Hii movie ni nzuri Sanaa ila👏👏👏🔥 Mwakatobe jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣ndio utuvalie kaniki kwa nini lakini 😂😂😂😂🙌🔥😍 nzuri sanaa yaani kila mshiriki ameitendea hak👏👏❤️
Nilikuwa nakuchukulis poa ista ukipost naenda nyumbani😅 ila we ni mtu mbadi aiseee vevo mimi nishabiki yako mpya kindakindaki hii moves ya 4 natazama zote ni moto
kuna kitu karika movie yenu hamjatujulisha ; kim alikuwa na wazazi wake mjini ambaye ni Director kakoso na yule mama, lakini cha kushangaza huku kijijini ana baba mzazi mwingine ,hii imekaaje?
na lingi yo bro clam vevo❤
Also me niko bado sijachelewa ivo all the way from Kenya 🇰🇪🇰🇪 wap likes zangu
Nampenda hoyo Binti aliye cheza kama jambaz mkubwa
Nimeikubali sana hii filamu, iko juu sana. Big up sana broo.🎉
ruclips.net/video/p3vOhZMaUvs/видео.htmlsi=eKuFYOCroOkwoz6C
Mimi hapa kama mnavyonijua maneno kidogo likes nyingi basi nipeni hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤ 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤
ruclips.net/video/p3vOhZMaUvs/видео.htmlsi=eKuFYOCroOkwoz6C
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤
Oya VEVO respect inatakiwa kwakweli kaz ipo fresh💪💪💪💪 endelea ivo ivo janja, Stv from Malawi
ruclips.net/video/p3vOhZMaUvs/видео.htmlsi=eKuFYOCroOkwoz6C
Nitakua nasubir full na enjoy tu mwenywe❤❤ bt vevo ulichoka ssna ii move
Namba moja mimi Leo HEBUNI LIKE ZANGU 😅😅😅
ruclips.net/video/p3vOhZMaUvs/видео.htmlsi=eKuFYOCroOkwoz6C
Daaanh big up kimuh haun Kaz mbovu napenda sana Kaz zko vevo unasair 🌺🌺🌺 yko
Wakwanza leo mnipee likes zangu one love from kenya
ruclips.net/video/p3vOhZMaUvs/видео.htmlsi=eKuFYOCroOkwoz6C
Nmelia san kipande chamwisho mnilpe machozi yangu😂😂😂
😂😂😂😂😂 daaaah nimependa mapenzi ya wauni😂😂 demu anafumania harafu fresh
Hahaha kingereza kinachekeshaa Sana'a
Same thoughts ohh 😅😅😅😅
Good sema tunaisubir kuona mpya kaka like back to me nimekua wa kwanza jamani
FRESH
That's good, Endelea kukaza nondo kijana.nimeipenda sana.❤😮😮😮😅😅😅😅
Hii ni tamthilia tam jaman bas naomba like kum tu❤❤❤❤❤❤
Mimi APA nipeni ❤❤🇨🇩
Mfaume na malkia kwa ubora wao MashaAllah 🥰 VEVO to the world 🌎 hanaga show mbovu keep it up guys
Sijachelewa sana naombeni zangu
Mwendelezowa wake brother 😳😳😳
Hii movie ni nzuri Sanaa ila👏👏👏🔥 Mwakatobe jamani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣ndio utuvalie kaniki kwa nini lakini 😂😂😂😂🙌🔥😍 nzuri sanaa yaani kila mshiriki ameitendea hak👏👏❤️
Mwakatobe😂😂😂😂😂 anajiendekeza sana
Big up sana
Kaka vevo
Sema aliyechukua mzigo wachips mwamba sana
Fire movie nihatali sana 😊
Hii ni Kali sana
❤🎉😊
Safi vevo umetishaa
Jamani nataka like please nying mana nafwata san
Boy from mbeya wakwanza Leo GONGA like twende sawa
ruclips.net/video/p3vOhZMaUvs/видео.htmlsi=eKuFYOCroOkwoz6Cl
Sasa huyo kijicho mashuka meus na ujambaz wap na wap kweny uhusika wa kijambaz, mlifel
Akili zake uyo😂😂😂mwakatobe❤❤❤
The boy is a real actor, keep it up
Hiyo movie iko fiti wee mwenye kuenjoy hapo kwa kupigana give me a thumb😂😂😂mateke nayo Clamvevo keep it up,much love from Kenya ❤❤❤
Umeshindwa kuendeleza BIG BOSS SEMA BRO...
ruclips.net/video/p3vOhZMaUvs/видео.htmlsi=eKuFYOCroOkwoz6C
I'm with you here... i have visted his channel many times because of this
Mamb.💕
@@rosewamalwa8065
Wakwaza 💪👍👍👍🇹🇿
ruclips.net/video/p3vOhZMaUvs/видео.htmlsi=eKuFYOCroOkwoz6C
uoniuongoo
Leo wakwanza kutoka Burundi nipeni likes zangu❤🎉
The kanumba is comming in you
Wakwanz leo naomba like kumi tu za chama vevo🎉🎉🎉
ruclips.net/video/p3vOhZMaUvs/видео.htmlsi=eKuFYOCroOkwoz6C
Mimi ni. Kwanza nipeni likes zngu
Inaweza sana ❤❤❤❤
Leo Mm Ni Wakwanza 😂😂😂
Vivo unaweza baba
Hili ni bonge la movie mwanzo mpaka mwisho lakini anae nifurahisha n mwakatobe😅😅😅😅
Mwakatobe 😂🤣😂🤣😂😂😂😂but vevo kumbe wewe upande wa mazumbwe uko poa nimeipenda sana kazi nzuri sana 🤜🤛🤜🤛🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Bonge la movie nawakubali sana nikiwa Rwanda
Kwanza kwenye hii jaman gonga like ❤❤❤
Kama una mkubali clam Vevo kwazi zake nipe like bs
we like u clam vevo, welcome in malawi
Clam kuigiza hujui bdo unahitaji script za kueleweka na hata uigizaji wako ni wa underground
Wew yako unayejua ikwapi
Aisee hii move aikinai na naenderea kuangalia kam skuanglia an
ruclips.net/video/p3vOhZMaUvs/видео.htmlsi=eKuFYOCroOkwoz6C
Mwakatobe uyooo sasa anashindwa kufanya kazi anafikiya kula 😂😂😂
Sema mnatupiga uyo mwakatobe kaniki na ujambaz wap na wap
Mwakatobe jamani😂😂😂😂😂
Safii sem kam iv mapem t
Wouzaaa
Wertyuipkhds
M
H
Juip
H
F
Wakwanz Burund nakupend clam vevo
ruclips.net/video/p3vOhZMaUvs/видео.htmlsi=eKuFYOCroOkwoz6C
Ila Mwakatobe sikwavikwembe hivyo 😅😅😅
Mwakatobe uta kufa maskini mbwa acha tama na vyakula😅😂
Shenzi rimchukua vyakula chipus hela zikabaki Wallah hhhhhhhhha 😊😊😊😊😊😊😊😊😂😂😂😂😅😅
Kazi nzuri clam vevo❤❤,,more appropriate from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kama ulifualitia vipande vyote kama Mimi gonga like hapa
Nice boss clam
Naombeni likes wakwanza mimi❤❤❤
Hapo kwa kizungu sasa😂😂 my ribs yoh
Team VEVO let's gooooo ❤❤❤❤❤❤❤
Jaman mwakatobe anafaa kwenye uganga tu ila apo ajanoga atakdogo jaman
😮inaweza iyo mistake na snek boy
Safi sanaaaa all the way from Kenya
Aliyemuona mwakatobe akibeba chips kuku tujuane kwa like
SASA NINAVUTIWA KUTAZAMA FILAM ZA NYUMBANI... GOOD JOB BRO!!!keep it up
Mwakatobe punguza mlo😂😂😂😂
Watanzania mnajitahidi na kizungu lakini wee
Fanya juhudi tuletee big boss
ruclips.net/video/p3vOhZMaUvs/видео.htmlsi=eKuFYOCroOkwoz6C
kiukweli hii ni movie nzuri sana katika African movies! ila Mwakatobe anazingua kuiba chips
Naenjoy sana clam vevo ila naomba tu "Big boss episode 2"
tulia bro nd anfny movie iwe nzur kw izo comedy zke😂😂😂kwn ushwai kuon jambaz kavaa seruni😅😅😊😊
Music background mmetisha sana, Ooh ooh ohh........ laa laa laa, anyway bravooo🔥🔥
Sema mmezingua, ko kinyerezi ndo kijijini, hahahahahahahahahahahahah
From 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 nawapenda sana
Tuna omba nyingi muvi
❤❤❤😢❤😂❤❤SAFI SANA VEVO KAZI NZURI SANA
Mwakitobe anasema pole mkuundugiangu 😂😂😂😂😂
Nimeipenda😂😂😂😂
brother unajua sana mungu akutangulie ty katika mafanikio yako one day karibu muslim university of morogoro (mum)
Mwisho nimelia jamani daah
Hii ndio maana halisi ya sanaa unatakiwa kubadilikabadika wasikukalili
😂😂jamn kijicho mroho
Nakunali mwanagu vevo
Ailyemuona kwa
clam is the best
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tunaweza
😂😂😂😂❤❤❤❤❤tunakupenda kutoka Nairobi
Kazi njema
Uko juu vevo
Action noma sana
daah kuasha data hahahaa
Clam uk vzr
One from 🇧🇮
Mwakatobe jmn hadi kwenye ujambazi unavaa kiuchawi
Wapili naomba zangu
Nilikuwa nakuchukulis poa ista ukipost naenda nyumbani😅 ila we ni mtu mbadi aiseee vevo mimi nishabiki yako mpya kindakindaki hii moves ya 4 natazama zote ni moto
Mistake ❤🎉💪
kuna kitu karika movie yenu hamjatujulisha ; kim alikuwa na wazazi wake mjini ambaye ni Director kakoso na yule mama, lakini cha kushangaza huku kijijini ana baba mzazi mwingine ,hii imekaaje?
@ELIZA_OG nieleweshe basi
Mi pia sjapaelew