Vingozi wa Simba acheni ujinga. Mayele kwa sasa si bora,hivi mlishindwa kufanya scouting kwenye mashindano ya AFCON tukawapata washambuliaji walio kwenye soko,mnaanza kufanya maigizo tena ya kuwapata wachezaji ambao ubora wao umekwisha. Acheni maigizo
Viongozi wa simba wanatuzingua
Tafuteni wachezaji wengine ogopa majini
Waende tu watanyooka
Mm ninahisi viongozi wa simba hawajaenda shule ni mambumbu
Mpira unachezwa uwanjan sio darasan simba haikuhusu
Mbona wao wamemleta okra? Nasisi mayele ajee tu ndoo utani ukoleeeeeee
Viongoz wa yanga wangekua na hakili wange mrudisha okra
viongozi wa simba hawajitambui kila msimu usajili niwa hivyo hao sio viongozi wa mpira
Inakuaje bola wakati wao pia wanawachukua wa simba dairy
Wamewachukua wasimba walikua wakijua wanawakomoa mkude okra na Simba wawachukue waliitoka yanga
Mbn uelewk tn
Vingozi wa Simba acheni ujinga. Mayele kwa sasa si bora,hivi mlishindwa kufanya scouting kwenye mashindano ya AFCON tukawapata washambuliaji walio kwenye soko,mnaanza kufanya maigizo tena ya kuwapata wachezaji ambao ubora wao umekwisha. Acheni maigizo
Ntazidi kuwaona hawana akili 😢😢itaonyesha wanafnya kukomesha uto😢😢 saiv kabaki jina huko misri hawana mpango nae tena si tunazoa😢
Kwan yanga mbna wanachukua wachezaji walioachwa na simba hlo ni jambo lakawaida tu
Muwe mnasikiliza interview mpk hakuna sehemu amesema mayele anakuja simba
Kwahyo mayele mbaya?
Toa goli 3 dhidi ya timu pungufu, na ukweli sasa wakiwa full dose wametoa draw!
Kwann wachukue wachezaji kutoka yanga hahaaaaa yanga itakuwa Bora daim inakiogonz mnzur
vp Okra mpaka bleach sasa
Mkude na Okrah hawajacheza Simba? au hufatilii mpira vizuri
Mtembea na upepo
Aje tuu yule jamaa anaweza sana
Bangara katupiwa majini mpaka atoke kama mayere akajue katupiwa majini
Acha aje msimbaz mwamba
Hatrick ya wachezaji 7 😅😅
Kwa umri wa Mayele ruksa kwenda kwa dunduka
hhhhh nyuma mwiko mnateseka eti kwa umri wa mayele aende dunduka
Mayele na guede nan babu
Kama Cha Pombe Mkude na Okrah walivyokwenda Utopolo fc
Umeongea kweli kk ila mashabiki wa Gongowazi watabisha na kukutukana😢
We nawe msimu Bora how?? Yaani alicheza na watu 6 uwanjani mbona anashindwa kufanya mkubwa kwenye mechi kubwa?