#ZaNdaaani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 май 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 77

  • @user-gd9rn7sk2j
    @user-gd9rn7sk2j 24 дня назад +7

    Huyo ni mwamba from Wagadugu Aziz ki ndo mchezaji mwenye paja kubwa🤣🤣🤣 nishaifungua code hiyo kazi kwenu kufatilia anamkula dada yetu wawapi au ndo Hamisa Mobetto

    • @Kiba-iz9fp
      @Kiba-iz9fp 22 дня назад +2

      Oya kak😂😂😂 uyo Azizi ki Kampa Mimba mobeto 😂😅😅

  • @markovuruga86
    @markovuruga86 24 дня назад +9

    Iyo camera 📷📷 kiboko🙌🙌

  • @muhidinkaabuka5775
    @muhidinkaabuka5775 6 дней назад

    Jamaaa anaenda kuitwa baba hapa Tanzania

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 24 дня назад +10

    Kama ndivyo hivyo,akioa kanisa huyo binti yetu,kama yeye mwenyewe kama atakuwa radhi,tumpe na uraia,akipige hapa kwetu.

  • @user-jz6lm5yv4f
    @user-jz6lm5yv4f 24 дня назад +1

    Wasaf❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mudylipawaga5362
    @mudylipawaga5362 25 дней назад +17

    Makolo mbn hampendi Azizi abaki yanga😂😂😂😂😂😂

  • @user-cl4dx3kc6k
    @user-cl4dx3kc6k 24 дня назад +4

    Furaha ya azizi ki nikuwa mfungaji Bora

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 24 дня назад +6

    Nawakubali Sana wasafi

  • @NdoileSelemani-zj6dl
    @NdoileSelemani-zj6dl 24 дня назад +4

    Hamisa mobeto ndo wakumpa faraja ili abaki

  • @dabomtanzania
    @dabomtanzania 24 дня назад +2

    Tushajua

  • @hamzamsuya112
    @hamzamsuya112 25 дней назад +6

    Ki Aziz

  • @geroldjohn4698
    @geroldjohn4698 25 дней назад +7

    Momo unazunguka sasaaa

  • @anraneamisse9243
    @anraneamisse9243 24 дня назад +6

    🎉mobeto oyooooo kamfanya k apaki yangaaa

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 24 дня назад +1

    Yanga

  • @Mohammed-hg3qf
    @Mohammed-hg3qf 25 дней назад +6

    Ww kolo siyo mwananchi

  • @PeterBenedict-vr2ev
    @PeterBenedict-vr2ev 24 дня назад +1

    Liongo tu hiliiii lilisema KIBU anaondoka Kiko wapi??

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 25 дней назад +1

    Mmmmh

  • @josephudaudi4127
    @josephudaudi4127 22 дня назад

    TABORA Atuwapati kwenye radio station uku jamani

  • @seifsaid-kn1dj
    @seifsaid-kn1dj 24 дня назад +1

    bb uyo mwenye mtoto ni msanii au ni mtu tu wakawaida

  • @greatest_of_africa
    @greatest_of_africa 24 дня назад +1

    😁🎉🥳

  • @bakuzawiston5401
    @bakuzawiston5401 24 дня назад +1

    Uyo chama ndo ali ambiwa na baba yake endepo itatokea ofa ina takiwa acheze simba yanga hawez cheza ata kwa dawa nando mana hawana papala zaku msajili kwa sasa mana wana jua mda wowote lazma ata sain

    • @user-gd9rn7sk2j
      @user-gd9rn7sk2j 24 дня назад +1

      Chama ana mke mzee baada ya mke wake kufariki haikuchukuwa muda akaoa mke mwingine wa kwao Zambia huko ndo anaemlelea watoto mzee huyo wanaemsema hapo ni Aziz ki

  • @kimarobeatus
    @kimarobeatus 24 дня назад +1

    hamisa mobeto kamteka azizi k

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 25 дней назад +11

    Wachambuzi wa wasafi mashabiki wa Uto wanajipa hope

  • @muhidinkaabuka5775
    @muhidinkaabuka5775 6 дней назад

    Anapata mtoto karibuni

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 22 дня назад

    Nyie yanga huwa mwasema cmba bila chama haiendi mbona nyie kuondoka kwa Aziz k mna wacwac

  • @valentinoswenya748
    @valentinoswenya748 24 дня назад +1

    Diara tu uyo

  • @Rob25.
    @Rob25. 22 дня назад

    Momo ujaelewa swaliii ni kwamba uyo JR ni wa muziki au Mpiraaa? Mana mama JR mwenyew yule Jr mwingine mpka leo hatuelewi elewi mdogo wako nae kakaa kimya t momo 😂😂

  • @mrishojuma4695
    @mrishojuma4695 24 дня назад +1

    Makolo Huwa hamnaga akili aisee yaani roho inawauma? Kafieni mbele nyau nyie

  • @josephmakuri5724
    @josephmakuri5724 24 дня назад +1

    Pakome 😂😂

  • @AmbweneMwasongwe
    @AmbweneMwasongwe 24 дня назад +1

    Wachambuzi wanaongea kilichopo mbele yao wala sio mashabiki wa timu frani no

  • @user-pf4vx5yx1q
    @user-pf4vx5yx1q 22 дня назад

    Siasa hizo

  • @tutumarzouk9803
    @tutumarzouk9803 25 дней назад +6

    Master K & vee kaveshera mwamba lazma abak

  • @abednego3876
    @abednego3876 25 дней назад +5

    Momo ukisema , umesema.

  • @user-ts8bf4ef3u
    @user-ts8bf4ef3u 25 дней назад +2

    hahaha yaani ki azizi ana mtoto binti mkubwa tu sasa nashangaa mnapotosha ok ngoja tuone 😂😂😂😂

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 24 дня назад +2

    Azizi hatakuwa bwege akibaki hapa kwanza pesa mtoto yupo tu na mtoto anataka pesa na gharama yanga hawana pesa ndio kwanza wachangishe kwa wanachama njaa nenda baba mpira mchezo wa muda tu

    • @sadickkasaba8069
      @sadickkasaba8069 24 дня назад +2

      Wew ndo bwege unaepanga maisha yamwenzio.

    • @user-vz7cj4zk3h
      @user-vz7cj4zk3h 24 дня назад +2

      Simba ana pesa ndy maan ana sajili wazeee

  • @user-hp6bf5lh2d
    @user-hp6bf5lh2d 25 дней назад +4

    Mimi Ni Yanga Damu but sioni chance ya Ki Aziz kubaki yanga😢

    • @dullywa9973
      @dullywa9973 25 дней назад +2

      aziz keshasain yanga

    • @husseinmagessa7721
      @husseinmagessa7721 25 дней назад +2

      Nina wasiwasi jamaa wanakusnya ela kiakili tu ila Aziz alishaongza mkataba kwann watamke hadharani kuwa hajaongeza mkataba sio kiulahs hvyo wew kna namna wanaksany pesa ili 2sishnglie tu tuwe 2nachangia na chochte k2

    • @user-hp6bf5lh2d
      @user-hp6bf5lh2d 24 дня назад

      @@husseinmagessa7721 point yako nimeipata

    • @user-gd9rn7sk2j
      @user-gd9rn7sk2j 24 дня назад

      ​@@husseinmagessa7721Sasa kutangaza ni vibaya?
      Ulitaka waseme washampa mkataba ili hali hawajampa hivi unajuwa kuwa kwenye huo mkataba wa Aziz ki atakao saini lazima serikali ijuwe na hata kodi inapanda kutoka ile ya mwanzo kutokana na malipo ya ke atakayopewa kwa sasa kwa sababu lazima mshahara utakuwa umepanda
      Sasa wafiche kitu gani?

    • @fidecomedytv5735
      @fidecomedytv5735 23 дня назад

      Unataka abaki Mara ngapi mkuu, Azixi yupo, watu wanaandaa namna ya kuitangaza usajili wake kibiashara Yanga ipate Hela kupitia usajili wake

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 20 дней назад

    Eti big up kwa aliyepanga mipango ya mbinu,inabidi apewe mshahara mkubwa😂😂😂.
    Viongozi husika wanaakili nyingi sana ya kumbadilisha mtu mawazo yake

  • @elynejosiah
    @elynejosiah 25 дней назад +3

    Usitubebe ufala , AZIZI KI ANA KATOTO KENGINE

    • @user-sk9os1rc6z
      @user-sk9os1rc6z 24 дня назад

      Ana demu wake ni mwigizaj na ana mimba ya azizi ki Na n mwigizaj maarufu tu, usimshambulie mtu kwa kaul mbaya kama huna uhakika muwe mnafatilia

    • @elynejosiah
      @elynejosiah 24 дня назад +2

      @@user-sk9os1rc6z we naye una kichwa kigumu,, YEYE AMESEMA MTOTO ANAYEENDA KUZAA NA YULE MWIGIZAJI NDO WA KWANZA WAKATI AZIZI KI ANA MTOTO MWINGINE

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx 17 дней назад

    Wapeni moyo utopoloni

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 24 дня назад +1

    Huyu muongo sana wala msimwamini

  • @user-gl8rs8ft5x
    @user-gl8rs8ft5x 25 дней назад +37

    kama huwapendi wasafii kama mmi gonga like hapo

    • @ramsojimmykelly3379
      @ramsojimmykelly3379 24 дня назад +3

      Sababu nini?

    • @bigjizee4130
      @bigjizee4130 24 дня назад +7

      Sasa unatafuta nini huku kama huwapendi tena na message una comment

    • @felixmoto4088
      @felixmoto4088 24 дня назад +6

      Unawapenda sana unawafatilia sana

    • @festovenas502
      @festovenas502 24 дня назад +6

      Tafuta ela kitendo cha Ku comments apa Tu unawapanda😅😅😅

    • @ashrafchande869
      @ashrafchande869 24 дня назад +2

      Kwel wew ne maku upnd uku unacoment n like

  • @user-gl8rs8ft5x
    @user-gl8rs8ft5x 25 дней назад +4

    sijuwi ni kwa nn wasafii imejaza wachambuzi wa yanga kwanzia ba levo na wangine wote

    • @user-zm3ei8tt6h
      @user-zm3ei8tt6h 24 дня назад +1

      Kwa nn efm imajaa Simba joff lea maestro jemedari Wilson uruma

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 24 дня назад +1

      Ubuntu tuliza mshono

    • @emmanuelpaul5704
      @emmanuelpaul5704 24 дня назад

      Ttzo umejaa makasiriko ndo maana kila wakisema unaona unasemwa wewe

    • @allanalli5173
      @allanalli5173 24 дня назад

      kwn baba levo n mchambuzi???

  • @user-lo3ey9co9y
    @user-lo3ey9co9y 24 дня назад

    Uyo kabaki kisa mwanamke

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 24 дня назад +3

      We ulitaka abaki kwa sababu ya mangungu 🤣🤣🤣 ??

  • @abeidrashid2574
    @abeidrashid2574 25 дней назад +1

    Mbona hoja za kitoto sana momo anaongea ache pesa kwa ajili ya kuona mtoto siku ya kuzaliwa kweli uko anapoenda akuna ruhusa

    • @husseinmagessa7721
      @husseinmagessa7721 25 дней назад +4

      2mia akili yanga sio wajinga kutangaza kuwa Aziz hajaongeza mkataba. kuilan hvyo na wew unaamn hapna me najua wanaksany pesa kiakr

  • @EugenAssenga
    @EugenAssenga 24 дня назад +1

    Aya makolo ngoja tuone mwamba k anakuja msimbazi kweupeeeee

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 24 дня назад +1

      😂😂😂... Ubuntu achaaa kuota ndoto za mchanaaa ... Kaeni msubirini Manzoki