Hii series ni nzuri Sana Tena Sana pongezi nyingi kwa Clam VEVO anawezaaa afu msiishiee kuomba like tuu toeni na pendekezo lenu yaani badala ya kuomba like msifie kwa kazi nzurii anayoifanyaa maana some times inakupa mawazo huku ukisema itatoka saangap ikiwa umechelewa apewe maua yake afu kuomba like baadae si mmeona me hata sijaomba like
Kazi nzuri clam vevo pongezi ziwafikie wale wote mlioshiriki kuitengeneza hii movie asa Kwa director kakoso,Mzee aliyekimbia na chupa,chaupele,pashambe,Mila,Zumba na mwasi. Ongereni Sana hatimae sasa himaya ya nzoya inakwenda kukombolewa❤❤❤❤. Ila tunawaomba msitucheleweshee episode inayofuata tunawapenda Sana timu clam vevo❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 tunawatakia kazi njema huko location.🎉🎉 Salute kwako director kakoso
Ninachompendea tem kakoso & clam yani hata wakitucheleweshea ndan ya siku 3 wanatulete kipande kirefe halafu kinanoga zaid ya kilichopita yani mko juu zaid wapendwa mnaweza Sanaa yani hamukeriii😂😂😂❤❤❤
Acha nikupe pongezi kwa kazi nzuri ambayo unaendeleya kuifanya naona umeanza kuiga mtindo waki Nigeria yani umeigiza kama watu wa Nigeria nime penda kweli
Asante sana tahira mweupe kwa kz yko nzr ya kulta chupa❤❤❤😊Alhamdhulillah ntanzi is back again 😊dua yangu imekubalika team strong hoyeeee from saudi Arabia 🇸🇦 ❤❤❤❤
Welcome back Ntanzi...it has been long detained in that bottle. Congratulations for the amazing piece of work. Mnatishaaa mjueee... Halafu nampea Maua yake Chaupele...this guy is man of the episode 25...superb,cool.. Hongerani Sana.🇰🇪🇰🇪 Salute nawapea. Wacha nirudi maandamano. #RejectFinanceBill2024
Wa mafia gonga like my jamani tunasubili mpk tunasubili tena mbona mmekuwa MNA chukuwa sk nyingi Sana hamjalusha mpk tunasahau Leo imeisha cjui lini tena jamani 🙇♂️
Am from Kenya yani siamini kua vila aliwezwa hadi kwekwa kwenye chupa na venye nilikua nimemwamini. Okay just waiting for episode 26 please like zangu hapo nikiondoka
Hii series ni nzuri Sana Tena Sana pongezi nyingi kwa Clam VEVO anawezaaa afu msiishiee kuomba like tuu toeni na pendekezo lenu yaani badala ya kuomba like msifie kwa kazi nzurii anayoifanyaa maana some times inakupa mawazo huku ukisema itatoka saangap ikiwa umechelewa apewe maua yake afu kuomba like baadae si mmeona me hata sijaomba like
Nmekua watano leo nimejitahid sana kila siku nakua wamwisho
Mrembo nipe like basi🎉🎉🎉nimekupeya iyo mimi🎉🎉
Waliofurahia ntanzi kurud wote like hapa 😂😂😂
❤😂
Kazi nzuri clam vevo pongezi ziwafikie wale wote mlioshiriki kuitengeneza hii movie asa Kwa director kakoso,Mzee aliyekimbia na chupa,chaupele,pashambe,Mila,Zumba na mwasi. Ongereni Sana hatimae sasa himaya ya nzoya inakwenda kukombolewa❤❤❤❤. Ila tunawaomba msitucheleweshee episode inayofuata tunawapenda Sana timu clam vevo❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 tunawatakia kazi njema huko location.🎉🎉 Salute kwako director kakoso
sasa hivi wabongo tuko poa sana tulizoea kuyaona nigeria duuh ,big up team vevo!!!!
Movie hii inanipatia raha🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤,,, clam Vevo na wenzako, mbalikiwe. Pak toka Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Team strong hoyeeeeeeeeee umetegea snake boy ukiwa wapi jmn mm Niko Riyadh 🇰🇪🇸🇦🥰
Damam ❤❤
Oyee watu WA Dammam kwa mpigo
Hoyeee
Mm nko Jeddah
Sajir😂😂
Nipe like zangu all the way from🇧🇮to🇿🇦
Acha hzo support bana
Izo likes utakunya au
Wa pili mm nimepeni like za kutosha jaman
Vp uko bize na snake boy vp maandamano kwenu yameisha
Njoo utusaidie sasa😂😁
Ninachompendea tem kakoso & clam yani hata wakitucheleweshea ndan ya siku 3 wanatulete kipande kirefe halafu kinanoga zaid ya kilichopita yani mko juu zaid wapendwa mnaweza Sanaa yani hamukeriii😂😂😂❤❤❤
Natokea kenya jana nilipigwa tiagass ya naomba likes kumi tu jamen
Naomba namba yako from tz
🎉Umetisha san CLAM pongezi kwenu pamoja na Director KAKOSO more love for you🎉🎉🎉
Aliyefurahi kumuona Ntanziiii😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😂😂😂❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
Nyinyi hamna vitu vya kufanya, kila mda online eti nipe like fyooto mimi ni wa nyoko. Waaaaacha! Les congolais vous êtes là 🇨🇩 ??
Waaambie bhana wanakera
😂😂😂😂 ns y sommes mn chef 🇨🇩🇨🇩❤, kwani fyooto na nyoko ni muhimu 😅
😅😅😅😅😅😅nimecheka
On est là mon frère 🇨🇩💪
😂😂😂😂😂😂😂
tunaopenda kukimbilia kusoma comment uku tukiangalia snake boy gonga like
Haha
Good work in town #Clam Cris, Mungu akupe maisha marefu zaidi na yenye mafanikio tele uzidi kutuletea kazi nzuri kila leo, Amen🙏
Wakwanza from Kenya as we reject finance bill ,likes zangu zikuje
Like yangu niyaku reject finance bill
Niko hapa we rejected finance bill
Viva
Yangu ni ya reject finance bill
#REJECT
Watu wana omba like #jamanii 😅😅😅😅SI #waombe hata bando2😂😂😂😂😊
Mie hapa naomba bando 😅
@@vellah-op4ut safii wewe mtu wa maana kabisaaa
😂😂😂
😂😂wanaboa kwan zinafaida gan?
wenda ndio chakula hata maoni hamuna
Am from Kenya tulikuwa maandamano ndio kurudi ,,,like 5 tuu please
Kumbe usiku hamuandamani manalala😂😂😂
Hujakatwa sikio
@@AgnesMasoud l thank God am safe we try again in Thursday,
@@Officialkeicy-tz yeah usiku huwezi ona teagas 🤣🤣we just relax
Reject the bill n Zakayo must go
Ila hawa wazee wa kijiji wamecheza uhalisia sana dah kwa wale wanaotambua maisha y kijijni ndo wataelew
Snake boy moto🔥 wa kuotea mbali bonge la season yani haijawahi tokea pig up sana wote walio shiliki kwenye snake boy❤😊🎉
Yes move nzuri tunayoipenda klambevo tunakusap 0:15 oti moja kwa moja kabisa inatisha sana 0:22 kama unampenda clam mugongeelike hapo
Leo wa kwanza mim toka songea Tanzania nipeni maua yangu🎉
Naombeni like angalau moja
Acha uboya na ufala like like
Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
Kenya 🇰🇪 saika basi kuna mahandamano🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪wa kenya wezangu kesho tena twende mahandamano kama uko tiari nipeli like🎉🎉🎉ruto atoke
Zoea prezo wako mapema ndio best ❤❤❤🇰🇪
Atoke aende wapi ??
🎉🎉❤❤❤
Mdau wa maana sana na shabiki mkubwa snake boy mwanzo mwisho hongereni san kwa kazi njem mko vizuri san
Watching From War Country 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 +254 lakini najitahidi kuangalia Tamthilia pendwa Nipeni likes wadau
Acha uboya na ufala like like
Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
Wakwanza kutoka kenya wapi likes zangu jameeni
Wenzako wanaandamana wewe unamuangalia Clam
Kirui ulihata mchele ya parliament
Anapata hadi time ya kucomment
Bana Ii bleina tunapigania inchi na Iko home inawatch TU pono na youtube
@@edwardngugi3537😅😅😅😅
Nawa kubali sana kutokea Congo 🇨🇩🇨🇩
Jamani mimi na mshangazi wangu tunawafuatilia sana na tunapenda kazi zenu
Acha nikupe pongezi kwa kazi nzuri ambayo unaendeleya kuifanya naona umeanza kuiga mtindo waki Nigeria yani umeigiza kama watu wa Nigeria nime penda kweli
Ukipitiya comment yang ukisom vizur utagunduwa kuwa sikuomb like 😂😂so ukiwa unapenda snak boy ukitokey burundii tujuwane❤❤🎉🎉🎉🎉
Niko hapa🇧🇮
Tuko hapa
Tupo apa🇧🇮
Tuko hapa bj❤
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Sitki mtu a like hii comment yngu juu ya mtukufu mn hii comment haiwahusu kbsa team vevo moto sana
Hii snake boy inanipamba yaaani sichoki kabisaaaaa much love clam vevo pamoja na team yako ❤❤❤🎉🎉
Nipeni like🎉🎉
Kwani m ndio siwez zipata hizo like kwanini😢 naomb jmni
Ila Chaupelle.unanifurahisha unavyojizuzua gafla😂😂😂😂❤
Naomba like 10 tu kwa kufungua mwanzo😂
Acha uboya na ufala like like
Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
Unabeigan
Hilii naloo kumbee shengee😂😂😂
Wewe ndio mwenyemov au
Zina kusaidia nini like
Ni chief khan apo naombeni like kwa wanao mpenda clam
Naona Kila mtu anadai amekuwa wa1, sasa mm ni wa katikati naombeni japo like hata 10 tu zinanitosha please guys.
From. Windhoek Namibia 🇳🇦 nimekuwa wakwamza droop my like
Acha uboya na ufala like like
Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
Weeeee weeeee kipara ntakupiga konzi la icho kiutosi kama pakacha
Jameni Leo nimewahi Wa kwanza Leo naombeni like zangu🇺🇸❤️🩹🫰💪🎉
Acha uboya na ufala like like
Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
@@kalakido9455 🤣🤣💪
Acha ufala ndo uende kula ama😂😂
Ni tamu sana kabisa karibu
Kenya mahandalano😢😢😢50 personnel's wamefariki tuna msiba tupeni like🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭
Poleni 😭😭😭
Vevo hongera sana kwa juhudi zako nakuomba uongeze zaidi ubunifu katika kazi zako
Nili isubiri sana🎉🎉
Umeka kwa chupa sana clam asante kutoka inje tena ni Professor kutoka BUSIA border Kenya teso
Ooooh jmny nimewah sana leoo naomben na mm basy nijue utam wa like 🎉🎉ata 5
Acha uboya na ufala like like
Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
@@kalakido9455 shukraan ila samahan tusifikie kutukanana kwa ajili ya filam tu hatujuani pls chunga maneno yako
Afu clam karudi mweusi kabisa😂😂😂😂😂😂😂 anatokeya chupani 😅😅😅😂😂😂😂
Mbona mimi sio wa kwanza kutazama chaneli hii ya Clam-vevo napenda sana video zake kutoka Kongo 🇨🇩🇨🇩🥰🥰🥰💯💯💯🎉🎉🎉
Like🎉🎉
DOGO UNAJUA SANAAA IPO SIKU NITAKUTAFUTA GONGA LIKE APA CLAM
Acha uboya na ufala like like
Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
Léo nime wahiii gonga lake 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 niko wakwanza
Wangapi tunazidowload episodes hizi nakuziangalia na familia zetu gonga like tujuane
Reject reject reject the bill ❤safi sana team Vevo 🎉🎉kazi imenyooka mashalah ❤❤more 💗 from kenya
Nipeni like🎉🎉
naona kila mtu apa wa kwanza n anadaisha like,,,nongwe tuh😂😂
Wale wezangu na mimi tujuwane hapa nikiwa Mozambique 🇲🇿🇲🇿
2ko pamoja 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@@NorteCarlitosJohn tamos juntos 🫂
Difken David apa Congo🇨🇩
Clam Vevo kazi bora
Daah so happy clam ur back.... Vila mzee wa kurukutanta mantete😂😂 . snake boy mmetisha knoma nomaa🎉🎉
Asa uyu jamaa wa wali maharage ya nazi move nzima ije iishe kashiba tayari 😂😂😂😂
wa kwanza Leo bila kuchoka clam master like zake tuweke apa😂
Acha uboya na ufala like like
Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
Asa matusi ya nn Kaka kama hauwezi kulike pita sio matusi afu usipende kutukan mtu ambaye haumjuw haukuniwekea bado
Watu bwana baada ya mtu andike comment yake et anasoma ya kwangu nipeni like jaman mashabiki wa snek boy
Kma hutaki isomwe usiandike
I like you @@muhsinhassan5273
Mhh
Acha uboya na ufala like like
Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
Himaya 😂
Nipo Cape town Mitchell's plain naomben like zenu, sijawai zipata
Mimi niko retreat ni dm ili tu chat fresh
@@Footballnews8281 poa
@@Footballnews8281 poa
Unaninii tanti.....Kipara tuliza mtori nyama ziko chini..utafinywa na wachawi wa himaya hii😂😂😂😂
Africa yote ni Clam VEVO Kila siku....from south Africa
.. hogera kijana chapati
kali sana, hadi Farasi wametoroka 😅😅🔥 Episode 26 msiicheleweshe
Kwa leo like tano zinanitoxha❤❤❤
The first one from ghana🎉🎉 keep u're like
Leo moto umezidi kuwa motoooooo safi sanaaaaaa watu wangu wa nguvu
Mtukufu ur something else...everyone is playing his/her role Excellently intact with perfect perfection..
Hv watu wanalala online au maana sielew 😂. Aya naomben like zang kwa kuwahi 1hr😊
Naomba like zangu jamani wakwanza leo nipobkenya shabiki bora kuliko,
Nipen like zang jmn nimekua wa kwanza
Acha uboya na ufala like like
Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
Acha uboya na ufala like like
Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
Asante sana tahira mweupe kwa kz yko nzr ya kulta chupa❤❤❤😊Alhamdhulillah ntanzi is back again 😊dua yangu imekubalika team strong hoyeeee from saudi Arabia 🇸🇦 ❤❤❤❤
*`kama umefurahi kuona mwakatobe a.k.a zinga anagombania chakula weka like Kwa clam na sio kwangu`*•
MWENYEZI MUNGUU ATUAMSHE SALAMA SIKU YA KESHO TUKAPAMBANE🥱❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏
Bora hat ww umemkumbuk mungu siyo hao wa likes
@@ZuwenaLandism-ft1lb hakika 🔥🔥🔥🔥
Ameen 🙏
Aaami thumma Aamin
Amin
Karibuni tena kwa mala nyingine tena na CLAM VEVO
Wakwanza naombeni like zenu na mm jamaa
Acha uboya na ufala like like
Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
Acha uboya na ufala like like
Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
Like🎉🎉basi
Nimeipata hii kaka🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Naomba like mwenge atakuja nyuma ❤🎉❤🎉🇧🇮
Na Mimi jamn sijawahi kupata like japo hata sijuw Ina maan Gani ili tumpeni mauya yake clam na kikosi chake maan wanaupiga mwingi jamm❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Wa kwanza mimi ❤ nipeni like zangu
Acha uboya na ufala like like
Utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii!
😂😂😂😂 umerogwa ww sio bure @@kalakido9455
Kazi nzuri clam vevo n kikundi chako hongereni sana watching from Kenya
Jamaaa mnatucheleweshea sana hizi kazi Ila kazi ya motooo aise
Mimi wa milioni moja na 2 naombeni like jamani au mpka niwe wa kwanza
Dépuis le Congo RDC 🇨🇩 précisément à Kinshasa je vous suit.
Wacha karejea Director kazi nzuri na Vevo baada ya miezi kupita karudi... Great stori
Jamani nyie sa itakuwaje kwa ntanzi please tunaomba ya 26 soon
Sasa hamtupigii simu tuje kuangalia mpaka nakuwa wa 155k sijaenda 😂
Welcome back Ntanzi...it has been long detained in that bottle.
Congratulations for the amazing piece of work.
Mnatishaaa mjueee...
Halafu nampea Maua yake Chaupele...this guy is man of the episode 25...superb,cool..
Hongerani Sana.🇰🇪🇰🇪 Salute nawapea.
Wacha nirudi maandamano.
#RejectFinanceBill2024
Woyoooooo like hapa kama wapenda snake boy kama mimi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
nipeni hizo likes aseee tumesubir kwa mud vevo family
Kaka unafanya vizuri sana katika uwekezaji wako ndo maana kazi zinatoka zikuwa nzuri 👍👍 ......... nikiwa shinyanga, kahama
kusemakwel uyu jamaaa anajuwa sana ilakuna watu hawapend kazi yake hila kwangu mm haaa namkubali sana
Watu wana omba like huwa wana zifanyia kazi gani?? Na mm nianze kuziomba
Labda zina badilik kuwa pesaàaaaaa
@@nafsajuma6269😂😂😂😂
😂😂😂😂
Walia chapati na maharage
Yaani nimejiuliza sana Hilo swali na ukiwauliza majibu hawatoi.
Vyenye nimekua nikitegea hii series kwa hamu na gham sana ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Mina kufata kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Wa mafia gonga like my jamani tunasubili mpk tunasubili tena mbona mmekuwa MNA chukuwa sk nyingi Sana hamjalusha mpk tunasahau Leo imeisha cjui lini tena jamani 🙇♂️
Likua nishangae mtukufu aache wali marage kisa kutibia😂😂😂
Nipo kati nafasi ya robo saa wa mwanzo jmn naitaj like nimeipata dakika ya
Wa kwanza hapa nipeni likes zang tafadhali👏😊
Ufanyie nini emb toa ushaur
Wakwanza kutoka zanzibar naomba like zangu na mm 😂😂
Am from Kenya yani siamini kua vila aliwezwa hadi kwekwa kwenye chupa na venye nilikua nimemwamini. Okay just waiting for episode 26 please like zangu hapo nikiondoka