IBENGE KUTUA DAR!/ AWAKATAA AL HILAL/ MGUNDA ACHEKELEA/ KUIKABILI AZAM FC/ TAJIRI KUTOBOKA MFUKO!
HTML-код
- Опубликовано: 6 май 2024
- Klabu ya Simba SC iko katika nafasi nzuri ya kumtwaa kocha Florent Ibenge, baada ya mwenyewe kuomba kuondoka ndani ya timu ya Al Hilal ya Sudan, huku uongozi wa timu hiyo ukiendelea kupambana kumbakisha.
Taarifa zinaeleza kuwa kocha huyo amekaa vikao viwili na mabosi wa Al Hilal wakimweleza kuwa wana imani naye, lakini mwenyewe amesisitiza kuwa anataka kuondoka na sababu kubwa ni kutaka kuifundisha timu inayocheza Ligi Kuu na kupambania mataji.
Ibenge anatajwa kuwa kwenye orodha ya wanaotakiwa na Klabu ya Simba na kupewa nafasi kubwa ya kuwa kocha mkuu, baada ya kuondoka Abdelhak Benchikha, huku kitendo cha kuomba kuondoka Al Hilal kikionekana kuwa huenda tayari ameshafikia makubaliano na kabu hiyo.
Hii si mara ya kwa klabu hiyo kumuhitaj lbenge ambaye ni raia wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, na ilibaki kidogo imnase mwaka 2022 lakini ilishindikana na kuangukia, kwa Zoran Maki.
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#simbasc #ahmedally #usajilisimbasc - Спорт
Nafikir Ibenge na mgunda wakipewa uwezo wa kusajir kwa uhuru kitu kikubwa kitapatikana
Kwa hiyo simba tunahitaji kocha wa nje tu hata kama hawatupi matokeo
Ahmed Ally kauli zake ni hizo tu misimu yote usajili, labda tusibiri tuone
Kikubwa mulete wachezaji wenyeviwango
Ibenge wanini wakati mgunda ni bora kuliko ibenge?
Mgunda abaki kua msaidiz wakishirikiana wataipeleka team juu Tena
MNAZO CHUPI ZA KABUNYAU AU.
Tutafika sehemu tusitake kuiona hata Simba kbsa
Mgunda apewe timu chamsingi aletewe wachezaji wazuri
Mpe mgunda timu
Tuachieni mugunda wetu anatutosha hao wengine wasubiri kwanza, Anawachezesha watoto na tunapata ushindi
IBENGE wanini sasa,? Timu apewa Mgunda anatosha sana, Mbona wanamfanya coach Mgunda kama spare tairi,,?
Kama hujui kitu si ukae kimya tu koo ww ndo unaakili sana kuliko wote
@@yohanakayinga9279you