Simba SC 1-5 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 05/11/2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 ноя 2023
  • Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis.
    Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati.
    Tazama highlights....
  • СпортСпорт

Комментарии • 654

  • @irenemakundi-og9xg
    @irenemakundi-og9xg 4 месяца назад +237

    Kama na wewe unarudia kila siku kama mimi gonga like za kutosha

  • @habibukilango7738
    @habibukilango7738 4 месяца назад +39

    Tunaotizama tena leo tar 5 January gonga like

  • @magrethshishwa5481
    @magrethshishwa5481 6 месяцев назад +108

    Tunaotizama tena leo hii mechi gonga like za kutosha tujuane hapa💚💛💚💛💚

    • @user-ke9ef7wr5v
      @user-ke9ef7wr5v 5 месяцев назад +1

    • @GabrielkindoleGodfrry
      @GabrielkindoleGodfrry 5 месяцев назад +2

      Hii siku watu walipotea had kwao anashituka amepanda gar la mbez wakat anakaa gongolanyolo

    • @user-gu6eh4gl8l
      @user-gu6eh4gl8l 5 месяцев назад +1

      💚💚💚💚💚💚💚💚

    • @fatma4628
      @fatma4628 5 месяцев назад +1

      Ila simba walikoswa mno ilifaa wakule kumi😊

    • @claudiamoses7016
      @claudiamoses7016 5 месяцев назад +1

      ​@@user-ke9ef7wr5vlq look

  • @salummkumbe5694
    @salummkumbe5694 4 месяца назад +18

    Tunaorudia kutazama gonga like

    • @tenatanz
      @tenatanz 4 месяца назад +1

      Happy new yeah

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 4 месяца назад +13

    kwa tuliorudia kuangalia mara tano tano hapa mwaka 3055 gonga LIKE😂

  • @ManenoAbeli
    @ManenoAbeli Месяц назад +5

    Kama hii mechi ulifurahi weka like

  • @DoriceSephania
    @DoriceSephania 6 месяцев назад +8

    Diara umejua kumkand mgen rasmi 💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛nakupenda bure diaraa

  • @rahimuhabibu6388
    @rahimuhabibu6388 4 месяца назад +10

    Hii mech naiangalia Kila siku 3_1_2024

  • @BizoMenya
    @BizoMenya 5 месяцев назад +6

    Tunaotizama mpka sasa hii mechi tujuane hapa kwa like

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 26 дней назад +6

    Nikiwa na stress naangalia hili game

  • @bahatichikoko6362
    @bahatichikoko6362 4 месяца назад +7

    Nairudi hii mechi Leo tarehe 25|01|2024 tujuane hapa kwa like,Yani machungu ya tutofuzu afcon 16 taifa star Yanga inanipa amani

    • @patrickndelwa8903
      @patrickndelwa8903 2 месяца назад

      Ukiangalia hii mechi shida ilikua kwenye defense

  • @mamahairat2223
    @mamahairat2223 2 месяца назад +5

    Nimerudia kuiangaria Leo tarehe 24/3/2024

  • @apostleisaacnyika4669
    @apostleisaacnyika4669 4 месяца назад +6

    Kila Siku Hii Ni Mechi Mpya Kwangu....Naipenda Yanga Sports Club 🔰💛💚

  • @swaigift1694
    @swaigift1694 4 месяца назад +4

    Tunaoangalia 2024 tujuane apa kwa 👍

  • @user-ww9gd8pb7o
    @user-ww9gd8pb7o 6 месяцев назад +8

    Yanga mnafurahisha kweli, mnajua mnajua, mnajua tena. Hongera sana yanga na viongozi wenu wazuri

  • @nicodemasmasabo5412
    @nicodemasmasabo5412 4 месяца назад +6

    Ila sisi yanga hatuna huruma kwa kweli 😅😅😅😅😅😅😅yaan kila siku tunaiangalia hku tunacheka

  • @ochu1012
    @ochu1012 2 месяца назад +5

    06/03/2024 leo nimerudia😂

  • @roi2554
    @roi2554 4 месяца назад +4

    2024 still watching it😂😂😂

  • @user-um2ov6gm8j
    @user-um2ov6gm8j 3 месяца назад +8

    Yan leo taree27 mwezi 1 naangalia mludio haya magoli yanavyo ingia mwili unasisi mka machozi yafuraa yanatoka kama mechi inachezwa saa6 hii

  • @user-ts4oj4eg5m
    @user-ts4oj4eg5m 5 месяцев назад +3

    Mpira wetuu unakua kwa kasi sana what a performance by young africa

  • @JuniorShadrack-iw9ru
    @JuniorShadrack-iw9ru 8 дней назад +3

    Mi narudia leo saa 23:26 usku tareh 16 .05.2024

  • @HerenaReganga
    @HerenaReganga 4 месяца назад +5

    💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 24 дня назад +2

    Hii ndo dar young Africans buana❤❤❤❤

  • @trice_yanga
    @trice_yanga Месяц назад +4

    sema azizi ki anakuaga na mzuka😂halafu huyo mtangazaji amesemaje eti ohooho🙌🙌

  • @naomysalumu1858
    @naomysalumu1858 3 месяца назад +6

    Leo Tena tareh8 mwezi wapili 2024

  • @ManenoAbeli
    @ManenoAbeli Месяц назад +5

    Even me, YOUNG AFRICANS the CHAMPION 🏆🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅 🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆 🏆🏆🏆🏆🏆🏆

  • @user-ux3jj1er3e
    @user-ux3jj1er3e 3 месяца назад +3

    Tunaotizama tena leo tar 5 february gonga like apo😂

  • @YondoBishweko-si4uh
    @YondoBishweko-si4uh 5 месяцев назад +6

    Nilikua na mawazo yangu nimeangalia haya marudio nimefarijika😂😂

  • @ArnoldRwegasira-hp9gt
    @ArnoldRwegasira-hp9gt 5 месяцев назад +7

    Nimeirudia Tena leo😂😂

  • @sheysarahnjeno5207
    @sheysarahnjeno5207 6 месяцев назад +6

    Yangaaaaa yangu....vivaaaaaaaaaaa.

  • @mwanaidiomari2183
    @mwanaidiomari2183 21 день назад +2

    Tarehe4 may 2024 nipo apa gonga like kama tuko pamojaa😂

  • @user-vr8fv5ic8v
    @user-vr8fv5ic8v 5 месяцев назад +3

    I love so much young african 3:16

  • @amanikasekwa7454
    @amanikasekwa7454 Месяц назад +2

    Yanga yangu nakupenda saana🎉🎉

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles 2 месяца назад +9

    Nashindwa kabisa kufanya kazi kila saa narudia mechi ya yanga na simba na mechi ya yanga na CR Bulzdad.
    kama kuna mtu anamfaham daktari wa saikolojia naomba msaada.

    • @vi3ayo1622
      @vi3ayo1622 2 месяца назад

      Nitafute haraka sana nikutibu huo ni ugonjwa😂😂😂

    • @halimahamis7370
      @halimahamis7370 2 месяца назад

      Uko sawa tu huna shida yoyote nipo mwenzako hapa kila usiku ndo kazi yangu😅

    • @galluskanenge4898
      @galluskanenge4898 2 месяца назад

      Acha kulakula kipolo😊

    • @Faustine_Charles
      @Faustine_Charles 2 месяца назад

      @@galluskanenge4898 kabla ya hizi mechi nilikuwa nakula kipolo cha wali na maharagwe na sipati hili tatizo 🤦‍♂️

    • @galluskanenge4898
      @galluskanenge4898 2 месяца назад

      Ahaa ! Hauhitaji daktari wa saikolojia ,ila tafuta mechi mbili mlizowahi kufungwa na simba magoli mengi zaidi ya manne na meji za nje ambayo mlifungwa mpaka mkachelewa ndege yaani unapona kabisaa ,ukiona bado ,nitakuagizia njegere mabichi upike ule na wali utona shwari kabisa.

  • @AhazyStanley
    @AhazyStanley 19 дней назад +3

    Game zangu Bora Ambazo sichoki kuangalia
    Finał France 🇫🇷 vs Argentina 🇦🇷
    Simba vs Young Africans FT 1-5
    Club African vs Young Africans FT 0-1
    Young Africans vs CR Belouzidad
    FT 4-0
    Simba vs Young Africans FT 2-2 #Balama
    Greatest games of all time 🙌🏻💛💚

  • @husnakumburu8853
    @husnakumburu8853 Месяц назад +5

    Haichoshi kuangalia hata mara miaaa😅😅😅😅

  • @user-ui4bl2pb1g
    @user-ui4bl2pb1g 3 месяца назад +2

    Yangu tamu bana❤❤❤❤

  • @Stevekapugi
    @Stevekapugi 6 дней назад +1

    Huyu mtangazaji.jamani ananikosha sana.gonga like kama unamkubali🎉🎉🎉

  • @jacklinendimbo4529
    @jacklinendimbo4529 Месяц назад +5

    Kabla ya tareh 20.. nmekuj kujitidhisha tenaaa Kun sehem tulikoseailibid tuwafunge7

  • @user-nt6fb2ky3t
    @user-nt6fb2ky3t 2 месяца назад +4

    Hakuna mechi za yanga Sinto choka kuiangalia kama hii ya Simba na Ile ya CR belouizdad,,zinanipa Raha sana😊

  • @senkondonyange5769
    @senkondonyange5769 2 месяца назад +5

    Kikosi cha gamond cha mauaji....hiki ndo kiliua simba...hiki ndo kiliua cr beliouzdad

  • @GodfreyKunambi
    @GodfreyKunambi Месяц назад +5

    Nipo Live Tarh 2/4/2024

  • @MossesMria
    @MossesMria 4 месяца назад +5

    narudia na leo tena😂😂

  • @user-oh2ib9me5g
    @user-oh2ib9me5g 6 месяцев назад +8

    Leo mzize katulia

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 6 месяцев назад

      😂😂😂😂 sanaa raha jamani

  • @dicksonmwenyembegu2523
    @dicksonmwenyembegu2523 3 месяца назад +5

    nikimaliza hii naenda kutafuta ile ya kingereza😅😅

  • @ValeeMitindo-od7fs
    @ValeeMitindo-od7fs 6 месяцев назад +7

    Mpaka hapa nadhani mshajua timu Bora ambayo CAF wanaizungumzia ni ipi...YANGA IMEMALIZA UTATA.....MPAKA MSEMEEEE....😂😂😂❤❤❤

  • @habibukilango7738
    @habibukilango7738 4 месяца назад +8

    Leo tar 18 tujuane 😅

  • @NeemaChachaTV
    @NeemaChachaTV 16 часов назад

    Kama Unatazama 2024 Gonga Like hapa ❤❤

  • @zeyanaalhabsi8636
    @zeyanaalhabsi8636 6 месяцев назад +7

    5gggg hamtasahau wanssimba maisha yenu yoote.

  • @prosperpius9030
    @prosperpius9030 6 месяцев назад +4

    Mzize the Unsung Hero

  • @user-zf6wi8cp4u
    @user-zf6wi8cp4u 5 месяцев назад +5

    Hiki ni kipigo Cha mbwa Koko. pole yenu simba.

  • @user-op7mh5sp4p
    @user-op7mh5sp4p 4 месяца назад +4

    😂😂 Hii mpaka ifutwe ndio ntaach kuangalia😂

  • @moviekaa
    @moviekaa 2 месяца назад +10

    Walikufa vibaya mbwa hawa 😂😂😂

    • @ashamkenga6072
      @ashamkenga6072 2 месяца назад +2

      😂😂😂yan mpka raha kurudia rudia haichoshi😂😂😂

    • @moviekaa
      @moviekaa 2 месяца назад +1

      @@ashamkenga6072 Jeuri yote imekata 😂😂😂

  • @mackysuphian
    @mackysuphian 2 месяца назад +4

    Nimerudi baada ya kupigwa na wajelejela😅😅😅

  • @raynaeafrica9464
    @raynaeafrica9464 4 дня назад +1

    21 May 2024 gather here 💚💚💛

  • @anoldkomba5820
    @anoldkomba5820 Месяц назад +3

    30.03.2024 nimerudia kabla Mamelodi hajakandwaaaa

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u 4 месяца назад +5

    Hii atar kila cku naangalia raha sana

  • @witnessniclass3777
    @witnessniclass3777 2 месяца назад +5

    Sijawahi kuchoka kuangalia hii😂😂😂

  • @jacksonnyoni1978
    @jacksonnyoni1978 6 месяцев назад +8

    Kila mda naiangalia ihi mechi mpaka laha 😂😂😂😂

    • @MdogowaKaka
      @MdogowaKaka 6 месяцев назад +1

      Inafrahisha sana😂

  • @edsonmgaya5795
    @edsonmgaya5795 5 месяцев назад +5

    Wanao sema yanga siyo maneno nimepira kwer gonga like hapa

  • @kulthumabdalla
    @kulthumabdalla 5 месяцев назад +5

    Leo tarehe 30/11/2023 naangalia kwa mara nyengine 💚💛

  • @jamesraphael9581
    @jamesraphael9581 6 месяцев назад +8

    Nimeumia.sana kwa mtokeo sikutegemea ila Kuna maisha baada hii 😢😢

    • @Emmy-my2xc
      @Emmy-my2xc 6 месяцев назад

      🤣🤣🤣🤣

  • @elizerbethmichael2435
    @elizerbethmichael2435 2 месяца назад +3

    Nimekuja leo tarehe 26 February 2024 jaman wapii wenzangu wa 5G

  • @totnandjosephkilowoko1264
    @totnandjosephkilowoko1264 24 дня назад +3

    Narudia pambano leo 1/5/2024

  • @sylvesterthomas9341
    @sylvesterthomas9341 5 месяцев назад +9

    Wangap wanarudia hapa

  • @MUSK_HARMONY
    @MUSK_HARMONY 4 месяца назад +3

    Hii video inanifurahisha nikiitazama .

  • @mwajuma802
    @mwajuma802 2 месяца назад +5

    Kwa raha zangu shida zenu makolo😂😂 29 Feb 24

  • @user-so5vq9rh6v
    @user-so5vq9rh6v 6 месяцев назад +5

    Bado amjasema hadi mseme hii ndio yanga ya sasa ongera sana yanga🎉🎉🎉

  • @user-vr8fv5ic8v
    @user-vr8fv5ic8v 5 месяцев назад +3

    Nilifrahia Sanaa hii mechi🙀

  • @mariahmushi7106
    @mariahmushi7106 3 месяца назад +7

    Ngoja niangalie tena leo 20/2/2024😂

    • @user-yt3tn6dx3f
      @user-yt3tn6dx3f 3 месяца назад

      Tuko pmoj😅😅

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 2 месяца назад

      @user-yt3tn6dx3f😂😂😂😂😂😂et uchaw waroge nawao kama rahsi yanga raha😅😅😅

  • @KefaGeorge-oo1jw
    @KefaGeorge-oo1jw Месяц назад +4

    sichoki kuangalia hii mechi kirasiku yan hahaaaa

  • @Derrick-hf4di
    @Derrick-hf4di 5 месяцев назад +5

    Tunaongalia mwaka 2024 ❤

  • @kevymloje730
    @kevymloje730 3 месяца назад +3

    Narudia kuchek tena tarehe 10/02/2024😊

  • @user-zw3kr4vo9c
    @user-zw3kr4vo9c 4 месяца назад +2

    Nahisi kama Simba anaenda kufungwa goli la sita hapa😂😂😂

  • @elijahsomebody9164
    @elijahsomebody9164 2 месяца назад +5

    Tareh 15/32023 nimeitazama Tena full naona tumewafunga Tena magoli matano😂😂😂😂😂

  • @Ally-sr4cw
    @Ally-sr4cw Месяц назад +5

    Tupo wengi tunao rudia yanga Atari 😂😂😂😂

  • @safariJanvier-tx2lq
    @safariJanvier-tx2lq 6 месяцев назад +55

    Jamani yanga mtaniuwa naraha mimi ni chabikiwayanga Africa kutoka Congo bukavu

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 2 месяца назад +4

    yaani leo niko nashinda kuangalia kurudia rudia hizi mechi tuliowakanda tano makolo na mechi tuliomkanda mwarabu belouizdad nne😂😂 kama movie yaani

  • @petro8010
    @petro8010 Месяц назад +3

    Tunaenda kupiga kwenye mshono pale pale

  • @bushbabytz
    @bushbabytz Месяц назад +3

    nimerudi leo tarehe 29/04/2024 kujiboost kuona kinachoenda kumtokea mamelodi kama hivi

  • @user-pf5ob7un7x
    @user-pf5ob7un7x 4 месяца назад +2

    Daaah yanga noma❤

  • @user-sp6qm4re9z
    @user-sp6qm4re9z 5 месяцев назад +5

    Hii mech sichoki kuitizama jamn

  • @FaustineBukongolo-wp2fe
    @FaustineBukongolo-wp2fe 4 месяца назад +5

    Nitailudi kilamara nitamu

  • @MichaelKibona-ec5nd
    @MichaelKibona-ec5nd 6 месяцев назад +7

    Wananchiiiii oyee, Makolo mpaka mseme, na mtasema, na bado, najivunia kua yanga

  • @user-zb2pg4ix5s
    @user-zb2pg4ix5s 6 месяцев назад +3

    Yanga unanikosha Mimi mwenzenu💛💛💛💛💛💚💚💚

  • @frankmlinda1181
    @frankmlinda1181 2 месяца назад +3

    24.03.2024 nimeludia tena kuangalia

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 3 месяца назад +4

    Raund ya pili saba😂😂😂 itakua raha sana hata tusipochukua kikombe chochote mim nitawasamehe bureee

  • @jasmangumbe3894
    @jasmangumbe3894 2 месяца назад +3

    Tunaoirudia tena leo march 3 2024 tujuane

  • @athumanyahya
    @athumanyahya 2 месяца назад +4

    Sema raha kuangalia hii highlights 😅😅

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 3 месяца назад +6

    Leo trh 18 niko apa kitakacho nitenganisha mim na kuangalia hii mechi ni kifo 😂😂😂

  • @jumakassim8718
    @jumakassim8718 6 месяцев назад +3

    Asante sana yanga kwa kunipa heshima mtaani kimyaa

  • @user-ux3jj1er3e
    @user-ux3jj1er3e 2 месяца назад +4

    28 February jmn 😂 makolo awataamin

  • @EsterKway
    @EsterKway 2 месяца назад +5

    Women day nipo hapo

  • @user-vr8fv5ic8v
    @user-vr8fv5ic8v 5 месяцев назад +2

    I love so much young african 3:16

  • @user-xv4bi3ge2d
    @user-xv4bi3ge2d 2 месяца назад +4

    Sichoki kuangalia leo mwez wa 3 tare 14

  • @user-ih5bq9mw7t
    @user-ih5bq9mw7t 5 месяцев назад +2

    Yanga tamu

  • @icecold_real_estate_agents4461
    @icecold_real_estate_agents4461 5 месяцев назад +3

    Na Leo Tena..!! Hii tutawafungia Boxing Day 😂😂

  • @EnockSilvan-gk1mq
    @EnockSilvan-gk1mq 24 дня назад +2

    Leo npo bize nakuangalia marudio ya young African vs Simba 5_1

  • @user-ok2rx9wl1w
    @user-ok2rx9wl1w 6 месяцев назад +5

    Jamani nan Kama yanga

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo 4 месяца назад +2

    Tarehe 5 Yanga goli 5 simba goli 1,Nov.2023. Ikumbukwe daima.