MZEE WA KUDERE Avujisha Siri MAYELE FEI TOTO HATUA ZA MWISHO KUSAIN SIMBA HAJATUPIWA MAJINI NI SIASA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 32

  • @IssaMatandi
    @IssaMatandi 7 месяцев назад +2

    Viongozi wa simba wanatuzingua

  • @RHOIDAKALUKWA-bw4jo
    @RHOIDAKALUKWA-bw4jo 7 месяцев назад +2

    Tafuteni wachezaji wengine ogopa majini

  • @Veni584
    @Veni584 7 месяцев назад

    Waende tu watanyooka

  • @IssaMatandi
    @IssaMatandi 7 месяцев назад +1

    Mm ninahisi viongozi wa simba hawajaenda shule ni mambumbu

  • @SemmySemmy-u9x
    @SemmySemmy-u9x 6 месяцев назад

    Mpira unachezwa uwanjan sio darasan simba haikuhusu

  • @RaymondCharlesSaliboko-to6vx
    @RaymondCharlesSaliboko-to6vx 7 месяцев назад +1

    Mbona wao wamemleta okra? Nasisi mayele ajee tu ndoo utani ukoleeeeeee

  • @SemmySemmy-u9x
    @SemmySemmy-u9x 6 месяцев назад

    Viongoz wa yanga wangekua na hakili wange mrudisha okra

  • @HemediJuma-o5y
    @HemediJuma-o5y 6 месяцев назад

    viongozi wa simba hawajitambui kila msimu usajili niwa hivyo hao sio viongozi wa mpira

  • @emmanuelsabato885
    @emmanuelsabato885 7 месяцев назад +1

    Inakuaje bola wakati wao pia wanawachukua wa simba dairy

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 7 месяцев назад +1

    Wamewachukua wasimba walikua wakijua wanawakomoa mkude okra na Simba wawachukue waliitoka yanga

  • @MADULAJAINGRI
    @MADULAJAINGRI 7 месяцев назад +1

    Vingozi wa Simba acheni ujinga. Mayele kwa sasa si bora,hivi mlishindwa kufanya scouting kwenye mashindano ya AFCON tukawapata washambuliaji walio kwenye soko,mnaanza kufanya maigizo tena ya kuwapata wachezaji ambao ubora wao umekwisha. Acheni maigizo

    • @bellenoe414
      @bellenoe414 7 месяцев назад +1

      Ntazidi kuwaona hawana akili 😢😢itaonyesha wanafnya kukomesha uto😢😢 saiv kabaki jina huko misri hawana mpango nae tena si tunazoa😢

    • @hakheemhussein8574
      @hakheemhussein8574 7 месяцев назад

      Kwan yanga mbna wanachukua wachezaji walioachwa na simba hlo ni jambo lakawaida tu

    • @Marwawilliam
      @Marwawilliam 7 месяцев назад

      Muwe mnasikiliza interview mpk hakuna sehemu amesema mayele anakuja simba

    • @ManenthoAlavezziJr
      @ManenthoAlavezziJr 7 месяцев назад

      Kwahyo mayele mbaya?

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 7 месяцев назад

    Toa goli 3 dhidi ya timu pungufu, na ukweli sasa wakiwa full dose wametoa draw!

  • @mazengojohn2090
    @mazengojohn2090 7 месяцев назад +1

    Kwann wachukue wachezaji kutoka yanga hahaaaaa yanga itakuwa Bora daim inakiogonz mnzur

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 7 месяцев назад +1

      vp Okra mpaka bleach sasa

    • @andrew0502
      @andrew0502 7 месяцев назад +1

      Mkude na Okrah hawajacheza Simba? au hufatilii mpira vizuri

  • @mwalimumlanzi8106
    @mwalimumlanzi8106 6 месяцев назад

    Mtembea na upepo

  • @HemanueliMasanja
    @HemanueliMasanja 7 месяцев назад

    Aje tuu yule jamaa anaweza sana

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 7 месяцев назад

    Bangara katupiwa majini mpaka atoke kama mayere akajue katupiwa majini

  • @HamzaSarumu
    @HamzaSarumu 7 месяцев назад

    Acha aje msimbaz mwamba

  • @helenwailly1558
    @helenwailly1558 7 месяцев назад

    Hatrick ya wachezaji 7 😅😅

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 7 месяцев назад +1

    Kwa umri wa Mayele ruksa kwenda kwa dunduka

    • @Abdulwahaid-j4v
      @Abdulwahaid-j4v 7 месяцев назад

      hhhhh nyuma mwiko mnateseka eti kwa umri wa mayele aende dunduka

    • @iptisamismaill-f6h
      @iptisamismaill-f6h 7 месяцев назад

      Mayele na guede nan babu

    • @johnmwanja4476
      @johnmwanja4476 7 месяцев назад

      Kama Cha Pombe Mkude na Okrah walivyokwenda Utopolo fc

  • @mrben227
    @mrben227 7 месяцев назад

    Umeongea kweli kk ila mashabiki wa Gongowazi watabisha na kukutukana😢

    • @estonsaimon6671
      @estonsaimon6671 7 месяцев назад

      We nawe msimu Bora how?? Yaani alicheza na watu 6 uwanjani mbona anashindwa kufanya mkubwa kwenye mechi kubwa?