Namungo FC 1-3 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 08/03/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Magoli matatu ndani ya dakika 10 kutoka kwa Mudathir Yahya (54), Clement Mzize (57') na Stephane Aziz Ki (62') yameipa Yanga ushindi wa 3-1 dhidi ya Namungo FC kwenye uwanja wa Majaliwa, mkoani Lindi.
    Goli pekee la kufutia machozi kwa Namungo ni la kujifunga kupitia kwa Ibrahim Abdullah Bacca dakika ya 69.

Комментарии • 69

  • @boniphacebupamba5407
    @boniphacebupamba5407 6 месяцев назад +31

    Leo mapema saana like 2 tu zinanitosha wananchi

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 6 месяцев назад +2

    Habari zimfikie Gamondi, Okra, sure boy wanaonesha uwezo mkubwa sana, awaongezee madini zaidi nao wakiongeza juhudi na maarifa watajikuta mbali sana. Sipati picha kocha akipanga 1st eleven ikiwamo Muda, max, Azizi, pacome, okra na akija yule Dube mwisho na pale yao, lomalisa, baka, diara na job!!😮😮

  • @bonifasilameck9546
    @bonifasilameck9546 6 месяцев назад +9

    Kama umefurahia ushindi wa leo like tafadhari👍

  • @guccij6236
    @guccij6236 6 месяцев назад +9

    No Musonda,No Pacome,No Aucho,No Diarra,No Lomalisa,No Dube😅,No Problem

    • @BeatriceKassim-tz8bf
      @BeatriceKassim-tz8bf 6 месяцев назад +1

      we bwege kweli wa kwann no dube😂😂😂🙌🙌🙌

    • @guccij6236
      @guccij6236 6 месяцев назад

      @@BeatriceKassim-tz8bf wee zombie HAUJUI🤣

  • @SayuniShonga-jn6yi
    @SayuniShonga-jn6yi 6 месяцев назад +2

    Hawa ihefu wanamazoea sana ila leo kitajulikana

  • @JacksonChatanda
    @JacksonChatanda 6 месяцев назад +2

    Ieo tunashinda goli.3

  • @johnwallace9842
    @johnwallace9842 6 месяцев назад +2

    Niliwaambia huyu Gharib Mzinga na Ayoub Hinjo waje Jangwani mana wananyota sana na Yanga yetu,wakitangaza mechi zetu lazima tuweke vyuma kambani

  • @FatmaRamadhani-p4z
    @FatmaRamadhani-p4z 6 месяцев назад +1

    Majini ya mayele kabeba mudathir akifunguwa kazi linakufa jitu naipenda yanga jamn

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 6 месяцев назад +1

    Azizi aongeze umakini wa kuangalia goli anapokaribia lango.

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale7159 6 месяцев назад +1

    Watuuuuu weweeeeeeeee💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚

  • @Oman-cb3oe
    @Oman-cb3oe 6 месяцев назад +2

    Wakwanza like

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 6 месяцев назад +1

    sai aishi manula anachakujifunza kwa metacha😂😂😂daima mbele nyuma mwiko 💚💛🇹🇿

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 6 месяцев назад +2

    Muda Picha mbaya sana

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 6 месяцев назад +2

    Okrah ni hatari sana

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf 6 месяцев назад +1

    Kuna jambo nimejifunza juu ya mechi ya Leo* Niivi uyo kipa metacha nibola apewe kazi ya upishi akuna kipa hapo

  • @boniphacebupamba5407
    @boniphacebupamba5407 6 месяцев назад +3

    Ushindi huu kwa ajili ya Aucho upone haraka fundi wa mpira

  • @remypastory9047
    @remypastory9047 6 месяцев назад +1

    Wanamchiiiii atari sana

  • @DripGod-js4ss
    @DripGod-js4ss 6 месяцев назад

    Ni kosa azizi ki kugeuka n kupiga bila kuwa n target nzuri ilikuwa aingie nao kisha anyanyue kichwa chake achague engo y kufunga hivi wanavyo fanya wachezaji wetu iko siku itatugharimu pale unapo pata nafasi bc itumiwe kiufasaa huu ujumbe naomba mufikishe kwa huongozi wetu

  • @SalumMkumba-wj2wl
    @SalumMkumba-wj2wl 6 месяцев назад +1

    Hivi huyu muda sim hii anakuaga nayo uwanjani au

  • @DripGod-js4ss
    @DripGod-js4ss 6 месяцев назад

    Angalia goli l kwanza hadi l tatu hivi ndivyo inavyo takiwa kwenye mpira unavyofika kwenye eneo l mwisho utulivu uwe mkubwa kuliko maamuzi y haraka

  • @DripGod-js4ss
    @DripGod-js4ss 6 месяцев назад

    Ki azizi abadirike kupiga free kick zake mwanzo anapiga free kick mpira unanguka chini lkn kwa Sasa free kick zake zote anapiga juu y lango huu muendelezo wake ni kuikoshesha timu ushindi fikisheni ujumbe huu kwa huongozi

  • @MakayNgogiru
    @MakayNgogiru 6 месяцев назад +1

    Tupewe Kombe letu

  • @barackkavishe-s1q
    @barackkavishe-s1q 6 месяцев назад +1

    yanga hatal sana ❤💞💯

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 6 месяцев назад +2

    😂😂na shoga yetu anacheza na coastal union tanga akishinda, narudia tena akishinda mje mniite samson mbangulaa nimemaliza😂😂

  • @MashakaNdongo
    @MashakaNdongo 6 месяцев назад

    Simba inatuhusu nafas ya pili

  • @BuzaTV-sn2ft
    @BuzaTV-sn2ft 6 месяцев назад +3

    Daimambere nyuma mwiko
    🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪Yanga mbinga

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi279 6 месяцев назад

    sema metacha ameanz kuw mtu hv

  • @ScolaMashalo
    @ScolaMashalo 6 месяцев назад

    Jamn nyiee Okra ana mbio huyoo, love u Yangaaaaaaaaaaa

  • @CHRISANTUSDAUDI-tn3cu
    @CHRISANTUSDAUDI-tn3cu 6 месяцев назад

    Dima mbele nyuma mwiko.. Jeshi chukua maua Yako...

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 6 месяцев назад

    Ni mechi za mipango hizi timu ya Namungo imerudi kipindi cha 2 haikabi, beki inabaki nyuma ya mfungaji halafu anapeana mpira kwenye box, Ni hawa Mabeki walikuwa wakicheza kipindi cha kwanza kweli.

    • @RamadhaniMzashi
      @RamadhaniMzashi 6 месяцев назад

      kwaiyo belouzdad nao ilikuwa mipango mbn akili zko zipo matakoni

    • @mastidiawamara1264
      @mastidiawamara1264 6 месяцев назад

      Ata Jwaneng ilikuwa mpango wenu makolo si ndiyo ee?

  • @mishaelmethusela7809
    @mishaelmethusela7809 6 месяцев назад +2

    Wananchiiiii

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 6 месяцев назад +1

    Leo mmejirekebisha Swain nyie mpka tuwatukane ndo muweke highlits za yanga

  • @nyaganyaga3876
    @nyaganyaga3876 6 месяцев назад +1

    Leo Ibrahim baka hakuwa kwenye kiwango kizuri alikua na makosa ya hapa na pale ambayo unakutana na timu yenye level yetu au zaidi kulikua na goli ka tatu tungefugwa kwa makosa yake

  • @SamweliNgandi-qc1ji
    @SamweliNgandi-qc1ji 6 месяцев назад

    makolo mpaka waseme

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 6 месяцев назад

    Leo nimeamua niseme tu azam wanapata hela nyigi kupitia mech za yanga kabisa, yani kikweli azam mueshim sana timu ya yanga africn

  • @barackkavishe-s1q
    @barackkavishe-s1q 6 месяцев назад

    yanga hatal sana ❤💞💯

  • @guccij6236
    @guccij6236 6 месяцев назад +2

    Kumbe akina Pacome wamepumnzishwa sababu ya Ihefu uwiiiiiiii😢

    • @RoseMunisi-qp3qi
      @RoseMunisi-qp3qi 6 месяцев назад

      Kwa hiyo chemalone alipumziahwa kwa ajili ya coast😊😊😊

    • @RoseMunisi-qp3qi
      @RoseMunisi-qp3qi 6 месяцев назад

      Kama kiafya hakuna sawa ulitaka asafiri vip...na kwetu anaeingia na anayetoka moto unawaka

    • @guccij6236
      @guccij6236 6 месяцев назад

      @@RoseMunisi-qp3qi ndio 🤣

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 6 месяцев назад

      Ukisikia Yanga ina kikosi kipana ndo hiyoo ; yeyote anakipga ndo raha ya Yanga

    • @dullamuwise4802
      @dullamuwise4802 6 месяцев назад

      Yanga ana kikosi kipana sn n wote wako 🔥

  • @sillamfinanga1865
    @sillamfinanga1865 6 месяцев назад

    Okrah

  • @MaxVicenteVicente
    @MaxVicenteVicente 6 месяцев назад

    Asant yanga

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 6 месяцев назад +1

    Daima Mbele Nyuma Mwiko 🇹🇿 💛 💚

  • @scopy0428
    @scopy0428 6 месяцев назад +1

    This is Young Africans Brothers and sisters

  • @Neema-c9h
    @Neema-c9h 6 месяцев назад

    Leo metacha alituliza komwe😂😂😂😂

    • @boscojulius532
      @boscojulius532 6 месяцев назад

      😂😂😂😂 jamani walimwomba asiende hata uwanjani yeye kadaka jamani

  • @Msembele
    @Msembele 6 месяцев назад

    Good

  • @KashumaMadege
    @KashumaMadege 6 месяцев назад

    Ngorongo

  • @christianassenga2376
    @christianassenga2376 6 месяцев назад +1

  • @PhilipRobatsoni
    @PhilipRobatsoni 6 месяцев назад

    Yanga bingwa Tena 💚💛💚💚💛