#EXCLUSIVE
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- #EXCLUSIVE: MO DEWJI AVUNJA UKIMYA wa HAJI MANARA, AFUNGUKA MENGI - ''SINA KINYONGO NAYE''...
Mwandishi mahiri wa habari za michezo, @salehjembefacts amefanya mahojiano 'exclusive' na Rais wa Heshima wa Simba na mfanyabiashara mkubwa wa Kitanzania, Mohamed Dewji 'Mo' ambapo amefunguka mambo mengi ambayo ulikuwa huyajui.
Saleh amemuuliza Mo kwamba licha ya kufanya kazi kwa muda mrefu na Haji Manara aliyekuwa msemaji wa Klabu ya Simba, alipohamia Yanga alikuwa akimtukana kwenye mitandao na kwenye vyombo vya habari, je, ikitokea amemuombamsamaha yupo tayari kumsamehe? Mo amelijibu swali hilo.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Mungu akuzidishie imani na pale unapokosea akuongoze na akulinde na maadui wandani nawanjee
Tajiri huwa habishani na masikini big up tajiri wa East Africa nzima MO Dewji one love from Kenya
Hahahahaha chawa kwenye ubora wako kusifia wanaume wenzio tafta pesa
@@tengarashid4703 najua uchawa ni tabia yenu Watanzania mimi sio mtanzania mimi ni mwanaume najituma kwa kazi zangu ila ukweli lazima usemwe tajiri hashindani na masikini
@@tengarashid4703 Wewe una pesa?
@@tengarashid4703Roho imekuuma😂
Hongera sana MO kwa hekima yako ndiyo maana unafanikiwa Mungu amekunyoshea Heri kutokana na moyo wako wa ibada
Frankly speaking with wise words ☑️ Mo ....God bless you moreeeee
Huyu bro yuko tofauti sana hongera umejaaliwa busara 👏👏👏👍💪🙏🇹🇿
Vizuri sana Dewji, yule kijana si sawa yako, haina maana kujibizana na mtu safihi kama huyo. Matusi yake hayakupi hata kipele.
Mbele ya Mungu binaadamu wote tunalingana
@@mussandikumana3561 ulinganifu huja kwa kuheshimiana wenyewe
@@mussandikumana3561 ushasema Mungu hata tupo wanadamu😅
Hongera Sana mo kwa kumsamehe manara na yeye ana mapumgufu yake na tunayaona watanzania.
Hekma nyingi mno yani daah safi sana muheshimiwa Allah azidi kukuneemeshea maisha yako nakukjbali sana
SubhanaAllah...Daima Allah huwa khafuru Rahmu. Allah atujaaliye tupate Makhafra yake Allah kabla ya kurejea kwake Yaarab Ameen.Jamani tuwe na tahadhari Sana na midomo yetu tuogope isije kutuponza na tunapo koseana tuweze kusameheana na Tusiwe na viburi na kujifanya wakamilifu kwani hatujijuwi mwisho wetu binaadamu kwani hatuja kamilika na hatuja kamilika kuubwa..Yaarab tujaaliye tukirejea kwako tuwe tumepata Ridhaa zako na Radhi zako Yaarab Ameen.
Good sms
Ni kweli maisha haya ni mafupi sana, Asante sana mo, rais wa heshima ssc
Ndiyo
MaashaAllah alhamdulillaahi, hapo kwenye wivu upo vizuri sana rais wa heshima, umejipanga vema sana.
Mwandishi umetimia neno ,kutukana ungesema akawa anakusema VIBAYA kwenye mitandao ya kijamii au ndio umeandaliwa 😂😂😂😂
Kwani hakumtukana?acha upumbavu HIVI angetukanwa baba yako ungejisikiaje
Ila kweli mwandishi kachochea moto
Asante sana boss
Allah akulinde broo uko safi mashallah❤
Hongera mungu akubariki akulinde akuepushe na mabaya yote
Duh!!!! Nyinyi ni chombo kikubwa buana. Haiwezekani intro inaanza hovyo namna hii.
Mo eti kafanya jambo baya alafu anamuuliza mtangazaji umenielewa jambo baya big boss ❤
Kipenzi cha Wana simba❤️
Busara nzuri sana
Huyo mwandishi ni mchonganishi anaushahidi na matusi ya haji manara
Daaaa Saafi sana Bosi Mo Mungu akujalie Maisha marefu.
Mashallah ww ni mwanaume nanusu hupaswi kumjibu mtu mpuuz unamengi yakufanya.
Daaah aisee Mo Mungu akubariki kwa hilo, ni wachache sana wenye moyo kama huo, emdelea na moyo huo utapata thawabu
Hongera sana ndugu,stay safe and be blessed.
Safi sana mo ujumbe mzuri
Allah akupe zaidi duniani na kesho akhera unamoyo msafi sana na wapekee mo dewji Maashaallah ❤
mungu akupe maishamarefu mo
Anayemuhoji MO anaonekana kama mwandishi aliyepevuka lakini maswali anayouliza hayana tija kabisa, yakitoto! Namshauri MO ajibu tu, maswali ya msingi kulingana na heshima yake.
Anauliza maswali kichawa atume video au clip haji aliyo tukana
Kwa kingereza wanasema "wewe unakunywa sumu lakini unamtakia mwenzako afe, huo pia ni wivu mbaya" boss hapo umetupiga 😂😂😂
4:50 nilikufuata mpaka ofisini
Haji manara Watching
tajiri ana busara
Boss aangaikii na maskini ambae mbaka atukane watu ndio apate chakupeleka tumboni ivyoo boss ni boss tuu
Safi Sanaa mo dewj na global tv
Ambao hamjaelewa hadithi tujuane hapa😮😮😮
Ashura cheupe anamatatizo mengi.uzuri Mo dewj anaakiri nyingi sana.harafu nitajiri sana.kwahiyo hawezi kushindana na Ashura cheupe.anamchukulia jinsi alivyo.nakupenda Sana Mo.unahekima,busara,nvumilivu,una utu,Mungu akubariki na kukulinda.Ameeeni
kwamba global mmeshindwa kuweka hata introduction ya maana kuweni kidogo professional angalien bas hata introduction za wenzetu
Very good mo
Jembe kumbe naww unapenda majungu ila ulichokitaka hujakipata MO, kakujibu kikubwa Sana. Muulize MO maswali yenyemantik sio majungu.
Safi
Mo safi sana, ila nawe tanguliza kumuomba msamaha kama kuna kosa lolote ulo mkosea. SADAKTA maisha haya mafupi.
Manala ajawai kktukana acha uwongo usiludi kwastaili iyo we njoo kwa madunduka uchukue pesa zao za lobo wajinga ndio waliwao
Hongera kwa saprize kwa ssc suports hasa wachezaji jumamosi
Usiwagombanishe watu huo c uandishi wapi haji manara amewahi kumtukana mo? Wewe salehe ni mshenzi wa tabia au unajpendekeza kwa boss upate kibarua?
Allah akbar
Hivi ni tusi gani haji alimtukana Mo😃😃.Bado nalitafuta Hilo tusi silioni..
Nyie waandishi wa habari hamna weledi na kazi zenu aseee khaaaaaaaah
Saleh umeacha kuuliza maswali juu ya maendeleo ya udhamin wake ndani ya simba na maendeleo ya soka ya Tanzania unauliza mambo ya Haji kama siyo ochonganisho. Unaushahidi wowote juu ya hayo matusi ambayo direct yalirushwa kwake?. Very stupid questions
Hii ni party one bro
👂
Mo Dewje 🔥🔥🔥
Boss kavaa kipesi mbele ya kamela 😂😂sasa vaa ww mwenzang na mm kama utaruhsiwa kwehojiwa😂😂😂
Broo nakukubali sana ila ipo siku tutakutana
Samahani sana raisi wa heshima ss waislam tunatakiwa kuwa ni mfano kidogo kuhusu kivazi kinanishangaza
❤❤❤❤
Tuma hizo clip za Haji alizokua akimtukana MO
Wewe uko mtandao gani? au unaleta ushabiki hapa?
Ujui lakesho Yake More Ni kweli kabisa kausalem samehehe Mara 100
Tunasubiri balance ya hii stori!
Hiyo ndio balance kwa sababu manara ashapewa Sana platform ya kuliongelea hili na kashaongea Sana kwaiyo Nae mo kapewa nafasi
Kwani manara sialiongea yote akamaliza,mlimsikia mo akiongea?
@@ikramalmas7039 halafu tujue kitu mo ni tajiri muda wa kumzungumzia manara anaweza asiwe nao , manara chawa mtu wakujipendekeza kwa matajiri alipotolewa simba lazma ilikua atafute pakujikomba ili aishi vizuri
@@fahadfaraj6474 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@aisharajimbo6784 kwani uongo, kina manara ujanja ujanja kukaa karibu na watu wenye hela siku ziende, kujipendekeza sana kwa matajiri , we safari na wakeze wote wawili kipindi kile kapelekwa na watu
Mumgu akubariki sana mo msamehe kwa maana ajitambui
Mo Ana kinyongo na mtu simliona mw.kigwangala ya liisha uslam uikristo ndio inayotakiwa Moore Salute 🙏🙏🙏🙏🙏🙏simba simba oyeee
1
subirini majibu ya hovyo ya haji manara, mtasikia anasema mo anatafuta kiki kupitia yeye
Interview nzima kuhusu Manara duh bongo nyoso kudadadeki
Wenye pesa niwepesi sana kuaminisha watu kua wao hawana makosa hivi unakumbuka manara aliwekwa ndani kisa kupaza sauti kisa wewe?
Manara hata akiwa sahihi ni ngumu kumuamini hana stara na busara
@@iamdivineimage kweli aisee tunamuona kama mropokaji tu yeye mwenyewe hajiheshimu
Presenter wa hovyo kbx .. kuanzia introo n mbaya.. hajui
Hapo alikutukana sana ulikuwa uweke neno njengine Hilo neno linaukakasi sana ila ndo hivo
Salehe jembe ndiyo maana huna fansi wengi kwasababu unaunafki mkubwa sana
😂😂😂😂😂😂jmn dah
Ni mjinga mjinga sana huyu Mtangazaji.
big boss
Good interview 👏👏👏
Jembe mbona unagombanisha
Moo uko vizuri sana sikutegemea kama unaroho ya hekima kiasi hicho manara anatabia za kihuni hatakama mlitofaitiana asingekua na maneno ya vijembe na kejeli kiasi hicho katoka simba kwa hila naatakua alipwa hela nyingi na maadui wa simba ili aendelee kutukana nakuijeli simba kila mala sio moo tu anatukana nakukejeli wanasimba wote
Boss ana story za uongo ivyo.... waiii
Manara siyo kijana wa Mo
Nimejifunza kusamehe
Mbona hujahoji kisa cha ku gombana
Boss na elimu
Sasa hadithi ya kubaka maiti imehusianaje na haji?
Nini alitukanwa huyu??? Mbona hivi tena
MO HONGERA SANA NIMEKUSIKIA VIZURI NA KUJIFUNZA KUSAMEHE NI KUTAMU MNO NA WIVU PIA NI MBAYA
Namna ulivyovaa Mo umejiangusha,,,,,
Yupo ndani kwake
@@rasterwangu9708 Ni kweli lakini hiyo taarifa si unaona inakwenda Kwa public
Hakupunguzii wala hakuzidishii 😂
Huyu jamaa kuzaliwa tanzania kote huku. Lakini bado hajui kiswahili. Ety wivu ya pili.
Waandishi wengi wa kibongo sijui kwa nini wanapenda mambo ya kinafiki ambayo hayatusaidii sisi wala yeye!! Muulize maswali ya msingi ya kuhusu simba! Huyo ni bilionea hafananishwi na wewe wala manala.
Tajiri maneno ya dhahabu... Achana na manara mtaji wake mdomo wenye maneno machafu, Simba nguvu moja
Boss bana😄😄😄eti naona umenielewa jambo alilofanya mbona manara hajawahi kumtukana mo hata skumoja zaid yakumtania B twenty ziko wap na kumuita mwamedi au mudi hajawahi kumtukana bana
Kwani Mo ni mtani wake?
@@nathankihiyo6194 Mo ni Simba na Manara ni Yanga, Yanga na Simba ni watani wa jadi.
INAWEZEKANA MANARA ALIFANYA UTANI LAKINI ALIPITILIZA IKAWA KAMA KUNA MGOGORO PERSONAL
Allah SWT created us and He knows what is best for us. This is something we often seem to forget. Allah knows it can be very hard to really forgive someone who hurt you and in this ayah, we are given the greatest motivation to push ourselves to forgive; it’s Allah’s forgiveness. When we think of forgiveness we mostly think of Allah’s forgiveness and we forget how important it is that we also forgive. Allah says:
الَّذِينَ يُنفِقُونَ فِي السَّرَّاءِ وَالضَّرَّاءِ وَالْكَاظِمِينَ الْغَيْظَ وَالْعَافِينَ عَنِ النَّاسِ وَاللَّهُ يُحِبُّ الْمُحْسِنِينَ
“The believers are those who spend in charity during ease and hardship and who restrain their anger and pardon the people, for Allah loves the doers of good.” (Surah Ali Imran 3:134).
Tajiri hanuniwi kabisaa.. Huyo Zeruzeru ni jinga tu
Acha chuki acha ugombanishi katika watu nilikuwa nakuamini sana ila leo nimekuvuwa vyeo vyote
Uandishi huo siyo Chuki
Hadithi haiendani na uhalisia wa tatizo lililotokea,kikubwa hapo ni kuufungua moyo wake Kwa umma ili umma ujuwe kuwa yeye Hana kinyongo na Manara!!! Je Kama kweli ni hivyo mbona muda umekuwa NI mrefu Sana toka Hilo tukio litokee?Au alikuwa anasubiri hao wachonganishi wafanye naye interview ndiyo atowe huo msamaha!!! Au alikuwa anamsubiri huyo maskini jeuri Kwa upande wake kutokana na kauli yake ampigiye magoti ili msamaha ukamilike!! Hayo yote yanaletwa na hao waandishi hao ndiyo wachochezi na wageuza maneno wakilitaka liwe vita,Shari ama misamaha wao ndiyo watekelezaji WA yote hayoo!! Wao ndiyo wasababishi wakubwa WA migogolo Kati ya MTU na MTU ,nchi na nchi vyama vya siasa n,k Wakiona Hamna anayewatilia uzito wao wenyewe wanatafuta Kiki ya kusuluhisha na Kwa kuzingatia Hilo kwenye chombo kikubwa maswali anayoanza kumuuliza huyo mteja wao ni la ugomvi au usuluhishi WA Manara na bosi wao mteja wao Mo,Ila pongezi Kama amefunguka kidhati kutoka moyoni au Kwa ajili ya kukalilishwa funga yake inayikuja basi Inshallah!! Tunawatakia kila la heri na nyie watia chachandu katika interview maana mmechachuwa sasa mnayaweka vizuri hongereni lengo ni kujenga nchi yenye Amani na si kubomoa nchi kazi kwenu Ila zingatieni maadili ya kazi yenu na siyo kuchochea au kuchonganisha kutokana na maswali yenu tungo tata
Mwacheni aende zake Manara kwani ndio nani anaisaidia nini Simba akiondoka Mo hapo tutasikitika
Kwel mungu alisem tusameheane kipenz Cha Wana msimbaz❤️❤️
Jembe unashangaza hivi kwanini unaanzisha topic inayomhusu huyu zimwi. Kwanini unampa milage. Tulishamsahau sasa mnampatia kisingizio cha yeye kuanza kuzungumza. Hebu uwe unatafuta topic nzuri za kujadili.
Kwani Hadji alimtukana Mo Dewj? Au Mo Dewj amesahau kumuuliza Mwandishi ametukanwaje na Hadji? Mimi mwenyewe Hadji sina kinyongo naye toka alipohamia yanga lkn kiukweli sijawah kumsikia akimtukana Mo Dewj
Tajirii la afrika Hilo"yaan wew una pesa nyingi af una busara nyingi!sasa manara kichwa kimejaa matopee na pesa Hana ndo maana kila cku anakimbiwa na wanawakee
HONGERA SANA MO MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU. WEWE NI TOFAUTI NA WATU WENGINE. MTU UKISHAMJUA HAINA HAJA YAKUJIBISHANA NAYE. TUNAKUPENDA WANA SIMBA. ENDELEA KUCHAPA KAZI SIMBA. ILA USAJILI ULIO BORA USISAHAU. WACHEZAJI WANAJITUMA SANA.
Mbona umekaa uchi afu unasema manenoyamung??
Mkumbuke ni sehemu ya kwanza ngoja tuone ndio tukosoe
Suruali
Suleyman kabo.😂😂 Mamba. Myamb. Rock sit. Manara. Kaona Tim. Ime. Kua. Fit. Ana. Anza. Shobo🎉. Kwenda
Nimependa pale aliposema MAISHA MAFUPI TU.. kweli maisha mafupi sana hapa Duniani kuliko ya kaburini
Tuletee Louis mickison boss
Ndio maana unafanikiwa Kaka yangu
Hivi wewe unaehoji unafikiri mo mjinga akwambie kuwa simpendi haji kwenye vyombo vya habari..??? Kumbuka mo ni mfanya biashara ...atasemaje simpendi biashara zake atanujua nani..Huna hoja mchungu hapo alipo..unamkumbusha maumivu tu
kasema kamuachia Mungu 🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Au bas
Mwandishi kilaza Sana maswali ya kipuuzi
Hivi unamfahamu sana Saleh Ally.?
Manala anawaumiza sana kichwa bugati hatari sana
MO kajaliwa busara na ni mtu wa Imani.
Jembe fanya mazoezi mwili huo "tunakupenda braza!