Heeeeeee medison kuna wanafiki humo chinga sanaaaa wajumbe ndiyo na wenye msimamo kama Mpina na Makonda mama anapigwa vita na aliyowalipa fadhila sasa angalia Mungu anavyotoa jibu ccm oyeeeee kazi inaendelea
Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu akupe afya njema kwa kujitoa kwako kusema ukweli kwa maslahi ya watanzania STAY BLESSED MPINA REALY YOU LOVE YOUR COUNTRY TZ
Anachosema Ni sahihi kabisa , nchi hii inatawaliwa na watu wasioonekana , ufisadi unatisha Kila halmashauri uozo , kupanda kwa Kodi tunabebeshwa mzigo watanzania ovyo laana
Mh.mpina ongelea piq issue ya ajira watu tuna degree miaka kumi sasa mtaani...hata utume cv na application mara millioni hupati kazi...kwa mfano blog zinazotanga na kurusha kazi...ukihesabu idadi ya nafasi zinazotangazwa ni zaidi ya idadi ya sensa ya watanzania pamoja na wazee wote....j3 hizo kazi anapewa nani? Mkuu ....
very logical and rhetorical language, you're a true person for our Country. hekima uliyo nayo kaka ni ya uongozi tu, hakuna kujibu wala kujadili maneno ya waziri ambayo yalikuwa offline 😁😬😬😬😬
Sio watumishi tu wa uma hata sekta binafsi NCCF inasikitisha sana mtu badala yakumlipa pesa zake analipwa vihela ambazo hazimtoshi hela zakununua nyanya
Vyama vya upinzani. Tuunge mkono mawazo yake rais hajuwi haya mambo . Bira kujari viongozi wa vyama. Toweni msimamo wenu. Mwambukusi piter kibatara mbowe lisu lipumba
Mh.Mpina una maelezo mazuri kuhusu kikokotoo. Na ndio ukweli.Serikali kuleta kikokotoo ni dhambi kubwa iliyofanya kwa wafanyakazi.Mungu akujalie kwa misimamo yako na uchungu ulio nao kama kweli ni kutoka rohoni
Je Mpina anachoongea ni mkweli anaweza ya simamia anayo ya SEMA hapo ndio shughili ilipo kukikribia uchaguzi watu wanaongea point kweli kunahawa ndugu zetu polisi hakuna anaewatetea wanafanya Kazi ngumu sana nayenye mitihani sana husikii mtu wa kuwasemea
Nimona hio kauli yako sio wengi wanaoelewa...nakunukuu " Tunaomba marafiki zetu wanao tuambia meneno ya SULUHU waache" Jamani huu ni mwaka wa uchaguzi huyu mwamba kampiga MAMA indirect. Read between the lines.
Watu wa namna ya huyu Mpina ambaye ni msema kweli wa hatari, hawezi kupendwa na viongozi wa serikali hii inayoendekeza ufisadi ni vigumu kumteua popote. Maana watamwita kimbelembele. Lakini ukweli huyu anafaa hata kuchukua nafasi ya Majaliwa. Ukipima vizuri Majaliwa ameshindwa nafasi yake. Anajua kutoa matamko yasiyo na utekelezaji. Nchi inaliwa tu na wachache nao wamekubaliana na hilo.
Mapetrol stationa yamejaa mpaka kwenye makazi ya watu yamefufuka upya njooni muone Bararbara ya Morogoro road yamejaa kama mvua yote hiyo kulipa fadhila sasa hao hao wamemgeuka mama wanampiga vita vita wamtoe yeye mwenyewe tuonekane wanawake hatufai kwenye uongozi
Ahsante sana Mpina wewe ni mzalendo kwa inchi yetu Tanzania hongera sana katiba mpya ni lazma🇹🇿
Asante mpina unanigusa sana baba pambana tu usikate tamaa mungu atakutetea baba
Nakupenda sana mdogo wangu Luhaga Mpina. Zungumzia MZIZI mkuu wa hote haya. KATIBA MPYA!
BIG UP HON. MPINA❤❤❤❤❤ JPM LIVES IN YOU! UKIUA MTU HUWEZI KUUA ROHO YAKE, JPM LIVES FOREVER❤❤❤
Kaka hongera Sana Mungu akulindee vema
Ushauri wangu kwa Bunge langu tukufu naomba muungane na Mh mpina kulitendea haki taifa hili mungu asimame na akupe maisha marefu 🎉
Heeeeeee medison kuna wanafiki humo chinga sanaaaa wajumbe ndiyo na wenye msimamo kama Mpina na Makonda mama anapigwa vita na aliyowalipa fadhila sasa angalia Mungu anavyotoa jibu ccm oyeeeee kazi inaendelea
Hongera sana Mpina, Mungu atusaidie maana Watawala hawapendi WasemaKweli.
Mungu akutetee saana umejito kulitetea taifa letu kwa kuanika ufisadi huu
Mpina for the people of the people from the people
🎉🎉🎉🎉 akili yako haifanani na CCM,,ww ni genius
Mpina ni kiongozi mzalendo wa nchi hii...
Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu akupe afya njema kwa kujitoa kwako kusema ukweli kwa maslahi ya watanzania STAY BLESSED MPINA REALY YOU LOVE YOUR COUNTRY TZ
Unafanana San na mwalimu wangu Mkuu endrea dyadumilla wanaomjua huyo teacher gonga like yako
Upo sahihi mpina hongera sana
Sawasawa ubarikiwe
Kabsa
Mungu akujalie afya njema
Akili kubwa ya mh. Luhaga Mpina, hongera sana Mpina.
Kaka mungu hakufunike na damu wa yesu
Amina
Amen
Unaongea ukweli ila tatizo viongozi wengi wapo kimaslahi binafsi, ndio maana wengi ni kusifia tuu bila kujali madhila sahihi tuyapatayo majority
Chukua Fomu ya Urais mgombea
2025...uko vzur.....
your is good leader
Mhh. Hiki kizungu kina walaakin ndugu. Tumia tu Kiswahili. Au jifunze Kiingereza.😢
Aminiel you are very smart huyu mtu ni mzalendo
Amani iwe kwako umekuwa lafiki wangu mpina
Ww ni kiongozi unae tetea haki, mungu akubariki na kukutea
Wabunge wote wangekuwa kama huyu,nchi ingekuwa mbele kimaendeleo kama nchi za ulaya.
Umeonaa!!!!
Mungu akulinde mpona
Viongozi wa namna hii tunao wachache mno Tanzania akiwemo Mh.Mpina.
Mungu nusuru nchi yetu na mafisadi
upo sawa kaka 🙏🙏🙏🙏
Akili kubwa sana mpina
Nani alipima samaki kwa .......
Big up mpina! Hakika we Ni kiongozi Bora, thabiti na taa bora, Mungu atakulinda saana
Dogo nakukubali sana ur a genius ondoka hukooooo?
Speaking up my brother wewe dio mzalendo
Congrats Mpina
My brother huko Akili mno pia ni mzarendo akika.
Uko vizuri mpina
Hakuna kiongozi Jasiri kama wewe ndani ya Tanzania. Uko Sawa my brother
Wenzake sijui wamelishwa nini.
Tumuunge mkono shujaa na mzalendo mpina, anapigania maslahi ya taifa.
Wewe jeshi sana utafikili sio mwana ccm uo ndouongozi bola
MUNGU akupe ulinzi mweshimiwa unapenda sana taifa lako usilud nyuma
Sema baba ukweli unauma
🎉
Sawasawa ubarikiwe
Unastahili kupewa pongezi umekua mtetezi mkubwa sana kwa wananchi wanyonge na masikini keep it up
Kaka vyote ulivyonena ni sahihi lkn nani atamfunga Kengele mwenzie
ongera sn kaka kaza buti mungu yupo mambo ya ukweri uwa ayapotei sema kaka
Godfrey kila lenye haki litasemwa tu na Mungu atatoa jibu tu
Nakuelewa sana mpina
Hongera Dr Samia, kwa kweli sio tu umeifungua nchi yetu kimataifa kumbe tulisahau kuwa nchi yetu ilikuwa jela....! Mungu ibariki Tanzania...!
Ahsante sana kaka maana unasema ukweli mtupu. Ubarikiwe mno na Damu ya Yesu ikufunike daima kaka yangu. Love you ❤🙏🏾
Ukisema yesu unatuchefua waislam Ila ukisema Mungu tunakuwa upand wko hapo ndo ujue yesu sio Mungu ukitjmia neno hili linajitosheleza
Makonda > Mbunge wa kuteuliwa > Waziri mkuu halafu tuone nani atakaidi maagizo yake. Hongera Mpina kuna namna nyingi za kufikisha ujumbe kwa wananchi
Mwenyezi mungu akupe maisha malefu uzidi kutetea mchi na wanyoge
Mungu akulinde broo
Ww ni mwalim wa bunge
Mwamba ana courage sana safiii
Safi mpina Raisajae
Hongera kaka yangu, Mungu akulinde daima, ww ni mbuge active,
Cc tunaonewa Sana tusaidie
Mungu atakutetea na kukulinda kwa kutetea taifa lako.
Ndugu Mungu akutangulie katika uwongoz hatuazikichukuliwa viongozi wataogopa
Mpina you are the hero , they will pindown you, but stend on what you believe. I support you
Anachosema Ni sahihi kabisa , nchi hii inatawaliwa na watu wasioonekana , ufisadi unatisha Kila halmashauri uozo , kupanda kwa Kodi tunabebeshwa mzigo watanzania ovyo laana
Azisha chama mkuu nitakuwa mwanachama wako wa kwanza...very smart na very mzalendo
Mh.mpina ongelea piq issue ya ajira watu tuna degree miaka kumi sasa mtaani...hata utume cv na application mara millioni hupati kazi...kwa mfano blog zinazotanga na kurusha kazi...ukihesabu idadi ya nafasi zinazotangazwa ni zaidi ya idadi ya sensa ya watanzania pamoja na wazee wote....j3 hizo kazi anapewa nani? Mkuu
....
Yaani 😁😁😁
Hakiri nyingi sana MP
Mungu akulinde mueshimiwa ilakua makini ccm watakuua maana awapendi mzalendo
very logical and rhetorical language, you're a true person for our Country.
hekima uliyo nayo kaka ni ya uongozi tu, hakuna kujibu wala kujadili maneno ya waziri ambayo yalikuwa offline
😁😬😬😬😬
Mmmh allah huluma zako zikathibiti zaidi kwenye taifa hili inshaallah
Allah no kwaherufi kubwa Shukran
Huyu Jamaa akipewa cheo cha juu tumekwenda tena kwa kukimbia
Umenifanya nimecheka jaman ama kweli mungu ampe umri mrefu mr mpina
Sharafisadi bila kwenda mbio nchi haiendi mijizi mingi
Safi sana kaka
CCM ruhusuni mngombea binafisi 2025 muone asubuhi koti la mpina bila hata yeye kuwepo linakuwa rais
UNATISHA MZEE
Kabisa yaani ndomaa wanabania katiba
Sio watumishi tu wa uma hata sekta binafsi NCCF inasikitisha sana mtu badala yakumlipa pesa zake analipwa vihela ambazo hazimtoshi hela zakununua nyanya
Nc
Vyama vya upinzani. Tuunge mkono mawazo yake rais hajuwi haya mambo . Bira kujari viongozi wa vyama. Toweni msimamo wenu. Mwambukusi piter kibatara mbowe lisu lipumba
Wanufaida wa uhalifu siku zote watapinga wanyonge wakitetewa
Kwa haraka haraka watu wanaweza kudhani kuwa huyu jamaa anachuki na mawaziri. Lakini hivi ndivvyo mbunge anapaswa kuwa
M.mungu akulinde sn m.h mpina wote wanao hujumu hii inchi wataweweseka sn kwa nguvu za Allah pamoja na vizazi vyao
Media za Bongo walipaswa kujaza maik hapa ila wanasubiri press ya manara
ASANTE KWA UZALENDO WAKO MPINA TUAKUPENDA YOUR 2ND JPM ROHO YA MAGUFULI IKO LIVE❤
Mungu anawafumbua lopokeni yote,
Akili kubwa kati kati ya akili ndogo finyu za kichawa chawa hongela nalazimika kuku penda mpina nimekubali uzalendo kwanza
Akili Kubwa sana.
Wakipatikana Luhanga mpina kumi tu..hii nchi itakaa kwenye mstari sana..
Ohoo , sio raia wa Tz. . Hao ndio wanaopiga kelele nyingi kuwa wanataka URAIA PACHA HATARI. HATARI, HATARI
Sema usiogope sema Mpina Mungu atakulinda kwa nguvu zote
Kimbiza 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🚶♂️hao mzarendo wa kwer🇹🇿❤❤mpina mungu akujalie tupo na ww katika📿❤❤🙏🏼🤝👊👊👊👊💪💪💪💪💪💪🤳🤳🤳🤳
Mh.Mpina una maelezo mazuri kuhusu kikokotoo. Na ndio ukweli.Serikali kuleta kikokotoo ni dhambi kubwa iliyofanya kwa wafanyakazi.Mungu akujalie kwa misimamo yako na uchungu ulio nao kama kweli ni kutoka rohoni
Je Mpina anachoongea ni mkweli anaweza ya simamia anayo ya SEMA hapo ndio shughili ilipo kukikribia uchaguzi watu wanaongea point kweli kunahawa ndugu zetu polisi hakuna anaewatetea wanafanya Kazi ngumu sana nayenye mitihani sana husikii mtu wa kuwasemea
Msukuma mwenzangu nakupenda sana hunaga shida na mtu uzuri huonei mtu❤
No coment
Watu kama Hawa huwa niadimu sana .Hakika unfaa kuwa kiongozi mkuu wa Nchi hii.Mungu wetu akubariki .
Upo vzr mkuu,tuaomba pia uzungumzie BIMA ya Afya-NHIF mambo mengi hayapo sawa,Bado Wanachama tunapata tabu,ikibidi itisha maoni ya wanufaika usikie
Kaz nzuri
Ongelea Katiba mpya baba
Mpina Mungu akulinde, wewe ni mkweli
Nikweli upo sawa
Nimona hio kauli yako sio wengi wanaoelewa...nakunukuu "
Tunaomba marafiki zetu wanao tuambia meneno ya SULUHU waache"
Jamani huu ni mwaka wa uchaguzi huyu mwamba kampiga MAMA indirect.
Read between the lines.
Good
Vimeumana hasa. Kazeni buti. Kwanza tuko karibu kufanywa watumwa
Mpina nakukubali msema kweli mpenzi wa mungu viongozi wengine wanafki tuu
Hiki kichwa sio Cha mchezo, sijui nchi inakwenda wapi! Ni mambo ya kusikitisha sana
Watu wa namna ya huyu Mpina ambaye ni msema kweli wa hatari, hawezi kupendwa na viongozi wa serikali hii inayoendekeza ufisadi ni vigumu kumteua popote. Maana watamwita kimbelembele. Lakini ukweli huyu anafaa hata kuchukua nafasi ya Majaliwa. Ukipima vizuri Majaliwa ameshindwa nafasi yake. Anajua kutoa matamko yasiyo na utekelezaji. Nchi inaliwa tu na wachache nao wamekubaliana na hilo.
👏👏👏
Tungekuwa na wabunge kumi kama hawa nchi ingepiga hatua kubwa sana
Mapetrol stationa yamejaa mpaka kwenye makazi ya watu yamefufuka upya njooni muone Bararbara ya Morogoro road yamejaa kama mvua yote hiyo kulipa fadhila sasa hao hao wamemgeuka mama wanampiga vita vita wamtoe yeye mwenyewe tuonekane wanawake hatufai kwenye uongozi
Kama nchi yetu ina kiongozi mwenye uzalendo wa kweli...hatakupuuza mheshimiwa Mpina na kauli zako hizi zote!