Brilliant presentation Mh. Mbowe! Uwasilishaji kwa kiwango kikubwa umeweza kuweka wazi kikwazo kikubwa ktk kufanikisha uchaguzi huru kuwa ni viongozi wa CCM! Kwamba, mabadiliko yaliyohitajika kufanyika tangu enzi za Jaji Nyalali hadi sasa yamekwamishwa kwa makusudi kwa CCM kukosa UTASHI! Kwa kifupi CCM haiko tyr kufanya mabadiliko wananchi wanayotaka yafanyike!
Kama kuna watu Mungu aliwaandaa kwa ajili ya kuogoza Taifa hili Mbowe ni mmojawapo.Kwa maoni yangu kupata fursa ya kutekeleza mapenzi ya Mungu ni vigumu,kwa vile tu ni mpinzani,ni mchaga.Ndio ufjnyu wa akili wa badhi yetu.
ONGELA MBOWE KWA SPANA UNAZOWAPA CCM SHIDA YA CCM WANAJIAMINI SANA KWAKUA WANATUONA WAJINGA CCM NI SIKIO LAKUFA CCM WOTE WANAJUA KATIBA MPYA ITAWAPOLA MADALAKA HILA WACHENI SSIV WATAKAOKIMBIA NI KINA. NAPE KABUDI NA MACHAWA WOTE WA CCM SIO KINA LEMA TENA CCM WANATUFANYA MCHI HII NI MALI YAO BINAFSI
Wizi ni sifa mojawapo kwa viongozi wa Africa. Mbowe katafuna fedha za chama chake. Alikuwa tayari kunyakuwa jengo la National Housing muchana kweupe, Kama Hayati Magu asingepiga stop bila kuona AIBU. Viongozi Kama hawa ndiyo hupendwa na nchi za wazungu. Ni lahisi kuachia mali za watanzania kuwafaidisha wageni. Ndiyo mana wazungu hawakosekani kwenye mikutano yawo. .
Kwer kamanda wetu Mbowe ccm wanajua jinsi wanavyo iba kura zetu mpaka inatukatisha tamaa kwenda kupiga kura tunachagua watu tunawatakia Sisi wao wanateua wakwako tunachoka kwakwer
Wizi ni sifa mojawapo kwa viongozi wa Africa. Mbowe katafuna fedha za chama chake. Alikuwa tayari kunyakuwa jengo la National Housing muchana kweupe, Kama Hayati Magu asingepiga stop bila kuona AIBU. Viongozi Kama hawa ndiyo hupendwa na nchi za wazungu. Ni lahisi kuachia mali za watanzania kuwafaidisha wageni. Ndiyo mana wazungu hawakosekani kwenye mikutano yawo. .
MH MBOWE ASANTE SANA KWA SPANA ZAKO KWA HAWA WADHALIMU
Brilliant presentation Mh. Mbowe!
Uwasilishaji kwa kiwango kikubwa umeweza kuweka wazi kikwazo kikubwa ktk kufanikisha uchaguzi huru kuwa ni viongozi wa CCM!
Kwamba, mabadiliko yaliyohitajika kufanyika tangu enzi za Jaji Nyalali hadi sasa yamekwamishwa kwa makusudi kwa CCM kukosa UTASHI!
Kwa kifupi CCM haiko tyr kufanya mabadiliko wananchi wanayotaka yafanyike!
Mabadiliko yakifanyika, Sisi tukatoka madarakani tutakula wap? Tutaishi vip? MWAnangu ataweza pata kazi BOT? Kweli
Upinzani ni kama BOYER La kuzugia Wazungu, maisha yaendeleee
@@JosephatMushi-ne9hnAre you serious?
@@sylvestercameo6263 usishangae ndugu yangu afrika kuna mambo ya kipuuzi mno watu hawataki mawazo mbadala!
Mbowe ni mtu muhimu sana ktk taifa ilianaonyesha uwezo mkubwa kufafanua mambo nashukuru sana Mungu kwa Ajili ya huyu mtu abarikiwe sana
Mbowe Usipo mwelewa basi Wewe nikibalaka wa mfumo dume wa ccm uwezi mwelewa kabisa
Huyu mbowe ni mtu wa maana sana anaongea point
Ongeraaa kaka uko vizuriii
Kama kuna watu Mungu aliwaandaa kwa ajili ya kuogoza Taifa hili Mbowe ni mmojawapo.Kwa maoni yangu kupata fursa ya kutekeleza mapenzi ya Mungu ni vigumu,kwa vile tu ni mpinzani,ni mchaga.Ndio ufjnyu wa akili wa badhi yetu.
vibaka wamezoea kuiba mwizi ni mwizi CCM ni vibaka
ccm ni sikio la kutosikia dawa....tufikie mwisho wa uhuni wao
Hongera sana mkuu mbowe mungu akuongesee ubidii na matamshi mazuri katika malumbano
ONGELA MBOWE KWA SPANA UNAZOWAPA CCM SHIDA YA CCM WANAJIAMINI SANA KWAKUA WANATUONA WAJINGA CCM NI SIKIO LAKUFA CCM WOTE WANAJUA KATIBA MPYA ITAWAPOLA MADALAKA HILA WACHENI SSIV WATAKAOKIMBIA NI KINA. NAPE KABUDI NA MACHAWA WOTE WA CCM SIO KINA LEMA TENA CCM WANATUFANYA MCHI HII NI MALI YAO BINAFSI
Tanganyika hakuna Democracy kuna mfumo wa chama kimoja.
Mbowe anajua sana kujieleza, naukubali ufaham wake. Tundulisu huwa nashindwa kumuelewa, apunguze jazba anapoongea.
Benki za Tanzania ziache ubaguzi kwenye mikopo kwa sekta binafisi
hahahahaha asante mkuu pamojaa
Bado Kuna ubaguzi wafanyakazi wa sekta binafisi wanabaguliwa kwenye mikopo benki
Hivi Chenge, Kabudi na Kinana hawaoni aibu kuwa hapo😭😭😭😭ningekuwa mimi ningeficha uso wangu
Wizi ni sifa mojawapo kwa viongozi wa Africa. Mbowe katafuna fedha za chama chake. Alikuwa tayari kunyakuwa jengo la National Housing muchana kweupe, Kama Hayati Magu asingepiga stop bila kuona AIBU. Viongozi Kama hawa ndiyo hupendwa na nchi za wazungu. Ni lahisi kuachia mali za watanzania kuwafaidisha wageni. Ndiyo mana wazungu hawakosekani kwenye mikutano yawo. .
@@Mima-cl2im ulikuwa wapi kuyasema haya kabla?
CHENGE USO UMEMKOMAA KWAKWELI NAONA AIBU IMEMSHIKA NA KABUDI
Uhuru na haki, tunaomba
Kwer kamanda wetu Mbowe ccm wanajua jinsi wanavyo iba kura zetu mpaka inatukatisha tamaa kwenda kupiga kura tunachagua watu tunawatakia Sisi wao wanateua wakwako tunachoka kwakwer
Mbowe waambie ukweli,, wananchi tumepigika
Hakuna ukweli hapo ni ubabaishaji tu
Mbowe nafasi imefunguka kwa Chadema na ACT tuu, bado hawaruhusu watu wengine kuregist vyama. Na kumbuka kuna vyama vya mfukoni
Mboe
Mwaaamba
Wizi ni sifa mojawapo kwa viongozi wa Africa. Mbowe katafuna fedha za chama chake. Alikuwa tayari kunyakuwa jengo la National Housing muchana kweupe, Kama Hayati Magu asingepiga stop bila kuona AIBU. Viongozi Kama hawa ndiyo hupendwa na nchi za wazungu. Ni lahisi kuachia mali za watanzania kuwafaidisha wageni. Ndiyo mana wazungu hawakosekani kwenye mikutano yawo. .
Acha kuleta propaganda za CCM wkt azikusaidii chochote Zaidi ya Kua chawa
Chawa promax
Nikweli kabisa mweshimiwa Mbowe maneno yako yanaukweli mtupu wahalibifu ni CCM halafu Leo ndo Wana tutungia Sheria za uchanguzi haiwezekani kamwe
🙏🙏🙏🙏
MJADALA WA MUHIMU SANA HUU KWENYE NCHI YETU. MLIOANDAA CONGAMANO HILI PLEASE KILA MIEZI MIWILI WAITENI WAONGEE ILI INYESHE TUONE WAPI PANAVUJA
Eti mfanyakazi wa sekta binafisi anabaguliwa kwenye taa sisi za mikopo kwenye mabenki
Wewe unafaida kati yawale wachache kaa jwakutulia