#zandaaani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 мар 2024
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • СпортСпорт

Комментарии • 94

  • @abdullywahab1074
    @abdullywahab1074 3 месяца назад +9

    Thes first one 🎉 leo kam unakubali za ndani nipe like zangu

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m 2 месяца назад +2

    Dube njooo yanga mwanangu. Tupo nyuma Yako

    • @festovenas502
      @festovenas502 Месяц назад

      Nyuma ako pia kuna mwiko😅😅😅

  • @amosimalila7751
    @amosimalila7751 3 месяца назад +6

    Kunguru ni simba huyo😂😂😂😂😂

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 3 месяца назад +2

    momo mzee wa code ngumu leo nimekubamba wasafi fc simba kunguru ni simba...doctor wa azam fc ALLAH akujalie kauli thabit Amiin 🤲🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪

    • @user-ey6oz6zs1g
      @user-ey6oz6zs1g 3 месяца назад +1

      na aliyekua anapaki gali huku anaenda kule ni ngassa na huyo namba 6 ni mafisango

  • @AlfredNzige
    @AlfredNzige Месяц назад +3

    Yanga

  • @kidsontemba1641
    @kidsontemba1641 3 месяца назад +2

    Safi sana ubunifu mzuri sanaa

  • @tutumarzouk9803
    @tutumarzouk9803 3 месяца назад +3

    mtoto wa mfalme kutoka zimbabwe

  • @amonmengele
    @amonmengele 3 месяца назад +38

    JAMAN YANGA NA AZAM NI KAMA MTU NA DADA AKE KWAIYO WAANGALIE MDATHIRI,SURE,NA FEITOTO WALIVYOACHANA NA TIM ZAO...YAHANI APO MWENYE MACHO AAMBIWI TAZAMA KIUFUPI AZAM NA YANGA SIO WA KUWAINGILIA WENDA TAYALI HATA USAJILI WAKE UMEKAMILIKA BADO TU KUMTANGAZA kama unaungana na mm gonga likes apaa😅

    • @ivanpatrick6479
      @ivanpatrick6479 3 месяца назад +2

      Umeshau bangala😅😅😅

    • @amonmengele
      @amonmengele 3 месяца назад +1

      @@ivanpatrick6479 😄 🤣 nlisahau hata juma shaban yupo uko

    • @storytime1204
      @storytime1204 3 месяца назад +1

      ​@@amonmengelejuma shabani ayupo kwenye mpango wa Azam, alafu bangala aliachwa alihisiwa aliuza match

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 месяца назад +4

      😂😂 madunduka acheni unzala unzala .... Kapombe , manula , John Boko , Patrik mafisango ondoeni kizibo kwenye akili yenu ilikumbukumbu zenu zikae sawa 😂😂😂😂

    • @haidhabushiri9558
      @haidhabushiri9558 3 месяца назад

      Bangala aliachwa aliambiwa tafuta timu

  • @KijidamsutaMuna-ow1zd
    @KijidamsutaMuna-ow1zd 3 месяца назад +7

    mmmmmmh ila jamaa mbeya sijawahi ona

  • @abednego3876
    @abednego3876 3 месяца назад +2

    Kipindi numberi 1 East na Central Africa 😎😎

  • @EmmanuelKishiwa
    @EmmanuelKishiwa 3 месяца назад +1

    👉Ewaaaaaaa
    "Atakunywile tikoma✓"👈akufanyiaye husuda mpe kisogo🤝🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰

  • @sulehamad8700
    @sulehamad8700 3 месяца назад +4

    huyu jamaa mjinga kwel hahahaha

  • @user-zn7vw3pj6p
    @user-zn7vw3pj6p 14 дней назад +1

    Kweli momo.kunguruwazanzibari hao.wanaviziatu

  • @Juniorclasic
    @Juniorclasic 3 месяца назад +1

    Nikupe maua yako yako❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @albertchuwa9055
    @albertchuwa9055 3 месяца назад +2

    Kunguru ni simba,ukimsikiliza vizuri kila kunguru anaponyakua mchezaji timu yake ina imarika...manula na bocco,ila panzi ni YANGA na AZAM,so wanagombana kunguru anazengea....(feitoto,sureboy,mudahatir) so ishu ya dube au kipre wakae mkao kinguru asifaidike

  • @frenciustryphone4531
    @frenciustryphone4531 3 месяца назад +2

    Ila momo sijui data anazitoaga wapi😂😂😂😅😅

  • @TwalibuAlbaamiryShoka
    @TwalibuAlbaamiryShoka 3 месяца назад

    Dube asitusymbue tumpeleke kwa mkopo jkt Tanzania

  • @godwinrurio9060
    @godwinrurio9060 3 месяца назад

    Kunguru na wasafi ni Simba. Mifano ya zamani aliyotoa ni Patrick Mafisango na akina Bocco, Shomari, Nyoni

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 3 месяца назад +2

    Gadiel michael

  • @shukurusaria8527
    @shukurusaria8527 3 месяца назад

    mzee wa kudere muda wote huwaga ana vibe

  • @elninonegrito3825
    @elninonegrito3825 3 месяца назад +4

    Dah yani SIMBA ndo kunguru kwenye vita ya panzi wawili YANGA na AZAM. Momo mpuuzi sana 😂

  • @abubakarykivo7366
    @abubakarykivo7366 3 месяца назад

    Leo umechelew zilishavujishwa muda tu😂😂

  • @amosimalila7751
    @amosimalila7751 3 месяца назад +2

    Kunguru ni simba

  • @khajjhajjkhamis7867
    @khajjhajjkhamis7867 3 месяца назад +1

    Jamaa😅 liongoo ety yes yeees 🤝🏼🤝🏼

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 3 месяца назад +5

    Ukute viongozi wa yanga hawana hats shida nae munawapa simba la kasema tu wakimpata watangaze ushindi Kwamba yanga walikuwa na rengo nae

    • @jumasharifu5837
      @jumasharifu5837 3 месяца назад +2

      Duh nimekuelewa ni kwel yanga hawana mpango nae Simba ndy wanamuhaitaji

    • @storytime1204
      @storytime1204 3 месяца назад

      ​@@jumasharifu5837ata simba hawana mpango nae, aimba wanamtaka kipre jr

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 месяца назад

      ​@@storytime1204wamekuambi a 😂😂😂 ???

    • @haidhabushiri9558
      @haidhabushiri9558 3 месяца назад

      Simba hao walimchukua mafisango kipindi kile

    • @ramadhaniabdulabi4035
      @ramadhaniabdulabi4035 3 месяца назад

      Yang

  • @mwasa_tv
    @mwasa_tv 3 месяца назад

    code nyepesi sana

  • @AmriAlly-fu4fk
    @AmriAlly-fu4fk 8 дней назад

    Wana wanelewa ata ukiishia la 7ww

  • @user-ge3yd1tx5e
    @user-ge3yd1tx5e 15 дней назад

    Ehe Za Ndaaaaaaaan hadi kumwelewa lazima tuwe na D 2

  • @SumoZabron
    @SumoZabron 3 месяца назад

    Hans yanga mwenzetu kafurahi😆😆😆😆

  • @ibrahimbenedict1513
    @ibrahimbenedict1513 3 месяца назад +1

    Hauna lolote ingekua unajua ungesema kbl ya Azam kutangaza

  • @user-ye5fq1wc3g
    @user-ye5fq1wc3g 3 месяца назад

    😅😅😅 kunguru ndo ashanufaika mpungu upo

  • @kibatikibati5485
    @kibatikibati5485 3 месяца назад

    Ajee tu jagwan

  • @allamanomakoga8190
    @allamanomakoga8190 3 месяца назад +1

    Siyo Usol bwana Ni Iodine tincture

  • @abou.salimu1795
    @abou.salimu1795 3 месяца назад

    wasafi f.c

  • @komboD
    @komboD 3 месяца назад

    Mnyama kafanya yake ooooohhh

  • @msambalamjukuu3866
    @msambalamjukuu3866 3 месяца назад

    Dube ndani ya simba izo za ndani aliniambia tokea mwaka wa jana

  • @user-ex1xn1sx9g
    @user-ex1xn1sx9g Месяц назад +1

    Momo

  • @SaidyHamza-it1tg
    @SaidyHamza-it1tg 3 месяца назад

    Iiivitaa simbaa haweziii

  • @Tchidymbanga
    @Tchidymbanga 3 месяца назад

    Wasafi FC ni Simba, Kunguru ni Yanga 😂😂😂

  • @miltonnathan3946
    @miltonnathan3946 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma178 3 месяца назад

    We mbona kama unamtuma kunguru bhanaa, acha siasa bhana jamaa anakuja jangwani uku

  • @user-kd8iz5jo7w
    @user-kd8iz5jo7w 3 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @donkhan6841
    @donkhan6841 3 месяца назад

    Ricardo momo leo kweny mechi ya simba na prison ukwel umethibitika wa 100mil Kwa 500mil

  • @user-yd9vn1tb9b
    @user-yd9vn1tb9b 3 месяца назад

    Kwani hawa nao wachambuzi au waimbaaa taarabu

  • @Gonga94tz
    @Gonga94tz 3 месяца назад

    Simba bado tuna muitaji dube

  • @protamwenyegzaketv7408
    @protamwenyegzaketv7408 3 месяца назад

    Viva YANGA

  • @Tulizombago7633
    @Tulizombago7633 3 месяца назад

    😅😅😅

  • @francepaul7711
    @francepaul7711 3 месяца назад +2

    😂😂😂

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂

  • @fitinakisamuhagakisamuhaga693
    @fitinakisamuhagakisamuhaga693 3 месяца назад

    Huyo ni dube jamani hapo hakuna code wala bibi yake pini

  • @EnockSDady
    @EnockSDady 3 месяца назад +1

    Kunguru ni simba 😂😂😂😂

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re 3 месяца назад

    Eti wasafi fc 😅😅😅 badala ya simba mnyama

  • @NeysamElias-dp7nl
    @NeysamElias-dp7nl 3 месяца назад

    Ricardo momo jamn kweli ww hatar kaaaah😅😅😅

  • @stn4873
    @stn4873 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mwilesamson3165
    @mwilesamson3165 3 месяца назад

    Kunguru hapo simba😂😂😂

  • @SilaMinanda
    @SilaMinanda 3 месяца назад +1

    Kwani vipi Guede? Si mnasema bonge la striker au? Machoko nyinyi kaz kuikandia simba

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 месяца назад

      😂😂😂😂 sawadogo je ??

  • @fitinakisamuhagakisamuhaga693
    @fitinakisamuhagakisamuhaga693 3 месяца назад

    Kunguru anayetaka kupewa mchezaji akapumzike ni simba atakaye mchukua kiulaini ni yanga ila mchezaji hawezi kukubali kwenda simba hiyo vita ni yanga wanahusika😏😏😏

    • @BedroomTvKe
      @BedroomTvKe 3 месяца назад

      Code hiyo ni kwamba Yanga wanamtaka mchezaji lakini hawataki kwenda mbele, Azam wanataka timu inayomtaka iende na offer, Yanga hawataki sababu wanataka kulipiza kisasi kwa issue ya Feisal, wakati Azam nao wanasema issue ya Feisal wamelipiza issue ya Mudathir.
      Sasa, mzee wa kudere anachodai ni kwamba Yanga wakikataa kwenda front, Azam atampeleka Dube Simba hata kama ni kwa mkopo ila atampeleka tu.

    • @fj8317
      @fj8317 2 месяца назад

      Ishu ya Feisal sio Malipo ya muda bro ni Malipo ya sure boy na pia ​ gadiel Michael @@BedroomTvKe

  • @user-xr4hy9cg2c
    @user-xr4hy9cg2c 3 месяца назад +1

    Kunguru ni yanga na wasafi fc ni simba kwa ambao hamjaelewa code

    • @choggyslyymrisho5931
      @choggyslyymrisho5931 3 месяца назад

      Kunguru Ni Simba ndio atakenufaika kama yanga hawatotoa hela ya kumnunua dube

    • @DerricusJohn
      @DerricusJohn 5 дней назад

      S​@@choggyslyymrisho5931 nazan sas umeelewa nan ni kunguru😢 pole ila😁

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 3 месяца назад +1

    Yanga wanadaiwa na azam pesa kwa gadieri maikokamagi na shua boy kumpata dube sio kweli

  • @IddyAron-pr9ll
    @IddyAron-pr9ll 3 месяца назад

    Huyu muongo

  • @abdulsalim1069
    @abdulsalim1069 3 месяца назад

    Pumbaaaaaavu xan momo 🤣🤣

  • @onanarosse9657
    @onanarosse9657 3 месяца назад +1

    😂😂