#TBC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 май 2024
  • Mbunge wa Jimbo la Makete, Festo Sanga ameshangazwa na aina ya uwekezaji kwenye timu ya Simba na kusema kama timu imewashinda viongozi waliopo wawapishe wengine kuendeshea timu hiyo.
    Akizungumza na TBCDigital nje ya Bunge, Sanga amesema timu imekuwa na mwenendo mbaya na kuwanyima raha mashabiki wa Simba bila uongozi uliopo madarakani kujitafakari kwa kina.
    Shabiki wa Simba una maoni gani juu ya mwenendo wa timu yenu na ungependa kipi kifanyike ili kurejesha furaha kwa Wanasimba?

Комментарии • 166

  • @PascalTumbay
    @PascalTumbay 4 дня назад +1

    Safiii sana MH mbunge huyu mwekezaji janja janja nyingi afu viongozi wapigaji

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h 14 дней назад +11

    Sawa tunawashukuru sana waheshimiwa kwa kuona swala hili maana kuna viongozi wa hovyo sana.muwekezaji haeleweki,uongozi uliopo utoke mwekezaji pia atoke.tunaumia sana juu ya simba yetu.yaani tunaumia sana.

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 14 дней назад +10

    Kigwangala alisema mkamuona hana nia njema na timu yenu leo mmekubali

  • @masterngao5538
    @masterngao5538 12 дней назад +2

    Simba na quality ya viongozi tofauti kabisa

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 14 дней назад +5

    Mwekezaji hafai aondoke mwekezaji ni feki hawezi kuisaidia timu. Safi sana Mheshimiwa pigania simba yetu itoke mikononi mwa mabepari, mabwanyenye na mafisadi.

  • @mickdaddymjungu8283
    @mickdaddymjungu8283 14 дней назад +2

    uko vizuri pambana tukomboe simba yetu iko mikononi mwa mataperi

  • @leonardlunguya7112
    @leonardlunguya7112 12 дней назад +1

    Ni kweli kabisa, viongozi na Mo wapishe timu ianze upya kabla ya msimu haujaanza

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack 14 дней назад +5

    Ukiona "Kiongozi" watu wake wanamkataa na kumsema,lkn bd yeye "kang'ang'ania" madaraka,ujue huyo kiongozi "ana ugali wake" anafaidika nao hapo

  • @BabaStuwartKatojo
    @BabaStuwartKatojo 14 дней назад +4

    Bora viongozi wakubwa na waselikali mriongereee MO naee anaweza kuwa chanzo

  • @mkorinthomgalilaya6700
    @mkorinthomgalilaya6700 14 дней назад +15

    Sio simba tu hata mama hatutoshi aondoke tu

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 14 дней назад +4

    Uko vizuri sana , sumu ya Simba ni Mo ahondoke

    • @MgangaMasudi
      @MgangaMasudi 13 дней назад

      Wasenge nyie na haowaheshimiwa wenu moanatoa hera nyingi sana haondiowanaotusumbua wajanja wajanja tu watoehera ya usajiliwao

    • @bbclondonulimwenguwasoka6126
      @bbclondonulimwenguwasoka6126 12 дней назад

      Mo atasifiwa timu Ikiwa inafanya vizuri na ikifanya vibaya lazima abebe msalaba , yeye ndo dira toa fedha na uisimamie mfano Heris anakaa na timu , Mo huwezi muona hata kidogo kwenye timu

    • @heriprince6166
      @heriprince6166 12 дней назад

      Kuandika tu ni shda kwko, unafkir hta hekima na Akili utakuwa nazo??​@@MgangaMasudi

  • @user-mk3iu6ho3j
    @user-mk3iu6ho3j 13 дней назад +1

    Ahsante kiongozi ubarikiwe

  • @nicksonkamazimo5173
    @nicksonkamazimo5173 9 дней назад

    Kapiga mule mule kama Kigwangala Asante kwa kuweka wazi

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 13 дней назад +2

    Viongozi Simba wangetoka mapema Sana Ila tatizo Rpc anawalinda Sana

  • @farajaamoke8109
    @farajaamoke8109 13 дней назад +2

    salutee broo sanga

  • @aaronsinkuya184
    @aaronsinkuya184 13 дней назад +1

    Kweli mdau umeongea point kubwa sana

  • @HishamRashidMilonge
    @HishamRashidMilonge 14 дней назад +1

    You are extra genius 👏

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 14 дней назад +3

    Nikwelikabisa umeongea kiukweli Simba uongozi haukomakini tafuteni uongozi wenyekiu ya maendeleo

  • @user-zy6vq6lz7z
    @user-zy6vq6lz7z 13 дней назад +2

    Mo haumii kwa sababu hatoi hela ange kuwa anatoa hela angezungumza Zaman

  • @Luganoamos-jv5in
    @Luganoamos-jv5in 13 дней назад +2

    Mo aondoke tu ,anatuharibia saana

  • @EvanceKimario-fq3ii
    @EvanceKimario-fq3ii 12 дней назад

    ❤❤❤napenda maneno hayo kuyasikia Kwa mwanachama au shabiki yoyote wasimba sports

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 14 дней назад +1

    Mo aende zake hongera MH

  • @user-zj2gc2zj2c
    @user-zj2gc2zj2c 14 дней назад +2

    Mwekezaji Hana tatizo bali wenye tatizo ni viongoz ..Mo anatoa hela za usajili wao wanagawana

    • @aminihashimu9979
      @aminihashimu9979 8 дней назад

      Hawa wasenge si wanaongea tu wanasahau kwamba kabla mo hajaja tulikuwa tunategemea kina chanongo, ajibu, serenkuma ndo watupe ubingwa

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 14 дней назад +3

    Mhindi ni muhindi tu ....

  • @falesisebunga
    @falesisebunga 7 дней назад

    filam za kibongo

  • @user-xf7gj4kd3k
    @user-xf7gj4kd3k 12 дней назад

    Aondoke mo Hana maana ana umimi mwingi sana

  • @emanuelmichael5830
    @emanuelmichael5830 11 дней назад

    Watu kama Hawa ni wa chache sana ktk hii Dunia👏👏👏

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 13 дней назад +1

    EXACTLY....!

  • @johnbkimaro
    @johnbkimaro 3 часа назад

    Atuambie timu inaukata umeanza lini? Je nani anadai? Au maana ya ukata ni upi.
    Hana hoja ni ujinga tu anatuletea

  • @HamisindeeLeembo-xp7iz
    @HamisindeeLeembo-xp7iz 12 дней назад

    Umenyosha mjombaa safi sana

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 8 дней назад

    Sasahv akihojiwa tena

  • @moidasimo9955
    @moidasimo9955 14 дней назад

    Kweli kabisa moo ni shida pale hana uchungu na timu kaweka viongoz wa siasa

  • @user-zr1gn1tr9h
    @user-zr1gn1tr9h 3 дня назад

    Mweshimiwa nakuunga mkono simba kuna wezi ila mwizi wa kwanza ni mo atoke na kundi lake

  • @NdalawaNickas
    @NdalawaNickas 13 дней назад +1

    Timu inapelekwa hovyo hovy watoke waniachie timu yangu

  • @mdimifrank
    @mdimifrank 10 дней назад +1

    Ukweli wanasimba sisi tunaujua. Shids si mwekezaji mmoja ambaye amekwishalipia asilimia 49 ya hisa zake. Shida ni uongozi wa wanachama kushindwa kuratibu ulipiaji wa 51% ya hisa. Ndiye mwekezaji asiyetimiza wajibu. Mangungu ndiye mchawi wetu.

  • @bimbaboy816
    @bimbaboy816 14 дней назад +1

    Unaongea point kabisa

  • @AbdallaOthman-ny8hp
    @AbdallaOthman-ny8hp 8 дней назад

    mm naungana na ww kweli

  • @ongezamaarifatz4241
    @ongezamaarifatz4241 12 дней назад

    mo aondoke na watu wake tumechoka danadana.. mara ameinunua... mara anapata hasara kwan akiondoka simba ika rudishwa kwa wanachama tukatafuta muwekezaji wa maana kuliko iv mguu ndani, mguu nje

  • @user-wu2yn1lb2e
    @user-wu2yn1lb2e 8 часов назад

    Inatakiwa mwenyekiti wa club ya simba na makamu wake wajiuzulu tu hawatufai kabsa

  • @JosiaKaminyoge
    @JosiaKaminyoge 13 дней назад

    Kweli kabisa unacho kisema nakuunga mkono

  • @noelmarko238
    @noelmarko238 10 дней назад

    Tunashukur sana kama simba imewashinda waiachie

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 13 дней назад +1

    Viongozi ndio shida

  • @aminihashimu9979
    @aminihashimu9979 8 дней назад

    Nachojiuliza mimi mbona kabla hajaja hatukuweza kufanikiwa?

  • @user-pf4vx5yx1q
    @user-pf4vx5yx1q 14 дней назад +1

    Tupo panoja aondoke , waru waje wamekeze

  • @user-cg6iy2et7q
    @user-cg6iy2et7q 14 дней назад +1

    Mo na kile kimangungu vyote viondoke

  • @MgangaMasudi
    @MgangaMasudi 13 дней назад

    Najitokeza kupingana na hojayakijinga kabisa kwanimtu kusemaanapata hasara ni tatizo serekalini tuliambiwa ndegezinatiahasara na badotunazileta mwekezaji heraanatoa ushahidi tuna tatizovioni

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 13 дней назад

    Kweli kabisa lazima ckuwepo janjajanja. Kama mtu anapata kwanini asiondoke!?

  • @JairosiMelikiori-et6xl
    @JairosiMelikiori-et6xl 12 дней назад

    Tetesi za usajili

  • @user-gr6hz5oq2g
    @user-gr6hz5oq2g 11 дней назад

    Mwekezaji hamjampa timu wanachama hamjatoa asilimia 51 zilizobaki mnamlaumu vip Mo?

  • @fridafranco315
    @fridafranco315 11 дней назад

    Umeongea ukweliiiii festoo

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 14 дней назад +1

    Kama moo yuko poa kwenu mnaomtetea mbona hachukui hatua zozote za wazi kuonesha kuwa uongozi uliopo umemwangusha kwa kushindwa kuisimamia timu na hata namna ya sajili zao nyingi zimekuwa na shida, sasa sisi tutamwaminije?

  • @Tanzania_Profession_CLUB
    @Tanzania_Profession_CLUB 12 дней назад

    Mbona hukusema wakati inafanya Vizuri miaka 4..
    ACHENI ujinga

  • @salilamaigah1401
    @salilamaigah1401 13 дней назад

    Ni kweli kabisa mheshimiwa. Mo ni mjanjamjanja. Haitakii mema simba

  • @emmanuelchalle625
    @emmanuelchalle625 14 дней назад

    Unasema kweli Mh.

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 14 дней назад

    Unajuwa siku zotee alowaita mbumbumbu Ali wajuwa mapema mh khamis kigwangwla aliwambia mapema mukamtuna Leo Muna SEMA Muna unga mkono😊😊😊

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 13 дней назад

    Ikwezekana kaka mliwasilishe bungeni wajadiliwe kwanini wanangu'ng'nia hawapati faida alafu Bado wameishikilia tim kama ya baba zao

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 14 дней назад

    Wachache wa kweli na waelewa wengi ni simba nguvu moja

  • @iddykivu1336
    @iddykivu1336 12 дней назад

    Yule Kanjibai Mbabaishaji na Matapei Aliowaweka Ndo kabisa

  • @TimothyPeter-ev6tg
    @TimothyPeter-ev6tg 2 дня назад

    moo atuchie timu yetu

  • @tonotvonline3070
    @tonotvonline3070 14 дней назад +1

    ...WANA SIMBAA TUMUUNGE MKONO HUYU SIMBA YETU ILI IKAE SAWAAA

  • @aloyceibiga-tx1ji
    @aloyceibiga-tx1ji 13 дней назад

    watu wenye akili kubwa mmechelewa sana mpaka timu imeliwa na mchwa mlikuwa wapi jamani hebu fanyeni Kila namba mo atoke tumechoka na sarakasi zake Simba ndiyo taswira pekee ya mpila wa hii nchi

  • @namtingakassim5529
    @namtingakassim5529 12 дней назад

    Huyo mo na viongozi wa smba wote vimeo waachie ngazi

  • @DM_15
    @DM_15 6 дней назад

    Ukuaji huo nihuyo huyo mo

  • @MakoyeMaduhu-sg4ft
    @MakoyeMaduhu-sg4ft 9 дней назад

    Atupixhe

  • @nathankakozi6899
    @nathankakozi6899 13 дней назад

    Huyu jamaa anaongea mambo ya hovyo yeye siyupo singinda kwenye board yeye mbona imewashinda

  • @jamesmohamed4612
    @jamesmohamed4612 11 дней назад

    Wewe mjinga wambie viongozi wakamilishe katiba wewe ungekuwa wewe ungeweza kutoa Hela bila mfumo kueleweka?

  • @JairosiMelikiori-et6xl
    @JairosiMelikiori-et6xl 12 дней назад

    Mangungu na wenzake niniwanacho ngangania simba ilikuwepo Kabula yao kama wanaakilitimamu waitishe timu yetu,

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig 13 дней назад

    Umeongea jambo la maana sana

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 12 дней назад

    Kwenye msafara wa mamba na kenge wapo

  • @Jkm237
    @Jkm237 12 дней назад

    MO KAMA HAWEZI BORESHA AONDOKE SIMBA WAKO WAWEKEZAJI WENGI WANAO ITAMANI SIMBA

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 13 дней назад +1

    🎉🎉🎉😢😢😢

  • @IssackAndrew
    @IssackAndrew 13 дней назад

    Muwekezaji haja weka ela kaweka maneno

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 12 дней назад

    Akwere ukooo

  • @cesaryaudax6647
    @cesaryaudax6647 13 дней назад

    Aache timu, anatuboa kila siku anadai kupata hasara, miaka kadhaa afanyi usajiri anafanya majaribio ya wachezaji na kuwatema! Shabiki tunaumia

  • @graysonmatali644
    @graysonmatali644 13 дней назад

    MO DEWJI atoke

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 13 дней назад

    Kaka tunaomba mtusaiidie pale Simba mwekezaji na wale viongozi watupishe niwahijumu mafisadi wakubwa

  • @GeofreySenka
    @GeofreySenka 13 дней назад

    Tangu lini wahindi ulimwengu wa soka wakawa wawekezaji

  • @KisendiNyanda93
    @KisendiNyanda93 13 дней назад

    Msingetumia picha ya bungeni sasa

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 14 дней назад

    #Kigwangala alisema

  • @khadijayusuph5815
    @khadijayusuph5815 2 дня назад

    Wewe fanya yako achana na simba uravi ndio una2asumbua

  • @richardmrosso976
    @richardmrosso976 14 дней назад

    Mo ajitasimini ata ninyi wabunge tunawashangaa vile vile

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 14 дней назад

    Tusaidieni Tuwatoa Wale viongozi wote matapeli kina try again. Hata uyo moo hana jipya kama vp atupishe..Tumechoka 😢

  • @jonathansirkintungi7434
    @jonathansirkintungi7434 14 дней назад +4

    Wewe ulikuwa wapi kutoa fedha kwa ajili ya kuindesha simba. yanga wanashinda kwa kutumia mbinu chafu hujui? Simba tumempa mwekezaji anahujumiwa badala ya kutatua tatizo unamlaumu mwekezaji ambae amefanya kazi kubwa ww unamkatisha tamaa. Mo akiondoka hatuna mjomba tutarudi kulekule kwenye bakuli. Wewe ni mbunge lakini huna mtazamo wa kimpira. Jiulize kabla ya kumpa timu mo simba ilikuwa wapi? Baada ya mo kuichukua simba ipo wapi? Wewe unahangaishwa na ubora bandia wa yanga ambao wanapata matokeo kwa kusaidiwa. Kama mbunge mliona viongozi wa yanga wakidhamini zaidi ya timu 5 zinazoshiriki ligi mmekaa kimya. Hamjui kuwa wanatumia hizo timu kupanga matokeo? Halafu unaamka kukimbiza kivuli badala ya kuzuia hiyo hujuma kwa kusimamia sheria. Kama hujui mpira kaa pembeni.

    • @omarymtotela3751
      @omarymtotela3751 14 дней назад

      Simba ndio timu pekee iliyongwa goli nyingi na yanga na haijazaminiwa na mzamini wa yanga

    • @user-mu8ok5sw3w
      @user-mu8ok5sw3w 14 дней назад

      Oya wewe jamaa huna akili kama ungekua na akili usingeandika gazeti lote hili lisilo na maana

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 12 дней назад

      😂😂😂😂mmmmhhh bonge la nipashe gazet

  • @honestmosha6203
    @honestmosha6203 3 дня назад

    Wekeza wewe mnaongea sanaaa

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 13 дней назад

    huyu si alikuwa msemaji wa singida utd simba yetu aiache

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp 14 дней назад

    Bora museme watu km nyny mana sisi wadogo hawatusikiliz washenzi wale

  • @Tarqimaster
    @Tarqimaster 9 дней назад

    🤗🤔😀

  • @johntendwa7856
    @johntendwa7856 13 дней назад

    Huyo nae ni kitunguu, kama kweli ni mbunge na ni kiongozi wa wapi? yaani na yeye analalamika na hajui kitu na anakuja hadharani kama shabiki kweli? yeye yupo karibu kabisa na majibu yote, anao uwezo wa kuwaita viongozi hao kupitia spika nao wakajieleza mbona wakichukua kikombe wanawafuata bungeni? ndio maana naona haka ka mgogoro kana asili ya ccm na serikali yake, ndio maana na sanga anawaka tu kama shabiki.

  • @gilbertkessy7388
    @gilbertkessy7388 14 дней назад

    Pia mama haondoke zake

  • @josephmwise3177
    @josephmwise3177 13 дней назад

    Jamani Watani kabla ya kuachana na Mo tafuta Mo mwingine bakuri sio Zuri, Simba ikiporomoka tutamtania nani?

  • @mickdaddymjungu8283
    @mickdaddymjungu8283 14 дней назад

    uyo mo akuna kitu mwizi tum imeporomoka kama yanga watoa pesa Simba washindwa nini simba nao watoe pesa Simba ilikua ya hansipo tangia ameondoka akuna kitu usajili alikua ajua amsajiri nani

  • @cricwambali1352
    @cricwambali1352 14 дней назад

    Wenga anaitaka simba tumpe wazee

  • @Franccoz
    @Franccoz 14 дней назад

    KWELI KABISA MO DEWJI HAELEWEKI KABISA,ALIITOA SIMBA MAVUMBINI HATUKATAI LAKINI AMEANZA KUIPELEKA TENA SIMBA MAVUMBINI LAKINI KUNA WATUU NA MASHABIKI WANAMKUMBATIA AONDOKE TUU

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 14 дней назад

    Kweli Yanga wanashinda kwa mchezo mchafu? Huo mchezo anaocheza ameshawahi kuwachezea simba? Simba amefungwa na Yanga ndani nje,na huo mchezo mchafu mlikubariana na Yanga uchezwe? Cha mhimu simba wajipange, hayo ni mapito hata Yanga waliyapitia, walitembeza bakuli wengine waliwacheka, sasa uongozi ujipange ili msimu ujao yasijirudie.Ikumbukwe kuwa Yanga waliteseka miaka 4.
    nje
    inda

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j 13 дней назад

    Kanjibhaiii

  • @official_masud
    @official_masud 11 дней назад

    Sasa mheshimiwa wakati simba iko inagaragara mbona hukujitokeza kuchangia ili iwepo ilipo, YOU SHOULD UNDERSTAND THAT THERE IS NO DEVELOPMENT ON COMFORT ZONE. Ayo mambo ya Hisa mtajuana wenyewenalazima liwekewe sawa na wazi kwa wanachama ilitujue ni kampuni ama club ya wote

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 13 дней назад

    Mangungu na try waondoke

  • @Shite_mohs
    @Shite_mohs 13 дней назад

    mamluki nao waondoke

  • @user-xr7fh9ht8o
    @user-xr7fh9ht8o 12 дней назад

    JMN MINASEMA NA NITAENDELA KUSEMA ILI SIMBA IFANYE VIZUR KWENYE USAJIRI YN KILA KITU MOO AONDOKE SIMBA YULE SII MTU MZURI KWENYE KRABU YA SIMBA SIO MTU MZURI YEYE NDIO ANAEIARIBU SIMBA ANAKOMBA HELA ZOTE ZA SIMBA ANAJINUFAISHA YEYE MWENYEWE NA FAMILIA YKE MTAKUJA KUNIAMBIA AONDOKE NDIO ADUI NAMBA MOJA

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe9042 14 дней назад

    Brother singinda ilikushinda