It’s going to be a long road for my fellow South Africans🇿🇦 at Simba (Fadlu Davids & Co ) Gamondi’s team are a well oiled machine 🔥🔥🔥Dube-Pacome-Ki Yanga’s defence is extremely stingy A bit of unselfishness could’ve earned Simba a goal That’s a penalty all day anywhere in the world Simba will feel hard done by the officials on that one But overall as a neutral 🇿🇦 , Yanga were too strong for Simba I’m loving the Swahili commentary and the nicknames are funny aswell ‘Screen protector’ ‘Master key’ ‘
Thanks brother in Tanzania 🇹🇿 the biggest team is Simba though we are having a hard time finding how to get organized as a team with almost new players from different areas.But hope this season gonna be good after 3 consecutive nil .
Team yetu imecheza vizuri japokuwa wengi ni wageni.... Naamini itakuwa bora sana kwenye Ligi... Hongereni sana... Hatuangalii kupoteza ila tunaangalia performance. Nguvu Moja 💪🦁 Kahuli hile UBAYA UBWELA😎
simba hii weka mbali na watoto hilo goli ni uwezo wa pacome kupiga penetration pass na pia pacome ni defense destructor ndiyo mcheza kaibeba yanga kwa leo . simba wana hitaji more game kutengeza combination hongera kwa washindi hongera simba kwa mchezo mzurii
We Mpenja bado Yanga sio bingwa umekosea kutangaza ktk. dakika ya 94.8 umewatangaza Yanga ni mabingwa wa kombe la jamii 2024/25. We umekuwa mtabiri? Ahsante kwa kututangaza mapema na itakuwa hivyo kwa baraka za mwenyezi Mungu. Yanga wote gonga like kwa Mpenja kutupa ubingwa.
Ukiangalia marudio utagundua ,Yanga alikuwa bora kimbinu kuliko Simba. Na kama refa angekuwa fea Simba wangekula chuma nyingi . Sasa nashaanga Makolo wanafurahia nini wakti timu lao lilivuja kishenzi au walikuwa wanazifurahia zile Kona ?😂😂😂
TFF mutazam refa wa kuwawek huy risas anatukosesh penalt hiv hiv na iyona na iyo VIR mueke tunadhulumiw hiv hiv hlf leo yang kishasho kimekutoken ubaya ubwela ❤❤❤❤❤❤❤
Naipenda sana yanga from Mozambique 🇲🇿🇲🇿
Wa Kenya 🇰🇪 wenzangu na mashabiki wenzangu wa yanga nipeni like hapa duke abuya tunae na tunatamba nae
Umeonaeeh
Naipenda sana young Africans from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Safi Sanaa 💚
Upende ndo timu kubwaa kwa ss hutojutaaa
@@exaudyjm5170😮😮😮😢😮😮😢😢😢😢😢😢😢😢😮😢😮😢
Wanya Rwanda 🇷🇼 tunapenda Tanzania ❤❤
Mi shabiki wa yanga🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wananchiiiiiiiii, tulio gulf gonga like 🇴🇲
💚💚💚🧡🧡🧡
🍃🍃🍃🍃🍃
❤a a😊😊😊à
Mnyama 🦁
Ubaya ubwege gonga like shabiki wa Yanga twende pamoja💛💚💛💚
😂😂Ubaya ubwege kwel
🎉❤❤
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kweli ubaya ubwege
😂😂💚💚💚💚
Ubaya ubwege
Max yupo karibu na Mungu SN Utafika mbali bro
Tunakushukuru sana Mungu wetu kwa zawadi hii kubwa. Tunaendelea kukushukuru Eeeee Mungu wetu na hatutakoma kukushukuru daima upendavyo. Amina.
Simba project yao itafanikiwa round hii. Sawa tumekubali ila muda utaongea simba nguvu moja.
It’s going to be a long road for my fellow South Africans🇿🇦 at Simba (Fadlu Davids & Co )
Gamondi’s team are a well oiled machine 🔥🔥🔥Dube-Pacome-Ki
Yanga’s defence is extremely stingy
A bit of unselfishness could’ve earned Simba a goal
That’s a penalty all day anywhere in the world
Simba will feel hard done by the officials on that one
But overall as a neutral 🇿🇦 , Yanga were too strong for Simba
I’m loving the Swahili commentary and the nicknames are funny aswell
‘Screen protector’
‘Master key’
‘
'may day'😅
@@GilbertJackson-fv5mh 😂😂😂
Thanks brother in Tanzania 🇹🇿 the biggest team is Simba though we are having a hard time finding how to get organized as a team with almost new players from different areas.But hope this season gonna be good after 3 consecutive nil .
@@thehustlerafrica4368 tons of patience needed and sufficient support for the coach
Yanga bingwa
Me w kwanz nipen like zng
Yanga kutoka kenya🇰🇪🇰🇪
Kazi kusema ubaya ubwela kufungaa aaahh naomba like wanayanga 💚💚💚💚💚💛💛💚 naombeni like
😅😅😅
Ubaya ubwege ---- Hili refa wasithubutu jumps Derby nyingine ya kariakoo ---- " siku moja atakuja kusababisha majanga --- shauri zenu '
Ubaya upwiru 😂 gonga like hapa💚💛🖤 yanga oyeeee tuwakele kidogo 🤣
Wana Yanga nipeni like moja kwa kuwafunga hawa wazee wa ubaya ubwela 😂
Ubaya ubwege
@@mmewaswida 😄
Nimeku like kaka umeiona
@@KibaoMkojane nimeona 😁
Hiii ndio yanga ya master wetu gamondi mungu amzidishie ujuz wa mbinu na maarifa zaid ili wapinzan wazid kuumia
Simba nguvu moja
Kama we ni yanga likes hapa 🇶🇦.
Kazi nzuri sana Azam TV pamoja na mtangazaji wake Baraka Adson mpenja. Derby haijawahi kuwa rahisi po pote duniani pale.
😂😂Kama umeskia mpenja akisema yanga nimabingwa wa ngao yajamii gonga likes ap
Nilijuwa yanga tunashinda ❤yanga
Yanga juu sana. Yanga never disappoints
Aweeee Co kinyonge timu letu lunyasi Ata iweje simba damu❤️❤️💪💪🦁🦁boli limetembea bwana
EBU TUFUNDISHENI GOLI LA AZIZI KI OFFSIDE IPO WAPI? Bora ushindi mengine kuhusu refa tusahau
@@damianmcba9525 refa anajua anachofanya
@@damianmcba9525 LILE LILEFA NI LA KWAO MBWA HAO AZIZ I KI ILIKUWA PENATI NA LILE GOLI LAKE NI GOLI FAL. SANA YULE
Dube hakikisha mpira umeingia kwanza boya wew
❤❤❤😂 Hongera sana young african's, hongera mtani leo umetuweza. Safi❤❤
Simba hii nzuri inahitaji mechi kama 6 ielewane vizuri zaidi.
Kweli kabisa
Tumeshinda na mke tunaye gonga like hapa mwananchi💚💚💚
Team yetu imecheza vizuri japokuwa wengi ni wageni.... Naamini itakuwa bora sana kwenye Ligi... Hongereni sana... Hatuangalii kupoteza ila tunaangalia performance. Nguvu Moja 💪🦁
Kahuli hile UBAYA UBWELA😎
😂
Ubaya ujingaaa😂😂😂😂😂😂yanga ni bigwa naipenda yangaa❤❤
Yanga oyeeeh,,,,penda mie yanga mwaaaah
❤❤❤❤❤ yanga nomaaa, ubwelaa poleen, mmezidi maneno tu,
Daah kuwa mshabikiwa nikam kuwa mbinguni, ❤ safi sana yanga
Mwaaaah yanga yangu💛💛💚
Hii ni timu sio kikund cha wachezaji😂😂😂😂😅😅😅😊😊😊❤❤❤❤❤
Yaani hii YANGA ndio itacheza na Gor mahia ya Kenya 🇰🇪🇰🇪 yetu??Haina haja tucheze wapewe tuu ushundi YANGA hatuwezi wamiliki kwa kweli
Haahhah
Wew ni buree kabisa haujiamini
Diara is phenorminal 💛💚💛💛
Tarehe 19 Tenaaa
Love yanga ❤❤❤❤❤❤
Yanga unaifungaje😗🙂🙂🙂🤗🤗
Simba ipo vizuri sana kuliko yanga Basi tu bahati yao yanga!
Yani matukio yote ambayo mmepigwa bado unasema simba ilikuwa vizuri kuliko yanga!!!!!!??? Aisee mapenzi kipofu kweli
Nakuunga mkono kwasababu timu yetu tunaijenga kwa mchezo wa leo iko vizuri
@@Abillsn😂😂😂😂😂😂 Hadi position wamezidiwa afu anasema nn😂😂😂 wenyewe wakishika mpira wanaruruka bila ushirikiano .
🎉🎉🎉🎉 BIG UP MY TEAM #YANGA_SC FOR LIFE ☝️
Viva Young Africans
Yanga yanga❤❤❤❤nawakubali tunawakubali❤❤❤❤❤
Hery sasii hii match ilimshinda au alilipwa na makolo ..
Kama sio kuwabeba makolo wangepigwa mkono tena
Ila Mpenja daaah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ushind na mke tunaye
Yanga hiii unaifungaje 😂😂🎉❤hadi raha
Wamebebwa sana
Naona tu uwanja umejaa shabiki sana ningefurahi pia kenya ikuwe tu hivi kwa uwanja yao
Kocha safi kabisa sema hii defence ya SIMBA inatakiwa irekebishwe vizuri Malone kama vipi apewe thank you mapema tu
Yanga wametisha
Baca🎉🎉🎉💚💛🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯
From Rwanda: unprofessional refers ! Young inaibiwa penalty pia na goal Moja ! Fake refer result was 3-0
it seems you take a look at one side of the coin. far enough you were supposed to write, fake refer result was 3-1
😂😂😂😂 narudia apa leo tar 19 labla sijaenda uwanjani kuwa nyoa tena awa makolo
Mashabiki wa yanga Kenya wapi upendo
Duke abuya on fire
Hii mechi simba kabebwa saana
Miaka inaenda sana, leo hii Simba wanajiona wapo bora kwa kufungwa goli moja, Yanga ni next level.
Magoli kadhaa na penati zimekataliwa..
I m worried about Simba's defenders 😢😢😢
HAMISA UMETUHARIBIA MTU😢
Yanga on fwayaaaaa
Hiv VAR tulioambiwa iko wap😢 hawa marefaree ovyo kabsa
Ubaya uboyaaaaa
Dube is a good signing
Gemu ngumu sanaaaa ila.hongera yanga🎉🎉🎉🎉🎉
simba hii weka mbali na watoto hilo goli ni uwezo wa pacome kupiga penetration pass na pia pacome ni defense destructor ndiyo mcheza kaibeba yanga kwa leo . simba wana hitaji more game kutengeza combination hongera kwa washindi hongera simba kwa mchezo mzurii
Yamekataliwa mangapi?😂
Na mwamuzi pia nyota wa mchezo,kaibeba simba
@@simonanthonykayombo6913yamekataliiwa 15
@@simonanthonykayombo6913 Matatu
Yanga ilionewa Sana,but hivo hivo ilishinda
Sisi ndo yanga 💪💪
Dube angeelekea uelekeo wa mpira alikuwa anamalizia mwenyewe aisee💪💪👊👊
Hapo ndipo tunapomkumbuka Mayele asingewaacha pale
Huyu refa na wasaidizi wake wapumbafu
Yanga oooyy wimbo hamoniz raaaaah
❤❤❤❤❤yanga waoooooooh
Uwezekano wa simba kufanya vizuri kwenye ligi kuu bara upo watulie wasipaparike na pasi ziwe za UHAKIKA
Kweli kabisa
YANGA NI BORA KULIKO SIMBA!! KWA SASA WANANCHI WAKO KWENYE SAFARI NZURI YENYE MWENDELEZO ELECTRIC FOOTBALL 💚💛
Hamna refa hapa
Bacca ❤❤❤ # Zenjiyano
Kama sio refa kuwabeba ubwege FC. Walikuwa wanakula chuma 3. YANGA BINGWA TENA
😂 ubwege Fc
Simba tunawafunga midomo leo nahapo walikuwa kwenye michezo mingine kuichezea taifa stazi Yani mnabahati ngoja mchezo mwingine naleo mtalala naviatu
Mungu ibariki daima Yanga tamuuuu!
Lol the match officials were lost 😂❤🇿🇦
😂
We Mpenja bado Yanga sio bingwa umekosea kutangaza ktk. dakika ya 94.8 umewatangaza Yanga ni mabingwa wa kombe la jamii 2024/25. We umekuwa mtabiri? Ahsante kwa kututangaza mapema na itakuwa hivyo kwa baraka za mwenyezi Mungu. Yanga wote gonga like kwa Mpenja kutupa ubingwa.
Kwa kweli
Ss yanga kucheza na Simba tuna halibu kiwango chetu.
Weweeeeeee🤣🤣🤣💚💚💚❤️
Alhambdulilah nashukuru kwakutujaalia Kheir
Dube mpira ulikuwa unaludi kwake kabsa Mapepe ya kushangilia mpira haujapita mstari,,Ingekuwa mayele anahakikisha umepita
❤❤❤ yanga
❤yanga
Likes za paccome 🔥 hapa wananchi professor tunae na tunatamba nae uyu mbaba ataua watoto wa watu
Ukiangalia marudio utagundua ,Yanga alikuwa bora kimbinu kuliko Simba. Na kama refa angekuwa fea Simba wangekula chuma nyingi . Sasa nashaanga Makolo wanafurahia nini wakti timu lao lilivuja kishenzi au walikuwa wanazifurahia zile Kona ?😂😂😂
Hii highlight ya yanga au yamechi😂😂
Hatar yanga jitu kubwa
TFF mutazam refa wa kuwawek huy risas anatukosesh penalt hiv hiv na iyona na iyo VIR mueke tunadhulumiw hiv hiv
hlf leo yang kishasho kimekutoken
ubaya ubwela ❤❤❤❤❤❤❤
Wananchi tunasema simulia huku unalia 😭😭😭
Tupe jibu goli la pacome na Aziz k shida nini?pia penalty ya master k shida iko wapi?yes pia nanyi mlistahili penalty moja dk za mwisho
Alhamdulillah💛💚
Mpira TZ unaongezeka kwa kasi kuliko zamani; YANGA ”Mmaasai”/'Morani' Chuga Kamuua Simba amerudi Jangwani na Ngao..
Simba walikua wazuri kila idara sema zare halikusimama
Simba nguvu moja ❤️❤️❤️🩹❤️🩹
Ubaya ujinga2😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂
Yanga hii unaifungaje 😂😂😂