Yanga SC 2-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 20/04/2024
HTML-код
- Опубликовано: 19 апр 2024
- KARIAKOO DERBY: Yanga SC imeendeleza ubabe kwa kuichapa Simba mabao 2-1 kwa mara ya pili msimu huu, katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Magoli ya Yanga yamefungwa kipindi cha kwanza na Stephane Aziz Ki kwa penati dakika ya 20 na Joseph Guede dakika ya 38. - Спорт
Dear Tanzania Federation, the football is fantastic, the hipe is good and fans also another level but try to increase the lighting in the stadium. Love from Rwanda🇷🇼❤
NBC Premier league inhle igame ibhola lenu limunandi kakhulu ngiyawabuka lama highlights izinga lenu liphezulu siyabonga Azam Tv both Team play well Yanga Sc vs Simba Sc. Zululand District.
Tulio ludish ludish nyuma kwny goli la gued tu like hapa
Mi wa kwanza Leo nipeni like😂😊
Like
😂😂😂😂
Take its
Ongea na watu wa simba 😂😂😂
Go get a job
Magoli yaliyofungwa na timu zote mbili ni mazuri sana 🔥🔥
Uwe hai uwe hai, Yesu Yu hai... Amen.❤
Hongera mtangazaji hapo mwishoni umenifurahisha umesema uwe hai uwe hai YESU YU HAI Hongera sana siku nyingine useme bila woga YESU YU HAI 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Nimependa mzinga na mpenja nyote mlipoitangaza dabi kwa manjonjo hongereni.maadui ni wengi msiwape nafasi kuwagombanisha.🎉🎉🎉🎉
Makolo wapo namba 1 trending youtube😊😅😅
To all Kenyan 🇰🇪 tale a closer look at the pitch, muandamane mupate ka hii.
Mi Gharib Mzinga Sina neno kabisa🔥🔥🔥💚💚💚💛💛
Hongera yanga
Mnyama aitwe mnyama na chura aitwe chura. Ila goli la Gwede limekaa kipakome zaidi. Bigup Gwede.
Hapo mashabiki wa makolo fc wamepata hasara tatu kwanza hamjaswali swala ya LASIR na magharibi lakini pia wamefungwa,Akhera wamepata hasara Dunia pia wamepata hasara. YANGA forever in our heart 🫀🫀🎉🎉🎉🎉🎉🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳 🟩🟩🟩☘️☘️☘️☘️💚💚💚💚💚💚💚💚💚
😂😂😂😂 tuachen jmn kha tumekoma
Hii match Simba kapenda kufungwa hakika kwa nafasi hizi walizopata daah
Kazi unayo
Wagadugu..Master Key
Cha I league yenu isezingeni eliphezulu lo Azizi ngfisa azodlalela Kaizer Chief.❤
I love you Yanga❤❤❤❤
😊
Ndiyo Hongera #Yanga African😀
Kazi nzuri yanga mnatuheshimisha mashabiki wenu
This is yanga brother😊😊😊💚💚💚💛💛💛💛
Asantee sana Simba mume pambanaa sana atukati tamaaaa ndio mpiraaaa
Tuweke unafk pemben Leo simba kaucheza Mpla tumpe maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tako bila yahipsi hyo wamecheza matokeo yakowap
Mpira sio Mpila 💪💪💪
Sawa aende na mpira nyumbani yanga wameongeza point
Kwani kuna team iliyokua inacheza jiwe,
Wote walikua wanacheza mpira
Hata akipewa nauwa ni bure. Sisi tulitaka point 3
Asante sana gamondi
Makolo wanapita hapa kama wanaaga maiti 😅😅😅😅
Haaaaahaaaa 😅😅
Kama unaipenda Yanga sc gonga hapa⚽️
I love you simbaaa
Simba waliipania sana iii mexhi
Kibabage ni mchezaji anaejituma sana na hapendi kulilia sana maranyingi amekuwa akichezewa rafu za makusudi ila anavumilia
Simba Hana bahati tu lakini timu imecheza sana wamekosa magoli mengi. Next time
Wanacheza nn
😂😂😂😂😂😂next time mtacheza na mashujaa sisi hatutak dhambi
Wanacheza nini
Imejirudia bwanaa 😁😁ila nyiee Azizi uuw
Dakika za nyongeza zilikuwa 5 lakini tumecheza hadi 98''. Siyo mchezo !
Kama kuno tunzo ya shabiki bora Tanzania 🇹🇿 basi ni Kamishna Lilo ❤❤❤
Atapewa baraka mpenja japo timu yake imefungwa
Yanga safiiiii❤❤
Ooh kisas kinalipwa hahahah. Yamepondwa kama udaga
Much love ❤❤ yangaa kubabakee humu tyuu😅
It's a good work done by young African
kwel simba kwisha😊
BWANA atukuzwe TUmemla Tena mtani afu shida apo ni kauli ya Miguel angel gamond aliwapa tahadhari ila awakuelewa buana kuwa hupaswi kucheza mpira Kwa hasira au kisasi badala yake ni play football for an interest of scoring goals for mostly three points 😂😂😂😅😅😅 ..... benchikha kaongelewa Jana na gamond akalewa mpka leoioi😅😅😅😅
Namtaka yule asie mkubar mpenja mmeona matokekeo? Asante baraka mpenja
Mzinga nampenda htr
Yanga wanacheza rafu sana 🙆 Ila rafu zao watu mnazipuuzia
Best gpal by Gwede💯😊😊🎉😮😮
Yanga inatupa laha kama unaona hivo like hapa
Hapa kweli yanga wameonesha ukubwa, ni kama walikuwa wanategua makombola ya Iran kwa Israel. Big up mabeki na kipa wao. Beki ingekuwa mbovu tungesema mengine.
Chama hii tabia ya kukanyagia anaipenda sana sana, haki ifanyile
Acha ufalaaa ww mbona yye akikanyangwa hamsemi ?
Makolo hawatuwezi ata kwa uchawi
🦁🦁🦁🦁wamecheza vzr sana
Congratulations young African piga hao Simba
Mabingwa hao❤ mm naangalia kila muda
SIMBA nguvu moja.Tutarudi tu 💪💪💪
Ndy
Wa pili ni mimi,,
Simba kakandwa tena😂😂
Asante MUNGU
Tunaomba matangazo ya lugha ya kingereza
Hataari makolo
Young Africans is the best club in East African
Jamani mashabiki wa yanga aucho kweli ni doctar mme ona kazi yake kwamba ana balaa
❤ ❤❤ Simba
YANGA raha ❤
Uwakika aze😂😂😂😂😂
PAPA GUEDE😂😂🎉🎉🎉
❤❤ simbaaaa
Good efforts
Yanga walishinda ila moto waliuona
"Watashinda kama watafuata mashart ya kambi ya zanzibar" Alisikika mzee kaduguda Jana wakati akiongea na chombo kimoja cha habari😂
Wahuni hawa
Mpenjq uko juu kaka.....endelea ivoivooooo
HIVI HIZI RAFU ZA CHAMA TFF HAWAZIONI, ANA TABIA AMBAZO SI ZA KIMICHEZO ANA RAFU MBAYA NA ZA KIPUUZI
Yanga♥️
sema fred ni handsome sana
❤❤❤❤yanga
Kwakweli bahati haikuwa ya simba lakin walicheza na hiyo penati siyo kabisa.
Kawe refa umbwa wew
we bwege kweli una makengeza so bure kwahiyo penalty huioni kabisa😂
we mshamba kweli
kwanza mpira umeanza kushabikia lin Toi wew😂😂😂😂
Kabisa haikua bahati tu
❤❤❤❤
❤❤❤
Wamekufa tenaa 😅😅😅
Mazishi kesho saa 10 jioni pale msimbazi
Makolo wanasema goli la pili kafunga of side 😂😂😂😂😂😂😂😂 mkolo tabu lele raaaaaaaaaaaa
Raaaaa
😂😂😂 wamelowa gonga like kwa yanga kwanza twende sawa 😂😂😂😂😂😂
Yanga noma
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote
aa mungu wayong tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeyakwetu sisi
Master Gamondi
💚💚💚💚💚
Wananchi tutambe huu ni wakati wetu❤
Makorooo 😂😂 wanaenyeka aisee Benchika sio kocha YELE Mcheza mieleka😂😂😂😂😂
Haya Wabongo mnaopenda mambo ya decorations mnifollow
Msije sema sikuwaambia 😊
Oeee❤❤❤
Hongra san young africans
Ntibazonkiza Bado ana 36 tu
Nimeipenda Sana hiyo ya watu kutokushiriki kwenye Dabi mana mnatukera sana timu yetu niyaajabu Sana
Kocha nae anazingua miquison anajua sanaa sema kocha sasa kama hamuamin
magoli ya offside 😂😂😂😂
Angalia boli acha ushabiki au ujui mpira
Offside ya nyoko😅😅😅
@@chachamasabi2455 offside
Angalia match ya ngao ya jamii yanga v simba 2022 2023 goli mlotufunga afu ndio uje na hiy offside yako.
@@sabinaamadeo8458 offside tuu
Mnyama hoi
Hoi tena hoi kweli kweli chakaliii kama kanywa pombe ya pingu vile😂😂😂😂
Jamani tunazika hapa hapa au tunasafirisha
Msiba wa pili huu Bora tuzika hapa tupungize gharama nduguu😢
Watoto wa rose muhando 😂😂😂
Ngoja nitimize comment ya 300
Ila yote Kwa yote Aziz ki ni MTu mwenye upendo Sana na binaadam wenzake kaenda kumpa moyo h kazi
kuanzia sasa hivi mashabiki wa simba tumeweka mgomo hakuna kucheka mpaka siku ambayo timu yetu itapata ushindi
Yaani hapaa umesemaaa😢
😂😂😂
Huyu miquel. anakazi ya kufukuza makocha kazii 😂😂😂 yani ndani ya miezi kadhaa kashafukuza makocha wa wili hapo ngoja nicheke 🎉🎉🎉 miquel 😂😂😂
BAO la pili la yanga ofseid
Litoe
Kaweke n ww
rudia mechi ya ngao ya jamii ile tulowapiga 2/1 goli la sacko alafu uje hapa useme km hii ni offside au la make yanafana
😂😂😂😂 andika vizuri kwanza hiyo offside 😂😂😂
Goli gan offside hapo? Eb angalia mpira ulivyotoka mguuni afu angalia guede anawatoroka mabeki katikati yao
Zanzibar walienda kupunga upepo😂😂😂
hakuna ata upepo huko, nadhani walienda kula urojo
😂😂😂😂
Mbona ile ya kiingereza hamuweki
Jenifa mgendi @ nalia polee nalia poleee sanaa😂😂🎉🎉
😊😊😊😊😊