BUNGE LAMPARUA MO DEWJI , SERIKALI KUMNYANG'ANYA VIWANDA NA MASHAMBA YA CHAI NCHINI
HTML-код
- Опубликовано: 8 май 2024
- BUNGE LAMPARUA MO DEWJI , SERIKALI KUMNYANG'ANYA VIWANDA NA MASHAMBA YA CHAI NCHINI
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Usijidangaje ndugu . Yesu ni mtume wa Mungu na alitumwa kwajili ya Wayahudi tuu . Na sio kwetu sisi tunatakiwa Kumuamini Muhammad kama mtume wa Mungu na uislamu ndio Dini ya kweli .
Usiseme tena (ulithi) tamka (urithi)
Msikilizeni mwekezaji anasemaje pengine Kuna tatizo mahali. Serikali ikipewa kz ya kuendesha kiwanda itakuw ovyo zaidi.
Hongera Mh.Mnzava kwa kuwasimamia wakulima,endelea kuapambana kwa ajili ya wanting.Mungu akusimamie.
Tunaye spika wa bunge mwenye utu na uwezo mkubwa wa kuchata mambo kwa haraka sana. Tanzania tunawatu wenye uwezo mkubwa sana Mfano mzuri ni Mh. Dr. Tulia, nimependa sana kuona mwanasheria akiweza kufanya cost benefity analysis ya mambo yanayohusu kilimo cha chai na kutoa ushauri wenye mashiko kwa serekali. Hongera sana Dr. Tulia
We kiongozi mpumbavu sijui auna elimu ngoja tukupe elimu kidogo mwalimu Nyerere aliacha viwanda vingapi na mo anaviwanda vingapi. Nyi CCM wauni na mshukuluni mwenda zake Bunge la vichaa
Wahuni na si (wauni)
Mshukuruni na si (mshukulun) wewe ndiyo muhuni Sasa Kwa kua unachafua Lugha yetu ya kiswahili
Umeme wa magumashi mnategemea nini? Kodi rundo na serikali hatujui nani anaiendesha
serikali ye2 ya tanzania niwezi2 allah atawalani wote wnao ongoza tanzania hiii ameen,
Kumbe hakuna sheria inayo simamia ya kumlinda mzalishaji' mbaka Raisi aamue?
Issue ya Ku deal na Hawa wafanyabiashara inahitaji subra Saana, Ila MO na Wenzie wakumbuke utajiri wao wameupatia Tz, kwahiyo nao waonyeshe jitihada zozote mana Serikali haina Nia ya kuwapokonya, hapo ndio Kuna umuhimu wa kuwezeshana wazawa, Hawa wana uwezo wa kuhama Nchi, Ndo mana nawakubali saana Nigeria, angalia list ya Matajiri wao ujifunze kitu, sisi ukiinuka tu TRA wanakurudisha Kwa makusudi bila hata ya elimu Kwa mlipa kodi, kama yule Mtanzania alie jipiga risasi.
Jpm alikuwa kiboko yao
Nchi inaviongozi wachoyo wanaroho mbaya duniani hakuna
@@user-lt1bi5nr1x
Nimependa sana maelezo yako
Moo siyo tatizo bali tatizo ni serkali, wafanyabiashara kama moo wanashirikiana na uongozi wa serkali kwenye upigaji, mfano baada ya kusikia kuna fursa ya ruzuku ya mbolea kwa moo ameingia na kwenye mbolea na siku pesa za serkali zikiondolewa hautamuona tena kwenye mbolea
Nikuongezee kitu mkuu,Mo anauza mbolea zenye kiwango na ufanisi mdogo mno
Sector ya chai Tanzania Iko chini sana.
Leave Mo alone nyinyi fisi? Mmejaa wivu, mnataka kumegewa mbwa koko nyie!
Tanzania naona bunge la wananchi
Kwetu kuna bunge la wanasiasa
Hongera sanaa
Nyote maccm. Wizi, Unyanyasaji, Unyonyaji ndio malengo yenu
Mo yy katokea wapi
Tatizo kubwa ni maokosa yaliyofanywa na Serikali. Baada ya Ubinafsishaji, Serikali iliiondolea PSRC Majukumu ya Ufualitiaji wa
Mashirika yaliyobinafsishwa. Wizara mama zikapewa majukumu hayo. Hazikuwa sehemu ya mikataba.
Kwani mo si alishasema anataka aachane navyo nyie mkawa mnamlazimisha aendelee
Bashe oyeeee!
Kumekuchaaaa polen. Viongizi
Hongera Mh. Speaker.
mama anaakili sana
Mwekezaji huyo Ni Wenu na ni Kada wa Chama chenu hapo mnavuna mlicho panda, Mengine ni Hadithi tu na maigizo tu, Mjamaa mbabaishaji akiwa mfanyabiashara au Mjonyaji huwa anazaliwa Fisadi.
Labda huenda kodi zinawashinda
Huendaa ikawaa hv hakunaa mtuu anawwzaa kuachaa kazii inayomlipaaa
Watching with keen interest. A practical approach to compliance towards ESG principles, with an objective to Forster absolute compliance to avoid clashing with lead statutory SH institutions and financial facilities. Absolute ethics also necessary. Good luck everyone😏
Good speaker, Bashe anataka chai iharibike
Napongeza bunge mko vizuri
Thubutu....hakuna kigogo yeyote anaeguswa hapa nchini.Bashe anajikanganya bure kwa sababu analijua suala hili muda mrefu lkn hathubutu "kumshika sharubu simba".
Kwa nini afunge kiwanda kama kinafaida?
Ndoujiulizeee sasaa wenyewew wanatujalii sisi wakulimaa tuu vip kuhsu muwekezaji hawajali
KICHWA CHA HABARI KINAONGEA MENGINE . NA WABUNGE WANAJADILI TOFAUTI NA ULICHOANDIKA ADMINI
tukimaliza kukunyang'a mashamba na viwanda vya chai,kisha tutunamalizia na simba yetu
🎉🎉🎉
Ndio tatizo lakutegemea matajiri ispokua humjui usumbufu wanaoupata watu wa viwanda matatizo mengi tre ni adhabu tosha kwakila mfanya biashara
Safi Mh.Speaker
Mh kazi kweli
Mo ni mfanya biashara serikal hamna sapport kwao
huyo tapeli hata simba anatutapeli keenge huyo😊😂😂😂
Mo hana neno
Anafanya hivyohivyo kwenye timu ya mpira ya Simba , ni bonge la tapeli lile
Simba inaliwa nayo wekeni takukuru
Chai ikatwe
Ndo maana hata Simba sports club inasua sua,kumbe tajiri kafirisika😂😂😂😂😂😂😂
Mo anasaidia sana wafanyabiashara wadogo tupo na MO
Anakusaidia wewe kaka
Mshauri bas , watu wanaitaji mazao ya chai . Nicotine muhimu kupatikana asubuhi .
Uchawa Hadi kwenye chai😂😂😂
No amekasirika baada ya kubanwa kwenye sukari baada ya kuleta tafrani iliyopelekea Bei kupanda Sasa anataka kuonesha umuhimu wake hili sio sawa kwasababu anatumia nafasi yake vibaya
Tumpe sapoti mwamba Mh.Waziri Bashe awashughulikie hawa wawekezaji makanjanja.
Huyu ndiye spika wetu tunaemfahamu angekuwepo Yanga ilipoalikwa bungeni wananchi wange e njoy.😂
Good mh mzava nilikua sijakufahamu uzuri kaka kumbe unawajali watu wako kwahili lachai nakupa 5
Kumekuchaaaa
Mtauwa uchumi wa Tanzania... If you don't respect the strong business mens
Mambo yenu yamewashinda kila kitu kinachosimamiwa na serikali ni hovyo viwanda vya Moe mtaviweza? Afya hovyo, Elimu hovyo, miundombinu hovyo mashirika yote ya serikali yamejaa rushwa mtupu mtaweza haya mengine kama sio roho mbaya?😢
SIO VIZUR
hayo mashamba mo amesha sema wazi hataki kuendelea nayo serikali yenyewe ndo ilimwomba asifunge kwa kuhofia watu kupoteza ajira. lkn tuheshim mamlaka
Lengo wanataka kuiua Simba mazima.
Una akili sana speaker wa bunge
maneno haijenge msingi watanzania ni mafundi wa maneno
Mmmmmmh hadi inatia huruma,kumbe kila kitu kimesha binafsishwa.
Hao ndio wabunge tunao wahitaji sio mtu kazi kulala bungeni na kula posho
Moo ni kada wa ccm .Ccm ni mabingwa. wa.kushindwa,sema mmeanza kumalizana. wenyewe,maana ccm walifunga sukita
Kweli 😢😢😢😢
Wezi hawa hawana uchungu na maisha ya watu.
Aibu kubwa sana. Chapa mtu kiboko.
Jamani Kama munachukua Halafu munatafuta muwekesha mwingine? Mie nipo interest kuwekesha nyumbani
Wahindi janja janja sana.
Wanatumiwa na viongozi. Kama anavotumiwa mange kimambi
Ah
Mh. Waziri chukua hatua ili kuokoa uchumi wa nchi, ajira za wafanyakazi mashambani huko na kipato cha wakulima.
Sio chai tu hata Mkonge pia, hali siyo nzuri.
Sina uhakika na hiyo timu uliyounda kama itakuwa na jipya.
Huyu wa waziri naye mbabaishaji sana na mpigaji kama wengine
Sasa kama ni chai si wanywe
tatizo la hii nchi kodi ni nyingi sana yani kila kona ni kodi alafu unakuta kwenye kiwanda manager mwizi dereva mwizi mafundi wa magari wezi yani kila sehem ni shida tu ndio mana viwanda inakua ngumu kuviendesha serekari ipunguze kodi kwanza sio kumlaumu tu mudy
Sasa jamani nyie wabunge kuinama.hivo.mkotoa.hoja si.mtapinda.migongo
Mo dewji kapata utajiri kwa kuwanyonya wakulima, huyu katuibia sana ni time serikali imshughulikie
Waziri huku Njombe huyu mwekezaji mwongo tu!!
Ww mwenyewe hujui kuandika badala ya kuandika HAUNA unaandika AUNA hiyo ni elimu ya wapi?
Mo ni mbabaishaji. Alihodhi hayo mashamba awali kumuwezesha kupata mikopo kirahisi. Ukiangalia hata ubora wa bidhaa za Mo ni mbovu.
Hana pesa kafilisika yule
mimi binafsi sinunui bidhaa za mo
Kumbe na huku daa Mara alisema
Mi naona bora ata moo kuliko uozo wa serikali yetu ya ccm
Wizara hii kwa Bashe ni kubwa, haiwezi
tatizo kama hilo na luponde liko mshahala wafaynakazi Miezia m🎉 itatu hawajapata
Muwekezaji asipowekewa mikataba migumu kumbe ni jeuli sana wanatupiga hela alafu wanatudharau huyo anyanganywe tu
Huyu mama ana akili sana
Nyinyi kama serikali nunuweni sasa huyo ni mtu binafsi utamurazimisha
Huyu Bashe mwanangonjera tu; sukari tu imemshinda kushusha bei 3200 tunanunua.
Kwani sukari ilipo panda ikiuzwa 3200?
Au umepoteza kumbukumbu?
Kwhy 3200 ajafanya kitu?
Hakuna waziri kanjanja kama Bashe, endeleeni kusikiliza maneno yake
Waziri Hussein Bashe piga kazi juhudi zake na bidii zako tunaziona Mungu yupo nawewe
Pia mimi ningeomba huyo mohamedy ahojiwe just ya sualala kutangaza mkopo online kwa njia ya mtandao wa fasbuk
Tuhitaji hao wabunge nimbunge imara anajitambua na anaijua kaziyake pia nampongeza spika acheni bungeni kuongelea itikadi ongeleeni matatizo wenye viwanda wapunguzieni kodi kodi kubwa
Mo kazidiwa msadieni anapokwama.
Anyanganywe haraka Sana
Mbona sukari haijashuka bei acheni utoto na usenge
Toa hoja sio matusi. Kuwa mstaarabu. Kama huna hoja kaa kimya.
Nakuunga mkono Kuna watu hawajui Hilo sababu ya mabando ya wiki tu.@@mwalimumstaafu8529
Kolosho.hazitakiwi
Mheshimiwa Speaker serikali iwajibike ilivyo haha investors engine wanataka kuichonganisha serikali na wsnanchi
Yani kiufupi TU ni kuwa Moo Hana mpango na hivyo viwanda ,hakuna wa kuviendesha make ni hasara tupu
Hao ndo matajiri wa kihindi
Hakuna mbunge hapa anaenejana karibu na uchaguzi
Jiangslieni wenyewe kabla ya kumnyooshea kidole Mo
Kilakitu mo 😂 jamani hii tanzania 😢wapewa waekezaji wengine chai mandazi mkonge kilakitu ni yeye Simba yeye too much is poisonous.thank you for waking up.
Huyu mama speaker kuna muda anaongeaga vtu vya maana
Spika ni HODARI SN
Nyinyi serikali ni wezi wa kuchukua nguvu za wananchi na mali ya nchi huru na kuwapa watu binafsi.
Ni wasaliti .
Tunahitaji kiongozi mzalendo kama mwalimu nyerere ili tuendelee na maendeleo ya jumla soyo ya ubinafsishwaji kwa watu wenu au wao .
Mbona mkanganyiko,nilikuwa basshe ni ccm,kumbe chadema ?Suit ya mbowe
Naomba kila siku kw Mungu Mama samia ampe nafasi ya uwaziri mkuu makonda nchi itapendeza tusaidie mama hata uchaguzi ujao tumpate makonda awe waziri mkuu
Ili uwe Waziri Mkuu NI lazima uwe mbunge.
Sawa mnyang'anyeni haraka roho zenu zitulie
Huyo waziri ni jamaa yake mo 😢Hana jipya mbali na mashamba mutex amefunga afritex amefunga huyo ni mbabaishaji ni magufuli tuu aliemjua angekuwepo angekwisha ondoka
unajua history ya mutex je unajua ilivunjika lin au unakurupuka
Kwa min Magufuli hakumuondowa na alikuwepo miaka 5
MO kaajiri watanzania wangapi? Acheni upumbavu wenu umo ndani
WABUNGE HAKUNA WANACHOZALISHA ZAIDI YA KULA HAYO MAPESA YA WALIPAKODI...MWACHENI MOOO NA NYINYI MUWEKEZE SIO POROJOOOOO TUUUU WALA HAKUNA CHA MAANA...
Ivi Hawa jamaa mbona hawaletagi hoja ya kunyongo na kutaifisha wezii ambao wanaendelea kuiba
Mnaanza tabia yenu serikali