MPASUKO: MPINA AFICHUA MAPYA KIFO CHA MAGUFULI, MAKONDA.... "UCHUNGUZI UFANYIKE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 апр 2024
  • #uhondotv #uhondo

Комментарии • 270

  • @JaphetMwandilawa-js2hh
    @JaphetMwandilawa-js2hh 15 дней назад +21

    Ahsante sana Mpina wewe ni mzalendo kwa inchi yetu Tanzania hongera sana katiba mpya ni lazma🇹🇿

  • @EliaOscar-bm4vt
    @EliaOscar-bm4vt 13 дней назад +13

    Asante mpina unanigusa sana baba pambana tu usikate tamaa mungu atakutetea baba

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 13 дней назад +8

    Nakupenda sana mdogo wangu Luhaga Mpina. Zungumzia MZIZI mkuu wa hote haya. KATIBA MPYA!

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 13 дней назад +7

    BIG UP HON. MPINA❤❤❤❤❤ JPM LIVES IN YOU! UKIUA MTU HUWEZI KUUA ROHO YAKE, JPM LIVES FOREVER❤❤❤

  • @bugalubahezwa6198
    @bugalubahezwa6198 15 дней назад +15

    Kaka hongera Sana Mungu akulindee vema

  • @medsonulendo4221
    @medsonulendo4221 15 дней назад +9

    Ushauri wangu kwa Bunge langu tukufu naomba muungane na Mh mpina kulitendea haki taifa hili mungu asimame na akupe maisha marefu 🎉

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 15 дней назад

      Heeeeeee medison kuna wanafiki humo chinga sanaaaa wajumbe ndiyo na wenye msimamo kama Mpina na Makonda mama anapigwa vita na aliyowalipa fadhila sasa angalia Mungu anavyotoa jibu ccm oyeeeee kazi inaendelea

  • @rwehumbizajonathan8689
    @rwehumbizajonathan8689 13 дней назад +6

    Hongera sana Mpina, Mungu atusaidie maana Watawala hawapendi WasemaKweli.

  • @user-fr3ij7el2u
    @user-fr3ij7el2u 15 дней назад +10

    Mungu akutetee saana umejito kulitetea taifa letu kwa kuanika ufisadi huu

  • @kicmbermaestro3459
    @kicmbermaestro3459 15 дней назад +13

    Mpina for the people of the people from the people

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 15 дней назад +15

    🎉🎉🎉🎉 akili yako haifanani na CCM,,ww ni genius

  • @hoseazakayo3779
    @hoseazakayo3779 15 дней назад +10

    Mpina ni kiongozi mzalendo wa nchi hii...

  • @yustermtega4950
    @yustermtega4950 11 дней назад +2

    Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu akupe afya njema kwa kujitoa kwako kusema ukweli kwa maslahi ya watanzania STAY BLESSED MPINA REALY YOU LOVE YOUR COUNTRY TZ

  • @sharafisaidi7999
    @sharafisaidi7999 15 дней назад +9

    Unafanana San na mwalimu wangu Mkuu endrea dyadumilla wanaomjua huyo teacher gonga like yako

  • @user-mj7hj1gn9x
    @user-mj7hj1gn9x 15 дней назад +10

    Upo sahihi mpina hongera sana

  • @user-sr1mh5wi8t
    @user-sr1mh5wi8t 15 дней назад +12

    Sawasawa ubarikiwe

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 14 дней назад +6

    Kabsa
    Mungu akujalie afya njema

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 12 дней назад +2

    Akili kubwa ya mh. Luhaga Mpina, hongera sana Mpina.

  • @user-hv5vn9gz7c
    @user-hv5vn9gz7c 15 дней назад +9

    Kaka mungu hakufunike na damu wa yesu

  • @bakarisb
    @bakarisb 15 дней назад +10

    Unaongea ukweli ila tatizo viongozi wengi wapo kimaslahi binafsi, ndio maana wengi ni kusifia tuu bila kujali madhila sahihi tuyapatayo majority

  • @joshuanyonyi3313
    @joshuanyonyi3313 15 дней назад +9

    Chukua Fomu ya Urais mgombea
    2025...uko vzur.....

  • @mwendeshammwendesha5335
    @mwendeshammwendesha5335 15 дней назад +9

    your is good leader

    • @user-ee9my3ye2o
      @user-ee9my3ye2o 14 дней назад +1

      Mhh. Hiki kizungu kina walaakin ndugu. Tumia tu Kiswahili. Au jifunze Kiingereza.😢

  • @WitnessPeter-ny5yu
    @WitnessPeter-ny5yu 15 дней назад +12

    Aminiel you are very smart huyu mtu ni mzalendo

    • @PatsonMbugh
      @PatsonMbugh 12 дней назад

      Amani iwe kwako umekuwa lafiki wangu mpina

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234 15 дней назад +5

    Ww ni kiongozi unae tetea haki, mungu akubariki na kukutea

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 15 дней назад +8

    Wabunge wote wangekuwa kama huyu,nchi ingekuwa mbele kimaendeleo kama nchi za ulaya.

  • @user-ze8jo1jf9w
    @user-ze8jo1jf9w 12 дней назад +2

    Mungu akulinde mpona

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr 15 дней назад +5

    Viongozi wa namna hii tunao wachache mno Tanzania akiwemo Mh.Mpina.

  • @user-fr3ij7el2u
    @user-fr3ij7el2u 15 дней назад +6

    Mungu nusuru nchi yetu na mafisadi

  • @samsonnyihita3985
    @samsonnyihita3985 15 дней назад +9

    upo sawa kaka 🙏🙏🙏🙏

  • @zeelamipango
    @zeelamipango 15 дней назад +14

    Akili kubwa sana mpina

  • @hoseakamchapekaponya3502
    @hoseakamchapekaponya3502 12 дней назад +1

    Big up mpina! Hakika we Ni kiongozi Bora, thabiti na taa bora, Mungu atakulinda saana

  • @jamesmhillu3211
    @jamesmhillu3211 4 дня назад +1

    Dogo nakukubali sana ur a genius ondoka hukooooo?

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 15 дней назад +8

    Speaking up my brother wewe dio mzalendo

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo8704 15 дней назад +5

    Congrats Mpina

  • @abdulmshamu801
    @abdulmshamu801 15 дней назад +9

    My brother huko Akili mno pia ni mzarendo akika.

  • @amoslupimo2393
    @amoslupimo2393 11 дней назад +1

    Uko vizuri mpina

  • @HappyBooks-dj6oy
    @HappyBooks-dj6oy 15 дней назад +4

    Hakuna kiongozi Jasiri kama wewe ndani ya Tanzania. Uko Sawa my brother

  • @Masele85207
    @Masele85207 14 дней назад +4

    Tumuunge mkono shujaa na mzalendo mpina, anapigania maslahi ya taifa.

  • @HenryKasaje-on4xq
    @HenryKasaje-on4xq 15 дней назад +13

    Wewe jeshi sana utafikili sio mwana ccm uo ndouongozi bola

  • @kingngojea
    @kingngojea 15 дней назад +16

    MUNGU akupe ulinzi mweshimiwa unapenda sana taifa lako usilud nyuma

  • @user-sr1mh5wi8t
    @user-sr1mh5wi8t 15 дней назад +5

    🎉
    Sawasawa ubarikiwe

  • @victormsafiri9802
    @victormsafiri9802 14 дней назад +3

    Unastahili kupewa pongezi umekua mtetezi mkubwa sana kwa wananchi wanyonge na masikini keep it up

  • @stuartkivava9247
    @stuartkivava9247 15 дней назад +4

    Kaka vyote ulivyonena ni sahihi lkn nani atamfunga Kengele mwenzie

  • @GodfreyNtungilwege-uv8tj
    @GodfreyNtungilwege-uv8tj 15 дней назад +7

    ongera sn kaka kaza buti mungu yupo mambo ya ukweri uwa ayapotei sema kaka

  • @sidodeni3468
    @sidodeni3468 15 дней назад +4

    Nakuelewa sana mpina

  • @kastulideemay6721
    @kastulideemay6721 10 дней назад

    Hongera Dr Samia, kwa kweli sio tu umeifungua nchi yetu kimataifa kumbe tulisahau kuwa nchi yetu ilikuwa jela....! Mungu ibariki Tanzania...!

  • @maryfranknamkumba9182
    @maryfranknamkumba9182 15 дней назад +6

    Ahsante sana kaka maana unasema ukweli mtupu. Ubarikiwe mno na Damu ya Yesu ikufunike daima kaka yangu. Love you ❤🙏🏾

    • @dstaroficial
      @dstaroficial 13 дней назад

      Ukisema yesu unatuchefua waislam Ila ukisema Mungu tunakuwa upand wko hapo ndo ujue yesu sio Mungu ukitjmia neno hili linajitosheleza

  • @kiatu
    @kiatu 15 дней назад +3

    Makonda > Mbunge wa kuteuliwa > Waziri mkuu halafu tuone nani atakaidi maagizo yake. Hongera Mpina kuna namna nyingi za kufikisha ujumbe kwa wananchi

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalan 8 дней назад

    Mwenyezi mungu akupe maisha malefu uzidi kutetea mchi na wanyoge

  • @user-vm4zq7kf4e
    @user-vm4zq7kf4e 13 дней назад +1

    Mungu akulinde broo

  • @user-ub2sm5vy2z
    @user-ub2sm5vy2z 15 дней назад +5

    Ww ni mwalim wa bunge

  • @mukhusinathuman6596
    @mukhusinathuman6596 15 дней назад +3

    Mwamba ana courage sana safiii

  • @user-ie2bz6uf9z
    @user-ie2bz6uf9z 10 дней назад

    Safi mpina Raisajae

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 7 дней назад

    Hongera kaka yangu, Mungu akulinde daima, ww ni mbuge active,

  • @MohamedUbwa-hd1sb
    @MohamedUbwa-hd1sb 12 дней назад +1

    Cc tunaonewa Sana tusaidie

  • @NereDaniel
    @NereDaniel 3 дня назад

    Mungu atakutetea na kukulinda kwa kutetea taifa lako.

  • @ThomasMtali
    @ThomasMtali 10 дней назад

    Ndugu Mungu akutangulie katika uwongoz hatuazikichukuliwa viongozi wataogopa

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 14 дней назад

    Mpina you are the hero , they will pindown you, but stend on what you believe. I support you

  • @MAONYOTVTANZANIA
    @MAONYOTVTANZANIA 15 дней назад +2

    Anachosema Ni sahihi kabisa , nchi hii inatawaliwa na watu wasioonekana , ufisadi unatisha Kila halmashauri uozo , kupanda kwa Kodi tunabebeshwa mzigo watanzania ovyo laana

  • @WitnessPeter-ny5yu
    @WitnessPeter-ny5yu 15 дней назад +6

    Azisha chama mkuu nitakuwa mwanachama wako wa kwanza...very smart na very mzalendo

    • @WitnessPeter-ny5yu
      @WitnessPeter-ny5yu 15 дней назад +3

      Mh.mpina ongelea piq issue ya ajira watu tuna degree miaka kumi sasa mtaani...hata utume cv na application mara millioni hupati kazi...kwa mfano blog zinazotanga na kurusha kazi...ukihesabu idadi ya nafasi zinazotangazwa ni zaidi ya idadi ya sensa ya watanzania pamoja na wazee wote....j3 hizo kazi anapewa nani? Mkuu
      ....

    • @justinewalwa7387
      @justinewalwa7387 8 дней назад

      Yaani 😁😁😁

  • @user-uf7dp5hn8p
    @user-uf7dp5hn8p 7 дней назад

    Hakiri nyingi sana MP

  • @BakariIssa-nx3yf
    @BakariIssa-nx3yf 10 дней назад

    Mungu akulinde mueshimiwa ilakua makini ccm watakuua maana awapendi mzalendo

  • @samsonlucas7932
    @samsonlucas7932 15 дней назад +1

    very logical and rhetorical language, you're a true person for our Country.
    hekima uliyo nayo kaka ni ya uongozi tu, hakuna kujibu wala kujadili maneno ya waziri ambayo yalikuwa offline
    😁😬😬😬😬

  • @nuriyatihgeorgekhan6042
    @nuriyatihgeorgekhan6042 15 дней назад +2

    Mmmh allah huluma zako zikathibiti zaidi kwenye taifa hili inshaallah

  • @sharafisaidi7999
    @sharafisaidi7999 15 дней назад +6

    Huyu Jamaa akipewa cheo cha juu tumekwenda tena kwa kukimbia

    • @mokeya
      @mokeya 15 дней назад +1

      Umenifanya nimecheka jaman ama kweli mungu ampe umri mrefu mr mpina

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 15 дней назад +1

      Sharafisadi bila kwenda mbio nchi haiendi mijizi mingi

  • @lupakisyomwaisunga9027
    @lupakisyomwaisunga9027 15 дней назад +2

    Safi sana kaka

  • @user-xx1je7sy4h
    @user-xx1je7sy4h 15 дней назад +4

    CCM ruhusuni mngombea binafisi 2025 muone asubuhi koti la mpina bila hata yeye kuwepo linakuwa rais

  • @cesiliamasumu432
    @cesiliamasumu432 13 дней назад +1

    Sio watumishi tu wa uma hata sekta binafsi NCCF inasikitisha sana mtu badala yakumlipa pesa zake analipwa vihela ambazo hazimtoshi hela zakununua nyanya

  • @maryluhaga1589
    @maryluhaga1589 8 дней назад +1

    Nc

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 15 дней назад +2

    Vyama vya upinzani. Tuunge mkono mawazo yake rais hajuwi haya mambo . Bira kujari viongozi wa vyama. Toweni msimamo wenu. Mwambukusi piter kibatara mbowe lisu lipumba

  • @francismaranya3488
    @francismaranya3488 8 дней назад +1

    Wanufaida wa uhalifu siku zote watapinga wanyonge wakitetewa

  • @josephmalangalila9744
    @josephmalangalila9744 14 дней назад +2

    Kwa haraka haraka watu wanaweza kudhani kuwa huyu jamaa anachuki na mawaziri. Lakini hivi ndivvyo mbunge anapaswa kuwa

  • @abdullahmhina2207
    @abdullahmhina2207 14 дней назад

    M.mungu akulinde sn m.h mpina wote wanao hujumu hii inchi wataweweseka sn kwa nguvu za Allah pamoja na vizazi vyao

  • @bashirusalehenandoro3128
    @bashirusalehenandoro3128 14 дней назад +3

    Media za Bongo walipaswa kujaza maik hapa ila wanasubiri press ya manara

  • @yustermtega4950
    @yustermtega4950 11 дней назад

    ASANTE KWA UZALENDO WAKO MPINA TUAKUPENDA YOUR 2ND JPM ROHO YA MAGUFULI IKO LIVE❤

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 15 дней назад +2

    Mungu anawafumbua lopokeni yote,

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 15 дней назад +2

    Akili kubwa kati kati ya akili ndogo finyu za kichawa chawa hongela nalazimika kuku penda mpina nimekubali uzalendo kwanza

  • @justinewalwa7387
    @justinewalwa7387 8 дней назад

    Akili Kubwa sana.

  • @DahHodges777
    @DahHodges777 9 дней назад

    Wakipatikana Luhanga mpina kumi tu..hii nchi itakaa kwenye mstari sana..

  • @frankmakyao7657
    @frankmakyao7657 7 дней назад

    Ohoo , sio raia wa Tz. . Hao ndio wanaopiga kelele nyingi kuwa wanataka URAIA PACHA HATARI. HATARI, HATARI

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 15 дней назад +1

    Sema usiogope sema Mpina Mungu atakulinda kwa nguvu zote

  • @kingmzebez7786
    @kingmzebez7786 12 дней назад

    Kimbiza 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🚶‍♂️hao mzarendo wa kwer🇹🇿❤❤mpina mungu akujalie tupo na ww katika📿❤❤🙏🏼🤝👊👊👊👊💪💪💪💪💪💪🤳🤳🤳🤳

  • @terevaelswai7575
    @terevaelswai7575 15 дней назад +2

    Mh.Mpina una maelezo mazuri kuhusu kikokotoo. Na ndio ukweli.Serikali kuleta kikokotoo ni dhambi kubwa iliyofanya kwa wafanyakazi.Mungu akujalie kwa misimamo yako na uchungu ulio nao kama kweli ni kutoka rohoni

    • @abduljuma7807
      @abduljuma7807 14 дней назад

      Je Mpina anachoongea ni mkweli anaweza ya simamia anayo ya SEMA hapo ndio shughili ilipo kukikribia uchaguzi watu wanaongea point kweli kunahawa ndugu zetu polisi hakuna anaewatetea wanafanya Kazi ngumu sana nayenye mitihani sana husikii mtu wa kuwasemea

  • @peterdaud5669
    @peterdaud5669 14 дней назад

    Msukuma mwenzangu nakupenda sana hunaga shida na mtu uzuri huonei mtu❤

  • @Petergodfreymbwambo
    @Petergodfreymbwambo 3 дня назад

    No coment

  • @JosephMagige-lf9ns
    @JosephMagige-lf9ns 12 дней назад

    Watu kama Hawa huwa niadimu sana .Hakika unfaa kuwa kiongozi mkuu wa Nchi hii.Mungu wetu akubariki .

  • @EvelinaNgasso
    @EvelinaNgasso 11 дней назад

    Upo vzr mkuu,tuaomba pia uzungumzie BIMA ya Afya-NHIF mambo mengi hayapo sawa,Bado Wanachama tunapata tabu,ikibidi itisha maoni ya wanufaika usikie

  • @jameskagulu4228
    @jameskagulu4228 14 дней назад

    Kaz nzuri

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 10 дней назад

    Ongelea Katiba mpya baba

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v 15 дней назад +1

    Mpina Mungu akulinde, wewe ni mkweli

  • @johnnyoni7571
    @johnnyoni7571 9 дней назад

    Nikweli upo sawa

  • @mabruqjumamponda7629
    @mabruqjumamponda7629 14 дней назад +1

    Nimona hio kauli yako sio wengi wanaoelewa...nakunukuu "
    Tunaomba marafiki zetu wanao tuambia meneno ya SULUHU waache"
    Jamani huu ni mwaka wa uchaguzi huyu mwamba kampiga MAMA indirect.
    Read between the lines.

  • @SAKAWA4
    @SAKAWA4 14 дней назад +1

    Good

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 10 дней назад

    Vimeumana hasa. Kazeni buti. Kwanza tuko karibu kufanywa watumwa

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 14 дней назад

    Mpina nakukubali msema kweli mpenzi wa mungu viongozi wengine wanafki tuu

  • @user-tx7df1lk9k
    @user-tx7df1lk9k 11 дней назад

    Hiki kichwa sio Cha mchezo, sijui nchi inakwenda wapi! Ni mambo ya kusikitisha sana

  • @user-me6ii5ue6c
    @user-me6ii5ue6c 15 дней назад +1

    Watu wa namna ya huyu Mpina ambaye ni msema kweli wa hatari, hawezi kupendwa na viongozi wa serikali hii inayoendekeza ufisadi ni vigumu kumteua popote. Maana watamwita kimbelembele. Lakini ukweli huyu anafaa hata kuchukua nafasi ya Majaliwa. Ukipima vizuri Majaliwa ameshindwa nafasi yake. Anajua kutoa matamko yasiyo na utekelezaji. Nchi inaliwa tu na wachache nao wamekubaliana na hilo.

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 12 дней назад

    👏👏👏

  • @paschalmartin9598
    @paschalmartin9598 11 дней назад

    Tungekuwa na wabunge kumi kama hawa nchi ingepiga hatua kubwa sana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 15 дней назад +1

    Mapetrol stationa yamejaa mpaka kwenye makazi ya watu yamefufuka upya njooni muone Bararbara ya Morogoro road yamejaa kama mvua yote hiyo kulipa fadhila sasa hao hao wamemgeuka mama wanampiga vita vita wamtoe yeye mwenyewe tuonekane wanawake hatufai kwenye uongozi

  • @PantaleoBundala-tl2kd
    @PantaleoBundala-tl2kd 12 дней назад

    Kama nchi yetu ina kiongozi mwenye uzalendo wa kweli...hatakupuuza mheshimiwa Mpina na kauli zako hizi zote!