Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
😊😊😊😊😊😊😊😊😊
😮
Asepe Hana jipya
Sanga umepigilia msumari kwenye kidonda kinachouma
Toka lini muindi akafadhili mpira
Simba aliikutaa na ataiyachaa
Kusemaa ukwelii ni uwaduii ama kurekebishanaa
Mbunge yupo sahihi simba wamekuwa watumwa.wanaugua myoyoni mwao wakiogopa maisha bila moo. Uyu msemaji nae nichawa.Mimi yanga ila moo ndio tatizo.
Hizo ni mbinu za kuiua Simba,walikuws wapi wakati Simba ilipokuwa na Hali ngumu? Sanga asijetumiwa na maadui wa simba.nakubaliana na msemaji.
Moo ni janjajanja hana la maana la kuisadia simba ni mtu anayetaka umaarufu kupitia simba.
Mo kamaalifanya kwawalatiwake panahaja kupatikana mwekezaji mwekezaji mwengine Tayari mo anahisi simbanimaliyake atakavyofanyanisawatu nandivyoanavyofanya hivisasa panahaja yakuondoshwa
Moo Kama anaona Kuna asara kwanini kwanini Asiache nafas .matajri waingie ?
Simba Ina Hela ya kujitosheleza hata bila MO. Ahmed msimamo wako huo unaua klabu mbona unasema na kutetea uongo
AHMED ALI USITUAMINISHE KUWA HATA MBUZI ANAWEZA KUWA MALAIKA,WEWE HUWA UNATUDUWAZA UNATUMWA???
Ngojea matusi sasa kwa machawa wa mo na try again
Mlinde yeye ni baba yako. Wewe ni chawa njaa inakujua hadi jina lako.
Sasa amed ally akimkataa moo atakula wapi?
😊😊😊😊😊😊😊😊😊
😮
Asepe Hana jipya
Sanga umepigilia msumari kwenye kidonda kinachouma
Toka lini muindi akafadhili mpira
Simba aliikutaa na ataiyachaa
Kusemaa ukwelii ni uwaduii ama kurekebishanaa
Mbunge yupo sahihi simba wamekuwa watumwa.wanaugua myoyoni mwao wakiogopa maisha bila moo. Uyu msemaji nae nichawa.Mimi yanga ila moo ndio tatizo.
Hizo ni mbinu za kuiua Simba,walikuws wapi wakati Simba ilipokuwa na Hali ngumu? Sanga asijetumiwa na maadui wa simba.nakubaliana na msemaji.
Moo ni janjajanja hana la maana la kuisadia simba ni mtu anayetaka umaarufu kupitia simba.
Mo kamaalifanya kwawalatiwake panahaja kupatikana mwekezaji mwekezaji mwengine Tayari mo anahisi simbanimaliyake atakavyofanyanisawatu nandivyoanavyofanya hivisasa panahaja yakuondoshwa
Moo Kama anaona Kuna asara kwanini kwanini Asiache nafas .matajri waingie ?
Simba Ina Hela ya kujitosheleza hata bila MO. Ahmed msimamo wako huo unaua klabu mbona unasema na kutetea uongo
AHMED ALI USITUAMINISHE KUWA HATA MBUZI ANAWEZA KUWA MALAIKA,WEWE HUWA UNATUDUWAZA UNATUMWA???
Ngojea matusi sasa kwa machawa wa mo na try again
Mlinde yeye ni baba yako. Wewe ni chawa njaa inakujua hadi jina lako.
Sasa amed ally akimkataa moo atakula wapi?