад +10

    Léo nime wahiii gonga lake 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 niko wakwanza

  • @Official.DS-WW
    @Official.DS-WW 3 месяца назад +2

    Wangapi tunazidowload episodes hizi nakuziangalia na familia zetu gonga like tujuane

  • @ramlasuleiman
    @ramlasuleiman 3 месяца назад +2

    Reject reject reject the bill ❤safi sana team Vevo 🎉🎉kazi imenyooka mashalah ❤❤more 💗 from kenya

  • @Yuniz-bb6tn
    @Yuniz-bb6tn 3 месяца назад +10

    naona kila mtu apa wa kwanza n anadaisha like,,,nongwe tuh😂😂

  • @abduladinane
    @abduladinane 3 месяца назад +19

    Wale wezangu na mimi tujuwane hapa nikiwa Mozambique 🇲🇿🇲🇿

    • @NorteCarlitosJohn
      @NorteCarlitosJohn 3 месяца назад +1

      2ko pamoja 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

    • @abduladinane
      @abduladinane 3 месяца назад

      @@NorteCarlitosJohn tamos juntos 🫂

  • @DifekenDavid
    @DifekenDavid 3 месяца назад +5

    Difken David apa Congo🇨🇩
    Clam Vevo kazi bora

  • @iddymsulwafurniture6589
    @iddymsulwafurniture6589 3 месяца назад +1

    Daah so happy clam ur back.... Vila mzee wa kurukutanta mantete😂😂 . snake boy mmetisha knoma nomaa🎉🎉

  • @issashaban7378
    @issashaban7378 3 месяца назад +1

    Asa uyu jamaa wa wali maharage ya nazi move nzima ije iishe kashiba tayari 😂😂😂😂

  • @soumah_bajaji_body_disegner
    @soumah_bajaji_body_disegner 3 месяца назад +58

    wa kwanza Leo bila kuchoka clam master like zake tuweke apa😂

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 месяца назад +1

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

    • @soumah_bajaji_body_disegner
      @soumah_bajaji_body_disegner 3 месяца назад +1

      Asa matusi ya nn Kaka kama hauwezi kulike pita sio matusi afu usipende kutukan mtu ambaye haumjuw haukuniwekea bado

  • @SharifuAbdallah-g5k
    @SharifuAbdallah-g5k 3 месяца назад +172

    Watu bwana baada ya mtu andike comment yake et anasoma ya kwangu nipeni like jaman mashabiki wa snek boy

  • @yuleflexboy494
    @yuleflexboy494 3 месяца назад +56

    Nipo Cape town Mitchell's plain naomben like zenu, sijawai zipata

  • @jeremayaClassicPhoto
    @jeremayaClassicPhoto 3 месяца назад +2

    Unaninii tanti.....Kipara tuliza mtori nyama ziko chini..utafinywa na wachawi wa himaya hii😂😂😂😂

  • @YahyaHillow
    @YahyaHillow 3 месяца назад +3

    Africa yote ni Clam VEVO Kila siku....from south Africa
    .. hogera kijana chapati

  • @johnrogeo2161
    @johnrogeo2161 3 месяца назад +5

    kali sana, hadi Farasi wametoroka 😅😅🔥 Episode 26 msiicheleweshe

  • @NuhuMwita
    @NuhuMwita 3 месяца назад +13

    Kwa leo like tano zinanitoxha❤❤❤

  • @FredyKhamis
    @FredyKhamis 3 месяца назад +4

    The first one from ghana🎉🎉 keep u're like

  • @OmarJay-ee8hg
    @OmarJay-ee8hg 3 месяца назад +1

    Leo moto umezidi kuwa motoooooo safi sanaaaaaa watu wangu wa nguvu

  • @SaidiAbdallah-nd2wm
    @SaidiAbdallah-nd2wm 2 месяца назад

    Mtukufu ur something else...everyone is playing his/her role Excellently intact with perfect perfection..

  • @yusrakagunga3066
    @yusrakagunga3066 3 месяца назад +5

    Hv watu wanalala online au maana sielew 😂. Aya naomben like zang kwa kuwahi 1hr😊

  • @MohammedDhidha-gi2pu
    @MohammedDhidha-gi2pu 3 месяца назад +10

    Naomba like zangu jamani wakwanza leo nipobkenya shabiki bora kuliko,

  • @abaismailhatibu
    @abaismailhatibu 3 месяца назад +10

    Nipen like zang jmn nimekua wa kwanza

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 месяца назад

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 месяца назад

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

  • @MkasyswallehsaidSwalleh
    @MkasyswallehsaidSwalleh 2 месяца назад

    Asante sana tahira mweupe kwa kz yko nzr ya kulta chupa❤❤❤😊Alhamdhulillah ntanzi is back again 😊dua yangu imekubalika team strong hoyeeee from saudi Arabia 🇸🇦 ❤❤❤❤

  • @AmosSinkala-lx4sl
    @AmosSinkala-lx4sl 3 месяца назад +5

    *`kama umefurahi kuona mwakatobe a.k.a zinga anagombania chakula weka like Kwa clam na sio kwangu`*•

  • @KidronRoyal
    @KidronRoyal 3 месяца назад +4

    MWENYEZI MUNGUU ATUAMSHE SALAMA SIKU YA KESHO TUKAPAMBANE🥱❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏

  • @arondotto
    @arondotto 3 месяца назад +5

    Karibuni tena kwa mala nyingine tena na CLAM VEVO

  • @JUNNOXLOVE_02
    @JUNNOXLOVE_02 3 месяца назад +36

    Wakwanza naombeni like zenu na mm jamaa

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 месяца назад +1

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 месяца назад +1

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

    • @Kib-jsanley
      @Kib-jsanley 3 месяца назад

      Like🎉🎉basi

  • @Chrismasongs-z7n
    @Chrismasongs-z7n 3 месяца назад +2

    Nimeipata hii kaka🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @GloriaNahimana-x8p
    @GloriaNahimana-x8p 3 месяца назад +5

    Naomba like mwenge atakuja nyuma ❤🎉❤🎉🇧🇮

  • @RoziPeter
    @RoziPeter 3 месяца назад +14

    Na Mimi jamn sijawahi kupata like japo hata sijuw Ina maan Gani ili tumpeni mauya yake clam na kikosi chake maan wanaupiga mwingi jamm❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @bilombelekilozodieudonne123
    @bilombelekilozodieudonne123 3 месяца назад +16

    Wa kwanza mimi ❤ nipeni like zangu

    • @kalakido9455
      @kalakido9455 3 месяца назад

      Acha uboya na ufala like like
      Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!

    • @bilombelekilozodieudonne123
      @bilombelekilozodieudonne123 3 месяца назад

      😂😂😂😂 umerogwa ww sio bure ​@@kalakido9455

  • @Damara-f1s
    @Damara-f1s 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri clam vevo n kikundi chako hongereni sana watching from Kenya

  • @shivamichael4967
    @shivamichael4967 3 месяца назад +1

    Jamaaa mnatucheleweshea sana hizi kazi Ila kazi ya motooo aise

  • @dastanijohnfupe1025
    @dastanijohnfupe1025 3 месяца назад +5

    Mimi wa milioni moja na 2 naombeni like jamani au mpka niwe wa kwanza

  • @HazardHbcomEmmanuelprodduseign
    @HazardHbcomEmmanuelprodduseign 3 месяца назад +2

    Dépuis le Congo RDC 🇨🇩 précisément à Kinshasa je vous suit.

  • @dizoclick
    @dizoclick 2 месяца назад

    Wacha karejea Director kazi nzuri na Vevo baada ya miezi kupita karudi... Great stori

  • @FatumaAhmad-ui1ho
    @FatumaAhmad-ui1ho 3 месяца назад +5

    Jamani nyie sa itakuwaje kwa ntanzi please tunaomba ya 26 soon

  • @qpperboy1381
    @qpperboy1381 3 месяца назад +3

    Sasa hamtupigii simu tuje kuangalia mpaka nakuwa wa 155k sijaenda 😂

  • @Joramkatana
    @Joramkatana 3 месяца назад

    Welcome back Ntanzi...it has been long detained in that bottle.
    Congratulations for the amazing piece of work.
    Mnatishaaa mjueee...
    Halafu nampea Maua yake Chaupele...this guy is man of the episode 25...superb,cool..
    Hongerani Sana.🇰🇪🇰🇪 Salute nawapea.
    Wacha nirudi maandamano.
    #RejectFinanceBill2024

  • @RehemaPestiny-j7n
    @RehemaPestiny-j7n 3 месяца назад +7

    Woyoooooo like hapa kama wapenda snake boy kama mimi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @atupelenyondo6379
    @atupelenyondo6379 3 месяца назад +6

    nipeni hizo likes aseee tumesubir kwa mud vevo family

  • @ngoshanangi8629
    @ngoshanangi8629 3 месяца назад +2

    Kaka unafanya vizuri sana katika uwekezaji wako ndo maana kazi zinatoka zikuwa nzuri 👍👍 ......... nikiwa shinyanga, kahama

  • @WaziriNapanja
    @WaziriNapanja 3 месяца назад +1

    kusemakwel uyu jamaaa anajuwa sana ilakuna watu hawapend kazi yake hila kwangu mm haaa namkubali sana

  • @Mnyaturu980
    @Mnyaturu980 3 месяца назад +77

    Watu wana omba like huwa wana zifanyia kazi gani?? Na mm nianze kuziomba

    • @nafsajuma6269
      @nafsajuma6269 3 месяца назад +3

      Labda zina badilik kuwa pesaàaaaaa

    • @MagrethKasongo
      @MagrethKasongo 3 месяца назад

      @@nafsajuma6269😂😂😂😂

    • @MagrethKasongo
      @MagrethKasongo 3 месяца назад +1

      😂😂😂😂

    • @barakamarwa1915
      @barakamarwa1915 3 месяца назад +1

      Walia chapati na maharage

    • @josephlugongo6357
      @josephlugongo6357 3 месяца назад +1

      Yaani nimejiuliza sana Hilo swali na ukiwauliza majibu hawatoi.

  • @J74251
    @J74251 3 месяца назад +8

    Vyenye nimekua nikitegea hii series kwa hamu na gham sana ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NelsonMandaku
    @NelsonMandaku 3 месяца назад +4

    Mina kufata kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @mwanaidisagala2426
    @mwanaidisagala2426 3 месяца назад +2

    Wa mafia gonga like my jamani tunasubili mpk tunasubili tena mbona mmekuwa MNA chukuwa sk nyingi Sana hamjalusha mpk tunasahau Leo imeisha cjui lini tena jamani 🙇‍♂️

  • @arlymalundi9365
    @arlymalundi9365 3 месяца назад +1

    Likua nishangae mtukufu aache wali marage kisa kutibia😂😂😂

  • @abrahmanamour8223
    @abrahmanamour8223 3 месяца назад +4

    Nipo kati nafasi ya robo saa wa mwanzo jmn naitaj like nimeipata dakika ya

  • @johnsalehe
    @johnsalehe 3 месяца назад +6

    Wa kwanza hapa nipeni likes zang tafadhali👏😊

  • @sisdirector3326
    @sisdirector3326 3 месяца назад +5

    Wakwanza kutoka zanzibar naomba like zangu na mm 😂😂

  • @SunduliThwalib
    @SunduliThwalib 3 месяца назад

    Am from Kenya yani siamini kua vila aliwezwa hadi kwekwa kwenye chupa na venye nilikua nimemwamini. Okay just waiting for episode 26 please like zangu hapo nikiondoka