KIMEUMANAAA!!!..MBOWE Amchana Profesa KABUDI Hadi AIBUUU!!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 40

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 4 месяца назад +7

    MH MBOWE ASANTE SANA KWA SPANA ZAKO KWA HAWA WADHALIMU

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 4 месяца назад +5

    Brilliant presentation Mh. Mbowe!
    Uwasilishaji kwa kiwango kikubwa umeweza kuweka wazi kikwazo kikubwa ktk kufanikisha uchaguzi huru kuwa ni viongozi wa CCM!
    Kwamba, mabadiliko yaliyohitajika kufanyika tangu enzi za Jaji Nyalali hadi sasa yamekwamishwa kwa makusudi kwa CCM kukosa UTASHI!
    Kwa kifupi CCM haiko tyr kufanya mabadiliko wananchi wanayotaka yafanyike!

    • @JosephatMushi-ne9hn
      @JosephatMushi-ne9hn 4 месяца назад +1

      Mabadiliko yakifanyika, Sisi tukatoka madarakani tutakula wap? Tutaishi vip? MWAnangu ataweza pata kazi BOT? Kweli

    • @JosephatMushi-ne9hn
      @JosephatMushi-ne9hn 4 месяца назад +1

      Upinzani ni kama BOYER La kuzugia Wazungu, maisha yaendeleee

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 4 месяца назад

      ​@@JosephatMushi-ne9hnAre you serious?

    • @jovitadaniel7161
      @jovitadaniel7161 4 месяца назад

      @@sylvestercameo6263 usishangae ndugu yangu afrika kuna mambo ya kipuuzi mno watu hawataki mawazo mbadala!

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 4 месяца назад +5

    Mbowe ni mtu muhimu sana ktk taifa ilianaonyesha uwezo mkubwa kufafanua mambo nashukuru sana Mungu kwa Ajili ya huyu mtu abarikiwe sana

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 4 месяца назад +6

    Mbowe Usipo mwelewa basi Wewe nikibalaka wa mfumo dume wa ccm uwezi mwelewa kabisa

  • @AliAbdalla-lb8su
    @AliAbdalla-lb8su 4 месяца назад +5

    Huyu mbowe ni mtu wa maana sana anaongea point

  • @Samwel-kz4nq
    @Samwel-kz4nq 4 месяца назад +1

    Ongeraaa kaka uko vizuriii

  • @HezronKaaya
    @HezronKaaya 4 месяца назад +3

    Kama kuna watu Mungu aliwaandaa kwa ajili ya kuogoza Taifa hili Mbowe ni mmojawapo.Kwa maoni yangu kupata fursa ya kutekeleza mapenzi ya Mungu ni vigumu,kwa vile tu ni mpinzani,ni mchaga.Ndio ufjnyu wa akili wa badhi yetu.

  • @RoseKipimo-e4g
    @RoseKipimo-e4g 4 месяца назад +5

    vibaka wamezoea kuiba mwizi ni mwizi CCM ni vibaka

  • @nsajigwasilisye4416
    @nsajigwasilisye4416 4 месяца назад +2

    ccm ni sikio la kutosikia dawa....tufikie mwisho wa uhuni wao

  • @lulungensindimahttpcm
    @lulungensindimahttpcm 4 месяца назад

    Hongera sana mkuu mbowe mungu akuongesee ubidii na matamshi mazuri katika malumbano

  • @BozaDizamile-u1d
    @BozaDizamile-u1d 4 месяца назад +1

    ONGELA MBOWE KWA SPANA UNAZOWAPA CCM SHIDA YA CCM WANAJIAMINI SANA KWAKUA WANATUONA WAJINGA CCM NI SIKIO LAKUFA CCM WOTE WANAJUA KATIBA MPYA ITAWAPOLA MADALAKA HILA WACHENI SSIV WATAKAOKIMBIA NI KINA. NAPE KABUDI NA MACHAWA WOTE WA CCM SIO KINA LEMA TENA CCM WANATUFANYA MCHI HII NI MALI YAO BINAFSI

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 4 месяца назад +2

    Tanganyika hakuna Democracy kuna mfumo wa chama kimoja.

  • @aymanhusseinaslam7266
    @aymanhusseinaslam7266 Месяц назад

    Mbowe anajua sana kujieleza, naukubali ufaham wake. Tundulisu huwa nashindwa kumuelewa, apunguze jazba anapoongea.

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 4 месяца назад +2

    Benki za Tanzania ziache ubaguzi kwenye mikopo kwa sekta binafisi

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz 4 месяца назад +1

    hahahahaha asante mkuu pamojaa

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 4 месяца назад +1

    Bado Kuna ubaguzi wafanyakazi wa sekta binafisi wanabaguliwa kwenye mikopo benki

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 4 месяца назад +1

    Hivi Chenge, Kabudi na Kinana hawaoni aibu kuwa hapo😭😭😭😭ningekuwa mimi ningeficha uso wangu

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 4 месяца назад +1

      Wizi ni sifa mojawapo kwa viongozi wa Africa. Mbowe katafuna fedha za chama chake. Alikuwa tayari kunyakuwa jengo la National Housing muchana kweupe, Kama Hayati Magu asingepiga stop bila kuona AIBU. Viongozi Kama hawa ndiyo hupendwa na nchi za wazungu. Ni lahisi kuachia mali za watanzania kuwafaidisha wageni. Ndiyo mana wazungu hawakosekani kwenye mikutano yawo. .

    • @obedlwinga9194
      @obedlwinga9194 4 месяца назад

      @@Mima-cl2im ulikuwa wapi kuyasema haya kabla?

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 4 месяца назад +1

    CHENGE USO UMEMKOMAA KWAKWELI NAONA AIBU IMEMSHIKA NA KABUDI

  • @JaphetJackson-p6b
    @JaphetJackson-p6b 6 дней назад

    Uhuru na haki, tunaomba

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 4 месяца назад

    Kwer kamanda wetu Mbowe ccm wanajua jinsi wanavyo iba kura zetu mpaka inatukatisha tamaa kwenda kupiga kura tunachagua watu tunawatakia Sisi wao wanateua wakwako tunachoka kwakwer

  • @AlexPetro-z1e
    @AlexPetro-z1e 4 месяца назад +1

    Mbowe waambie ukweli,, wananchi tumepigika

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 4 месяца назад

      Hakuna ukweli hapo ni ubabaishaji tu

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 4 месяца назад +1

    Mbowe nafasi imefunguka kwa Chadema na ACT tuu, bado hawaruhusu watu wengine kuregist vyama. Na kumbuka kuna vyama vya mfukoni

  • @MosesMnyantope-zw4ed
    @MosesMnyantope-zw4ed 4 месяца назад +1

    Mboe

  • @MmohamediSaidi
    @MmohamediSaidi 4 месяца назад +1

    Mwaaamba

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 4 месяца назад +1

    Wizi ni sifa mojawapo kwa viongozi wa Africa. Mbowe katafuna fedha za chama chake. Alikuwa tayari kunyakuwa jengo la National Housing muchana kweupe, Kama Hayati Magu asingepiga stop bila kuona AIBU. Viongozi Kama hawa ndiyo hupendwa na nchi za wazungu. Ni lahisi kuachia mali za watanzania kuwafaidisha wageni. Ndiyo mana wazungu hawakosekani kwenye mikutano yawo. .

    • @deniseliuter3002
      @deniseliuter3002 4 месяца назад

      Acha kuleta propaganda za CCM wkt azikusaidii chochote Zaidi ya Kua chawa

    • @stewardlwimbo3944
      @stewardlwimbo3944 4 месяца назад

      Chawa promax

  • @mashakalukinda2350
    @mashakalukinda2350 4 месяца назад +1

    Nikweli kabisa mweshimiwa Mbowe maneno yako yanaukweli mtupu wahalibifu ni CCM halafu Leo ndo Wana tutungia Sheria za uchanguzi haiwezekani kamwe

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 4 месяца назад

    MJADALA WA MUHIMU SANA HUU KWENYE NCHI YETU. MLIOANDAA CONGAMANO HILI PLEASE KILA MIEZI MIWILI WAITENI WAONGEE ILI INYESHE TUONE WAPI PANAVUJA

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 4 месяца назад +1

    Eti mfanyakazi wa sekta binafisi anabaguliwa kwenye taa sisi za mikopo kwenye mabenki

    • @athumanhassani805
      @athumanhassani805 4 месяца назад

      Wewe unafaida kati yawale wachache kaa jwakutulia