#ZaNdaaani
HTML-код
- Опубликовано: 6 мар 2024
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Спорт
Sema wasaf mpogo vizuri sana mnaongea mpira hamna maneno ya chuki na husda Kama Efm ya kina jemedari,
Za Ndaaaaaaaaaaaaani 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Momo muongo sana 😂😂😂😂eti akienda yanga kha!!
Ni same situation na ile ya fei sema mnazuga tu, coz hata yanga walimwambia fei tim inayomtaka ije mezani
Tofauti ipo fei hela ya kuvunja mkataba m150 alitoa ila yanga hawakutaka. Dube hajafikia hiyo hela
@@ikramhizza4706wengine ubishi manundu
Young African club ya Vijana, Dube karibu Kwenye timu ya vijana
Kwan yanga haifungi
Hebu tengenezeni hicho kiti wasafi ni media kibwa kiti kinalia kama mlango nywinywiiinywiiii
😂😂😂😂😂😂😂 nywinywiiiiii
Kuna timu zinatumia pesa ya gvt take my words
Iyo pesa 😂😂😂😂😂😂
Hizo fedha ni nyingi
Mbn wao walimchanganya fei kubwa na tulibaki pale pale uchamazini!!!?? Tulijua kuwa Azam wako behind scandal lkn tulifunika kombe apite mwanaharamu😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila haka kajamaa waga kaongo sana😂😂
😂😂😂😂😂 sasa si umesema leo hakuna kodi kila kitu wazi mzee
Baada akienda Yanga 😂😂😂 Momo ameuponza.
Ambambingile ndio maana watu wanakupenda unajua kuchambua mpila sio wachambuz wengine
😅😅😅😅😅 Momo akili huna
Ngoja Azam nao kiwapate
Malipo ni hapahapa
Umetumwa Leo na umehongwa ili kuja kutupumbaza
Kumbe anaenda Yanga tumeshajua
Mbn hukulimaliza haraka la fei kubwa????
Gsm anasifa sana😂😂😂
Ila hamonaiz
Badae akienda Yanga hahaha
ka momo et kamekasirika😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 daaah
Lile lipi? Haiitwi Lille inatamkwa Lil.
😂😂😂😂Boya kweli wewe Momo nimecheka kwa sauti sana aisee et badae akienda Yanga eeeeh jmn😂😂😂😂
Momo 😂😂😂
Umeuponza momo😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Hawezi kee dat yanga maana yanga hawana uwanja wa kutumia wako chukua lazima kuwe na uhadui 😂 ila ni maoni yangu
Rudi chekechea ukasome kuandika😅
@@dengahmediatz1230yani sijaelewa ata kidogo😂😂😂😂
😂😂😂😂
@@storytime1204 😁😁😁
😂😂
Uongo mtupu
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂