#ZaNdaaani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 май 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • СпортСпорт

Комментарии • 71

  • @EmmanuelKishiwa
    @EmmanuelKishiwa Месяц назад +5

    Ricardo momo 😅😅 mwamba wa zandaaniiiiii kabisa wenye kukubali za ndani kabisaaaa njoeni tupige laikisi hapa😅😅😅😅

  • @kingmakavely9861
    @kingmakavely9861 Месяц назад +2

    Code ya leo ilikua nyepesi sanaa 😀😀
    Kwa maslahi mapana ya kijana mwenzetu wa kitanzania kama kweli fursa za nje zipo wamwache aende banaa

  • @Midayakubet
    @Midayakubet Месяц назад

    Kwli mzee baba wew nakukubali sana

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Месяц назад +1

    Mkandaji

  • @bakaromar8135
    @bakaromar8135 Месяц назад

    Karibu kibu

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 Месяц назад +1

    Uongo wa mchana huko!!! Kazi yenu kuwachonganisha watu! Hakuna kla bu professional itakwenda Kwa mchezaji aliye na mkataba wa zaidi ya miezi SITA,ikaenda Moja Kwa Moja Kwa mchezaji!!!

  • @deniskaaya1117
    @deniskaaya1117 Месяц назад

    Momo ni Story teller mzuri sana

  • @YusuphLukindo-vi9ow
    @YusuphLukindo-vi9ow Месяц назад +2

    Kibuu

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 Месяц назад

    momo mzee wa code ngumu 🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪

  • @stanleymwaselela1849
    @stanleymwaselela1849 Месяц назад +1

    Kibu D

  • @user-nj7yx5yy4n
    @user-nj7yx5yy4n Месяц назад +2

    Kibu denis

  • @YahayaBakari-hf5yk
    @YahayaBakari-hf5yk Месяц назад

    Hii uwongo sana

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Месяц назад

    Kibu Denis nn aende tuu kwa aman

  • @jamal-dintz6465
    @jamal-dintz6465 Месяц назад +9

    Hahaha , kibu denis😅😅

  • @BarakaStivin
    @BarakaStivin Месяц назад

    Bora umewambiya wanachanganya weka wazi tunaaribu mb kuwaskiliza nyinyi

  • @user-ui5xc6sb5m
    @user-ui5xc6sb5m Месяц назад

    Kibu

  • @raymondswed7358
    @raymondswed7358 Месяц назад +4

    Kibu di Kibu dee😂😂😂 ni MWANANCHI.

  • @peteveprosper7186
    @peteveprosper7186 Месяц назад

    Iringa haisikiki kwa muda wa wiki tatu sasa hovyo kabisa jaman mbna hamko makinii

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Месяц назад

    Simba hawana tabia ya kuwabana wachezaji wake ikitokea ofa ya ukweli

  • @zoharimohammed2942
    @zoharimohammed2942 Месяц назад +1

    Hahaaaaa lakini awali kabisa aliwakataaa hao jamaa anakotaka kwenda 😂😂😂sahzi anawakubali a tena

  • @ivanpatrick6479
    @ivanpatrick6479 Месяц назад

    Mwamba aende tu akapeperushe bendera ya 🇹🇿

  • @mgoamkiza1117
    @mgoamkiza1117 Месяц назад

    Acha unafki bubu ww huna ulalolijua

  • @3malis
    @3malis Месяц назад

    Kibu denga 😂

  • @musaogira8375
    @musaogira8375 Месяц назад +1

    kibu d

  • @cstygasper8065
    @cstygasper8065 Месяц назад +1

    Kibu denis prospa

  • @Midayakubet
    @Midayakubet Месяц назад

    Juma tatu ......

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot Месяц назад

    Fala wewe

  • @adambakari9276
    @adambakari9276 Месяц назад

    Za ndaaaani kabisa mond adaiwa na joseph kusaga mbona hamuziongei na manara anadawa milioni 4 na alikiba mwaka 3 sasa huu

    • @bigjizee4130
      @bigjizee4130 Месяц назад

      Sasa kudaiwa ni mpira?

    • @jumaseif2452
      @jumaseif2452 Месяц назад

      ​@@bigjizee4130KAKA huyo choko hajielewi watu wanaongelea mpira yy anasema kudaiana

  • @nyotoxjr81
    @nyotoxjr81 Месяц назад

    Nyotox wa Simba

  • @SamwelAngelile
    @SamwelAngelile Месяц назад

    Za ndaaaaaaaaanii kabisa wow

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 Месяц назад +1

    😂😂😂

  • @AyubuMsindo
    @AyubuMsindo Месяц назад

    Jamnipesa ndokilakitu machawa hawawalimsifia skudu sasahv hawamuonglei jamnipesa sabuniyaroho

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 Месяц назад

    MMEPEWA HONGO HIZI MEDIA MTAWACHOMESHA WATU MAHINDI MITAANI.LETE EVIDENCE WAA'DISHI WA MCHONGO

    • @Mlulatv
      @Mlulatv Месяц назад

      Hujalazimishwa kuamini kama huamini tulia tajiri
      Momo akuletee evidence wewe ni nani???

  • @nyotoxjr81
    @nyotoxjr81 Месяц назад

    😂

  • @user-tw3jc4zz3m
    @user-tw3jc4zz3m Месяц назад

    Rekado momo sikuelewi uchambuzi wako atakidogo😂

  • @Turkingmediafoundation
    @Turkingmediafoundation Месяц назад

    Hiij ni maajabu 😂🙌

  • @maigathomas2353
    @maigathomas2353 Месяц назад +1

    nani huyu aziki, bac, pacome?

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Месяц назад +1

    Kibu hatumtaki Yanga Hana kiwango Cha kuchezea Klabu kubwa jiulize msimu mzima kapata goli Moja

  • @songombingo108
    @songombingo108 Месяц назад

    Umbea wa kijinga kwa vijana kama nyinyi hauna mashiko

    • @Mlulatv
      @Mlulatv Месяц назад

      Kama hutaki unaacha

  • @mgoamkiza1117
    @mgoamkiza1117 Месяц назад +6

    Mbona habar za babaaenu mond na zuchu hamsemiiiiii?

    • @FatmaJumawazir
      @FatmaJumawazir Месяц назад

      Hahahaha

    • @EmmanuelKishiwa
      @EmmanuelKishiwa Месяц назад +1

      Heshima huja ikiwa utaamua ila ukijiona utabugizwa ata kifungo Cha maisha Bure too

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Месяц назад

      Hayo ni ya kawaida sanaaa kwa wapenzi so sio habari!! Habari ndo hiyo isikilize kwa kutulia😅😅😅

    • @Mgema001
      @Mgema001 Месяц назад

      Mond na zuchu ni wachezaji wa Simba ama😂😂😂😂

    • @abduljuma1136
      @abduljuma1136 Месяц назад

      Awo s washenz tu wote machawa awo wakisema kaz kwisha😃😃😃😃😃😃 semen kama mond na zuchu byby mnaogopa nn mbn kwa wengine mapema 2 na vicheko juu mamaaaamina walay👈👈👈

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc Месяц назад

    huyu hata hana anachokijua hatasikuelewagi

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 Месяц назад

    Hivi nyie media za bongo mbona mnakuwa kama kaxi zenu hamkusomea? Yaani mna vitu vya kuchonganisha,kubahatisha na havina mvuto kabisa. Hakuna tafiti na 97% ya vitu mnavyoongelea havipo navhavita kuwepo. Yaani mmeshindwa kabisa kuwa na taaarifa au habari sahihi ili mpate followers na badala yake mnazuga kama vile vibaka wa stendi ili kuiba mb zetu. Pambafu sana ninyi.

  • @kwangahudispensary7238
    @kwangahudispensary7238 Месяц назад

    Soon mpira wa bongo ntauacha

  • @user-iw3kb4kk6d
    @user-iw3kb4kk6d Месяц назад +4

    Kibu denis

  • @petersynto2043
    @petersynto2043 Месяц назад +3

    Kibu D