MBUNGE FESTO SANGA AMJIA JUU MO DEWJI NAKUMTAKA AIACHE SIMBA WAWEKEZAJI WENGINE WAJITOKEZE!!

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 17

  • @rajabumwarabu9092
    @rajabumwarabu9092 24 дня назад

    😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @rajabumwarabu9092
    @rajabumwarabu9092 24 дня назад

    😮

  • @MohamedTava
    @MohamedTava 26 дней назад

    Asepe Hana jipya

  • @JobnManase-gh2fp
    @JobnManase-gh2fp 25 дней назад

    Sanga umepigilia msumari kwenye kidonda kinachouma

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 26 дней назад

    Toka lini muindi akafadhili mpira

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j 26 дней назад

    Simba aliikutaa na ataiyachaa

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j 26 дней назад

    Kusemaa ukwelii ni uwaduii ama kurekebishanaa

  • @johnkapalamula4351
    @johnkapalamula4351 26 дней назад

    Mbunge yupo sahihi simba wamekuwa watumwa.wanaugua myoyoni mwao wakiogopa maisha bila moo. Uyu msemaji nae nichawa.Mimi yanga ila moo ndio tatizo.

  • @ramadhanichubi9139
    @ramadhanichubi9139 26 дней назад

    Hizo ni mbinu za kuiua Simba,walikuws wapi wakati Simba ilipokuwa na Hali ngumu? Sanga asijetumiwa na maadui wa simba.nakubaliana na msemaji.

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 26 дней назад

    Moo ni janjajanja hana la maana la kuisadia simba ni mtu anayetaka umaarufu kupitia simba.

  • @suleimansuwed1846
    @suleimansuwed1846 24 дня назад

    Mo kamaalifanya kwawalatiwake panahaja kupatikana mwekezaji mwekezaji mwengine Tayari mo anahisi simbanimaliyake atakavyofanyanisawatu nandivyoanavyofanya hivisasa panahaja yakuondoshwa

  • @SebastianSteven-pt8kh
    @SebastianSteven-pt8kh 26 дней назад

    Moo Kama anaona Kuna asara kwanini kwanini Asiache nafas .matajri waingie ?

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege690 26 дней назад

    Simba Ina Hela ya kujitosheleza hata bila MO. Ahmed msimamo wako huo unaua klabu mbona unasema na kutetea uongo

  • @JobnManase-gh2fp
    @JobnManase-gh2fp 25 дней назад

    AHMED ALI USITUAMINISHE KUWA HATA MBUZI ANAWEZA KUWA MALAIKA,WEWE HUWA UNATUDUWAZA UNATUMWA???

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 26 дней назад

    Ngojea matusi sasa kwa machawa wa mo na try again

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 26 дней назад

    Mlinde yeye ni baba yako. Wewe ni chawa njaa inakujua hadi jina lako.

  • @user-ud2jk7uy3f
    @user-ud2jk7uy3f 26 дней назад

    Sasa amed ally akimkataa moo atakula wapi?