#EXCLUSIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #EXCLUSIVE: MO DEWJI AVUNJA UKIMYA wa HAJI MANARA, AFUNGUKA MENGI - ''SINA KINYONGO NAYE''...
    Mwandishi mahiri wa habari za michezo, @salehjembefacts amefanya mahojiano 'exclusive' na Rais wa Heshima wa Simba na mfanyabiashara mkubwa wa Kitanzania, Mohamed Dewji 'Mo' ambapo amefunguka mambo mengi ambayo ulikuwa huyajui.
    Saleh amemuuliza Mo kwamba licha ya kufanya kazi kwa muda mrefu na Haji Manara aliyekuwa msemaji wa Klabu ya Simba, alipohamia Yanga alikuwa akimtukana kwenye mitandao na kwenye vyombo vya habari, je, ikitokea amemuombamsamaha yupo tayari kumsamehe? Mo amelijibu swali hilo.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 256

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +9

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

    • @masoudalriyamy6298
      @masoudalriyamy6298 Год назад

      Mungu akuzidishie imani na pale unapokosea akuongoze na akulinde na maadui wandani nawanjee

  • @niyakhalid5650
    @niyakhalid5650 Год назад +48

    Tajiri huwa habishani na masikini big up tajiri wa East Africa nzima MO Dewji one love from Kenya

    • @tengarashid4703
      @tengarashid4703 Год назад +1

      Hahahahaha chawa kwenye ubora wako kusifia wanaume wenzio tafta pesa

    • @niyakhalid5650
      @niyakhalid5650 Год назад

      @@tengarashid4703 najua uchawa ni tabia yenu Watanzania mimi sio mtanzania mimi ni mwanaume najituma kwa kazi zangu ila ukweli lazima usemwe tajiri hashindani na masikini

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Год назад

      ​@@tengarashid4703 Wewe una pesa?

    • @DorahAlbert-e8w
      @DorahAlbert-e8w 10 месяцев назад

      ​@@tengarashid4703Roho imekuuma😂

  • @stephentossi2626
    @stephentossi2626 Год назад +21

    Hongera sana MO kwa hekima yako ndiyo maana unafanikiwa Mungu amekunyoshea Heri kutokana na moyo wako wa ibada

  • @mercymariki2148
    @mercymariki2148 Год назад +18

    Frankly speaking with wise words ☑️ Mo ....God bless you moreeeee

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Год назад +8

    Huyu bro yuko tofauti sana hongera umejaaliwa busara 👏👏👏👍💪🙏🇹🇿

  • @faisaloaljabry6400
    @faisaloaljabry6400 Год назад +30

    Vizuri sana Dewji, yule kijana si sawa yako, haina maana kujibizana na mtu safihi kama huyo. Matusi yake hayakupi hata kipele.

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Год назад +10

    Hongera Sana mo kwa kumsamehe manara na yeye ana mapumgufu yake na tunayaona watanzania.

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Год назад +3

    Hekma nyingi mno yani daah safi sana muheshimiwa Allah azidi kukuneemeshea maisha yako nakukjbali sana

  • @saidmoussa909
    @saidmoussa909 Год назад +17

    SubhanaAllah...Daima Allah huwa khafuru Rahmu. Allah atujaaliye tupate Makhafra yake Allah kabla ya kurejea kwake Yaarab Ameen.Jamani tuwe na tahadhari Sana na midomo yetu tuogope isije kutuponza na tunapo koseana tuweze kusameheana na Tusiwe na viburi na kujifanya wakamilifu kwani hatujijuwi mwisho wetu binaadamu kwani hatuja kamilika na hatuja kamilika kuubwa..Yaarab tujaaliye tukirejea kwako tuwe tumepata Ridhaa zako na Radhi zako Yaarab Ameen.

  • @twahambowe440
    @twahambowe440 Год назад +1

    MaashaAllah alhamdulillaahi, hapo kwenye wivu upo vizuri sana rais wa heshima, umejipanga vema sana.

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Год назад +11

    Mwandishi umetimia neno ,kutukana ungesema akawa anakusema VIBAYA kwenye mitandao ya kijamii au ndio umeandaliwa 😂😂😂😂

    • @omarycheyo5534
      @omarycheyo5534 Год назад

      Kwani hakumtukana?acha upumbavu HIVI angetukanwa baba yako ungejisikiaje

    • @Kimweri_tz
      @Kimweri_tz Год назад

      Ila kweli mwandishi kachochea moto

  • @victorkiiru1237
    @victorkiiru1237 Год назад +2

    Asante sana boss

  • @minahaminahaochu255
    @minahaminahaochu255 Год назад +4

    Allah akulinde broo uko safi mashallah❤

  • @aminamjema-kf7qr
    @aminamjema-kf7qr Год назад +7

    Hongera mungu akubariki akulinde akuepushe na mabaya yote

  • @reimushi1185
    @reimushi1185 Год назад +11

    Duh!!!! Nyinyi ni chombo kikubwa buana. Haiwezekani intro inaanza hovyo namna hii.

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 Год назад +2

    Mo eti kafanya jambo baya alafu anamuuliza mtangazaji umenielewa jambo baya big boss ❤

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 Год назад +25

    Kipenzi cha Wana simba❤️

  • @saidchombo5952
    @saidchombo5952 Год назад +12

    Busara nzuri sana

    • @jamesandrew7482
      @jamesandrew7482 Год назад

      Huyo mwandishi ni mchonganishi anaushahidi na matusi ya haji manara

  • @yessemwakibete2458
    @yessemwakibete2458 Год назад +4

    Daaaa Saafi sana Bosi Mo Mungu akujalie Maisha marefu.

  • @fatmaahamadabass8080
    @fatmaahamadabass8080 Год назад +4

    Mashallah ww ni mwanaume nanusu hupaswi kumjibu mtu mpuuz unamengi yakufanya.

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 Год назад +1

    Daaah aisee Mo Mungu akubariki kwa hilo, ni wachache sana wenye moyo kama huo, emdelea na moyo huo utapata thawabu

  • @boniventurekiwanuka.8098
    @boniventurekiwanuka.8098 Год назад +1

    Hongera sana ndugu,stay safe and be blessed.

  • @seifjuma8422
    @seifjuma8422 Год назад +2

    Safi sana mo ujumbe mzuri

  • @saadysaidzahaze5980
    @saadysaidzahaze5980 Год назад +2

    Allah akupe zaidi duniani na kesho akhera unamoyo msafi sana na wapekee mo dewji Maashaallah ❤

  • @jumachidi3567
    @jumachidi3567 Год назад +1

    mungu akupe maishamarefu mo

  • @BJMKANGALA1
    @BJMKANGALA1 Год назад +4

    Anayemuhoji MO anaonekana kama mwandishi aliyepevuka lakini maswali anayouliza hayana tija kabisa, yakitoto! Namshauri MO ajibu tu, maswali ya msingi kulingana na heshima yake.

    • @kombokassim9591
      @kombokassim9591 Год назад +1

      Anauliza maswali kichawa atume video au clip haji aliyo tukana

  • @denismvula300
    @denismvula300 Год назад +2

    Kwa kingereza wanasema "wewe unakunywa sumu lakini unamtakia mwenzako afe, huo pia ni wivu mbaya" boss hapo umetupiga 😂😂😂

  • @mendoza.hill1
    @mendoza.hill1 Год назад +1

    4:50 nilikufuata mpaka ofisini

  • @abelbest4984
    @abelbest4984 Год назад +6

    Haji manara Watching

  • @geraldkbona5595
    @geraldkbona5595 Год назад +7

    tajiri ana busara

  • @manmgomi3042
    @manmgomi3042 Год назад +2

    Boss aangaikii na maskini ambae mbaka atukane watu ndio apate chakupeleka tumboni ivyoo boss ni boss tuu

  • @paaboytz5855
    @paaboytz5855 Год назад +1

    Safi Sanaa mo dewj na global tv

  • @youngchuda1568
    @youngchuda1568 Год назад +1

    Ambao hamjaelewa hadithi tujuane hapa😮😮😮

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Год назад

    Ashura cheupe anamatatizo mengi.uzuri Mo dewj anaakiri nyingi sana.harafu nitajiri sana.kwahiyo hawezi kushindana na Ashura cheupe.anamchukulia jinsi alivyo.nakupenda Sana Mo.unahekima,busara,nvumilivu,una utu,Mungu akubariki na kukulinda.Ameeeni

  • @teamjesuschrist2919
    @teamjesuschrist2919 Год назад +4

    kwamba global mmeshindwa kuweka hata introduction ya maana kuweni kidogo professional angalien bas hata introduction za wenzetu

  • @ImaUlendo
    @ImaUlendo 28 дней назад

    Very good mo

  • @jimmydizonga1335
    @jimmydizonga1335 Год назад +2

    Jembe kumbe naww unapenda majungu ila ulichokitaka hujakipata MO, kakujibu kikubwa Sana. Muulize MO maswali yenyemantik sio majungu.

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 Год назад +1

    Safi

  • @ModoDodo-nr6ok
    @ModoDodo-nr6ok Год назад +8

    Mo safi sana, ila nawe tanguliza kumuomba msamaha kama kuna kosa lolote ulo mkosea. SADAKTA maisha haya mafupi.

    • @abdallahally421
      @abdallahally421 Год назад

      Manala ajawai kktukana acha uwongo usiludi kwastaili iyo we njoo kwa madunduka uchukue pesa zao za lobo wajinga ndio waliwao

  • @aprow2059
    @aprow2059 Год назад

    Hongera kwa saprize kwa ssc suports hasa wachezaji jumamosi

  • @cottamanywele1396
    @cottamanywele1396 Год назад +1

    Usiwagombanishe watu huo c uandishi wapi haji manara amewahi kumtukana mo? Wewe salehe ni mshenzi wa tabia au unajpendekeza kwa boss upate kibarua?

  • @fatmamusa1119
    @fatmamusa1119 Год назад +2

    Allah akbar

  • @kitukizito9178
    @kitukizito9178 Год назад +1

    Hivi ni tusi gani haji alimtukana Mo😃😃.Bado nalitafuta Hilo tusi silioni..
    Nyie waandishi wa habari hamna weledi na kazi zenu aseee khaaaaaaaah

  • @radynnyagaly3692
    @radynnyagaly3692 Год назад +4

    Saleh umeacha kuuliza maswali juu ya maendeleo ya udhamin wake ndani ya simba na maendeleo ya soka ya Tanzania unauliza mambo ya Haji kama siyo ochonganisho. Unaushahidi wowote juu ya hayo matusi ambayo direct yalirushwa kwake?. Very stupid questions

  • @richardboniface9280
    @richardboniface9280 Год назад +4

    👂

  • @riwayazakiswahilitv4635
    @riwayazakiswahilitv4635 Год назад +3

    Mo Dewje 🔥🔥🔥

  • @masolavachui1728
    @masolavachui1728 Год назад +2

    Boss kavaa kipesi mbele ya kamela 😂😂sasa vaa ww mwenzang na mm kama utaruhsiwa kwehojiwa😂😂😂

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424 Год назад +5

    Broo nakukubali sana ila ipo siku tutakutana

  • @MariamHamad-lr3xc
    @MariamHamad-lr3xc Год назад +1

    Samahani sana raisi wa heshima ss waislam tunatakiwa kuwa ni mfano kidogo kuhusu kivazi kinanishangaza

  • @lizzybby2392
    @lizzybby2392 Год назад +1

    ❤❤❤❤

  • @hamisishirikisho2199
    @hamisishirikisho2199 Год назад +2

    Tuma hizo clip za Haji alizokua akimtukana MO

    • @iamdivineimage
      @iamdivineimage Год назад

      Wewe uko mtandao gani? au unaleta ushabiki hapa?

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад +2

    Ujui lakesho Yake More Ni kweli kabisa kausalem samehehe Mara 100

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 Год назад +5

    Tunasubiri balance ya hii stori!

    • @gibsonkabusola6923
      @gibsonkabusola6923 Год назад +6

      Hiyo ndio balance kwa sababu manara ashapewa Sana platform ya kuliongelea hili na kashaongea Sana kwaiyo Nae mo kapewa nafasi

    • @ikramalmas7039
      @ikramalmas7039 Год назад +2

      Kwani manara sialiongea yote akamaliza,mlimsikia mo akiongea?

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Год назад +1

      @@ikramalmas7039 halafu tujue kitu mo ni tajiri muda wa kumzungumzia manara anaweza asiwe nao , manara chawa mtu wakujipendekeza kwa matajiri alipotolewa simba lazma ilikua atafute pakujikomba ili aishi vizuri

    • @aisharajimbo6784
      @aisharajimbo6784 Год назад

      ​@@fahadfaraj6474 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Год назад +2

      @@aisharajimbo6784 kwani uongo, kina manara ujanja ujanja kukaa karibu na watu wenye hela siku ziende, kujipendekeza sana kwa matajiri , we safari na wakeze wote wawili kipindi kile kapelekwa na watu

  • @ephrahimjoel6406
    @ephrahimjoel6406 Год назад

    Mumgu akubariki sana mo msamehe kwa maana ajitambui

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Год назад

    Mo Ana kinyongo na mtu simliona mw.kigwangala ya liisha uslam uikristo ndio inayotakiwa Moore Salute 🙏🙏🙏🙏🙏🙏simba simba oyeee

  • @almasially6509
    @almasially6509 Год назад +3

    subirini majibu ya hovyo ya haji manara, mtasikia anasema mo anatafuta kiki kupitia yeye

  • @malataogtz2080
    @malataogtz2080 Год назад +5

    Interview nzima kuhusu Manara duh bongo nyoso kudadadeki

  • @idrisatv5540
    @idrisatv5540 Год назад +4

    Wenye pesa niwepesi sana kuaminisha watu kua wao hawana makosa hivi unakumbuka manara aliwekwa ndani kisa kupaza sauti kisa wewe?

    • @iamdivineimage
      @iamdivineimage Год назад

      Manara hata akiwa sahihi ni ngumu kumuamini hana stara na busara

    • @salomedeus4165
      @salomedeus4165 Год назад

      @@iamdivineimage kweli aisee tunamuona kama mropokaji tu yeye mwenyewe hajiheshimu

  • @lesterchristopher9838
    @lesterchristopher9838 Год назад +1

    Presenter wa hovyo kbx .. kuanzia introo n mbaya.. hajui

  • @abushirhaji9474
    @abushirhaji9474 Год назад +2

    Hapo alikutukana sana ulikuwa uweke neno njengine Hilo neno linaukakasi sana ila ndo hivo

  • @allydingi9736
    @allydingi9736 Год назад +3

    Salehe jembe ndiyo maana huna fansi wengi kwasababu unaunafki mkubwa sana

  • @emanuelygavile
    @emanuelygavile Год назад

    big boss

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Год назад +1

    Good interview 👏👏👏

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 Год назад +2

    Jembe mbona unagombanisha

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 10 месяцев назад

    Moo uko vizuri sana sikutegemea kama unaroho ya hekima kiasi hicho manara anatabia za kihuni hatakama mlitofaitiana asingekua na maneno ya vijembe na kejeli kiasi hicho katoka simba kwa hila naatakua alipwa hela nyingi na maadui wa simba ili aendelee kutukana nakuijeli simba kila mala sio moo tu anatukana nakukejeli wanasimba wote

  • @naldclever
    @naldclever Год назад

    Boss ana story za uongo ivyo.... waiii

  • @narrissajackson3869
    @narrissajackson3869 Год назад +1

    Manara siyo kijana wa Mo

  • @stellakagemlo8095
    @stellakagemlo8095 Год назад +2

    Nimejifunza kusamehe

  • @shijamarco2662
    @shijamarco2662 Год назад +3

    Mbona hujahoji kisa cha ku gombana

  • @AngelacatuveCatuve
    @AngelacatuveCatuve 21 день назад

    Boss na elimu

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 Год назад

    Sasa hadithi ya kubaka maiti imehusianaje na haji?

  • @robertdominiko2667
    @robertdominiko2667 Год назад +2

    Nini alitukanwa huyu??? Mbona hivi tena

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 9 месяцев назад

    MO HONGERA SANA NIMEKUSIKIA VIZURI NA KUJIFUNZA KUSAMEHE NI KUTAMU MNO NA WIVU PIA NI MBAYA

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад +4

    Namna ulivyovaa Mo umejiangusha,,,,,

    • @rasterwangu9708
      @rasterwangu9708 Год назад +1

      Yupo ndani kwake

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      @@rasterwangu9708 Ni kweli lakini hiyo taarifa si unaona inakwenda Kwa public

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад +1

    Hakupunguzii wala hakuzidishii 😂

  • @khalifamilulu9109
    @khalifamilulu9109 Год назад

    Huyu jamaa kuzaliwa tanzania kote huku. Lakini bado hajui kiswahili. Ety wivu ya pili.

  • @musamusa6213
    @musamusa6213 Год назад +1

    Waandishi wengi wa kibongo sijui kwa nini wanapenda mambo ya kinafiki ambayo hayatusaidii sisi wala yeye!! Muulize maswali ya msingi ya kuhusu simba! Huyo ni bilionea hafananishwi na wewe wala manala.

  • @danielsebastian3352
    @danielsebastian3352 Год назад

    Tajiri maneno ya dhahabu... Achana na manara mtaji wake mdomo wenye maneno machafu, Simba nguvu moja

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 Год назад +4

    Boss bana😄😄😄eti naona umenielewa jambo alilofanya mbona manara hajawahi kumtukana mo hata skumoja zaid yakumtania B twenty ziko wap na kumuita mwamedi au mudi hajawahi kumtukana bana

    • @nathankihiyo6194
      @nathankihiyo6194 Год назад

      Kwani Mo ni mtani wake?

    • @omarmasuke2768
      @omarmasuke2768 Год назад

      @@nathankihiyo6194 Mo ni Simba na Manara ni Yanga, Yanga na Simba ni watani wa jadi.

    • @apostlemelkizedeckmsechu6274
      @apostlemelkizedeckmsechu6274 Год назад

      INAWEZEKANA MANARA ALIFANYA UTANI LAKINI ALIPITILIZA IKAWA KAMA KUNA MGOGORO PERSONAL

  • @masoudmasoud9345
    @masoudmasoud9345 Год назад +3

    Allah SWT created us and He knows what is best for us. This is something we often seem to forget. Allah knows it can be very hard to really forgive someone who hurt you and in this ayah, we are given the greatest motivation to push ourselves to forgive; it’s Allah’s forgiveness. When we think of forgiveness we mostly think of Allah’s forgiveness and we forget how important it is that we also forgive. Allah says:
    الَّذِينَ يُنفِقُونَ فِي السَّرَّاءِ وَالضَّرَّاءِ وَالْكَاظِمِينَ الْغَيْظَ وَالْعَافِينَ عَنِ النَّاسِ وَاللَّهُ يُحِبُّ الْمُحْسِنِينَ
    “The believers are those who spend in charity during ease and hardship and who restrain their anger and pardon the people, for Allah loves the doers of good.” (Surah Ali Imran 3:134).

  • @shabanisheka5973
    @shabanisheka5973 Год назад

    Tajiri hanuniwi kabisaa.. Huyo Zeruzeru ni jinga tu

  • @PiliIdd-iz7jm
    @PiliIdd-iz7jm Год назад +3

    Acha chuki acha ugombanishi katika watu nilikuwa nakuamini sana ila leo nimekuvuwa vyeo vyote

    • @MONEY_CHANNEL.
      @MONEY_CHANNEL. Год назад

      Uandishi huo siyo Chuki

    • @zainakassim6618
      @zainakassim6618 Год назад

      Hadithi haiendani na uhalisia wa tatizo lililotokea,kikubwa hapo ni kuufungua moyo wake Kwa umma ili umma ujuwe kuwa yeye Hana kinyongo na Manara!!! Je Kama kweli ni hivyo mbona muda umekuwa NI mrefu Sana toka Hilo tukio litokee?Au alikuwa anasubiri hao wachonganishi wafanye naye interview ndiyo atowe huo msamaha!!! Au alikuwa anamsubiri huyo maskini jeuri Kwa upande wake kutokana na kauli yake ampigiye magoti ili msamaha ukamilike!! Hayo yote yanaletwa na hao waandishi hao ndiyo wachochezi na wageuza maneno wakilitaka liwe vita,Shari ama misamaha wao ndiyo watekelezaji WA yote hayoo!! Wao ndiyo wasababishi wakubwa WA migogolo Kati ya MTU na MTU ,nchi na nchi vyama vya siasa n,k Wakiona Hamna anayewatilia uzito wao wenyewe wanatafuta Kiki ya kusuluhisha na Kwa kuzingatia Hilo kwenye chombo kikubwa maswali anayoanza kumuuliza huyo mteja wao ni la ugomvi au usuluhishi WA Manara na bosi wao mteja wao Mo,Ila pongezi Kama amefunguka kidhati kutoka moyoni au Kwa ajili ya kukalilishwa funga yake inayikuja basi Inshallah!! Tunawatakia kila la heri na nyie watia chachandu katika interview maana mmechachuwa sasa mnayaweka vizuri hongereni lengo ni kujenga nchi yenye Amani na si kubomoa nchi kazi kwenu Ila zingatieni maadili ya kazi yenu na siyo kuchochea au kuchonganisha kutokana na maswali yenu tungo tata

  • @SouleHamadimfaoume
    @SouleHamadimfaoume 2 месяца назад

    Mwacheni aende zake Manara kwani ndio nani anaisaidia nini Simba akiondoka Mo hapo tutasikitika

  • @prosperiamdetele1421
    @prosperiamdetele1421 Год назад

    Kwel mungu alisem tusameheane kipenz Cha Wana msimbaz❤️❤️

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Год назад

    Jembe unashangaza hivi kwanini unaanzisha topic inayomhusu huyu zimwi. Kwanini unampa milage. Tulishamsahau sasa mnampatia kisingizio cha yeye kuanza kuzungumza. Hebu uwe unatafuta topic nzuri za kujadili.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Год назад

    Kwani Hadji alimtukana Mo Dewj? Au Mo Dewj amesahau kumuuliza Mwandishi ametukanwaje na Hadji? Mimi mwenyewe Hadji sina kinyongo naye toka alipohamia yanga lkn kiukweli sijawah kumsikia akimtukana Mo Dewj

  • @ernestsereli8559
    @ernestsereli8559 Год назад

    Tajirii la afrika Hilo"yaan wew una pesa nyingi af una busara nyingi!sasa manara kichwa kimejaa matopee na pesa Hana ndo maana kila cku anakimbiwa na wanawakee

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Год назад

    HONGERA SANA MO MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU. WEWE NI TOFAUTI NA WATU WENGINE. MTU UKISHAMJUA HAINA HAJA YAKUJIBISHANA NAYE. TUNAKUPENDA WANA SIMBA. ENDELEA KUCHAPA KAZI SIMBA. ILA USAJILI ULIO BORA USISAHAU. WACHEZAJI WANAJITUMA SANA.

  • @shabaniselemani6425
    @shabaniselemani6425 Год назад

    Mbona umekaa uchi afu unasema manenoyamung??

  • @abdallahmanula1627
    @abdallahmanula1627 Год назад

    Mkumbuke ni sehemu ya kwanza ngoja tuone ndio tukosoe

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 Год назад

    Suruali

  • @suleymankabo
    @suleymankabo Месяц назад

    Suleyman kabo.😂😂 Mamba. Myamb. Rock sit. Manara. Kaona Tim. Ime. Kua. Fit. Ana. Anza. Shobo🎉. Kwenda

  • @Nufaila442
    @Nufaila442 Год назад +1

    Nimependa pale aliposema MAISHA MAFUPI TU.. kweli maisha mafupi sana hapa Duniani kuliko ya kaburini

  • @msabimarwa9994
    @msabimarwa9994 Год назад

    Tuletee Louis mickison boss

  • @serekachacha-zg2vp
    @serekachacha-zg2vp Год назад

    Ndio maana unafanikiwa Kaka yangu

  • @seydouside4081
    @seydouside4081 Год назад +3

    Hivi wewe unaehoji unafikiri mo mjinga akwambie kuwa simpendi haji kwenye vyombo vya habari..??? Kumbuka mo ni mfanya biashara ...atasemaje simpendi biashara zake atanujua nani..Huna hoja mchungu hapo alipo..unamkumbusha maumivu tu

  • @amosihokororo9702
    @amosihokororo9702 Год назад +1

    Mwandishi kilaza Sana maswali ya kipuuzi

  • @MagaliKiswili-bj6yz
    @MagaliKiswili-bj6yz Год назад

    Manala anawaumiza sana kichwa bugati hatari sana

  • @barakaayubu6126
    @barakaayubu6126 Год назад +1

    MO kajaliwa busara na ni mtu wa Imani.

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 Год назад

    Jembe fanya mazoezi mwili huo "tunakupenda braza!