#zandaaani
HTML-код
- Опубликовано: 4 мар 2024
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Спорт
Thes first one 🎉 leo kam unakubali za ndani nipe like zangu
Dube njooo yanga mwanangu. Tupo nyuma Yako
Nyuma ako pia kuna mwiko😅😅😅
Kunguru ni simba huyo😂😂😂😂😂
momo mzee wa code ngumu leo nimekubamba wasafi fc simba kunguru ni simba...doctor wa azam fc ALLAH akujalie kauli thabit Amiin 🤲🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
na aliyekua anapaki gali huku anaenda kule ni ngassa na huyo namba 6 ni mafisango
Yanga
Safi sana ubunifu mzuri sanaa
mtoto wa mfalme kutoka zimbabwe
JAMAN YANGA NA AZAM NI KAMA MTU NA DADA AKE KWAIYO WAANGALIE MDATHIRI,SURE,NA FEITOTO WALIVYOACHANA NA TIM ZAO...YAHANI APO MWENYE MACHO AAMBIWI TAZAMA KIUFUPI AZAM NA YANGA SIO WA KUWAINGILIA WENDA TAYALI HATA USAJILI WAKE UMEKAMILIKA BADO TU KUMTANGAZA kama unaungana na mm gonga likes apaa😅
Umeshau bangala😅😅😅
@@ivanpatrick6479 😄 🤣 nlisahau hata juma shaban yupo uko
@@amonmengelejuma shabani ayupo kwenye mpango wa Azam, alafu bangala aliachwa alihisiwa aliuza match
😂😂 madunduka acheni unzala unzala .... Kapombe , manula , John Boko , Patrik mafisango ondoeni kizibo kwenye akili yenu ilikumbukumbu zenu zikae sawa 😂😂😂😂
Bangala aliachwa aliambiwa tafuta timu
mmmmmmh ila jamaa mbeya sijawahi ona
Kipindi numberi 1 East na Central Africa 😎😎
👉Ewaaaaaaa
"Atakunywile tikoma✓"👈akufanyiaye husuda mpe kisogo🤝🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰
huyu jamaa mjinga kwel hahahaha
Kweli momo.kunguruwazanzibari hao.wanaviziatu
Nikupe maua yako yako❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kunguru ni simba,ukimsikiliza vizuri kila kunguru anaponyakua mchezaji timu yake ina imarika...manula na bocco,ila panzi ni YANGA na AZAM,so wanagombana kunguru anazengea....(feitoto,sureboy,mudahatir) so ishu ya dube au kipre wakae mkao kinguru asifaidike
Ila momo sijui data anazitoaga wapi😂😂😂😅😅
Dube asitusymbue tumpeleke kwa mkopo jkt Tanzania
Kunguru na wasafi ni Simba. Mifano ya zamani aliyotoa ni Patrick Mafisango na akina Bocco, Shomari, Nyoni
Gadiel michael
mzee wa kudere muda wote huwaga ana vibe
Dah yani SIMBA ndo kunguru kwenye vita ya panzi wawili YANGA na AZAM. Momo mpuuzi sana 😂
Leo umechelew zilishavujishwa muda tu😂😂
Kunguru ni simba
Jamaa😅 liongoo ety yes yeees 🤝🏼🤝🏼
😂😂
Ukute viongozi wa yanga hawana hats shida nae munawapa simba la kasema tu wakimpata watangaze ushindi Kwamba yanga walikuwa na rengo nae
Duh nimekuelewa ni kwel yanga hawana mpango nae Simba ndy wanamuhaitaji
@@jumasharifu5837ata simba hawana mpango nae, aimba wanamtaka kipre jr
@@storytime1204wamekuambi a 😂😂😂 ???
Simba hao walimchukua mafisango kipindi kile
Yang
code nyepesi sana
Wana wanelewa ata ukiishia la 7ww
Ehe Za Ndaaaaaaaan hadi kumwelewa lazima tuwe na D 2
Hans yanga mwenzetu kafurahi😆😆😆😆
Hauna lolote ingekua unajua ungesema kbl ya Azam kutangaza
😅😅😅 kunguru ndo ashanufaika mpungu upo
Ajee tu jagwan
Siyo Usol bwana Ni Iodine tincture
wasafi f.c
Mnyama kafanya yake ooooohhh
Dube ndani ya simba izo za ndani aliniambia tokea mwaka wa jana
Simba ana uwezo yanga ana kwend kubeba duby
Momo
Iiivitaa simbaa haweziii
Wasafi FC ni Simba, Kunguru ni Yanga 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
We mbona kama unamtuma kunguru bhanaa, acha siasa bhana jamaa anakuja jangwani uku
❤❤❤❤❤❤❤
Ricardo momo leo kweny mechi ya simba na prison ukwel umethibitika wa 100mil Kwa 500mil
Kwani hawa nao wachambuzi au waimbaaa taarabu
Simba bado tuna muitaji dube
Viva YANGA
😅😅😅
😂😂😂
😂😂😂😂
Huyo ni dube jamani hapo hakuna code wala bibi yake pini
Kunguru ni simba 😂😂😂😂
Kunguru ni yanga wasafi ni simba
Ujaelewa code we
Eti wasafi fc 😅😅😅 badala ya simba mnyama
Ricardo momo jamn kweli ww hatar kaaaah😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kunguru hapo simba😂😂😂
wazee wa kunyakua
wazee wa kunyakua
Kwani vipi Guede? Si mnasema bonge la striker au? Machoko nyinyi kaz kuikandia simba
😂😂😂😂 sawadogo je ??
Kunguru anayetaka kupewa mchezaji akapumzike ni simba atakaye mchukua kiulaini ni yanga ila mchezaji hawezi kukubali kwenda simba hiyo vita ni yanga wanahusika😏😏😏
Code hiyo ni kwamba Yanga wanamtaka mchezaji lakini hawataki kwenda mbele, Azam wanataka timu inayomtaka iende na offer, Yanga hawataki sababu wanataka kulipiza kisasi kwa issue ya Feisal, wakati Azam nao wanasema issue ya Feisal wamelipiza issue ya Mudathir.
Sasa, mzee wa kudere anachodai ni kwamba Yanga wakikataa kwenda front, Azam atampeleka Dube Simba hata kama ni kwa mkopo ila atampeleka tu.
Ishu ya Feisal sio Malipo ya muda bro ni Malipo ya sure boy na pia gadiel Michael @@BedroomTvKe
Kunguru ni yanga na wasafi fc ni simba kwa ambao hamjaelewa code
Kunguru Ni Simba ndio atakenufaika kama yanga hawatotoa hela ya kumnunua dube
S@@choggyslyymrisho5931 nazan sas umeelewa nan ni kunguru😢 pole ila😁
Yanga wanadaiwa na azam pesa kwa gadieri maikokamagi na shua boy kumpata dube sio kweli
ujuh kitu tulia
Kweli wewe ujui kitu tulia
Weka hoja acha ya ujui kitu tulia katoa hoja jibun hoja
Wewe ndio mkaguzi wa madeni?😂😂😂
Huyu muongo
Anayapanga tu😅
Pumbaaaaaavu xan momo 🤣🤣
😂😂