Yanga SC 3-2 Azam FC - Highlights | NBC Premier League - 23/10/2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 окт 2023
  • Stephane Aziz Ki amefunga #hattrick na kuipa Yanga ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam
    magoli ya Aziz Ki yamefungwa dakika ya 9', 69', 72' huku Azam wakipata magoli yao kupitia kwa Gibrill Sillah 19' na Prince Dube dakika ya 62 kwa penati.
  • СпортСпорт

Комментарии • 234

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 7 месяцев назад +11

    Viva Yanga Viva Wananchiiiiii let's go Ubingwa msimu Huu Ni lazimaaa 💪🔥💥💚💛⚽👊🤚🖐🏿

  • @JoshuaMovela
    @JoshuaMovela 7 месяцев назад +11

    Hongera yanga ,Azam ni watoto wetu

  • @zekelly_025
    @zekelly_025 7 месяцев назад +8

    Jomba hii mpaka iishe kwanza ninnoma sana🎉🎉🎉

  • @ezekielmwarabu3548
    @ezekielmwarabu3548 7 месяцев назад +6

    Yanga ni nomaaaa sanaaa

  • @KaroliMagana
    @KaroliMagana 7 месяцев назад +7

    Amazing goal no:3

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 7 месяцев назад +13

    Azam mnatuangusha likija swala la highlights

  • @GracieTyno
    @GracieTyno Месяц назад

    Aziz Ki bwana dah!🙌🏽

  • @ntakakasendebayi9992
    @ntakakasendebayi9992 7 месяцев назад +4

    💛💛💚💚🔰🔰😂😂😂 nacheka kwa sababu nina furaha sana yanga hiii raha sana💚💚💛💛🔰🇹🇿

    • @Fredy-oz5vu
      @Fredy-oz5vu 6 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂😂

  • @simonsikanyika1682
    @simonsikanyika1682 4 месяца назад +2

    Yanga tamu

  • @user-eg9sq2zd5b
    @user-eg9sq2zd5b 6 месяцев назад +2

    Yanga raha ❤❤❤ jamn

  • @alluarjun8638
    @alluarjun8638 7 месяцев назад +1

    Mhh huyu azizi Ni noma aisee

  • @user-od4zj2xk6s
    @user-od4zj2xk6s 5 месяцев назад +1

    Ni kweli kabisa

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 4 месяца назад +1

    This is true derby

  • @catherineshao8304
    @catherineshao8304 18 дней назад

    I love Yanga

  • @user-rc6il8vw9z
    @user-rc6il8vw9z 7 месяцев назад +4

    Kama mwanayanga naomba mechiya Leo katiya yanga na singida kibwana aaz

  • @wardah-mb6kb
    @wardah-mb6kb 7 месяцев назад +23

    Ila Azam mnaroho mbaya Kila mechi ya yanga Huwa mnachelewesha

  • @cleverymwakamala2967
    @cleverymwakamala2967 7 месяцев назад +32

    kama Aziz atacheza kwa kiwango hikihiki kwenye derby tutawanyonyoa makolo

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo2120 7 месяцев назад +15

    Mkubwa ni mkubwa tu ❤❤

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 Месяц назад

    Great 💚💚💚💚💚

  • @user-vm5xd9wx1d
    @user-vm5xd9wx1d 7 месяцев назад +6

    Yanga yakibabe sana
    Huyu jamaa alotambulishwa usiku wa saa 6 mwamba wa wagadugu ni nomaaa sanaaaaa

  • @HusseinKafuta
    @HusseinKafuta 3 месяца назад +1

    Naludia mechi leo

  • @user-ex7zx1qb8g
    @user-ex7zx1qb8g 6 месяцев назад +7

    💚💚💚💚💚yanga nitimu kubwa

  • @NellyErick
    @NellyErick 7 месяцев назад +7

    Yanga bora

  • @josephbukubila2737
    @josephbukubila2737 7 месяцев назад +5

    muwe munakata dakika hata 40 au nitumie mechi zima unambie bei yake

  • @danielsunghwa487
    @danielsunghwa487 7 месяцев назад +1

    💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 yangaaaaaaa

  • @sadalaedward2460
    @sadalaedward2460 5 месяцев назад +1

    Mungu asimame Kati tu dhidi ya Ali ahal

  • @user-xw1zk5ug6h
    @user-xw1zk5ug6h 3 месяца назад +1

    Daima mbele nyuma mwikooooooooooooo

  • @agapeemmanuel
    @agapeemmanuel 6 месяцев назад

    Yanga ipo juu

  • @edibilychaula.3753
    @edibilychaula.3753 7 месяцев назад +5

    Hii match ilikua inawauma kuikuwema kisa timu yenu imepigwa mnachekesha kweli 😂😂😂

  • @user-xk5mq6rk8u
    @user-xk5mq6rk8u 7 месяцев назад +10

    Nakuunga mkono kwa hilo aise mamnyeto uwezo wa kukaba ama kuzuwia Bado sana asianze kiukweli atatuchomesha🎉

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 7 месяцев назад +1

      Mwamnyeto ni defender wa nchi beki la mpira weweee

  • @jacksonnyoni1978
    @jacksonnyoni1978 7 месяцев назад +4

    Azam ikicheza na yanga nyie azam midia kuweni kiloho safi leo ndo mnatupia toka jana mmekaa kimya tumeangalia mpila vizuli tumeshinda 3 - 2

  • @shabbirbharmal7876
    @shabbirbharmal7876 3 месяца назад +1

    Sauti ya baraka MPENJA inauwa humna mtu anayeweza kama baraka mpenja

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 7 месяцев назад +2

    Mabeki wa azam wazembe bao lapili sio lakipa

  • @user-pq5ud1gc5f
    @user-pq5ud1gc5f 4 месяца назад +2

    Aaah mpka kero jaman achen mpira wa sifa

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 7 месяцев назад +6

    SISI NDO YANGA,....ENDELEENI KUWATESA HAO MAKOLO.

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 7 месяцев назад +3

    Azam FC 3- 0 Mwakarobo

  • @user-kw9xe7cl9z
    @user-kw9xe7cl9z 7 месяцев назад +1

    Mambo ni moto

  • @user-oj1wx7ue5u
    @user-oj1wx7ue5u 7 месяцев назад +4

    Apewe mmauwa🎉🎉🎉 yake mwamba

  • @Hagai-pm6yf
    @Hagai-pm6yf 7 месяцев назад +4

    Ni aibu Kwa azama na Feisal wao,

  • @yonasytitusy337
    @yonasytitusy337 5 месяцев назад

    Ivi azizi awezi kufunga bila tobo

  • @HabeebaHassan-eq7bg
    @HabeebaHassan-eq7bg 7 месяцев назад +3

    Azam tv wasenge sana

  • @ishirininasita2626
    @ishirininasita2626 7 месяцев назад +6

    Feisal bana is on another level

    • @masaumujungu
      @masaumujungu 6 месяцев назад

      Another level without winning

    • @ishirininasita2626
      @ishirininasita2626 6 месяцев назад

      @@masaumujungu without winning what kama ni titles ako nazo kama ni individual awards anazo ama huangalii mpira boss

    • @ishirininasita2626
      @ishirininasita2626 6 месяцев назад

      @@masaumujungu ooooh ni majungu tu kama jina lako

  • @AmanduceFesto-nb6kh
    @AmanduceFesto-nb6kh 7 месяцев назад +4

    ❤❤❤❤❤ yanga

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma178 7 месяцев назад +1

    Azam fanyieni kazi quality ya picha za highlight hazionekani vzur

    • @user-vp4ni5kk4y
      @user-vp4ni5kk4y 6 месяцев назад

      Angalia setting kwenye youtube yako pia

  • @hajially4527
    @hajially4527 4 месяца назад

    0:51

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 6 месяцев назад +1

    Hii ndio ilikuwa Derby....Naskia malogo sc wameomba game yao na azam isongezwe mbele😂😂😂

    • @GracieTyno
      @GracieTyno 6 месяцев назад

      Wanaogopa 😂😂😂😂na lazima wachapwe 🔥

  • @user-ze2uy3vh3w
    @user-ze2uy3vh3w 3 месяца назад

    Hii ndoyanga leo daaah kiukwel yanga ndotim yakuxhabikia

  • @kokunyegezaruta8456
    @kokunyegezaruta8456 4 месяца назад

    😊

  • @shaibumrisho5033
    @shaibumrisho5033 6 месяцев назад +1

    Mpaka sasa hakuna mechi inayoshinda hii kwa ubora

  • @omega-gl9wt
    @omega-gl9wt 7 месяцев назад +2

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @justinewanzala3218
    @justinewanzala3218 5 месяцев назад

    Jamani mpenja mbona haungulumii

  • @user-uh4tr3nb1r
    @user-uh4tr3nb1r 3 месяца назад +1

    Saaa saba kasoro tarehe sita mwezi wa wa tatu narudia mechi kuangalia usiku uuu

  • @user-rv3dr9ug8o
    @user-rv3dr9ug8o 7 месяцев назад +1

    Wazembe kivp

  • @hajially4527
    @hajially4527 4 месяца назад

    0:32 0:35

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 7 месяцев назад +2

    Ally kamwe kashanzakutabiri ujinga ndio midono inamponza

    • @user-dl8bn3oc8c
      @user-dl8bn3oc8c 7 месяцев назад

      kwan all kamwe kaongea kit gan ww kolo

  • @sekwajuma
    @sekwajuma 2 месяца назад

    mamboo yako vizuli sana

  • @kedyjohn1848
    @kedyjohn1848 7 месяцев назад

    Ilikuwa wale tano na hawa kama siyo umakini wa Maxi, wangeongezeka kwenye ile list yetu.

  • @hassanchiwambo687
    @hassanchiwambo687 7 месяцев назад

    Huo moto waliopelekewa azam kuazia dakika ya 80

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah3691 7 месяцев назад +3

    Timu ya Azam takataka tupu, mishahara minono, marupurupu kibao, Hospitality ya uhakika, lakini wachezaji hovyo kabia, hivi hamjifinzi kwa yanga na Simba? Wachezaji huwa mnaokoteleza wapi? Hamfiki popote, mpaka labda Yesu akirudi. Kama vp hicho kiwanja Jenga kiwanda Cha kutengeneza biskuti utapata faida kuliko kuwa na timu inaleta hasara kila iitwayo siku. Trash trash trash trash kabisa hovyooo

  • @josephndaki8003
    @josephndaki8003 6 месяцев назад

    Siwezi kukubali Simba na Yanga iitwe Kariakoo derby why not Dar es salaam Derby? DUNIANI nani anajua Kariakoo au Chamazi?

  • @Kisamorabaututa-em1bv
    @Kisamorabaututa-em1bv 6 месяцев назад

    Mwamunyeto mech inamuhs sana Bora job asuge benchi

  • @Kikotidata
    @Kikotidata 6 месяцев назад

    Ila nyiee Aziz anajua Mpira bhn wew

  • @user-jn8us1qi1z
    @user-jn8us1qi1z 5 месяцев назад +1

    Fei shoga kwel eti anafanya ishara kuwa imeisha😂😂😂

  • @user-mo3yz7zk8y
    @user-mo3yz7zk8y 7 месяцев назад +1

    Hii ndo yanga

  • @jameskivelege8630
    @jameskivelege8630 5 месяцев назад

    Records zinaonyesha kuwa captain Mwamnyeto amesababisha penalty 3, mechi ya Azam, ya Mediama nje,ndani!!!
    Hali ya hujuma au uzembe?

  • @MwanamkasiAlj
    @MwanamkasiAlj 7 месяцев назад +2

    Azam haina mpira wakistaarabu ni watu wa mihereka tu kata funua sijui ni hizo ice cream.

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 7 месяцев назад +3

    Goli la tatu kulikuwa na faulo 7:45

  • @sadallahnineka3078
    @sadallahnineka3078 5 месяцев назад

    Makolo walijichanganya 5 zilikua ni za hawa lambalamba

  • @AsmaAmeir
    @AsmaAmeir 7 месяцев назад +1

    Azam makipa munatoa wapi mbona mipira inawapita kama kandimu

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 7 месяцев назад +1

    Golkeeper ovyo

  • @godfreymkinga
    @godfreymkinga 5 месяцев назад

    Mwamnyeto ajifunze jinsi ya kumkaba adui eneo la hatari makosa kama haya yanajirudia sana. Kingine max onyesha makali na mechi za kibingwa isiwe ligikuu tuu

  • @SalumuKibao-ex3zy
    @SalumuKibao-ex3zy 7 месяцев назад +1

    Ndoa ya kanisani hiyo

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 6 месяцев назад

    Roger uko sahihi mechi akianza mwamnyeto tunapata ushindi kwa taabu

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 5 месяцев назад

      Moja ya sababu ya kusajiliwa Gift Fred na pia Doumbia ni kwa ajili ya kutafuta mtu mwenye kimo lakini clinical sweeper ili kumuondoa Mwamnyeto kwenye equation

  • @user-qu2md6yh1y
    @user-qu2md6yh1y 7 месяцев назад +4

    Tunahama huku

  • @JuniorDasilva-gu9gn
    @JuniorDasilva-gu9gn 7 месяцев назад

    Feisal

  • @beatosiakilimar6098
    @beatosiakilimar6098 7 месяцев назад +2

    😮😅🎉😂❤

  • @ElickJames
    @ElickJames 7 месяцев назад

    Yanga maandazi to

  • @user-eq1gl3uh4m
    @user-eq1gl3uh4m 7 месяцев назад

    Tunaomba waliocheza dabi wajekuanz kweny mech ya Al shaky

  • @abdulazackabdul1894
    @abdulazackabdul1894 4 месяца назад +2

    🐸🐸🐸

  • @mwamvitamatiku
    @mwamvitamatiku 7 месяцев назад +4

    Yanga moto mkali

  • @denisndandika2024
    @denisndandika2024 7 месяцев назад

    Ni kweli

  • @youngrapper339youngrapper3
    @youngrapper339youngrapper3 3 месяца назад +1

    dash kiukweri nasikia raha na tanga yetu😂😂😂

  • @SurprisedHibiscus-zh6to
    @SurprisedHibiscus-zh6to 7 месяцев назад

    Unaipenda yanga kak

  • @JohnMwashanila-ev3ss
    @JohnMwashanila-ev3ss 7 месяцев назад

    Dream league

  • @trofinlyimo3520
    @trofinlyimo3520 7 месяцев назад +1

    Yanga bhnaaaa

  • @dullamuwise4802
    @dullamuwise4802 5 месяцев назад

    ila Aucho ameteseka sn kwa fei toto

  • @filbertabdallahmdee2676
    @filbertabdallahmdee2676 7 месяцев назад

    Hii mechi aucho alku hayuko fit ,hakua na fitness mda mwingi alkua anaachwa na fei na alkua anacheza faul na hii si kawaida yake nazan angetakiwa aende bench aingie hold mwingine ata mkude..,Mauya...

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 7 месяцев назад +5

    Tofauti ya wanaume na wavulana ndo hiyi sasa

  • @parishlawal3034
    @parishlawal3034 5 месяцев назад

    Ilo goli la sillah n offside kubw san

  • @GracieTyno
    @GracieTyno 6 месяцев назад

    Huyo kipa wa azam alitaka kutuzoea 😂😂😂😂

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 6 месяцев назад

    Dabi zote wananch tumeshind

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 6 месяцев назад

    Dirisha dogo inabid Yanga viongozi wasajili beki tatu, beki ya kati itayosimama na bacca na striker

  • @abdaljuma-wk4dg
    @abdaljuma-wk4dg 7 месяцев назад +1

    Ona lao hili lijinga usitofautishee bhana water wachezeji we2 sijapenda nyooookoooo

  • @user-hp4dn4nm8g
    @user-hp4dn4nm8g 6 месяцев назад

    Ihi meche ya kumbukumb

  • @katalisajuka-fl3st
    @katalisajuka-fl3st 5 месяцев назад +8

    Walitakiwa wapigwe 6 hawa kama sio uzembe wa Mudathir na Max, Kiukweli Max ana kera sana siku hizi, sehemu ambayo anatakiwa atoe pass rahisi ili wenzake wafunge yeye anataka apige afunge, Mudathir maamuzi yasiyo sahihi uwanjani yamekuwa mengi sana, mtu umebaki wewe na kipa unataka utulize tena badala ya kuunga, lakini tazama pale watu wawili wapo kwenye box mmoja ametanua pembeni ili kumvuta beki wa kati, yani Mudathir badala ya kupasia mpira kwenye box yy anataka achese one, two na huyu aliyetanua pembeni, mbona huu ni uchoyo uliyopitiliza

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 7 месяцев назад +2

    Azam tafuteni kipa

  • @franksanyiwa
    @franksanyiwa 7 месяцев назад +1

    Tunaeda kushambulia sio kunzuwia kwahiyo acheni kumpagia cacha akifungwa nyie ndio wa kwanza kulaumu kwahilo muachen cocha apage timu yake

  • @user-ov8zp5mc4y
    @user-ov8zp5mc4y 7 месяцев назад +1

    ahahahahahhaha hapoooo mm cpoo

  • @sadallahnineka3078
    @sadallahnineka3078 7 месяцев назад

    Kumbe azam nao walikua wanakula 5 aisee kwa hizi nafas zilizopotea😅

  • @ChristopherSamson-ce6lo
    @ChristopherSamson-ce6lo 7 месяцев назад

    Mwamunyeto bado mzembe anaigharimu timu