Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Fredy mchezaji mzuri sana timu haina muunganiko na kuna uchoyo wa past za kufunga
Ni kweli kabisa Fred Michael hatoshi simba
Fredy bado sana apewe thank you
Fredy sio wa kuchezea Simba aende mtibwa sio simba
Fred ata mm sijamkubali kwa ufupi mastriker wote wale kwang mm nawaona ni wa kawaida sana siyo wakatili km Kagere au Bocco au Okwi
Utopolo huyuuuu
Huyu jamaa nimenza kumdharau
Weboya kwani sindio kaziyake kumalizia wemavitu
Hakuna mchezaji hapo
Hiyo offside lkn kafunga angekosa angesema kakosa offside alfu unasema katengenezewa nafasi Sasa ulitaka akitengenezewa nafasi akose
Sasa leo ndio nimegundua hili friji ni bovu kweli. Leo umeongea kishabiki maandazi
Huyu jamaa nilikuwa namfuatilia ila naamua kuachana naye. Siku hizi ni pointless kabisa. Eti Gede amefunga magoli mengi yamekataliwa kwa offside eti ndo maana Fred amemzidi magoli. We ni refa sasa? Si kasomee wewe uwe refa.
Fredy mchezaji mzuri sana timu haina muunganiko na kuna uchoyo wa past za kufunga
Ni kweli kabisa Fred Michael hatoshi simba
Fredy bado sana apewe thank you
Fredy sio wa kuchezea Simba aende mtibwa sio simba
Fred ata mm sijamkubali kwa ufupi mastriker wote wale kwang mm nawaona ni wa kawaida sana siyo wakatili km Kagere au Bocco au Okwi
Utopolo huyuuuu
Huyu jamaa nimenza kumdharau
Weboya kwani sindio kaziyake kumalizia wemavitu
Hakuna mchezaji hapo
Hiyo offside lkn kafunga angekosa angesema kakosa offside alfu unasema katengenezewa nafasi Sasa ulitaka akitengenezewa nafasi akose
Sasa leo ndio nimegundua hili friji ni bovu kweli. Leo umeongea kishabiki maandazi
Huyu jamaa nilikuwa namfuatilia ila naamua kuachana naye. Siku hizi ni pointless kabisa. Eti Gede amefunga magoli mengi yamekataliwa kwa offside eti ndo maana Fred amemzidi magoli. We ni refa sasa? Si kasomee wewe uwe refa.