BUNGE LAMPARUA MO DEWJI , SERIKALI KUMNYANG'ANYA VIWANDA NA MASHAMBA YA CHAI NCHINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 май 2024
  • BUNGE LAMPARUA MO DEWJI , SERIKALI KUMNYANG'ANYA VIWANDA NA MASHAMBA YA CHAI NCHINI
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Комментарии • 172

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 23 дня назад +11

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

    • @abdulazizitwalib5859
      @abdulazizitwalib5859 21 день назад

      Usijidangaje ndugu . Yesu ni mtume wa Mungu na alitumwa kwajili ya Wayahudi tuu . Na sio kwetu sisi tunatakiwa Kumuamini Muhammad kama mtume wa Mungu na uislamu ndio Dini ya kweli .

    • @mcgeemwamba9303
      @mcgeemwamba9303 3 дня назад

      Usiseme tena (ulithi) tamka (urithi)

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 Месяц назад +14

    Msikilizeni mwekezaji anasemaje pengine Kuna tatizo mahali. Serikali ikipewa kz ya kuendesha kiwanda itakuw ovyo zaidi.

  • @YusuphNkondo
    @YusuphNkondo Месяц назад +14

    Hongera Mh.Mnzava kwa kuwasimamia wakulima,endelea kuapambana kwa ajili ya wanting.Mungu akusimamie.

  • @user-cy5nz6lh3u
    @user-cy5nz6lh3u 29 дней назад +5

    Tunaye spika wa bunge mwenye utu na uwezo mkubwa wa kuchata mambo kwa haraka sana. Tanzania tunawatu wenye uwezo mkubwa sana Mfano mzuri ni Mh. Dr. Tulia, nimependa sana kuona mwanasheria akiweza kufanya cost benefity analysis ya mambo yanayohusu kilimo cha chai na kutoa ushauri wenye mashiko kwa serekali. Hongera sana Dr. Tulia

  • @user-pk9cz5kz3e
    @user-pk9cz5kz3e Месяц назад +10

    We kiongozi mpumbavu sijui auna elimu ngoja tukupe elimu kidogo mwalimu Nyerere aliacha viwanda vingapi na mo anaviwanda vingapi. Nyi CCM wauni na mshukuluni mwenda zake Bunge la vichaa

    • @mcgeemwamba9303
      @mcgeemwamba9303 3 дня назад

      Wahuni na si (wauni)

    • @mcgeemwamba9303
      @mcgeemwamba9303 3 дня назад

      Mshukuruni na si (mshukulun) wewe ndiyo muhuni Sasa Kwa kua unachafua Lugha yetu ya kiswahili

  • @babajaden3525
    @babajaden3525 Месяц назад +16

    Umeme wa magumashi mnategemea nini? Kodi rundo na serikali hatujui nani anaiendesha

  • @IsmailJafari-pe1dv
    @IsmailJafari-pe1dv 24 дня назад +3

    serikali ye2 ya tanzania niwezi2 allah atawalani wote wnao ongoza tanzania hiii ameen,

  • @ShabaniMukose
    @ShabaniMukose Месяц назад +9

    Kumbe hakuna sheria inayo simamia ya kumlinda mzalishaji' mbaka Raisi aamue?

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Месяц назад +24

    Issue ya Ku deal na Hawa wafanyabiashara inahitaji subra Saana, Ila MO na Wenzie wakumbuke utajiri wao wameupatia Tz, kwahiyo nao waonyeshe jitihada zozote mana Serikali haina Nia ya kuwapokonya, hapo ndio Kuna umuhimu wa kuwezeshana wazawa, Hawa wana uwezo wa kuhama Nchi, Ndo mana nawakubali saana Nigeria, angalia list ya Matajiri wao ujifunze kitu, sisi ukiinuka tu TRA wanakurudisha Kwa makusudi bila hata ya elimu Kwa mlipa kodi, kama yule Mtanzania alie jipiga risasi.

    • @edwardpeter8569
      @edwardpeter8569 Месяц назад +1

      Jpm alikuwa kiboko yao

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 26 дней назад

      Nchi inaviongozi wachoyo wanaroho mbaya duniani hakuna

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 10 дней назад

      ​@@user-lt1bi5nr1x
      Nimependa sana maelezo yako

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Месяц назад +21

    Moo siyo tatizo bali tatizo ni serkali, wafanyabiashara kama moo wanashirikiana na uongozi wa serkali kwenye upigaji, mfano baada ya kusikia kuna fursa ya ruzuku ya mbolea kwa moo ameingia na kwenye mbolea na siku pesa za serkali zikiondolewa hautamuona tena kwenye mbolea

    • @emanuelpetro9591
      @emanuelpetro9591 Месяц назад +5

      Nikuongezee kitu mkuu,Mo anauza mbolea zenye kiwango na ufanisi mdogo mno

  • @samuelmuthui4699
    @samuelmuthui4699 Месяц назад +7

    Sector ya chai Tanzania Iko chini sana.

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Месяц назад +4

    Leave Mo alone nyinyi fisi? Mmejaa wivu, mnataka kumegewa mbwa koko nyie!

  • @pendatv1675
    @pendatv1675 25 дней назад +1

    Tanzania naona bunge la wananchi
    Kwetu kuna bunge la wanasiasa
    Hongera sanaa

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831 Месяц назад +9

    Nyote maccm. Wizi, Unyanyasaji, Unyonyaji ndio malengo yenu

  • @mdimifrank
    @mdimifrank 2 дня назад

    Tatizo kubwa ni maokosa yaliyofanywa na Serikali. Baada ya Ubinafsishaji, Serikali iliiondolea PSRC Majukumu ya Ufualitiaji wa
    Mashirika yaliyobinafsishwa. Wizara mama zikapewa majukumu hayo. Hazikuwa sehemu ya mikataba.

  • @innomatixworldwide5003
    @innomatixworldwide5003 Месяц назад +5

    Kwani mo si alishasema anataka aachane navyo nyie mkawa mnamlazimisha aendelee

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Месяц назад +2

    Bashe oyeeee!

  • @user-up3kx4ju7m
    @user-up3kx4ju7m 15 дней назад

    Kumekuchaaaa polen. Viongizi

  • @judicatendengerio-ndossi1583
    @judicatendengerio-ndossi1583 Месяц назад

    Hongera Mh. Speaker.

  • @BonaventuraLusaulwa
    @BonaventuraLusaulwa 25 дней назад +1

    mama anaakili sana

  • @makibadatela7865
    @makibadatela7865 Месяц назад +3

    Mwekezaji huyo Ni Wenu na ni Kada wa Chama chenu hapo mnavuna mlicho panda, Mengine ni Hadithi tu na maigizo tu, Mjamaa mbabaishaji akiwa mfanyabiashara au Mjonyaji huwa anazaliwa Fisadi.

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 Месяц назад +6

    Labda huenda kodi zinawashinda

    • @AminaRamadhan-mg9lj
      @AminaRamadhan-mg9lj 20 дней назад

      Huendaa ikawaa hv hakunaa mtuu anawwzaa kuachaa kazii inayomlipaaa

  • @michaelbarasa3716
    @michaelbarasa3716 Месяц назад

    Watching with keen interest. A practical approach to compliance towards ESG principles, with an objective to Forster absolute compliance to avoid clashing with lead statutory SH institutions and financial facilities. Absolute ethics also necessary. Good luck everyone😏

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 26 дней назад

    Good speaker, Bashe anataka chai iharibike

  • @Oleruda
    @Oleruda Месяц назад +1

    Napongeza bunge mko vizuri

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 Месяц назад +2

    Thubutu....hakuna kigogo yeyote anaeguswa hapa nchini.Bashe anajikanganya bure kwa sababu analijua suala hili muda mrefu lkn hathubutu "kumshika sharubu simba".

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Месяц назад +9

    Kwa nini afunge kiwanda kama kinafaida?

    • @AminaRamadhan-mg9lj
      @AminaRamadhan-mg9lj 20 дней назад +1

      Ndoujiulizeee sasaa wenyewew wanatujalii sisi wakulimaa tuu vip kuhsu muwekezaji hawajali

  • @abdulazizitwalib5859
    @abdulazizitwalib5859 21 день назад +1

    KICHWA CHA HABARI KINAONGEA MENGINE . NA WABUNGE WANAJADILI TOFAUTI NA ULICHOANDIKA ADMINI

  • @GAZARAZSPORTS2123
    @GAZARAZSPORTS2123 13 дней назад

    tukimaliza kukunyang'a mashamba na viwanda vya chai,kisha tutunamalizia na simba yetu

  • @DamianJustine-hs6dk
    @DamianJustine-hs6dk 15 дней назад

    🎉🎉🎉

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 23 дня назад +1

    Ndio tatizo lakutegemea matajiri ispokua humjui usumbufu wanaoupata watu wa viwanda matatizo mengi tre ni adhabu tosha kwakila mfanya biashara

  • @josephmilandononi1096
    @josephmilandononi1096 26 дней назад

    Safi Mh.Speaker

  • @user-zy5vg9ub5e
    @user-zy5vg9ub5e 19 дней назад

    Mh kazi kweli

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s Месяц назад

    Mo ni mfanya biashara serikal hamna sapport kwao

  • @kateadam8204
    @kateadam8204 6 дней назад

    huyo tapeli hata simba anatutapeli keenge huyo😊😂😂😂

  • @NchambiMaduhu
    @NchambiMaduhu Месяц назад +3

    Mo hana neno

  • @tanzalandtv3311
    @tanzalandtv3311 Месяц назад +2

    Anafanya hivyohivyo kwenye timu ya mpira ya Simba , ni bonge la tapeli lile
    Simba inaliwa nayo wekeni takukuru

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Месяц назад +2

    Chai ikatwe

  • @mansixwilliamofficial5496
    @mansixwilliamofficial5496 6 дней назад

    Ndo maana hata Simba sports club inasua sua,kumbe tajiri kafirisika😂😂😂😂😂😂😂

  • @NchambiMaduhu
    @NchambiMaduhu Месяц назад +4

    Mo anasaidia sana wafanyabiashara wadogo tupo na MO

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 Месяц назад +1

      Anakusaidia wewe kaka

    • @hattusilli2225
      @hattusilli2225 27 дней назад

      Mshauri bas , watu wanaitaji mazao ya chai . Nicotine muhimu kupatikana asubuhi .

    • @255kessy5
      @255kessy5 24 дня назад

      Uchawa Hadi kwenye chai😂😂😂

    • @255kessy5
      @255kessy5 24 дня назад

      No amekasirika baada ya kubanwa kwenye sukari baada ya kuleta tafrani iliyopelekea Bei kupanda Sasa anataka kuonesha umuhimu wake hili sio sawa kwasababu anatumia nafasi yake vibaya

  • @YusuphNkondo
    @YusuphNkondo Месяц назад +2

    Tumpe sapoti mwamba Mh.Waziri Bashe awashughulikie hawa wawekezaji makanjanja.

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 16 дней назад

    Huyu ndiye spika wetu tunaemfahamu angekuwepo Yanga ilipoalikwa bungeni wananchi wange e njoy.😂

  • @hanafitotoya7762
    @hanafitotoya7762 Месяц назад

    Good mh mzava nilikua sijakufahamu uzuri kaka kumbe unawajali watu wako kwahili lachai nakupa 5

  • @user-up3kx4ju7m
    @user-up3kx4ju7m 15 дней назад

    Kumekuchaaaa

  • @user-gw7fu9pu7d
    @user-gw7fu9pu7d 15 дней назад

    Mtauwa uchumi wa Tanzania... If you don't respect the strong business mens

  • @frankkajoba8372
    @frankkajoba8372 14 дней назад

    Mambo yenu yamewashinda kila kitu kinachosimamiwa na serikali ni hovyo viwanda vya Moe mtaviweza? Afya hovyo, Elimu hovyo, miundombinu hovyo mashirika yote ya serikali yamejaa rushwa mtupu mtaweza haya mengine kama sio roho mbaya?😢

  • @devidmgono-wq1lf
    @devidmgono-wq1lf Месяц назад +2

    SIO VIZUR

  • @malcolmkisanga7607
    @malcolmkisanga7607 Месяц назад +1

    hayo mashamba mo amesha sema wazi hataki kuendelea nayo serikali yenyewe ndo ilimwomba asifunge kwa kuhofia watu kupoteza ajira. lkn tuheshim mamlaka

  • @kichenjewillian5720
    @kichenjewillian5720 11 дней назад

    Lengo wanataka kuiua Simba mazima.

  • @kordunmollel
    @kordunmollel 29 дней назад

    Una akili sana speaker wa bunge

  • @muhammadalibhaz1390
    @muhammadalibhaz1390 Месяц назад +1

    maneno haijenge msingi watanzania ni mafundi wa maneno

  • @BLUBEENICE
    @BLUBEENICE 19 дней назад

    Mmmmmmh hadi inatia huruma,kumbe kila kitu kimesha binafsishwa.

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Месяц назад +1

    Hao ndio wabunge tunao wahitaji sio mtu kazi kulala bungeni na kula posho

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k Месяц назад +2

    Moo ni kada wa ccm .Ccm ni mabingwa. wa.kushindwa,sema mmeanza kumalizana. wenyewe,maana ccm walifunga sukita

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l 29 дней назад

    Wezi hawa hawana uchungu na maisha ya watu.

  • @samuelmuthui4699
    @samuelmuthui4699 Месяц назад +1

    Aibu kubwa sana. Chapa mtu kiboko.

  • @africanbeauty6556
    @africanbeauty6556 26 дней назад

    Jamani Kama munachukua Halafu munatafuta muwekesha mwingine? Mie nipo interest kuwekesha nyumbani

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Месяц назад +6

    Wahindi janja janja sana.

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 26 дней назад

      Wanatumiwa na viongozi. Kama anavotumiwa mange kimambi

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 25 дней назад

    Ah

  • @mohamedgau490
    @mohamedgau490 Месяц назад

    Mh. Waziri chukua hatua ili kuokoa uchumi wa nchi, ajira za wafanyakazi mashambani huko na kipato cha wakulima.
    Sio chai tu hata Mkonge pia, hali siyo nzuri.
    Sina uhakika na hiyo timu uliyounda kama itakuwa na jipya.

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 Месяц назад

    Huyu wa waziri naye mbabaishaji sana na mpigaji kama wengine

  • @abdallahabdu8194
    @abdallahabdu8194 Месяц назад +1

    Sasa kama ni chai si wanywe

  • @HusseinNkuna
    @HusseinNkuna 25 дней назад

    tatizo la hii nchi kodi ni nyingi sana yani kila kona ni kodi alafu unakuta kwenye kiwanda manager mwizi dereva mwizi mafundi wa magari wezi yani kila sehem ni shida tu ndio mana viwanda inakua ngumu kuviendesha serekari ipunguze kodi kwanza sio kumlaumu tu mudy

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Месяц назад

    Sasa jamani nyie wabunge kuinama.hivo.mkotoa.hoja si.mtapinda.migongo

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 25 дней назад

    Mo dewji kapata utajiri kwa kuwanyonya wakulima, huyu katuibia sana ni time serikali imshughulikie

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 Месяц назад

    Waziri huku Njombe huyu mwekezaji mwongo tu!!

  • @AsaelBayaga
    @AsaelBayaga 22 дня назад

    Ww mwenyewe hujui kuandika badala ya kuandika HAUNA unaandika AUNA hiyo ni elimu ya wapi?

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 Месяц назад +2

    Mo ni mbabaishaji. Alihodhi hayo mashamba awali kumuwezesha kupata mikopo kirahisi. Ukiangalia hata ubora wa bidhaa za Mo ni mbovu.

  • @user-gd3qz5pe6x
    @user-gd3qz5pe6x Месяц назад

    Kumbe na huku daa Mara alisema

  • @DaudiJulius
    @DaudiJulius 24 дня назад

    Mi naona bora ata moo kuliko uozo wa serikali yetu ya ccm

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 25 дней назад

    Wizara hii kwa Bashe ni kubwa, haiwezi

  • @jumamsigwa2896
    @jumamsigwa2896 Месяц назад

    tatizo kama hilo na luponde liko mshahala wafaynakazi Miezia m🎉 itatu hawajapata

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 Месяц назад

    Muwekezaji asipowekewa mikataba migumu kumbe ni jeuli sana wanatupiga hela alafu wanatudharau huyo anyanganywe tu

  • @realskywalker4509
    @realskywalker4509 29 дней назад

    Huyu mama ana akili sana

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Месяц назад

    Nyinyi kama serikali nunuweni sasa huyo ni mtu binafsi utamurazimisha

  • @obedmasaki3565
    @obedmasaki3565 Месяц назад +2

    Huyu Bashe mwanangonjera tu; sukari tu imemshinda kushusha bei 3200 tunanunua.

    • @azmam53
      @azmam53 Месяц назад

      Kwani sukari ilipo panda ikiuzwa 3200?
      Au umepoteza kumbukumbu?

    • @rashidyyusuph4386
      @rashidyyusuph4386 Месяц назад +1

      Kwhy 3200 ajafanya kitu?

    • @maggiechristopher8817
      @maggiechristopher8817 Месяц назад

      Hakuna waziri kanjanja kama Bashe, endeleeni kusikiliza maneno yake

  • @suleimanharoub9252
    @suleimanharoub9252 Месяц назад

    Waziri Hussein Bashe piga kazi juhudi zake na bidii zako tunaziona Mungu yupo nawewe

  • @user-cp1ff4bm3k
    @user-cp1ff4bm3k Месяц назад

    Pia mimi ningeomba huyo mohamedy ahojiwe just ya sualala kutangaza mkopo online kwa njia ya mtandao wa fasbuk

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Месяц назад

    Tuhitaji hao wabunge nimbunge imara anajitambua na anaijua kaziyake pia nampongeza spika acheni bungeni kuongelea itikadi ongeleeni matatizo wenye viwanda wapunguzieni kodi kodi kubwa

  • @pascalpembamoto6968
    @pascalpembamoto6968 25 дней назад

    Mo kazidiwa msadieni anapokwama.

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf Месяц назад

    Anyanganywe haraka Sana

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o Месяц назад +2

    Mbona sukari haijashuka bei acheni utoto na usenge

    • @mwalimumstaafu8529
      @mwalimumstaafu8529 Месяц назад

      Toa hoja sio matusi. Kuwa mstaarabu. Kama huna hoja kaa kimya.

    • @abdultsndega3411
      @abdultsndega3411 28 дней назад

      Nakuunga mkono Kuna watu hawajui Hilo sababu ya mabando ya wiki tu.​@@mwalimumstaafu8529

  • @user-yc4xc5wt1m
    @user-yc4xc5wt1m 20 дней назад

    Kolosho.hazitakiwi

  • @user-zo8ep4rz3l
    @user-zo8ep4rz3l 28 дней назад

    Mheshimiwa Speaker serikali iwajibike ilivyo haha investors engine wanataka kuichonganisha serikali na wsnanchi

  • @ngejejemashubi4213
    @ngejejemashubi4213 24 дня назад

    Yani kiufupi TU ni kuwa Moo Hana mpango na hivyo viwanda ,hakuna wa kuviendesha make ni hasara tupu

  • @mdachibakari7317
    @mdachibakari7317 26 дней назад

    Hao ndo matajiri wa kihindi

  • @user-ot5us9mz9w
    @user-ot5us9mz9w 29 дней назад

    Hakuna mbunge hapa anaenejana karibu na uchaguzi

  • @veronicankhwazi7954
    @veronicankhwazi7954 Месяц назад

    Jiangslieni wenyewe kabla ya kumnyooshea kidole Mo

  • @leylascherer3111
    @leylascherer3111 Месяц назад

    Kilakitu mo 😂 jamani hii tanzania 😢wapewa waekezaji wengine chai mandazi mkonge kilakitu ni yeye Simba yeye too much is poisonous.thank you for waking up.

  • @sokastreet
    @sokastreet 29 дней назад

    Huyu mama speaker kuna muda anaongeaga vtu vya maana

  • @salumjuma3152
    @salumjuma3152 29 дней назад

    Spika ni HODARI SN

  • @NOORMOHAMED-sg9lo
    @NOORMOHAMED-sg9lo 25 дней назад

    Nyinyi serikali ni wezi wa kuchukua nguvu za wananchi na mali ya nchi huru na kuwapa watu binafsi.
    Ni wasaliti .
    Tunahitaji kiongozi mzalendo kama mwalimu nyerere ili tuendelee na maendeleo ya jumla soyo ya ubinafsishwaji kwa watu wenu au wao .

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k Месяц назад

    Mbona mkanganyiko,nilikuwa basshe ni ccm,kumbe chadema ?Suit ya mbowe

  • @user-ih1pk1vs4q
    @user-ih1pk1vs4q Месяц назад +5

    Naomba kila siku kw Mungu Mama samia ampe nafasi ya uwaziri mkuu makonda nchi itapendeza tusaidie mama hata uchaguzi ujao tumpate makonda awe waziri mkuu

  • @japharymagesa735
    @japharymagesa735 15 дней назад

    Sawa mnyang'anyeni haraka roho zenu zitulie

  • @user-ws2uw5rd8i
    @user-ws2uw5rd8i Месяц назад +1

    Huyo waziri ni jamaa yake mo 😢Hana jipya mbali na mashamba mutex amefunga afritex amefunga huyo ni mbabaishaji ni magufuli tuu aliemjua angekuwepo angekwisha ondoka

    • @zanzibamjimpya17
      @zanzibamjimpya17 Месяц назад

      unajua history ya mutex je unajua ilivunjika lin au unakurupuka

    • @froma3732
      @froma3732 Месяц назад

      Kwa min Magufuli hakumuondowa na alikuwepo miaka 5

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 26 дней назад

    MO kaajiri watanzania wangapi? Acheni upumbavu wenu umo ndani

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 29 дней назад

    WABUNGE HAKUNA WANACHOZALISHA ZAIDI YA KULA HAYO MAPESA YA WALIPAKODI...MWACHENI MOOO NA NYINYI MUWEKEZE SIO POROJOOOOO TUUUU WALA HAKUNA CHA MAANA...

  • @user-lk3qz7fz5o
    @user-lk3qz7fz5o Месяц назад

    Ivi Hawa jamaa mbona hawaletagi hoja ya kunyongo na kutaifisha wezii ambao wanaendelea kuiba

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari4556 29 дней назад

    Mnaanza tabia yenu serikali